GEOFF, JEMEDARI WASHINDWA KUJIZUIA / WAFUNGUKA KESI YA AZAM TV NA BONDIA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 сен 2024
  • Hii ni CROWN MEDIA, 92.1 CROWN FM & CROWN TV
    Follow us on Social Media Platforms
    Instagram:
    Crown FM - / crownfmtz
    Crown TV - / crowntvtz
    Twitter (X):
    CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
    CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
    Facebook:
    CROWN MEDIA: www.facebook.c...
    TIKTOK:
    - www.tiktok.com...
    SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz

Комментарии • 11

  • @visitDar2011
    @visitDar2011 День назад +2

    Jemedary ana akili timamu sana plus maarifa. Hongereni sana Crown FM mnajua mnachokifanya.

  • @verickkabyemela1691
    @verickkabyemela1691 День назад +2

    Jemedari umeongea kitu safi sana na unatoa na mifano kabisa

  • @pena_tz
    @pena_tz День назад +2

    Bongo watu wanasepa sana na idea za watu. Ukijichanganya utume email tuu kusema una mawazo flani watu hawakujibu utakutana nalo limeenda mjini 😅😅

  • @Pweza
    @Pweza 21 час назад

    Jemedari anajielewa sana... Hongera sana Dingi kwa ubongo uliobarikiwa

  • @Sampovoice8088
    @Sampovoice8088 День назад +1

    Jemadari yupo vzr

  • @user-qz8gn6bn6r
    @user-qz8gn6bn6r 22 часа назад +1

    Nomaaa

  • @othumanlorenzo260
    @othumanlorenzo260 7 часов назад

    juma yuko sawa waandishi hawajui kabisa mambo ya haki miliki na haki shiriki naomba muwe mnaalika watalamu... waje kudadavua sheria ya haki miliki na haki shiriki na hiki hukumu...

  • @ananiauhes5168
    @ananiauhes5168 12 часов назад

    Geof Lea wakat mwenzako anaongea never interrupt ili kupata flow nzur ya mwenzako wakat anazungumza

  • @FiftyCommodities
    @FiftyCommodities День назад +2

    Chuki tu za waTz but uyo jemedari hakuna mchambuz bongo hii anaknowledge kama yake the reason nasikiliza michezo kill siku ni huyu jamaa

    • @fredylucas2484
      @fredylucas2484 День назад +1

      Unamlaum sababu uelewa wako mdogo. Simon Cowell alipelekwa mahakamani akaamua kumalizia nje ya mahakamani na rafiki yake anaitwa Simon Fuller. Xfactor

  • @saltechnologiesco.ltd.2377
    @saltechnologiesco.ltd.2377 21 час назад

    Wizi hautetewi hata kama mwizi ni tajiri! Inasikitisha sana mawazo ya watu kutothaminiwa na kupewa haki zao