GEOFF, JEMEDARI WASHINDWA KUJIZUIA / WAFUNGUKA KESI YA AZAM TV NA BONDIA
HTML-код
- Опубликовано: 18 сен 2024
- Hii ni CROWN MEDIA, 92.1 CROWN FM & CROWN TV
Follow us on Social Media Platforms
Instagram:
Crown FM - / crownfmtz
Crown TV - / crowntvtz
Twitter (X):
CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
Facebook:
CROWN MEDIA: www.facebook.c...
TIKTOK:
- www.tiktok.com...
SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz
Jemedary ana akili timamu sana plus maarifa. Hongereni sana Crown FM mnajua mnachokifanya.
Jemedari umeongea kitu safi sana na unatoa na mifano kabisa
Bongo watu wanasepa sana na idea za watu. Ukijichanganya utume email tuu kusema una mawazo flani watu hawakujibu utakutana nalo limeenda mjini 😅😅
Jemedari anajielewa sana... Hongera sana Dingi kwa ubongo uliobarikiwa
Jemadari yupo vzr
Nomaaa
juma yuko sawa waandishi hawajui kabisa mambo ya haki miliki na haki shiriki naomba muwe mnaalika watalamu... waje kudadavua sheria ya haki miliki na haki shiriki na hiki hukumu...
Geof Lea wakat mwenzako anaongea never interrupt ili kupata flow nzur ya mwenzako wakat anazungumza
Chuki tu za waTz but uyo jemedari hakuna mchambuz bongo hii anaknowledge kama yake the reason nasikiliza michezo kill siku ni huyu jamaa
Unamlaum sababu uelewa wako mdogo. Simon Cowell alipelekwa mahakamani akaamua kumalizia nje ya mahakamani na rafiki yake anaitwa Simon Fuller. Xfactor
Wizi hautetewi hata kama mwizi ni tajiri! Inasikitisha sana mawazo ya watu kutothaminiwa na kupewa haki zao