Rip baba wewe ulikuwa msada Kwa wengi nikiona venye ulikua unasaidia bila ubaguzi kwakweli umeacha pengo Tanzania ambalo hakuna atakaye liziba 😭😭😭 am from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
KWA HILO NAGUFULI ULIISHINDA DUNIAA, NA INAKUHESHIMU SANAA. MAANA BAADA YA MUDA MFUPI MPAKA WAZUNGU WOTE NAO WAKAACHANA NA CARANTIINI ZAO. LAKINI HAYO YALIKUWA NI MAONO YAKO MAGUFULI.
Nime lia kwasababu alikufa wakati yupo kwa mikakati yakutaka kusaidia Congo🇨🇩 , aka acha akisema tu kwamba sisi wa Congomani tupo wa ndugu nawa tanzania🇹🇿❤️
Mama Janeth Magufuli Mungu akutie nguvu akupe uvumilivu kwa baba yetu mpendwa kutuacha najua inauma sana ni pengo kwa taifa kwa ujumla 😢...... Mungu atuwezeshe watanzania kwa ujumla Amina❤❤❤❤
Wazungu,walitumia ndugu zetu ili wakuue maana walijua wazi kwamba Africa utaibadilisha na kuwa Kama paradizo ndogo ya duniani,sitasahu pale ulisemaga kwamba utaweka Barbara ndani ya ziwa la Tanganyika mpaka DRC,ili mradi uchumi uongezeke,Baba we ni kichwa,we ni Simba,we ni mzalendo na uliipenda Sana Africa,RIP
président pumuzika ❤ 🙏.umeenda kama haunashida na DRC .mama suluhu mungu akupe nguvu. niwewe unajaribu sikiliza shida za wacongomani katika viongozi mbalimbali asante.❤🇨🇩🌹💪
May you continue resting in peace Rais magufuli, you listened your electorate and help ed them solve problems without favouring the rich. Be blessed abundantly
Rip african legend.How u loved ua electorates; visited them, heard their tribulations and sorted them head-on; delights my heart tremendously.May the rest of African leaders emulate this.❤ from 🇰🇪
Hakika umeacha pengo kubwa sana ktk Nchi yetu ya Tz, Baba,tunakukumbuka kwa mengi sana kipenzi chetu. Mungu akupokee ktk nuru ya USO wake, na utuombee nasi tuufikie Uzima huo wa milele. Aminaa.
Mungu ailaze roho yako mahala pema peponi, sijawahi kona raisi kama wewe mpaka mwisho wa dunia hii hata kuwepo maana jina la Mungu ulilitumia sana kwenye mipango yako yote Mungu aipokeye nafsi yako kwa amani
Huyu Rais wa Tanzania Wema wake sasa ulihama Tanzania na kuelekezwa upande wa Kenya,wakenya wanampenda sana raisi wao wa sasa Daktari william Ruto Akitoa hotuba yake wakenya wengi wanashangilia kwa shangwe na nderemo mungu ampe maisha marefu rais wetu
Hakika kifo wewe ni katili sana ila ujinga mwingi uliyo nao wewe kifo unasahau kwamba unamuondoa mtu tu duniani lakini matendo yake yanaishi duniani na tutaendelea kuyaishi mazuri yake.
Kwanini mungu anaacha watu wenyelohombaya waishi alafu watuwemakama wewe magufuli wanakufahalakaa duuuuu cjui nichaguwelipi kati yakuwa kama magufuli au niwe nalohoo mbaya makatili wanaishisana duuuuu🙏🙆
Kifo ni pigo kbwa saana kwetu,,hata dunia nzima tkiandamana hatuwezi weza,,mng baba wa mbingini ,,ingilia Kati mwenyewe wanao tnaangamia,,inauma saana Tena saana,,,daaaaaaass🎉🎉🎉🎉🎉
Huyu ndie raiAfrica ambae❤❤❤❤ Amazing and🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Rip baba wewe ulikuwa msada Kwa wengi nikiona venye ulikua unasaidia bila ubaguzi kwakweli umeacha pengo Tanzania ambalo hakuna atakaye liziba 😭😭😭 am from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
😭😭😭😭😭😭😭 hakika utakumbukwa milele
Huyu ndie Raisi Africa ambae nilimutambua ,aendelee kupumuzika Kwa Amani.🇰🇪🇰🇪
KWA HILO NAGUFULI ULIISHINDA DUNIAA, NA INAKUHESHIMU SANAA. MAANA BAADA YA MUDA MFUPI MPAKA WAZUNGU WOTE NAO WAKAACHANA NA CARANTIINI ZAO. LAKINI HAYO YALIKUWA NI MAONO YAKO MAGUFULI.
Nime lia kwasababu alikufa wakati yupo kwa mikakati yakutaka kusaidia Congo🇨🇩 , aka acha akisema tu kwamba sisi wa Congomani tupo wa ndugu nawa tanzania🇹🇿❤️
😭😭😭😭😭🙏
Baba magufuli pumuzika kwa amani tulikupenda sana na mungu akakupenda zaidi
Mungu akupumzishe baba, umetutoa gizani ingawa kinachoendelea sasa hapa tz, sijui ndolaana!!.
Nilikuwa nampenda sana Baba Maguful kwa kumtaja Mungu ni hodar sana Masha Allah..... alijuwa yeye kuna Mungu...na Yesu sio Mungu...
Mtetezi wa nyonge hatuwezi kukusahau mzee continue resting in power😭😭😭😭 watching from kenya
R.I.P. BABA, TUNAKUOMBEA UPUMZIKE SALAMA UKO ULIKO,
NASI TUTAKUJA, ILI KWA PAMPJA TUMLAKI BWANA YESU MAWINGINI!!
AMEEN
🙏🙏
Magufuli tutaku miss baba yetu kipenzi. Nilikupenda sana upeo. Pumzika kwa amani baba yangu. Ameen. Wote tuko njiani.
🎉😢 2:00
rest in peace
W
Namkumbuka sana huyu mwamba JPM! Mwenyezi mungu ailaze mahala pema pe
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Amin
Mwenyezi mungu akupe pumziko la milele
mwenyez mungu akulaze mahari pema peponi mueshimiwa
Sawa na zaburi 109 Mungu tunaomba usinyamaze juu ya hao waliohusika na huu baba
Banana mungu wa mbinguni akulaze mahali pema.mungu awakumbuke uzao walk daima
TUTAKUKUMBUKA DAIMA MUNGU AKUPUMZISHE KWA AMANI AMINA.
Acha hbr za maneno ya Kuambiwa mzee Muache mzee wetu wetu apumzke
Hapa alikuwa ameanza kuumwa jmn,na msiba wa kijazi ulimuumiza sana😭😭😭😭😭😭😭😭😭RIP baba
Namkumbuka magufuli
Munguakupe
Kaulisabti magufuliwetu
Tutakukumbuka daima 😭😭😭😭😭Hadi kesho tutaendelea kuumia Sana
Tutakukmbuka
Daima
Manatulikua
Bd
Tunakupenda👋👋👋
Subscribe
🤗😂😍
Dkt John P Magufuli. May his soul Rest In Peace.
He lives in our minds, I loved and I still loving his comments!!!
From Moz, 🇲🇿❤️🇲🇿❤️🇲🇿❤️
Xxxx videoss
Utakumbukwa daima baba i mc u Mungu akulaze mahali pema peponi Amina
Mama Janeth Magufuli Mungu akutie nguvu akupe uvumilivu kwa baba yetu mpendwa kutuacha najua inauma sana ni pengo kwa taifa kwa ujumla 😢...... Mungu atuwezeshe watanzania kwa ujumla Amina❤❤❤❤
Mungu akulaze mahala pema pepon baba magufuli. Amina
Asanite kwa mheshimiwa Marehem
Kwa kusimama na MUNGU siku sake zote akiwa Raise wa inichi.
MUNGU yuko nae huko alitangulia
Amen 🙏❤️🙏❤️ you
Mamasamiya
❤❤ Baba tunakuenzi binafsi nilikupenda napaka sasa Imani iliyokuwa unatupandia ni Imani am ayo tutaiishi
I love this man. He is a true leader. God bless his soul!
Aaaamin thumma aaaamin
Gllklljllllshĺslkjslhls
@@kassimchuo5290 slaklk
Ksslk
@@kassimchuo5290 ks
Mungu ailazee sehem Salam roho na magufuli nilimpenda sn huyu rais mtu wawanyonge ❤
Tutakukumbuka mirere jemedar magu turkupenda rakni mungu kakupenda zaid ustarehe kwaamani ameni
Hakika ni Nani atakae tufuta machozi sisi pia tunakuenzi vip mzee wetu mbona umetuacha papaya mamma hii
ASANTE SANAAAAAAAAAAA 💪 mzee umetuachia urithi wa maneno na tunayafata kama 2pac vile🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mungu akuweke pepon hayati rais magufuli😂😂😂
Wazungu,walitumia ndugu zetu ili wakuue maana walijua wazi kwamba Africa utaibadilisha na kuwa Kama paradizo ndogo ya duniani,sitasahu pale ulisemaga kwamba utaweka Barbara ndani ya ziwa la Tanganyika mpaka DRC,ili mradi uchumi uongezeke,Baba we ni kichwa,we ni Simba,we ni mzalendo na uliipenda Sana Africa,RIP
Umeandika kwa uchungu Sana' Mungu akufariji ' haya ya kaisali yasikukatishe tamaa.
Nilikupend tulikupenda lakni Mungu alikupenda zaidi, Mungu akupumzishe milele mbinguni.
Magufuli mpendwa wetu,binafsi naamini maneno yako yanaishi.Duuh nyie huyu baba R.I.P a man of God who lead Tanzania,😭😭😭💔💔
président pumuzika ❤ 🙏.umeenda kama haunashida na DRC .mama suluhu mungu akupe nguvu. niwewe unajaribu sikiliza shida za wacongomani katika viongozi mbalimbali asante.❤🇨🇩🌹💪
May you continue resting in peace Rais magufuli, you listened your electorate and help ed them solve problems without favouring the rich. Be blessed abundantly
😭😭 wew ndie kila kitu wew ndie wew sjui hata nisemaje😭😭 baba angu mungu akulaze mahali pema
MUNGU Ndiye Muweza! Asante baba JPM.
Best President ever🙏🙏🙏
Endelea kupumzika kwa Amani baba, hakika sitakusahau milele
Pumzika kwa amani raisi wetu John pombe magufuri tulikupenda Sana ulilipenda taifa lako la Tanzania
Huyu mwamba alikuwa jiwe hasa. Kipindi balozi Kijazi alikufa corona ndo iko peak times..lakini hakuna mteule wake aliyevaa barakoa.. JPM aliishi maneno yake.. R.I.P kiongozi wetu
Mbona kafa Sasa kama alikuwa jiwe?
Unajua mtu mwenye wito wa uongozi huwa anaonekana tu hyo ndo alikuwa Kiongozi sasa but for now tunaendesha tu R.I.P JPM 😭😭😭😭
Rip african legend.How u loved ua electorates; visited them, heard their tribulations and sorted them head-on; delights my heart tremendously.May the rest of African leaders emulate this.❤ from 🇰🇪
Hakika umeacha pengo kubwa sana ktk Nchi yetu ya Tz, Baba,tunakukumbuka kwa mengi sana kipenzi chetu.
Mungu akupokee ktk nuru ya USO wake, na utuombee nasi tuufikie Uzima huo wa milele. Aminaa.
mteteziwawa nyonge ulalesalam
Hatukuoni ila tunashindw kukusahau Ewe yesu kristo wa Nazaleth ulie mfufua lazaro mkumbuke kipenzi chetu rais wa wa nyonge bado tunakulilia
Mungu akutangulie miss you presedent magu
Mungu ailaze roho yako mahala pema peponi, sijawahi kona raisi kama wewe mpaka mwisho wa dunia hii hata kuwepo maana jina la Mungu ulilitumia sana kwenye mipango yako yote Mungu aipokeye nafsi yako kwa amani
Huyu Rais wa Tanzania Wema wake sasa ulihama Tanzania na kuelekezwa upande wa Kenya,wakenya wanampenda sana raisi wao wa sasa Daktari william Ruto Akitoa hotuba yake wakenya wengi wanashangilia kwa shangwe na nderemo mungu ampe maisha marefu rais wetu
Duu Mungu akupumzishe kwamani 😭😭
Wanaomcha mungu siku moja tutakutana na maguli
Rest in eternal peace the second father of our Nation,,, we will miss you dady🙏🙏🙏🙏🙏
Amina kubwa
Duhuu vizuliuwa avidum mungu akulaze mahalipema
MUNGU Alinde sana Tanzania
Pole baba Mungu anajua mwanadamu hawezi
Namuona yuda esikaliote na barakoa
Duuuh nimejokuta nacheka tuuu
JK anadhani ataishi milele
Matendo mema yanaongeza umri hata kama atakufa utasubiria sana
RIP MAGUFULI MY PRESIDENT,,Never forgettable
Mungu alikutumiya baba kiukwer ulikuwa ukituhubilia nakumtanguliza mungu 😂😂😂❤
May your soul continue rest internal peace baba pombe magufuri, mahari tumefika tuna kumbuka neno lako kwa uzuli si kwa ubaya
Huyu ni kiongozi mtetezi wa wanyonge
Alivyomalizia '...na sisi tupo njiani,tunakuja..'
Bba yetu hakika wew ulikuwa jembe la watanzania htutapta kiongozi kma wew mungu akupumzishe kwa aman
Mungu hawez kkuacha hko ulipo akupe maisha ya milele...cku ikipendezwa tutakaa pamoja na kufrahi pamoja mungu muangazie mwanga wa milele
Mungu akuweke mahalipema zaidi amin
Huo ni ujumbe wa kweli wa hati makufuli, tuelekeze watu kwenye mungu, apana ku wapotosha, kuwaachia shetani ili awameze. Apumuzike salama.
Tutakukumbuka daima kwa maneno yako mazuri baba .tutakulia daimma I
Magufuli best president
Kweli yako hakuna linalo kufika mbaka mungu atake nice one, mungu atakusamehe
I love you my dady even if you dead but still remember forever 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Yaaan daaaaah kwel chuma kimeanguka nchi hii inayumba yumba tu Kila sehem tozo watu bidhaa wanajipangia pangia Bei tu mitandao ndio usiseme
Usisahsu makato ya kutoa pesa kwenye benk na cm Ni balaa tupu
Jp ungekuwepo mpaka leo hii nchi yetu ingekua
Mbal sana duh binadam
Wabaya mh nitazid kukuombea magu
Hakika kifo wewe ni katili sana ila ujinga mwingi uliyo nao wewe kifo unasahau kwamba unamuondoa mtu tu duniani lakini matendo yake yanaishi duniani na tutaendelea kuyaishi mazuri yake.
Unforgettable president dear Tanzanians
Huyu Mzee Tanzania na Africa nzima hatasahaulika alikuwa mwamba na nguzo muhimu Kwa wengi
Pole Sana Baba ulituvusha.salama.kwenye Corona hatujukaa.ndani.wala.kufa njaa mungu..atakulipia .haki.yako JPM bado tunakulilia. Rl P JPM
R.I.P Magufuli may God put your soul in enternal peace ☮️
R,I,P 😭.baba Magufuli , love my
Moses
arikiba
Valelia😢
Enyewe mungu umemchukuwa raisi mwaminifu, uzidi kumweka mahala pema peponi. Hakuna raisi Kama huyu duniani hapa😭😭😭😭
Wewe mtandao unatuumiza
Unampomguza Hayati Magu.
Ninakuomba uache kutuletea
Sura ya mpendwa wetu tunaumia sana
It is one of the best sons of Africa who has no comparison. May the good lord rest his soul in peace. I respect him and all Tanzanians.
Tanzania yetu sote wapo wanao Seema yao ila watapita ns wataiacha
Jamani Mzee amepumzika muache kurusha mambo ya ajabu
Inauma San tunakukmb baba ming haweke roh yk pepon❤❤❤❤
Mtetezi wa wanyonge R.I.P😭😭
Subscrube
Baba sina neno mm ,😭😭😭😭
🇨🇩 We love you so much I am always proud of you go well Papa
Ooooooh❤❤❤
mungu akulinde mzee wangu
Maumivu ya kifo cha rais wetu magufuli ni milele 😭😭😭
mh we huyu mzee bas😭❤️
Kwanini mungu anaacha watu wenyelohombaya waishi alafu watuwemakama wewe magufuli wanakufahalakaa duuuuu cjui nichaguwelipi kati yakuwa kama magufuli au niwe nalohoo mbaya makatili wanaishisana duuuuu🙏🙆
Mungu ailaze roho yake maharage pema peponi tunakukumbuka sn baba
Tears will never stop coming out.
😪😪😪😭😭😭😭😭
😭😭😭😭😭😢
Me too 😭😭😭😭
Subscribe
really right ,, hakuna kama magufuli
Rip Dad watching from 🇰🇪🇰🇪 Kenya
Mungu ampumzishe vyema mtumishi wake
DYJgjrk
Pia dhamira yake wakati akiwa mwanafunzi alipenda awe askari trafiki
My all time legend and a true African icon. Continue resting in peace
Tunakukubuka sana baba tutazidi kklilia baba😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
May God protect's soul and countiue RIP until we meet again shujaa. 🇰🇪🇰🇪
Kifo ni pigo kbwa saana kwetu,,hata dunia nzima tkiandamana hatuwezi weza,,mng baba wa mbingini ,,ingilia Kati mwenyewe wanao tnaangamia,,inauma saana Tena saana,,,daaaaaaass🎉🎉🎉🎉🎉