KIMENUKAAAAA...Lissu na FATMA KArume WAGOMBANA vibaya...UWIIII!!!

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 фев 2025

Комментарии • 139

  • @NicolausMapunda
    @NicolausMapunda 10 часов назад +3

    Huyu mwenye chombo hiki cha habari ni msenge sn anatoa habari za kichoko anatunga mwenyewe

  • @MuhammadShariff-ji9ye
    @MuhammadShariff-ji9ye 6 часов назад +1

    Wewe ni mkabila usimlaumu samia kwa katiba iliyoko na mungano mwenye kulaumiawa ni mwalimu nyerere mbona humlaumu nyerere aukwavile ni mkiriato mwenzako wamtaja samia na mwinyi

  • @MartinLaban
    @MartinLaban 17 часов назад +4

    😂😂😂 huyu hawezi pita Kwa uchochezi huu

  • @RichardNkya-h3h
    @RichardNkya-h3h 10 часов назад +3

    Msema kweli wachache watakuelewa

  • @Allystor
    @Allystor 5 часов назад

    😂😂😂😂lisu bhana ananifurahishaga mzee wa kukitibua

  • @FrolaMwanja-yk1ck
    @FrolaMwanja-yk1ck 14 часов назад +3

    Sio uchochezi samia kuuza sana mali za Tanganyika,ngorongoro, bandari ya Tanganyikq

  • @RonnieBertin
    @RonnieBertin 20 часов назад +3

    Nyie endeleeni kupigana tu CCM inaenda kuchukua nchi tena baada ya kuungana mnagombana wenyewe kwa wenyewe. Nyie kweli wasenge

    • @HawaKibela
      @HawaKibela 20 часов назад

      Musege mama yako

    • @ChalesLukumai
      @ChalesLukumai 11 часов назад

      Na yeye mwenyewe anajitambua.​@@HawaKibela

  • @ashtube1333
    @ashtube1333 19 часов назад +3

    Watanzania tuwe macho huyu ni mchochezi watu wagombane tunataka Amani jamani

    • @footballonly793
      @footballonly793 12 часов назад +1

      Hakuna anacho Chochea a Naongea ukweli lisu japo kuna mengine alikosea kuchochea mambo wakati wa Jim kwa hili la bandari

    • @mutabebwa1713
      @mutabebwa1713 11 часов назад

      Unsyaka amani ya kondoo kupelekwa mchinjioni kuchinjwa huku umeinamishakichwa bila kujitetea.Unaelimu nfogo ndoinskusimbia hujui hats haki zako

  • @ClaudKitoki
    @ClaudKitoki 5 часов назад

    Kiongozi awe taaluma nyingine lakini sio mwanasheria tunawajuwa

  • @hamisihemedi1099
    @hamisihemedi1099 10 часов назад +1

    Huyu jamaa ni mbaguzi nawala haitakii mema tanzania wanachadema nawatanzania kwa ujumla msimfuatee huyu Ana njama fiche. Huyu nimbeligijii hafai kuwa raisi wa tanzania

  • @KhalidAhmed-c9v
    @KhalidAhmed-c9v 22 часа назад +2

    Nauliza, kwani Raisi Samia amechaguliwa na wazanzibari kuwa Raisi wa Tanzania au katiba ya CCM ya tanganyika ?

  • @JohnsonKungo
    @JohnsonKungo 4 часа назад

    Hii hotuba sijaipenda umimi mwingi sana

  • @CumaEmedi
    @CumaEmedi 6 часов назад

    Uongei kuhsu wazungu sababu mabwana zako😊

  • @ClaudKitoki
    @ClaudKitoki 5 часов назад

    Yuko mwanasheria alichukuliwa na mama mjane akitaka msaada wa kisheria alibadirishiwa gia angani na kujikuta hakuna msaada Bali kuambiwa tafuta mwingine na baada ya kununuliwa upande wapili,hao nawafahamu hakuna mtu hapo

  • @ThePlants-zc3rp
    @ThePlants-zc3rp 16 часов назад +1

    lisu umezingua kwa hilo huo ni ubaguzi kweli wa kuwagawa watanzania

  • @wajinajecha5029
    @wajinajecha5029 17 часов назад +1

    Weye uloiweka hii habari utakuwa chawa wa ccm kwani hii kitu ilitokezea zamani sana na ishaongelewa yameisha sasa weye utakuwa na chuki kwa ya kuwa Lissu kashinda uwenyekiti na analeta moto ccm

  • @ernesthungu
    @ernesthungu 22 часа назад +3

    Huyu mtu hana sera mropokaji tu

  • @severinmmassy7627
    @severinmmassy7627 17 часов назад +1

    Ningependa sana kama ungeacha kutumia neno uzanzibari na utanzania wapo wasiopenda hizo na kuona niubaguz

    • @mutabebwa1713
      @mutabebwa1713 13 часов назад +1

      Ukimsikiliza kwa making utaekewa lkn kwa kuwa tulijawa Imani ya kutotaja uzanzibari na utanganyika ndo maana una mawazo kama hayo. Kana hivyo ndivyo unavyotaka nasi katiba ya zanzibai inayozungimzia uzanzibari litutwe.

  • @DominickSangu
    @DominickSangu 14 часов назад +1

    Mungano Wala hauna maana yoyote Ile nzur Kwa upandewetu tz ni ujinga tuu.

  • @DadiMohammed
    @DadiMohammed 21 час назад +1

    Uyo uyo ndo alikutoa ulikojificha akakurudisha hapa uyo magufuli wako alikufanyia nn

  • @ClaudKitoki
    @ClaudKitoki 5 часов назад

    Ni ukweli usio pingika hakuna kiongozi. Toka upinzani atakae weza kuongoza nchi,maana kwa uzoefu tulionae kwa wanataaluma ya uwanasheria ni watu wasiotabilika muda wowote huwa wanaweza kuacha njiani na akaelekea kungine bila kujali ulimlipa asimamie lako,tunawaonaga mahakamani

  • @soudnassor2956
    @soudnassor2956 8 часов назад

    Wewe Lissu mbona unajifyatua umesahao sisi tumeunga Zanzibar kama ni nchi kamili huwezi kufananisha na mkoa wowote wa kuko Tanganyika Acha kupotoza wananchi wasio jua siasa

  • @solomonadams6337
    @solomonadams6337 День назад +2

    Hakuna nchi inayoitwa Tanzania bali nchi ni mbili Zanzibar na Tanganyika sawa¿thanks

  • @amaroo1220
    @amaroo1220 14 часов назад

    Bwana Lissu, kwa hivyo Unavyofikiriavwewe, Zanzibar si mungewapa uhuru wao?

  • @AllyMshenga-b6h
    @AllyMshenga-b6h 8 часов назад

    Kumbe ina wauma sana jamaa zetu bandari zao kupewa waarabu sis wazanzibar hatutaki mungano kwa miaka mingi ila tundu lisu usiwapoze wasio jua siasa hata bado ndokwanza mnaona leo zanzibar yetu mumeiuza yote kwa daresalam na zanzibar sawa ni mkoa 1 tu

  • @hamisisalum6116
    @hamisisalum6116 9 часов назад

    Chadema mmeula wa chuya kwa kuchagua kiongozi fala kama huyu tundu

  • @anaabsaid3544
    @anaabsaid3544 19 часов назад

    Lissu hufai kabisa kuwa kiongozi Tanzania nenda ukaongoze mbojo huko singinda

  • @ManzimaabadManzi
    @ManzimaabadManzi 6 часов назад

    United Republic of Tanzania..ni muungano wa Zanzibar na Tanganyika SASA Lisu Unafafanuwa nini ..nahisi huko Tanganyika Ukweli unafichwa kutoka Mashuleni... Watanganyika wengi Wanajuwa kuhusu Tanzania Tu ..lakini Huku Zanzibar tunasomeshwa kutoka Nursery ya kwamba Tanzania ni muungano wa nchi mbili.. Zanzibar na Tanganyika.

  • @ClaudKitoki
    @ClaudKitoki 5 часов назад

    Kiongozi mwanasheria ni kichefuchefu tupu(rotten eggs)

  • @mugemainyas5241
    @mugemainyas5241 19 часов назад

    Lissu nisamehe sana. Haya mambo kwa nini wewe ndo unasema, kwa nini bunge liko kimya juu ya haya. Mbona kama Zanzibar ni tishio sasa.

  • @mohdmnemo9281
    @mohdmnemo9281 6 часов назад

    Tundu lesu wewe mpubavu sanaa tena sanaa una akilee hataha kidogoo ufaii kuogoza hataa kuku

  • @rechkiwelu3357
    @rechkiwelu3357 8 часов назад

    Hiyo niuchochezi mkubwa akuna kitu anachoogea hapo

  • @MkudeSimba-p3f
    @MkudeSimba-p3f День назад +1

    Hivi kweli broo Tundulisu wanajeshi pia watakuwa radhi uongoze TZ ? Ila kwa kuwa michakato ya siasa ndio scheme ya maisha endelea kupambana kukuza jina lako kwa vizazi vijavyo ! Kazi njema

    • @mutabebwa1713
      @mutabebwa1713 11 часов назад

      Kwani nchi ni ya wanajeshi?
      We we zungumza yaliyoko moyoni mwako na jinsi uelewa wako ulivyo
      Suala.LA wanajeshi si LA kwako

  • @tomsijohni
    @tomsijohni 10 часов назад

    Wewe ni mutu nzima ila auna sifa na kua Rais wewe kazi yako unaongelea viongozi wanao kuongoza wewe mpaka family yako kaa utulie wewe 😂

  • @moddy8744
    @moddy8744 15 часов назад

    Ni ubaguzi kweli wewe unaumia kwa sababu ni Muislamu na ni Mzanzibari

  • @EtiminSadallah
    @EtiminSadallah 23 часа назад +3

    Umekosa Sela umebakia kuongealea watu huna hoja kaongee na mkeo nyumbani huna akili niheli ya mbowe

    • @gidongailo7174
      @gidongailo7174 23 часа назад

      Nenda kamrudishe Mbowe wako, nadhani hujui hoja ni kitu gani😂😂😂

  • @HellenaMky
    @HellenaMky 10 часов назад

    Hiv wewe huyo magufuri. Alikua hakutaki kwa sababu unauchu kama huyo rais wenu. Hata kumuua mlishirikiana. Ila mmegeukana tena unasema njama zetu wakat mrikua wote wapuuuzi. Nyie kumbukeni wooooote tutakufa natutaziacha. Mungu alieziumba ndyo mwamzo wa yote

  • @JumaKeregwa
    @JumaKeregwa 11 часов назад

    Katika wasenge tundu namba 1 ndoo maana ni tundu

  • @OsmaniSiame
    @OsmaniSiame 14 часов назад

    Ubaguzi lisu huwezi pita

  • @anaabsaid3544
    @anaabsaid3544 19 часов назад

    Mchocheziiiiiiiiii huyo . His not fit for that position

  • @shabaniduduma8885
    @shabaniduduma8885 19 часов назад

    Huyu jamaa asipewe nafas kabisa kuongoza nchi

  • @ThabitMwangu
    @ThabitMwangu 12 часов назад

    Ndo tunakuwa na Rais kama huyu si hata Duniani watatudharau kazi nnayo chadema

  • @MohamediAthumani-ub8nn
    @MohamediAthumani-ub8nn 13 часов назад

    Nadi sera za chama chako sio kuongelea hayat magu ni marehemu kama hujui

    • @footballonly793
      @footballonly793 12 часов назад

      Hapa lisu ndiyo anakosea mengine yote yupo sawa kwa Jpm anakosea kabisa

  • @AllyMandunda-tj9jc
    @AllyMandunda-tj9jc 16 часов назад

    Halid Tunduru amesema yote haya ni kwa ajili ya Katina na miaka 60 ya muungano, mbona vichwa vigumu ninyi mafala na CHAWA WA ccm

  • @twahirshali8014
    @twahirshali8014 14 часов назад

    Wewe acha Ukabila una Wivu. Wewe kwenra zako

  • @philibertmpinzile.6090
    @philibertmpinzile.6090 8 часов назад

    Hivi tunakaaje 60's bila kuwa na rais???????think of how many programs gets stack zinazorota kwa ukosefu WA president, how many young ones are there loosing ambitions, hope for success running their nurtured creativity they loose we do not have president, how many unnecessary by pass rules passed by local government but torture indigenous /citizen Mzee list we ndo Magu atakafuate hapatakiwa uchawa wala nini Mimi sio chawa wako ila the truth tells the universe to its citizen.

  • @MohamedIbrahim-bn1gz
    @MohamedIbrahim-bn1gz 17 часов назад

    Huyu hawezi kushika nchi anaugonjwa wa kichaa

  • @AllyMandunda-tj9jc
    @AllyMandunda-tj9jc 16 часов назад

    Martin Laban Uchochezi upo wapi hapo ACHA ujinga pumbavu

  • @joscamwoshezi2986
    @joscamwoshezi2986 13 часов назад

    Wamasi kawafukuza wapi ao kawahamishia sehemu nyingine kupisha hifadhi tena kwa hiaei na kiwajengea na kuwapa eneo la mifigo yao. Mwogi wewe na mropokaji. Kichwa kimeyumba haswa

  • @AllyMandunda-tj9jc
    @AllyMandunda-tj9jc 16 часов назад

    Mkude Askari wasimpende Lissu kwa Lipi mbona anaongea ukweli mtupu

  • @dudejuma
    @dudejuma 17 часов назад

    Huyu jamaa ni mhaini, mbaguzi, mdini na mzushi sana kumbe. Hafai kuwa rais huyu mgonjwa wa akili. Watanganyika mpeni nchi muone mtakavyonyongwa!!!!!!!

  • @OmarAhmed-yq8gw
    @OmarAhmed-yq8gw 13 часов назад

    Pointless, Mzee tuliza mbupu huna point

  • @joscamwoshezi2986
    @joscamwoshezi2986 13 часов назад

    Acha uchochozi na uongo hakuna aliyeuza bandari. Ukuna mwenye uwezo huo.Acha uropokopokaji na uongo

    • @mutabebwa1713
      @mutabebwa1713 11 часов назад

      Ukosefu wa elimu pamoja na uelewa .mfogo ndounakufanya usielewee. kinachoendeles na.disk tunataka kuongoza watu wa aina yako wenye uelewa.mdogo ukipata.fona na.sukuma wiki unaona hiyo ni sawa.

  • @shabaniduduma8885
    @shabaniduduma8885 19 часов назад

    Chadema wa Wazenj susien hiki chama maana kina ubaguz

  • @zenaal-baalawy1953
    @zenaal-baalawy1953 19 часов назад

    Hili sio kweli la kwamba mtanganyika hawezi kununua ardhi Zanzibar, wapo watanganyika tele wamenunua maeneo wamejenga na wameekeza kwa ushahid na nawajua wengi tu. Mfano mdogo mimi mwenyewe binafsi niliinunua nyumba pamoja na kiwanja mbele ya hiyo nyumba kipo ni sehem ya Kisauni Zanzibar mwaka 2013 na mwenyewe aloniuzia ni mtanganyika na ninayo mpaka sasa.

  • @razackndeze-pv5bm
    @razackndeze-pv5bm 15 часов назад

    Huu jamaa hawezi kuwa rais, never.

  • @Brunn-mh2bq
    @Brunn-mh2bq 10 часов назад

    Stori ya siku nyingi sana. Mnaileta tu kuwakanganya watu

  • @ElinihakiMsuya
    @ElinihakiMsuya 13 часов назад

    Wewe huna sera wewe huwezi kuwa rais inchi hii Kila siku nikukosoa tu kwani wewe ni malaika.mara Samia ni mwizi wewe ni nini wewe ni njaatu

  • @chamchuainvestment4616
    @chamchuainvestment4616 5 часов назад

    Fatuma yuko sahihi

  • @MeshackMayenga
    @MeshackMayenga 16 часов назад

    Kinywa na mdoma wako unajuakuvitumia ila vinakufanya uropoke

  • @mhogomchungu7168
    @mhogomchungu7168 12 часов назад

    Mkapa amegawa na kuyatupa mashirika ya Umma na makampuni bure, kagawa migodi ya dhahabu bure kwa zawadi ya kipauro cha dhahabu alopewa akaoneshwa hadi kwenye TV . Mbona hukutaja madudu yake

  • @FeristaPaulo-v7d
    @FeristaPaulo-v7d 15 часов назад

    Huyu jamaa simuelewagi Nini anaongea ni pumba tu.

    • @w4058
      @w4058 15 часов назад

      Kwasababu nyie wenyewe mashonga wa akili hamjielewi

    • @w4058
      @w4058 14 часов назад

      Wamegawana tu Yeye anauza Tanganyika na Mkuranga nae anauza visiwa vyetu pia wanashirikiana kunyimwa kwa Wazanzibar wasipewe nafasi ya kupiga kura Allah Qadeer atawashinda na Shari zao kwa kila mahasidi wasotutakia wema Wazanzibari na Watanganyika kwa jumla

  • @AllyMandunda-tj9jc
    @AllyMandunda-tj9jc 16 часов назад

    Room Messenger mwenyewe Kwa kawaida ukiwa CHAWA huna MAWAZO binafsi mpumbavu kweli wewe

  • @JumaAlmas-v6i
    @JumaAlmas-v6i 15 часов назад

    Wewe umeshambulia lazima nawewe ushambuliwe juhawewe

  • @SAHCAFE-y8p
    @SAHCAFE-y8p 20 часов назад +1

    WAZANZIBARI WANA AKILI SANA,SIO NYUMBU KAMA WATANGANYIKA .

    • @mutabebwa1713
      @mutabebwa1713 13 часов назад

      Hivi kweli watanganyika ni NYUMBU? Nimekusjangaa ajili yako

    • @footballonly793
      @footballonly793 12 часов назад

      Ndiyo ni manyumbu kabisa kwani nyie mnaweza kwenda kuiongoza Zanzibar Kama hamjafukuzwa Kama mbwa

    • @SammyLaizer-s9u
      @SammyLaizer-s9u 9 часов назад

      Kwani Magufuli alikuwa Mzanzibari au mtanganyika

  • @BwanaYesu
    @BwanaYesu 22 часа назад +1

    Mpumbavu wewe lisu

  • @FelixMurishi
    @FelixMurishi 19 часов назад +1

    Wazanzibar mbona munajaa povu,kama vipi rudini kwenu Zanzibar

    • @AbdallahSalim-is3db
      @AbdallahSalim-is3db 15 часов назад

      Nakuomba unapo zungumza wazenjibar kurudi kwao nilazima ujiangalie unapo ishi sababu ZANZIBAR ni pwana sana ...

    • @seifabdulwahid4579
      @seifabdulwahid4579 7 часов назад

      Ht na nyinyi meudi kwenu .maana saiv Watangawamekuwa wengi kuliko wazanzibar wenyewe

  • @MaryamIssa-y7v
    @MaryamIssa-y7v 15 часов назад

    Tukiwaambia chama hichi ni kwa ajili ya ukanda fulani fulani hamuamini turudi nyuma sababu za Zito kabwe kuhama unaweza pata picha.

  • @hamisihemedi1099
    @hamisihemedi1099 10 часов назад +1

    Huyu jamaaa Anahubiri ukabira hswezi kuwa raisi wa tanzania

  • @AntonStamina
    @AntonStamina 20 часов назад

    Hakika tundu Lisu tupe haki tumechoka uraghai watanganyika tuungane kukabili tatizo hili tupate katiba sasa mpya yenye usawa hakika tundu lisu tupe mwongozo, Tupo pamoja na wewe.

  • @sethsindamka8465
    @sethsindamka8465 16 часов назад +3

    Wanaomkubbali mbowe mkono mmojaa weka juu

  • @MohamedRashid-py7ro
    @MohamedRashid-py7ro 17 часов назад

    Hivi wewe TUNDU LiSU ni mzima kweli au unacho taka nini Tanzania 🇹🇿 wewe kwanza wewe ni Shoga ulitamka mwenyewe 2020 wakati wa uchaguzi eti Rais wa Tanzania awe Shoga hata Chadema inaendeshwa na Shoga tu

  • @ShabanOmaryKapate
    @ShabanOmaryKapate 12 часов назад

    Mmanga uvikwa njowe

  • @Bosswellcarlos
    @Bosswellcarlos 12 часов назад

    Uo sio ubaguzi ayo ni masiala ya kikatiba sana wala apo hakuna ubaguzi mbona wao wanajenga nakufanya lolote wanalolitaka ukubtanganyika lakini ww mtu kutoka Tanganyika huna nafasi ya kujenga Zanzibar ila ww mtanganyika kwenye katiba ya Zanzibar inampa nafasi ya kushi na kujenga kufanya biashara kugawana mali sawa na Zanzibar iyo dhidi ya wa-- Tanganyika ayo ndo maneno

    • @seifabdulwahid4579
      @seifabdulwahid4579 7 часов назад

      Tembea Zbar usiropoke tuu. WAPO Watanganyika kibao wamejenga Zbar. Tafuta nauli uje nikuonyeshe nyumba za watanganyika

  • @Joppa555
    @Joppa555 9 часов назад

    😂😂😂watanzania wengi bado vichwa ni vizito yan kichwan hakuna kitu coz naona comment za watu waso na uwelewa wa vitu vidogo vidogo vya kawaida wanasema mzaee m'baguzi oooh mara mkabila😂😂😂..hebu ikuze akili yako katika kupokea taarifa kwa kuskiliza na kuangalia kama hivi then ichakate na uwe genuine unavyofikiri maswala..huyu mzee knows these stuffs..wangapi mnaomshutumu kwamba hafai kuwa rais mara nin wakati hata hamkujua kama nchi ya muungano ina katiba mbili na katiba mojawapo inaegamia sana upande mmoja..the truth is plain tuacheni ufala tujielewe na tuelewe masuala...au mlosema mzee mduanzi na nyi ni wa zanziCreamLiquoorr😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @zuhurajokoro1233
    @zuhurajokoro1233 14 часов назад

    Tundubovu acha uchochezi Mungu akulaani unatafuta Urais kwa kutenganisha ndugu wa damu? MUNGU atakuangamiza huna sera Ila kuchochea shenanigans wewe

  • @habibujamali5746
    @habibujamali5746 17 часов назад

    Kweliwewe🎉unaumw

  • @DominickSangu
    @DominickSangu 14 часов назад

    Tz,tulsha baki tunalazimiswatu,kuungana na zanzibar

  • @IsayaJoseph-v3s
    @IsayaJoseph-v3s 10 часов назад

    Anaongea ukweli mnamuita mbaguzi akili zenu zimelala amefafanua jinsi katiba ya Zanzibar inavyotubagua ila hamuelewitu.

    • @soudnassor2956
      @soudnassor2956 8 часов назад

      Mmebaguliwa vp kila nchi ina katiba yake na katiba ya Zanzibar starting zake no hizo na Tanganyika wamezikubali kwa hiyu ndio muungano ukakubalika. Tatizo likowapi kama mlikua hamtaki msingelazimisha huo Muungano FAKE

  • @twahirshali8014
    @twahirshali8014 14 часов назад

    Shetani Wewe

  • @lazaroeliphas8353
    @lazaroeliphas8353 День назад +1

    Duuuh tupewe hakiyetu watanganyika

    • @seifabdulwahid4579
      @seifabdulwahid4579 7 часов назад

      Sisi ndo tunataka haki yetu wazanzibar .Tunataka pesa zetu za Muungano tokea 77

  • @anaabsaid3544
    @anaabsaid3544 19 часов назад

    Unaomba kura au unataka kuvunja muungano wetu

  • @Ramadhanilawoga
    @Ramadhanilawoga 10 часов назад +1

    Hutufai ww ila nchi hii wanakuscha tu ila ipo ,,,

  • @londydludla6087
    @londydludla6087 10 часов назад

    Hatumpi nchi shoga mbwa wewe

  • @petermhagama9952
    @petermhagama9952 10 часов назад

    MNAOKOMENTI WOTE NI MAMBUMBUMBU

  • @issakazi2758
    @issakazi2758 22 часа назад +1

    Mpumbavu wewe

  • @SalimAli-wz3mi
    @SalimAli-wz3mi День назад

    Kila mtanzania ana haki na fursa anzostahiki kupata kila mtanzania

  • @ThabitMwangu
    @ThabitMwangu 12 часов назад

    Ukiondoa hiyo sauti ukaangalia tu video utadhani anacheza lengwe😊

  • @banzimorogoro1197
    @banzimorogoro1197 13 часов назад

    Kwenda na umbeya wako usitugawe mbeligiji wewe

  • @ayubuzomboko-l3z
    @ayubuzomboko-l3z 10 часов назад

    😂😂😂

  • @jituakilimali15
    @jituakilimali15 День назад

    We unasema elfu saba kuna jimbo lina wapiga kura wa mbunge 300
    Tu

    • @omaryjumas6327
      @omaryjumas6327 20 часов назад

      Zanzibar ni ndogo kwa Tanganyika mara 300 na kidogo. Hii maana yake ni .kwamba Square Kilomita moja ya.Zanzibar ni sawa na Square Km. 300 za Tanganyika.
      Msichokijua Watanganyika wengi mlipaswa.mjiulize ilikuwaje jinchi kubwa kama hilo linaungana na kijinchi kidogo kama Zanzibar?
      Muungano.hauna mkubwa wala mdogo na ndio maana hata jina Tanzania ni milki ya Tanganyika. na.Zanzibar.
      Kisheria walitakiwa wagawane kila kitu sawa vikiwemo viti vya wabunge viwe idadi sawa sawa.

  • @ChristmasMaheri
    @ChristmasMaheri 17 часов назад

    Muungano ni kero ya umri wa miaka 61.

  • @NassoroKulondwa
    @NassoroKulondwa 11 часов назад +1

    Wew hufai kabisa

  • @joscamwoshezi2986
    @joscamwoshezi2986 13 часов назад

    Mbaguzi mkubwa wewe

  • @UsnaUrasa
    @UsnaUrasa 19 часов назад

    Sema tupone tunakukubali

  • @HorizonLtd-ty7ep
    @HorizonLtd-ty7ep День назад +1

    Kumekucha

  • @DavidDostea-z8u
    @DavidDostea-z8u День назад

    Yazamani

  • @MwanaishaShattry
    @MwanaishaShattry 21 час назад

    Zungjmzq tukokupa uraisi itafanya nini? Hatutaki stori zako zinakuhusu weye tu.

  • @BobMacha
    @BobMacha 14 часов назад +1

    Anatufunua ability watanganyika iliitafute Tanganyika yetu na sio uchochezi zanzibar waowanao zanzibar Yao na sisi tuitafute tanganyika yetu🎉

  • @SuleimanIbrahim-lp7qs
    @SuleimanIbrahim-lp7qs 20 часов назад +1

    Wacha ubaguzi ww muheshimiwa samia niraisi watanzania usitaje uzanzibari apo ongea sera mimi chadema nilikuwa nawakubali ila kwakauli zenu mimi sipo pamoja naweww

    • @TM-zs3rm
      @TM-zs3rm 17 часов назад

      Kuanzia sasa hatumtaki. Asiwe na maamuzi yoyote ya raslimali za Tanganyika. Ikomeshwe na arudi kwao Zanzibari. Afukuzwe. Akauze Zanzibari atuachie Tanganyika. Watanganyika wanaomuunga mkono ni wajinga na wspumbavu kabisa. Watuachie Tanganyika. Kwa heri Samia, kwaheri Fatma Karume. Usituchanganyena usitufanye sisi mazezeta.