TUNDU LISSU AIBUKA MAHAKAMANI KUMTETEA DK SLAA - MAHAKAMA YATOA UAMUZI wa DHAMANA...
HTML-код
- Опубликовано: 5 фев 2025
- TUNDU LISSU AIBUKA MAHAKAMANI KUMTETEA DK SLAA - MAHAKAMA YATOA UAMUZI wa DHAMANA...
SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ
Jambo jema jamani kwani ameua mpaka iwe Ivo, hongera kiongozi kutumia taaluma yako na sio uongozi, ameenda kama mwanasheria sio kama mwenyekit
Em imagine una kesi, afu wanasheria wako ni "Lissu" "Mwabukusi" "Madeleka" 😅😅😅😅
Kama amekosa lazima awajibishwe haijalishi hata kama yuko na miaka 1000
Mbn wanyonge wengi wapo mahakamani na hatuoni wakitetewa
Wakina kabudi,tulia si wapo issue ya kutete raia sio ya madeleka tu na lissu waulizeni hao wanao jiita watetezi wa wanyonge
We umesaidia wanyonge wangapi ama majungu tu?@@evansdecaprio8196
Kwa maelezo hayo unatuaminisha kuwa wazee wanahaki ya kufanya makosa uzee ukiwa ni kigezo
Ameongelea dhamana
Makosa yake yanadhaminika elewa maelezo
uswaiba huu wa Lisu na Dk Slaa usije ilisha cdm yenu matapishi...huyu mzee alipewa cheo na kuwasaliti wakati wa uchaguzi na kwenda kulabata sasa bata wamekata anajidai kuwa karibu...huo ndio uchafuambao hampshwi kukaribisha cdm....
SASA HIZO KAZI ZA UWAKILI SI AWAACHIE MAWAKILI WENGINE ?
■MWISHO WA HAYA NI MWAKA HUU.
👉Confirmed from the heaven. Mene mmene tekeli na peresi🙏
"mene, mene, tekeli na peresi"
"Mungu Ameuhesabu Ufalme Wako Na Kuukomesha.
Umepimwa Ktk Mizani Na Umeonekana Kuwa Umepunguka"
Daniel 5:25 👍