Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

SHEIKH KISHKI AVUNJA UKIMYA ATOA MSIMAMO KINACHOEDELEA PALESTINE-ISRAEL, NAOMBA SERIKALI ITOE TAMKO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 20 окт 2023
  • • SHEIKH KISHKI AVUNJA U... #KHIDMATV #sheikhnurdeenkishki #mhadhiriwakimataifa #mayahudi #israel #palestine #amani #utulivu #gaza #baloziwapalestine #sheikhkishki #baloziwaamani

Комментарии • 646

  • @ayshasalim6247
    @ayshasalim6247 9 месяцев назад +4

    Shekhe na kupenda kwa ajili ya Allh ishaallh mkono kwa mkono mgu kwa mgu mpaka pepon❤

  • @user-mz5js9kv8i
    @user-mz5js9kv8i 9 месяцев назад +2

    Mwenyez mungu akufanyie wepes uendeelee kutukumbusha daima

  • @ButrosAron-qh5jd
    @ButrosAron-qh5jd 9 месяцев назад +3

    masha allah allah akuzidishee wambiye waeleze

  • @DelightfulPenguin-wk4kv
    @DelightfulPenguin-wk4kv 7 месяцев назад +1

    Mashallah sheikh Mola akuajalie afya na mwisho mwema Kwa kweli umeongea mambo yalio wazi yenye yanaji jionyesha Kwa muda huu

  • @Basiito
    @Basiito 19 дней назад

    Sheikh Nurdeen Kishk, Allah Akuhifadhi 🙌🏽... Sheikh Imara 🦁

  • @khalidballeth5957
    @khalidballeth5957 10 месяцев назад +12

    Sheikh pekee wkitanzania wa kwanza kutoa wito kwa serikali kuhusu mauaji yanayoendelea palestina...ALLAH akujaalie umri mrefu SHEIKH KISHK,,,,Ameen

  • @raymrash
    @raymrash 9 месяцев назад +14

    Neno la Mungu la kweli haliwezi kutengeneza uadui kati ya mtu na mtu! Unaposema adui yako ni Myahudi ni kujenga chuki isiyo ya msingi! Adui halisi wa mwanadamu yeyote ni mwili, Dunia na shetani.
    Mwili ni adui Kwa sababu unashawishi kutenda dhambi ili kumwasi Mungu, Dunia na shetani wote hushawishi mwanadamu atende dhambi. Kuna kila sababu ya kuona thamani katika kila mwanadamu aliyeumbwa na Mungu. Imetupasa tupendane bila kujali kabila, dini, rangi hata utaifa!
    Mungu ni pendo.!

    • @user-ry1pe3tu5s
      @user-ry1pe3tu5s 9 месяцев назад

      SASA wewe unaona vizuri kila siku wapalestina kuuliwa na mayahudi kuzichukuwa kwa nguvu ardhi za wapalestina? Wacha kulipendelea taifa ovu LA kiesrael, ,,solution MUISRAEL ni LAZIMA AONNDOKE KATIKA ardhi za wapalestina, ,,hapa hapana chuki kinachojadiliwa ni HAKI

    • @ayshasalim6247
      @ayshasalim6247 9 месяцев назад +1

      Kama haujuw maadiko kausho

    • @dstaroficial
      @dstaroficial 9 месяцев назад

      Kakojoe ulale akili yko yakitoto huwez kuelew mambo ya wakubwa

    • @user-tk6lc8zv9c
      @user-tk6lc8zv9c 9 месяцев назад

      Wenye chuki mungu wao anaitwa shetani na ndiye hupiganisha watu. Wanajidamganya wanamfuata Mungu lakini uongo.

    • @MuuYascohy-oc7os
      @MuuYascohy-oc7os 8 месяцев назад

      We hujui kitu kaa kimya kenge ww Mayahudi ni watu waliolaaniwa kwa kumpinga Mungu na kuua mitume na manabii mbali mbali tunaposema mayahud ni maadui wa dini ya Mungu ww unatetea nn kenge ww?? ivi unaelewa Mayahud hawakutambui ww??

  • @aishaomary230
    @aishaomary230 9 месяцев назад +5

    Allah tulindie mashekhe wetu wape umri mrefu

  • @user-gb8oh7wz9j
    @user-gb8oh7wz9j 9 месяцев назад +7

    Ya rabi wape ushindi Palestine walinde na vita mbaya Allah wanakufa bila haki na hakika wanagombania haki yao....ikiwa islaely wanauwa wapelestine kila leo na UN wapo kimya leo hii wanaogombania haki yao wamekuwa ndio wagaidi wakubwa......Naongea kwa uchungu😢😢 kutoka Sauth Africa

  • @user-qn3md7gx8b
    @user-qn3md7gx8b 9 месяцев назад +3

    Yaa raab wape Imani na subra ndugu zetu wapalastin wape ushindi na nusra kwa watoto wa mama wazee wasio hatiya

  • @user-kh7bt1zc6i
    @user-kh7bt1zc6i 9 месяцев назад +1

    Nakuombea mmwenyezi mungu akulinde sn Amina

  • @aishahazary4097
    @aishahazary4097 9 месяцев назад +2

    ALLAH akupe mwisho mwema shehe Kishki.Hatujawasahau ndugu zetu katika duwa

  • @Uwezo.Tz507
    @Uwezo.Tz507 9 месяцев назад +2

    Inshallah Mungu akulipe kwa habari njema shekhe Kishki

  • @hidayahidaya-vd3ze
    @hidayahidaya-vd3ze 9 дней назад

    Hongera kishiki shekhe wanguu

  • @HosianaBuuta
    @HosianaBuuta 9 месяцев назад +1

    Muhikumu awe ni Mungu, sisi tumwombe Mwenyeenzi mungu

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 9 месяцев назад +3

    Mashaallah…Mungu akuhifadhi ya Sheikh. Amin

  • @maryammeem1132
    @maryammeem1132 9 месяцев назад

    N yiye.furahiyeni gisi munabyo juwa .iposiku Allah atajibu... Imana imbere Imana niyo yogukora inyishu inshaallah abarimungorane Musilimu Na Mutsilimani Allah azidi kunusulu viumbe byadunia inshaallah

  • @mohamednooreymoi-st9wq
    @mohamednooreymoi-st9wq 9 месяцев назад +1

    mashaAllah sh Nurdin kishki.Mungu Atuongoze InshaAllah

  • @zakariamakumba5042
    @zakariamakumba5042 9 месяцев назад

    Basi watu wote wanaoamini ukristo ni maadui wakubwa wa uislamu ,maana Imani yetu chanzo chake ni Wayahudi,Yesu alikuwa Myahudi

  • @HakizimanaSalima-sg7cv
    @HakizimanaSalima-sg7cv 10 месяцев назад +4

    Yaaa Allah muifadhi Sheikh Bourdin kishik kwa kutulimisha nakutufunua Ila Sheikh wakrsto wakatolika ndio nitasema wanaukubali Wi islamu ina wengine ni wapizani awatutaki Nina mana yakusema ivyo yamesha tokeya Sana uku kwetu Burundi ukifika sehemu umeva Abaya wana kulani eti kwa jina la yesu shetani

    • @Keyjop
      @Keyjop 9 месяцев назад

      😆

  • @deejaydante6732
    @deejaydante6732 4 месяца назад

    Tuzidishe dua Allah azidi kuinusuru ardhi takatifu ya Palestine dhidi ya Mazayuni wa kizungu..

  • @user-sb2sb8ri6t
    @user-sb2sb8ri6t 9 месяцев назад +8

    Wakristo sie twafundishwa upendo na tunawaombea amani ndugu zetu wapate amani sie kwetu tumechanganyika Wakristo na waislamu kila mtu anaadabu na ibada ya mwenzake

    • @shakila3982
      @shakila3982 9 месяцев назад

      Apate amani myaundi? Unamaanisha unamuombea myaundi kwa yote aliomfanyia yesu? That is why kifo cha yesu ni maigizo, hakuna amani kwa mtu aliyelaaniwa hata uombe Mungu miaka yako wote,

    • @user-sb2sb8ri6t
      @user-sb2sb8ri6t 9 месяцев назад

      @@shakila3982 Amini unacho amini huwezi nitoa kwenye imagine yangu kamwe

  • @upendomosha1952
    @upendomosha1952 10 месяцев назад +5

    Siyo kweli waislam ndyo mnaongoza kuwachukia wakristo kituambacho siyo sawa Mbele za Mungu ili umsaidie mtu aweze kukuelewa upaswi kutanguliza chuki na hasira.😢😢

    • @allymohamed5328
      @allymohamed5328 10 месяцев назад +2

      Waislam hawawezi kuwachukia wakirsto na wakirsto na waislam hakuna tatizo, tatizo ni wayahudi wanao waua waislam palestina

    • @sanaf8367
      @sanaf8367 9 месяцев назад

      Ndugu yangu usifuate wahadhiri wale wanalingania dini sawa ila pia wanakosa hekima badhi ya wakati ndio unahisi wana chuki lkn sio hivyo.

  • @Najmasweet
    @Najmasweet 10 месяцев назад +4

    Yarabbi wanusuru woto walio fikwa na mazito inshallah

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x 10 месяцев назад +3

    Allah akupe pumzi ndefu sheikh kishki

  • @neemamajana3078
    @neemamajana3078 9 месяцев назад +2

    Mungu awabariki Wayahudi❤ tunawaombea sana.

  • @user-zn9zl4kh1w
    @user-zn9zl4kh1w 10 месяцев назад +19

    Sisi hatufurahii vita tunaombea aman pande zote mbili Israel na Palestine. Waelewane

    • @rajogemzanaki3030
      @rajogemzanaki3030 9 месяцев назад

      Nikweli wao wanashabikia ulipaji kisasi

    • @shakila3982
      @shakila3982 9 месяцев назад

      ​@@rajogemzanaki3030wayaundi hawaezi pata amani hata tukiomba, walishalaaniwa

  • @aishaarusha894
    @aishaarusha894 9 месяцев назад

    Free palestina

  • @evaristoaidan2690
    @evaristoaidan2690 9 месяцев назад

    Achana na dini wayahudi ni nomaaa.... Niliwahi kufanya kazi na hao miesi3 tuuu duuuh over 30 years... Wasumbufuuu... Wabaguzi. CII

  • @laylayl5166
    @laylayl5166 9 месяцев назад +1

    Mwenyezi mungu isimamishe imara dini ya haki yaarab islaam

    • @Daudshatta-zu4kq
      @Daudshatta-zu4kq 9 месяцев назад

      Dini yakwel ni upendo alio uacha yesu siyo kujidai eti uisilamu ni dini ya mungu

  • @jacksonnchimbi1966
    @jacksonnchimbi1966 9 месяцев назад +1

    Yesu alisurubiwa kisa kujiita mwana wa Mungu kitu ambacho mpaka leo hii waislam hamtaki kutambua kwamba yeye ni Mwana wa Mungu kweli na sifa yake aliwapenda wote hadi adui zake ni mwanadamu gani ana roho ya hivyo isipokuwa Mungu tu maana Mungu hata ukufuru vipi mbele yake atakubaliki mfano uwanyeshea mvua wema na wabaya hitimisho waislam hawana roho ya upendo kwa adui zao kwahiyo Yesu hawezi kuwa nabii wao uislam ulienezwa kwa upanga duniani yaani Jihad,ambacho Yesu aliwaambia mitume wake kwamba wakiienda kuhubiri injili watu wasipowakaribisha waanue jamvi wajikung'ute mavumbi wasonge mbele lakini mfano uislam katika nchi za africa maeneo ya morocco,libya,Tunisia maeneo yote hayo vita vilipiganwa ndipo ukasimama uislam

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt 3 месяца назад

    Mashallah

  • @PogbaHassan
    @PogbaHassan 5 месяцев назад

    Allahu Akbar

  • @user-xh6mt8xj9d
    @user-xh6mt8xj9d 9 месяцев назад +1

    Allah Akubarik na atakunusuru kwa kila lenye kuleta hasadi juu yako inshallaha

  • @user-kd4uc5yp8b
    @user-kd4uc5yp8b 9 месяцев назад +1

    ❤ shekhe durdeen maashaallah.

  • @maryammeem1132
    @maryammeem1132 9 месяцев назад

    Sahihi Yaaa Sheikh wetou

  • @omanbarka1588
    @omanbarka1588 10 месяцев назад +3

    Wakristo adui wao na shetani yani waislamu wao adui wao ni myahudi izlaeli ni taifa teule la mungu wapelestina na waizraeli wote ni watu wa mungu kwanini mnaweleana uadui na wote mmeumbwa na mungu moja adui ni shetani tu kwa mwanadamu

  • @saudaumar3354
    @saudaumar3354 10 месяцев назад +2

    Nimesoma comments wengi hawajui dini nausawa.upuzi na kulaumu hawajui history.kishki ndio kiboko yenu Allah atamlinda amueke maisha marefu na mtume ni muhammad wa mwisho mutake musitake musojua kujisafisha

    • @aflahabdula4084
      @aflahabdula4084 10 месяцев назад +1

      Umeona ee hawajijui hawana hoja wao lawama Allah awaongoe

  • @AliKhamiss-rq2vw
    @AliKhamiss-rq2vw 9 месяцев назад

    Nathan kunawengine hamjamfaham vzur sheikh nurdin yy lengo nikutetea uislam nawasio waislam kuhusu owonevu naukatili ju yakutowa roho zawa2 zczo kuwa nahatiya na anathinitisha kwa maneno matkuf ya kuran maneno ya Allah alivyotufahamisha ktka kuran just yy ananukuu2 anafikisha ujumbe kwaiyo tumuelewe vengine

  • @esthermramba9395
    @esthermramba9395 9 месяцев назад +2

    Umeongea ukweli shehe mm mkristo na nakataa umwagaji wa Damu nchini palestrina

  • @chalokalunde9429
    @chalokalunde9429 10 месяцев назад +10

    Shekhe hakuna mtu atakaemshinda MyahudI hapa duniani ameahidiwa na Mungu atalimiliki lango la Adui zake,Poleni sana kwa kuwa Adui aliye barikiwa na Mungu

    • @user-hj4bc5uh2x
      @user-hj4bc5uh2x 10 месяцев назад

      We zuzu kweli

    • @emmae9837
      @emmae9837 10 месяцев назад

      😂😂😂😂unajua kwakua inaelezewa wazi kua Israel nitaifa la Mungu walichokoza saii wanajaribu kulaani lakini wamekwisha barikiwa hawalaniwi tena

    • @makamekhamis871
      @makamekhamis871 10 месяцев назад

      Ushaambiwa Myahudi sio Mkristo. Acha kuwashwa na pili pili usoila. Acha kiherehere.

    • @SabaMandalasi
      @SabaMandalasi 10 месяцев назад +2

      Nawewe pole kwa kumshobikia myahudi ambaye kwa iman yko Unaamini yesu kafa bac uyo adui namba moja ambaye alimuua yesu ni myahudi kwahyo pole ndugu

    • @user-lt1bi5nr1x
      @user-lt1bi5nr1x 10 месяцев назад

      Hujaitwa kumsikiliza sheikh. Kamsikilize papa.

  • @user-hd2nq2kt5o
    @user-hd2nq2kt5o 9 месяцев назад +1

    Mashaallah

  • @jimjam-xg7rv
    @jimjam-xg7rv 10 месяцев назад +1

    Maa shaa ALLAH 💚💚💚💚

  • @user-xh9su4qc6d
    @user-xh9su4qc6d 9 месяцев назад

    Allah azidi Kuku hifadhi sheikhe wetu mpendwa na akuzidi shie juhudi na akujalie mwisho mwema

  • @apexmombasa6809
    @apexmombasa6809 9 месяцев назад

    Sheik Nurdin kiski Ma sha Allah

  • @user-wc5sj2oc6v
    @user-wc5sj2oc6v 9 месяцев назад

    Maashaallah.Alla akuhifadhi

  • @omanmct135
    @omanmct135 10 месяцев назад +5

    Waslam tunaonewa sana

    • @barakamanga5502
      @barakamanga5502 9 месяцев назад +1

      Sio kweli ndugu, soma usisikilize tu

    • @jacobmahona187
      @jacobmahona187 9 месяцев назад

      Mnaonewa Nini Mungu wenu Yuko wapi?

    • @BonnyMwajombe-iu7hb
      @BonnyMwajombe-iu7hb 9 месяцев назад

      Dini yenu mnaabudu majini kwamini mungu asitumie watu wake kuwanyoosha!

  • @basrobulle9094
    @basrobulle9094 9 месяцев назад

    Mashaallah Mashaallah❤❤❤❤❤❤

  • @halimandune7317
    @halimandune7317 9 месяцев назад +2

    Tumuombe Allah musaada kwa kuwasadia ndugu zetu wa Palestina kushinda vita hivi innshAllah Allah awaletee usadizi wa Malaika kwenye Madigan hayo.

    • @mrchicago2467
      @mrchicago2467 9 месяцев назад

      aiseee waisiramu mmezidi na nyie ndo mtaleta vita tanzania ila nawapa pole huo ujinga nenda muuongelee palestina

    • @hidayahidaya-vd3ze
      @hidayahidaya-vd3ze 9 дней назад

      Sema shekhe ndugu zetu wsuliwa vibaya hawana Raha viongozi woote nchi za kiislamu wanaogopa mmarekani

  • @aziziatumanially424
    @aziziatumanially424 10 месяцев назад +10

    Wakati damu ya watanzania wenzio inamwagika ngorongoro mbona ulikua kimya au palestrina ndio ndugu sana

    • @user-ju4mi1qx5b
      @user-ju4mi1qx5b 10 месяцев назад +2

      Kweli kabisa

    • @user-pc8wo1hh9l
      @user-pc8wo1hh9l 10 месяцев назад

      Acha Kufannanisha. Vita Ya Palestina ni Vita Kubwa sana na huenda ikaathiri Uchumi wa Dunia na kuleta shida kila pahali. Na pia Hatari za Ugaidi kuenea kila pahali. Acha tabia ya ubishi na Kufananisha kipuuzi.

    • @ZeraGeofrey
      @ZeraGeofrey 10 месяцев назад

      @@user-pc8wo1hh9lkama lilipangwa kutufika litatufika maana alipangalo Allah mja hawezi lipangua

    • @omanbarka1588
      @omanbarka1588 10 месяцев назад +1

      Ee Hilo nalo neno yawezelana palestina ni udini ngorongoro sio mambo ya dini hata wakifa wamasai wote sio shida Kwa Maana hawahusiki na dini

    • @jacobnghwali4531
      @jacobnghwali4531 9 месяцев назад

      Umeongea ukweli kabisa

  • @user-sl1ko9me7u
    @user-sl1ko9me7u 9 месяцев назад

    Asante Shekh Kishki kwa kutoa elimu ya Wayahudi

  • @mrchicago2467
    @mrchicago2467 9 месяцев назад +2

    kuma la mama sisi watanzania hatuna ujinga wa kivita nenda uwasaidie wew sisi wengine tunataka kuishi miaka mingi

    • @JafariAbdallah-ot9gp
      @JafariAbdallah-ot9gp 9 месяцев назад

      We endelea kuishi miaka mingi usitutukanie she wetu wew ulotoka mkunduni shoga wew!

    • @mrchicago2467
      @mrchicago2467 9 месяцев назад +1

      @@JafariAbdallah-ot9gp mlete mama ako nisipo mtoa malinda ndo uamin ndo uongee makundi gan unafiki tu ety sheh makundi ya kigaid mnajiita din upumbavu tu wajinga wasio elewa ndo wanawasapoti

  • @user-gk1uw9sy5r
    @user-gk1uw9sy5r 9 месяцев назад

    Kinacho leta ugomvi pale israel ni ardhi sio dini. Ila waislamu kwakua uwezo went wa kufikiri ni mdogo mnaleta udini. Myahudi anamjua mungu wa kweli hawa habari na mungu went huyo ala

  • @omanmct135
    @omanmct135 10 месяцев назад +1

    Subhanallllah

  • @paulvimbamvula9508
    @paulvimbamvula9508 9 месяцев назад +2

    Hakuna ukweli apa..wayahudi niwantu waakili sana

  • @clarencehilary5588
    @clarencehilary5588 9 месяцев назад +4

    Wayahudi hata kama sio wakristo sawa nani kamchokoza mwenzie

  • @user-dq9yd7hx3y
    @user-dq9yd7hx3y 10 месяцев назад +4

    Waislamu wao wameshikilia nusra tu bila kujua nan anae pewa nusra sifa zao zikoje hao wapewa nusra wazee ebu acheni bidaa Allah awape nusra

  • @tatuathmani883
    @tatuathmani883 9 месяцев назад +1

    Mungu atupe mwisho mwema

  • @emmaculatewambua-ou9nu
    @emmaculatewambua-ou9nu 10 месяцев назад +1

    InshaAllah Allah takabal dua

  • @wilsonkombeyeri4623
    @wilsonkombeyeri4623 9 месяцев назад

    Huo masjid alaqsa nauvunjwe hiyo ni nchi takatifu ya Mungu anayejulikana kama JEHOVAH

  • @user-lg1pc3gy6w
    @user-lg1pc3gy6w 9 месяцев назад +3

    Mayahud na wakristo wote nimakufar na nimaadui sema ukwel ufungwe uuliwe sema huwez una mashule nk bora unyamaze bora uskilze ata gwajima kuliko mijuha hii

  • @iroohassan8361
    @iroohassan8361 9 месяцев назад +2

    Asallamu allaykumu ndugu napat a taabu sana kuona Hawa mabwana wanauwa watoto wamama wazee bila huruma kabisa keel ni magaidi wao

  • @abuwjandal1198
    @abuwjandal1198 9 месяцев назад

    Assalaam alaykum, Kishki inabidi uende na wakati bana unavuta sana, sasa hivi inabidi upunguze hiso madda, unavuta sana. Zama zimebadilika.

  • @walterngowi5835
    @walterngowi5835 7 дней назад

    Mwambien Allah atoke pangoni awasaidie acha chuki za kidini wee shehena 😎😎

  • @user-sg1ip7mk9y
    @user-sg1ip7mk9y 9 месяцев назад

    Mashsallah

  • @NasraIbrahim-dw1hr
    @NasraIbrahim-dw1hr 9 месяцев назад +4

    Palestine yarabi inusuru na mauwaji yasiendelee

  • @HosianaBuuta
    @HosianaBuuta 9 месяцев назад

    Mungu hapendezwi na damu za watu kumwagika, tiombe rehema Kwa Mungu

  • @HappnessJoseph-vj7ed
    @HappnessJoseph-vj7ed 9 месяцев назад

    mashaallah;

  • @user-dq9yd7hx3y
    @user-dq9yd7hx3y 10 месяцев назад +5

    Waislamu dunia mzima tuache uzushi tutasaidiwa na Allah lkn tumezidisha bidaa dini ya mtume huikuti msikitini ukiingia unakutana na din ya mazoea hakuna nusra ya wazushi

    • @user-pc8wo1hh9l
      @user-pc8wo1hh9l 10 месяцев назад

      wewe peke yako mzushi. Usilaumu wenzako.

    • @BALLTONE
      @BALLTONE 9 месяцев назад

      Huyo jamaa kaongea ukweli muhelewe hachakupinga usijilazimishe kupenda kitu ulichokikuta hpo unawaza kuoa mke wapili kinywani mwako umejawa na Matusi jeuri ubishi kiburi je unafikili Dini unaweza ingia mbinguni ukiwa mchafu Mungu anapenda mtakatifu tuh sio muislamu wala mk😮

  • @user-dq9yd7hx3y
    @user-dq9yd7hx3y 10 месяцев назад +5

    Kishki acha uzushi waambie wapalestina waache uzushi warud kwenye sunnah Allah atawasaidia lkn mkiwa wazushi kazi tunayo

    • @kijitamfyomi5598
      @kijitamfyomi5598 10 месяцев назад +1

      Fafanua uzushi wa kishki na wapelestina

    • @user-dq9yd7hx3y
      @user-dq9yd7hx3y 10 месяцев назад

      @@kijitamfyomi5598 Nenda kasome din utajua huyo kishki mwenyewe hauliz swali hilo maana yeye anajua wazi kua ameacha sunnah kwa ajili ya maslahi wew hadi hivi leo usojua uzushi wa kishki na wapalestina nenda kasome hiyo sio comment yako ya kishki na anajua nin anakifanya .

    • @user-dq9yd7hx3y
      @user-dq9yd7hx3y 10 месяцев назад +1

      Hao wapalestina wanotaka kuikomboa Qudus wamenyoa viduku haaaahaaahaaa nyie mnachezea dini nyie acheni mambo ya kipumbavu kama mnataka nusra sasa hivyo viduku hamjui kua mtume kakataza huo sindo uyahudi wenyewe tusoutaka

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 10 месяцев назад

      ​@@user-dq9yd7hx3y😅😅 nashangaa 😅😅

    • @user-dq9yd7hx3y
      @user-dq9yd7hx3y 10 месяцев назад

      @@annasolomon9855 Najua watu wengi mlokua wavivu wa kutafuta haqi mkiambiwa kishki kapinda lazima ushangae tena mwengine na matusi juu anatukana lkn ukweli waislamu tuna shida na dini kwa sababu dini ni rasilimali ya muislam lazima din tuichukue sehem zake kwa watu wenye historia ya kutafuta elim sio kuongea ongea tu tena makosa kibao kuongea jambo na elim ni janbo lazima watu watofautishe kuongea na elim. Kisha watofautishe hizo elim iliyokua sahihi ndio ichukuliwe

  • @hummy2020
    @hummy2020 10 месяцев назад

    Takbiiir

  • @user-zb4py9rl9c
    @user-zb4py9rl9c 4 месяца назад

    SAW❤😢

  • @user-dw6dh2wn8g
    @user-dw6dh2wn8g 10 месяцев назад +5

    Shekhe unapswa kulaani vita na kuwaombea amani wote wawili,

    • @user-pc8wo1hh9l
      @user-pc8wo1hh9l 10 месяцев назад

      Hujafahamu Maneno ya Shekhe. Sikiliza tena. Amka bwana acha kulala

    • @asagospelmusician8859
      @asagospelmusician8859 9 месяцев назад

      Kwa habari ya Palestina tunapaswa kumlejea Mungu tu, vinginevyo tutajikuta tukitenda dhambi wenyewe ya kutoa hukumu kazi ambayo Mungu pekee ndiye anaestahili kuifanya.
      Kulingana mzozo wenyewe, historia inaonyesha wazi kabisa anaeanzaga kumchokoza mwingine hua ni Mpalestina, hata leo kinachoendelea wote tunajua, ni baada ya kikosi cha kipalestina kuvamia Israeli na kufanya mauaji zaidi ya watu 1300, hapo hakuna shekhe wala mchungaji aliesimama na kulaani, lakini eti kwa sababu leo mpalestina ameonekana kuumizwa sana, ndo tumtangaze myahudi kama adui wa aislamu wote dunia nzima, hii si sawa, ikubukwe kua vita ni dhidi ya Israeli na Paletina, wala si Israeli na Waislam, cha msingi tuendelee kumuomba Mungu aingilie kati, ili kupata suluhu ya kudumu kati yao

    • @JafariAbdallah-ot9gp
      @JafariAbdallah-ot9gp 9 месяцев назад

      Hujamuelewa shee sikiliza tena mpaka mwisho

  • @user-pw7sn9ye4z
    @user-pw7sn9ye4z 9 месяцев назад

    Allah awarehe mashehe zetu wasemao kweli wenyekumcha Allah,

  • @zakariamakumba5042
    @zakariamakumba5042 10 месяцев назад +7

    Wayahudi wanapendwa hata sasa mpaka milele,naMungu

    • @user-ju4mi1qx5b
      @user-ju4mi1qx5b 10 месяцев назад

      Amen kubwaaa

    • @user-pc8wo1hh9l
      @user-pc8wo1hh9l 10 месяцев назад

      Wacha Ujinga. Una maana sisi hatupendwi? umetoka usingizini?

  • @user-xs9bw6di1c
    @user-xs9bw6di1c 9 месяцев назад

    Mungu onekana

  • @FeisalSeif
    @FeisalSeif 9 месяцев назад

    ALLAH AKBAR

  • @amoseirumva3932
    @amoseirumva3932 10 месяцев назад

    Kunawatu walidanganywa sana at wayahudi wa sasa ni ni watu wazuri, siyo kweli kwanza hawamkubari Yesu Kristo na Mhamadi, wao nikitu kingine na kitakuja kuonekana siku siyo nyingi, tunaumia sana kwa mauaji yanayofanyika huko Palestina

    • @prosperjuma905
      @prosperjuma905 9 месяцев назад

      Wayahud 18% ni waislam. 1% wakristo.

  • @user-nb2tb9zk5i
    @user-nb2tb9zk5i 9 месяцев назад

    Ukweli kbs shekh inauma sana 😭😭🇪🇭maskin💔💔❣️

  • @aminamikidadi7754
    @aminamikidadi7754 9 месяцев назад

    Amiina Amiina yarrab lalamiin .....

  • @benedictkiteji3627
    @benedictkiteji3627 9 месяцев назад +3

    Alianza kumshambulia mwenzie ndie mchokozi nagaidi

    • @mohamedrashid8615
      @mohamedrashid8615 9 месяцев назад

      Mwenye alianza ni aliyekaribisha na amekua akimpiga Palestine tangu kitambo Hilo hujui wajua hii ya sai soma historia ujue

    • @animalchannel296
      @animalchannel296 9 месяцев назад

      soma history ase

  • @zainabshariff114
    @zainabshariff114 9 месяцев назад +1

    ya Allah wangameze mayahud

    • @thedickisonilinusi
      @thedickisonilinusi 9 месяцев назад

      Kwa taarifa yako hakuna watu mungu anawapenda Kama wayahud genius wengi duniani niwayaud jiulize ni kwann na ujijibu

  • @veronicamahende3718
    @veronicamahende3718 10 месяцев назад +2

    Israel hachapiki hata iweje palestina wameyavagaa si walianza wenyew ugomvu hii vita anaepigana ni mkuu mno YEHOVA MUNGU WA ISRAEL huyu hashindwagi ndugu zang....wakristo wote tupo na wayahudi na MUNGU wetu hashindwagiiiii 🎉

    • @Hussein-gx4qu
      @Hussein-gx4qu 10 месяцев назад

      We ndio jinga kweli we nani kakwambia myahudi na wewe mkristo mnaendana. Yahudi kamkataa yesu Hadi Leo hataki hata kumsikia na huo ukristo wako pia hawataki hata kuusikia

    • @veronicamahende3718
      @veronicamahende3718 10 месяцев назад

      @@Hussein-gx4qu wew ndo hujui kitu shush ur mouth tunaojua historia ya israel kibibilia lazima tuiombeeeee....na bado palestina itachakazwaa sana yani mnoooooo

    • @Hussein-gx4qu
      @Hussein-gx4qu 9 месяцев назад

      @@veronicamahende3718 história IPI unaijua au unafuata mkumbo tu ? Yahudi mwenyewe anakuona kama chizi kwasababu unajipendekeza kwake na wakati yeye hakutaki kwanza Hawa mayahudi walimkataa yesu wako wakamwita kuwa ni mtoto WA zinaa na mpaka Leo hawamtaki pili huo ukristo wako pia hawautaki hata kuusikia na wakaona haitoshi huyo yesu wako pia wakamkamata na kumuuwia mbali lakini eti we Bado unajipendekeza kwao hiv we unaakili kweli? Hiv we hujawahi jiuliza kwanini nyinyi na wayahudi ibada zenu ni tofauti kabisa na hazifanani hata kidogo ? Ndio ujue hão sio wenzenu na Wala hawawajui mtokakako Bali nyinyi ndio mnajipendekeza kwao had hata wao wanawashangaa

    • @user-pc8wo1hh9l
      @user-pc8wo1hh9l 9 месяцев назад

      Badala ya kukaa nyumbani kwa adabu unapoteza wakati kujibiana na wanaume. Dada wewe humuogopi mungu. Unatamani watu wauawe hovyo hovyo badala ya kuwaombea mungu. Kwa kweli unanitisha sana kufikia hadi ya ukatili kama huo@@veronicamahende3718

    • @marymyamba7977
      @marymyamba7977 9 месяцев назад

      Haleluya!

  • @maryammeem1132
    @maryammeem1132 9 месяцев назад

    Mungu wetu nusulu Palestines inshaaallah tunaku Omba uweke wepesi inshaallah

  • @user-sl1ko9me7u
    @user-sl1ko9me7u 9 месяцев назад

    SERIKALI YETU YA TANZANIA KUANZIA WAKATI WA MH. KIKWETE...IKO CHINI YA AMRI YA MAREKANI NA UINGEREZA (NA UFARANSA NA UJERUMANI KIDOGO)....KWA UFUPI KIKWETE NI KIBARAKA WA MAREKANI NA UINGEREZA MPAKA LEO HII....AKAJA MAGUFULI...YEYE AKAWAKUMBATIA KABISA ISRAEL...AMEKUJA MH. RAIS SAMIA... YEYE YUKO CHINI YA MATAKO NA AMRI YA MAREKANI NA UINGEREZA...NA NDIO MAANA MPAKA SASA AMENYWEA KUTOA TAMKO KUHUSU MAUAJI YA WAPALESTINA...TANZANIA YETU IMEPOTEZA KABISA UTU NA MSIMAMO KWENYE MAMBO YA KIMATAIFA....RIP MWALIMU NYERERE!

  • @aminamwangonela9444
    @aminamwangonela9444 9 месяцев назад

    Wewe mpotoshaji tu,yakobo esau wanagombana,kulwa na doto,wewe unaingizia dini ,alafu dini alioisema mwenyezi mungu ni kuona yatima na wajane

  • @sebu864
    @sebu864 9 месяцев назад

    Israel iko na nguvu zaidi itawakata vicwa nyinyi wote

  • @OleMasaule-ri6rp
    @OleMasaule-ri6rp 9 месяцев назад +2

    acha uwongo shehe because wakiristo ni dini pekee namba moja duniani yenye amani

  • @user-ee6vu8rd6k
    @user-ee6vu8rd6k 9 месяцев назад

    Allahum amiin

  • @hildanjeri2248
    @hildanjeri2248 9 месяцев назад +5

    Am christian but nakubali mafundisho yako

    • @jamesmbata8542
      @jamesmbata8542 9 месяцев назад +2

      Bro don't be tempted na unafiki wao hao jamaa waislamu bro hawajawahi, na hawatokuja kuwah kuwapenda wakristo ,hapo ukiwaona hvyo wanatafuta huruma ya kuungwa mkono ,
      Juz tu apa Pakistan 🇵🇰 hawa mbwakoko waislamu wamechoma makanisa mengi sana na hukusikia wakristo wakilia lia , hawa jamaa ni wakorofi in nature hawawez kuishi na jamii yotote ile bila chokochoko , yn ktk hili la Gaza wacha wapambane na hali yao wasituusishe sis upumbavu wao kwan wao ndio walienda wachokoza mbwa hawa

    • @prosperjohn2047
      @prosperjohn2047 9 месяцев назад +3

      ​@@jamesmbata8542Kama wewe ni Mkristo na akili yako ndo hiii, Bora ungekaa kimya

    • @shakila3982
      @shakila3982 9 месяцев назад

      ​@@jamesmbata8542wewe ndio mwenye chuki, unatafuta upendo wakati mlishiriki kikamilifu kuwakoloni watu Africa pasina haki, kuwaua mababu zetu, kuwateka na hata wengine kuwatupa, sasa unajiona wewe ukona upendo kuliko muislamu? Yanayoendelea Libya mbona walikuwa sawa, walipoingia wakristo wenu nini kilifanyika? Vita zote duniani vinasambabishwa na mkristo, alafu unajiona ukona upendo kuliko muislamu

    • @shakila3982
      @shakila3982 9 месяцев назад

      ​@@prosperjohn2047sasa kwani wewe ukona akili gani?

    • @prosperjohn2047
      @prosperjohn2047 9 месяцев назад

      @@shakila3982 Akili ya kusikiliza kuliko hii ya kwako ya kujiita Mkristo, lakini hujui hata vitabu vyasemaje,

  • @zakariamakumba5042
    @zakariamakumba5042 10 месяцев назад +8

    Wakristo na Wayahudi ni kitu kimoja,tumebarikiwa,pigeni kelele

    • @user-pc8wo1hh9l
      @user-pc8wo1hh9l 10 месяцев назад

      Wewe kewli mjinga. Mayahudi ndiyo walifanya mipango ya kumpeleka Yesu Msalabani auawe. Je unajua hayo? Roma walipokuwa wakitawala wakawasikiliza Wanafiki wa kiyahudi kumuua Yesu. Umelala Usingizi. Soma Bwana.

    • @Hussein-gx4qu
      @Hussein-gx4qu 10 месяцев назад

      Hão mayahudi na nyie wapi na wapi huyo yesu mwenyewe walimkataa na Hadi Leo hawamtaki hata kumsikia na huo ukristo wako ndio hawautaki kabisa hata kuusikia Sasa wewe unawashabikia Kwa lipi

    • @AssinaMsafiri-ud5so
      @AssinaMsafiri-ud5so 10 месяцев назад

      @@Hussein-gx4qu Asant saana mengi najifunzia kwenye Comment zenu

    • @AssinaMsafiri-ud5so
      @AssinaMsafiri-ud5so 10 месяцев назад

      @@user-pc8wo1hh9l wasomeshe makafiri ni midomo tu biblia hawaisomi

    • @petermatabwa2133
      @petermatabwa2133 9 месяцев назад +1

      Làkin mkumbuke akina sadam hussein; osama bin laden na akina ali zakawi sijui hawa ni mayahudi maana duniani wanafahamika kwa sifa yao

  • @MkumboJaphet-yx3jp
    @MkumboJaphet-yx3jp 10 месяцев назад +3

    Huyu jamaa bhana...anajikutaga mtu fulani ivi kama alishawahi kukutana na MUNGU...kumbe nyuma ya pazia ni mnafiki tu

    • @josephbonday8510
      @josephbonday8510 10 месяцев назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂 dah comments zingine bhana

    • @kishkialuminium1887
      @kishkialuminium1887 10 месяцев назад

      Wewe umejuaje kama mnafiki mbona kama una Akiri au njaa inakusumbua ebu chunga domo rako ilo

  • @mustaphamatelefone-lc9pr
    @mustaphamatelefone-lc9pr 9 месяцев назад +1

    Bani Israel laana tullah aleikh

  • @ThomasMsemwa-ob9im
    @ThomasMsemwa-ob9im 9 месяцев назад

    Asa serikali itoe tamko kwa ikakae.upande.gan israel.au palestine. Akikaa israel yy anaiweza israel au anaiweza palestine wawe wapolee viongozii wasije wakajiingiza kwenye mwisho wa duniaa wao wanaopigana.waache.wapiganee.wakichoka watapumzikaa.ila.tuu wapew ushaur.kuacha vitaa nchi yet uchumi mdog sanaa viongoz watuliee

  • @enockkibona7522
    @enockkibona7522 10 месяцев назад +4

    AMOSI 1:6-12 someni hapo mtaona nini Neno la MUNGU linasemaje

    • @MATIKO9640
      @MATIKO9640 9 месяцев назад

      Hapo ndo utajua yanayo tokea si ya kustaajabisha maana biblia imeweka bayana GAZA itaharibiwa

  • @francisjoseph1074
    @francisjoseph1074 9 месяцев назад

    Ka tahira flani hivi , Kama Mungu wenu WA kiarabu angekua ni wakweli Mgeshinda kwenye Ile vita siku sita Mwarabu achapika vibaya mno

  • @phchouse
    @phchouse 9 месяцев назад

    Tulikuwa watumwa wakati wa Biashara ya utumwa hatupo tayari kuwa watumwa wa mawazo ya wengine.
    Matatizo ya middle east ni yao hayatuhusu. Acha wachinjane ndio watajifunza kujiheshimu

  • @marthainnocent9603
    @marthainnocent9603 9 месяцев назад

    Hawa wqtu ujiona baada ya Mungu ni wao, mkae mkijua kuwa Mungu ni wa wote. Mzee beba jambia nenda kapigane hapo unapotezea watu muda wao.

  • @issafaquedalaura8279
    @issafaquedalaura8279 9 месяцев назад

    Ya Allah

  • @janetmwende7280
    @janetmwende7280 9 месяцев назад

    Na waislamu muache uongo eti,issa,Abraham,Musa eti ni waislamu,muislam wa kwaza ni Muhammad na yesu alipaa mbinguni miaka 400 kabla Muhammad kuzaliwa,pia kama Abraham ,mussa etc ni waislamu , Abraham na mussa watu wa kwaza walitoa wapi Io dini ilhali iliazishwa ma Muhammad 700 yrs later,hesabu imetumika, fanyeni hesabu vizuri, Muhammad akiZaliwa Abraham alikua 700 yrs