Sihr Ni kitu kichafu haiwezekani MTUmi Ni mutwahirun impate sihr na Mola amwagalie mtume wake apatwe na sihr za kishetani..hizi Ni hadithi zimetiwa mkono na hakuezi kushusha mtumi ..yeye Ni walimu WA walimu darja yake or makam yake amewashinda Malaika muqarwbeen ..so sihr haikumpata abadan
Ikiwa nzi hatuwi Kwa mtumi itakua uchawi WA kishetani impate...laa hashaa anaosema hvyo kuwa MTUmi amepatikana na uchawi basi amemshusha heshima na hadhi ya mtumi Sisi akida yetu mtumi s.a.w hakupatikana na uchawi na Iyo hadithi mushkeel
Kisima alichorogewa mtume kinaitwa biiri dharwani kipo madina na mtume alirogwa madina kwa mujib wa hadithi ya bukhari lkn hizo suratu ambazo tunasema zimeshuka kwa ajili ya kubatilisha marogo zimeteremka makka *KUNA HAJA YA KULIFATILIA HILO JAMBO KWA MAKINI SANA*
@@subiraismail3989 aya kuhusu nabii Ayub as. Masaniadhuru ametafsiri kuwa nabii Ayub ATI maana aliitwa muwasi. JEE TAFSIRI YA NANI IMESEMA HIVYO?. Ni uongo mtupu. Hakuna tafsiri iliosema hivyo
Innaa yuridullahu liyudhhiba ankumu rijsa ahlulbait ...
In Shaa Allah tuendelee Kujifunza
Sihr Ni kitu kichafu haiwezekani MTUmi Ni mutwahirun impate sihr na Mola amwagalie mtume wake apatwe na sihr za kishetani..hizi Ni hadithi zimetiwa mkono na hakuezi kushusha mtumi ..yeye Ni walimu WA walimu darja yake or makam yake amewashinda Malaika muqarwbeen ..so sihr haikumpata abadan
Tuendelee Kujifunza
Ikiwa nzi hatuwi Kwa mtumi itakua uchawi WA kishetani impate...laa hashaa anaosema hvyo kuwa MTUmi amepatikana na uchawi basi amemshusha heshima na hadhi ya mtumi Sisi akida yetu mtumi s.a.w hakupatikana na uchawi na Iyo hadithi mushkeel
Huwezi kumroga mtumi namaanisha mtumi harogeki bottom line
Shukraan kwa maoni mazuri. Endelea kufuatilia videos zetu. Jazakallah Khair
Shukraan kwa maoni mazuri, Jazakallah Khair.
Mtume alirogwa wapi na muawidhati zimeshuka wapi
Swallow Zuri Sana ndugu yangu
Kisima alichorogewa mtume kinaitwa biiri dharwani kipo madina na mtume alirogwa madina kwa mujib wa hadithi ya bukhari lkn hizo suratu ambazo tunasema zimeshuka kwa ajili ya kubatilisha marogo zimeteremka makka *KUNA HAJA YA KULIFATILIA HILO JAMBO KWA MAKINI SANA*
Tuendelee Kujifunza
Sasa kama Muhammad alirogwa nani yuko salama? Waislamu mfuateni yesu yeye harogwi😂
NYIE MBONA MUNA KEMEA MAPEPO. KA USOME USITUMIE HISIA KAA SOMA UTAJUA UKWELI UPO WAPI.
Hizo tafsiri mlikaa Kwa SHEKH au mnatafsiri tuu
Huyu hajakurupuka hawezi potosha umma,anajua anachofundisha
@@subiraismail3989 Kwanza tafsiri ya Nani iliosema kuwa kila akisoma anaona fundo linafunguka?.
Hilo sijalisikia kwa huyu tu tafuta sira zote zinaeleza
@@subiraismail3989 aya kuhusu nabii Ayub as. Masaniadhuru ametafsiri kuwa nabii Ayub ATI maana aliitwa muwasi. JEE TAFSIRI YA NANI IMESEMA HIVYO?. Ni uongo mtupu. Hakuna tafsiri iliosema hivyo