Ukiwa na Dalili hizi, jua una Uchawi mwilini mwako. Sh. Othman Michael

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 фев 2025

Комментарии • 57

  • @arafamusa
    @arafamusa 18 дней назад

    Barakah Allahufihu

  • @saidaabdu6964
    @saidaabdu6964 2 года назад +3

    Aslm.alykm kweli kabisa uchawi uko subhanallah Allah awashinde nguvu inshallah 🤲🤲

  • @mayarashidi2765
    @mayarashidi2765 2 года назад +2

    Mungu akuweke shekhe wetu mungu akutie nguvu.na.akupe wepesi wetu

  • @MishiNdanie
    @MishiNdanie Год назад +1

    Mm nateseka sanaa waallah..ugomvi san kwenye ndoa yangu

    • @suleimanjabiri729
      @suleimanjabiri729 4 месяца назад

      @@MishiNdanie Fanya dua kwa wingi....Allah atupa ufumbuzi

  • @AhamadShabaanmussaShaban-kv2zv

    Sheh Mungu akubali akup maisha marefu uzidi kutuelimisha

  • @zayyello7880
    @zayyello7880 Год назад

    Shekh othuman ninakupenda kwa ajili ya Allah,Allah akupe umri mref uendelee kutupa darsa

  • @nuria7223
    @nuria7223 2 года назад +1

    jazakallahu kheir sheikh

  • @iddihudu9835
    @iddihudu9835 Год назад +2

    Hata Mimi tumbo linaunguruma Sana sherk wangu dawa zote zimedunda

  • @RaziaGamba
    @RaziaGamba 2 месяца назад

    shukran

  • @AliMohamed-ng5ps
    @AliMohamed-ng5ps 10 месяцев назад +1

    Mashaallah

  • @rukaiyalema7966
    @rukaiyalema7966 2 года назад +1

    Kweli shgh nakupenda keajil ya allah

  • @joyceksoo7889
    @joyceksoo7889 6 месяцев назад

    Jamani mama yangu anasumbuliwa na tumbo sana linaunguruma na kuuma sana

  • @irinenacha6543
    @irinenacha6543 2 года назад +1

    Kwer upo sahhh

  • @salumnassib7780
    @salumnassib7780 3 года назад +1

    Alhamdulillah

  • @happynescostat7420
    @happynescostat7420 Год назад +3

    Bwana YESU akubariki sana nimesikiliza nimesisimuka sana!mme wangu amepumbazwa kichawi ameniterekeza na watoto,amechukua mke wa ntu niombee dua afunguke,Mungu Akupe Afya,

  • @MohamadShimin
    @MohamadShimin 6 месяцев назад

    Sheikh niombe mimi mohamad nikona hasad nyingi sana

  • @tanzaniat7151
    @tanzaniat7151 3 года назад

    Kweli hsekhe yote hayo yapo Allah akuzidishie kheri

  • @RahmaRujaina-qq3cd
    @RahmaRujaina-qq3cd Год назад

    Shekh uko wap nahitaji Dua na sumbuka sana na majini

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib 10 месяцев назад

    Kumbe ulikuwa mkrusto ndo Mana jina lako mwisho michael

  • @KalangulaKalan
    @KalangulaKalan Месяц назад

    Nitumie no yako

  • @nicasiomugo437
    @nicasiomugo437 Год назад

    Asantaa binti yangu alichajwa chale mbili wiki iliyopita na aliendesha sana na tumbu kutoka sauti sijui nitamsaidiaje ni saaidieni

  • @abdurahimmohammed-i2z
    @abdurahimmohammed-i2z 5 месяцев назад

    Sheikh asalam alaykum anawashwa akikoga maji ya barid au pia akiwa na mwili ukiw na joto anapata tabu sana tupe ufumbuzi

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib 10 месяцев назад

    Dawa shilingi ngapi

  • @jannffer
    @jannffer 2 месяца назад

    Niobee dua nimepitia mojawapo ya hizo niombee

  • @Farida-mz4so
    @Farida-mz4so Год назад

    Assalamualaikum shekhe samahan naomba kukuhuliza unaweza kumfanyia mtu ruqya ya kumtoa jini? Au unamfaham mtu anaesoma ruqya? Nina shida sana ya jini mwilin mwangu Hila achomoki mpka asomewe qur an ndio anapandisha Hila ananitesa naumwa umwa ovyoo alafu maumivu ya aina moja

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib 10 месяцев назад

    Mimi mwenyewe nikienda kanisani napenda niwe na sadaka

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib 10 месяцев назад

    Sisi tulishawai kuwashwa nyumba nzima

  • @popoohamisi5832
    @popoohamisi5832 Год назад

    Sheikh kma unaskia kutambaliwa mgongoni n ukishika huoni kitu

  • @zinatmohamed1986
    @zinatmohamed1986 2 года назад

    Asalam nataka no yako plz mm nawashwa bila sababu wanase kama ktk kisuri inakuwa kwahiyo nakula lkn haoponi

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib 10 месяцев назад

    Mimi nilinyolewa nywele nyingi

  • @husnarams3698
    @husnarams3698 2 года назад

    Asalam alaikum yaan me hyo dalili ya kwanza ninayo

  • @ummukhaullah3007
    @ummukhaullah3007 2 года назад +1

    Shekh naomba utoe darsa ya ufafanuzi zaidi juu ya chale kwani ninatatizo hilo na kukosa maziwa kabisa

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib 10 месяцев назад

    Chale mbaya za kichale halafu anakuona

  • @winnielifted1888
    @winnielifted1888 Год назад

    Mie hizo chale nimechanjwa kwa miaka 5 sasa na sijapata tiba

  • @ZainabAli-tx9ne
    @ZainabAli-tx9ne 2 года назад

    Nshawahi tumia hizo ila hazijanisaidia je Kuna dose nyengne sbb hazjanisaidia

  • @aminamichael5023
    @aminamichael5023 2 года назад +1

    Wachawi mnafaidika na nini mwisho wa siku? kuona wenzenu wakiteseka?au ni maradhi ya kutojiamini na roho mbaya? hiyo shinga ukiikanyaga km mjamzito mtoto wa kiume huchukui dakika mimba inatoka, wanga shkamooni ila ipo siku yaja na haiko mbali

    • @VickKulekana-si1ib
      @VickKulekana-si1ib 10 месяцев назад +1

      Kwel wachawi ni watu wabaya sana wanemlogq baba yangu aliteseka

  • @suleimanjabiri729
    @suleimanjabiri729 5 месяцев назад

    Ila kuwa makini usijekuingia kwenye shirki tu....wenzio wanaanza hivyo hivyo

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib 10 месяцев назад

    Mafuta Bei gani

  • @khamisalnabhany1985
    @khamisalnabhany1985 3 года назад +1

    Jamani tahadharini na Shekhe huyu. ni Hatari sana kwa kuwapotosha Watu kwa ajili ya Maslahi yake

    • @pamoles1303
      @pamoles1303 3 года назад

      Acha chuki binafsi ww umejuwaje hayo yote

    • @swalehmwalim4662
      @swalehmwalim4662 3 года назад +1

      Acharoho chafu usijikute ushakua mushilikina anaongeya ikweli

    • @rukaiyalema7966
      @rukaiyalema7966 2 года назад +1

      Naww wapotoshee kama unawezaa

    • @thetrends9973
      @thetrends9973 2 года назад +2

      Ukitahadhari wewe pia inatosha

    • @aminamichael5023
      @aminamichael5023 2 года назад +1

      dalili za mchawi ni hii ulokuwa nayo wewe ,nyamaza tu shekh hajakutaja yy anazungumzia wale wanaotendwa sio wewe mwanga

  • @zuumohammed6878
    @zuumohammed6878 2 года назад +1

    Alhamdulillah