Bwana YESU akubariki sana nimesikiliza nimesisimuka sana!mme wangu amepumbazwa kichawi ameniterekeza na watoto,amechukua mke wa ntu niombee dua afunguke,Mungu Akupe Afya,
Assalamualaikum shekhe samahan naomba kukuhuliza unaweza kumfanyia mtu ruqya ya kumtoa jini? Au unamfaham mtu anaesoma ruqya? Nina shida sana ya jini mwilin mwangu Hila achomoki mpka asomewe qur an ndio anapandisha Hila ananitesa naumwa umwa ovyoo alafu maumivu ya aina moja
Wachawi mnafaidika na nini mwisho wa siku? kuona wenzenu wakiteseka?au ni maradhi ya kutojiamini na roho mbaya? hiyo shinga ukiikanyaga km mjamzito mtoto wa kiume huchukui dakika mimba inatoka, wanga shkamooni ila ipo siku yaja na haiko mbali
Barakah Allahufihu
Aslm.alykm kweli kabisa uchawi uko subhanallah Allah awashinde nguvu inshallah 🤲🤲
Mungu akuweke shekhe wetu mungu akutie nguvu.na.akupe wepesi wetu
Mm nateseka sanaa waallah..ugomvi san kwenye ndoa yangu
@@MishiNdanie Fanya dua kwa wingi....Allah atupa ufumbuzi
Sheh Mungu akubali akup maisha marefu uzidi kutuelimisha
Shekh othuman ninakupenda kwa ajili ya Allah,Allah akupe umri mref uendelee kutupa darsa
jazakallahu kheir sheikh
Hata Mimi tumbo linaunguruma Sana sherk wangu dawa zote zimedunda
shukran
Mashaallah
Kweli shgh nakupenda keajil ya allah
Jamani mama yangu anasumbuliwa na tumbo sana linaunguruma na kuuma sana
Kwer upo sahhh
Alhamdulillah
Bwana YESU akubariki sana nimesikiliza nimesisimuka sana!mme wangu amepumbazwa kichawi ameniterekeza na watoto,amechukua mke wa ntu niombee dua afunguke,Mungu Akupe Afya,
Eti bwana yesu 😂😂
Sheikh niombe mimi mohamad nikona hasad nyingi sana
Kweli hsekhe yote hayo yapo Allah akuzidishie kheri
Shekh uko wap nahitaji Dua na sumbuka sana na majini
Kumbe ulikuwa mkrusto ndo Mana jina lako mwisho michael
Nitumie no yako
Asantaa binti yangu alichajwa chale mbili wiki iliyopita na aliendesha sana na tumbu kutoka sauti sijui nitamsaidiaje ni saaidieni
Sheikh asalam alaykum anawashwa akikoga maji ya barid au pia akiwa na mwili ukiw na joto anapata tabu sana tupe ufumbuzi
Dawa shilingi ngapi
Niobee dua nimepitia mojawapo ya hizo niombee
Assalamualaikum shekhe samahan naomba kukuhuliza unaweza kumfanyia mtu ruqya ya kumtoa jini? Au unamfaham mtu anaesoma ruqya? Nina shida sana ya jini mwilin mwangu Hila achomoki mpka asomewe qur an ndio anapandisha Hila ananitesa naumwa umwa ovyoo alafu maumivu ya aina moja
Mimi mwenyewe nikienda kanisani napenda niwe na sadaka
Sisi tulishawai kuwashwa nyumba nzima
Sheikh kma unaskia kutambaliwa mgongoni n ukishika huoni kitu
Asalam nataka no yako plz mm nawashwa bila sababu wanase kama ktk kisuri inakuwa kwahiyo nakula lkn haoponi
Mimi nilinyolewa nywele nyingi
Asalam alaikum yaan me hyo dalili ya kwanza ninayo
Shekh naomba utoe darsa ya ufafanuzi zaidi juu ya chale kwani ninatatizo hilo na kukosa maziwa kabisa
Chale mbaya za kichale halafu anakuona
Mie hizo chale nimechanjwa kwa miaka 5 sasa na sijapata tiba
Nshawahi tumia hizo ila hazijanisaidia je Kuna dose nyengne sbb hazjanisaidia
Wachawi mnafaidika na nini mwisho wa siku? kuona wenzenu wakiteseka?au ni maradhi ya kutojiamini na roho mbaya? hiyo shinga ukiikanyaga km mjamzito mtoto wa kiume huchukui dakika mimba inatoka, wanga shkamooni ila ipo siku yaja na haiko mbali
Kwel wachawi ni watu wabaya sana wanemlogq baba yangu aliteseka
Ila kuwa makini usijekuingia kwenye shirki tu....wenzio wanaanza hivyo hivyo
Mafuta Bei gani
Jamani tahadharini na Shekhe huyu. ni Hatari sana kwa kuwapotosha Watu kwa ajili ya Maslahi yake
Acha chuki binafsi ww umejuwaje hayo yote
Acharoho chafu usijikute ushakua mushilikina anaongeya ikweli
Naww wapotoshee kama unawezaa
Ukitahadhari wewe pia inatosha
dalili za mchawi ni hii ulokuwa nayo wewe ,nyamaza tu shekh hajakutaja yy anazungumzia wale wanaotendwa sio wewe mwanga
Alhamdulillah