Daway X Barakah The Prince Tutaheshimina Remix ( Official Video) SMS SKIZA 7919027 to 811
HTML-код
- Опубликовано: 4 июл 2020
- #BarakahThePrince #Tutaheshimiana
Nimekoma is OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
Link ffm.to/barakahtheprince
For Bookings: AfricanPrinceTz@gmail.com
Follow The Barakah The Prince on:
/ barakahtheprince_
/ afrikanprince_
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz
Barakah Andrew (born February 13, 1994), better known by his stage name Barakah The Prince, is a Bongo Flava recording artist, singer and song writer from Tanzania.
Born and raised in Mwanza City, by his parents Andrew Odiero (father) and Risper (mother).
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz Видеоклипы
Wenye wapo 2023 npeni linke zangu🎉🎉🎉
Kama umekuja kuangalia baada ya rayvanny kumkubal gonga like😁😂
Kwann hiii ngoma haijawa hiiit hiii sio haki kabisah ivi wadau wa mziki Tanzania hamwoni vipaji jmn hiii kazi ni kubwa sanah ila sijaiona ata on trend kiukweli hiii sio saw kabisah
Ktk ngoma za prince hii kaua 👐dondosha like hapa kama na ww unaikubal hii song song💥💥💥
Hivi mmemsikiliza huyo dogo 🤔, anajua Sana asee anaimba kama star Yaani, nimeiona original yake nayo ni 💥💥💥... Ngoma Kali sana
Naishi kwa baba na baba nae anaishi kwa baba ake Kama umesikia Hiyo Like Hapa 💪💪💪
Cjui nani anaurudia rudia uu wimbo nahisi simanzi daah inaguza moyo kweli
kiswahili changu haya maisha yapo sana na nmeyaishi mimi mwenyewe pamoja sana baraka dah
Da way ma hommie boy mafanikio hayazingatii elimu ni juhudi za kujituma naamini utafika unapotaraji kufika 🙏
Chui dogo yupo vizuri Huyu🔥🔥🔥NLM 🌎
Kama wimbo huu umeusikiliza zaidi ya marambili weka like apa
100% inagusa maisha yetu ila kiukwel inauma sana tunabaki timu huyu timu yule Mungu ni wa wote kaza 2021 imeng’oa nanga.
Nani anapenda kazi ya baraka kama Mimi??
From Kenya 🇰🇪 I really love his music baaad
2024 who's here🇰🇪🇰🇪🔥✔️
Baraka una imbaaa sana mwana ni muda tu bado ila kazaaa mwamba kesho yako niya mafaanikiyo MWAMBA One love from Burundi 🇧🇮 Bujumbura 🙌🏾⚡️
Yuko vizur saaana baraka sijui tatizo ni nini yuko poa saaaana
😥😥😥😥dah maish hya watu wakaribu ndyo maadui wakwanza nmeumia sana kuckia hi nyimbo n nkahusianish nayopitia mungu yupo🙏🙏🙏😢😢😢
Ati wasafii Mara wachafuu Baraka tunataka back to back nitaku sponsor
Tutaheshimiana tuuuuu
Nanakubar sana mushikaji hongera sana Mungu akutangurie vyema kwenye kaz zako pia
Barak mwanangu we ni hatariiii balaaaa ani
Jina la majazi, naona neema mbele yako.. Wee ni Mzizi
kama umerudia zaidi ya mara mbili like hapa
Ana Dharau Sana Huyu Mmbwa
Kama umeikubali hii ngoma piga like hapa
Baraka ukipunguza kiburi utarudi kwenye game. Unajua saana kuimba ila mziki wa bongo ukiwa unajibizana na mashabiki unapotea mazima
Upo sahihi dogo kibur kinamponza mpka anaboa
da kaka saunakwama wapi mbona mpaka upovizuri tu mim duchillah nipo msumbiji daaaa
Mpumbavu baraka
Asijione star aache mashabiki wamuone star wenyewe atarudi
Return of Brk the Prnc
Hauja wah kosea ww n moja kat ya wasanii wachache wanao imba nyimbo zenye ujumbe na zinazo ishi
Jmni Barakaaaa🥳🥳🥳❤️
Bonge la gomaa tutaeshimiana tu jamani naombeni like za baraka hapa
Saut ake huyu jamaa nzr sana
Daaa wee acha tu
Always loving his music so bad banaaee❤❤
Nakubl Sana 🙉🙉🙉🙉🙉
Hatariii uyuu Barakah
Oyaaa weeehhhh nakubali daway tupo nyumma yako mashabiki zako ..
Nimeirudia siju Mara ngpi 😫imenigusa
Ukiacha kiburi na madharau utatoboa baraka
Namkubari mwana wa Baraka
One day tutaheshimiana tu nimeielewa atar
My bruh baraka the prince hakuna kenge anaefanya unachofanya hii ndo maana halisi ya gud music natamani nikuone unawakimbiza tenah
My boy, all the way from 254.
Iko siku tutaeshimiana
All the way up, from tegeta house of talents😍😂
Litaumwa jityu ntalitolea damu tyutaheshimiana tyuuu
Jamaa unajua aiseee unasauti adimu japo kawimbo kanau Aslay sana ila katamu
Kali sana
Dogo wa verse2 Norma sana...anajua haimbi kiandagraundi
Da way wajua sana kuimba kaza mafanikio yapo karibu so kaza brother one love blood
Congratulations brother we was already missing you baraka,now you're on the gave again
2020 for you baraka and we are behind you , so keep fighting 💪
Fundi wangu uyu namkubari miaka mia
Baraka Hana kiburi Bali hapendi kunyonywa
Baraka huwa sikupingiii kazi nzuri
Litaumwa jitu 😅😅
Tutafika2 bro
Nakukubali sana brother b
Mentor....role model
Mtoto anaujua mziki uyu
Nilikusubili Sana Prince Nakukubali Sana BARAKA 😍😍😍🔥🔥🔥
Sauti yako imenifanya nizipende nyimbo zako zotee unajua kuivaa nyimbo ht km sio yako inaonekana km yako..Nyimbo nzurii..Tuheshimiane
Tunatembea naww
Aminia brother ngoma io
On love u guy watakuelewa tuu mi binafsi kibongo bongo wee ndio ma fav Art's unaimbiaga kwa hisia Sanaa na vocalist zako bado hajazaliwa mzeee
Kalime mziki umekushinda
Umetisha baraka
Saaaaasafi tisha sana💪🙌🙌🙌
Kaka freshe kitu hicho
Let me drop a comment without even watching.
ts nice track. All the way baraka 💓💓
🙌🙌🙌 Anko TUTAHESHIMIANA TU
Nakubari sana ,ngoma Kali sanaaa
Amini kwamba IPO siku tyutaheshimiana tyu
Hii Ngoma ninavyo isubiri kama Ninavyosubiligi mshahara bank ,watu lazima tuheshimiane The Black Prince
Nomaaaaa
usha ishiwa
Like nyingi kwa Baraka
Safi baraka
Nakubali blood
Ngoma nzuri sana hii
Baraka akienda WCB kisiwa cha ngoma kali utaenda mbali sanaaaaaaa,,,,,mond muangalie kjana anakpaj kakosa mtu wa kumshka mkono
Baraka yuko juu kma unamkubali gonga like
My role model
BML Chuma cha moto sana Mdogo wng
💯 💯 💯 💯 💯 💯 💯
Story mzuri sana
Nimemsiikikiza huyu jamaa miaka mingi Ila hii ni moja ya best Music amewah fanya
Smarty sana
Yaan mpk huu mwaka ukisha tutaheshimiana tu
Good vibe
Nyimbo hii inagusa maisha ya binadamu Sana hit song
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭we baraka ni mtuuuuuu unajuaa mno🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼
Nowdays Numbers Lie, Don't trust a number
Big Joint with lowest views 😢😢
Msanii wngu huyu
Ipo siku
Ngoma kali
this guy!
Baba nae kwa baba yake😭😭😭😭😭Gonga like kama umeskia hilo vesi
My biggest fun, nakupendaga
Prince amefanya kazi safii kabisa love from Kenya 👇👇👇
Huwa naikubl sana hi songs kk
The prince of bongo fleva
Da way ameua
Baraka
Mludie king
Kazi Imetulia