NIMESHINDA DV LOTTERY MWAKA JANA NA MWAKA HUU
HTML-код
- Опубликовано: 15 окт 2024
- Kuna watu wana bahati. Huyu ni mmoja wapo, ana bahati ya hatari
Alishinda mwaka jana, na ameshapata viza yake ya Green Card kuja USA. Matokeo yametoka jana, KASHINDA TENA.
Mwaka juzi tulimuombea matokeo ya mwaka jana alishinda, na mwaka jana tulimuombea tena, akashinda tena.
Kwa wale ambao mmekosa, poleni, safari inaendelea.
EBM SCHOLARS
Jiunge na EBM SCHOLARS Community ebmscholars.lo...
DONATE TO EBM SCHOLARS
1. PayPal www.paypal.com...
2. CASH APP cash.app/$EBMS...
Mkuu EBM nakushukuru sana kwa kufanya Kazi nzuri sana, kwa hakika unapambana sana kwa ajili ya Jamaa yako ya Africa, nawasihi watu wengi tumuunge mkono huyu jamaa, pole kwa uchovu wa Jana Bro umepiga kazi hatari 14HRS sio mchezo
Congole EBM unatupigania sana wa Africa wenzio God bless you and your family
Du hongera zao, mimi nimeomba mara nne na wala sijawahi pata. But I will keep applying
EBM nimeomba Mwaka jana kwa Mara ya Kwanza Nimekosa But this time nitakuja Pale EBM Kuapply tena I believe this time nitapata 😢
Ofisi ipo sehemu Gan
Nimekosa ya hii mwaka pia but i had applied through you in Nairobi kenya but insha'Allah next time ❤🎉
Habari yako mkuu...Hongereni nyote ambao mliyoshinda Mungu awajaalie Kila la kheri..nasisi ambao hatujashinda Mungu atujaalie Kila la kheri na never give up
Mara ya pili kuomba hapa Uganda lakini sijafanikiwa, tutajaribu tena, asante sana Bwana EBM
Kaka mimi hukufuatilia sana kipindi chako.sasa naomba ku uliza swali mimi nimeowa make na mtoto 1 akanizalia wangu 1halafu tukaachana.je nika applying green cad je huyo mtoto naweza ku weka kama wangu.naomba jibu kaka erinest.asante
Hongereni kwa ushindi mkubwa sana sisi tuliokosa ushindi wetu ni mwakani hii ni bahati na sibu hatuwezi kulalamika wakati ukifika na sisi tutafurani
Hujambo baba nina swali apa je inawezekana mtu ku apply akiwa ndani ya inchi isiyo kuwa yake?
Niliomba mwaka jana kwa mara ya kwanza sijapata, I hope next year nitashinda Inshallah. Nitakuja hapo EBM ku apply, nimekuwa sina imani na simu. Sijafaham gharama za huduma zenu EBM
Habari yako mkuu! Eti kwa mfano ukishinda hiyo greenlotter ukienda marekani ni ishu gani ni rahisi kufanya hili kukuingizia kipato?
Very interested
Naomba uyaratibu na mimi niombe greenccard lottary🇹🇿
Samahani BM, naomba kujua faida za Mtu Graduate wa Tz ambaye kwa sasa ni Mfanyabiashara kushinda DV lottery na kuja kuishi Marekani.
Hongera zake nyingi sana mwaka huu sijapata lakin mwakan naimani ntapata inshaallah
Habari yako mkuu..Nimekutumia email please naomba uni respond as soon as possible kwasababu ni very important please please
Kaka EBM habari me nikijana mtanza naendesha malori nipo interested sana na ile interview uliofanya kuhusu kuwa dereva USA vp hakuna jinsi yakufanya hata kwa njia nyingine ninayoweza kufanya ili nifike USA nikapige kazi umri unakwenda nitazeeka aise i swear
Sisi tumeomba mara mbili tungu kupata hii information ya DV but mungu bd haja panga kwa upande wetu
Duu kuna watu Wana Bahati....
Nimejaribu kuingia kwenye forgotten combination number inaniqmbia details zako haziko sawa nimejaribu zaid ya mara kumi inakataa pls nisaidie cos nime aply pale nifikiri details zitakuwepo.
Picha uliwapiga mwenyeo au?
Aisee kwangu system haifunguki mpaka muda huu... nishatest kwa Computer na simu yangu but still failing
Inaonekana iko jammed balaa
E B M,❣👌
WEWE HAUPO KTK KAMATI YA ROHO 'SOKOROKWINYO'🤛
Mr. EBM, naweza kujua aliomba tarehe ngapi? Naskia kua tarehe huwa na washindi wengi.
Mie naangalia lakini naona cpat majibu nifanyeje bro ebm nambiwa iformation entered is not valid
Bm nimepoteza my confirmation no.,vipi
Mungu awabariki wote mlio shinda jamani hii kitu Haina uchawi ni bahati tu
EBM huyo ni uchawi siyo bule😂 mbona sisi tulikosa mara mingi
Mimi sijajua mtu mmoja akishinda mara ya kwanza inakuwaje ashinde mara ya pili? Kwani hawa wamarekani hawana rekodi za nyuma za muombaji huyo?
woow
Kaka m nashukuru nilikuja kufanyia ofsn kwako lkn nimeferi mwakani ntajalibu tean
Mimi iyi mambo ya green card siyataki Tena kabisa mara 6 sote si win nakuko wengine Wana win mara mbili apana kabisa labda is the scam 😭😭😭
Ebm nimesahau confirmation number nisaidie kuipata nilikujq pale ofisini kwako mlimani
Mm nataka kuuliza kucheza iyo ni lzm uwe na Elimu ya juu au ata ya la Saba unaweza cheza na ukashinda
Mimi nimeangalia kama nimewin lakini sipati jibu hata sielewi ni vp
Hivi enm unaweza shinda ukaja marekani na ukitaka kuhamia Canada kuishi watakuruhusu
Mimi inan andikia not VALID INFO MATION maaana yake nini au mtandao upo bize?
Au ndo nijipange tena?
Namna gan ya kuangalia matokeo
Hongeleni sans mlioshinda Mimi niliomba lakini sijashinda, tusikate tamaa ndugu zangu tuendee kuomba Tena na Tena Ebm usituchoke kaka endelea kupambana na sisi tuko nyuma Yako.
Mashallah hawa wana bahati sana
Naomba msaada wako mbona hiyo comfamation Mimi sijaijua ni ipi sipati kuangalia matokeo yangu
Hukuinakili sehemu??
Ulisema kesi namba yake ni ndogo unamaanisha Nini
Nisaidiye please
Mngu yupo kweli
Napig no yako ya ofcni inaita tu
Hata Kuna jama kashindaa mwaka Jana case yake ilikuwa 49k mwezi ujao anaenda kwa interview na mwaka huu kashindaa.mwaka huu kapata case 75k
Kwani huko marekani ni mbingu, mbona hapa hapa tu bongo maisha unatoboa
Mkuu wa Kazi nataka nije ofisini kwako pale mlimani city nije niangalie matokeo yangu nilijaza form ya green card
Kwani huyu brother yupo Dar?
@@naomikatharinaandrewmnkai6760 yupo USA lakini ana ofisi yake pale mlimani city
Mimi na mke wangu tumekosa inshaallah wacha tunijipange tena maana ulituombea wewe kupitia officer yuko ya dar es salaam
Kuna Watu na baraka zao
Vita ni vita muraaa
mimi na wife wote tumeshindwa , duhu watu wanabahati ila nitajaza tena mwaka huu
Awe hogera sna
Nilipoteza confirmation number
Ukienda kuangalia matokeo kuna sehemu wameandika forgot confirmation number?? Nadhani wanaweza kukutumia tena
Rudi hapo cyber maybe umeshida 😢😢
Mtangonja sana trump is coming.....hakuna kwenda mahali.....
Yaani wengine tumecheza miaka nenda miaka Rudi hadi tumekuwa wazee wengine wameshinda mara mbili wakirudia
Wewe ni balaa mkuu naona kwenye live ya jana ni almost nusu siku kabisa ukitoa value barikiwa sana na hongera kwao
Nasubiri majibu but ntafanya maombi tena na tena even in 10 years mpaka niwin ama watoe huduma hiyo😂
I'm a global citizen based in Tanzania 🇹🇿 & 🇺🇸 in few years
woow
Awe hogera sna