Vicent Kigosi WAVES OF SORROW 2B LATEST FULL MOVIE | BONGO MOVIES| FILAMU ZA KIBONGO
HTML-код
- Опубликовано: 1 окт 2024
- Nesh Mohamed, Vicent Kigosi , Rose Ndauka.
Usaliti ni deni ambalo hulipwa na msaliti,Thamani ya maisha na siri ya mafanikio ipo kwa watu kuishi wakiwa waaminifu katika ndoa zao…
Betrayal is a debt paid by the traitor, the value of life and the secret to success lies in the fact that people live honestly in their marriage…
Waaah.Yaani Mirriam ndio alifanya mume wake afe?Enyewe hii dunia hakuna wa kuaminika.Mirriam kasaliti rafiki yake aliye msaidia.In real life ivyo ndio kuko.Ukisaidia mtu msaidie roho safi but husimwamini ama udhani siku moja atashukuru.Fanya kazi ya Mungu na sifa zimwendee Mungu.Kusaidia ni kazi ya Mungu na hatuwezi kosa kuifanya juu ya wale watu wanalipa na ubaya..
Binadamu, matatinzo mengine husababiswa na yeye kisha kumlaumu Mungu.
Eti sikumtendea haki Nan's wakati nikama ww miriam ulikua unayataka kwanza nyumba siyako umekaribishwa umemaliza shuuli zako nenda ukalale we wajiremba wajiweka sebuleni kambae ww ndio mwenyenyumba si ulikia umekusudia tu mshenzi kweli mafunzo lakini hayo asanteni kwa move nzuri tu💕
😭😭😭😭😭😭😭😭
Kweli usemayo haata angeweza kukimbia kwa room yke na akajifungia ye ameenda jipeleka mwenyewe kisha anasubiri
ndo nilitaka niulize aliekukaribisha hayupo dada wa kaz kaenda kulala we umekaa sebulen ukiwa unamsubr nan
Huyo batuli atakuwa Ana ukimwi huko aliko maana kila movie lazima ahonekane na ukimwi
Movie tam.jamani nimejifunza kituh mungu wangu miriyam amakweli rafiki yako ndio aduwiyako
😂😂😂😂😂 Wew kaa hko China ya Kariakoo hku wenzio na macho ya goroli km unaniita👆🏽
Kunakitu nimejifunza nawapenda wote murioshiriki ktk filamu
Kikulacho kinguoni mwakooo100%🦍
Mwana kulitafuta mwana kulipata
😂😂Kumbe mateso alokuwa anapitia Miriam ilikuwa ni malipo 😂😂😂😂
😅😅😅
ndio mara zote tuambiwa ucmuwamini mtu moja kwa moja haaa inackitisha wee mariyam umectiriwa na mwenzako unamtendea hv hii story imenigusa sana 😭kwn lilinikuta hili kwa mtu nilomuwamini na kujuwa ni rafiki😭😭
Pole
Looh
Mwana kulitafuta Mwana kulipata
Jamani natafuta ile movie ya Rose Ndauka, Stephen kanumba na Grace mapunde (Tesa) mwenye anajua jina plz
Tafuta kwenye youtube
@@danvasco4430 Saa nitaitafutaje kaa sijui jina
Inaitwa BECAUSE OF YOU
@Neema Stephen jamaa kasema Because of you
@@danvasco4430 Nime Search na ckuipata
hy miriam kumbe alikuwa ni mbwa mwitu alojivisha ngozi ya kondoaa alikuwa ajatulia toka mwanzo dah
Mungu hakupi mateso ela kwa Maana yake
24 and 7 🤩👍kigosi umetisha eti
😂😂😂😂😂😂😂😂bonge moja la movie🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Nyanyuka nione wa wa Wa 😂😂! jamaa chizi kweli, ila napenda movie from +254🇰🇪🇰🇪 Nairobi 👌👌
Wowoo 😂
@@revinasimba9523Ray chizi vile
Hahahahahahaha asantee maua
Nimejifunza kitu kwenye hii movie jmn wanawake wenzangu tujifunze kitu hapa xaxa kama Miriam alikua na michepuko kipindi mumewe yupo alivokufa michepuko ilikua wapi maana kahangaika peke yake jmn tutulie na ndoa zetu
Jamani 🤣🤣🤣🤣Mariam nakuonea huruma
Bado niko najisayidiya😁😁😁😁😁😁 mungu wangu🇧🇮
Mm pia nimecheka sanaa
Wallah tenda wema nenda zako fundisho kubwa sana asateni
Yani dada yangu tena ayo yapo inauma😭😭
I like hiyo Behind the Scene kumbe kunachekaka hivi , naona ata nafurahia zaidi
Miriam: Unalala humu ndani
Ray: Niende wapi
Miriam: Si chumbani kwako
Ray: kufanya nn,😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
🔥🔥🔥
Ni tajiri mwenye heshima pia ni nyóta mwingizaji wa filamu TANZANIA KENYA UGANDA NA PIA PEMBÉNI ZOTE ULIMWENGUNI
Yaliyo fanyika kwa Movie ya Oprah ndo haya.
Usaliti mbaya sana ndo maana mi sitaki kupenda nimeipenda hii move imefundisha vingi
Tatizo sio kusalitiw,tatizo ushauri ulikuw mbaya san. Ushauri alopew sio mzuri.dada etu alikuw hatak bhana hata kwamba alikuw hana maisha mazur,ila ushauri alopew ilibidi akubali sabb ya maisha yak,so tuchunguze ushauri tunaopew
Nice movie 🙏🙏🙏watching from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Tenda mema nenda zako usingoje shukurani Miriam amekosea sana
Picha nzuri kabisa,from Uganda
Eziekel 🤣🤣🤣umekwsha 😁😁😁😁
Nimejifunza mengi. waaw such an amazing movie💖
😐😐😐😐😐😐
😂😂😂😂😂jordani anarainika utamuaca make wako weye nimze wakuvuca ndawa tu😂😂😂
Mzee jengua😭😭😭😭pumzika kwa amani
Wanawak Wanapit Ndowa zabo Nyumaa Njo Ivoo Nawey Ezéchiel Pol pol Iy nj Résultats y Kufulaii N bibi uy yik anahangaik ju Yenuu😭😭😭😭 Siwezi Kutunzaa
Tenda mema nenda zako
Asante sana
Kumbe Miriam n nyoka ata cwezi kuurumia mtu tena
Sana ndio maana part ya nyuma akalala na mwnamume mgeni mwnzo kuonana kisha akamuibia kila kitu
Move ni nzur sana na nimeinjoy hasa behind the scene nimecheka mpaka mbavu zinauma
Batuli Bado kabisa kwenye movie yani ushaaribu Bado unajiachia kwenye nyumba ya watu
Fadhiri mbuzi unywe mchuzi binadam wanamaudhi funzo kubwa saaaana
Love this film from burundi 😂
Hellooo?? Kwakweli iyi film inanipa funzo likubwa duuuh unatenda mema unalipwa mabaya milliam ulikosea saana rafiki alikucukua kama ndugu:ezekiel duuuh eti nende wapi kanogewa huyo wanawak tuw makini saana
Hata kama moyo wangu wauma ka mimi mke wa Ezekl
Nice 👍
Nimecheka Ezekiel ndani hapakaliki.. Ila tujifunze hawa marafiki
Yaani Miriam angalia🤣🤣
Nimekukubari sana kingosi mwenderezo
Kufumwa hatary kwa afya 🤣
Ushauri wa bure wenye ndoa zetu tutulie katika zetu.
Mnaweza kutulia Sasa😂😂😂😂😂
Kuzoea zoea mwisho unazoea majini
Lkn wanadamu wengine hawafadhiliki kweli
Vicent😂😂😂weye nimtoto mubaya bby tamu😅😅😅
Ushemeji jamn huu ushemejiiiii😜😜😜😜😜😜😜💃🏼💃🏼💃🏼💃🏼
Duh jmn binadam hatuna hisani. Miriam jmn ndo umefanya nn
kiukweli wanaume niwa baya sn mtu narafiki ake kisa anamatatizo daah wanaumeee mbona athiyenu ipo chini ivyoo kwani amuwezi kuvumilia
Asante
Mwanamume alikataa huyo mschana kuishi kwa nyumba yke.ela mwanamke ndio alomleta bila ushauri wa mumewe.nyinyi ni mashetani bila kujijua
Mashallah nimejifunza mengisana😢😓😓😓😓😓
Dah 😓😓😓😓😓😢😢😢😢😢😢
Uuuwiiiiii jamanii
Merry nimshenz sn dastan kafa na kihoro
Ezekiel kajuta jameni eti taamu uuuh ivi inakua cungu vih inamu pokonyaa noma saana laaa
Hongela maua mambo ndohayo
Namkubali sana
Tenda mema nenda zako gai!
Roy 😂😂😂😂😂
Mwenye kulitafuta miriamu
Inatiya uruma maskin Ezekier umetumiya unjinga sana 😓😓
Pia tena ni nyóta mwingizaji mwenye heshima tele
Ezekiel amenichekesha ati Ezekiel amekufa aaaaaa nacheka sana fundisho hilo
Lazima ujieleze kwa make wako
nzur sana
Vincent keep on acting you are talented
MR KINGOSI VINCENT NAKUTAMBUA SANA
hata Doctor anapeleka umbeya
🤣🤣
Moves inamafuzo mengi
Ummmm mama Sofia I can see you
Sijuwi iyi muvi niya mwaka gani, ma naiyona leo 2023
Tuko wote
Miriamu usimusarit RAFIKI yako
Siku zote unaammbiwa ukipewa ushauri changanya na zako
Uyu maid sini batuli 😅
😂😂😂jordani were nikinara
Nimepata funzo kali Sana kwa hii movie.. Nashukuru allahamdullah
Weee ndiwe nyoka Miriam huna Hata hayaa waaa hili ni funzo Kwa kweli
Pia tena ni msanii mwenye mamlaka
Angola nayipenda sana
Wooooi mwiba huu miriam
24 hours in low
Next levo hongera sana
Mwanakuyafind mwanakuyaget
Hahahahaa nakweli
Mume anza Ku enjoy sasa eeeee Miriam
piga mambo mpaka asbhi broo Leo upo fit ww
Me Ezekiel, unaceza movie nzuli, ila unanaswa
Hii bado hijaisha
Napiga mambo hahaaaaaaaa
Filamu nzuri sana na yenye mafunzo tele...nimeipenda
Waves of Sorrows.💥💥💥💥💥🤞💨💫
Kumbe mama kimbo ni mama dastan yan mke wa mzee jengua ndo nimejua sasa kumbe mamakimbo😘😘😘😘😘😘😘😘😘😉😉
Cnvc
Ok
huyu Mariam ndo tabia yake hiiii means mzoefuu na experience zake
Miriam ni maraya sana