Vicent Kigosi WAVES OF SORROW 2B LATEST FULL MOVIE | BONGO MOVIES| FILAMU ZA KIBONGO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 окт 2024
  • Nesh Mohamed, Vicent Kigosi , Rose Ndauka.
    Usaliti ni deni ambalo hulipwa na msaliti,Thamani ya maisha na siri ya mafanikio ipo kwa watu kuishi wakiwa waaminifu katika ndoa zao…
    Betrayal is a debt paid by the traitor, the value of life and the secret to success lies in the fact that people live honestly in their marriage…

Комментарии • 220

  • @kokicomedian5448
    @kokicomedian5448 4 года назад +11

    Waaah.Yaani Mirriam ndio alifanya mume wake afe?Enyewe hii dunia hakuna wa kuaminika.Mirriam kasaliti rafiki yake aliye msaidia.In real life ivyo ndio kuko.Ukisaidia mtu msaidie roho safi but husimwamini ama udhani siku moja atashukuru.Fanya kazi ya Mungu na sifa zimwendee Mungu.Kusaidia ni kazi ya Mungu na hatuwezi kosa kuifanya juu ya wale watu wanalipa na ubaya..

  • @donaldmwita4227
    @donaldmwita4227 3 года назад +6

    Binadamu, matatinzo mengine husababiswa na yeye kisha kumlaumu Mungu.

  • @MohamedMohamed-ln6yc
    @MohamedMohamed-ln6yc 4 года назад +10

    Eti sikumtendea haki Nan's wakati nikama ww miriam ulikua unayataka kwanza nyumba siyako umekaribishwa umemaliza shuuli zako nenda ukalale we wajiremba wajiweka sebuleni kambae ww ndio mwenyenyumba si ulikia umekusudia tu mshenzi kweli mafunzo lakini hayo asanteni kwa move nzuri tu💕

    • @rebeccasarah7764
      @rebeccasarah7764 4 года назад

      😭😭😭😭😭😭😭😭

    • @maherzain615
      @maherzain615 3 года назад

      Kweli usemayo haata angeweza kukimbia kwa room yke na akajifungia ye ameenda jipeleka mwenyewe kisha anasubiri

    • @boscoloritah4404
      @boscoloritah4404 2 года назад

      ndo nilitaka niulize aliekukaribisha hayupo dada wa kaz kaenda kulala we umekaa sebulen ukiwa unamsubr nan

  • @emmanuellotengyalojust2053
    @emmanuellotengyalojust2053 3 года назад +2

    Huyo batuli atakuwa Ana ukimwi huko aliko maana kila movie lazima ahonekane na ukimwi

  • @sarahdjuma2566
    @sarahdjuma2566 4 года назад +5

    Movie tam.jamani nimejifunza kituh mungu wangu miriyam amakweli rafiki yako ndio aduwiyako

  • @fabianndimanya2055
    @fabianndimanya2055 4 года назад +4

    😂😂😂😂😂 Wew kaa hko China ya Kariakoo hku wenzio na macho ya goroli km unaniita👆🏽

  • @فريدسلطان-و5ح
    @فريدسلطان-و5ح 4 года назад +6

    Kunakitu nimejifunza nawapenda wote murioshiriki ktk filamu

  • @lorysarafina9275
    @lorysarafina9275 4 года назад +7

    Kikulacho kinguoni mwakooo100%🦍

  • @johariniyonkuru6056
    @johariniyonkuru6056 4 года назад +5

    Mwana kulitafuta mwana kulipata

  • @shuubinty1447
    @shuubinty1447 3 года назад +6

    😂😂Kumbe mateso alokuwa anapitia Miriam ilikuwa ni malipo 😂😂😂😂

  • @salmeally4464
    @salmeally4464 4 года назад +14

    ndio mara zote tuambiwa ucmuwamini mtu moja kwa moja haaa inackitisha wee mariyam umectiriwa na mwenzako unamtendea hv hii story imenigusa sana 😭kwn lilinikuta hili kwa mtu nilomuwamini na kujuwa ni rafiki😭😭

  • @Hajj75
    @Hajj75 4 года назад +6

    Mwana kulitafuta Mwana kulipata

  • @neemastephen4245
    @neemastephen4245 4 года назад +4

    Jamani natafuta ile movie ya Rose Ndauka, Stephen kanumba na Grace mapunde (Tesa) mwenye anajua jina plz

  • @salmeally4464
    @salmeally4464 4 года назад +6

    hy miriam kumbe alikuwa ni mbwa mwitu alojivisha ngozi ya kondoaa alikuwa ajatulia toka mwanzo dah

    • @maherzain615
      @maherzain615 3 года назад

      Mungu hakupi mateso ela kwa Maana yake

  • @ucjvvjcjjvih9934
    @ucjvvjcjjvih9934 4 года назад +5

    24 and 7 🤩👍kigosi umetisha eti

  • @alimashaban6318
    @alimashaban6318 4 года назад +9

    😂😂😂😂😂😂😂😂bonge moja la movie🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @danvasco4430
    @danvasco4430 4 года назад +7

    Nyanyuka nione wa wa Wa 😂😂! jamaa chizi kweli, ila napenda movie from +254🇰🇪🇰🇪 Nairobi 👌👌

  • @jeniferkujinda8073
    @jeniferkujinda8073 3 года назад +4

    Hahahahahahaha asantee maua

  • @beatricemkinga3351
    @beatricemkinga3351 4 года назад +6

    Nimejifunza kitu kwenye hii movie jmn wanawake wenzangu tujifunze kitu hapa xaxa kama Miriam alikua na michepuko kipindi mumewe yupo alivokufa michepuko ilikua wapi maana kahangaika peke yake jmn tutulie na ndoa zetu

  • @sandrakateslopez2488
    @sandrakateslopez2488 4 года назад +7

    Jamani 🤣🤣🤣🤣Mariam nakuonea huruma

  • @مارياكافشى
    @مارياكافشى 4 года назад +5

    Bado niko najisayidiya😁😁😁😁😁😁 mungu wangu🇧🇮

  • @hadijasalimu1808
    @hadijasalimu1808 4 года назад +6

    Wallah tenda wema nenda zako fundisho kubwa sana asateni

    • @zou7470
      @zou7470 4 года назад +1

      Yani dada yangu tena ayo yapo inauma😭😭

  • @mathildemwangaza109
    @mathildemwangaza109 4 года назад +6

    I like hiyo Behind the Scene kumbe kunachekaka hivi , naona ata nafurahia zaidi

  • @irenewilbard2513
    @irenewilbard2513 4 года назад +11

    Miriam: Unalala humu ndani
    Ray: Niende wapi
    Miriam: Si chumbani kwako
    Ray: kufanya nn,😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @KimanziJOSEPH
    @KimanziJOSEPH Месяц назад

    Ni tajiri mwenye heshima pia ni nyóta mwingizaji wa filamu TANZANIA KENYA UGANDA NA PIA PEMBÉNI ZOTE ULIMWENGUNI

  • @davidlitunya3993
    @davidlitunya3993 3 года назад +3

    Yaliyo fanyika kwa Movie ya Oprah ndo haya.

  • @magrethkinyamagoha6251
    @magrethkinyamagoha6251 4 года назад +2

    Usaliti mbaya sana ndo maana mi sitaki kupenda nimeipenda hii move imefundisha vingi

  • @irakozemariana6143
    @irakozemariana6143 Год назад

    Tatizo sio kusalitiw,tatizo ushauri ulikuw mbaya san. Ushauri alopew sio mzuri.dada etu alikuw hatak bhana hata kwamba alikuw hana maisha mazur,ila ushauri alopew ilibidi akubali sabb ya maisha yak,so tuchunguze ushauri tunaopew

  • @fariothetiler9928
    @fariothetiler9928 4 года назад +4

    Nice movie 🙏🙏🙏watching from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @zuhuraabdallah3377
    @zuhuraabdallah3377 4 года назад +3

    Tenda mema nenda zako usingoje shukurani Miriam amekosea sana

  • @kombifabricetv6821
    @kombifabricetv6821 4 года назад +4

    Picha nzuri kabisa,from Uganda

  • @mariamnjama3963
    @mariamnjama3963 2 года назад +2

    Eziekel 🤣🤣🤣umekwsha 😁😁😁😁

  • @halimamohamed5327
    @halimamohamed5327 4 года назад +8

    Nimejifunza mengi. waaw such an amazing movie💖

  • @samyabahatialhiani401
    @samyabahatialhiani401 9 месяцев назад

    😂😂😂😂😂jordani anarainika utamuaca make wako weye nimze wakuvuca ndawa tu😂😂😂

  • @shuubinty1447
    @shuubinty1447 3 года назад +4

    Mzee jengua😭😭😭😭pumzika kwa amani

  • @irakozechimene9879
    @irakozechimene9879 3 года назад +1

    Wanawak Wanapit Ndowa zabo Nyumaa Njo Ivoo Nawey Ezéchiel Pol pol Iy nj Résultats y Kufulaii N bibi uy yik anahangaik ju Yenuu😭😭😭😭 Siwezi Kutunzaa

  • @agustinojoseph4157
    @agustinojoseph4157 3 года назад +3

    Tenda mema nenda zako

  • @christabellamuhavi3183
    @christabellamuhavi3183 4 года назад +4

    Kumbe Miriam n nyoka ata cwezi kuurumia mtu tena

    • @maherzain615
      @maherzain615 3 года назад

      Sana ndio maana part ya nyuma akalala na mwnamume mgeni mwnzo kuonana kisha akamuibia kila kitu

  • @neriamtawa7863
    @neriamtawa7863 Год назад +1

    Move ni nzur sana na nimeinjoy hasa behind the scene nimecheka mpaka mbavu zinauma

  • @lucynelsonmungure1719
    @lucynelsonmungure1719 3 года назад +1

    Batuli Bado kabisa kwenye movie yani ushaaribu Bado unajiachia kwenye nyumba ya watu

  • @AnethJoseph-m5i
    @AnethJoseph-m5i 7 месяцев назад

    Fadhiri mbuzi unywe mchuzi binadam wanamaudhi funzo kubwa saaaana

  • @barrybecker1962
    @barrybecker1962 4 года назад +4

    Love this film from burundi 😂

  • @omaralqarni9326
    @omaralqarni9326 3 года назад +1

    Hellooo?? Kwakweli iyi film inanipa funzo likubwa duuuh unatenda mema unalipwa mabaya milliam ulikosea saana rafiki alikucukua kama ndugu:ezekiel duuuh eti nende wapi kanogewa huyo wanawak tuw makini saana

  • @vitreenandeth3457
    @vitreenandeth3457 3 года назад +2

    Hata kama moyo wangu wauma ka mimi mke wa Ezekl

  • @zawalil7004
    @zawalil7004 4 года назад +4

    Nice 👍

  • @esterelias8189
    @esterelias8189 4 года назад +2

    Nimecheka Ezekiel ndani hapakaliki.. Ila tujifunze hawa marafiki

  • @agripinamkula5346
    @agripinamkula5346 4 года назад +5

    Yaani Miriam angalia🤣🤣

  • @edinaedwin4829
    @edinaedwin4829 3 года назад +2

    Nimekukubari sana kingosi mwenderezo

  • @zadnoorzad9195
    @zadnoorzad9195 4 года назад +4

    Kufumwa hatary kwa afya 🤣

  • @raheemdaru
    @raheemdaru 4 года назад +2

    Ushauri wa bure wenye ndoa zetu tutulie katika zetu.

  • @issayamwingila2236
    @issayamwingila2236 3 года назад +2

    Kuzoea zoea mwisho unazoea majini

  • @rafftonefondo-su1yo
    @rafftonefondo-su1yo Год назад

    Lkn wanadamu wengine hawafadhiliki kweli

  • @samyabahatialhiani401
    @samyabahatialhiani401 9 месяцев назад

    Vicent😂😂😂weye nimtoto mubaya bby tamu😅😅😅

  • @julytito3891
    @julytito3891 4 года назад +2

    Ushemeji jamn huu ushemejiiiii😜😜😜😜😜😜😜💃🏼💃🏼💃🏼💃🏼

  • @levinapetro8059
    @levinapetro8059 3 года назад +1

    Duh jmn binadam hatuna hisani. Miriam jmn ndo umefanya nn

  • @mundelemuzuri9623
    @mundelemuzuri9623 3 года назад +2

    kiukweli wanaume niwa baya sn mtu narafiki ake kisa anamatatizo daah wanaumeee mbona athiyenu ipo chini ivyoo kwani amuwezi kuvumilia

    • @BongoCinematv
      @BongoCinematv  3 года назад

      Asante

    • @maherzain615
      @maherzain615 3 года назад

      Mwanamume alikataa huyo mschana kuishi kwa nyumba yke.ela mwanamke ndio alomleta bila ushauri wa mumewe.nyinyi ni mashetani bila kujijua

  • @fatumallove9552
    @fatumallove9552 4 года назад +3

    Mashallah nimejifunza mengisana😢😓😓😓😓😓

  • @mudimoz9329
    @mudimoz9329 Год назад

    Dah 😓😓😓😓😓😢😢😢😢😢😢

  • @saidabae7101
    @saidabae7101 4 года назад +3

    Uuuwiiiiii jamanii

  • @aderianawinifredy1210
    @aderianawinifredy1210 3 года назад +1

    Merry nimshenz sn dastan kafa na kihoro

  • @omaralqarni9326
    @omaralqarni9326 3 года назад +1

    Ezekiel kajuta jameni eti taamu uuuh ivi inakua cungu vih inamu pokonyaa noma saana laaa

  • @ShijjaKizumbi
    @ShijjaKizumbi 8 месяцев назад

    Hongela maua mambo ndohayo

  • @selemanndumu8876
    @selemanndumu8876 4 года назад +3

    Namkubali sana

  • @christabellamuhavi3183
    @christabellamuhavi3183 4 года назад +3

    Tenda mema nenda zako gai!

  • @shakilasharifa9
    @shakilasharifa9 Год назад

    Roy 😂😂😂😂😂

  • @hassnakhamis3489
    @hassnakhamis3489 Год назад

    Mwenye kulitafuta miriamu

  • @shanishashaqueen3937
    @shanishashaqueen3937 4 года назад +2

    Inatiya uruma maskin Ezekier umetumiya unjinga sana 😓😓

  • @KimanziJOSEPH
    @KimanziJOSEPH Месяц назад

    Pia tena ni nyóta mwingizaji mwenye heshima tele

  • @mathildemwangaza109
    @mathildemwangaza109 4 года назад +2

    Ezekiel amenichekesha ati Ezekiel amekufa aaaaaa nacheka sana fundisho hilo

  • @Gasimba785
    @Gasimba785 4 года назад +2

    Lazima ujieleze kwa make wako

  • @bijeali7285
    @bijeali7285 4 года назад +3

    nzur sana

  • @StacyAlbanus
    @StacyAlbanus 11 месяцев назад

    Vincent keep on acting you are talented

  • @KimanziJOSEPH
    @KimanziJOSEPH Месяц назад

    MR KINGOSI VINCENT NAKUTAMBUA SANA

  • @didiermerci3003
    @didiermerci3003 4 года назад +2

    hata Doctor anapeleka umbeya

  • @Saadiya-t9r
    @Saadiya-t9r Год назад

    Moves inamafuzo mengi

  • @mathildemwangaza109
    @mathildemwangaza109 4 года назад +4

    Ummmm mama Sofia I can see you

  • @chicesther7642
    @chicesther7642 Год назад

    Sijuwi iyi muvi niya mwaka gani, ma naiyona leo 2023

  • @edinaedwin4829
    @edinaedwin4829 3 года назад +1

    Miriamu usimusarit RAFIKI yako

  • @meshackasajile3522
    @meshackasajile3522 4 года назад +1

    Siku zote unaammbiwa ukipewa ushauri changanya na zako

  • @MaryChao-ob9zl
    @MaryChao-ob9zl 8 месяцев назад

    Uyu maid sini batuli 😅

  • @samyabahatialhiani401
    @samyabahatialhiani401 9 месяцев назад

    😂😂😂jordani were nikinara

  • @salamahamadisudi1912
    @salamahamadisudi1912 4 года назад +2

    Nimepata funzo kali Sana kwa hii movie.. Nashukuru allahamdullah

  • @puritykarisa2290
    @puritykarisa2290 3 года назад

    Weee ndiwe nyoka Miriam huna Hata hayaa waaa hili ni funzo Kwa kweli

  • @KimanziJOSEPH
    @KimanziJOSEPH Месяц назад

    Pia tena ni msanii mwenye mamlaka

  • @LilyChifuijji
    @LilyChifuijji 6 месяцев назад

    Angola nayipenda sana

  • @wendie954
    @wendie954 2 года назад +1

    Wooooi mwiba huu miriam

  • @eliyajd8649
    @eliyajd8649 3 года назад +1

    24 hours in low

  • @sambaimataso6225
    @sambaimataso6225 4 года назад +2

    Next levo hongera sana

  • @mrspeter9487
    @mrspeter9487 4 года назад +2

    Mwanakuyafind mwanakuyaget

  • @mathildemwangaza109
    @mathildemwangaza109 4 года назад +3

    Mume anza Ku enjoy sasa eeeee Miriam

  • @Gasimba785
    @Gasimba785 4 года назад +1

    Me Ezekiel, unaceza movie nzuli, ila unanaswa

  • @nyandwiclaude5172
    @nyandwiclaude5172 3 года назад +1

    Hii bado hijaisha

  • @rahelchengula9359
    @rahelchengula9359 4 года назад +2

    Napiga mambo hahaaaaaaaa

  • @faithkemunto7191
    @faithkemunto7191 4 года назад +1

    Filamu nzuri sana na yenye mafunzo tele...nimeipenda

  • @Gasimba785
    @Gasimba785 4 года назад +4

    Waves of Sorrows.💥💥💥💥💥🤞💨💫

  • @aishatanzania1194
    @aishatanzania1194 2 года назад

    Kumbe mama kimbo ni mama dastan yan mke wa mzee jengua ndo nimejua sasa kumbe mamakimbo😘😘😘😘😘😘😘😘😘😉😉

  • @evaristemukono4273
    @evaristemukono4273 Год назад

    Cnvc

  • @fax2245
    @fax2245 4 года назад +1

    Ok

  • @boscoloritah4404
    @boscoloritah4404 2 года назад

    huyu Mariam ndo tabia yake hiiii means mzoefuu na experience zake

  • @jacksonwantiko6989
    @jacksonwantiko6989 4 года назад +1

    Miriam ni maraya sana