ANGEL FACES .EP.. 1 STARRING..RAY KIGOSI, MARIAM ISMAIL, WELU SENGO, NEEMA MALITY.
HTML-код
- Опубликовано: 29 сен 2024
- ANGEL FACES EP 1
WASICHANA WATATU WALIOKUTANA KWENYE UTAFUTAJI WA MAISHA NA KUWA MARAFIKI... FUATILIA KISA HIKI.
#vincentkigosi #raythegretest #raykigosi
Ujawayi kutu angusha Ray wewe ni legende tz❤❤❤❤❤❤wanao penda Angel faces wekeni like zenu ❤🎉🎉
Uuu mnyama mwingi hongela sana itafika mbali sana kwasababu.ma plays Wana uwezo mkubwa sana
Nilikua sijaziona hizi sura ni 🔥🔥🔥🔥kazi inainekana ni Zaid ya 🔥🔥🔥❤️❤️
Tandi inaendelea lini🎉
Hakika sasa umeamua kutufurahisha mungu akupe maisha marefu Asante sana
Naona picha sio quality naomba ubora wa picha boss ray
Unajua sana😊
Very nice👌👌but vipi.juhusu tandi kwani ndo iliisha ivyo😢
Nilikuwa busy asnte team🎉🎉🎉
Nakukubar sana kigosi✍️✍️
ray kuwa unajitahidi uweke zile melody mlikuwa mna tiya ukiceza pamoja na mrehemu kanumba
Ray Fanya bidii uturudishie Tandy
Nzur sana
Nzr mno
kwan tandi mbna hatuioni ukuu naboeka jmn aaaah
Vipi kuhusu série ya tandi
Kwahio Tandi VP hatupati tn AO njo munaianda
NINACHO KUSHAURI RAY NAWEWE WEKA EPSOD FUPI FUPI ILI KAZIYAKO IPENDWE ZAID KAMA WENGINE PANAPO KUWA PAZULI PAISHE ILI TUSUBILI KWA HAMU EPSOD INAYOFUATA SAWA.
Mbona camera sio clear 😢😢
ninatowa salamu zangu .wapedwa mungu Awabariki sana kutufurahisha .katika movie. tunashukuru sana
Ray anajua huyu jamaa sio majua Kali
Mwanzo mzuri🎉🎉good job our legend Ray❤much love from saudia...
Mr. Ray ungetoa Tandi part 2 kwanza ingekuwa bora zaidi ....otherwise hongereni kwa hii kazi mpya
Apa kazi tu! Vicenty és melhor, nos traz sempre boas novas... Bom trabalho
Inamana tandi ndo imeisha ama? Kama ndo imeishia pale eps ya 129 utakuwa umezingua sana broo.
Tunataka tandi mbn imefkia 129
Tuko sambamba RAY THE GREATEST❤ Najua umetuletea mazuriii😂❤
Nasubir tandi episode 130 jamn 🎉
ht mm asee mbn tandi haiendelei
Kila siku mm nachungulia kumbe bado haijatoka😅
Hata mimi nachoka kungoja
Nina swali naukiza hiyo yapili maana mimi niliacha129 ikija sehemu ya pili itaanza 130 ama mwanzo na itaitwaje? From 🇬🇧
Ray ninafuraha sana yani uku Zambia tukikusikiya sautiyako akiriri zinaeda wa mama wa baba mademu aa tunakupenda Ray me love you somuch form Zambia 💎 💍 love you
Pamoja sna hiyo time nitakuwa bz ila nimeona nitangulize comment ❤❤❤❤
Ray wewe ni msanii wa maana sana unatukumbuka hadi sisi wa youtube aiseee mungu akuweke brother na sisi hatutakuangusha keep it up
Kweli ume uliza swali zuri ni aseme iyo tendi sehemu ya pili ni vp
Alisema huku tukisubiri Tandi season ya pili tutaendelea n hii ili msiboeke wafatiliaji😂😂😂❤
Wow....kazi nzuri.umeamua kushirikisha mama mtoto chuchu.....I love u guys
Jamani ote tunao penda move? Naomba like zenu hapa ,from 🇧🇦🇧🇦🇧🇦
Tunaweza sema hivi.mafanikiyo mema na kutufurahisha😅😅❤❤❤❤🎉🎉🎉
Nanitumaini ya kuwa series iyi atakuwa tamu na Kali sana, huu ni mwanzo tu 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Tandi
Kwani Tandi imeisha bado nangojaaaaaaa😢😢
Na mimi najiuliza hivyo maana latha ina potea sasa
Kasema imeisha season 1bado season 2.
Me mwenyewenilijua tunaendelea na tand ya pili
Jaman Kwan tandi Iko wap
Jamn kweli tandi hatuioni tena
Watu wakagela tujuwane isipokuwa nipokenya kwa sasa 😊
Kwani tandi imeisha jameni naisubili bado
Naanzaje kukosa Kwa mfano,,ata huku pia niko
Mr Ray kisa kubwa sna mlifnya kwnye movie ya Tandi kua hatukujua hatim ya movie kuisha kivipi wkti hatukujua Tandi kaenda wapi ww mwnywe mapenzi yaliishia wapi n mengneo yenye maswali mengi kichwani kw wtu wanaotazama movie hii so utwambie kama kuna season 2 ama ndo pale iliisshia vile
Huna kazi mbovu kaka Rey ❤❤❤ maua yako hayo
Story za légende ni legende tu siyo kama huba,pazia,panguso azina msingi yaaani lakini za ray ni kiboko, TANDI PAKA ANGEL FACES ni bora 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
Kwan tandi mbasi aiendelei tena mwisho ni ile 130 mbona twasubiri kutoka juzi akuna kwani ni vipi Ray
Angle face ni nzr sn pia brother tunaomba na mwendelezo wa tandi
Sasa mbona kwenye tandi umetuacha njia panda mwisho wake nn sasa
We need tandi iendelee please RAY
Yaan nahis km kaboroga yawezekana ndo imeishia pale
Watching from Saudi Arabia thank you so much Ray the greatest 🎉🎉🎉❤❤
Saudi Arabia
🎉🎉🎉🇲🇿🇲🇿sempre vós desejo bom trabalho Ray kigosi ,
Tumalizie tandi
🤦🤦🤦tuliachia 130
bro kazi zako ninzury sana nilikuwa naomba kuuliza hiyo tamthilia ya tandi msimu wa.pili itachukua mda gani kuja
Kabisa #ray the greatest tujibu
Angel face ni kubwa ...nishaipenda
Kutoka saud Alabama mitaa ya shinyanga badala ya kuomba like naomba bando 😂😂😂😂
SEMA tandi usituangushe
Atuletee tandi 2 plz
Sasa ray ndio ina maanisha tandi imeshia hapo au?
Na mimi nauliza kama wewe
Ray tupe majibu ya tandi maana umetuacha njia panda
Alafu tandi hauwezi kuimaliziya?
Jamani Tandi ndoimeisha vile au??
Kazi nzur sana asante kwakuzidi kutufurahisha lakini tandi imeishiy pare ep129
Ata mm natamani kujua kama ni kuisha😢😢😢
Tandi bado inaendelea sema Anaitoa kama ilivyo toka Pazia kama uliwah kuitazama
Oy bro fanya bas uwe unatuagizia na tandi hata kipand kimoja kwa siku
Kwa kweli afanye
HELLO WATANZANIA TULIOKO UJERUMANI TUNASUBIRI NEW FILAMU PAMOJA NA TOLEO JENGINE LA TANDI MAANA TUKIONA HIZI FILAMU BARIDI HUPUNGUA
Teem fulus pia hatupitwi 😂
Ndo nimesign kuanza kuangalia
Nimemuona mama diba 😅😅😅
Na oba mutiye tandi Ep2 please
Vp kuhusu Tandi?????????????,😢
Good job mr Ray much love from Kenya
Maana me niliwacha sehemu ya 130
Tandi imeyishiya wapi ako Ray
Season one ndo imeisha amesem itaendelea season 2
Thenk you somuch
Napenda sana hii kaka,,,hasa inapoenda na beats za mvuto sana,,I like Ray
LAKIN KUNATAZO LINAJIRUDIA QUALITY NZUR YA VIDEO ILA IPO TOO MCH COMPLATION IV VIDEO ZINAONEKANA ZINACHENGA SANA ... MNAFANYA HVYO JUU YAKUSAVE STORAGE AU MB ILA MBAFANYA TOO MACH
Kaka Ray unatuchanganya mashabiki wako TANDI haijaisha umetutolea series mpya na hii haitoisha utatutolea ingine mbona unatupa uhondo nusu nusu tumalize TANDI bac
Ray Ray Ray nimekuita mara ngapi? Mbona hujatutendea haki?Tandi series hujatumalizia.😮😮😮
Kutoka South Africa Durban like zenu kwa tunaoanza pamoja❤❤
Nyingine?lakini tandi haijaisha.
Please do not do it again kama kwa ile woman of principles
❤❤❤❤😂😂😂😂🎉🎉🎉
Kwani Mzee baba #tandi imeshaisha?
Tandi vipi?
From rwanda❤❤❤
Nakubali bro, Akuna kupumzika ni kazi juu ya kazi
Mimi sijafurahiya shooting kabisaaa
Mwamba huyu hapa tenaaaa halafu nawashangaa kuna watu wanajinadi wao ndio wameishika bongo move tz 😂😂njoon huku tuwasomeshe😂
Thanks ray,,umeleta all my favorite actors from tz,,
Mm kama mshabiki wako naomba nitoe ushaur kuhusu quality ya video kaka, movie ni nzur ila quality sio bora sio HD.
Uki vizuri but jitahidi kwenye graphics, graphics ya hii video sio nzuri sana😢
Wabongo bado tuko nyuma saana uigizaji hatuvai uhalisia mtu anaigiza mpaka anaonekana anaigiza,tujifunze kutoka kwa nigeria..wale watu wako serious mpaka unaona ni kitu real
مشاله🎉
Ray unazingua Tandi imeisha wapi alafu mnatuletea Sirius Mpya hatujapenda hiyo
kwahiyo TANDI ndio tumepigwa bwana Kigosi????
Nahitaji tandi episode 130 jamani mulianza vizuri muka tuacha mataani kweli
Lkn Ray mbona ya tandi hujamalizia ulituacha hewan bila kujua sharon alipotezwa na nani,alipatkana au ilikuwaje
Malizia tandi basi mzee baba
Ule mchezo wa tandi umeishia epsodi ya 129 tu au utaendelea nakama utaendelea kwamda gani
Sasa joadan tungetafuta Sharon mwanzo,tukajua hatima y tandi ndo tukaanza hii,lkn sawa good job
❤❤❤❤
Brother huku Kenya tunakutambua sana kazi zuri baada ya kanumba kuondoka umetushika vizuri
Nam nauliz hivi team tandi kasha maliza au bodo?make episode 130 sijaiona au ni sim yang jaman
wowwwww
lakini kimwanamuke kizuri mbona ndicho kimekuja officin kwako bwana jyson ??
wewe babuu 🤣🤣
Kaka jitahd movie n nzuri ila huku RUclips haina mng'ao mzuri ila n nzuri
Yuko sawa ila afanyie quality ya picha kazi image ikiwa clear sana ina changia kwa mvuto zaidi.