WAVES OF SORROW 2A Vicent Kigosi LATEST FULL MOVIE | BONGO MOVIES| FILAMU ZA KIBONGO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 окт 2024
  • Nesh Mohamed, Vicent Kigosi , Rose Ndauka.
    Usaliti ni deni ambalo hulipwa na msaliti,Thamani ya maisha na siri ya mafanikio ipo kwa watu kuishi wakiwa waaminifu katika ndoa zao…
    Betrayal is a debt paid by the traitor, the value of life and the secret to success lies in the fact that people live honestly in their marriage…

Комментарии • 103

  • @mwanakhamiskhamis3115
    @mwanakhamiskhamis3115 4 года назад +23

    Hii movie imeonesha uhalisia wa roho za wanaume hazina Imani ya kweli. Imani ya wanaume ipo pale panapo matumaini ya kuiridhisha nafsi yake kimwili tu si kinyume na hivyo.

    • @kasongoomar376
      @kasongoomar376 4 года назад +1

      Si dhani kama uko sahihi

    • @Godbless-b7t
      @Godbless-b7t 4 месяца назад +1

      sio sahih wanaume tunaroh nzur tu sema kwenye msafara wa mamba kenge awakosi 100%🙏

  • @beatricemkinga3351
    @beatricemkinga3351 4 года назад +10

    Miriam nae mshenzi tu alishindwa kukimbilia Kwa maua mdada wa kaz Mrevi atakushindaje chefuuu

  • @burundibru4174
    @burundibru4174 3 года назад +6

    Mpaka nimeriya

  • @evansmumba9565
    @evansmumba9565 Год назад +1

    Iko muzuli sasa kimbaya muvi iko nafunguwa mutu akili kicwa ngisi bitafanika..

  • @nellyqueen8216
    @nellyqueen8216 4 года назад +11

    Pole sana Miriam
    Ndo jinsi dunia ilivyo
    Asante kwamafunzo

  • @christabellamuhavi3183
    @christabellamuhavi3183 4 года назад +5

    Nzuri lakini Miriam ungelikimbia uwende jikoni ama ujifungie kwa chumba chako ni kama ulitaka matatizo ata heri ungelala nje ama urudi kwa chumba ulichokioanga ,saa! Inasikitisha

    • @maherzain615
      @maherzain615 3 года назад

      Yap alkua aondoke tu hangemfata kwa nguvu.

  • @odiliamathias5424
    @odiliamathias5424 2 года назад +2

    Rey unaigiza kitambo lakini Bado kuigiza kulewa uweziii umeferi sana

  • @hamzabakari7379
    @hamzabakari7379 4 года назад +5

    Hamza bakar

  • @ladyj5089
    @ladyj5089 2 года назад +1

    Wallai miriam pole Ddangu wallai machozi yamenitoka ddangu pole sana ila inamafunzo mingi sana

  • @danielkaipai6233
    @danielkaipai6233 4 года назад +4

    Inafundisha

  • @danvasco4430
    @danvasco4430 4 года назад +5

    eti mrembo kalainika kama mrenda😂😂

  • @milliardere9177
    @milliardere9177 3 года назад +3

    Aca abebe msalaba wake unamsaidiya Mtu

  • @milliardere9177
    @milliardere9177 3 года назад +3

    Aca abebe msalaba wake unamsaidiya Mtu

  • @bizimanasaid7678
    @bizimanasaid7678 4 года назад +4

    Ndo maana ndugu zako walikua wakinambia unaroho mbaya
    Hhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh

  • @priscadaudi4849
    @priscadaudi4849 4 года назад +5

    Shida juu ya shida pole miriam

  • @KimanziJOSEPH
    @KimanziJOSEPH Месяц назад

    You are the super star MR KINGOSI VINCENT

  • @abasaliomar1020
    @abasaliomar1020 3 года назад +4

    Kufelewa na mtoto ni mtihani mkubwa

  • @raiabramadhan6044
    @raiabramadhan6044 4 года назад +3

    Aliesikia go go go go go tujuane

  • @scompanyswahili3024
    @scompanyswahili3024 4 года назад +7

    Really life story

  • @r.kassimtoutautre3432
    @r.kassimtoutautre3432 4 года назад +12

    Inatupa mafunzo fulani from🇹🇷

  • @samyabahatialhiani401
    @samyabahatialhiani401 9 месяцев назад

    Jordani naisi kunakitu nauyo muscana munafamiyana😂😂😂🇧🇮

  • @veronicahabaga6614
    @veronicahabaga6614 2 года назад +2

    So painful,but those are challenges

  • @abuuTengeneza
    @abuuTengeneza 3 года назад +3

    safi

  • @samyabahatialhiani401
    @samyabahatialhiani401 9 месяцев назад

    Kama nimimi bora niondoke siwezi saahu wema😂😂😂

  • @abasaliomar1020
    @abasaliomar1020 3 года назад +3

    Asante kwa kutufunza dadangu dunia inao changa moto

  • @مارياكافشى
    @مارياكافشى 4 года назад +5

    Unareta kunguni panya 😁😁😁😁😁🇧🇮

  • @zeldaraulian2013
    @zeldaraulian2013 2 года назад +1

    Always men can't let any beautiful woman to pass without passed with her

  • @alaincrespino2093
    @alaincrespino2093 4 года назад +3

    Nice movie

  • @tumakimaro6700
    @tumakimaro6700 2 года назад +1

    Binadamu ndio tulivyo Miriam pole san mamy na nashukur kwa mafunz yak

  • @mudimoz9329
    @mudimoz9329 Год назад

    Kah Hii Movie 😓😤😢😓😤😢😢😢😢

  • @KimanziJOSEPH
    @KimanziJOSEPH Месяц назад

    THE BIG BOSS MR KINGOSI VINCENT

  • @aminasaid8311
    @aminasaid8311 4 года назад +5

    Nyanyuka nilione wowowo😂😂😂

  • @Hajj75
    @Hajj75 4 года назад +4

    Miriam nae ana visa mabalaa yote aliopitia ajifunzi

    • @maherzain615
      @maherzain615 3 года назад

      Kisha eti analia. Eeh mungu nakukosea nn

  • @AnethJoseph-m5i
    @AnethJoseph-m5i 7 месяцев назад

    Kupiga mambo ndio nini?😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @jumahsuleyman9868
    @jumahsuleyman9868 2 года назад +2

    Imeweza

  • @husnasalim5739
    @husnasalim5739 4 года назад +4

    Mitihani juu ya mitihani

  • @aminakipande5645
    @aminakipande5645 2 года назад +1

    Ila ray weee kiboko

  • @johariniyonkuru6056
    @johariniyonkuru6056 4 года назад +4

    🤣🤣eti nyanyuka nilione wowowoooo

  • @KimanziJOSEPH
    @KimanziJOSEPH Месяц назад

    Ni tajiri pia mwenye aky mcheshi na pia ni nyota msanii wa kuaminika

  • @AmaniDaudi-sv2lb
    @AmaniDaudi-sv2lb 4 месяца назад

    Kiukweli mme tisha yani mnajua xnaa

  • @harunaabrahaman1679
    @harunaabrahaman1679 2 года назад +1

    Wow wow wow bonge ya picha

  • @miriamjuliuss9802
    @miriamjuliuss9802 Год назад +1

    😂😂😂😂😂mtoto kanipa vitu 😅chizi ili

  • @milliardere9177
    @milliardere9177 3 года назад +8

    Usimsaidiye Mtu. Diamond leo anajuta ku msaidiya Harmonize

    • @johajohar7777
      @johajohar7777 2 года назад +1

      😆😆😆

    • @maryamtanzania9743
      @maryamtanzania9743 2 года назад

      Unajua mtu anapenda akusaidie lkn usipige hatua lkn mondi. Hamsaidia hamonerz ila walifanya biashara hata mimi nipo nafanya kazi ndo napewa mshahara hivo kumbe nasaidiwa

  • @lawrencengari4568
    @lawrencengari4568 2 года назад +1

    Leo ni 24\7😅😅😅😅

  • @zawalil7004
    @zawalil7004 4 года назад +4

    Mtoto amelainika Kama mlenda

    • @Hajj75
      @Hajj75 4 года назад

      🤣🤣🤣🤣🤣

  • @rizoibrahimovich5592
    @rizoibrahimovich5592 3 года назад +3

    Kuigiza kulewa hawez kabsa

  • @odiliamathias5424
    @odiliamathias5424 2 года назад +1

    Msiba wa watu 2 duu! Iyo Kali

  • @liliantemu7362
    @liliantemu7362 4 года назад +4

    Khaaaa kisanga jmn😀

  • @crfshow3337
    @crfshow3337 5 месяцев назад

    nikali san iyi movie

  • @jihadalaghbry6340
    @jihadalaghbry6340 4 года назад +3

    hainanga ushemeji tubakulanga

  • @lucywangeci8391
    @lucywangeci8391 2 года назад +1

    Movie nzuri na ina mafunzo

  • @MohamedMohamed-ln6yc
    @MohamedMohamed-ln6yc 4 года назад +4

    Meriya amekosea kwani mlevi huwezi msikiza yake mitihani mingine niyakujitakia hovyoo

  • @reubenedwinnditi9979
    @reubenedwinnditi9979 3 года назад +2

    Sister Mary inahitajika

  • @DantezRaj-gk9zi
    @DantezRaj-gk9zi Год назад

    Safi

  • @DantezRaj-gk9zi
    @DantezRaj-gk9zi Год назад

    Safi

  • @DantezRaj-gk9zi
    @DantezRaj-gk9zi Год назад

    Safi

  • @ashurapandu7671
    @ashurapandu7671 4 года назад +5

    Heh jamony Rey ukilewa Una vituko 😂🤣. Pole marium kwa kilichokutokea bora adui shetani kuliko adui kiumbe loh kuna watu wana roho mbaya Aiseeeee! loh

    • @maherzain615
      @maherzain615 3 года назад

      Kipi kilichomtokea kama sikujitakia

  • @johariniyonkuru6056
    @johariniyonkuru6056 4 года назад +3

    Napenda Rose alie🤣🤣🤣

  • @claudecaptivakitakaricloud386
    @claudecaptivakitakaricloud386 2 года назад +1

    Vizuri kwa mafunzo.

  • @saidabae7101
    @saidabae7101 4 года назад +6

    🤣🤣🤣 ete bby taaammm bby taaaammm

  • @bnbnbnbbnvbn9006
    @bnbnbnbbnvbn9006 4 года назад +3

    😥😥😥 Miriam pole

  • @diakaseko734
    @diakaseko734 4 года назад +4

    Mh rey buana unaweza okota dhahabu kwenye tope

    • @Hajj75
      @Hajj75 4 года назад

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @westbreeze9490
    @westbreeze9490 3 года назад +1

    Nice movie isay

  • @madamboss348
    @madamboss348 4 года назад +3

    😥😥😥kuchukua shida za mtu kunyanyaza c poa

    • @mariamsaid7076
      @mariamsaid7076 4 года назад +3

      Iko safi sana,congratulation nyote nawapnda bure

    • @mariyaal5366
      @mariyaal5366 4 года назад +1

      @@mariamsaid7076 ina mafunzo tosha

    • @Hajj75
      @Hajj75 4 года назад

      Madam boss unategemea nn kwa mtu mwenye roho chafu

  • @theoniyonkuru6423
    @theoniyonkuru6423 4 года назад +1

    Sinema inacez watu watatu tu

  • @barakakolombo3342
    @barakakolombo3342 4 года назад +1

    Kisangaaaaaaaa

  • @neemaisaya4725
    @neemaisaya4725 4 года назад +4

    Ila Ray mjinga huyu 🤣🤣 mtoto kampa vitu balaa

  • @abubakarmpole4000
    @abubakarmpole4000 4 года назад +1

    Nice movie

  • @mamarizorizo3653
    @mamarizorizo3653 2 года назад +1

    Nyanyuka nipinge maji 🤣🤣🤣🤣💯👈 nawapenda sana ♥

  • @nicksonbundara95
    @nicksonbundara95 4 года назад +4

    Kimsingi hapo ubunifu umekosekana hatujaona nguvu kubwaa ya ushawishi na reaction ya miriam kuweka msisitizo kuwa hayupo tayar...tuongeze juhud bongo movies

    • @mwanamisihamisi9200
      @mwanamisihamisi9200 3 года назад

      Kabisaa c kwa urahic uo

    • @sarahmichael1449
      @sarahmichael1449 3 года назад

      Daaaah miriam umepitia kweny changamot lakin hii sio changamot ya kushid kuitatua sio vizury kumbuk fadhira za rafik yak nace

  • @fauziafauzia6348
    @fauziafauzia6348 4 года назад +3

    Hainaga ushemeji

    • @zou7470
      @zou7470 4 года назад +2

      Kwel kbs imenifanya nikumbuke mwaka 4nyuma aise shida🤦‍♀️🤦‍♀️

    • @Hajj75
      @Hajj75 4 года назад

      Zuhura Bizabishaka unahakika

    • @zou7470
      @zou7470 4 года назад

      @@Hajj75 ndio ninao kwasababu yamesha nitokeye mimi mwenyewe🤦‍♀️

    • @Hajj75
      @Hajj75 4 года назад

      @Zuhura Bizabishaka swahiba akakutenda na ukamfumania

    • @zou7470
      @zou7470 4 года назад

      @@Hajj75 aca siya kusema ila ndoivo kunavitu vingine kam havijakutokea huwezi kuamini kam vipo

  • @sophiakadege1318
    @sophiakadege1318 2 года назад +1

    Nampenda batuli jamani love sana

  • @freddiewilson9053
    @freddiewilson9053 4 года назад +3

    Kisanga..

  • @Gasimba785
    @Gasimba785 4 года назад +1

    Miriam, pole sana kabisa. Ujikaze ndio hayo ya dunia

  • @husnasalim5739
    @husnasalim5739 4 года назад +3

    Move mzur

  • @salmeally4464
    @salmeally4464 4 года назад +3

    hahaha baby tamu hahaha rey wewee hatari😂