WAVES OF SORROW 2A Vicent Kigosi LATEST FULL MOVIE | BONGO MOVIES| FILAMU ZA KIBONGO
HTML-код
- Опубликовано: 1 окт 2024
- Nesh Mohamed, Vicent Kigosi , Rose Ndauka.
Usaliti ni deni ambalo hulipwa na msaliti,Thamani ya maisha na siri ya mafanikio ipo kwa watu kuishi wakiwa waaminifu katika ndoa zao…
Betrayal is a debt paid by the traitor, the value of life and the secret to success lies in the fact that people live honestly in their marriage…
Hii movie imeonesha uhalisia wa roho za wanaume hazina Imani ya kweli. Imani ya wanaume ipo pale panapo matumaini ya kuiridhisha nafsi yake kimwili tu si kinyume na hivyo.
Si dhani kama uko sahihi
sio sahih wanaume tunaroh nzur tu sema kwenye msafara wa mamba kenge awakosi 100%🙏
Miriam nae mshenzi tu alishindwa kukimbilia Kwa maua mdada wa kaz Mrevi atakushindaje chefuuu
Mpaka nimeriya
Iko muzuli sasa kimbaya muvi iko nafunguwa mutu akili kicwa ngisi bitafanika..
Pole sana Miriam
Ndo jinsi dunia ilivyo
Asante kwamafunzo
Nzuri lakini Miriam ungelikimbia uwende jikoni ama ujifungie kwa chumba chako ni kama ulitaka matatizo ata heri ungelala nje ama urudi kwa chumba ulichokioanga ,saa! Inasikitisha
Yap alkua aondoke tu hangemfata kwa nguvu.
Rey unaigiza kitambo lakini Bado kuigiza kulewa uweziii umeferi sana
Hamza bakar
Wallai miriam pole Ddangu wallai machozi yamenitoka ddangu pole sana ila inamafunzo mingi sana
Inafundisha
eti mrembo kalainika kama mrenda😂😂
Aca abebe msalaba wake unamsaidiya Mtu
Aca abebe msalaba wake unamsaidiya Mtu
Ndo maana ndugu zako walikua wakinambia unaroho mbaya
Hhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh
Shida juu ya shida pole miriam
You are the super star MR KINGOSI VINCENT
Kufelewa na mtoto ni mtihani mkubwa
Aliesikia go go go go go tujuane
Really life story
Inatupa mafunzo fulani from🇹🇷
Mjifunze nyie wanaume
Kabisaaaa
Jordani naisi kunakitu nauyo muscana munafamiyana😂😂😂🇧🇮
So painful,but those are challenges
safi
Kama nimimi bora niondoke siwezi saahu wema😂😂😂
Asante kwa kutufunza dadangu dunia inao changa moto
Unareta kunguni panya 😁😁😁😁😁🇧🇮
Always men can't let any beautiful woman to pass without passed with her
Nice movie
Binadamu ndio tulivyo Miriam pole san mamy na nashukur kwa mafunz yak
Kah Hii Movie 😓😤😢😓😤😢😢😢😢
THE BIG BOSS MR KINGOSI VINCENT
Nyanyuka nilione wowowo😂😂😂
Miriam nae ana visa mabalaa yote aliopitia ajifunzi
Kisha eti analia. Eeh mungu nakukosea nn
Kupiga mambo ndio nini?😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Imeweza
Mitihani juu ya mitihani
Ila ray weee kiboko
🤣🤣eti nyanyuka nilione wowowoooo
Ni tajiri pia mwenye aky mcheshi na pia ni nyota msanii wa kuaminika
Kiukweli mme tisha yani mnajua xnaa
Wow wow wow bonge ya picha
😂😂😂😂😂mtoto kanipa vitu 😅chizi ili
Usimsaidiye Mtu. Diamond leo anajuta ku msaidiya Harmonize
😆😆😆
Unajua mtu anapenda akusaidie lkn usipige hatua lkn mondi. Hamsaidia hamonerz ila walifanya biashara hata mimi nipo nafanya kazi ndo napewa mshahara hivo kumbe nasaidiwa
Leo ni 24\7😅😅😅😅
Mtoto amelainika Kama mlenda
🤣🤣🤣🤣🤣
Kuigiza kulewa hawez kabsa
Yaan hapendezi ht chembe
Msiba wa watu 2 duu! Iyo Kali
Khaaaa kisanga jmn😀
nikali san iyi movie
hainanga ushemeji tubakulanga
Movie nzuri na ina mafunzo
Meriya amekosea kwani mlevi huwezi msikiza yake mitihani mingine niyakujitakia hovyoo
Sister Mary inahitajika
Asante sana
Safi
Safi
Safi
Heh jamony Rey ukilewa Una vituko 😂🤣. Pole marium kwa kilichokutokea bora adui shetani kuliko adui kiumbe loh kuna watu wana roho mbaya Aiseeeee! loh
Kipi kilichomtokea kama sikujitakia
Napenda Rose alie🤣🤣🤣
Vizuri kwa mafunzo.
🤣🤣🤣 ete bby taaammm bby taaaammm
😥😥😥 Miriam pole
Mh rey buana unaweza okota dhahabu kwenye tope
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nice movie isay
😥😥😥kuchukua shida za mtu kunyanyaza c poa
Iko safi sana,congratulation nyote nawapnda bure
@@mariamsaid7076 ina mafunzo tosha
Madam boss unategemea nn kwa mtu mwenye roho chafu
Sinema inacez watu watatu tu
Kisangaaaaaaaa
Ila Ray mjinga huyu 🤣🤣 mtoto kampa vitu balaa
Nice movie
Nyanyuka nipinge maji 🤣🤣🤣🤣💯👈 nawapenda sana ♥
Kimsingi hapo ubunifu umekosekana hatujaona nguvu kubwaa ya ushawishi na reaction ya miriam kuweka msisitizo kuwa hayupo tayar...tuongeze juhud bongo movies
Kabisaa c kwa urahic uo
Daaaah miriam umepitia kweny changamot lakin hii sio changamot ya kushid kuitatua sio vizury kumbuk fadhira za rafik yak nace
Hainaga ushemeji
Kwel kbs imenifanya nikumbuke mwaka 4nyuma aise shida🤦♀️🤦♀️
Zuhura Bizabishaka unahakika
@@Hajj75 ndio ninao kwasababu yamesha nitokeye mimi mwenyewe🤦♀️
@Zuhura Bizabishaka swahiba akakutenda na ukamfumania
@@Hajj75 aca siya kusema ila ndoivo kunavitu vingine kam havijakutokea huwezi kuamini kam vipo
Nampenda batuli jamani love sana
Kisanga..
Miriam, pole sana kabisa. Ujikaze ndio hayo ya dunia
Move mzur
hahaha baby tamu hahaha rey wewee hatari😂
Atari eee