HARUSI YA MTOTO WA MCH ELIONA KIMARO WA KIJITONYAMA DAR

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 окт 2021

Комментарии • 100

  • @mariagabba8401
    @mariagabba8401 2 года назад +12

    Hongera Sana Dr na Mchungaji Kimaro kwa Kuozesha

  • @vailetheanyambilile9749
    @vailetheanyambilile9749 2 года назад +3

    Mtumishi kimaro ana watoto wengi sana Hongera mchungaji kidago

  • @honorathapaschal1523
    @honorathapaschal1523 Год назад +1

    Hongera sana mch kimaro Umekuza mchungaji

  • @rosemsele8012
    @rosemsele8012 2 года назад +1

    Honger san mmenikee kushika shela anashindw kujiachia

  • @beatricepallangyo2821
    @beatricepallangyo2821 2 года назад +3

    Bwana Yesu Awabariki sana Mchungaji Kindago na Bibi Harusi .
    Mchungaji Dr. Kimaro na Mama Mbarikiwe sana

  • @aidashukuru5335
    @aidashukuru5335 2 года назад

    Wooooh Hongera kwao pia HONGERA kwa baba mchungaji KIMARO kwa kuozesha Mungu ampe baraka zote binti yako katika maish yake ya ndoa hakika ilipendez sna MBARIKIWE

  • @sophiamogitu558
    @sophiamogitu558 2 года назад +1

    Hongereni sana, watumishi wa Mungu, Mungu awabariki sana mzae sana pia tuishi maisha marefu,na mpendeze sana

  • @phoebemmanga6047
    @phoebemmanga6047 2 года назад +1

    Hongera sana Mch. Dr. Eliona kwa Harusi ya mtoto wako wa Kiroho Mch. Emmanuel Kidago. Mmependeza mno mno. MUNGU NI MWEMA awalinde. 👌👌👌👌👌🙏🙏🙏🙏🙏😍😍😍😍😍

  • @MsAggie5
    @MsAggie5 2 года назад +2

    Hongera sana mchungaji Kindago kwa kuoa, mkeo mzuri unajua kuchagua 😂 Mungu awabariki muishi maisha mema yenye baraka zote. Hongera baba mtumishi mchungaji Kimaro kwa kuozesha

  • @p2p700
    @p2p700 2 года назад +1

    Hongera Sana Mchungaji na Mama Mchungaji Kidago.Na iwe ndoa yenye Baraka zote za Mungu Katika Jina la Yesu.
    Looks Gucci👏👏

  • @hilgathjoshua8804
    @hilgathjoshua8804 2 года назад +2

    Hongera sana rev Emmanuel kidago❤💐🌷🌷

  • @phoebemmanga6047
    @phoebemmanga6047 2 года назад +4

    Hongera sana Mch. Emmanuel Kidago kwa kuoa! Kweli Baba wa Kiroho hajazaa mapooza. Mmependeza mno mno MUNGU AIBARIKI NDOA YENU.👌👌👌👌🙏🙏🙏🙏🙏😍😍😍😍😍

  • @crytonsijaona6164
    @crytonsijaona6164 2 года назад +2

    Mbarikiwe wapendewa, mtangulizeni Bwana daima katika maisha yenu. 🙏🙏🙏

  • @heavenlight5084
    @heavenlight5084 2 года назад

    Waooo! Hongera sana ma lovely dady

  • @eutropiangido9684
    @eutropiangido9684 2 года назад +2

    Hongera mtumishi Mungu awabariki.

  • @rogersodero7042
    @rogersodero7042 2 года назад +2

    Congrats Emmanuel kindago .

  • @user-hl4rw9xe3u
    @user-hl4rw9xe3u 2 года назад

    Hongera mchg kidago mungu akutangulie katika maisha mapya

  • @daughterofgod9185
    @daughterofgod9185 2 года назад

    Hongera sana Mchungaji Kidago kwa kupata msaidizi Mungu awabariki na kuwalinda ndoa yenu iwe ya amani na mafanikio🙏🏽

  • @gracealexander1450
    @gracealexander1450 2 года назад +1

    Hongera sana MUNGU AWABARIKI SANA katika ndoa yenu

  • @SporahEmmanuel-gc7lw
    @SporahEmmanuel-gc7lw Год назад

    Waoo!! mungu awatangulie katika ndoa yen pia mkavumiliane na ndoa yen iwe mbingu ndog

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 2 года назад

    Saaaaaaf saaana ,kumbukumbu nzuri maishani . HALELUYAAA AAAAH hongera saaaaaana BWANA NA BIBI , MCHJ KINDAGHO. NIMEFURAHI PIA KUMWONA MCHJ DR ELIONA KIMARO KKKT KIJITONYAMA AKIONGOZA KWA MADAHA NA BASHASHA, WANAYE HAO WALIOOANA. IMEPENDEZA HIYO KWELIKWELI. BARIKIWA SAAAAAANA

  • @zawadimeiyan677
    @zawadimeiyan677 2 года назад

    Hongera sana classmate, Julieth ngowi.....Adi humu umo.....umetishaaa

  • @devothaignatus5911
    @devothaignatus5911 2 года назад +1

    Ahsante mchungaji Kimaro mungu aktunze

  • @bridgetmbawala1029
    @bridgetmbawala1029 2 года назад +2

    God bless this couple.

  • @sweetluc2660
    @sweetluc2660 2 года назад +1

    Hongera Mchungaji kidago Hakika Mungu amekupa Mke mzuli

  • @thabeamiage5376
    @thabeamiage5376 2 года назад

    All the best dear

  • @lilomondi6697
    @lilomondi6697 2 года назад

    Honger sn MC KAKA MTUMISHI uko vzr

  • @mahewalekwasa210
    @mahewalekwasa210 2 года назад +4

    Hongera sana watumishi wa Mungu, mmependeza sana, Baba Mchungaji ni mnyenyekevu sana.

  • @mercykimuto9882
    @mercykimuto9882 2 года назад +1

    Hongera sana Mchungaji Kimaro

  • @sarahwawuda5164
    @sarahwawuda5164 2 года назад

    Hongera sana mchungaji kidago Mungu aibariki ndoa yenu

  • @dadarehema
    @dadarehema 2 года назад

    Wooow 🔥🔥🔥

  • @gloriajeremiagloriajeremia8158
    @gloriajeremiagloriajeremia8158 2 года назад

    Waooh Emmanuel kidago kaoa congratulation

  • @invocavitmbise5296
    @invocavitmbise5296 2 года назад

    Very interesting..ikawe heri kwenu

  • @perrywanjiru2754
    @perrywanjiru2754 2 года назад

    Hongera mtumishi kindago

  • @neemamwekwa7384
    @neemamwekwa7384 Год назад

    my class mate kd😍😍 mchungaji kidagoo

  • @lightnesstemba1719
    @lightnesstemba1719 2 года назад

    Hongera sana

  • @consolatamedard6593
    @consolatamedard6593 Год назад

    Mtumish umejua kuchagua jaman hongra naamin yupo vizur adi rohoni Mungu awatunze

  • @magdalenatuseko5394
    @magdalenatuseko5394 2 года назад

    Hongera Sana jamani mmependeza

  • @amenaameeena3317
    @amenaameeena3317 Год назад

    Ukweli kapata jiko la umeme mzuri sana binti

  • @Ontuzu
    @Ontuzu 2 года назад +3

    Wasukuma tunasema onyanda alebalabala amiso gete Ng,wibi nangenabonaga neneguke bagosha

  • @basilisamsaka8469
    @basilisamsaka8469 2 года назад

    Mchungaji mgogo upooooooooo!!!

  • @happygibson6592
    @happygibson6592 2 года назад +2

    Wooow namuona mtumishi Goodluck ktk ubora wake 😀😀

  • @Linda-lr1lu
    @Linda-lr1lu Год назад

    Hao masai wamenoga👌

  • @haikaelmamuya931
    @haikaelmamuya931 2 года назад

    Hongera Sana Rev huyu ndiyo Mungu mtoto wa kike na Baba Ila wakati umefika nampongeza sanaaa mdogo wangu naendelea kukuombea

  • @vemchannel2018
    @vemchannel2018 2 года назад

    Hongera

  • @edwinnyangweso5360
    @edwinnyangweso5360 2 года назад +2

    Love the way she dance the gospel song

  • @prisca2774
    @prisca2774 2 года назад +1

    Bibi harusi mzuri jamani! Hongera zao, matunda ya Roho Mtakatifu yakaonekane katika ndoa yao katika jina la Yesu!

  • @anicyaedward5605
    @anicyaedward5605 2 года назад +4

    Wooooh congratulations my best pastor ever ..

  • @stanleymhozi7590
    @stanleymhozi7590 Год назад

    Barikiwa

  • @annamulungu2876
    @annamulungu2876 2 года назад +1

    imependeza sana !
    ila nashangaa sana wanaoenda na watoto ukumbini tena usiku
    😒

  • @priscadanny2623
    @priscadanny2623 2 года назад +2

    Wow! Mungu awe mtangulizi wenu kwa kila jambo🙏

  • @chiomanonso274
    @chiomanonso274 2 года назад

    Nimefurahi

  • @rosekimath2614
    @rosekimath2614 Год назад

    Huyu mc ni msengeremaaa😏😏😏

  • @minaelnathanael1846
    @minaelnathanael1846 2 года назад +2

    Hongera sana binti wa Mchungaji kwa kuonesha mabinti mfano wa kuigwa

  • @jannyneto5261
    @jannyneto5261 2 года назад

    MUNGU awatangulie.

  • @neemaneema9969
    @neemaneema9969 2 года назад

    Nawaona na Kina Mama wa Kimasai

  • @edwinnyangweso5360
    @edwinnyangweso5360 2 года назад

    HARUSI SAFI

  • @floranceh5333
    @floranceh5333 2 года назад +1

    💋💋💞😘😘🇰🇪

  • @happiefrancis8824
    @happiefrancis8824 2 года назад

    Hadi raha hongera baba binti hajakuaibjsha now wengi wanajipeleka sogea tuishi Mungu ni mwema

  • @juliethobedi5746
    @juliethobedi5746 2 года назад

    Jamani Huyo Dada anaitwa julieth ngowi

  • @dorcaskidoti249
    @dorcaskidoti249 Год назад

    Kumbe mabadri wa makanisa mengine huwa wanaruhusiwa kuowa?

  • @soberkaleya5148
    @soberkaleya5148 2 года назад

    Marko 12:
    13 Wakatuma kwake baadhi ya Mafarisayo na Maherodi, ili wamnase kwa maneno.
    *MANENO YOYOTE ADUI ANAYOTAKA KUTUNASA NAYO, TUNAYAFUTA, TUNAYAVUNJA, TUNAYAHARIBU, TUNAYATEKETEZA NA KUYAANGAMIZA KWA JINA KUU LA YESU!!! TUNATAMKA BARAKA, MAFANIKIO NA USHINDI MAISHANI MWETU DAIMA!!!*

  • @estherwilliam3758
    @estherwilliam3758 2 года назад

    Very nice❤️❤️❤️

  • @happynesskisamo2958
    @happynesskisamo2958 Год назад

    Naomba kujua kama hao maids wanakodishwa????

  • @rahimaaaaa8699
    @rahimaaaaa8699 Год назад

    Mbona wadada weusi sioni kuolewa ?

  • @marymashina7888
    @marymashina7888 2 года назад

    Mtoto wa Mchungaji ni kijana sio binti naye pia ni Mchungaji. Ni ktk wale watoto wake aliowalea

    • @dorcaskidoti249
      @dorcaskidoti249 Год назад

      Jmn mm nimeuliza huyu Dr kimaro ni badri au mchungajii? Najuwa mapadri hawaoi kumbe ni mtt alie mlea?

  • @ellyrwezaula886
    @ellyrwezaula886 2 года назад

    Huyo mchungaji mbona anakatika sana jamani

  • @lynelee5846
    @lynelee5846 2 года назад +1

    Aiseee kupendwa rahaa💕🥰 hivi mmeona baba anavyomtazama mwanawe?? 😄😄😄

  • @vj8313
    @vj8313 2 года назад

    Ni mtoto wake kabisa? Au wa kiroho

  • @andrewsam364
    @andrewsam364 2 года назад +5

    Nauliza tu.Dada zetu bint zetu mama zetu bila kuchonga nyusi namarangi meng machon hampendez?mch.wetu kimaro hii imekaaje?

    • @robimgendi6147
      @robimgendi6147 2 года назад

      Ni mazoea mabaya

    • @joycehaule9717
      @joycehaule9717 2 года назад +1

      Wambea nyie kaeni kimya kwa jina la YESU ,

    • @hafsahussein505
      @hafsahussein505 2 года назад

      Niljua tu ni baba yangu hapendi makeup💄, kwa sababu ameshika sana dini...... Kumbe hadi baadhi ya wakristo hampendi pia

    • @robimgendi6147
      @robimgendi6147 2 года назад

      @@joycehaule9717 we nawe sasa,,hivi jina la Yesu linatumika vile wewe unajiskia tu kulitumia.
      Kuwa na adabu basi,,mwenye harusi yake kajibu kistaarabu we unakurupuka tu 😏😏

    • @emmanuelbitulo3106
      @emmanuelbitulo3106 2 года назад

      @@joycehaule9717 we nae chef

  • @olivermushi9405
    @olivermushi9405 2 года назад

    Kiukweli harusi ni Baraka Ni Jambo jema ila kwa hii miondoko ya maharusi wa kizazi kipya ndg yangu!! Duuuh🤭 yani hata ile aibu hat ya unafk mbele ya wazazi na viongozi wa kiroho hakunaga,yni kama vile baadhi ya maharusi walishazoeana vile.

    • @hidayaswai3119
      @hidayaswai3119 2 года назад +1

      Aibu ya nini sasa km mmeamua kuliweka hadharani. Ulikuwaga ni unafki na ushambahata si aibu

  • @beatricepallangyo2821
    @beatricepallangyo2821 2 года назад +1

    Bwana Yesu Awabariki sana Mchungaji Kindago na Bibi Harusi .
    Mchungaji Dr. Kimaro na Mama Mbarikiwe sana

  • @pulikisia7963
    @pulikisia7963 2 года назад +1

    Wote wazuri sana,watafanana muda sio mrefu.

  • @neemajulius1256
    @neemajulius1256 2 года назад

    Hongera sana

  • @mariamnimbo8394
    @mariamnimbo8394 2 года назад +1

    Hongera sana Dr Mchungaji Kimaro.
    Mungu awabariki maharusi, ndoa yao izidi kubarikiwa.