Dully Sykes - Yono (Official Video)
HTML-код
- Опубликовано: 1 окт 2024
- #DullySykes #Yono #SlideDigital
Dully Sykes Songs OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
Follow Dully Sykes on:
/ princedullysykes
/ dully_sykes
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: / slidedigitaltz
Anyone 2024 ?
Mna muangusha dully mpeni subscribes mie cjaamini kama yy ana subscribes 57😱 ngoma kali thou✌🏿️
tumempa bro
Tinted Tempah Hapost sana kwenye Chanel yake. Tuna subscribe sehem ambayo kuna vipya kila mara. Raha ya Subscribe upate updates kila mara.😂😂😂
dully bro unajitahidi sana sijawai sikiliza mziki wako nikaona kosa .. unakipaji sana yani miongoni mwa wasanii ambao katika nyimbo hawakoseagi hupo ... kweli ww ni among legends wa muziki hapa Tanzania endelea na kasi hiyo hiyo bro ....ongeza ubunifu anza fanya kazi kubwa ,shirikiana na wajukuu wako .. weka mikakati mikubwa bro.........inshort keep the good work bro
YONOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO
kwa niaba ya Jose Chameleone......honera A NICE COVER SONG
+254 ........tumeipata...kudos dully for the comeback ........nice song
kweli ng'ombe hazeeki maini,, dully wakitambo lakin wakimbiza hatareeee
I always call you Mr much means unajua sana huishiwi ladha....the father of bongo music still run the city milele daima
Yono naipenda bongo nzima japo kaimba na kiruga
Kama video nzima umeona watu watatu tu kama mm gonga like twende sawa
xx Chamelleone umemlipa maana naona umecopy kila k2 tofaut n Lugha.......ndo maana mnaitwa Vilaza
Wimbo mzuri ila wabongo kwa fitna mziki aukupewa nafasi kubwa Hahahahaha bongo bahati mbaya kweli na hayo ma team ya wasenge ndo wanaharibu bongo fleva👃🚬👈🗾🗾🗾🗾🗾🗾🗾🗾🗾🗾🗾🗾🗾🗾🗾🗾💯🗾💯💯💯🔫
Wimbo mkali...tatizo kwenye mitandao hayupo sana...ingepata promo...hakuna cha kina kokoro wala Salome....wala kiba....ndio hapo anaposhindwa kuipa promo
Unajuwa Bro,toka Julieta mpaka Yono Mukwano Sebo
sema ukweli umfanye afanye kilicho bora. broo dully nyimbo ya kawaida sana, na itapotea fasta sana, yani nyimbo yako ya mwisho kufanya vizuri ilikuwa ni bongo fleva. baada ya hapo huna nyimbo kabisaaa.... badilika, tunga nyimbo kweli kweli, kutokana na game ya sasa ili ueleweke na mashabiki, ni lazima utunge kweli kweli. ni hayo2 kila mtu na mtazamo wake
mhhh bado hajanishawish
KAKA YUPO KAZINIIIII
2021___2022 niko hapa
NGOMA KALI SANA BRO. 🙌🙌🙌🙌
umetisha broo ngoma kali
NGOMA NZURI....sema fleva za jose chamilion umezitendea haki
Daah mwenye bongo fleva yako Hongera mzee YONO sema hiki kizalamo nn
eeee kizaramo
Dah kwa mwenye tafsir tafadhali
kiganda hicho
msichane ninaemtaka ndo huyu muniache
umetisha kweli chizi kalongwatena
Language hii hapa kwetu mpaka uende Mtukula au Mlongo borders.
2019 yono itabaki kileleni
The next MVP cpingiiiii
Brother ngoma kal ila ingekua kal sana kama unge ipeleka Wcb. ukapiga ata na mondi unge funika kuna visaut vitam apo kwenye beat vime kosekana daa ila kaz nzur
nice
iyo uganda ni noma sana ila kwa hapa wataona bure wabongo wanapenda mavi ganyange big up kaka
Af hawa makavu vepeee....ukiona mtu mzima anaenda Sawa na watoto tema mate chini fala wewe....dully mwewe wa bongo flevaaa
watu wana Wivu Jamani Navenye #Dully ana roho safiii
umetisha bro usisikilize ya watu we Fanya yako big up sana
Forever young looking dully nyimbo nzuri sana yono
nice
Arlanda Mary v
Yono
Omwana gwenjagala Yono
Abalala bandeke Yono
Omurunji gwesinge Yono
Tewali yali mundesa Yono
Omwana gwenjagala Yono
Abalala bandeke Yono
Omurunji gwesinge Yono
Tewali yali mundesa Yono
Omwana gwenjagala Yono
Abalala bandeke Yono
Omurunji gwesinge Yono
Tewali yali mundesa Yono
Omwana gwenjagala Yono
Abalala bandeke Yono
Omurunji gwesinge Yono
Tewali yali mundesa Yono
Haa munanishangaza mnavyosema malaya
Eti wanamchakaza amechoka ile mbaya
Mwenzenu ananiliwaza napata upepo wa ulaya
Msitake kunikwaza na maneno shombo mso haya
We mwana gwenjagala Yono
Abalala bandeke Yono
Omurunji gwesinge Yono
Tewali yali mundesa Yono
Yono wee
Omwana gwenjagala Yono
Abalala bandeke Yono
Omurunji gwesinge Yono
Tewali yali mundesa Yono
Omwana gwenjagala Yono
Abalala bandeke Yono
Omurunji gwesinge Yono
Tewali yali mundesa Yono
You are my sweet love sweet lover
Unatembea kote mwisho unarudi hapa
Unanipaga yote haubakishi unanipaga raha
Zote za dunia mimi nazipata hapa
You are my sweet love sweet lover
Unatembea kote mwisho unarudi hapa
Unanipaga yote hubakishi unanipaga raha
Zote za dunia mimi nazipata hapa
We mwana gwenjagala Yono
Abalala bandeke Yono
Omurunji gwesinge Yono
Tewali yali mundesa Yono
Omwana gwenjagala Yono
Abalala bandeke Yono
Omurunji gwesinge Yono
Tewali yali mundesa Yono
Omwana gwenjagala Yono
Abalala bandeke Yono
Omurunji gwesinge Yono
Tewali yali mundesa Yono
Omwana gwenjagala Yono
Abalala bandeke Yono
Omurunji gwesinge Yono
Tewali yali mundesa Yono
Omwana gwenjagala Yono
Abalala bandeke Yono
Omurunji gwesinge Yono
Tewali yali mundesa Yono
Eeeh Hata waseme nini?
Mama yao
Yelele lele mama yao
Eti kicheche cha mjini mama yao
Ila mimi nakithamini mama yao
Waseme nini Mama yao
Yelele lele mama yao
Eti kicheche cha mjini mama yao
Ila mimi nakithamini ndo mama yao
Eehee Telelele
Mama yao
Eehee Telelele
Mama yao Telelele
Mama yao Telelele
Mama yao Telelele
vedasto dunstan ngoma Kali hii
hicho kiganda ndo kimenivutia kwenye huo wimbo..
Wasanii wa zama zile wameamka sasa, Nimetazama wimbo wa Matonya ..Haijaeleweka , am so happy for them . Now wapi Hussein machozi.
me nawaambia hv kazi ya mwanaume mvulana hawez kuifanya dully unaweza broo
sante sana
anae jua maana ya YONO naomba nami aniuze ili nielewe nn kinaimbwa
dully sikuwezi mzee uko vizur tangu julieta hadi yono tisha saana
mwenye bongo fleva yake mwenye mziki wake mwnye sauti yake
Kuna kamziki nakasikia sio ka hapa
Ono musajja ayogede Luganda lakini ni nyinbo nzuri
Dully ngoma hii naisikiliza kwenye spika umetisha sana
Mzee hazeekiii mainiiii
nyimbo kali alafu itapata sana airtime Uganda hii nautapiga show sana.big up
safi dully
lol.. nngeweza nngemuomba diamond platinumz ahusike kwenye rmx ya huu wimbo, itakuwa poa sana👍👍
alwys knws wat bongo flv needs...much appreciation....mkubwa
Looooollllll!! Like seriously???? Dully you should re-locate to UG. ♥♥
huyu jamaa nimkongwe aisee saut ile ya julieta,
2021,nackiliza gonga like km unakubal Yonooo
noma kaka ungemshilikisha na mond ingekuaje balsa safi
kijana upo vzuri japo game ni gumu lkn unapasua hovyo
Umefanya kitu braza.....naiskiza toka asubuhi nainjoiii Yonooo#😍😍
Jane Shayo yooooono
yono kaya nama bapak saya
kitu kizuri yaaan km Ugandan vile Dully nooma
yono didin pe papa
nmekuelewa bro!!east africa wataikbal hii!
Yono twende 2020
Dully nakuelewa tangu 2000 nikiwa na 9 yearz
mentor wangu huyu,lini ntafanya songi nawe dully,kazi balaaaaa jembe langu
kali sana.....mimi Dj frank kutoka nairobi naipenda na naicheza kila siku
ni kali sana
huyu jamaa toka ameanza kutoka nyimbo zake huwa hakosei!! big up Mr handsome dully
nakuelewaga Sana man ila hii mm chali 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Nice
how about the video queen lady............?!?!?? she's cute isn't ?!?!??!
p
2021 nimejikuta naukumbuka huu wimbo
Nyimbo ya kihuni, kwanza ametumia neno Malaya ambalo halifai kutumiwa na Jamii ya wastaarabu.
juma haji we bado wakujaaaaa wake up
We Mr Robert , mi nakupa pole tu jinsi unavyopotea kusapoti nyimbo za wachimba chumvi.
we dully ni kipenzi cha watu tena usimguse mbwa mtini wamiliki tutakujaaa
Mr .kamona ,mm najiskia vibaya sana pale watoto wangu wanapoimba nyimbo hii halaf wanatamka neno malaya(aloimba duly)
+juma haji weka mbali Na watoto,
so addicted kila saa nausikiliza so niice song
Big up sana brother angu WA ukweli Dully Sykes.
Umenikumbusha mbali sana umeshaa niteka nitakutafuta brother ili nikupate mpendwa unishauri kitu.!
Tisha sana mzazi amakweli ujuzi hauzeeki nahilo nalithibitisha toka kwako kaka big up sana Brooo umeumiza sanaaaa
Nyimbo kali mpka basi. Hivi hiyo chorus lugha gani jamani?
hello mbona mnamsifia mwimbaji tu na yule dada mrembo msanii hamumpi sifa zake ?!??!?!? she's cute Tanzanian Princess..................
kwaito zitakuredesha juu
hao wanao dislike huu wimbo wanakwama wap kwan
WE MKALI TANGU ENZI IZO HAD LEO HAD ENZI ZOTE KEEP IT UP ( YONO YONO)
Nani anaendelea kuangalia hii video kma mim😍
Siwezi kusifia utumbo nyimbo mbaya mbaya unaimba ujui kuimba kaka jipange nyimbo mbaya wwe ueaoni kina Ben pol wanavoachia misumari bado jipange mmi sisfii uwozo
Brother pole lakn wacha hiyo roho ya kichawi
na kwel ni roho ya kichawi tena kishetwan kabsa
It takes me back kwenye melody flani kali za dully
Kaka dully hii ngoma Kali.video iko on point ani ni yakipekee
iyo uganda ni noma sana ila kwa hapa wataona bure wabongo wanapenda mavi ganyange big up kaka
bonge ya ngoma
Wangapi tunaicheki 2021
jaman ngomaa tam tam hasa kiitikio yono yono😀😀😀😀
Yono kaplaaaaaakkkkk
Yono ndase pak kontol
Tuko live tuko liveeeee na mzee wa kubensa
penda xana dully,nice song,
Kinlark Nafasi waz hia kali sanannaa
Ngoma kaliiiiiii
Supposed to have 1 Mil viewers since the day get dropped
Keep replying
kikongwe yn daaa uwanamkubari..sana uyu kk mm nampendaa sanaa
Yo gr8 bro....nakukubali sana
hongera dully wimbo mzuri saana!
dully fundi kila siku, nani anabishaaa?
toa hiyo hereni achana na mambo ya ujana
sinaga na waswas na huyu mkongwe
nice music huhogeze ingine mziki
nice music huhogeze ingine mziki
Hatar sana braa bonge la ngoma
Umeboronga sana kwahii ngoma bro hebu jitaidi kurudisha uwezo wako
We yakwako ikowap uloimba vizur🥴🥴acha makasiliko ww
can somebody tell me what Yono means. Nice song.
Bonge la ngoma🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤
ngoma Kali sana sikujua mpaka nimeona clouds ni kasema ngoja nicheck tena. kweli hii inafaa kua tatu bomba za town
Yonoo kali sana
Tisha mtaalam duly wataelewa tu
respect mwamba bado unabamba