Dully Sykes - Yono (Official Video)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 окт 2024
  • #DullySykes #Yono #SlideDigital
    Dully Sykes Songs OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
    Follow Dully Sykes on:
    / princedullysykes
    / dully_sykes
    Channel Administered by Slide Digital
    Instagram: / slidedigitaltz

Комментарии • 347

  • @yahyajuma2059
    @yahyajuma2059 4 месяца назад +4

    Anyone 2024 ?

  • @tintedtempah7407
    @tintedtempah7407 7 лет назад +23

    Mna muangusha dully mpeni subscribes mie cjaamini kama yy ana subscribes 57😱 ngoma kali thou✌🏿️

    • @isaackakwaya2848
      @isaackakwaya2848 7 лет назад +1

      tumempa bro

    • @kihanda2554
      @kihanda2554 7 лет назад +4

      Tinted Tempah Hapost sana kwenye Chanel yake. Tuna subscribe sehem ambayo kuna vipya kila mara. Raha ya Subscribe upate updates kila mara.😂😂😂

  • @ramsonmajid2069
    @ramsonmajid2069 7 лет назад +6

    dully bro unajitahidi sana sijawai sikiliza mziki wako nikaona kosa .. unakipaji sana yani miongoni mwa wasanii ambao katika nyimbo hawakoseagi hupo ... kweli ww ni among legends wa muziki hapa Tanzania endelea na kasi hiyo hiyo bro ....ongeza ubunifu anza fanya kazi kubwa ,shirikiana na wajukuu wako .. weka mikakati mikubwa bro.........inshort keep the good work bro

  • @talhaasilturk7908
    @talhaasilturk7908 7 лет назад +1

    YONOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO

  • @xtendedlifeentertainment6556
    @xtendedlifeentertainment6556 7 лет назад

    kwa niaba ya Jose Chameleone......honera A NICE COVER SONG

  • @Onekombe
    @Onekombe 7 лет назад +5

    +254 ........tumeipata...kudos dully for the comeback ........nice song

  • @leotena8456
    @leotena8456 7 лет назад +6

    kweli ng'ombe hazeeki maini,, dully wakitambo lakin wakimbiza hatareeee

  • @sebastianmusira7869
    @sebastianmusira7869 7 лет назад +10

    I always call you Mr much means unajua sana huishiwi ladha....the father of bongo music still run the city milele daima

    • @justinamoris1560
      @justinamoris1560 5 лет назад

      Yono naipenda bongo nzima japo kaimba na kiruga

  • @abbywizbrizy7481
    @abbywizbrizy7481 5 лет назад +3

    Kama video nzima umeona watu watatu tu kama mm gonga like twende sawa

  • @sameeradam4696
    @sameeradam4696 7 лет назад

    xx Chamelleone umemlipa maana naona umecopy kila k2 tofaut n Lugha.......ndo maana mnaitwa Vilaza

  • @ostazclassic3370
    @ostazclassic3370 6 лет назад

    Wimbo mzuri ila wabongo kwa fitna mziki aukupewa nafasi kubwa Hahahahaha bongo bahati mbaya kweli na hayo ma team ya wasenge ndo wanaharibu bongo fleva👃🚬👈🗾🗾🗾🗾🗾🗾🗾🗾🗾🗾🗾🗾🗾🗾🗾🗾💯🗾💯💯💯🔫

  • @shangwehubert5838
    @shangwehubert5838 7 лет назад +1

    Wimbo mkali...tatizo kwenye mitandao hayupo sana...ingepata promo...hakuna cha kina kokoro wala Salome....wala kiba....ndio hapo anaposhindwa kuipa promo

  • @stevensenghana4584
    @stevensenghana4584 7 лет назад +1

    Unajuwa Bro,toka Julieta mpaka Yono Mukwano Sebo

  • @dvjtwentyfivedecember4398
    @dvjtwentyfivedecember4398 7 лет назад

    sema ukweli umfanye afanye kilicho bora. broo dully nyimbo ya kawaida sana, na itapotea fasta sana, yani nyimbo yako ya mwisho kufanya vizuri ilikuwa ni bongo fleva. baada ya hapo huna nyimbo kabisaaa.... badilika, tunga nyimbo kweli kweli, kutokana na game ya sasa ili ueleweke na mashabiki, ni lazima utunge kweli kweli. ni hayo2 kila mtu na mtazamo wake

  • @eliaskana8513
    @eliaskana8513 7 лет назад +1

    mhhh bado hajanishawish

  • @basagabernad4253
    @basagabernad4253 7 лет назад +7

    KAKA YUPO KAZINIIIII

  • @sado3086
    @sado3086 2 года назад +1

    2021___2022 niko hapa

  • @bensonfrank9578
    @bensonfrank9578 7 лет назад +11

    NGOMA KALI SANA BRO. 🙌🙌🙌🙌

  • @pascalchami3245
    @pascalchami3245 7 лет назад

    NGOMA NZURI....sema fleva za jose chamilion umezitendea haki

  • @hassanchake1250
    @hassanchake1250 7 лет назад +12

    Daah mwenye bongo fleva yako Hongera mzee YONO sema hiki kizalamo nn

  • @herodestephen3260
    @herodestephen3260 2 года назад

    Language hii hapa kwetu mpaka uende Mtukula au Mlongo borders.

  • @thenextmvp8568
    @thenextmvp8568 5 лет назад +6

    2019 yono itabaki kileleni

  • @tuntugoogle6641
    @tuntugoogle6641 7 лет назад

    Brother ngoma kal ila ingekua kal sana kama unge ipeleka Wcb. ukapiga ata na mondi unge funika kuna visaut vitam apo kwenye beat vime kosekana daa ila kaz nzur

  • @missxexykenya6028
    @missxexykenya6028 7 лет назад +3

    nice

  • @kazadipaulin2758
    @kazadipaulin2758 7 лет назад +4

    iyo uganda ni noma sana ila kwa hapa wataona bure wabongo wanapenda mavi ganyange big up kaka

  • @michaelfortune5294
    @michaelfortune5294 7 лет назад

    Af hawa makavu vepeee....ukiona mtu mzima anaenda Sawa na watoto tema mate chini fala wewe....dully mwewe wa bongo flevaaa

  • @dianaahdarlingkenya7616
    @dianaahdarlingkenya7616 7 лет назад +1

    watu wana Wivu Jamani Navenye #Dully ana roho safiii

  • @mageteddy1546
    @mageteddy1546 7 лет назад +1

    umetisha bro usisikilize ya watu we Fanya yako big up sana

  • @arlandamary3922
    @arlandamary3922 7 лет назад +7

    Forever young looking dully nyimbo nzuri sana yono

  • @vedastodunstan6925
    @vedastodunstan6925 7 лет назад +2

    Yono
    Omwana gwenjagala Yono
    Abalala bandeke Yono
    Omurunji gwesinge Yono
    Tewali yali mundesa Yono
    Omwana gwenjagala Yono
    Abalala bandeke Yono
    Omurunji gwesinge Yono
    Tewali yali mundesa Yono
    Omwana gwenjagala Yono
    Abalala bandeke Yono
    Omurunji gwesinge Yono
    Tewali yali mundesa Yono
    Omwana gwenjagala Yono
    Abalala bandeke Yono
    Omurunji gwesinge Yono
    Tewali yali mundesa Yono
    Haa munanishangaza mnavyosema malaya
    Eti wanamchakaza amechoka ile mbaya
    Mwenzenu ananiliwaza napata upepo wa ulaya
    Msitake kunikwaza na maneno shombo mso haya
    We mwana gwenjagala Yono
    Abalala bandeke Yono
    Omurunji gwesinge Yono
    Tewali yali mundesa Yono
    Yono wee
    Omwana gwenjagala Yono
    Abalala bandeke Yono
    Omurunji gwesinge Yono
    Tewali yali mundesa Yono
    Omwana gwenjagala Yono
    Abalala bandeke Yono
    Omurunji gwesinge Yono
    Tewali yali mundesa Yono
    You are my sweet love sweet lover
    Unatembea kote mwisho unarudi hapa
    Unanipaga yote haubakishi unanipaga raha
    Zote za dunia mimi nazipata hapa
    You are my sweet love sweet lover
    Unatembea kote mwisho unarudi hapa
    Unanipaga yote hubakishi unanipaga raha
    Zote za dunia mimi nazipata hapa
    We mwana gwenjagala Yono
    Abalala bandeke Yono
    Omurunji gwesinge Yono
    Tewali yali mundesa Yono
    Omwana gwenjagala Yono
    Abalala bandeke Yono
    Omurunji gwesinge Yono
    Tewali yali mundesa Yono
    Omwana gwenjagala Yono
    Abalala bandeke Yono
    Omurunji gwesinge Yono
    Tewali yali mundesa Yono
    Omwana gwenjagala Yono
    Abalala bandeke Yono
    Omurunji gwesinge Yono
    Tewali yali mundesa Yono
    Omwana gwenjagala Yono
    Abalala bandeke Yono
    Omurunji gwesinge Yono
    Tewali yali mundesa Yono
    Eeeh Hata waseme nini?
    Mama yao
    Yelele lele mama yao
    Eti kicheche cha mjini mama yao
    Ila mimi nakithamini mama yao
    Waseme nini Mama yao
    Yelele lele mama yao
    Eti kicheche cha mjini mama yao
    Ila mimi nakithamini ndo mama yao
    Eehee Telelele
    Mama yao
    Eehee Telelele
    Mama yao Telelele
    Mama yao Telelele
    Mama yao Telelele

  • @mafoleb.8562
    @mafoleb.8562 7 лет назад

    hicho kiganda ndo kimenivutia kwenye huo wimbo..

  • @mumenguvuze5505
    @mumenguvuze5505 7 лет назад +3

    Wasanii wa zama zile wameamka sasa, Nimetazama wimbo wa Matonya ..Haijaeleweka , am so happy for them . Now wapi Hussein machozi.

  • @almatrashid1812
    @almatrashid1812 7 лет назад +13

    me nawaambia hv kazi ya mwanaume mvulana hawez kuifanya dully unaweza broo

  • @chandewaleo3853
    @chandewaleo3853 7 лет назад

    anae jua maana ya YONO naomba nami aniuze ili nielewe nn kinaimbwa

  • @danielsanga8654
    @danielsanga8654 7 лет назад

    dully sikuwezi mzee uko vizur tangu julieta hadi yono tisha saana

  • @lindamwasilu3834
    @lindamwasilu3834 7 лет назад

    mwenye bongo fleva yake mwenye mziki wake mwnye sauti yake

  • @cleverdaud7624
    @cleverdaud7624 7 лет назад +1

    Kuna kamziki nakasikia sio ka hapa

  • @mohamedabdirahmano2356
    @mohamedabdirahmano2356 7 лет назад

    Ono musajja ayogede Luganda lakini ni nyinbo nzuri

  • @cleofasgawasike7696
    @cleofasgawasike7696 7 лет назад

    Dully ngoma hii naisikiliza kwenye spika umetisha sana

  • @AbuuKhayraat
    @AbuuKhayraat 7 лет назад +1

    Mzee hazeekiii mainiiii

  • @kamkubwa
    @kamkubwa 7 лет назад +1

    nyimbo kali alafu itapata sana airtime Uganda hii nautapiga show sana.big up

  • @chikida21
    @chikida21 7 лет назад +1

    safi dully

  • @igneousjr7058
    @igneousjr7058 7 лет назад

    lol.. nngeweza nngemuomba diamond platinumz ahusike kwenye rmx ya huu wimbo, itakuwa poa sana👍👍

  • @benpima2618
    @benpima2618 7 лет назад +1

    alwys knws wat bongo flv needs...much appreciation....mkubwa

  • @djmandezo6608
    @djmandezo6608 7 лет назад

    Looooollllll!! Like seriously???? Dully you should re-locate to UG. ♥♥

  • @victormushi866
    @victormushi866 7 лет назад +1

    huyu jamaa nimkongwe aisee saut ile ya julieta,

  • @sylvesterbukoro6182
    @sylvesterbukoro6182 3 года назад

    2021,nackiliza gonga like km unakubal Yonooo

  • @estersapali9497
    @estersapali9497 7 лет назад

    noma kaka ungemshilikisha na mond ingekuaje balsa safi

  • @mjedengwapoizon8726
    @mjedengwapoizon8726 7 лет назад

    kijana upo vzuri japo game ni gumu lkn unapasua hovyo

  • @janeshayo7619
    @janeshayo7619 7 лет назад

    Umefanya kitu braza.....naiskiza toka asubuhi nainjoiii Yonooo#😍😍

  • @dykedaniel3820
    @dykedaniel3820 7 лет назад +1

    yono kaya nama bapak saya

  • @robbymoses2594
    @robbymoses2594 7 лет назад

    kitu kizuri yaaan km Ugandan vile Dully nooma

  • @f.a9268
    @f.a9268 7 лет назад +1

    yono didin pe papa

  • @gobaonlinetv9690
    @gobaonlinetv9690 7 лет назад +2

    nmekuelewa bro!!east africa wataikbal hii!

  • @agreykabume4288
    @agreykabume4288 4 года назад +1

    Yono twende 2020

  • @basagabernad4253
    @basagabernad4253 6 лет назад

    Dully nakuelewa tangu 2000 nikiwa na 9 yearz

  • @bobeagy8118
    @bobeagy8118 7 лет назад

    mentor wangu huyu,lini ntafanya songi nawe dully,kazi balaaaaa jembe langu

  • @frankog0458
    @frankog0458 7 лет назад

    kali sana.....mimi Dj frank kutoka nairobi naipenda na naicheza kila siku

  • @sultanisengi2519
    @sultanisengi2519 7 лет назад +1

    ni kali sana

  • @emmanuelamosy1978
    @emmanuelamosy1978 7 лет назад

    huyu jamaa toka ameanza kutoka nyimbo zake huwa hakosei!! big up Mr handsome dully

  • @teomhume6970
    @teomhume6970 7 лет назад

    nakuelewaga Sana man ila hii mm chali 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌

  • @annachuwa9610
    @annachuwa9610 7 лет назад +2

    Nice

    • @mrromeo760
      @mrromeo760 6 лет назад

      how about the video queen lady............?!?!?? she's cute isn't ?!?!??!

  • @evaariatna9546
    @evaariatna9546 5 лет назад +1

    p

  • @babajohnii4610
    @babajohnii4610 2 года назад

    2021 nimejikuta naukumbuka huu wimbo

  • @jumahaji9925
    @jumahaji9925 7 лет назад +2

    Nyimbo ya kihuni, kwanza ametumia neno Malaya ambalo halifai kutumiwa na Jamii ya wastaarabu.

    • @GIFTKIWELU
      @GIFTKIWELU 7 лет назад +1

      juma haji we bado wakujaaaaa wake up

    • @jumahaji9925
      @jumahaji9925 7 лет назад

      We Mr Robert , mi nakupa pole tu jinsi unavyopotea kusapoti nyimbo za wachimba chumvi.

    • @kamonaabdallah3154
      @kamonaabdallah3154 7 лет назад

      we dully ni kipenzi cha watu tena usimguse mbwa mtini wamiliki tutakujaaa

    • @jumahaji9925
      @jumahaji9925 7 лет назад

      Mr .kamona ,mm najiskia vibaya sana pale watoto wangu wanapoimba nyimbo hii halaf wanatamka neno malaya(aloimba duly)

    • @ceezbug
      @ceezbug 7 лет назад +1

      +juma haji weka mbali Na watoto,

  • @elizabethkyara2277
    @elizabethkyara2277 7 лет назад

    so addicted kila saa nausikiliza so niice song

  • @shukranikibona2728
    @shukranikibona2728 7 лет назад

    Big up sana brother angu WA ukweli Dully Sykes.
    Umenikumbusha mbali sana umeshaa niteka nitakutafuta brother ili nikupate mpendwa unishauri kitu.!

  • @abeidmayanga809
    @abeidmayanga809 7 лет назад

    Tisha sana mzazi amakweli ujuzi hauzeeki nahilo nalithibitisha toka kwako kaka big up sana Brooo umeumiza sanaaaa

  • @eshefromneptune
    @eshefromneptune 7 лет назад

    Nyimbo kali mpka basi. Hivi hiyo chorus lugha gani jamani?

    • @mrromeo760
      @mrromeo760 6 лет назад

      hello mbona mnamsifia mwimbaji tu na yule dada mrembo msanii hamumpi sifa zake ?!??!?!? she's cute Tanzanian Princess..................

  • @brisketkidari1623
    @brisketkidari1623 7 лет назад

    kwaito zitakuredesha juu

  • @godfreymchopa4210
    @godfreymchopa4210 6 лет назад

    hao wanao dislike huu wimbo wanakwama wap kwan

  • @reneefreddy6973
    @reneefreddy6973 7 лет назад

    WE MKALI TANGU ENZI IZO HAD LEO HAD ENZI ZOTE KEEP IT UP ( YONO YONO)

  • @sundaylutavi7625
    @sundaylutavi7625 3 года назад

    Nani anaendelea kuangalia hii video kma mim😍

  • @michoomicharazotv39
    @michoomicharazotv39 7 лет назад

    Siwezi kusifia utumbo nyimbo mbaya mbaya unaimba ujui kuimba kaka jipange nyimbo mbaya wwe ueaoni kina Ben pol wanavoachia misumari bado jipange mmi sisfii uwozo

    • @bakarimwinyi250
      @bakarimwinyi250 7 лет назад

      Brother pole lakn wacha hiyo roho ya kichawi

    • @marycaroly7077
      @marycaroly7077 7 лет назад

      na kwel ni roho ya kichawi tena kishetwan kabsa

  • @richardcastro2386
    @richardcastro2386 7 лет назад +2

    It takes me back kwenye melody flani kali za dully

  • @medpol9422
    @medpol9422 7 лет назад

    Kaka dully hii ngoma Kali.video iko on point ani ni yakipekee

  • @kazadipaulin2758
    @kazadipaulin2758 7 лет назад

    iyo uganda ni noma sana ila kwa hapa wataona bure wabongo wanapenda mavi ganyange big up kaka

  • @stephanoseleman6698
    @stephanoseleman6698 7 лет назад +1

    bonge ya ngoma

  • @edisonbenard226
    @edisonbenard226 3 года назад

    Wangapi tunaicheki 2021

  • @ommyjeezo848
    @ommyjeezo848 7 лет назад +1

    jaman ngomaa tam tam hasa kiitikio yono yono😀😀😀😀

  • @OchuNene-q7e
    @OchuNene-q7e 9 месяцев назад

    Tuko live tuko liveeeee na mzee wa kubensa

  • @janelyimo2822
    @janelyimo2822 7 лет назад

    penda xana dully,nice song,

  • @kinlarknafasi
    @kinlarknafasi 7 лет назад

    Kinlark Nafasi waz hia kali sanannaa

  • @afyapesa1501
    @afyapesa1501 7 лет назад +1

    Ngoma kaliiiiiii
    Supposed to have 1 Mil viewers since the day get dropped
    Keep replying

  • @qeenwcbclassic4485
    @qeenwcbclassic4485 7 лет назад

    kikongwe yn daaa uwanamkubari..sana uyu kk mm nampendaa sanaa

  • @rodneylutambuka7714
    @rodneylutambuka7714 7 лет назад

    Yo gr8 bro....nakukubali sana

  • @logacrazy6730
    @logacrazy6730 7 лет назад

    hongera dully wimbo mzuri saana!

  • @innogladson8869
    @innogladson8869 7 лет назад

    dully fundi kila siku, nani anabishaaa?

  • @pascaldamiano8003
    @pascaldamiano8003 7 лет назад

    toa hiyo hereni achana na mambo ya ujana

  • @emmanuelaggery6877
    @emmanuelaggery6877 7 лет назад

    sinaga na waswas na huyu mkongwe

  • @musaomukuta834
    @musaomukuta834 7 лет назад

    nice music huhogeze ingine mziki

  • @musaomukuta834
    @musaomukuta834 7 лет назад

    nice music huhogeze ingine mziki

  • @richardmichael4325
    @richardmichael4325 7 лет назад +1

    Hatar sana braa bonge la ngoma

  • @shabanimaibu8474
    @shabanimaibu8474 7 лет назад

    Umeboronga sana kwahii ngoma bro hebu jitaidi kurudisha uwezo wako

    • @NasmaNasra
      @NasmaNasra 5 дней назад

      We yakwako ikowap uloimba vizur🥴🥴acha makasiliko ww

  • @davidgetrud5220
    @davidgetrud5220 7 лет назад

    can somebody tell me what Yono means. Nice song.

  • @Gwenoboy
    @Gwenoboy 5 месяцев назад

    Bonge la ngoma🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤

  • @isaackakwaya2848
    @isaackakwaya2848 7 лет назад +7

    ngoma Kali sana sikujua mpaka nimeona clouds ni kasema ngoja nicheck tena. kweli hii inafaa kua tatu bomba za town

  • @silverrisermkali54
    @silverrisermkali54 2 года назад

    Yonoo kali sana

  • @zaharabakari7835
    @zaharabakari7835 6 лет назад

    Tisha mtaalam duly wataelewa tu

  • @abdulymiraji52
    @abdulymiraji52 7 лет назад

    respect mwamba bado unabamba