DULLY SYKES ABANANISHWA NA SALIM KIKEKE/ AIMBA KASWIDA LIVE/ NILIMTOA DIAMOND NA ALIKIBA
HTML-код
- Опубликовано: 3 июл 2024
- Dully Sykes kwenye Kasri La Kikeke.
Follow us on Social Media Platforms
Instagram:
Crown FM - / crownfmtz
Crown TV - / crowntvtz
Twitter (X):
CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
Facebook:
CROWN MEDIA: profile.php?...
TIKTOK:
- www.tiktok.com/@crownmedialiv...
SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz
Asantee king kwa kumuleta salim kikeke mupe zawadi ya v8 ndio baba yetu wa habari
Ila jamani ebu nielewesheni mnaposema founder wa Bongofleva mnamaanisha nini hasa?! Mkisema mmoja wa watu wa mwanzoni mwa Bongofleva nadhani ni sawa
Dini INA umuhimu mkubwa sana kwa ajili ya maadili na kusafisha iimaan zetu vipindi vya dini pia no muhimu sana kuliko kila kitu maadili yetu yameharibika kwa sabu dini hatuipi kipaumbele
Dully sykey ndio msani wa kwanza kuja kenya Tanzania zima
Dullysykes kwer ni wa kitambo sana aisee mi mwenyewe nimekuwa namskiliza tokea kipindi nasoma primary mpk secondary na moja kati ya song iliyonibamba sana ni ile ya Dhahabu i think watu wa zaman mnaujua huu wimbo
Jmn tunaomba izo mak mziwek nembo ya crown jmn
Founder of bongo fleva💯🇹🇿
Uyo ndo baba wa huu muzik anatakiwa apewe tuzo kubwa sana ya heshima
Laiti kama ungesajili ubongo freva kama founder au mbunifu wa bongo fleva naalafu ungekuwa unachukua asilimia zako naamin sasaiv ungekuwa tajiri namba moja Tanzania na afrika kwa pamoja ..kama waliobuni sawap au twita au chochote walioanzishaga izo web site or whatever uko marekan..ungepiga sana ela..big up sana duli huna rohombaya wala malalamiko..heshima kwako kaka duli Sykes
Hongera Kikeke bro tunakukubari na HAPO upon sehemu sasa
From Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Mwanga na Nuru Kwa watanzania wooote🎉🔥🔥🎤🎧📻📺👑👑👑
Mm nishie kusema hivi nyimbo zote alizoimba prince Dully Sykes zote ni Hit songs 🔥🔥🔥🔥🙏🙏🙏
King Kikeke 👑 🔥 🔥
Crown FM crown Digital makofi mengi mengi Sana aaaa❤❤❤❤
Big 🆙 King KIBA 👑
Noma san ❤❤❤
Kaka salim M.mungu akubariki sana kipindi kinapendeza❤❤❤mashalwa
Crown media...HAPA ndio nyumbani 🎉🎉🎉
Jamani tutafutieni na marrow