DULLY SYKES ABANANISHWA NA SALIM KIKEKE/ AIMBA KASWIDA LIVE/ NILIMTOA DIAMOND NA ALIKIBA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 июл 2024
  • Dully Sykes kwenye Kasri La Kikeke.
    Follow us on Social Media Platforms
    Instagram:
    Crown FM - / crownfmtz
    Crown TV - / crowntvtz
    Twitter (X):
    CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
    CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
    Facebook:
    CROWN MEDIA: profile.php?...
    TIKTOK:
    - www.tiktok.com/@crownmedialiv...
    SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz

Комментарии • 143

  • @user-td4le3xf7h
    @user-td4le3xf7h 7 часов назад +31

    Asantee king kwa kumuleta salim kikeke mupe zawadi ya v8 ndio baba yetu wa habari

  • @djtobasoba3660
    @djtobasoba3660 7 часов назад +6

    Ila jamani ebu nielewesheni mnaposema founder wa Bongofleva mnamaanisha nini hasa?! Mkisema mmoja wa watu wa mwanzoni mwa Bongofleva nadhani ni sawa

  • @abdulazizjeizan-vx1mc
    @abdulazizjeizan-vx1mc 7 часов назад +10

    Dini INA umuhimu mkubwa sana kwa ajili ya maadili na kusafisha iimaan zetu vipindi vya dini pia no muhimu sana kuliko kila kitu maadili yetu yameharibika kwa sabu dini hatuipi kipaumbele

  • @SuleimanJembe-qj9nd
    @SuleimanJembe-qj9nd 7 часов назад +14

    Dully sykey ndio msani wa kwanza kuja kenya Tanzania zima

  • @mrsinia3064
    @mrsinia3064 7 часов назад +8

    Dullysykes kwer ni wa kitambo sana aisee mi mwenyewe nimekuwa namskiliza tokea kipindi nasoma primary mpk secondary na moja kati ya song iliyonibamba sana ni ile ya Dhahabu i think watu wa zaman mnaujua huu wimbo

  • @Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k
    @Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k 7 часов назад +8

    Jmn tunaomba izo mak mziwek nembo ya crown jmn

  • @BonusNdamcho-gx2mq
    @BonusNdamcho-gx2mq 7 часов назад +16

    Founder of bongo fleva💯🇹🇿

  • @Shokolokobango9385
    @Shokolokobango9385 7 часов назад +8

    Uyo ndo baba wa huu muzik anatakiwa apewe tuzo kubwa sana ya heshima

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 23 часа назад

    Laiti kama ungesajili ubongo freva kama founder au mbunifu wa bongo fleva naalafu ungekuwa unachukua asilimia zako naamin sasaiv ungekuwa tajiri namba moja Tanzania na afrika kwa pamoja ..kama waliobuni sawap au twita au chochote walioanzishaga izo web site or whatever uko marekan..ungepiga sana ela..big up sana duli huna rohombaya wala malalamiko..heshima kwako kaka duli Sykes

  • @elisharuhonkonya
    @elisharuhonkonya 7 часов назад +11

    Hongera Kikeke bro tunakukubari na HAPO upon sehemu sasa

  • @alibachirofficial3939
    @alibachirofficial3939 7 часов назад +4

    From Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @mikidadyhamis4070
    @mikidadyhamis4070 7 часов назад +5

    Mwanga na Nuru Kwa watanzania wooote🎉🔥🔥🎤🎧📻📺👑👑👑

  • @amisamaurid1882
    @amisamaurid1882 13 часов назад

    Mm nishie kusema hivi nyimbo zote alizoimba prince Dully Sykes zote ni Hit songs 🔥🔥🔥🔥🙏🙏🙏

  • @josephbundala7277
    @josephbundala7277 4 часа назад +2

    King Kikeke 👑 🔥 🔥

  • @mcshujaa6496
    @mcshujaa6496 7 часов назад +7

    Crown FM crown Digital makofi mengi mengi Sana aaaa❤❤❤❤

  • @adorateurpaulbukuru6864
    @adorateurpaulbukuru6864 4 часа назад +1

    Big 🆙 King KIBA 👑

  • @JescaShirima-ko7gx
    @JescaShirima-ko7gx 7 часов назад +4

    Noma san ❤❤❤

  • @fatmasayid8895
    @fatmasayid8895 7 часов назад +2

    Kaka salim M.mungu akubariki sana kipindi kinapendeza❤❤❤mashalwa

  • @pablotm3231
    @pablotm3231 2 часа назад

    Crown media...HAPA ndio nyumbani 🎉🎉🎉

  • @nesymichael4286
    @nesymichael4286 7 часов назад +7

    Jamani tutafutieni na marrow