RICARDOMOMO MAFANIKIO ANAYOPATA DIAMOND KUKUTANA NA POGBA YALICHELEWA KUWASAIDIA HARMONIZE, RAYVANNY

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • Kwa maoni au ushauri comment hapo chini bila kusahau ku like na kushare ili kuweza kupata update mbali mbali ndani na nje Ya Tanzania
    Tufollow katika ukurasa wetu wa instagram @BONGO TRENDY TV
    Na kulike facebook page Bongo trendy online

Комментарии • 61

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 2 месяца назад +5

    Kaka Ricardo usipate tabu Sana kujielezea Yan watu ndivyo walivo hawanaga shukran siku zote

  • @othinielkamyola3697
    @othinielkamyola3697 3 месяца назад +5

    FACT AISE DIAMOND NI MTU NA NUSU🎉🎉

  • @EdmondNyirenda
    @EdmondNyirenda 3 месяца назад +4

    Fact brother Momo🔥💥

  • @FestoIdani
    @FestoIdani 3 месяца назад +4

    Broh mom umeongea madin sana

  • @DiorMabaril-qy6yp
    @DiorMabaril-qy6yp 3 месяца назад +3

    Diamond planumz big4 🌍🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @Wilsonchiyola3300
    @Wilsonchiyola3300 3 месяца назад +3

    ❤ fact

  • @AmourHaroub-lv8ll
    @AmourHaroub-lv8ll 3 месяца назад +5

    Dah kw kweli mdomana harmonize hasogei

  • @mashramadhani1989
    @mashramadhani1989 3 месяца назад +3

    UMEONGEA VIZURI SANA KIUNGWANA NA NDIO UKWELI

  • @dennisnjonanje62
    @dennisnjonanje62 2 месяца назад +2

    Dah Kweli, pesa na nguvu alitoiweka kwa harmo angewekeza kwake mwenyewe angekuwa na Grammy zake kadhaa ndani

  • @VITUSPROTUS-wh4mn
    @VITUSPROTUS-wh4mn 2 месяца назад

    Facts

  • @islamisco8118
    @islamisco8118 3 месяца назад +3

    Ni ukweli mtupu bro

  • @RamadhaniMshana-gk6vm
    @RamadhaniMshana-gk6vm 3 месяца назад +3

    Fact

  • @dennisnjonanje62
    @dennisnjonanje62 2 месяца назад +2

    Watu tumesahau kama chinga alikuwa BSS 😂

  • @hance2746
    @hance2746 3 месяца назад +2

    Kumfanya mtu apate mademu kama wewe sio ktu rahisi 😂😂😂

  • @OmmyDseven
    @OmmyDseven 2 месяца назад +1

    Mwandishi unahoji Au unapiga umbea2 uliza vitu vya muhim Sio kumkubaliatu Kila Anacho sema yaan ww kama msenge😂

  • @merinakassembe118
    @merinakassembe118 2 месяца назад

    Kelele. Wewe funga bakuli

  • @nelsonkoi148
    @nelsonkoi148 2 месяца назад

    Hakuna ukweli wowote hapo,,hadi uwe na akili ndo uweze kuelewa nnachosema

  • @Tanafa-j9q
    @Tanafa-j9q 3 месяца назад +4

    Ukwel na uhakk

  • @ISSASHABANI-sw7lx
    @ISSASHABANI-sw7lx 3 месяца назад +1

    Wewe rikado momo tafuta pesa ili uwache kuwazungumzia watoto walio kupita kimaisha

  • @NSHIMIRIMANAMARIAMMARIAM
    @NSHIMIRIMANAMARIAMMARIAM 3 месяца назад +3

    Hilo halitopingika hâta mpaka kiama , mchango wa mond upo tu

  • @channyanjen9047
    @channyanjen9047 2 месяца назад

    Nyiye uko munatukana hamu a Akili wa shenzi

  • @DjskillsTboiyprincess
    @DjskillsTboiyprincess 3 месяца назад +1

    Kukutana na paul pogba siomafanyikiyo kwamaana atawasiyo fanyikiwa hukutana naye.
    Ommy dimpoz kakutana na Cristian Ronaldo inamaana kafanyikiwa zaidi kuliko Mondi?

    • @StivemarleyBaruswage-sx6gd
      @StivemarleyBaruswage-sx6gd 2 месяца назад +3

      Kuna kukutana na mtu mkakaa pamoja mkapiga story mkabadilishana mawazo na kuona mtu ukamuomba mpige picture bro juwa kutofautisha

    • @kinganyamohamedi2271
      @kinganyamohamedi2271 2 месяца назад

      ​@@StivemarleyBaruswage-sx6gdutapata tabu sana kuwajibu watu wa ovyo kaka.

  • @merinakassembe118
    @merinakassembe118 2 месяца назад

    Ricado wewe kwenda domo kaya göbal sio mchezaji teba huyo sio mpiga mziki huyo acha mdomo huyo mwambino ni kama mkeo kila nchi anazunguka kudabga aibu unayo wewe unajipya wewe domo kana pipa la mkaa

  • @x7hia
    @x7hia 3 месяца назад +6

    Itokeee siku na wewe uongelee mafanikio yako,sio ya Diamond tu

    • @AmourHaroub-lv8ll
      @AmourHaroub-lv8ll 3 месяца назад +2

      Chuki hio

    • @Tanafa-j9q
      @Tanafa-j9q 3 месяца назад +2

      Unateseka ukiwa wap mmakonde

    • @m___ck799
      @m___ck799 3 месяца назад

      Yaani😂

    • @WaziriRamadhan-ML
      @WaziriRamadhan-ML 3 месяца назад +1

      Yan we ni likuma kwele kwel alafu kichwan hauna kbs akili hasa kwani ww happ inakuuma nn wakat hapo ye anamuongelea ndugu yake alafu kuumia unaumia ww hivi si nilichoko kbs ww??kuma la mama ako weeee

    • @geoufo2858
      @geoufo2858 3 месяца назад +1

      We inakuuma nn ci mdogo wake we unafkir ata dunia nzima tukimkataa Simba dugu zake waliwekwa wann sasa😅 tulia ata uchawi

  • @ahmedimakope
    @ahmedimakope 3 месяца назад

    Yaan ray vany hajawah kupewa mkataba lkn alikuwa anapewa stahili zake zote kama ilivyo kwenye mkataba huo ni mkataba Gani sasa unaosema kuhusu stahiki zake kama hakupewa mkataba

  • @DavidMbwilo-qk1bz
    @DavidMbwilo-qk1bz 3 месяца назад +1

    Mtoto wa kiume kulamba midomo ni dalili mbaya

    • @saadabakar7750
      @saadabakar7750 3 месяца назад +1

      Broo anatoka mate kwa kujaribu kukatroli kigugumizi ndio anayaramba , mchunguze.

    • @mashramadhani1989
      @mashramadhani1989 3 месяца назад

      HUYU NI KAKA WA DIAMOND NDIYE HASA ALIYEPAMBANA NAE TANGU ANA NDOTO
      MPAKA SASA DIAMOND KAWA HAPO. KAMLEA DIAMOND KWA MENGI SANA ANAJUA MENGI.
      KULAMBA MIDOMO WAKATI MWINGINE KUNA WATU WANA LIPS KAVU SANA NA NDIO MAANA HAPO MAFUTA
      KWA HAJILI YA MIDOMO MIKAVU.

  • @musiccaentertainment100k8
    @musiccaentertainment100k8 3 месяца назад

    Mbona ndugu za diamond wengi ni mashoga

  • @BarakamussaBarakamussa-go7nv
    @BarakamussaBarakamussa-go7nv 3 месяца назад

    Watu wanaangalia maendeleo tu kiba anawatu kariba 200 anawalipa mshahara. Alafu unaleta usenge

    • @Tanafa-j9q
      @Tanafa-j9q 3 месяца назад +2

      Ushalewa gongo wewe so bure unauhkk hao watu anao au mihemko inakxmbua

    • @albertkadyanji9722
      @albertkadyanji9722 2 месяца назад +1

      Hao watu kibamia kawatoa wapi hahahahahaha

  • @merinakassembe118
    @merinakassembe118 2 месяца назад

    Funga domo wewe mujui

  • @BarakamussaBarakamussa-go7nv
    @BarakamussaBarakamussa-go7nv 3 месяца назад

    Huyu mbwa kazi kutetea ujinga tu Kila siku. Yaani wanaroho mbaya sanaaah wivu tu. Basi tuseme kiba Kapitwa mpaka na chino. Wote Hao Wana maendeleo gani 😅😅😅 na kiba yy siyo msanii bora

    • @hassanhamisi3061
      @hassanhamisi3061 2 месяца назад +1

      Acha shobo, unamleta kiba wa nini hapa wakati haimhusu hii interview

    • @kizdady2544
      @kizdady2544 2 месяца назад

      We Kama sio mchawi basi mshirikina

  • @Wapoletz13
    @Wapoletz13 3 месяца назад

    We domomo Acha uwongo