NAMPENDA MTOTO WANGU | 💞 Love Story | DONTA TV

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 окт 2024

Комментарии • 169

  • @maimunachuma7994
    @maimunachuma7994 Месяц назад +10

    Pongezi sana kunambi Asante sana hii muv nimejifunza mengi sana kupitia filamu hii 🥰🥰🥰🥰🥰🥰❤️❤️❤️❤️

  • @ConsolathaMakusa
    @ConsolathaMakusa Месяц назад +7

    Nyie donta nyiee nawapenda mnooo❤️❤️❤️

  • @joycemuenimutua4506
    @joycemuenimutua4506 Месяц назад +7

    Caddy leo unapendeza sana na iyo dera❤ James so unajuanga kujam,kazi Zuri sana congratulations from Kenya

  • @ButoyiThierry-j8e
    @ButoyiThierry-j8e Месяц назад +8

    Nic mnajuwa kabx nawapenda sana kutoka Bd 🇧🇮 buja 🎉🎉🎉

  • @shaydebby5678
    @shaydebby5678 Месяц назад +7

    Kunambi saiv unaigiza kuwa na moyo mzur hadi nakupenda mieee

  • @FrankMaendeleo247
    @FrankMaendeleo247 Месяц назад +11

    Wanadonta tv, Donta plus, Donta family, jiwe juu ya jiwe hatupoi hatuboi kaz juu ya kazi🎉🎉🎉🎉

  • @TeshmonyAntonio
    @TeshmonyAntonio Месяц назад +6

    kunambi mbona we mzuri sana babaangu nakuombea kwa mola akupe maisha yenye amani na furaha tela naamini pia kiuhalisia una moyo nzuri Mungu akupe matamanio ya moyo wako

  • @MaryvineBhoke
    @MaryvineBhoke Месяц назад +30

    Leo nimechelew 😅😅Naomba like tano TU from Kenya 🎉🎉🎉

  • @LucienNdereyimana
    @LucienNdereyimana Месяц назад +13

    Kazi nzuri wana donta ila kendy hatujamzoea ivo mkali😅😅😅❤

  • @JanetRiziki-ut2is
    @JanetRiziki-ut2is Месяц назад +4

    Kunambia asante kaka k1a moyo wako mzuri mungu akupe maisha marefu kaka ❤❤❤❤

  • @FrancisMutua-iw4dl
    @FrancisMutua-iw4dl Месяц назад +10

    Safi Sana👏🏻Kenya tuwapi🇰🇪

  • @RizikiZiki
    @RizikiZiki Месяц назад +17

    Wanawake wapumbafu wapumbavu kutupa mtoto kweli au hawzsikiyagi ucungu 😢pole sana kwanao tupa watoto

  • @ZeinabRashid-oj9iv
    @ZeinabRashid-oj9iv Месяц назад +4

    Hivi klvn huo wimbo wa aaah aaa aaah aaa ful inaitwaje naupnd sn ♥️

  • @joycemachibya4380
    @joycemachibya4380 Месяц назад +5

    Kelvin ww handsome kwel😊😊❤

  • @ALINENdizihirwe
    @ALINENdizihirwe Месяц назад +7

    Movie nzuri sana ❤ingekuwa vizuri mkatuletee episode ya 2

  • @ConsolathaMakusa
    @ConsolathaMakusa Месяц назад +4

    Donta hamboi hampoi!!👍👍❤️❤️

  • @ErickaMatonya
    @ErickaMatonya Месяц назад +6

    Move nzuri sana hongeleni ❤❤❤

  • @EyecandieDr
    @EyecandieDr Месяц назад +9

    Wa Kwanza likes from Kenya beautiful people

  • @LadouceTuyisenge
    @LadouceTuyisenge Месяц назад +12

    Nimekuwa wakwanza kutoka Burundi ❤❤❤🎉

  • @ShazChem
    @ShazChem Месяц назад +4

    Amina kila Mtutu Atubu Dhambi zake asafishwe na aokoke😅

  • @ALIHASSAN-dx7ie
    @ALIHASSAN-dx7ie Месяц назад +7

    Kuliko kukitupa si upeane yarabih inauma sana

  • @wasule6253
    @wasule6253 Месяц назад +30

    Weeh thubutu hata kama maisha magumu kiasi gani siwezi kumtupa mwanangu nitapambanae hivyohivyo

  • @JacklineMutave-uz3md
    @JacklineMutave-uz3md Месяц назад +4

    Kumbli mtoto tu🎉🎉🎉

  • @ShakilaHassan-q7u
    @ShakilaHassan-q7u Месяц назад +6

    Jaman kelvin jitokeze hii move itapendeza zaidi unakaa n nzur sana🙏🙏

  • @Deborahdepsy-qh4rj
    @Deborahdepsy-qh4rj Месяц назад +9

    Oyaaaaa nimewai from Kenya

  • @stephenrobert7899
    @stephenrobert7899 Месяц назад +7

    Bona hii move inakaa touching 😢😢😢😢

  • @نيجي-ن1د
    @نيجي-ن1د Месяц назад +5

    Kaz nzur sana ila ingeendelea tukauona mwisho wa Nelly

  • @ALINENdizihirwe
    @ALINENdizihirwe Месяц назад +4

    Kwamara. Ya kwanza na comment plz wekeni sehemu ya pili

  • @Kinyua-ye8kk
    @Kinyua-ye8kk Месяц назад +6

    Candy acha roho mbaya Malaika Wa Mungu unamchukia kiasi hicho

  • @EmmanuelMaduhu-h3h
    @EmmanuelMaduhu-h3h 12 дней назад +1

    Wanang eeh donta mpewe maua yenu

  • @asmaManeno
    @asmaManeno Месяц назад +2

    Djamani muwe nauruma😂😂😂

  • @EstherGift-c2c
    @EstherGift-c2c Месяц назад +1

    Dah wanawake Mungu atusamehee sana

  • @herieldauson5987
    @herieldauson5987 Месяц назад +2

    Mim kama mama lalaty siwez kumtupa lalaty wangu aseee nitakufa nae

  • @RoseKahise
    @RoseKahise Месяц назад +5

    Et me.xjamtupa nlimhifadhi2 duuuu

  • @DieudonneSylvain
    @DieudonneSylvain Месяц назад +2

    KAKA KUNAMBI SI UPIGE ULE MWANAMKE KIBAO IKO NAKU PANDISHIYA AE SAUTI VILE NA WEYE NJO MWANA UME PIGA AE 🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @MercySilvester
    @MercySilvester Месяц назад +5

    Mtoto wa mwenzio muone Kaa mtoto wako

  • @perepetuajohn
    @perepetuajohn Месяц назад +1

    Nakuombea Kwa Mungu akupunguzie matatizo Yako baba

  • @kokenye9003
    @kokenye9003 Месяц назад +2

    Safii sana ❤❤❤

  • @MauwaAmida
    @MauwaAmida 27 дней назад +1

    Nawapenda sana kweli 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @YassinGofrey
    @YassinGofrey Месяц назад +1

    Ongea ya Kunambi hutoa uhalisia wa movie au stori, badrka ongea yako my brother

  • @Allyahloleka
    @Allyahloleka Месяц назад +1

    Mbon inaish vibaya tunatak muendelezo

  • @EmmyUWIMANA-qz1qd
    @EmmyUWIMANA-qz1qd Месяц назад +1

    Filamu nzuri sana , 8:31 8:32 na tokea rwanda

  • @mariachunga2191
    @mariachunga2191 Месяц назад +1

    Daah chuma cha reli hicho

  • @SaidMuhsin-l3q
    @SaidMuhsin-l3q Месяц назад +1

    Mtt amehifadhiwa borin jmn vai

  • @MariamRashid-r5m
    @MariamRashid-r5m Месяц назад +1

    Mpeleke mahakamani uyo mama tena uachane nae kabsa

  • @taqiyyamwijage3324
    @taqiyyamwijage3324 Месяц назад +1

    Kazi zenu nzuri ila mnakera pale mnapo changanya mavazi ya kiislamu na uhuni tenamkome

  • @PuritySalama-yv6to
    @PuritySalama-yv6to Месяц назад +2

    Jamaniii kuna vipind vyengine hmvileti esp 2kma y kijana mskin n bty nyok then kendy n kunambi mtu n kakake kufanya mapenz mlizisahau kwamw tuleteen bs maaan mnatulimish

  • @AminaMjeni-iz8uo
    @AminaMjeni-iz8uo Месяц назад +1

    Nawapenda sana wana donta tv ❤️❤️❤️

  • @MariamRashid-r5m
    @MariamRashid-r5m Месяц назад +1

    Astaghafirullah, mtoto wko unamtupa kisa maisha ni magum uchungu wko mwenyew 😭😭😭😭😭😭😭 maskini mtoto bdo ni mdgo haujui ktu anaachwa msituni😭😭😭😭😭

  • @BenjaminKalumuna
    @BenjaminKalumuna Месяц назад +3

    Oya wanangu kazi kwa kazi

    • @BenjaminKalumuna
      @BenjaminKalumuna Месяц назад

      🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @sophianyamvula7080
    @sophianyamvula7080 Месяц назад +1

    Congrs ❤❤❤

  • @saudianew2045
    @saudianew2045 Месяц назад +1

    😂😂😂😂mamake akaenda saudia 😂😂😂😂😂😂

  • @HustonKailo-fk1cx
    @HustonKailo-fk1cx Месяц назад +3

    Oya wanangu eeee respect❤

  • @Salma1212-u3o
    @Salma1212-u3o Месяц назад +1

    😂😂mtoto amemuifadhi polini akiwa na maisha mazuli atakuja kumchukuaa

  • @MelicianaYoram-rg5cl
    @MelicianaYoram-rg5cl 27 дней назад

    Duuu ni atali sana kamhifadhi kituo cha kuonesha sinema

  • @MariamPacha-y8m
    @MariamPacha-y8m 25 дней назад

    Hongera sana kunambi nimaajabu kuona umeanza kuonekana na loho nzur

  • @rosemuhazi9542
    @rosemuhazi9542 Месяц назад +1

    aki mungu kunambi uko vizuri sana

  • @fatuma6011
    @fatuma6011 Месяц назад +1

    Ssa vai ukitupa mtto ndo maisha yatakuwa rahic turumie akili wanawake

  • @ChristineKesi-k9r
    @ChristineKesi-k9r Месяц назад +3

    Mbona simuoni kelvn khan,nampenda husisimua SANA movie ❤nko kenya??whr is kelvin here pls??!!!

  • @sanetag2173
    @sanetag2173 Месяц назад +1

    Mm hata nipitie changa moto nyingi ziwezi tupa mtoto wangu

  • @mohammedkidody5618
    @mohammedkidody5618 Месяц назад +5

    Leo nimekuwa wakwanza kazi nzuri sana Donta plus❤🎉

  • @RaelAmunga
    @RaelAmunga Месяц назад +1

    Kazi nzuri sana lkn huyu mtoto ni wanani mumelipa mamake ndo akwapea huyu mtoto kuingiza nae.

  • @IddahMwamuma
    @IddahMwamuma Месяц назад +4

    Nimependa sana james alivoigiza pale anapomfokea mama alotupa mtoto😂😂

  • @KipngenomikeKorir
    @KipngenomikeKorir Месяц назад +1

    Kendi naye eti anadai atamchoma mtoto😢hiki kipindi kinapendesa

  • @Nadzuwamangale
    @Nadzuwamangale Месяц назад +1

    Siezi mtupa mtt wangu hat nipitie shinda Ngumu kivp

  • @StephenKozgei
    @StephenKozgei Месяц назад +1

    Movie nzuri sana Hila mulikata kutumalizia movie y vampaya

    • @SalomeKawogo
      @SalomeKawogo Месяц назад

      syo vampire tuu ad chozi langu,chaguo la mama na mama kijacho sjui iliishaje

  • @sfiaalanazi5479
    @sfiaalanazi5479 Месяц назад +1

    😅😅😅😅😅😅😅brown jamani kendi muonee huruma mwenzio

  • @rukiahassan7001
    @rukiahassan7001 Месяц назад +4

    Sasa waacha mtoto km kumtupa kwa nini likuwa usiishi nae utakacho pata ukala nae..badala ya kumuacha pekee porini ila hongereni

    • @JeannetteManirambona-o6m
      @JeannetteManirambona-o6m Месяц назад

      Alitaka afanye umalaya shenzi

    • @rukiahassan7001
      @rukiahassan7001 Месяц назад

      @@JeannetteManirambona-o6m aah Mimi nilitiwa mimba na mwanaume akakataa mtoto na nalea pekeangu Sasa amefika grade 6.

  • @AnittaBiatusi
    @AnittaBiatusi Месяц назад +1

    Ubarikiwe

  • @tauhidakhamis1657
    @tauhidakhamis1657 Месяц назад +1

    Yan wanawake sis roho mbay na tunapend kukuza mambo

  • @AnisaRamadhan-m6g
    @AnisaRamadhan-m6g Месяц назад +4

    Naomba like

  • @KhadijaSalumu-h8h
    @KhadijaSalumu-h8h Месяц назад +1

    Jmn kazi mzuri

  • @HappyGeorge-kn9sz
    @HappyGeorge-kn9sz Месяц назад +1

    kwan huy alizaa au alinunua sokon😢😢

  • @AnzaziFaida
    @AnzaziFaida Месяц назад +2

    Moto kama pasi❤❤❤🎉🎉🎉🎉

    • @PuritySalama-yv6to
      @PuritySalama-yv6to Месяц назад

      😂😂😂😂😂koment zengin z vunja mbavu eti suakma psi 😂

  • @rizikimohamed2449
    @rizikimohamed2449 25 дней назад

    Jamaniiiiiiiii mama ngani ww huna huruma

  • @HudhaimaYussuf
    @HudhaimaYussuf Месяц назад +11

    Unae soma comment hii bila kuangalia movie madako yako 😂😂😂

    • @AcrinaKikoti
      @AcrinaKikoti Месяц назад +1

      mbna umetusi😢

    • @HudhaimaYussuf
      @HudhaimaYussuf Месяц назад +2

      @@AcrinaKikoti pole aki nilijua mim wa mwisho 😂😂

    • @FaustinaAngelo-d4d
      @FaustinaAngelo-d4d Месяц назад

      Hata kama wamwisho ndo uwe na makasiliko​@@HudhaimaYussuf

    • @AcrinaKikoti
      @AcrinaKikoti Месяц назад +2

      @@HudhaimaYussuf oky🙌

    • @JUMASELEMAN-o2l
      @JUMASELEMAN-o2l Месяц назад

      Mwenyewe nakwambia madako yako mwenywe hudhaima yussuf

  • @STANLEYKINYILI
    @STANLEYKINYILI Месяц назад +2

    Kenya Watching

  • @denique438
    @denique438 Месяц назад +1

    Brown jmn anajua kulea jmn

  • @MariamRashid-r5m
    @MariamRashid-r5m Месяц назад +1

    Sai mnanitishia na ii movie yenu ni ujinga tu wa wanawake bure kabsa

  • @ChristineRumba
    @ChristineRumba Месяц назад +2

    Kazi saf ila vaileth kweli uache mtoto msituni ukajitafute ukipata umrudie wallah nimecheka

  • @سيييققق
    @سيييققق Месяц назад +1

    Jemes leo umenipendeza kwa ukali wako uliomfokea mama watoto😂😂 congrats nyote mlio husika kw hii movie

  • @Kinyua-ye8kk
    @Kinyua-ye8kk Месяц назад +2

    Mwanamke Wa kivpi ambae unaeka mwanao porini bure kbisa wewe uliumwa Na tumbo kweli

  • @FadhiliNyoni-v9r
    @FadhiliNyoni-v9r Месяц назад +1

    nakubali San

  • @rubabazankikowilly4266
    @rubabazankikowilly4266 Месяц назад +1

    Hallo,sisi wa nyarwanda tunawapenda sana

  • @LucyElias-zf3tl
    @LucyElias-zf3tl Месяц назад +2

    James bana et akiliwa wakat keshaliwa tiyari

  • @ShadiaIdrisa
    @ShadiaIdrisa Месяц назад +1

    Kendi acha logo mbaya muchukue mutoto

  • @MariamRashid-r5m
    @MariamRashid-r5m Месяц назад +1

    Hyo mama mtoto tena ni mzima ati mtoto anakula sana ndio akamtupa😂😂😂😂

  • @BintiM-di1wm
    @BintiM-di1wm 17 часов назад

    Ila candy umependeza sana ddngu ❤❤alafu huyo James kanichekesha na huyo mkewe wakitafuta mtto wao😂😂😂

  • @OliverPaul-y3e
    @OliverPaul-y3e 15 дней назад

    Kunambi upewe maua 🎉🎉 yako kwaubinadamu na wema uloufanya mungu akubaliki🌹💯

  • @ShabaniMustafa-n8h
    @ShabaniMustafa-n8h Месяц назад +2

    Nimejitafuta nimejipata

  • @LucyChengo
    @LucyChengo Месяц назад +1

    Hee kutupa mtoto kabisa wanawake wengine hawana akili sana

  • @BarakaAloice
    @BarakaAloice Месяц назад +4

    nimeona wakwanza leo

  • @ronyalkh
    @ronyalkh Месяц назад +1

    Nely anataka achomwe moto ndio Amin anacho kufanya nimbaya

  • @MwantumuHassani
    @MwantumuHassani 3 дня назад

    Wanawake tuwe na huruma

  • @AishaMwaka-q8p
    @AishaMwaka-q8p Месяц назад +1

    Uwe kendy waujuuwa uchungu wamtoto ww jamani 😢😢

  • @JeannetteManirambona-o6m
    @JeannetteManirambona-o6m Месяц назад +1

    Mimi tu nitupe mtoto wangu labda niwe nimerogwa

  • @priscahmahenzo642
    @priscahmahenzo642 Месяц назад

    ❤❤❤❤❤❤ᴡᴏᴏᴏᴡ ɴɪᴄᴇ ᴍᴏᴠɪᴇ🎉🎉

  • @cartoonpati2914
    @cartoonpati2914 Месяц назад

    James unajua kuact👊👊

  • @ZenathissaZenathissa-tq1jm
    @ZenathissaZenathissa-tq1jm Месяц назад

    Eti anatubana usikuu😂😂😂😂

  • @MealiiKolo
    @MealiiKolo Месяц назад

    Mko juuu kunammbi waweza bana