kunambi mbona we mzuri sana babaangu nakuombea kwa mola akupe maisha yenye amani na furaha tela naamini pia kiuhalisia una moyo nzuri Mungu akupe matamanio ya moyo wako
Jamaniii kuna vipind vyengine hmvileti esp 2kma y kijana mskin n bty nyok then kendy n kunambi mtu n kakake kufanya mapenz mlizisahau kwamw tuleteen bs maaan mnatulimish
Pongezi sana kunambi Asante sana hii muv nimejifunza mengi sana kupitia filamu hii 🥰🥰🥰🥰🥰🥰❤️❤️❤️❤️
Nyie donta nyiee nawapenda mnooo❤️❤️❤️
Caddy leo unapendeza sana na iyo dera❤ James so unajuanga kujam,kazi Zuri sana congratulations from Kenya
Nic mnajuwa kabx nawapenda sana kutoka Bd 🇧🇮 buja 🎉🎉🎉
Kunambi saiv unaigiza kuwa na moyo mzur hadi nakupenda mieee
Wanadonta tv, Donta plus, Donta family, jiwe juu ya jiwe hatupoi hatuboi kaz juu ya kazi🎉🎉🎉🎉
kunambi mbona we mzuri sana babaangu nakuombea kwa mola akupe maisha yenye amani na furaha tela naamini pia kiuhalisia una moyo nzuri Mungu akupe matamanio ya moyo wako
Leo nimechelew 😅😅Naomba like tano TU from Kenya 🎉🎉🎉
Good job kunambi ❤❤
@@RebeckAunt Amazing 😘
Kazi nzuri wana donta ila kendy hatujamzoea ivo mkali😅😅😅❤
Kunambia asante kaka k1a moyo wako mzuri mungu akupe maisha marefu kaka ❤❤❤❤
Safi Sana👏🏻Kenya tuwapi🇰🇪
Wanawake wapumbafu wapumbavu kutupa mtoto kweli au hawzsikiyagi ucungu 😢pole sana kwanao tupa watoto
❤
Hivi klvn huo wimbo wa aaah aaa aaah aaa ful inaitwaje naupnd sn ♥️
Kelvin ww handsome kwel😊😊❤
Movie nzuri sana ❤ingekuwa vizuri mkatuletee episode ya 2
Donta hamboi hampoi!!👍👍❤️❤️
Move nzuri sana hongeleni ❤❤❤
Wa Kwanza likes from Kenya beautiful people
Nimekuwa wakwanza kutoka Burundi ❤❤❤🎉
Amina kila Mtutu Atubu Dhambi zake asafishwe na aokoke😅
Kuliko kukitupa si upeane yarabih inauma sana
Weeh thubutu hata kama maisha magumu kiasi gani siwezi kumtupa mwanangu nitapambanae hivyohivyo
Kate ndio maana wengine hamzai unamchukiaje malaika
Kwani umeulizwa
Kwani umeulizwa?
Kumbli mtoto tu🎉🎉🎉
Jaman kelvin jitokeze hii move itapendeza zaidi unakaa n nzur sana🙏🙏
Oyaaaaa nimewai from Kenya
Bona hii move inakaa touching 😢😢😢😢
Kaz nzur sana ila ingeendelea tukauona mwisho wa Nelly
Kwamara. Ya kwanza na comment plz wekeni sehemu ya pili
Candy acha roho mbaya Malaika Wa Mungu unamchukia kiasi hicho
Wanang eeh donta mpewe maua yenu
Djamani muwe nauruma😂😂😂
Dah wanawake Mungu atusamehee sana
Mim kama mama lalaty siwez kumtupa lalaty wangu aseee nitakufa nae
Et me.xjamtupa nlimhifadhi2 duuuu
KAKA KUNAMBI SI UPIGE ULE MWANAMKE KIBAO IKO NAKU PANDISHIYA AE SAUTI VILE NA WEYE NJO MWANA UME PIGA AE 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Mtoto wa mwenzio muone Kaa mtoto wako
Nakuombea Kwa Mungu akupunguzie matatizo Yako baba
Safii sana ❤❤❤
Nawapenda sana kweli 🎉🎉🎉🎉🎉
Ongea ya Kunambi hutoa uhalisia wa movie au stori, badrka ongea yako my brother
Mbon inaish vibaya tunatak muendelezo
Filamu nzuri sana , 8:31 8:32 na tokea rwanda
Daah chuma cha reli hicho
Mtt amehifadhiwa borin jmn vai
Mpeleke mahakamani uyo mama tena uachane nae kabsa
Kazi zenu nzuri ila mnakera pale mnapo changanya mavazi ya kiislamu na uhuni tenamkome
Jamaniii kuna vipind vyengine hmvileti esp 2kma y kijana mskin n bty nyok then kendy n kunambi mtu n kakake kufanya mapenz mlizisahau kwamw tuleteen bs maaan mnatulimish
Nawapenda sana wana donta tv ❤️❤️❤️
Astaghafirullah, mtoto wko unamtupa kisa maisha ni magum uchungu wko mwenyew 😭😭😭😭😭😭😭 maskini mtoto bdo ni mdgo haujui ktu anaachwa msituni😭😭😭😭😭
Oya wanangu kazi kwa kazi
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Congrs ❤❤❤
😂😂😂😂mamake akaenda saudia 😂😂😂😂😂😂
Oya wanangu eeee respect❤
😂😂mtoto amemuifadhi polini akiwa na maisha mazuli atakuja kumchukuaa
Duuu ni atali sana kamhifadhi kituo cha kuonesha sinema
Hongera sana kunambi nimaajabu kuona umeanza kuonekana na loho nzur
aki mungu kunambi uko vizuri sana
Ssa vai ukitupa mtto ndo maisha yatakuwa rahic turumie akili wanawake
Mbona simuoni kelvn khan,nampenda husisimua SANA movie ❤nko kenya??whr is kelvin here pls??!!!
🧑🍼🫵😂😂😂
Mm hata nipitie changa moto nyingi ziwezi tupa mtoto wangu
Leo nimekuwa wakwanza kazi nzuri sana Donta plus❤🎉
Kazi nzuri sana lkn huyu mtoto ni wanani mumelipa mamake ndo akwapea huyu mtoto kuingiza nae.
Nimependa sana james alivoigiza pale anapomfokea mama alotupa mtoto😂😂
Kama mm😂😂
Kendi naye eti anadai atamchoma mtoto😢hiki kipindi kinapendesa
Siezi mtupa mtt wangu hat nipitie shinda Ngumu kivp
Movie nzuri sana Hila mulikata kutumalizia movie y vampaya
syo vampire tuu ad chozi langu,chaguo la mama na mama kijacho sjui iliishaje
😅😅😅😅😅😅😅brown jamani kendi muonee huruma mwenzio
Sasa waacha mtoto km kumtupa kwa nini likuwa usiishi nae utakacho pata ukala nae..badala ya kumuacha pekee porini ila hongereni
Alitaka afanye umalaya shenzi
@@JeannetteManirambona-o6m aah Mimi nilitiwa mimba na mwanaume akakataa mtoto na nalea pekeangu Sasa amefika grade 6.
Ubarikiwe
Yan wanawake sis roho mbay na tunapend kukuza mambo
Naomba like
Jmn kazi mzuri
kwan huy alizaa au alinunua sokon😢😢
Moto kama pasi❤❤❤🎉🎉🎉🎉
😂😂😂😂😂koment zengin z vunja mbavu eti suakma psi 😂
Jamaniiiiiiiii mama ngani ww huna huruma
Unae soma comment hii bila kuangalia movie madako yako 😂😂😂
mbna umetusi😢
@@AcrinaKikoti pole aki nilijua mim wa mwisho 😂😂
Hata kama wamwisho ndo uwe na makasiliko@@HudhaimaYussuf
@@HudhaimaYussuf oky🙌
Mwenyewe nakwambia madako yako mwenywe hudhaima yussuf
Kenya Watching
Brown jmn anajua kulea jmn
Sai mnanitishia na ii movie yenu ni ujinga tu wa wanawake bure kabsa
Kazi saf ila vaileth kweli uache mtoto msituni ukajitafute ukipata umrudie wallah nimecheka
Jemes leo umenipendeza kwa ukali wako uliomfokea mama watoto😂😂 congrats nyote mlio husika kw hii movie
Mwanamke Wa kivpi ambae unaeka mwanao porini bure kbisa wewe uliumwa Na tumbo kweli
nakubali San
Hallo,sisi wa nyarwanda tunawapenda sana
James bana et akiliwa wakat keshaliwa tiyari
Kendi acha logo mbaya muchukue mutoto
Hyo mama mtoto tena ni mzima ati mtoto anakula sana ndio akamtupa😂😂😂😂
Ila candy umependeza sana ddngu ❤❤alafu huyo James kanichekesha na huyo mkewe wakitafuta mtto wao😂😂😂
Kunambi upewe maua 🎉🎉 yako kwaubinadamu na wema uloufanya mungu akubaliki🌹💯
Nimejitafuta nimejipata
Hee kutupa mtoto kabisa wanawake wengine hawana akili sana
nimeona wakwanza leo
Nely anataka achomwe moto ndio Amin anacho kufanya nimbaya
Wanawake tuwe na huruma
Uwe kendy waujuuwa uchungu wamtoto ww jamani 😢😢
Mimi tu nitupe mtoto wangu labda niwe nimerogwa
❤❤❤❤❤❤ᴡᴏᴏᴏᴡ ɴɪᴄᴇ ᴍᴏᴠɪᴇ🎉🎉
James unajua kuact👊👊
Eti anatubana usikuu😂😂😂😂
Mko juuu kunammbi waweza bana