dushelele ungeifanyia hata REMIX tu maana hyo nyimbo inachezeka vzr sana na naiman itakuwa hit Remix kuliko org yenyewe maana org ilitoka zama ambazo hazijataalamika
*Nakupenda ni wimbo maalum kwa wapenzi waliopo kwenye mahaba mazito sana, huu ni wimbo mpya toka kwangu bofya picha pembeni 👈👈👈 kuutazama naamini utaupendaaa*
sasa kaka wewe kilaa siku unaomba sapport lkn mbna sijawah ona comment yako ya kumsaport msanii yoyote anzaga kuwasaport wenzio afu utaonaa sapport zao kwako
King kiba tishio la tanzania 🇹🇿 wasio penda watapike
Nakukubali Sana kaka King Kama king 👑💯
Yaani show inaisha MTU ukiwa hutaki dadeki khaaaaa huyu jamaaaa kisanga 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Alivyovaa sasa simple huyu mtu sijampatia mfano
@@makulaikuku6909 hahahaha huyo ndio kiba
Kumbe mfalme akiamuwa malinga anayakata kinoma . Safi sana mfalme wa music wa bongo.
Dushelele hatariiii🔥🔥🔥🔥🔥
Hakika tume enjoy zanzibar welcome agan our king
Niliona kwa Mbali
Nilikuona kwa mbali
@@mohammedibrahim1629 Na mm nilikuona
Live performance kwa bongofleva sjaona km Kiba 🙌
Umesema kweli kabisaa
Duuuu Kingkiba ni noma kwenye show hivi kaua sana
Yaani unaenda kwenye show unaenjoy kinoma daaah kiba mungu akulinde sn
Umeonae
@@abdallumamu7882 nimeona
@@abdallumamu7882 uchezaji wake sasa km hataki vile
Alikiba vocalist
Nice one
Noma sana , alikiba anajua
Uyu jamaa noma pumzi yake hatare kitu live msifananishe huyu na makapi
Hizi ndo zinaitwa performance kwenye show
King kiba ni moto wakuotea mbali.
Alikiba frappe encore
Bonge la show🔥🔥🔥🔥
Oooh my goodness that is good 👍👌👏
Wow no words !
Great show king 🤴
Good voice
dushelele ungeifanyia hata REMIX tu maana hyo nyimbo inachezeka vzr sana na naiman itakuwa hit Remix kuliko org yenyewe maana org ilitoka zama ambazo hazijataalamika
DAAA ZANZBAR WALIENJOY
Kingkiba is 🔥🔥🔥🔥🔥,,,,,,Seriously no one should compare Alikiba with other RUBBISH artists in Tz,,,,,Kingkiba is of another level in Tz......
Eishhhh show ilikuwa tamu
YAN HAPO KWAKWELI HAWAJA PIGWA..UNATOA KIINGILIO UNAENDA KULA MZIKI MTAMMMM
Kabisaaa
Kiba 🔥 🔥 🔥
Félicitations King 👑 of ngoma
I'm a fun of good music 🎶
#👑 KING you killing it bro
🎶🎤🎧💪KING kiba 🤴👑👑👑très fort
Uyu jamaa anajua sana daah
Duuh wee kiba kwa live tu aufai hta kulumagiwa unatisha king kiba💥💥💥💯
Kabsa uyu jamaa live ninoma
The King Rules Both Humankind and Animals in his Kingdom!!!
King kiba 💝💝💝number one
Wanao Sema kiba ndio king ebu pita na lik zenu apa
Mfalume inyoy ❤️💯
Bonge moja ya show
Nakubali king kiba
kuanzai dakika ya nne hatimae ule usemi wa disko limeingia mmasai limetimia🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
King kiba🔥🔥🔥🔥
Kiba ni mwanang saanaaa anapga show yakikubwaaa
Kwenye live perfomance hauna mpinzan king alikiba amini hlo
Nikweli anawazidi wote uyu Alikiba nimu congo
Hii ndio xhow yangu namba moja kuwahi kuona hapa tz
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥😘😘😘😘
Shoo yakibabe mno
Bonge la show
❤️❤️❤️❤️👑👑
King ni mmoja
King
Kwa Zanzibar hiii huna vyakuambia kuhusu Ali kiba
Daaaah kitu live kitamu saaaana
Afu sauti kama ya kurekodiwa Aisee
Kipenzi chawatu KING Of music 🎶 Tanzania number 1 On👹👹👹
Kiba kiba kiba
Only one king👑💕🤗
Hongera Sana yeah
King kam king ❤️❤️❤️🔥🔥🔥
Zanzibar was a big bang👌👌👌nice
🔥🔥🔥🔥💪💪💪
,🔥🔥🔥🔥🔥🔥
King, King King King King
King kibaaaaaaaaaaaaaaaa
Kitu kizuri ameimba asilimia kubwa yeye na sio kuwaimbisha washabiki kafanya vizuri mno kiba ana baki kiba😀😀
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Nomaaaaaaaaaa
Yap
Kazi nzuri,tunafurahi
King km king 👑
Hatar sana
*Nakupenda ni wimbo maalum kwa wapenzi waliopo kwenye mahaba mazito sana, huu ni wimbo mpya toka kwangu bofya picha pembeni 👈👈👈 kuutazama naamini utaupendaaa*
sasa kaka wewe kilaa siku unaomba sapport lkn mbna sijawah ona comment yako ya kumsaport msanii yoyote anzaga kuwasaport wenzio afu utaonaa sapport zao kwako
@Mama Dully asantee kwa kuliona hilo dear
@@kasmirypaschal2228 fact bro kunywa powerhouse nakuja kulipa
Bila kujari uteam kiba anajuwa show za live
Nic San kiba
fireeeeeeseeeeeeeeeeee
Dancers wake bado sana wamekaa local sana!
Acha majungu wewe hao madancer wako local hao au wewe hujui mziki duh!
Heee heartbreaker c kwa flavor tamu hizo
Liilikuwa bonge la show
wataisababishia laana Zanzibar wahuni hawa.
Kiba wamoto
Hao madanca tuwe tunawaona kwenye video ushauri wangu tu shelele toa remix af waweke hao madancer ukiwemo na ww utafunika Africa nzima
Kwel huyu n king maan s KWA raha hiyo
Bro wewe ni kiboko
Yeeeee baba
Kingilio chao kimeenda na haki
Unajitahidi,hapo Safi kabisa alikiba
show yakibabe Wii>iiiii
Je upande wa pili wanaweza hivyo?
Yebabaaa wauwe
Biggest
KIBA pekeyako tz hakika wewe nimtu wawatu
Ogk
Ila dushelele tamu kwa live show duhuu inavibe
Yeehbaba
Chuma icho
Naona sns hawajaichambuwa hii show ya kiba zenji sijui tatizo ni nini ?
king acha umwinyi panda na vijana wako k2ga ..Tommy. Wapo wapi
Umetumwa.? Usiingilie mipango ya watu mzee
@@isayagangster1048 safi sana
@@zainabubakari6055 wangu watu wengine vinega, lengo lake king aonekane m'baya anawabania madogo
🤝🤝🤝💞
Kazi nzuri,tunafurahi
Only one King 💯🔥🔥🔥🔥🔥🔥