MAISHA YA SEBA WA MISUKOSUKO,KUTOKA KUIGIZA JAMBAZI HADI UASKARI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 21 май 2024

Комментарии • 45

  • @idrisabakari-ol8fr
    @idrisabakari-ol8fr 23 дня назад +3

    hongerabrother pambana mungu atakujalia usikate tamaa uliwahikufanya vizuri nabado nafasi unayo big up

  • @omarathuman5813
    @omarathuman5813 25 дней назад +5

    Seba 😂😂😂 sai ni comedy tu sidhani Kama serious movie ataweza 😂😂😂

  • @AmiduAbdallah
    @AmiduAbdallah 25 дней назад +4

    Huyu jamaa yupo sawa kweli mbn kama zimeyumba kidgo au ndo alivo 😂😂

  • @user-mw5xs2wx8n
    @user-mw5xs2wx8n 25 дней назад +5

    Nimekumbuka mbali Sanaa yani

  • @captenndunga6745
    @captenndunga6745 25 дней назад +4

    Nyi mnamuelewa kweli mbona kama zeshen

  • @user-ds3oi3tt8u
    @user-ds3oi3tt8u 22 дня назад +3

    Madawa hayo ndio changamoto ya ustar bongo usipotumia madawa unakua malaya

  • @KhmsNsr
    @KhmsNsr 25 дней назад +8

    Ukimuhoji huyu jamaa anahisi kmaa yupo kituoni anahojiwa wakat yeye ni jambazi majibu yake yakijambaz jambazi tu😂😂

    • @BarakaMabula-ws2qb
      @BarakaMabula-ws2qb 25 дней назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @ramamabrok2523
      @ramamabrok2523 25 дней назад +1

      😂😂😂😂😂

  • @oscanyakunga
    @oscanyakunga 23 дня назад +3

    😂😂😂😂 ADITHI YA SUNGURA ------- MAISHA NIMAISHA TUU,

  • @kingdeniscrocodile
    @kingdeniscrocodile 25 дней назад +4

    Hayuko sawa saiv jamaaa

    • @prezgal8869
      @prezgal8869 25 дней назад +1

      Yuko sawa na hivyo ndivyo anavyoongeaga

  • @stynoebondomwepu3582
    @stynoebondomwepu3582 25 дней назад +4

    uyu type kweli kabisa

  • @user-vq7fw2xl4e
    @user-vq7fw2xl4e 25 дней назад +4

    Salut 🇨🇩🫶💯🙏✌️

  • @vedastuszillikundi5200
    @vedastuszillikundi5200 24 дня назад +3

    Huyu siyo wakukimbilia kuhoji dishi lilishahama

  • @ramaboy2390
    @ramaboy2390 12 дней назад

    The guy has a military mind

  • @user-hm8ox1vx6z
    @user-hm8ox1vx6z 11 дней назад +1

    Mmmmmmh 😂😂😂😂 Seba mbona kama akili zake hazipo sawaaa❓❓❓

  • @rashidisalehe8614
    @rashidisalehe8614 22 дня назад +1

    Alooo uyu kweli jambazi

  • @rogatusmeleki1660
    @rogatusmeleki1660 24 дня назад +2

    Seba sauti yake ni ile ilee,
    Na utoaji macho ni hulka yake 😅

  • @KhmsNsr
    @KhmsNsr 25 дней назад +3

    Uyu dada kama kuna siku limemtoka ndo leo mana hakukusudia kma lingemkuta hili la mijibu ya seba yani hana shobo yupo kijambaz jambaz act😂😂 yupo kidume dume zaidi no shobo WOTE WANAIGIZA WAZAMANI NA WASASA WOTE WAIGIZAJI NA WANAIGIZA.

  • @nasrimrope8968
    @nasrimrope8968 25 дней назад +7

    Jamaa mbona kama network imehama hivi ?

    • @andrew0502
      @andrew0502 16 дней назад

      Ni kweli ni kama akili haiko sawa hivi yaani kama mtu aliyevurugwa sana

    • @patricksadiki254
      @patricksadiki254 11 дней назад

      Nadhani akili imeyumba

  • @Credokiwaga01
    @Credokiwaga01 25 дней назад +4

    Uyu jamaaa anatowa mjibu 😂😂😂😂

  • @user-cw8zn2dn6m
    @user-cw8zn2dn6m 25 дней назад +2

    Acha maneno mengi, vp unarudi kazini au. Oky?

  • @IsmailJafary-ir8cv
    @IsmailJafary-ir8cv 25 дней назад +2

    😂😂😂😂😂hii chenga kweliii 😂😂😂😂😂

  • @RobbyAugustine-jd2hd
    @RobbyAugustine-jd2hd 22 дня назад +1

    Dada nae alijikoroga ety kipindi hiko mim nilkua sina akili ...😂

  • @SaleheShemlugu
    @SaleheShemlugu 23 дня назад +1

    Nakukubal Sana kaka

  • @jumasango9793
    @jumasango9793 23 дня назад +1

    Mbona jama anajitowa fahamu au ni uzee au swahili ningumu 😂😂

  • @mubajoti743
    @mubajoti743 25 дней назад +3

    Leila leo umepatikan et ulikua chiz😂😂😂

  • @BennyKalinga
    @BennyKalinga 23 дня назад +1

    Jimmy ulipo naombaa kaa nahuyu seba mbona simuelewi afu sema shida ipo wapi?

  • @saidihamadi6110
    @saidihamadi6110 23 дня назад +1

    bangi hizo

  • @abdimakame7929
    @abdimakame7929 23 дня назад +1

    Mbona simuewi uyu Jamaa Yani aeleweki kwakweli ata anachokiongea!!!!!!!!

  • @hammyboy11
    @hammyboy11 25 дней назад +3

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂 et ulkuwa chizi

  • @user-jl1ct8be4o
    @user-jl1ct8be4o 22 дня назад +1

    Kikubwa ni j plas

  • @IvanMgaya-hy8wr
    @IvanMgaya-hy8wr 24 дня назад +3

    Natafuta j plas uyu zime yumba

  • @andrew0502
    @andrew0502 16 дней назад

    Huyu mwamba anatamani apate kazi ya kufanya lkn inaonekana hapati mashavu

  • @DurahRich
    @DurahRich 24 дня назад +3

    Daah😢😢 kichwa hakiko sawa huyu mjomba

  • @user-zj1ep6hn4p
    @user-zj1ep6hn4p 20 дней назад

    Wewe dada huwa nimuongo inshu ya dada wa nyoka kakushusha sana

  • @achiaamina3773
    @achiaamina3773 18 дней назад

    Tatizo la hawa , watu wakuhoji Wana maswali zengine zina sinya,,,ukiangalia hapa ,hakuna hata chamhim alichotakiwa kumuuliza ,,,Sisi kama shabiki zao ,,tulicho hitaji kujua ni ,kitu gani kilicho wapelekea ukimya mpka sasaivi period

  • @GeaziMnkondya
    @GeaziMnkondya 15 дней назад

    Seba yupo ft

  • @georgemuthokasyala8026
    @georgemuthokasyala8026 19 дней назад

    Clam vevo chukua Seba

  • @MzeeKali
    @MzeeKali 17 дней назад

    Hayuko Sawa huyu wapangaji walisha hama

  • @user-dy2mg7qg3t
    @user-dy2mg7qg3t 23 дня назад

    😂😂😂😂