Uyu dada kama kuna siku limemtoka ndo leo mana hakukusudia kma lingemkuta hili la mijibu ya seba yani hana shobo yupo kijambaz jambaz act😂😂 yupo kidume dume zaidi no shobo WOTE WANAIGIZA WAZAMANI NA WASASA WOTE WAIGIZAJI NA WANAIGIZA.
Tatizo la hawa , watu wakuhoji Wana maswali zengine zina sinya,,,ukiangalia hapa ,hakuna hata chamhim alichotakiwa kumuuliza ,,,Sisi kama shabiki zao ,,tulicho hitaji kujua ni ,kitu gani kilicho wapelekea ukimya mpka sasaivi period
hongerabrother pambana mungu atakujalia usikate tamaa uliwahikufanya vizuri nabado nafasi unayo big up
Seba 😂😂😂 sai ni comedy tu sidhani Kama serious movie ataweza 😂😂😂
Huyu jamaa yupo sawa kweli mbn kama zimeyumba kidgo au ndo alivo 😂😂
Nimekumbuka mbali Sanaa yani
Nyi mnamuelewa kweli mbona kama zeshen
Madawa hayo ndio changamoto ya ustar bongo usipotumia madawa unakua malaya
Ukimuhoji huyu jamaa anahisi kmaa yupo kituoni anahojiwa wakat yeye ni jambazi majibu yake yakijambaz jambazi tu😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂 ADITHI YA SUNGURA ------- MAISHA NIMAISHA TUU,
Hayuko sawa saiv jamaaa
Yuko sawa na hivyo ndivyo anavyoongeaga
uyu type kweli kabisa
Salut 🇨🇩🫶💯🙏✌️
Huyu siyo wakukimbilia kuhoji dishi lilishahama
The guy has a military mind
Mmmmmmh 😂😂😂😂 Seba mbona kama akili zake hazipo sawaaa❓❓❓
Alooo uyu kweli jambazi
Seba sauti yake ni ile ilee,
Na utoaji macho ni hulka yake 😅
Uyu dada kama kuna siku limemtoka ndo leo mana hakukusudia kma lingemkuta hili la mijibu ya seba yani hana shobo yupo kijambaz jambaz act😂😂 yupo kidume dume zaidi no shobo WOTE WANAIGIZA WAZAMANI NA WASASA WOTE WAIGIZAJI NA WANAIGIZA.
Jamaa mbona kama network imehama hivi ?
Ni kweli ni kama akili haiko sawa hivi yaani kama mtu aliyevurugwa sana
Nadhani akili imeyumba
Uyu jamaaa anatowa mjibu 😂😂😂😂
Acha maneno mengi, vp unarudi kazini au. Oky?
😂😂😂😂😂hii chenga kweliii 😂😂😂😂😂
Dada nae alijikoroga ety kipindi hiko mim nilkua sina akili ...😂
Nakukubal Sana kaka
Mbona jama anajitowa fahamu au ni uzee au swahili ningumu 😂😂
Leila leo umepatikan et ulikua chiz😂😂😂
😂😂😂
Jimmy ulipo naombaa kaa nahuyu seba mbona simuelewi afu sema shida ipo wapi?
bangi hizo
Mbona simuewi uyu Jamaa Yani aeleweki kwakweli ata anachokiongea!!!!!!!!
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 et ulkuwa chizi
Kikubwa ni j plas
Natafuta j plas uyu zime yumba
Huyu mwamba anatamani apate kazi ya kufanya lkn inaonekana hapati mashavu
Daah😢😢 kichwa hakiko sawa huyu mjomba
Wewe dada huwa nimuongo inshu ya dada wa nyoka kakushusha sana
Tatizo la hawa , watu wakuhoji Wana maswali zengine zina sinya,,,ukiangalia hapa ,hakuna hata chamhim alichotakiwa kumuuliza ,,,Sisi kama shabiki zao ,,tulicho hitaji kujua ni ,kitu gani kilicho wapelekea ukimya mpka sasaivi period
Seba yupo ft
Clam vevo chukua Seba
Hayuko Sawa huyu wapangaji walisha hama
😂😂😂😂