Yaan waandishi wa kwetu bhana, sijui mtabadilika lini, una mhoji mtu na anaonesha kutofurahishwa na maswali hayo unakazania kumuuliza tu, yaan mna boa san, jifunzen basi hata kwa akina Millard,
Kuna jambo moja waigizaji na mashabiki hawajui. Hakuna fanikio kubwa katika usanii kama KUFAHAMIKA. Kitendo cha kufahamika sehemu nyingi za Tanzania ni mafanikio makubwa kwa msanii ambayo yatakurahisishia katika mambo yako mengi. Seba kajibu sahihi kabisa na kwa umakini wa hali ya juu. Mtangazaji jitahidi kuandaa maswali muhimu. Umeuliza maswali machache sana yakujirudia rudia. Kuna maswali mengi nje ya maisha ya msanii kama vile filamu ipi ilimpa changamoto ktk uigizaji, je, walikuwa wanakaa kambi siku ngapi kuandaa filamu fulani?. Je, filamu yake ya kwanza ilikwa ni ipi kuicheza?. Aliicheza mwaka gani?. Ilishutiwa kwa miezi mingapi?. Director alikuwa nani?, stori iliandikwa na nani? N.k Kuna mambo mengi ya kuhoji wasanii sio kama unavgowahoji akina Clam kwamizaha mingi wakati kuna mambo muhimu ya kuhoji utani unakaa pembeni.
@@fasterwalker1464 hapo ndipo wanafeli. Unamuita Seba unauliza maswali mengi kuhusu J Plus. Anza naye yeye kama yeye filmu zake na harakati zake. Kwamfano filamu za Seba yeye kama yeye ni ngapi?. Ipi ya kwanza na ya mwisho. Mbona mambo yako mengi sio familia tu
Yes Napenda watu km Seba hawatak maswali ya kijinga. Mtu mwenye kujielewa hawapendi kuhojiwa ujinga. Umbea tuu kutaka kujua maisha ya watu ndio iweje. Congratulations Seba
😂😂😂😂😂😂Akamhojii mjombake kwa umaarufu gani alokua nao. Anw shukran Sana tumejua uhalisia wake si mtu wa mzaha mpaka kwenye filamu zake. Inspector imekaa mahali pakee
@@user-tw9wu2gz4ghv wewe kwanini unapenda kuongelea watu kitofauti hakunaga siku ukaongea jambo la positive kila siku wew ni negative wew unamjua seba?au unahis kila mtu anapenda kuanika maisha yake mitandaoni?kuna wengin wanajilewa sio kila unalofanya liwe mtandaoni mjinga wew
@@boythenuru4125 aisee😃😃😃unajua wengi walimic kumckia baada ya kimnya kingi .nn kimemsibu.lkn kwanza kawa mkali..ajuwi hii tabia ya msanii kuwa mkali na majibu ya ovyo tunapoteza mashbk.na hata siviii pia inashuka🙏
Utakuja pigwa😂😂😂😂Ww Dada Ila Nakupenda Bure. Ligi zako ni kina chanuo🤣🤣🤣. Una maswali ya kuchekesha ukija kwangu maswali yako yote nitakwambia No Comment
Niupumbavu tu,na ujinga uliopitiliza.busara inatakiwa kutumika.Kwani seba anaumaarufu gani wa kutisha!? Unyenyekevu ni jambo la msingi.Unahojiwa unakuwa mkali,mkali unaonekana kama ni mtu uliyechanganyikiwa na maisha.
Yaani uyu dada kama kuna mtu kajuta kumfata kumuhoji niseba.😂. Hatorudia teena kiherehere😂😂 ila mda mwengine kaz yakumhoji mtu nikurisk tu maana unaweza tarajia hiki ukapata kile inatgmea unamuhoji nani na kwa wakat Gani! Iyo karibu tena kwnza anaanzaje labda kukaribia tena weeee😂😂 mfano akirudi anasemaje 😂😂😂😂
Hana bAngi ila mtangazaji ndo anafeli maswali yake hayana mvuto Kuna vi2 vng sisi kama watangazaji tunataman angeulizwa anakuja kuuliza umri wa seba mke wake watoto Sasa vyann sisi
Yes Napenda watu km Seba hawatak maswali ya kijinga. Mtu mwenye kujielewa hawapendi kuhojiwa ujinga. Umbea tuu kutaka kujua maisha ya watu ndio iweje. Congratulations Seba
Yaan waandishi wa kwetu bhana, sijui mtabadilika lini, una mhoji mtu na anaonesha kutofurahishwa na maswali hayo unakazania kumuuliza tu, yaan mna boa san, jifunzen basi hata kwa akina Millard,
Si umbea😂😂😂😂😂😂
Unga haipatikani kirahisi boss
Huyu dada mumemtoa wapi Mbengo😂😂😂😂😂
Kuna jambo moja waigizaji na mashabiki hawajui. Hakuna fanikio kubwa katika usanii kama KUFAHAMIKA. Kitendo cha kufahamika sehemu nyingi za Tanzania ni mafanikio makubwa kwa msanii ambayo yatakurahisishia katika mambo yako mengi. Seba kajibu sahihi kabisa na kwa umakini wa hali ya juu. Mtangazaji jitahidi kuandaa maswali muhimu. Umeuliza maswali machache sana yakujirudia rudia. Kuna maswali mengi nje ya maisha ya msanii kama vile filamu ipi ilimpa changamoto ktk uigizaji, je, walikuwa wanakaa kambi siku ngapi kuandaa filamu fulani?.
Je, filamu yake ya kwanza ilikwa ni ipi kuicheza?. Aliicheza mwaka gani?. Ilishutiwa kwa miezi mingapi?. Director alikuwa nani?, stori iliandikwa na nani? N.k
Kuna mambo mengi ya kuhoji wasanii sio kama unavgowahoji akina Clam kwamizaha mingi wakati kuna mambo muhimu ya kuhoji utani unakaa pembeni.
Kweli kbs huyu bint hawagi creative mara nyingi hua anahoji kumuhusu mtu kama mudi mnyama bodyguard wa harmonize interview yote ilimuhusu Clam
@@fasterwalker1464 hapo ndipo wanafeli. Unamuita Seba unauliza maswali mengi kuhusu J Plus. Anza naye yeye kama yeye filmu zake na harakati zake. Kwamfano filamu za Seba yeye kama yeye ni ngapi?. Ipi ya kwanza na ya mwisho. Mbona mambo yako mengi sio familia tu
Yes Napenda watu km Seba hawatak maswali ya kijinga. Mtu mwenye kujielewa hawapendi kuhojiwa ujinga. Umbea tuu kutaka kujua maisha ya watu ndio iweje. Congratulations Seba
Ni kama Seba akili zemeyumba kidogo ,
Bangi sio mchicha huyu Seba kakausha hataki maswali mengi tuleteeni na J plus 😂🥰
Mbengo Tv mko sawa.
Seba mtata kweli uwezi amini mwangalie sura tu
Mtangazaje jua kusoma mood, kuna utangazaji na mood , tujitahidi kuheshimu hisia na maamuzi ya mtu. Seba needs some psycholisifkts though
Jamaa anahogopesha kweli yuko serious sana kbs
Inahitaji akili nyingi mno kumuelewa uyu jamaa😂😂
Seba anaakili kuliko huyo anemhoji kakosa hadi pozi
Pole sana ndugu mtangazaji yani mpaka anatoa oga kiuk we li.kama mtu ambaye mxhawai kugombana duh😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂Akamhojii mjombake kwa umaarufu gani alokua nao. Anw shukran Sana tumejua uhalisia wake si mtu wa mzaha mpaka kwenye filamu zake. Inspector imekaa mahali pakee
😂😂😂😂😂
Dah.seba mbona uko silias sana.ww ni kiooo cha jamii usiwe hivyo hata mashabiki tutakuogopa
Stress. Watoto wadogo wametoboa wao hawaelewi.
@@user-tw9wu2gz4ghv wewe kwanini unapenda kuongelea watu kitofauti hakunaga siku ukaongea jambo la positive kila siku wew ni negative wew unamjua seba?au unahis kila mtu anapenda kuanika maisha yake mitandaoni?kuna wengin wanajilewa sio kila unalofanya liwe mtandaoni mjinga wew
@@user-tw9wu2gz4g😢 hapo kweli lazima awe na hasira
Anazingua sana naona bangi au madawa yamempoteza huyo sio seba wa kipindi kile
@@boythenuru4125 aisee😃😃😃unajua wengi walimic kumckia baada ya kimnya kingi .nn kimemsibu.lkn kwanza kawa mkali..ajuwi hii tabia ya msanii kuwa mkali na majibu ya ovyo tunapoteza mashbk.na hata siviii pia inashuka🙏
Utakuja pigwa😂😂😂😂Ww Dada Ila Nakupenda Bure. Ligi zako ni kina chanuo🤣🤣🤣. Una maswali ya kuchekesha ukija kwangu maswali yako yote nitakwambia No Comment
😂
😂😂😂😂😂😂ni atali sana duu m2 acheki
Nakupenda bure seba
Daaaaah huyu mwamba hataki mchezo bana
Yan seba kajibu changamoto ambazo hajaulizw😂😂😂😂
Seba ni mtata 😂😂❤❤❤
angalia usijekupigwa apo maana naona kama dishi limeyumba😂😂😂😂😂😂😂
Unapendeza sana kipenzi ukivaa ushungi
Niupumbavu tu,na ujinga uliopitiliza.busara inatakiwa kutumika.Kwani seba anaumaarufu gani wa kutisha!? Unyenyekevu ni jambo la msingi.Unahojiwa unakuwa mkali,mkali unaonekana kama ni mtu uliyechanganyikiwa na maisha.
😂😅🤣🤣 Sio kweli ndivyo alivyo tu jamaa, hapend mizaha
😢
Mwandishi ufahamu wako mdogo. Jamaa kagoma kuizungumzia familia yake we unazidi kumpitisha humo.
Ana kiburi sana
Pole shogaangu maana sio kwa mahojiano hayo hana busara majibu ya ajabu ajabu duuh 😢
Kafanya kweli maana interview iliyopita walimuona kama dishi limeyumba nilichukia sana walivomdisi huyu jamaa heshima kwake plz
😅😅😅😅 mumbea amewahiwa
ngumi zenyewe hajui kapotea huyo
Huyu jamaa familia humuona aje 😂😂angekuwa hata babangu,,kuanzia saa moja hatuonani😂😂
mhhh pombe mbaya sana jamani
Tumekumiss sana jamani sebaa upo wapi
Duh seba seba namkubali balaaaaa Hawa ndio walileta ngumi
Mbona jeiplas hamumtafuti kwanin?
Uyu jamaa yuko seriously anaweza kukupiga kareti ukileta swali ambalo nilakishoga shoga😂😂😂
😂
😂😂😂
Mtangazaji unamoyo mbn mi ningesepa
Seba. Umenifrahisha. Saan. Wandishi. Wengi. Wana. Maswali. Yakisengee. Saana.
Wandishi mna subra jeur seba unajiharibia kazi
Ila dada unajua sana. Tafuta midea ya hadhiyako.
MTAFUTENI NA J PLUS MFANYE MAHOJIANO NAYE
Kweli walizingua kuitupia ile
Dem huyo mpumbavu kakatiliwa swali lake analazimisha tu Hana akili huyo mwandidhi
Huyu jamaa yupo serious sana duu!!
😂
Yaani uyu dada kama kuna mtu kajuta kumfata kumuhoji niseba.😂. Hatorudia teena kiherehere😂😂 ila mda mwengine kaz yakumhoji mtu nikurisk tu maana unaweza tarajia hiki ukapata kile inatgmea unamuhoji nani na kwa wakat Gani! Iyo karibu tena kwnza anaanzaje labda kukaribia tena weeee😂😂 mfano akirudi anasemaje 😂😂😂😂
Hahahahaaa
Ww dada unaroho ngumu kumuhoji uyo mwamba
Daaah huyu jamaa KIBOKO YA wanahabari
Mtafute j plasi uy bangi
Hana bAngi ila mtangazaji ndo anafeli maswali yake hayana mvuto Kuna vi2 vng sisi kama watangazaji tunataman angeulizwa anakuja kuuliza umri wa seba mke wake watoto Sasa vyann sisi
Bongo hakuna waandishi waabari
Kiukweli mjombaako hatumjui hata kama ulimuhoji 😂😂
Huyu dada anapenda sana kurudia rudia maswali ...huwa anapenda kuuliza maswali yasiyo muhusu anayemuhoji
Atapigwa na seba make jamaa hiri cyo lakuchuklia poa c unaliona lilivyo nunda
Nmecheka seba alivyobadilka gafla 😂😂
katangazaaaj zero ata mim ningekashushuaaaaaa
Kabisa, sijui kasomea wapi weled ziro
Yan seba kawa kama chizi 😢
😂😂😂seba
Majibu ya Seba nimeyapenda
Huyo mtangazaji miyeyusho na ni mchoraji
Yani we dada mwandishi una roho ngumu uyu mwamba alivo serous huogopi pengine atakuja kukupiga karate 😂😂😂 me namuogopa hata hapa kwenye intavyu😮😮
Hahahaaa sio poa
Tia kofi huyo mtangazaji.wewe umeshaambiwa usiongelee familia yake bado unajishughulisha utatiwa light ya mdomo
Hahahahaa jamaa yuko serious sio poa
Duuh
Who is this guy...
Ndo hawa akina TID
mhhh mbona kama wameshakujaza
😂
UYU DADA MWENYEWE KAINGIA BARIDI KARUDISHA HAND BRAKE
😅
❤❤❤❤❤❤😂😂😂😂❤❤❤
KAZI yeny changamoto IPO kama kukuhoji ww changamoto
Ww mtangaazaji wengine hawataki hojiwa Acha kihere here utapigwa huyo jamaa yuko siryas
😂
Anaongea kama Jakaya kikwete
Ila s3ba nimekumiss lakini majibu yako sijapendaaa unajisikia sana
Hahahaaa
mwandish unalazimisha unachokihitaji
Watu WENYE akili kubwa ni ngumu kuwahoji na hasa wasiopenda show off
Hawa sio waandishi wauliza maswali tu, unaweza kujua mood na namna unaemhoji sasa Hawa unarudia jambo iloilo
😂
😂😂😂😂😂
muwe mnawaacha walevi basi
Seba sio mlevi ni mtu anayejitambua nakujiheshimu, mambo ya mizaha hapend na maisha yake ni passanl, sio kila mtu ajue mambo yako.
Hahaha seba mkali
😂
Bola jebrasi uyo siyo hata mapenzi hajui kubambeleza anaweza kukuaambia lete nataka humpi kofii
Hahahaaa huyo ndiye inspekta seba
Uyu Dada anajiamin nn seba mwenyw kavurugwa
Hahahaa hatari sana
Bangi tayar
sw mtifuu
Mtu gani ujeuri tu kwani ukisema una watoto watatu unapungukiwa nini
Inakusaidia nn sasa
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂jaman majibu wah
Mmmmm seba nakuogopa mbona anatisha kakaa kijambazi kabisa nakupenda jebras
Daaah Seba akili zake zimeyumba kidogo tatizo madawa sana
Huyu jamaa anaonyesha ana maneno machafu Sana mmmh
Hahahahaa jamaa hatari
Yes Napenda watu km Seba hawatak maswali ya kijinga. Mtu mwenye kujielewa hawapendi kuhojiwa ujinga. Umbea tuu kutaka kujua maisha ya watu ndio iweje. Congratulations Seba