MAMBO MATANO ALIOYASEMA TUNDU LISSU KWENYE UZINDUZI WA KAMPENI MWANZA NA KUOMBA KURA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024
  • Leo september 01, umefanyika uzinduzi wa Kampeni za Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tundu Lissu katika uwanja wa Furahisha Mwanza

Комментарии • 946

  • @michanomichano4931
    @michanomichano4931 4 года назад +106

    Millad ayo nakukubali Sana mtu wangu ahsate kwa kutupatia habari Kama hizi

    • @CyimSky
      @CyimSky 4 года назад

      NANI UNAYEMFAHAMU ANAKUWAGA NA TABIA KAMA ZA HUYU JAMAA MKIWA MNACHEKI MOVIES ruclips.net/video/kHs6qqc00vs/видео.html

    • @francisbatonsadalla1445
      @francisbatonsadalla1445 4 года назад +2

      Mwanza Mwisho

    • @gervasbaraka109
      @gervasbaraka109 4 года назад

      Saa lissu

    • @youtubesuccessshorts7389
      @youtubesuccessshorts7389 4 года назад

      @@CyimSky KUWA NA MAWAZO YA USHINDI🔥 KWA WIKI YAKO HII🔥 👉 ruclips.net/video/qSkYfSxzTSY/видео.html 🇹🇿 (tafadhali tizama Hadi Mwisho!)

  • @savioponera7886
    @savioponera7886 4 года назад +25

    This time CHADEMA haita pass like a shadow Kwa muamko huo respect xana MWANZA🌠🌠🌠

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf 4 года назад +45

    Moja na maja tatu Nyerere alisema ,ccm kwisha kwisha kabisa 1+1=3 ✌❤✌❤✌❤✌❤✌❤✌❤✌❤✌❤✌❤✌❤ Peoples Power ❤❤❤❤❤❤❤❤❤✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌

    • @CyimSky
      @CyimSky 4 года назад +1

      NANI UNAYEMFAHAMU ANAKUWAGA NA TABIA KAMA ZA HUYU JAMAA MKIWA MNACHEKI MOVIES ruclips.net/video/kHs6qqc00vs/видео.html

    • @santosclassic9935
      @santosclassic9935 4 года назад

      ✌️

    • @husseinshabani9522
      @husseinshabani9522 4 года назад +1

      Ukumbuke "peoples power"ndo hao hao .Wanaitwaga Wajumbe...leo wanakusikiliza kesho Wanakutosa.

    • @hadija846
      @hadija846 4 года назад

      ✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️😍🙏🏼

    • @kalistomwelekete8359
      @kalistomwelekete8359 4 года назад +1

      Wanao kutukana hawana akili mi baba nakupenda sana mtetezi wawa nyonge

  • @tumaininerei5948
    @tumaininerei5948 4 года назад +3

    Hongera sana Ayo kwa kubalance unatendea haki taaluma ya habari.

  • @yuzotv458
    @yuzotv458 4 года назад +35

    HAWA WATU WANAKIU YAHAKI JAMANI😭😭😭😭😭😭😭😭😭,KOMOENI SASA KUPIGA KURA MAMBO YATAKUA🔥🔥🔥🔥,PEPOOOOOZ!!!!!💪💪💪💪💪

    • @CyimSky
      @CyimSky 4 года назад

      NANI UNAYEMFAHAMU ANAKUWAGA NA TABIA KAMA ZA HUYU JAMAA MKIWA MNACHEKI MOVIES ruclips.net/video/kHs6qqc00vs/видео.html

    • @rukiamussa9509
      @rukiamussa9509 4 года назад

      KwAnza watanzania hatujui English so hata wakiambiwa pipos Hawajui nini maana yake atupishe sieee 😏😏😏 ccm hoyeeeeee ❤❤👍

    • @yuzotv458
      @yuzotv458 4 года назад +1

      @@rukiamussa9509 choko wewee!

    • @makongoronyerere2595
      @makongoronyerere2595 4 года назад

      @@rukiamussa9509 ww pita2 ila Kuna kupita nakupitiliza, kuw makin

    • @venancephilbert9397
      @venancephilbert9397 4 года назад

      Nduguyo akienda kijijini kwetu kigoma ufundishe asiseme "people's" hatamwelewa kwan sipo wa kutafsiri "power"...hili ndo tatizo kiinerez arudu Belgium

  • @chumizola1847
    @chumizola1847 3 года назад

    Alikuwa hajavaa Barakoa na hakuhamasisha wananchi wavae Barakoa.

  • @josephmsanga6751
    @josephmsanga6751 4 года назад +12

    Rais ni Magufuli tu! Mara nyingi vibaka huwa wanafurahiana! Poleni sana

    • @richmavoko6224
      @richmavoko6224 4 года назад

      unajipya weewee 😂😂😂😂😂😂

    • @yasiralkindi5332
      @yasiralkindi5332 4 года назад

      Wote ni woga huo bro na hio pole nafkiri inaemfaa khaswa ni ww apo

  • @monicachacha455
    @monicachacha455 Год назад

    Hongera ccm ndiyo chama kuuuuuuuuuuuuuuu

  • @jaksonjulius9010
    @jaksonjulius9010 4 года назад +5

    Huyuu Mh TUNDU ANTIPUS LISSU ni true Genius

  • @josiahmasingisa200
    @josiahmasingisa200 Год назад

    Hongera our herous wellcam home again for future mission

  • @joshuasamson4174
    @joshuasamson4174 4 года назад +31

    Hawajapewa kitu chochote wanampenda sana Tundu lissu

  • @mairadavid3245
    @mairadavid3245 4 года назад +10

    Safi sana Ayo

  • @deusdeditswebe8930
    @deusdeditswebe8930 4 года назад +36

    Mafuriko...

    • @CyimSky
      @CyimSky 4 года назад

      NANI UNAYEMFAHAMU ANAKUWAGA NA TABIA KAMA ZA HUYU JAMAA MKIWA MNACHEKI MOVIES ruclips.net/video/kHs6qqc00vs/видео.html

    • @francisbatonsadalla1445
      @francisbatonsadalla1445 4 года назад +2

      Kimbunga

  • @frankmailu943
    @frankmailu943 4 года назад +23

    Millard umebak ww tyu
    Asante kwa ujasili huu

  • @jumamkokota8564
    @jumamkokota8564 4 года назад +8

    Ccm mbele daima 💪💪 💪 magufuli oyeee

    • @netiousfrance8449
      @netiousfrance8449 4 года назад

      Kumamayo mbwa wewe

    • @jumamkokota8564
      @jumamkokota8564 4 года назад

      @@netiousfrance8449 asante

    • @jumamkokota8564
      @jumamkokota8564 4 года назад

      Coz akuna tusi jipya apo yote ni ya zamani

    • @michaeltarimo2241
      @michaeltarimo2241 4 года назад

      @@netiousfrance8449 matusi ya nn mkichukia nchi mtaweka vipindi vya matusi mashuleni?

    • @michaeltarimo2241
      @michaeltarimo2241 4 года назад +1

      @@jumamkokota8564 usiogope matusi ndio sera zao majukwani nawafuasi wao

  • @issasoya6051
    @issasoya6051 4 года назад +6

    Sera Hana huyu magu juuu💪💪💪

  • @josej9888
    @josej9888 4 года назад +5

    Mwanzaaaa!! Duuhuu! Imetisha kinoma.

  • @michasonjudge7348
    @michasonjudge7348 4 года назад +14

    Kweli lisu ni mpango wa mungu Ahsanteni sana wanangu wa mwanza # Ni yeye 2020

  • @ladsonmshana9920
    @ladsonmshana9920 4 года назад +28

    Kweli lissu yuko sawa mwanza mmetapika

    • @husseinshabani9522
      @husseinshabani9522 4 года назад

      Corona vp?

    • @JKQGAME
      @JKQGAME 4 года назад

      @@husseinshabani9522 🤣🤣🤣🤣🤣

    • @daudkihava8528
      @daudkihava8528 4 года назад +1

      Kuna idadi kubwa ya watu ambao wameenda kushangaa, na siyo kutilia umakini anachozungumza.

    • @devothangomeni4750
      @devothangomeni4750 4 года назад

      Ccm kwanin wasiwaenguwe wagombea wa upinzani yote hiyo hofu

  • @issaamirishenkarwa3391
    @issaamirishenkarwa3391 4 года назад +26

    Mwanza mumetishaa sio kwa nyomi iyo

  • @ananoel9530
    @ananoel9530 4 года назад +21

    Lisu we ninoma

  • @rdjkbu2948
    @rdjkbu2948 3 года назад

    Umetisha brow

  • @evancetesha3836
    @evancetesha3836 4 года назад +49

    Chadema nguvu moja

    • @babalwantsimango2364
      @babalwantsimango2364 4 года назад

      Mpumbav hamka nduguyangu mm cna uchama huyo jamaa co mtu eeeh mh!

    • @tareqhilal6750
      @tareqhilal6750 4 года назад +2

      Nguvu moja braza..

    • @CyimSky
      @CyimSky 4 года назад

      NANI UNAYEMFAHAMU ANAKUWAGA NA TABIA KAMA ZA HUYU JAMAA MKIWA MNACHEKI MOVIES ruclips.net/video/kHs6qqc00vs/видео.html

    • @bettymrema6580
      @bettymrema6580 4 года назад

      Hakika atubadilishwi hisia.

    • @alphamunicy9650
      @alphamunicy9650 4 года назад

      @@babalwantsimango2364 hunalolote ww kawambie ccm wenzio oooh sina chama haliyekuita huku utuelekeze nani kama huna chama ungepita tu au kunyamaza

  • @kulwaswetu4457
    @kulwaswetu4457 4 года назад +1

    WTz tusidanganywe nahuyokibalaka tumuulize malizetu asili kamawanyama madinimisitu nafezayataifa utasimamiavip? Maanahuondomuimilimkuuwamaendeleo lakinihao hawaongeleilushwa wtapambana vpkupambananalushwa?

  • @sulekisaka2081
    @sulekisaka2081 4 года назад +3

    Hakuna nchi inayotoa bima sema nchi gani Canada na baadhi ya nchi wanalipia marekani wengi hatuna bima uongo huo mie niko marekani

    • @bertinkimati2674
      @bertinkimati2674 4 года назад

      Marekani kweli hawana kila mtu lakini Marekani ukiumwa ukifika hospital utatibiwa ugonjwa wa aina yoyote bila kuulizwa pesa yoyote. Utaulizwa kama una bima kama hauna bado utatibiwa na bill zako zitaletwa baadae ukiwa umeshatibiwa sio? Na kama bado huwezi kulipa unapewa payment plan hata kama utasema unaweza kulipa dola 10 kila wiki au mwezi watapokea. Na ukishindwa kabisa bado kuna bima ya serikali inachukua deni lako. Nafikiri hoja anayojenga ni kuonyesha ulqzima wa mtu kupatiwa matibabu . Ila kwa kuwataka watanzania wote wai gizwe kwenye bima ili wachangie kiiwango fair huku wakiwa na uhakika wa maribabu.

  • @evansedward1481
    @evansedward1481 4 года назад

    Next president we all want

  • @charlzwise1153
    @charlzwise1153 4 года назад +24

    Kweli millard we ni mtu wa nguvu💪

  • @levocatusgatu4295
    @levocatusgatu4295 4 года назад +56

    Ujekigomaa tunakuhitaj""""salut kwako baba""""!!!!!

    • @sarahalex8380
      @sarahalex8380 4 года назад +1

      Soon tunakuka husihofu

    • @aggreyenock1221
      @aggreyenock1221 4 года назад

      🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

    • @youtubesuccessshorts7389
      @youtubesuccessshorts7389 4 года назад

      KUWA NA MAWAZO YA USHINDI🔥 KWA WIKI YAKO HII🔥 👉 ruclips.net/video/qSkYfSxzTSY/видео.html 🇹🇿 (tafadhali tizama Hadi Mwisho!)

    • @suzan638
      @suzan638 4 года назад

      kigoma hana chake

  • @aronposian3173
    @aronposian3173 4 года назад +47

    Mwanza imetisha ninoma

    • @bonifacekalima5273
      @bonifacekalima5273 4 года назад +2

      Chadema isingekuwa ukandamizaji naunyag'anyi ,, pia bila kuiteka tume.. hakika ingechukua nchi na kuongoza..

    • @CyimSky
      @CyimSky 4 года назад

      NANI UNAYEMFAHAMU ANAKUWAGA NA TABIA KAMA ZA HUYU JAMAA MKIWA MNACHEKI MOVIES ruclips.net/video/kHs6qqc00vs/видео.html

    • @muniraramadhani1557
      @muniraramadhani1557 4 года назад

      Kwel kabisa

    • @abrahamkibona7038
      @abrahamkibona7038 4 года назад

      Awapi?

  • @josephsererya9218
    @josephsererya9218 4 года назад +1

    Alivunja rekodi ya dunia kwa kupigwa risasi kumi na sita bila kufariki mungu akupe maisha marefu

  • @inyasirwakasigaz4809
    @inyasirwakasigaz4809 4 года назад +21

    Nyomi kwl kbs

  • @chiddybaba8648
    @chiddybaba8648 4 года назад +51

    Milardayo tunakupenda na umetenda haki

  • @issasoya6051
    @issasoya6051 4 года назад +6

    Haya loads ilikua nyomi hvyo hvyo mwisho wasiku magu juuu 💪

  • @adolphmwangoje2887
    @adolphmwangoje2887 4 года назад +24

    Hya bna mkuu pmbn pmbn SIASA mchzo mchfu

  • @kasalimareju6052
    @kasalimareju6052 4 года назад +30

    Mm ni mjita bana lkn nilikuepo

  • @tusetutunfye7561
    @tusetutunfye7561 4 года назад +21

    Mungu atufunguwe akil kwa ili,waTanzaniya wenzangu tuwe makini kwaili,wenye smati wote tuendelee kuperuz kunavitu vingi vya kujifunza kuusu kupiga kila na kuilinda amani yetu

    • @calvinkapinga8341
      @calvinkapinga8341 4 года назад

      watanzania hatuna shukrani na tunasahau sana Embu angalia Mwanza ilivyopendeza kwa hilo daraja kwanza

    • @sarahalex8380
      @sarahalex8380 4 года назад

      Kwahiyo unataka kusemaje

  • @anoldpotentin2446
    @anoldpotentin2446 4 года назад +54

    Mnaomponda lissu, tambueni hii nchi ni ya demokrasia ya vyama vingi, kila mtu ana haki ya kuchagua na kuchaguliwa. Alafu tambueni wapinzani wanafaida kubwa kwenye nchi yetu, ccm sometime wanajiona kama nchi ni yao wanafanya lolote, so lazima wawepo watu wa kuwapa challenge na kuwapinga wanapokosea.

    • @shazzshadrackshazzshadrack5796
      @shazzshadrackshazzshadrack5796 4 года назад +1

      Kweliii kabisaaa unaongeaa ukweliiii

    • @CyimSky
      @CyimSky 4 года назад

      NANI UNAYEMFAHAMU ANAKUWAGA NA TABIA KAMA ZA HUYU JAMAA MKIWA MNACHEKI MOVIES ruclips.net/video/kHs6qqc00vs/видео.html

    • @godfreymalinga1476
      @godfreymalinga1476 4 года назад

      @Anold potentin Unachosema ni kweli ila miaka nenda miaka rudi ccm watashinda tyu yani hiyo weka kichwani haitakuja tokea dora achukue mpinzani wata leta chachu za maendeleo ila cyo kushika dora abadani hiyo wataisikia kwenye bomba

    • @kassimali3682
      @kassimali3682 4 года назад +1

      @@godfreymalinga1476 kila jambo lina mwanzo na mwisho😁😁😁

    • @shahiburamadhani7205
      @shahiburamadhani7205 4 года назад

      Fact

  • @alinassor8920
    @alinassor8920 4 года назад +10

    Hongereni watu wa mkoa wa Mwanza

  • @ameirzapy1318
    @ameirzapy1318 4 года назад +3

    Barabara tamu, kumbe mwanza imejengwa hivyo basi wajumbe tu watu wa mwanza nilicho kigundua

  • @begi1044
    @begi1044 4 года назад +1

    Tuvushe baba Lissu tuvushe, mungu kakurudisha duniani na ujumbe mzito kwa watanzania. Baba tuvushe. Uhuru na maendeleo.

    • @CyimSky
      @CyimSky 4 года назад

      NANI UNAYEMFAHAMU ANAKUWAGA NA TABIA KAMA ZA HUYU JAMAA MKIWA MNACHEKI MOVIES ruclips.net/video/kHs6qqc00vs/видео.html

  • @jumajuma9211
    @jumajuma9211 4 года назад +9

    Huna sera Tundu lissu subir tar 28 utakiona kwa magufi rais wa vitendo

    • @richmavoko6224
      @richmavoko6224 4 года назад

      unajipya wwee

    • @saidrai121
      @saidrai121 4 года назад

      magufuli ndo nani broo ama ni huyo nyani mshamba

  • @thegreatsource2953
    @thegreatsource2953 4 года назад

    Naomba sana Lissu akishinda arudishe Kodi ya Kichwa, Ada mashuleni watoto wanasomaje Bure aisee, Ushuru wa Baiskeli, Ushuru wa wafanya Biashara ndogondogo na makusanyo mengi ili serikali ipate fedha nyingi kwaajili ya Ujenzi wa Ofisi za Chama kwenye Wilaya zote Tanzania na Mikoa yote. Tulipe ili tuweze kujenga nchi yetu, #Uhuru, Haki na Maendeleo ya Watu. Lissu💪

  • @aizackkajika5086
    @aizackkajika5086 4 года назад +7

    Magu baba laooo💪

  • @saidijafari2812
    @saidijafari2812 4 года назад +1

    Daraja ni kazi nzuri ya Magufuli

  • @rashidsleman5545
    @rashidsleman5545 4 года назад +28

    Ukitaka kumshinda shetani nenda kwenye mbuyu wake

  • @gildasnyaki3812
    @gildasnyaki3812 4 года назад +1

    Ayo tv big up, huo ndio uzalendo wote ni watanzania haki sawa.

  • @pascalpeter7605
    @pascalpeter7605 4 года назад +3

    dah my President

  • @zainabumwagiroabdallamwagi97
    @zainabumwagiroabdallamwagi97 4 года назад

    Ccm kwisha kabisa ,lisu my president to be

  • @annapeter4994
    @annapeter4994 4 года назад +25

    Nyomi Nyomi.... 💪💪💪💪💪

    • @danielbaraka8903
      @danielbaraka8903 4 года назад +2

      ubarikiwe dada nakuona wewe ni mwana chadema mwenzangu kila crip za chadema nakuona umecoment umenipa furaha anna peter.

    • @annapeter4994
      @annapeter4994 4 года назад +1

      @@danielbaraka8903 mimi napenda haki sana. Sera zenu na Act wazalendo zinaleta nuru mpya kwa watanzania. Watanzania waliojaa huzuni na kufungwa midomo kwa miaka 5...watanzania ambao maeneo mengi hawakuchagua wenyeviti maana system imeamua kuwa na ujanja wake... Watanzania ambao miaka mitano ilopita walikuwa wanajimudu leo hii wanalalia mlo mmoja.... Watu wamechoka wanataka mabadiliko. BILA UHURU NA HAKI, NCHI YOYOTE HATA KAMA KUNA MAENDELEO KIASI GANI WATU WAKE HAWANA FURAHA YA KWELI. KUTOA MAONI SIO KUPINGA MAENDELEO..... HILI JAMBO LIELEWEKE KWA VIONGOZI

    • @CyimSky
      @CyimSky 4 года назад

      NANI UNAYEMFAHAMU ANAKUWAGA NA TABIA KAMA ZA HUYU JAMAA MKIWA MNACHEKI MOVIES ruclips.net/video/kHs6qqc00vs/видео.html

    • @husseinshabani9522
      @husseinshabani9522 4 года назад

      @@annapeter4994 corona vp? ilishaishaga hivi?,mlishauli tufungiwage ndani Mkakimbia Bungeni ikawaje tena vile ...kama kweli Wewe Mpenda Haki Embu nikumbushe kidogo......

    • @annapeter4994
      @annapeter4994 4 года назад

      @@husseinshabani9522 kwanza kabisa mi sio chadema, sina Chama. Kwa upande wangu walifanya vema kuchukua tahadhari baada ya kuona kuwa bungeni kuna watu wamepatikana na corona.
      Mungu amelijalia Taifa letu corona imepungua makali sana, lakini msisifie mtu yeyote kuwa kamaliza corona. Sifa na utukufu apewe Mungu wetu aliyewapa ufahamu watanzania wakajiongeza na dawa za kienyeji. Ambazo zilianza kutumika hata kabla waziri hajasema watu watumie nyungu. Mpeni sifa MUUMBA wetu badala ya kuabudu watu

  • @athumanmohammed3116
    @athumanmohammed3116 4 года назад

    Hongera lissu

  • @annapeter4994
    @annapeter4994 4 года назад +22

    Watanzania wana kiu ya mabadiliko jamani 😭 😭 😭 EE Mungu jalia this time wayapate

    • @henrylugongo632
      @henrylugongo632 4 года назад +1

      Hamna llote,

    • @asharamadan3254
      @asharamadan3254 4 года назад +2

      Lisu tapeli tu

    • @asharamadan3254
      @asharamadan3254 4 года назад +2

      Urais atausikiya tu tapeli mkubwa tundu la shimo

    • @annapeter4994
      @annapeter4994 4 года назад +1

      @@asharamadan3254 chaguo la Mungu ndo maana marisasi yao haykumuua. Na siku anaingia Tanzania watu walitishiwa wasimpokeee, uliona kilichotokea?
      Tusomeni ishara za nyakati...

    • @annapeter4994
      @annapeter4994 4 года назад

      @@asharamadan3254 nilifikiri najibu mtu mwenye hekima zake.... 🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️

  • @mr.sangaellies5110
    @mr.sangaellies5110 4 года назад +30

    Kumbe tuko wengi BADO

    • @JKQGAME
      @JKQGAME 4 года назад

      Wa kushato

    • @devothangomeni4750
      @devothangomeni4750 4 года назад

      Tumejaa

    • @emmiesulee4620
      @emmiesulee4620 4 года назад

      Unawajua wajumbe ww

    • @yasiralkindi5332
      @yasiralkindi5332 4 года назад

      Hapo hpn diamond wala alikiba

    • @youtubesuccessshorts7389
      @youtubesuccessshorts7389 4 года назад

      @@emmiesulee4620 KUWA NA MAWAZO YA USHINDI🔥 KWA WIKI YAKO HII🔥 👉 ruclips.net/video/qSkYfSxzTSY/видео.html 🇹🇿 (tafadhali tizama Hadi Mwisho!)

  • @mathiasmatumbi5635
    @mathiasmatumbi5635 4 года назад +5

    Ni yeye 2020

  • @l.h.l2254
    @l.h.l2254 4 года назад +1

    Hata nchi nzima nikiwa peke yangu haijalishi. Kura Yangu nampa Lisu. Nilimpa Magu 2015.. But sahizi nampa Lisu. Lisu moja tayari unayo.. YANGU.

  • @geraldgodsontv7982
    @geraldgodsontv7982 4 года назад +10

    Dah mwanza mmeua

  • @abubakarsongolo3226
    @abubakarsongolo3226 Год назад

    Mungu akujaalie upite uchaguzi mkuu utimize ahadi unazo tuahidi

  • @filbertsilvester2373
    @filbertsilvester2373 4 года назад +5

    Mwanza nilikuwa nawaona wajanja kumbe mbulula hivi....adi sahivi bado mnageuzwa geuzwa kama chapati hamuwezi ata kutambua kiongozi yupi anatufaaa?

  • @revocatusmtiro8463
    @revocatusmtiro8463 4 года назад

    Napenda speech zake zake MTU huyu manake anajiamini sana dah

  • @martinekija4188
    @martinekija4188 4 года назад +6

    Nyie hv mnawajuwa wasukuma kweli au mnawaskia

  • @ndeletwaswai3530
    @ndeletwaswai3530 4 года назад

    Kupendwa raha jamani mwaaa i lov u Tundu.

  • @fabiolapanga8680
    @fabiolapanga8680 4 года назад +8

    Shikamoo mwanza

  • @nellyeusto5193
    @nellyeusto5193 4 года назад

    Asantee Mwanzaa kwa mahaba haya

  • @DenrichStar
    @DenrichStar 4 года назад +3

    Ahsante mwanza

  • @abelmbilinyi1262
    @abelmbilinyi1262 Год назад +1

    Siasa siasa 😭 Kuna watu walisha kuita ww ni mchezo mchafu ,,, tujitaidi kuchunga mda ndugu zangu ,,, hamna mwenye huruma na ww ktk haya maisha kila MTU anavutia na kula pekeake na familia take 🙏🕞

  • @marycelinapaschal9619
    @marycelinapaschal9619 4 года назад +3

    Sela hazina mashiko,,,, magufuri alio yafanya nimakubwa bado tunaimani nae magufuri juu

    • @elijimyco2179
      @elijimyco2179 4 года назад

      Magufuli amefanya vizur lkn hapa mwixhon anayumba Kama kwenye kuubana vyombo vya habar kushindwa maisha ya watanzania nakuona upinzani Kama sio sehemu ya nchi kwangu mm naona watanzania wanamaisha magumu zaidi ya mwanzo

    • @marycelinapaschal9619
      @marycelinapaschal9619 4 года назад +2

      @@elijimyco2179 kubana maisha Ya watanzania kivipi ubataka akutafutie chakula? Magufuri ataki janja janja

    • @mbarikiwambarikiwa3988
      @mbarikiwambarikiwa3988 4 года назад +1

      @@elijimyco2179 ulitaka akuwekee pesa mfukoni 🙄🙄?Mwanaume mzima badala ufanye kazi kipato kiongezeke unajilalamisha tu 🤗🤗🤗kwangu Mimi miaka yake mitano imenibariki sn kutokana na kuwajibika kwangu na siyo kujilalamisha tu.

  • @officiallugano8991
    @officiallugano8991 4 года назад +2

    asante mkombozi wetu millardayo

  • @alexfestoni5152
    @alexfestoni5152 4 года назад +5

    Mi nasubiria octoba yangu macho

  • @edsongidionalexander3759
    @edsongidionalexander3759 4 года назад +1

    Nakupenda Lissu mpaka machozi yananilegalega, lakini Mungu Yupooooooooo aseeee tumechokaaaaaa

  • @kasalimareju6052
    @kasalimareju6052 4 года назад +20

    Nilikuepo

    • @CyimSky
      @CyimSky 4 года назад

      NANI UNAYEMFAHAMU ANAKUWAGA NA TABIA KAMA ZA HUYU JAMAA MKIWA MNACHEKI MOVIES ruclips.net/video/kHs6qqc00vs/видео.html

    • @francisbatonsadalla1445
      @francisbatonsadalla1445 4 года назад

      Hongey

  • @hassanchauluwa7308
    @hassanchauluwa7308 4 года назад +2

    anatokea mjinga mmoja kavimbiwa anasema chadema imekufa

  • @tareqhilal6750
    @tareqhilal6750 4 года назад +10

    Hata waseme vipi Mimi nakubali Chadema sipo huko kwengine

    • @CyimSky
      @CyimSky 4 года назад

      NANI UNAYEMFAHAMU ANAKUWAGA NA TABIA KAMA ZA HUYU JAMAA MKIWA MNACHEKI MOVIES ruclips.net/video/kHs6qqc00vs/видео.html

  • @triplanetboy5703
    @triplanetboy5703 Год назад

    Uko sawa mh Tundulisu ila shida yako kubwa haswa unatumia mda mwingi kuiumbua serikali badala ya ww kueleza Sera na ilani ya chama chako husika

  • @delsonandrew9330
    @delsonandrew9330 4 года назад +9

    Huyu ndo rais mtarajiwa

  • @paulmzule4885
    @paulmzule4885 4 года назад +2

    Ayo anaitendea haki taaluma yake, big up ayoooooooo

  • @yudatadeshayo4434
    @yudatadeshayo4434 4 года назад +11

    Huu ni mpango wa mungu

  • @babaswaumu415
    @babaswaumu415 Год назад

    Nakubali😍😍😍

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 4 года назад +8

    Mwanza Imevunja rekodi

  • @laurentdumia6102
    @laurentdumia6102 4 года назад

    @Millardayo apa ndo naheshim kaz yako kuwa n habar na kwaajil ya watanzania nakuona mbali mwandishi mweledi zaidi apa nimekuelewa naipenda kaz yako njema💪

  • @twahirabasi9765
    @twahirabasi9765 4 года назад +5

    Powerful!

  • @sengibenard2401
    @sengibenard2401 4 года назад +7

    Upo vizur sana lisu pambana mpaka kieleweke

  • @neemaamanzi1118
    @neemaamanzi1118 4 года назад +3

    Duh !kama CCM ikishinda mwaka huu bila shaka kutakuwa na wizi wakula

  • @tecnonkwenda8240
    @tecnonkwenda8240 4 года назад +6

    Lissu oyeeeeee

  • @allymacnair5189
    @allymacnair5189 4 года назад +25

    Ndyo CCM wnaposhundwa kupumua hapo

    • @chumilamanyama5078
      @chumilamanyama5078 4 года назад

      Hapo ccm mavi yanagonga chupi

    • @mbarikiwambarikiwa3988
      @mbarikiwambarikiwa3988 4 года назад +1

      Kwa lipi mavi yagonge chupi??! Hv mtu hajui chochote kuhusu nchi halafu asababishe mavi yagonge chupi 🙄🙄

    • @damianlugendo9161
      @damianlugendo9161 4 года назад

      Ata ccm ikija ndo ivyoivyo lilenijiji sio wilaya

  • @zubeirkhamiskhamisabdallah6351
    @zubeirkhamiskhamisabdallah6351 4 года назад +2

    Milad ww si mnafk best ww ni mtanzania alaf mzalendo nakupenda sanaa

  • @ramadhanikibenga6317
    @ramadhanikibenga6317 4 года назад +6

    Siwashangai WATANZANIA Ingekuwa ni kweli wote ni wapiga kura ningeamini lakini ni ushabiki tu

    • @selemanmkaraboka7696
      @selemanmkaraboka7696 4 года назад +2

      Kama ni ushabik we mbona hujaenda na family yako

    • @henrylugongo632
      @henrylugongo632 4 года назад +1

      AF si unaona wengi ni vijana

    • @ramadhanikibenga6317
      @ramadhanikibenga6317 4 года назад

      @@selemanmkaraboka7696 hahahaha usitukane jibu hoja yangu, MIMI NASEMA HAO NI MASHABIKI TU SI WAPIGA KURA INGEKUWA NI NCHI TOFAUTI NA TANZANIA ANGALAU NINGEWAAMINI. NA UKITAKA KUAMINI SUBIRI TENA AENDE MTAWALA UTAONA NI WALE WALE WANAMSHANGILIA

    • @mhayaboy9646
      @mhayaboy9646 4 года назад

      Watu wanajitabua kaka

    • @zephaniajohn8282
      @zephaniajohn8282 4 года назад

      Huna jipya mjumbe wew hakuna cha bure kima wew

  • @hadijajumamsafiri5066
    @hadijajumamsafiri5066 4 года назад +1

    Nipo hapa ila sijaona sera za kunifurahisha

  • @erastoshedrack7118
    @erastoshedrack7118 4 года назад +6

    Wazungu walitengeneza Miundombinu lakini tuliwatimua kwa nini? Ukipata Jibu la hapo ndo utaweza kumuelewa Tundu Lissu. Heshima Mlima Chadema ✌🏼✌🏼🙌

    • @CyimSky
      @CyimSky 4 года назад

      NANI UNAYEMFAHAMU ANAKUWAGA NA TABIA KAMA ZA HUYU JAMAA MKIWA MNACHEKI MOVIES ruclips.net/video/kHs6qqc00vs/видео.html

  • @leonardrafaelimungunimwema5284

    Polesana na ana tazania kwa kupigwa risasi endea na usemi wa ukweli

  • @Daniel-ug6fi
    @Daniel-ug6fi 4 года назад +2

    ccm oyee

  • @oliveryshirima4894
    @oliveryshirima4894 4 года назад +24

    Nyomi km yote hongereni sn mwanza tuko pamojs

  • @nyangezaq3568
    @nyangezaq3568 4 года назад

    Maaskari hawawezi kuwanyanyasa ila wanasimamia ulinzi wa Mali ya umma na ya wananchi. Naipenda CCM DAIMA......

  • @tanzaniakwanza9564
    @tanzaniakwanza9564 4 года назад +6

    Sio kila anayeenda kwenye mikutano ya siasa ni mpiga kura wengine wanaenda kumshangaa

  • @anethmollel6898
    @anethmollel6898 4 года назад

    Milad Ayo big up huna njaa kali

  • @mhayaboy9646
    @mhayaboy9646 4 года назад +11

    Ongera lisu natamani kutoa chozi pia milad ayo

  • @teacherd
    @teacherd 4 года назад +1

    WANAFUNZI NJOO UJIFUNZE JINSI YA KUJIBU MITIHANI YA TAIFA NECTA
    Pita kwenye channel yangu yapo MENGI mazuri

  • @noelmmari8570
    @noelmmari8570 4 года назад +3

    Be blessed Mr Ayo

  • @newtonmwewa6220
    @newtonmwewa6220 4 года назад +1

    Nakupa kula yangu mr president

  • @mikenaluyaga9796
    @mikenaluyaga9796 4 года назад +3

    Namkubali sana Tundu Lisuuuuuu!

  • @jacksonmdima5659
    @jacksonmdima5659 4 года назад +1

    Lisu upo vizuri Ila kwenye urais apana.
    Jpm tena
    Naona hoja nyepesi sana
    Mshahara mambo mengine unafanya SAA ngapi.
    Hiyo mishahara unaongezaje !?
    Hata hujui kwann hawaongezi

  • @benezethkapongwa3111
    @benezethkapongwa3111 4 года назад +4

    Hahahahaaa ... Hii mikusanyiko inawachanganya sana rafiki zangu wa CDM. Hawajazoea kuona...mbona kwa Magu kila kona anajaza tu...2015 Lowasa alileta mafuriko lakini sijui hata yalienda wapi sembuse hii.. Aaa kuweni serious watu wa CDM bhana..