Daaah nimempenda huyu kaka, ameelezea vizuri sana na nimejifunza mengi sana na hii Story inasikitisha sana aiseee,Pole sana kak etu,tunapitia haya ili kujifunza
Alichanganyikiwa.kwa kufikiria alitenda wema kwa kutokataa mimba na halafu akapewa kifungo na kufika kule akakuta mateso makali ambayo yalimfanya aamue kujihami ili wamuogope wasimguse pole sana baba angu uliumia kiakili.
Subhana allah naona machozi yananitoka bila kujua...pole sana ndugu yangu kweli jail sio mahali pazur kabisa Allah awastir ndugu zetu na watoto wetu Allahuma Amin
Pole kaka kweli gereza sio zuri.. Maximum good job tuleteeni story km hizi za kuzingatia za udaku hazina ladha . Mama Samiya mtafute kijana huyu akupe vitus tusivo vijua vya gerezani.
Pole sana kaka angu muombe allah akusameh pia msameh mwenzako ulimpenda mpak unaenda kwao kujielewa ni wachache san makak wenye roho hizo allah akufungulie milango ya rizki
Kwanza kabisa pole sana kakangu M/ Mungu aliye kuweka hai na ukawa huru tena ana jambo njema na wewe unabii huo uliyo utoa kwa ajili ya jamii unatosha kabisa kumpa Mungu utukifu , Lakini kaka Zahir ndugu kanivunja moyo Mimi nitaka kuomba mawasiliano lakini masharti yamenishinda duuuh anataka vidogodogo bado na Mimi 40 🤣🤣🤣
Mambo matatu katika dini lazima yaharakishwe mtu akitaka kuoa na amepata mke muozesheni Mtu akitaka kusilimu mslimisheni Mtu akifa wahini kumzika shukhran
@@trophywilson7211 30 years for a consensual sex is too much.Not even 1 time I heard someone serving 30 years for imprinting a girl with intention to marry her. 😎
Iyo kesi shida Ilikuwa umaskini. Angekuwa na wakili mzuri angetoka. Ama angepata adhabu kidogo. Maana walisikizana na msichana. Sheria mbaya, umaskini tatizo. Huyu ni mtu mwerevu sana. Akili iko timamu. Musaidieni aanze RUclips channel apeane stori za jela.
Duul pole sana kaka, ingawa nimewai bakiwa binti yangu inauma mzazi na cwezi mlaumu mamake binti cos najua uchungu wa mama ni mzazi, lakini pole sana, kamuone mwanao atakukubali Inshallah.
Aiseeeee!! Huyo jamaa namfahamu tuliwahi kukutana nae maeneo ya njia ya maji huko kapalamsenga na tuliwahi kupanda nae meri moja mv liemba na tukapiga nae picha kibao mpaka leo ninazo. Mwaka 2002 nilipita shinyanga natokea mwanza kuna mabrother zetu wa kigoma hapo shinyanya wakanipa hizo habari zake nikaumia Sana maana alikuwa mdogo na nilizoea kumwita dogo janja Mgasa. Allaah ni mwema Kama katoka aiseeeee
Kaka pole Mungu Ni mwema siku zote kwakuwa umetoka salama Ape we sifa nimependa ulivyo jieleza nakusema ukweli Nakutakia Maisha marefu na Mung Akuwekeye Wepesi usikate tama
Pole sana suleiman ni mitihani ya duniani, ushaur wangu inaonekana una afya njema kaka cha msingi fanya kazi ili kujipatia rizik ndio jambo kubwa ili kuweza kujipatia cha kuendeleza maisha cha msingi ni kujichanganya na watu ili urud katika hali yako
Nimependa sana kauli yako kuhusu aina ya mke unayemtaka. Wewe ni mwanaume mwenye ufahamu mkubwa sana. Mbinguni patakuwa mahali pa kushangaza mno. Sio mahali pà dini. Ni mahàli pa wateule. Nimependa hiyo❤👍
Hizi Sheria niza kishenzi sana. Zinaumiza sana boychild. Ukiangalia msichana wa 16 yrs na mvulana wa 19 yrs hao ni agemates. Niwatu wenye pia akili zinakaribiana. Hakuna sababu ya kutosha ya kupunish mtoto mvulana miaka 30yrs eti kwa sababu ya mimba. Haya nimambo yanayoweza kusuluhuhishwa kwa njia Bora zaidi nasio kupoteza Maisha ya boychild. Ni uchungu sana. Serikali ziangalie mambo haya
Pole sana kaka ,mungu akupe hutaji lako la moyo umpate mke msikivu mpole mwenye kuthamini ,pia awe na heshima na upendo kwako ili akusahaurishe kwa mengi ulioyapitia,kaka zahir barikiwa san , na MUNGU.
Huyu jamaa anasema ukweli ilmbidi kujiprotect ndiyo Hali ya gereza badala ya kurekebika walimharibu lakini haya simaumbile yake anahitaji msaada wa kazi na pia msaada wa datari Wa siekolojia🇰🇪🇰🇪
@@asmamzee7067 Dini ni Neno tu kama kusema kitabu au Jina lako Asma ni matendo yako ndiyo yatofautiana na Asma wengine jampo mpo wengi mno , lakini mtatofautiana kitabia so unaweza ukawa na dini lakin ushishibe ya Mungu , ukawa tu unajisifu kwa jina la dini na huku una mambo ya kinafiki tu na ukijivika ucha Mungu, Akili na maharifa ndani yake utatuzi kamili, utafiti sambamba na uwelevu katika hayo utaona njia na isiyo na shaka kabisa na hauta fikirifirikiri juu ya huyu na yule kati ya yeyote yule akujiae usoni mwako, kwani Mungu anamakusudi na kila mwanadamu asemaye na wewe ata kwa kushtukiza hii maanayake hakuna mtu hajuae siku ya kesho , usijisifu leo kwa maana hujui kitakacho zaliwa kesho Mithali 27 : 1-2. . Usi ishi kwakufunzwa tu bila na wewe kujifunza akili kuu za kutawala keshakupewa mwanadamu katika uhai wake . Unaweza kumuoa mpagani na akavutika na dini yako kwasababu tu yamatendo yako nasi dini yako ndio maana mwanzo nikakuambia neno Dini nikama kusema kitabu mpaka ukifungue usome ndipo ujue kitabu cha aina gani. BILA UPENDO JUU YA WANADAMU WENZAKO BASI ATA UFUNZWE MAMBO YA DINI NA MALAIKA UTAKWENDA KUTUMBUKIA MOTONI TU .. UBAGUZI NI TABIA YA KISHETANI NA MUNGU SIMBAGUZI MKRISTU MWISLAM WOTE WAKE YEYE . Jifunze kufikiri na kulichambua kila neno huku na ukimuomba Mungu hakupe hekima na maharifa zaidi. Jah bless i ana i. AKILI NAULI.
@@Mpakauseme Yes my dear hallelujah hallelujah!! waslamu wana jikutaga kama ii dunia ni Yao vile wame sahau kabisa kama Atima Ya mtu ipo mikono mwa!!!! MUNGU.. Na laiti wao ndo wange pewa pepo.. Ya kutuingiza sisi!! Wakristo 🤦♀️sijui ingekuwaje ila MUNGU MUACHE aitwe MUNGU.!! Hivi ata hawajifikiri mbona MUNGU ana Ubaguzi wa wakristo wara Muslim ote ana tupa ridhiki ote tuna kufa. N. K. Badiliken 🤣😂😂😂😂🤣Waslamu bwana
@@faudhiasalum7279 Alafu jina (faudhia Salum)... Sikilizeni binaadamu tumetofautiana katika imani. Imani yako imetofautiana na Uisilamu sio suala wanajiona kama nani.. Ndivo Uisilamu ulivo kusimama imara katika kumuabudu Mwenyezi Mungu.. Its free halazimishwi mtu baki na imani yako uliyonayo lakini usimkwaze mwenye Dini tofauti na wewe.... Yes kaka yetu yupo katika Uisilamu ndio imani yake na akipata mke wakawa na imani moja inarahisisha kuwaongoza watoto japokuwa halazimishwi anaweza kuoa mkristo kwasababu Uisilamu unaruhusu mwanaume kumuoa mkristo lakini watoto wanatakiwa kufuata Dini ya Uisilamu kutoka kwa baba na inatakiwa mume amuelimishe kuhusu Uisilamu ili ashawishike kuifuata Dini.... Huu ndio Uisilamu unavotufunza hata Mtume wetu alifunga ndoa na mkristo anaitwa Maria na baadae alibadili Dini akaingia katika Uisilamu
Maximum TV umefanya jambo ya haki mimi niko sehemu ya wilaya nitatuma vipi mchangu yangu na huyu ni mtu mwaminifu yani Honest Asante sana watanzania ni watu karimu mimi sio mtanzania lakini wanaopendo sio kama watu kwetu jirani yenu sitaji jina utajua mwenyewe
Kwa kweli Tanzania inabidi ibadirishe sheria za magereza kwani sio haki za binaadamu, mtu unamfunga miaka kibao halafu unamtesa balaa, unamfanyisha kazi humlipi mshahara hata kidogo hiyo sio sawa kabisa ni unyanyasaji mkubwa mnooo, MAMA SAMIA LIANGALIE HILI, JELA SIO SEHEMU YA KUMPA MFUNGWA MATESO YA KUPITILIZA, POLE SANA BRO DUUH
Nimefurahi kusikia Serikali yetu ya Tanzania inatekeleza sheria, umefanya kosa sheria inachukua mkondo wake, kijana umekua muwazi sana umeongea ukweli wako, kifupi muogope sheria somo hili kutoka kwa kijana,
Masha Allah Allah akuongoze kwa ulioyapotia kakangu kwa kweli umejieleza vizuri sana tuu nitajitahidi nikusaidie kakangu we ni muwazi sana Huna uongo wala short cut hujifichii mabaya. ulofanya ya ukweli unasema na ambayo hujafanya uko wazi sana.
Daaah nimempenda huyu kaka, ameelezea vizuri sana na nimejifunza mengi sana na hii Story inasikitisha sana aiseee,Pole sana kak etu,tunapitia haya ili kujifunza
Waah,gerezani Kuna changamoto na huku nje watu wanaishi vile wanataka hata bila kumuogopa MUNGU Wala Kumshkru
Mungu amrehemu huyu kaka
MUNGU BABA asaidie Rais wetu Uhuru Kenyatta kabla atoke kitini awasemehe wafungwa wetu watoke.Mimi ni Mkenya 🇰🇪na wapenda sana jirani wetu Tanzania.
nakupenda pia
Subhannah Allah 😭😭😭😭kwa kweli Huyu kaka amepitiya mateso makubwa,Allah amfunguliye njia masikini
Hongera Sana! Unajua Sana kiswahili,unapangilia maelezo kiufupi unajua kujieleza
Alichanganyikiwa.kwa kufikiria alitenda wema kwa kutokataa mimba na halafu akapewa kifungo na kufika kule akakuta mateso makali ambayo yalimfanya aamue kujihami ili wamuogope wasimguse pole sana baba angu uliumia kiakili.
😢😢😢
Mama Samia Rais wetu,Asante Kwa kuwasamehe haya,Mungu akubariki mama
Aliachiwa na magu huyu
Subhana allah naona machozi yananitoka bila kujua...pole sana ndugu yangu kweli jail sio mahali pazur kabisa
Allah awastir ndugu zetu na watoto wetu Allahuma Amin
Allahhumma ameen inshallah
Allahumma amiiin Yarabb
Pole sana bro God is with you. Pongezi kwako unajua kujieleza vizuri
Mashalah hana kinyongo Allah atamfanyia wepes
Watching from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 zahiri tuna kufatilia sana MUNGU akuzidishie iman
Mi nimempenda huyu Kaka yuko straight forward
Hongera habipty
Omba namba uwe nae
Pole sana
Miaka19,ulikuwa bado mdogo
Pole Sana kaka. Mungu kuhifadhi KWA Hilo gumu na mengine na atuhifadhi na sisi sote. Mitihani yote hii ni kipimo Cha subra NJEMA.
Huyu kaka atakuja kua mtu mkubwa sna pia huyo mama ana dhambi kubwa sna khaaa mtot asomi afu unamfanyia hiv kweli dah😪😪😪😪😪 pole sna kaka Mungu yupo
Kaka zahir hiyo sura ya usingiz kabisaaa umetoka kulala, pole sana Broo ogopa wanafunz
Kijana yuko smart kiakili wallahy Allah akuongoze akuepushe na mabalaa maisha yko yawe mapya mungu atakusaidia kaka mambo yatanyooka bi idhnillah
Pole kaka kweli gereza sio zuri..
Maximum good job tuleteeni story km hizi za kuzingatia za udaku hazina ladha .
Mama Samiya mtafute kijana huyu akupe vitus tusivo vijua vya gerezani.
Duuh hii story imeniumiza san ila tumshuklu mungu kwa kutoka sallama kaka zahir nakuchek whatsap
Ooo nimewahi leo
Maximum tv super
Pole sana .Mungu yu mwema
Huyu ana hitaji nyenzo atakuwa ili aendeshe maisha ni mtu mwema huyu
Pole sana kaka angu muombe allah akusameh pia msameh mwenzako ulimpenda mpak unaenda kwao kujielewa ni wachache san makak wenye roho hizo allah akufungulie milango ya rizki
Zahir kweli akipata hizo zote kweli utakuwa umetengenezea mwanaume mwenzako mazingira mazuri ile hatokuja kukusahau katika maisha yake yote.
Innalillah waina illah rajihuon.. HasbiyaAllah waneemal wakeel... Pole Sana...
Innallillahi wainnailley rajiun. Kitu nitakushauri zahir akipata mkristo amake sure amamfunza dini ya kiislamu
Nmeumia sana ila pole yote Mitihani, Allah akuzidishie subraa
Mm nimekupenda kw vile umeongea ukwl karibu zanziba
Fanya ivyo tena
@@mohamedihasani622 vp nifanye
Nimekuelewa. Mpe pumziko
mpe mawasiliano yako aje wasiliana na Zahir
@@assiakhadijz4167 🤣🤣
Jela isikie kwa mwenzako yani ukitoka huko ni mawili uwe mbaya zaidi ama ubadilike uwe mtu mzuri zaidi... Waah pole bro.
Kwanza kabisa pole sana kakangu M/ Mungu aliye kuweka hai na ukawa huru tena ana jambo njema na wewe unabii huo uliyo utoa kwa ajili ya jamii unatosha kabisa kumpa Mungu utukifu ,
Lakini kaka Zahir ndugu kanivunja moyo Mimi nitaka kuomba mawasiliano lakini masharti yamenishinda duuuh anataka vidogodogo bado na Mimi 40 🤣🤣🤣
ruclips.net/video/rhly5nUZ2Rw/видео.html
Umenisikitisha Sana mdogo wangu m mungu ni mwema umetoka salama
ruclips.net/video/rhly5nUZ2Rw/видео.html
Husband material, pole Sana kakangu, Mungu atakuonekania
Pole kaka daaaah akuna mtu anaijua kesho yake kwakweli unahitaji misahada😭
Mambo matatu katika dini lazima yaharakishwe mtu akitaka kuoa na amepata mke muozesheni
Mtu akitaka kusilimu mslimisheni
Mtu akifa wahini kumzika shukhran
Na mtu akitaka kazi asaidiwe haraka sana
@@rosenaheka7100 umeonaeeh!?
Pole Sana kaka MUNGU akufanyie wepes Ishaallah
Pole shikama na allah muombe allah msamah pale ulipokosea allah akusameh msamehe pia mwenzako
He's a nice guy turned to monster in self defense. Stupid rules. A 19 year old is a kid. 💔
@@aby21111 is A Kid in which Country ??Even USA 18 is not a Kid
@@trophywilson7211 30 years for a consensual sex is too much.Not even 1 time I heard someone serving 30 years for imprinting a girl with intention to marry her. 😎
Pole sana kaka
Mugu Akufanyie wepesi kaka
Pole shemeji angu.
Mwenyez mungu akupe umri mrefu na afya njema nimependa Imani yako
Kijana handsome and smart pole Sana kijana mungu atakusimamia
Mungu ni mkuu kwa kila jambo.Atukuzwe kila wakati🌞🙏.
Hongera kaka kwa ujari na ukwel kwan ukwel humueka mtu huru nimekubal sn kwakwel 👍👍😍
Iyo kesi shida Ilikuwa umaskini. Angekuwa na wakili mzuri angetoka. Ama angepata adhabu kidogo. Maana walisikizana na msichana. Sheria mbaya, umaskini tatizo. Huyu ni mtu mwerevu sana. Akili iko timamu. Musaidieni aanze RUclips channel apeane stori za jela.
Huyu kaka anaendelea aje jamani. Naulizia toka kenya
Anaonekana mstaarabu Kwa mke hakosi Allah amfungulie rizk tu
Duul pole sana kaka, ingawa nimewai bakiwa binti yangu inauma mzazi na cwezi mlaumu mamake binti cos najua uchungu wa mama ni mzazi, lakini pole sana, kamuone mwanao atakukubali Inshallah.
Mwee pole saana
Aiseeeee!! Huyo jamaa namfahamu tuliwahi kukutana nae maeneo ya njia ya maji huko kapalamsenga na tuliwahi kupanda nae meri moja mv liemba na tukapiga nae picha kibao mpaka leo ninazo. Mwaka 2002 nilipita shinyanga natokea mwanza kuna mabrother zetu wa kigoma hapo shinyanya wakanipa hizo habari zake nikaumia Sana maana alikuwa mdogo na nilizoea kumwita dogo janja Mgasa. Allaah ni mwema Kama katoka aiseeeee
Mtafute
Umesha fika kaparamsenga kaka
Kaka pole Mungu Ni mwema siku zote kwakuwa umetoka salama Ape we sifa nimependa ulivyo jieleza nakusema ukweli Nakutakia Maisha marefu na Mung Akuwekeye Wepesi usikate tama
Nimecheka eti sijakumbuka kumuaga rafiki wala nani mbele tuu hahahha nimechaka mbaka kichwa kuuma
Pole sana suleiman ni mitihani ya duniani, ushaur wangu inaonekana una afya njema kaka cha msingi fanya kazi ili kujipatia rizik ndio jambo kubwa ili kuweza kujipatia cha kuendeleza maisha cha msingi ni kujichanganya na watu ili urud katika hali yako
Mbona kesha fariki huna tarifa
Nimependa sana kauli yako kuhusu aina ya mke unayemtaka.
Wewe ni mwanaume mwenye ufahamu mkubwa sana.
Mbinguni patakuwa mahali pa kushangaza mno.
Sio mahali pà dini.
Ni mahàli pa wateule.
Nimependa hiyo❤👍
Kwani eti maximum TV niwaulize swali?
RUclips siku hizi imekuwaje mbona sioni pa kukomentia😲
Pole kaka
Hizi Sheria niza kishenzi sana. Zinaumiza sana boychild. Ukiangalia msichana wa 16 yrs na mvulana wa 19 yrs hao ni agemates. Niwatu wenye pia akili zinakaribiana. Hakuna sababu ya kutosha ya kupunish mtoto mvulana miaka 30yrs eti kwa sababu ya mimba. Haya nimambo yanayoweza kusuluhuhishwa kwa njia Bora zaidi nasio kupoteza Maisha ya boychild. Ni uchungu sana. Serikali ziangalie mambo haya
Hizi sheria zingine ila nizakijinga sana. Mtu hajaua, ajaumiza mtu, hajaiba halafu adhabu take 30 yrs????
Sheria zimeweka zifatwe acha afungwe
Pole sana kaka ,mungu akupe hutaji lako la moyo umpate mke msikivu mpole mwenye kuthamini ,pia awe na heshima na upendo kwako ili akusahaurishe kwa mengi ulioyapitia,kaka zahir barikiwa san , na MUNGU.
Halafu ety vibaka wanakamatwa wanaachiwa peleka huko gereza la kilmo aipate freesh
Allah yupamoja nawe kkngu, never give up brother
Pole sana
dah ni story ya kusikitisha sana na ya kujifunza
Mwenyezi Mungu atakufanyia wepesi utatoka kimaisha
Pole sana kaka Mungu atakufanyia wepesi
Huyu jamaa anasema ukweli ilmbidi kujiprotect ndiyo Hali ya gereza badala ya kurekebika walimharibu lakini haya simaumbile yake anahitaji msaada wa kazi na pia msaada wa datari Wa siekolojia🇰🇪🇰🇪
wamekudhulumu na kukupotezea ujana wako . kipindi chako cha ujana kimekupita gerezani .
Walimdhurumu nini huku alifanya mwenyewe dhambi??
Pole sana ndg mungu atakujalia maisha mema
Teke lilitengeneza uvimbe uyu kaptia magumu jela sio kuzuri Mungu atusaidie sisi navizaz vyetu
Aamin
Pole sana ila dini ni muhimu sana mukitofautiana dini watoto watayumba
Mtu mwenye akili timamu hawezi kufikirifikiri mambo ya dini Mungu katuumba binadamu sote ni sawa na Mungu hana dini
@@Mpakauseme mtu mwenye akili timamu huwa anafikiria dini maana dini ndio kila kitu katika maisha
@@asmamzee7067 Dini ni Neno tu kama kusema kitabu au Jina lako Asma ni matendo yako ndiyo yatofautiana na Asma wengine jampo mpo wengi mno , lakini mtatofautiana kitabia so unaweza ukawa na dini lakin ushishibe ya Mungu , ukawa tu unajisifu kwa jina la dini na huku una mambo ya kinafiki tu na ukijivika ucha Mungu, Akili na maharifa ndani yake utatuzi kamili, utafiti sambamba na uwelevu katika hayo utaona njia na isiyo na shaka kabisa na hauta fikirifirikiri juu ya huyu na yule kati ya yeyote yule akujiae usoni mwako, kwani Mungu anamakusudi na kila mwanadamu asemaye na wewe ata kwa kushtukiza hii maanayake hakuna mtu hajuae siku ya kesho , usijisifu leo kwa maana hujui kitakacho zaliwa kesho Mithali 27 : 1-2. . Usi ishi kwakufunzwa tu bila na wewe kujifunza akili kuu za kutawala keshakupewa mwanadamu katika uhai wake . Unaweza kumuoa mpagani na akavutika na dini yako kwasababu tu yamatendo yako nasi dini yako ndio maana mwanzo nikakuambia neno Dini nikama kusema kitabu mpaka ukifungue usome ndipo ujue kitabu cha aina gani. BILA UPENDO JUU YA WANADAMU WENZAKO BASI ATA UFUNZWE MAMBO YA DINI NA MALAIKA UTAKWENDA KUTUMBUKIA MOTONI TU .. UBAGUZI NI TABIA YA KISHETANI NA MUNGU SIMBAGUZI MKRISTU MWISLAM WOTE WAKE YEYE . Jifunze kufikiri na kulichambua kila neno huku na ukimuomba Mungu hakupe hekima na maharifa zaidi. Jah bless i ana i. AKILI NAULI.
@@Mpakauseme Yes my dear hallelujah hallelujah!! waslamu wana jikutaga kama ii dunia ni Yao vile wame sahau kabisa kama Atima Ya mtu ipo mikono mwa!!!! MUNGU..
Na laiti wao ndo wange pewa pepo.. Ya kutuingiza sisi!! Wakristo 🤦♀️sijui ingekuwaje ila MUNGU MUACHE aitwe MUNGU.!!
Hivi ata hawajifikiri mbona MUNGU ana Ubaguzi wa wakristo wara Muslim ote ana tupa ridhiki ote tuna kufa. N. K. Badiliken
🤣😂😂😂😂🤣Waslamu bwana
@@faudhiasalum7279 Alafu jina (faudhia Salum)... Sikilizeni binaadamu tumetofautiana katika imani. Imani yako imetofautiana na Uisilamu sio suala wanajiona kama nani.. Ndivo Uisilamu ulivo kusimama imara katika kumuabudu Mwenyezi Mungu.. Its free halazimishwi mtu baki na imani yako uliyonayo lakini usimkwaze mwenye Dini tofauti na wewe.... Yes kaka yetu yupo katika Uisilamu ndio imani yake na akipata mke wakawa na imani moja inarahisisha kuwaongoza watoto japokuwa halazimishwi anaweza kuoa mkristo kwasababu Uisilamu unaruhusu mwanaume kumuoa mkristo lakini watoto wanatakiwa kufuata Dini ya Uisilamu kutoka kwa baba na inatakiwa mume amuelimishe kuhusu Uisilamu ili ashawishike kuifuata Dini.... Huu ndio Uisilamu unavotufunza hata Mtume wetu alifunga ndoa na mkristo anaitwa Maria na baadae alibadili Dini akaingia katika Uisilamu
M/mungu azidi kukupa afya na endeleee na kukupigania inshallah Mr seleman
Pole saana kaka angu
Sote wa mungu kwake tutarejea
.umeshakuwa marehemu.Allah akusamehe
Hapana chezea Jamhuri, ndanda cosovo alishaimba Jela Jela ni mbaya, Jela Jela ni mateso.
Jmni nagpa mungu akupe ngvu kka nkukmbka skumoja nilienda geleza rakeko kumuona mfungwa bba Ang mlezi Ila bale nilkua kwenyefleni yakuingia ndani lkaja gali lamageleza bas tkaludishwa nyuma wtoto wdogo wlishushwa akiamungu niliumia nkueaza mbali ilesemu sonzuli jmni mungu atuepushe kwakweli naakutie nguvu kka angu daaa😭😭
Assalaam alaykum kama umebadilika bc mm apa njoo uniowe
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣👈
😂😂😂🤣
@@ayshamahariq6665 huyu dadaetu yaonekana ana uchu🙄 duhh kamkubali chapchap kabla ata ya mawasiliano🤣
Maxhaallah jambo la kheri
Pia.nisuna.ya.mtume
Maximum TV umefanya jambo ya haki mimi niko sehemu ya wilaya nitatuma vipi mchangu yangu na huyu ni mtu mwaminifu yani Honest
Asante sana watanzania ni watu karimu mimi sio mtanzania lakini wanaopendo sio kama watu kwetu jirani yenu sitaji jina utajua mwenyewe
Kwa kweli Tanzania inabidi ibadirishe sheria za magereza kwani sio haki za binaadamu, mtu unamfunga miaka kibao halafu unamtesa balaa, unamfanyisha kazi humlipi mshahara hata kidogo hiyo sio sawa kabisa ni unyanyasaji mkubwa mnooo, MAMA SAMIA LIANGALIE HILI, JELA SIO SEHEMU YA KUMPA MFUNGWA MATESO YA KUPITILIZA, POLE SANA BRO DUUH
Subhannahllah pole sana my brother.
Pole Sana! Ila Sasa ukiona wanafunzi kimbia usiwaguse
Kwl kabisa
pole sana kaka. hta mm yamenikuta gereza co pow.mtu anaekupeleka gerezan muogope
Kaka Mzuri Mashallah. Kama ana tama mke nipo hapa tusaidiane maisha. I serious Zahir
Iddy niko serious kabisa
Chukua namba ya zahir iyo mtafute private kama kweli uko serious
@@Randm- wengi maneno tu
Huyo Askari kuwa na PANGA kufanya hayoo.anastahili KIFUNGO ni muuwaji !
Mwenye kubeba mimba alitaka mimba itolewe lkn mhusika usitoe wanaume wachache sana kukubali mimba
ruclips.net/video/rhly5nUZ2Rw/видео.html
Nimefurahi kusikia Serikali yetu ya Tanzania inatekeleza sheria, umefanya kosa sheria inachukua mkondo wake, kijana umekua muwazi sana umeongea ukweli wako, kifupi muogope sheria somo hili kutoka kwa kijana,
Sio sawa. Sheria inamuumiza mtoto mvulana. Ngono walishiriki wote. Hawa ni agemates. 16yrs na 19yrs. Sio sawa.
Hapo Sheria Lazima irekebishwe Kuna Vitu havijakaa Sawa
Serikali bado ina mapungufu kumfunga MTU kwenye kiza .
pole sana bro maisha magumu sana dah inauma
SUBHANA ALLAH MIYAKA 30 WEEK TO MITIKHAANI POLE SANA
Miaka 20 tu miaka 10 alisamehewa
Utashangaa ata mimba walitoa daaaah
Kaka zahir nimempenda huyu kaka naomba mawasiliano yake nataka niwe nae
Amin
Ulishapata namba yake?
0692811625
namb yake ipo kwenye video
@@Mahonda8080 Tapeli wewe unataka kudanga
Jitahidi sana kwenye dini
Pole sana kakangu mungu akupiganie
Masha Allah Allah akuongoze kwa ulioyapotia kakangu kwa kweli umejieleza vizuri sana tuu nitajitahidi nikusaidie kakangu we ni muwazi sana Huna uongo wala short cut hujifichii mabaya. ulofanya ya ukweli unasema na ambayo hujafanya uko wazi sana.
Ni mwaminifu sana mwanamke atayeolewa naye atakuwa ameokota dodo
Pole sana kaka kwa maumivu uliyo pitia inauma kwakweli kwasababu ungekua unaniya mbaya ya huyo msichana ulivyo itwa wala usingeenda
ruclips.net/video/rhly5nUZ2Rw/видео.html
Pole sana kaka Maskini wadau tumchangie afungue saloon maana ndio fani yake maisha yaendelee .
Pole sana ndg yangu ,na huyo mwanamke yy keshaolewa na mwanamume mwengine na anawajukuu ndio ujuwe Sheria mavi hii
Mungu atakufanyia wepesi kaka
mungu mkubwa amekulunda na mengine ishaAllah utafanikia zahir na team maximam hongereni
Pole kaka pole sana
Dah huyu kweli anahitaji msaada jamaa hakukataa mimba wakamueka ndani.doh pole sana kaka.
Pole sana mjomba wangu ila uyo mama atafutwe afungwe nae kakupotezea mwelekeo wa maisha
Masikini pole sanaaa kaka yangu ALLAH akujalie uwe mwema kwenye maisha YA Uhuru Na uwe Mwema sanaaa
Inasikitisha sana adi machozi ya menitoka nikikumbuka kk yangu alifungwa wiki 3 apana akipinga sim ni kulia tu sasa myaka yote iyo nimeumia sana
Nimekupenda kwa sababu haswa unapenda kujituma Allah akufanyie wepec
Duh pole sn broo mwenyezmungu akufungulie rizki aaamin
ruclips.net/video/rhly5nUZ2Rw/видео.html
Pole, ila usijitetee sana, inaonekana bado hujutii kosa, kama unamlaumu mlezi wa mzazi mwenzio. Vinyozi mnawaharibu sana wanafunzi
Ameshafariki
Apelekwe anapostahili
pole sana kaka
Pole ndugu yangu,Allah atakusaidia
Alhamdulilah Allah Kareem niliponea chupuchupu Kwa kesi kamaio ilasiku mpa minba nilitumia Cd Kwa ujanja wa haliaju
Daah! Yaan kaniumiza sana..tunahitaj tumsaidie huyu ka😭
Yaani wanadamu sijui tumekuwaje jamani.Kuharibu maisha ya watu wengine kujisafisha wewe.Inauma sana.Nimeumia sana hara mimi.
Pole kaka😢😢😢
Njoo kaka uniowe mm nipe namba yako mm nina miaka 30 karibu
Njoohuku nikuoe
😀😀😀
Olewa jamila ajakua mjanja wa mausiano utaishi nae ukiwa mpole kama yy
ukimkosa njoo kwangu my,na mimi natafuta mtu wa kuoa