NILIFUNGWA JELA MIAKA 30 KWA KUMPA MWANAFUNZI MIMBA|VIFO|USHOGA |NILIKUWA KATILI HATARI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 сен 2024

Комментарии • 905

  • @waukweelinikkon6555
    @waukweelinikkon6555 3 года назад +23

    Daaah nimempenda huyu kaka, ameelezea vizuri sana na nimejifunza mengi sana na hii Story inasikitisha sana aiseee,Pole sana kak etu,tunapitia haya ili kujifunza

    • @agneswangui4295
      @agneswangui4295 2 года назад

      Waah,gerezani Kuna changamoto na huku nje watu wanaishi vile wanataka hata bila kumuogopa MUNGU Wala Kumshkru

    • @aminakasim1198
      @aminakasim1198 Год назад +1

      Mungu amrehemu huyu kaka

  • @agneswangui4295
    @agneswangui4295 2 года назад +12

    MUNGU BABA asaidie Rais wetu Uhuru Kenyatta kabla atoke kitini awasemehe wafungwa wetu watoke.Mimi ni Mkenya 🇰🇪na wapenda sana jirani wetu Tanzania.

  • @rukiakhamsin9220
    @rukiakhamsin9220 3 года назад +16

    Subhannah Allah 😭😭😭😭kwa kweli Huyu kaka amepitiya mateso makubwa,Allah amfunguliye njia masikini

  • @jovanafidelis2802
    @jovanafidelis2802 3 года назад +8

    Hongera Sana! Unajua Sana kiswahili,unapangilia maelezo kiufupi unajua kujieleza

  • @namirihamisi3899
    @namirihamisi3899 3 года назад +18

    Alichanganyikiwa.kwa kufikiria alitenda wema kwa kutokataa mimba na halafu akapewa kifungo na kufika kule akakuta mateso makali ambayo yalimfanya aamue kujihami ili wamuogope wasimguse pole sana baba angu uliumia kiakili.

  • @mtanzaniahalisimungunimwem673
    @mtanzaniahalisimungunimwem673 3 года назад +5

    Mama Samia Rais wetu,Asante Kwa kuwasamehe haya,Mungu akubariki mama

  • @shamzone388
    @shamzone388 3 года назад +15

    Subhana allah naona machozi yananitoka bila kujua...pole sana ndugu yangu kweli jail sio mahali pazur kabisa
    Allah awastir ndugu zetu na watoto wetu Allahuma Amin

    • @ashasiri2720
      @ashasiri2720 3 года назад

      Allahhumma ameen inshallah

    • @oman7710
      @oman7710 2 года назад

      Allahumma amiiin Yarabb

  • @margaretiminza6270
    @margaretiminza6270 3 года назад +13

    Pole sana bro God is with you. Pongezi kwako unajua kujieleza vizuri

  • @didahnidhar8009
    @didahnidhar8009 3 года назад +14

    Mashalah hana kinyongo Allah atamfanyia wepes

  • @maimunaabdalla7146
    @maimunaabdalla7146 3 года назад +2

    Watching from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 zahiri tuna kufatilia sana MUNGU akuzidishie iman

  • @TheSalma1999
    @TheSalma1999 3 года назад +13

    Mi nimempenda huyu Kaka yuko straight forward

  • @mamachris6811
    @mamachris6811 3 года назад +7

    Pole sana
    Miaka19,ulikuwa bado mdogo

  • @ALIMOHD-bk9lr
    @ALIMOHD-bk9lr 3 года назад +4

    Pole Sana kaka. Mungu kuhifadhi KWA Hilo gumu na mengine na atuhifadhi na sisi sote. Mitihani yote hii ni kipimo Cha subra NJEMA.

  • @pendopendo7427
    @pendopendo7427 3 года назад +6

    Huyu kaka atakuja kua mtu mkubwa sna pia huyo mama ana dhambi kubwa sna khaaa mtot asomi afu unamfanyia hiv kweli dah😪😪😪😪😪 pole sna kaka Mungu yupo

  • @reymaabintabdillah3727
    @reymaabintabdillah3727 3 года назад +6

    Kaka zahir hiyo sura ya usingiz kabisaaa umetoka kulala, pole sana Broo ogopa wanafunz

  • @mimahmimah1595
    @mimahmimah1595 3 года назад +5

    Kijana yuko smart kiakili wallahy Allah akuongoze akuepushe na mabalaa maisha yko yawe mapya mungu atakusaidia kaka mambo yatanyooka bi idhnillah

  • @nooor1120
    @nooor1120 3 года назад +11

    Pole kaka kweli gereza sio zuri..
    Maximum good job tuleteeni story km hizi za kuzingatia za udaku hazina ladha .
    Mama Samiya mtafute kijana huyu akupe vitus tusivo vijua vya gerezani.

  • @bebebebe5677
    @bebebebe5677 3 года назад +8

    Duuh hii story imeniumiza san ila tumshuklu mungu kwa kutoka sallama kaka zahir nakuchek whatsap

  • @nooor1120
    @nooor1120 3 года назад +6

    Ooo nimewahi leo
    Maximum tv super

  • @andrew29468
    @andrew29468 3 года назад +2

    Pole sana .Mungu yu mwema
    Huyu ana hitaji nyenzo atakuwa ili aendeshe maisha ni mtu mwema huyu

  • @arafamussa840
    @arafamussa840 3 года назад +5

    Pole sana kaka angu muombe allah akusameh pia msameh mwenzako ulimpenda mpak unaenda kwao kujielewa ni wachache san makak wenye roho hizo allah akufungulie milango ya rizki

  • @roseatieno6691
    @roseatieno6691 3 года назад +5

    Zahir kweli akipata hizo zote kweli utakuwa umetengenezea mwanaume mwenzako mazingira mazuri ile hatokuja kukusahau katika maisha yake yote.

  • @mename6020
    @mename6020 3 года назад +9

    Innalillah waina illah rajihuon.. HasbiyaAllah waneemal wakeel... Pole Sana...

    • @hellenwakiomwero3166
      @hellenwakiomwero3166 3 года назад

      Innallillahi wainnailley rajiun. Kitu nitakushauri zahir akipata mkristo amake sure amamfunza dini ya kiislamu

  • @saumukonde4338
    @saumukonde4338 3 года назад +8

    Nmeumia sana ila pole yote Mitihani, Allah akuzidishie subraa

  • @assiakhadijz4167
    @assiakhadijz4167 3 года назад +33

    Mm nimekupenda kw vile umeongea ukwl karibu zanziba

  • @hawababuu4350
    @hawababuu4350 3 года назад +2

    Jela isikie kwa mwenzako yani ukitoka huko ni mawili uwe mbaya zaidi ama ubadilike uwe mtu mzuri zaidi... Waah pole bro.

  • @rukiasalum5671
    @rukiasalum5671 3 года назад +4

    Kwanza kabisa pole sana kakangu M/ Mungu aliye kuweka hai na ukawa huru tena ana jambo njema na wewe unabii huo uliyo utoa kwa ajili ya jamii unatosha kabisa kumpa Mungu utukifu ,
    Lakini kaka Zahir ndugu kanivunja moyo Mimi nitaka kuomba mawasiliano lakini masharti yamenishinda duuuh anataka vidogodogo bado na Mimi 40 🤣🤣🤣

  • @sabraalkhusebi4220
    @sabraalkhusebi4220 3 года назад +6

    Umenisikitisha Sana mdogo wangu m mungu ni mwema umetoka salama

  • @liliankemuma9475
    @liliankemuma9475 3 года назад +6

    Husband material, pole Sana kakangu, Mungu atakuonekania

  • @mussamivache4986
    @mussamivache4986 3 года назад +9

    Pole kaka daaaah akuna mtu anaijua kesho yake kwakweli unahitaji misahada😭

  • @aminahadi1966
    @aminahadi1966 3 года назад +10

    Mambo matatu katika dini lazima yaharakishwe mtu akitaka kuoa na amepata mke muozesheni
    Mtu akitaka kusilimu mslimisheni
    Mtu akifa wahini kumzika shukhran

  • @sadabahla7120
    @sadabahla7120 3 года назад +2

    Pole Sana kaka MUNGU akufanyie wepes Ishaallah

  • @arafamussa840
    @arafamussa840 3 года назад +7

    Pole shikama na allah muombe allah msamah pale ulipokosea allah akusameh msamehe pia mwenzako

    • @aby21111
      @aby21111 3 года назад

      He's a nice guy turned to monster in self defense. Stupid rules. A 19 year old is a kid. 💔

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 3 года назад

      @@aby21111 is A Kid in which Country ??Even USA 18 is not a Kid

    • @aby21111
      @aby21111 3 года назад

      @@trophywilson7211 30 years for a consensual sex is too much.Not even 1 time I heard someone serving 30 years for imprinting a girl with intention to marry her. 😎

    • @faridanassoro9848
      @faridanassoro9848 3 года назад

      Pole sana kaka

  • @twahrhamid3941
    @twahrhamid3941 3 года назад +6

    Mugu Akufanyie wepesi kaka

  • @felisterandrew8741
    @felisterandrew8741 3 года назад +8

    Pole shemeji angu.

  • @Aida-qh3jq
    @Aida-qh3jq 3 месяца назад +1

    Mwenyez mungu akupe umri mrefu na afya njema nimependa Imani yako

  • @stevemwakisimba5986
    @stevemwakisimba5986 3 года назад +6

    Kijana handsome and smart pole Sana kijana mungu atakusimamia

  • @catherinekatuu423
    @catherinekatuu423 3 года назад +4

    Mungu ni mkuu kwa kila jambo.Atukuzwe kila wakati🌞🙏.

  • @salhakhamis4629
    @salhakhamis4629 3 года назад +3

    Hongera kaka kwa ujari na ukwel kwan ukwel humueka mtu huru nimekubal sn kwakwel 👍👍😍

  • @Kakwasi
    @Kakwasi 3 года назад +6

    Iyo kesi shida Ilikuwa umaskini. Angekuwa na wakili mzuri angetoka. Ama angepata adhabu kidogo. Maana walisikizana na msichana. Sheria mbaya, umaskini tatizo. Huyu ni mtu mwerevu sana. Akili iko timamu. Musaidieni aanze RUclips channel apeane stori za jela.

    • @Kakwasi
      @Kakwasi Год назад

      Huyu kaka anaendelea aje jamani. Naulizia toka kenya

  • @shumbanahafidh4304
    @shumbanahafidh4304 3 года назад +8

    Anaonekana mstaarabu Kwa mke hakosi Allah amfungulie rizk tu

  • @Sandra39823
    @Sandra39823 3 года назад +2

    Duul pole sana kaka, ingawa nimewai bakiwa binti yangu inauma mzazi na cwezi mlaumu mamake binti cos najua uchungu wa mama ni mzazi, lakini pole sana, kamuone mwanao atakukubali Inshallah.

  • @andersonmoses4029
    @andersonmoses4029 3 года назад +6

    Aiseeeee!! Huyo jamaa namfahamu tuliwahi kukutana nae maeneo ya njia ya maji huko kapalamsenga na tuliwahi kupanda nae meri moja mv liemba na tukapiga nae picha kibao mpaka leo ninazo. Mwaka 2002 nilipita shinyanga natokea mwanza kuna mabrother zetu wa kigoma hapo shinyanya wakanipa hizo habari zake nikaumia Sana maana alikuwa mdogo na nilizoea kumwita dogo janja Mgasa. Allaah ni mwema Kama katoka aiseeeee

  • @noofnoof4909
    @noofnoof4909 3 года назад +1

    Kaka pole Mungu Ni mwema siku zote kwakuwa umetoka salama Ape we sifa nimependa ulivyo jieleza nakusema ukweli Nakutakia Maisha marefu na Mung Akuwekeye Wepesi usikate tama

  • @arafakassela5398
    @arafakassela5398 3 года назад +8

    Nimecheka eti sijakumbuka kumuaga rafiki wala nani mbele tuu hahahha nimechaka mbaka kichwa kuuma

  • @rashidyussuf3429
    @rashidyussuf3429 2 года назад

    Pole sana suleiman ni mitihani ya duniani, ushaur wangu inaonekana una afya njema kaka cha msingi fanya kazi ili kujipatia rizik ndio jambo kubwa ili kuweza kujipatia cha kuendeleza maisha cha msingi ni kujichanganya na watu ili urud katika hali yako

  • @highonebalo8289
    @highonebalo8289 3 года назад +7

    Nimependa sana kauli yako kuhusu aina ya mke unayemtaka.
    Wewe ni mwanaume mwenye ufahamu mkubwa sana.
    Mbinguni patakuwa mahali pa kushangaza mno.
    Sio mahali pà dini.
    Ni mahàli pa wateule.
    Nimependa hiyo❤👍

    • @highonebalo8289
      @highonebalo8289 3 года назад +1

      Kwani eti maximum TV niwaulize swali?
      RUclips siku hizi imekuwaje mbona sioni pa kukomentia😲

  • @nuratzimbwe8655
    @nuratzimbwe8655 3 года назад +5

    Pole kaka

  • @Kakwasi
    @Kakwasi 3 года назад +8

    Hizi Sheria niza kishenzi sana. Zinaumiza sana boychild. Ukiangalia msichana wa 16 yrs na mvulana wa 19 yrs hao ni agemates. Niwatu wenye pia akili zinakaribiana. Hakuna sababu ya kutosha ya kupunish mtoto mvulana miaka 30yrs eti kwa sababu ya mimba. Haya nimambo yanayoweza kusuluhuhishwa kwa njia Bora zaidi nasio kupoteza Maisha ya boychild. Ni uchungu sana. Serikali ziangalie mambo haya

    • @Kakwasi
      @Kakwasi Год назад

      Hizi sheria zingine ila nizakijinga sana. Mtu hajaua, ajaumiza mtu, hajaiba halafu adhabu take 30 yrs????

    • @maishayetu6182
      @maishayetu6182 5 месяцев назад

      Sheria zimeweka zifatwe acha afungwe

  • @mariamm2724
    @mariamm2724 3 года назад +5

    Pole sana kaka ,mungu akupe hutaji lako la moyo umpate mke msikivu mpole mwenye kuthamini ,pia awe na heshima na upendo kwako ili akusahaurishe kwa mengi ulioyapitia,kaka zahir barikiwa san , na MUNGU.

    • @tinnahagustinolyelu4247
      @tinnahagustinolyelu4247 2 месяца назад

      Halafu ety vibaka wanakamatwa wanaachiwa peleka huko gereza la kilmo aipate freesh

  • @chunaabdullah1333
    @chunaabdullah1333 3 года назад +4

    Allah yupamoja nawe kkngu, never give up brother

  • @jamilasalimvilog6752
    @jamilasalimvilog6752 3 года назад +4

    Pole sana

  • @hassanmpemba5747
    @hassanmpemba5747 3 года назад +18

    dah ni story ya kusikitisha sana na ya kujifunza

  • @hebronsdaughter1661
    @hebronsdaughter1661 3 года назад +2

    Mwenyezi Mungu atakufanyia wepesi utatoka kimaisha

  • @fatu.stronggirl5620
    @fatu.stronggirl5620 3 года назад +4

    Pole sana kaka Mungu atakufanyia wepesi

  • @agnesollie753
    @agnesollie753 3 года назад +3

    Huyu jamaa anasema ukweli ilmbidi kujiprotect ndiyo Hali ya gereza badala ya kurekebika walimharibu lakini haya simaumbile yake anahitaji msaada wa kazi na pia msaada wa datari Wa siekolojia🇰🇪🇰🇪

  • @kiri5807
    @kiri5807 3 года назад +14

    wamekudhulumu na kukupotezea ujana wako . kipindi chako cha ujana kimekupita gerezani .

  • @leaherasto5686
    @leaherasto5686 3 года назад +2

    Teke lilitengeneza uvimbe uyu kaptia magumu jela sio kuzuri Mungu atusaidie sisi navizaz vyetu

  • @aminaally2014
    @aminaally2014 3 года назад +11

    Pole sana ila dini ni muhimu sana mukitofautiana dini watoto watayumba

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 3 года назад +2

      Mtu mwenye akili timamu hawezi kufikirifikiri mambo ya dini Mungu katuumba binadamu sote ni sawa na Mungu hana dini

    • @asmamzee7067
      @asmamzee7067 3 года назад +4

      @@Mpakauseme mtu mwenye akili timamu huwa anafikiria dini maana dini ndio kila kitu katika maisha

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 3 года назад

      @@asmamzee7067 Dini ni Neno tu kama kusema kitabu au Jina lako Asma ni matendo yako ndiyo yatofautiana na Asma wengine jampo mpo wengi mno , lakini mtatofautiana kitabia so unaweza ukawa na dini lakin ushishibe ya Mungu , ukawa tu unajisifu kwa jina la dini na huku una mambo ya kinafiki tu na ukijivika ucha Mungu, Akili na maharifa ndani yake utatuzi kamili, utafiti sambamba na uwelevu katika hayo utaona njia na isiyo na shaka kabisa na hauta fikirifirikiri juu ya huyu na yule kati ya yeyote yule akujiae usoni mwako, kwani Mungu anamakusudi na kila mwanadamu asemaye na wewe ata kwa kushtukiza hii maanayake hakuna mtu hajuae siku ya kesho , usijisifu leo kwa maana hujui kitakacho zaliwa kesho Mithali 27 : 1-2. . Usi ishi kwakufunzwa tu bila na wewe kujifunza akili kuu za kutawala keshakupewa mwanadamu katika uhai wake . Unaweza kumuoa mpagani na akavutika na dini yako kwasababu tu yamatendo yako nasi dini yako ndio maana mwanzo nikakuambia neno Dini nikama kusema kitabu mpaka ukifungue usome ndipo ujue kitabu cha aina gani. BILA UPENDO JUU YA WANADAMU WENZAKO BASI ATA UFUNZWE MAMBO YA DINI NA MALAIKA UTAKWENDA KUTUMBUKIA MOTONI TU .. UBAGUZI NI TABIA YA KISHETANI NA MUNGU SIMBAGUZI MKRISTU MWISLAM WOTE WAKE YEYE . Jifunze kufikiri na kulichambua kila neno huku na ukimuomba Mungu hakupe hekima na maharifa zaidi. Jah bless i ana i. AKILI NAULI.

    • @faudhiasalum7279
      @faudhiasalum7279 3 года назад +2

      @@Mpakauseme Yes my dear hallelujah hallelujah!! waslamu wana jikutaga kama ii dunia ni Yao vile wame sahau kabisa kama Atima Ya mtu ipo mikono mwa!!!! MUNGU..
      Na laiti wao ndo wange pewa pepo.. Ya kutuingiza sisi!! Wakristo 🤦‍♀️sijui ingekuwaje ila MUNGU MUACHE aitwe MUNGU.!!
      Hivi ata hawajifikiri mbona MUNGU ana Ubaguzi wa wakristo wara Muslim ote ana tupa ridhiki ote tuna kufa. N. K. Badiliken
      🤣😂😂😂😂🤣Waslamu bwana

    • @kibongobongo4608
      @kibongobongo4608 3 года назад

      @@faudhiasalum7279 Alafu jina (faudhia Salum)... Sikilizeni binaadamu tumetofautiana katika imani. Imani yako imetofautiana na Uisilamu sio suala wanajiona kama nani.. Ndivo Uisilamu ulivo kusimama imara katika kumuabudu Mwenyezi Mungu.. Its free halazimishwi mtu baki na imani yako uliyonayo lakini usimkwaze mwenye Dini tofauti na wewe.... Yes kaka yetu yupo katika Uisilamu ndio imani yake na akipata mke wakawa na imani moja inarahisisha kuwaongoza watoto japokuwa halazimishwi anaweza kuoa mkristo kwasababu Uisilamu unaruhusu mwanaume kumuoa mkristo lakini watoto wanatakiwa kufuata Dini ya Uisilamu kutoka kwa baba na inatakiwa mume amuelimishe kuhusu Uisilamu ili ashawishike kuifuata Dini.... Huu ndio Uisilamu unavotufunza hata Mtume wetu alifunga ndoa na mkristo anaitwa Maria na baadae alibadili Dini akaingia katika Uisilamu

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 3 года назад +2

    M/mungu azidi kukupa afya na endeleee na kukupigania inshallah Mr seleman

  • @sophiarajab9342
    @sophiarajab9342 3 года назад +5

    Pole saana kaka angu

  • @fatumasukwaju226
    @fatumasukwaju226 2 года назад +2

    Sote wa mungu kwake tutarejea
    .umeshakuwa marehemu.Allah akusamehe

  • @costantinestephen2594
    @costantinestephen2594 3 года назад +8

    Hapana chezea Jamhuri, ndanda cosovo alishaimba Jela Jela ni mbaya, Jela Jela ni mateso.

  • @mokohratino9052
    @mokohratino9052 3 года назад +1

    Jmni nagpa mungu akupe ngvu kka nkukmbka skumoja nilienda geleza rakeko kumuona mfungwa bba Ang mlezi Ila bale nilkua kwenyefleni yakuingia ndani lkaja gali lamageleza bas tkaludishwa nyuma wtoto wdogo wlishushwa akiamungu niliumia nkueaza mbali ilesemu sonzuli jmni mungu atuepushe kwakweli naakutie nguvu kka angu daaa😭😭

  • @assiakhadijz4167
    @assiakhadijz4167 3 года назад +23

    Assalaam alaykum kama umebadilika bc mm apa njoo uniowe

    • @lovvy854
      @lovvy854 3 года назад

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣👈

    • @ayshamahariq6665
      @ayshamahariq6665 3 года назад

      😂😂😂🤣

    • @lovvy854
      @lovvy854 3 года назад

      @@ayshamahariq6665 huyu dadaetu yaonekana ana uchu🙄 duhh kamkubali chapchap kabla ata ya mawasiliano🤣

    • @aminaally863
      @aminaally863 3 года назад +1

      Maxhaallah jambo la kheri

    • @ashuraomary8859
      @ashuraomary8859 3 года назад

      Pia.nisuna.ya.mtume

  • @Roobkii_Gaalkacyo
    @Roobkii_Gaalkacyo 3 года назад

    Maximum TV umefanya jambo ya haki mimi niko sehemu ya wilaya nitatuma vipi mchangu yangu na huyu ni mtu mwaminifu yani Honest
    Asante sana watanzania ni watu karimu mimi sio mtanzania lakini wanaopendo sio kama watu kwetu jirani yenu sitaji jina utajua mwenyewe

  • @tiaraoscarjuma4522
    @tiaraoscarjuma4522 3 года назад +6

    Kwa kweli Tanzania inabidi ibadirishe sheria za magereza kwani sio haki za binaadamu, mtu unamfunga miaka kibao halafu unamtesa balaa, unamfanyisha kazi humlipi mshahara hata kidogo hiyo sio sawa kabisa ni unyanyasaji mkubwa mnooo, MAMA SAMIA LIANGALIE HILI, JELA SIO SEHEMU YA KUMPA MFUNGWA MATESO YA KUPITILIZA, POLE SANA BRO DUUH

  • @arafakiloli749
    @arafakiloli749 3 года назад +2

    Subhannahllah pole sana my brother.

  • @julithamuhale7271
    @julithamuhale7271 3 года назад +4

    Pole Sana! Ila Sasa ukiona wanafunzi kimbia usiwaguse

  • @emmanuelmasemba7612
    @emmanuelmasemba7612 3 года назад +1

    pole sana kaka. hta mm yamenikuta gereza co pow.mtu anaekupeleka gerezan muogope

  • @Randm-
    @Randm- 3 года назад +7

    Kaka Mzuri Mashallah. Kama ana tama mke nipo hapa tusaidiane maisha. I serious Zahir

    • @Randm-
      @Randm- 3 года назад +1

      Iddy niko serious kabisa

    • @latypherngombo1022
      @latypherngombo1022 3 года назад

      Chukua namba ya zahir iyo mtafute private kama kweli uko serious

    • @credo7837
      @credo7837 3 года назад

      @@Randm- wengi maneno tu

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed8637 3 месяца назад +1

    Huyo Askari kuwa na PANGA kufanya hayoo.anastahili KIFUNGO ni muuwaji !

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 3 года назад +4

    Mwenye kubeba mimba alitaka mimba itolewe lkn mhusika usitoe wanaume wachache sana kukubali mimba

  • @darajalakidatukilomgi2362
    @darajalakidatukilomgi2362 3 года назад +11

    Nimefurahi kusikia Serikali yetu ya Tanzania inatekeleza sheria, umefanya kosa sheria inachukua mkondo wake, kijana umekua muwazi sana umeongea ukweli wako, kifupi muogope sheria somo hili kutoka kwa kijana,

    • @Kakwasi
      @Kakwasi 3 года назад +2

      Sio sawa. Sheria inamuumiza mtoto mvulana. Ngono walishiriki wote. Hawa ni agemates. 16yrs na 19yrs. Sio sawa.

    • @ezekielkandonga9238
      @ezekielkandonga9238 2 года назад

      Hapo Sheria Lazima irekebishwe Kuna Vitu havijakaa Sawa

    • @sikukuuchuo3093
      @sikukuuchuo3093 2 года назад

      Serikali bado ina mapungufu kumfunga MTU kwenye kiza .

  • @fatmasuleiman3621
    @fatmasuleiman3621 3 года назад +3

    pole sana bro maisha magumu sana dah inauma

  • @razikimustapha4731
    @razikimustapha4731 3 года назад +4

    SUBHANA ALLAH MIYAKA 30 WEEK TO MITIKHAANI POLE SANA

  • @mussamivache4986
    @mussamivache4986 3 года назад +9

    Utashangaa ata mimba walitoa daaaah

  • @fayzajuma3956
    @fayzajuma3956 3 года назад +14

    Kaka zahir nimempenda huyu kaka naomba mawasiliano yake nataka niwe nae

  • @aminaally2014
    @aminaally2014 3 года назад +14

    Jitahidi sana kwenye dini

  • @julychaula6591
    @julychaula6591 2 года назад +1

    Pole sana kakangu mungu akupiganie

  • @ilhammohamed4107
    @ilhammohamed4107 3 года назад +3

    Masha Allah Allah akuongoze kwa ulioyapotia kakangu kwa kweli umejieleza vizuri sana tuu nitajitahidi nikusaidie kakangu we ni muwazi sana Huna uongo wala short cut hujifichii mabaya. ulofanya ya ukweli unasema na ambayo hujafanya uko wazi sana.

    • @saloomidd1084
      @saloomidd1084 3 года назад

      Ni mwaminifu sana mwanamke atayeolewa naye atakuwa ameokota dodo

  • @neemaoman1519
    @neemaoman1519 3 года назад +1

    Pole sana kaka kwa maumivu uliyo pitia inauma kwakweli kwasababu ungekua unaniya mbaya ya huyo msichana ulivyo itwa wala usingeenda

  • @mariamgodfrey53
    @mariamgodfrey53 3 года назад +5

    Pole sana kaka Maskini wadau tumchangie afungue saloon maana ndio fani yake maisha yaendelee .

  • @simbarajabu4157
    @simbarajabu4157 2 года назад

    Pole sana ndg yangu ,na huyo mwanamke yy keshaolewa na mwanamume mwengine na anawajukuu ndio ujuwe Sheria mavi hii

  • @zwinaalhabsi664
    @zwinaalhabsi664 3 года назад +9

    Mungu atakufanyia wepesi kaka

  • @fauziaabdullah3733
    @fauziaabdullah3733 3 года назад +2

    mungu mkubwa amekulunda na mengine ishaAllah utafanikia zahir na team maximam hongereni

  • @ameenaameena1224
    @ameenaameena1224 3 года назад +3

    Pole kaka pole sana

  • @bakariomari24omar21
    @bakariomari24omar21 3 года назад +1

    Dah huyu kweli anahitaji msaada jamaa hakukataa mimba wakamueka ndani.doh pole sana kaka.

  • @nyotastar102nyota2
    @nyotastar102nyota2 3 года назад +5

    Pole sana mjomba wangu ila uyo mama atafutwe afungwe nae kakupotezea mwelekeo wa maisha

  • @hamizaramadhan1275
    @hamizaramadhan1275 3 года назад +1

    Masikini pole sanaaa kaka yangu ALLAH akujalie uwe mwema kwenye maisha YA Uhuru Na uwe Mwema sanaaa

  • @rehemalontinaremysaleh7807
    @rehemalontinaremysaleh7807 3 года назад +2

    Inasikitisha sana adi machozi ya menitoka nikikumbuka kk yangu alifungwa wiki 3 apana akipinga sim ni kulia tu sasa myaka yote iyo nimeumia sana

  • @munamuna7488
    @munamuna7488 3 года назад +5

    Nimekupenda kwa sababu haswa unapenda kujituma Allah akufanyie wepec

    • @daudishabani1587
      @daudishabani1587 3 года назад

      Duh pole sn broo mwenyezmungu akufungulie rizki aaamin

    • @ghulamyassintv4825
      @ghulamyassintv4825 3 года назад

      ruclips.net/video/rhly5nUZ2Rw/видео.html

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 2 года назад +1

    Pole, ila usijitetee sana, inaonekana bado hujutii kosa, kama unamlaumu mlezi wa mzazi mwenzio. Vinyozi mnawaharibu sana wanafunzi

  • @LucknessPeter
    @LucknessPeter 10 дней назад

    pole sana kaka

  • @z.nalnabhani7194
    @z.nalnabhani7194 3 года назад +4

    Pole ndugu yangu,Allah atakusaidia

  • @lovvy854
    @lovvy854 3 года назад +1

    Alhamdulilah Allah Kareem niliponea chupuchupu Kwa kesi kamaio ilasiku mpa minba nilitumia Cd Kwa ujanja wa haliaju

  • @lissapoul5227
    @lissapoul5227 3 года назад +6

    Daah! Yaan kaniumiza sana..tunahitaj tumsaidie huyu ka😭

    • @saimonijonas4356
      @saimonijonas4356 2 года назад

      Yaani wanadamu sijui tumekuwaje jamani.Kuharibu maisha ya watu wengine kujisafisha wewe.Inauma sana.Nimeumia sana hara mimi.

  • @MariaMaria-gj9or
    @MariaMaria-gj9or 4 месяца назад

    Pole kaka😢😢😢

  • @jamilaayoub1446
    @jamilaayoub1446 3 года назад +17

    Njoo kaka uniowe mm nipe namba yako mm nina miaka 30 karibu