MKE ANUSURIKA KICHAPO KWENYE MAZISHI YA MUMEWE, APIGA MAGOTI KUOMBA MSAMAHA!

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • MKE ANUSURIKA KICHAPO KWENYE MAZISHI YA MUMEWE, APIGA MAGOTI KUOMBA MSAMAHA!
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 45

  • @MsAggie5
    @MsAggie5 2 года назад +6

    Angekuwa mwanamme ingekuwa Sawa tu! Wangapi wanawatelekeza wamama na watoto zao, mke akifa anakuja kimya kimya msibani, na wanaume wenzie wanajikausha as if sio mkosaji. Anyway 😉 when it comes to a woman haipendezi, si mfano mzuri kuwaacha watoto na mume.

    • @princessringo2879
      @princessringo2879 2 года назад +1

      Alaf watoto wengine cy wa huyo baba eti

    • @edson2450
      @edson2450 2 года назад +2

      Mafeminist Kila kitu unalinganisha na Wanaume , Mwanamke ni nguzo ya familia kamwe usijilinganishe na mwanaume.

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 2 года назад

      @@edson2450 hata kama na nyie inawabidi mjitambue na kujirekebisha, kila mtu atimize wajibu wake. Pia nimesema huyo mwanamke kakosea sana kumwachia mume watoto, lakini all in all hatujui alikuwa na sababu gani ya kuamua kumwacha mume na watoto na sasa Kwa aibu hii usikute anajuta

    • @edson2450
      @edson2450 2 года назад

      @@MsAggie5 No matter what hakuna sababu yeyote ya msingi ya kutetea alichofanya huyo mwanamke. Mbaya zaidi amemkimbia na kumuachia watoto wake, mbali na kumdanganya muda wote..

  • @princessringo2879
    @princessringo2879 2 года назад +3

    Jamaaani dah aisee 🙆‍♂️🙆‍♂️baba wawatu alijua kujituma yule

  • @munakhamis982
    @munakhamis982 2 года назад +1

    Jmn mung wang innalillah wainnaillah rajion amekuf yule baba wa wat😥😥

  • @masanjaabasi8970
    @masanjaabasi8970 Год назад

    Mmfungulie kesi yamapenzi 🤣nyie mm mwenyewe mpenzi wangu Anasumbuwa nisaidieni akae ata rokap lisaa tu 😋🙏🏻

  • @suzysam6002
    @suzysam6002 Год назад

    Achani ujinga wanaume wanafanya mangapi , mnajiona Bora sana au nyie Hanna dhambi

  • @SandraJackson-b6u
    @SandraJackson-b6u 8 месяцев назад

    Jamani mfungen raymond luketr kila kona anawatoto anaterekeza

  • @suzysam6002
    @suzysam6002 Год назад

    Achani kujihesabia haki nyie watu mtaukuhujumiwa

  • @suzanamwangingo2995
    @suzanamwangingo2995 2 месяца назад

    Mh.mh.kwanini alimkimbia🎉🎉🎉mh

  • @SandraJackson-b6u
    @SandraJackson-b6u 8 месяцев назад

    Mfunge huy0 muache raymond lukete wa kitunda kila kona anawatoto wafungwe wakinalukete kwanza

  • @doreenkaiza8037
    @doreenkaiza8037 2 года назад +6

    Hii nchi ina vituko

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 2 года назад

      Kila kukicha matukio

  • @marthamilaji9385
    @marthamilaji9385 2 года назад +1

    Uonevu huo bana mbona sisi wanaume wanatutelekeza muacheni mama wawatu

  • @cattydaniel5016
    @cattydaniel5016 2 года назад +2

    Mbona wanaume wanatelekeza watoto kila siku

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 2 года назад +4

    Mola msamehe mja wako

  • @linahsemindu4261
    @linahsemindu4261 2 года назад +3

    Kumbe ndo huyu jmn 😭😭😭pumzika kwa aman baba w watu 🙏

  • @mariamgodfrey53
    @mariamgodfrey53 2 года назад +1

    Mm wala siwaungi mkono Kwa mlichomfanyia huyu mama kwani ni wanawake wangapi wanatelekezwa na watoto halafu mwanaume anaenda kuanzisha familia nyingine bila hata kujali.

    • @arafaoman9504
      @arafaoman9504 Год назад

      my tatiz wengine sio watoto wake pia ameenda kuishi na mwanaume mwingine a gechukua watoto wake na bado alipewa mimba na mtu mwingine na bado alinikuta na mtoto mwingine na akamlea vizuri tu

  • @christinachriss9231
    @christinachriss9231 2 года назад +3

    Maskini badala ya kurudi kwao kasafiri mazima,lala salama

  • @frankvianey2438
    @frankvianey2438 Год назад +1

    Ohhh it is so sad,this guy had a perfect healthy not long time ago

  • @masanjaabasi8970
    @masanjaabasi8970 Год назад

    Mmfungulie kesi yamapenzi 🤣nyie mm mwenyewe mpenzi wangu Anasumbuwa nisaidieni akae ata rokap lisaa tu 😋🙏🏻

  • @gressluhimbo1020
    @gressluhimbo1020 Год назад

    Duh Kumbe amefariki Yule baba Dah apumzike kwa amani

  • @happynkya9770
    @happynkya9770 10 месяцев назад

    daaah kuna wanawake wana roho za ajabu jaman

  • @badaral6167
    @badaral6167 Год назад

    Acheni kumuukumu wanaume wenyewe ndio wakeaza

  • @petermboje5839
    @petermboje5839 2 года назад

    Uonevu huo tena hana ndugu wajuaji

  • @aprow2059
    @aprow2059 Год назад

    Malaya mkubwa

  • @hanifaalbalushi2483
    @hanifaalbalushi2483 Год назад

    hana adabu wala huruma

  • @elizabethswai7777
    @elizabethswai7777 Год назад

    Hiyo nimeipenda

  • @julianapatrick7911
    @julianapatrick7911 Год назад

    😢😢😢😢😢

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Год назад

    😓😓😓😭

  • @ameenaameena1224
    @ameenaameena1224 2 года назад +1

    Hee

  • @lameckntibandenche9553
    @lameckntibandenche9553 2 года назад

    duuuu

    • @kiehbhzh7044
      @kiehbhzh7044 2 года назад

      ongeren sn wananchi😂😂Allah amfanyie wepeai maiti yetu

  • @doreenkaiza8037
    @doreenkaiza8037 2 года назад +1

    😂😂😂😂😂😂

  • @witnessmassawe932
    @witnessmassawe932 2 года назад +1

    Kuna wanawake wanajitoa akili mbona wanaume wanatutelekza

    • @junior-zj6bs
      @junior-zj6bs 2 года назад

      Ukion umezaa. Mwanaum amekutelekeza.. jichunguze tabia zako.. ttzo lzm n wewe