SINA HATIA - 3/11 (Season II) SIMULIZI ZA MAPENZI BY FELIX MWENDA.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024

Комментарии • 40

  • @zenaathumani8144
    @zenaathumani8144 Месяц назад +4

    Wakwanza jamani likes zenu 🙏🙏🙏🔥🔥🔥♥️♥️♥️♥️♥️♥️ from Italy 🇮🇹 🇹🇿 ciao ciao

  • @AlexBwasese
    @AlexBwasese 14 дней назад

    Nipeni ruhusa ni mtandike ta makofi uyu kauthali yaniii😂😂😂😂 anacho kifanya niatari kabis like zangu bas thanks Mr felix mwenda

  • @Levoth6677
    @Levoth6677 Месяц назад +4

    Wa kwanza jaman nipeni like zangu🎉

  • @nusratbintabdullah5713
    @nusratbintabdullah5713 28 дней назад +2

    Kauthali mujinga sana hana shukran R.i.p Husna😢😢😢

  • @user-nc6fm6nw9z
    @user-nc6fm6nw9z 11 дней назад

    Yenyewe wahenga walinena mapenzi ni kipofu 🤸‍♀️🤸‍♀️💃💃

  • @ahmedhamisi-jc2hs
    @ahmedhamisi-jc2hs Месяц назад

    Yani simulizi mix safi sana Kwa mtunzi wa simulizi hii

  • @khadijasayeed3381
    @khadijasayeed3381 Месяц назад +2

    Bora Kauthar kaujua ukweli,Hongera sana Lemi🥰

  • @husnaally867
    @husnaally867 18 дней назад +1

    Hadith imenigusa mno haswa majina yaliyotumika humu ...ukiacha jina langu la HUSNA ambae nimekufa ... Bado Kuna jina la mdogo wangu anaenifata HAMZA ...yaan nimejikuta imenigusa mno kwakweli nahisi kama inanihusu maana ndoa imenifanya nizijue nchi za Gulf ndoa imenifanya niwe jasiri na ninaemiliki vyangu zaidi ya nilivyoniacha kifupi niseme Alhamdullah 🎉 Hadith ni maisha halisi ya watu

  • @swabrinamwaka2437
    @swabrinamwaka2437 Месяц назад +1

    Wa 2❤❤❤

  • @Joycetatu
    @Joycetatu Месяц назад +1

    😢😢😢 acha nianze kuumizwa ni kauthali

    • @salmazwallo5920
      @salmazwallo5920 Месяц назад +1

      Kayataka mwenyewe bhn mwanamke mjinga kweli

  • @Wakiomiss.78
    @Wakiomiss.78 Месяц назад +4

    Huyu kauthali mpuzi kweli,kile kilicho semwa na hawara wa majdi kimetimia,kifo cha husna ndio kimemfungua miguu, lakini mm namlaumu alivyo pewa talaka angeenda kabisa,husna wetu mpaka sai angelikua ka binti,niwangapi wamewachwa,hata mm naishi kivyangu na wanangu,upuzi tu 😂😂😂

    • @tatoo0098
      @tatoo0098 Месяц назад

      Sana jaman ananiudhi mie

    • @aminamhina9129
      @aminamhina9129 Месяц назад

      Bora angeendelea na maisha yake

  • @AnastasiaKilonzi-d3y
    @AnastasiaKilonzi-d3y Месяц назад

    Kiukweli kauthare nimjiga sana alipeleka ushaidi kwa mume wake akujua kaa ndio muwaji wa mtoto wake pole kwa msiba

  • @asiakhamissalim2319
    @asiakhamissalim2319 Месяц назад

    kauthar mpya ❤

  • @user-fp7pl5rs1m
    @user-fp7pl5rs1m Месяц назад +1

    Watano hongereni

  • @bintimrope
    @bintimrope Месяц назад +1

    Shukrani ❤❤🎉

  • @kibibikombe9203
    @kibibikombe9203 Месяц назад +2

    Sawa bwana FM

  • @aminamhina9129
    @aminamhina9129 Месяц назад

    😢😢😢😢huzuni kwakweli

  • @user-it5ej8eq6m
    @user-it5ej8eq6m 27 дней назад

    ❤❤❤

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 27 дней назад

    😭😭😭😭😭😭😭Husna jmn ameniuma

  • @halimashaib9102
    @halimashaib9102 Месяц назад +1

    Duh hamuezi nipa chance ya kuwa wa kwanza. Hatarii nyie ila npo chonjo Sana

  • @fauziasultanikilewa7602
    @fauziasultanikilewa7602 Месяц назад +1

    Mpaqa qauliwa mtoto ndio amemuvuon looh upendo gani wa qijinga uoo😢😢

  • @user-rc3om5hs9i
    @user-rc3om5hs9i Месяц назад +1

    ❤❤❤🎉🎉🎉,🔥🔥💪🙏

  • @user-vu1bf3rn6m
    @user-vu1bf3rn6m Месяц назад +1

    Cheke cheke pemba na sio zanziba

    • @MarryMwanalyela
      @MarryMwanalyela 18 дней назад

      Kwan pemb sio Zanzibar, Kwan kisiw ch Pemba na unguja vyote ni Zanzibar ,kwa ninavyoelewa

  • @user-fl2fy6xr9p
    @user-fl2fy6xr9p Месяц назад +1

    Nime furahi kauthar kujielewa maana naona alikua ana endakuchanganyikiwa

    • @MamahetuChikuti-mp5lj
      @MamahetuChikuti-mp5lj Месяц назад

      Alikuwa yuwataka la kuona so ameona sasa but Majid nae chake Kiko motoni atapata malipo yake

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 Месяц назад

    Mama husna kama kaamua kumsamehee huyu bn sawa lkn bn ajue damu isiyonahatia huwa nilzm ilipe tuuu mtaona matunda yenu mda sio mrefuu ..remmy muoe huyo mteambea uchii tuu kuridhisha mamako lkn mwisho mkeo ni mama husuna uxuri amekupa rusaa naunaweza kumuoa mke wapili ama huyoo mtembeauchi afanye kosaa talakaa

    • @MamahetuChikuti-mp5lj
      @MamahetuChikuti-mp5lj Месяц назад

      Uyo mama Remi ataona iyo faida ya mkamwana wake avune matunda yake nae waende na fashion

  • @Pretty22750
    @Pretty22750 Месяц назад +1

    😂😂😂😂hata km tunaomboleza kifo cha husna niacheni nicheke qwa sababu ya cm za wahusika wengi tena wahuni km Majid eti inasemekanaga hazina password 😂😂😂 ekheeee mlisikia wapi cm ya mchungaji mwenyewe ina password kila mahali na Bahati mbaya tu mke akijua inabadilishwa on tyme iwe ya wahuni km hawa?ila sawa ndo maana inaitwa simulizi na hongera Remy japo tumempoteza husna wetu much ❤ my pp

    • @user-hq4ow2ou6u
      @user-hq4ow2ou6u Месяц назад

      Wahuni wengi hawaweki password ukiona amewek ujue huyo mwsnafunzi bado hajawa kamili

    • @Pretty22750
      @Pretty22750 Месяц назад

      @@user-hq4ow2ou6u huenda hukunielewa kweli mwanaume yeyote mwenye michepuko hawezi kuacha cm yake bila password maana hataki cmu yake ionekana uchafu wake

    • @MamahetuChikuti-mp5lj
      @MamahetuChikuti-mp5lj Месяц назад

      Yap hawaeli password ili ujue ni mwaminifu sana but ndo wasaliti no Moja,mm nisapitia iyo but nilipojua ana mchepuka na nikauliza ikaekwa password 😅😅😅 but nilijua kila kitu mpaka uyo hawara wake nitawaambia waowane but wote walitaayati waomba msamaha😂😂😂😂

    • @Didah002
      @Didah002 12 дней назад

      Majid hangeweza kueka password kwa kumuogopa Sandra na alitaka aonekane muaminifu

  • @user-uk9he5zx6b
    @user-uk9he5zx6b Месяц назад

    Ujinga wa kaudhali amemuponza mwanae ukiachwa achika hujui mungu kakuepusha na lipi😅

  • @user-ry8nx6zm9e
    @user-ry8nx6zm9e Месяц назад

    ❤❤❤

  • @user-tv6ii7pc4z
    @user-tv6ii7pc4z Месяц назад

    ❤❤❤

  • @user-dw6fp4lu3k
    @user-dw6fp4lu3k Месяц назад +1

    ❤❤