SINA HATIA - 6/11 (Season II) SIMULIZI ZA MAPENZI BY FELIX MWENDA.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024

Комментарии • 48

  • @user-ez6cy4pj8z
    @user-ez6cy4pj8z 29 дней назад +1

    Ningekua ksuthali nikiwa na hizo pesa nampa ..thanks Felix

  • @user-tv6ii7pc4z
    @user-tv6ii7pc4z 27 дней назад +1

    Hongera Sandra unavuna ulicho kipanda🤣🤣🤣🤣😂😂😂Samu Ni yako🔥🔥🔥🤣🤣

  • @kibibikombe9203
    @kibibikombe9203 29 дней назад +2

    Wanyoshe sanaa malipo ni hapa hapa dunia

  • @hidayamahmoud4050
    @hidayamahmoud4050 29 дней назад +1

    Sandra muosha, huoshwa. Imekula kwako, pia ni funzo kwa wanawake

  • @fatumamatano8216
    @fatumamatano8216 29 дней назад +3

    Mambo ni moto

  • @agnessngala3589
    @agnessngala3589 29 дней назад +2

    Mtenda katendwa sandra utajua hujui

  • @twinssauditwinssaudi7248
    @twinssauditwinssaudi7248 29 дней назад +2

    Tunasonga mbele❤

  • @user-yk8em1bh8g
    @user-yk8em1bh8g 29 дней назад +3

    Malipo n Dunian Sandra🤦‍♀️

  • @AnastasiaKilonzi
    @AnastasiaKilonzi 29 дней назад +2

    Vile ulimfanyia kauthali ndivyo unafanyiwa malipo ni hapa hapa nduniani

  • @zenaathumani8144
    @zenaathumani8144 29 дней назад +4

    Wakwanza jamani likes zenu 🙏🙏🙏🔥🔥🔥♥️♥️♥️♥️♥️♥️ from Italy 🇮🇹 🇹🇿 ciao ciao

    • @zenaathumani8144
      @zenaathumani8144 29 дней назад +1

      Nikweli kabisaa Mambo ni moto 🏍️🏍️🏍️🏍️😂😂😂❤❤❤🎉🎉

    • @user-rc3om5hs9i
      @user-rc3om5hs9i 29 дней назад +3

      ❤❤❤imenoga sna

    • @zenaathumani8144
      @zenaathumani8144 29 дней назад +1

      Malipo ni hapa hapa Duniani unaona sasa malaika hasio natia akufa 😢😢😢😢😢😢

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 28 дней назад +1

    😮😮😮😮😮😮Eeee Mungu wangu shetan ako kazini mahiraa nakuonea huruma huruma hapo gabriel amesema atampa mimba +ukimwiii looo 😢😢😢😢ustr wote kujigamba kwishaa

  • @espererancesudi7600
    @espererancesudi7600 29 дней назад +1

    To be continued

  • @AnastasiaKilonzi
    @AnastasiaKilonzi 29 дней назад

    Asante felix mwenda

  • @user-rc3om5hs9i
    @user-rc3om5hs9i 29 дней назад +2

    ❤❤

  • @user-nc6fm6nw9z
    @user-nc6fm6nw9z 11 дней назад

    Malipo ni hapa Dunia sadra pokea malipo yako nyoooo 😅

  • @tatoo0098
    @tatoo0098 29 дней назад

    NYIEEEEEE 😊

  • @user-vf5il2iv8s
    @user-vf5il2iv8s 28 дней назад

    Muosha uoshwa imenoga iyo Sandra vipi apo

  • @agnessngala3589
    @agnessngala3589 29 дней назад +1

    Malipo apa apa sumu kaieweka mwenyewe

    • @lonakirao5275
      @lonakirao5275 29 дней назад

      Yani we acha tu tena wake kaila mwenyew 😂😂

  • @aminamhina9129
    @aminamhina9129 29 дней назад

    Nice

  • @user-zs3jf3uz9c
    @user-zs3jf3uz9c 29 дней назад

    Sadra alikua moto kwa bb mkubwa sasa avune alichobanda

  • @swabrinamwaka2437
    @swabrinamwaka2437 29 дней назад

    🎉🎉🎉🎉🎉❤

  • @user-dw6fp4lu3k
    @user-dw6fp4lu3k 29 дней назад

    ❤❤❤❤🎉

  • @belindamusakali749
    @belindamusakali749 29 дней назад

    Karma is real ndio nmeamini

  • @lonakirao5275
    @lonakirao5275 29 дней назад

    Sandra ameshakuwa Kauthali wa pili 🤣🤣🤣🤣

  • @AnastasiaKilonzi
    @AnastasiaKilonzi 29 дней назад

    Chenye unapanda nicho unafuna sadra

  • @mariamMilha-st3qu
    @mariamMilha-st3qu 29 дней назад

    Sandra amegipata fimbo yamunyonge uripwa n'Allah sumu urimupa mutot wamwenzako leo utauwa wako uuuuuiiiii sandra upo njoukome Rose mukomeshe mpaka ayisome namba😂😂😂😂😂

    • @nurafedrick378
      @nurafedrick378 28 дней назад

      Mungu hulipa kwazamu kabisaaa nabado MUNGU ataxidi kumhukumu

  • @AnastasiaKilonzi
    @AnastasiaKilonzi 29 дней назад

    Kimekupata sadra usilie

  • @sarahmtoi3205
    @sarahmtoi3205 29 дней назад

    Karma hiyo “what goes around come around’ acha wakome

  • @leeheyon
    @leeheyon 28 дней назад

    na iman kauthali hata fanya ubaya ubwela😢

  • @nusratbintabdullah5713
    @nusratbintabdullah5713 27 дней назад

    Duh kwan Sandra pia unaumia vuna chenye ulipanda. What goes around it comes around you did it to kauthali it's ur turn Sandra

  • @user-be2nx5ks2l
    @user-be2nx5ks2l 28 дней назад

    Acha Sandra apokee zawadi yake kwani maisha ni zawadi na hutegemea kila mmoja ameyaandaaje

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 27 дней назад

    Huyu doctor david vip wakati Quthali akilia mwanae anakufaa yy alimwambia aendekutafuta milioni 50 mwisho mtoto alikufa nahakumsaidia na peni sahii anasema ametoa million 20 sasa quthal aongezee mtoto atibiwee kumanisha husna alikuwa paka 😢😢😢😢 huyu wasamlndraa ndo mtoto mm nijikutee....ukute mama husna atatoa hiyoo pesA...halafu mapenzi kwangu mwisho tudor kule kwawazeee eti nikuandikishe mali kzangu kisa mapenzii awee koma

  • @user-vt3uq3xv3s
    @user-vt3uq3xv3s 27 дней назад

    Akitoa iyohela mimi sisikilizi tena hiii simulizi yani

    • @Nasskhef
      @Nasskhef 22 дня назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @user-vu1bf3rn6m
    @user-vu1bf3rn6m 28 дней назад

    Kama tudin tudan

  • @hellenodhiambo4342
    @hellenodhiambo4342 29 дней назад

    It's called KARMA 😅 pay back time you reap what you saw

  • @StellahWamalwa-n3f
    @StellahWamalwa-n3f 29 дней назад

    Ukapanda makandee unayavuna tu yale sandra vuna ulicho pamba baby seitani wewe

  • @user-it5ej8eq6m
    @user-it5ej8eq6m 26 дней назад

    😅😅😅

  • @ApolloniaMwinula
    @ApolloniaMwinula 29 дней назад

    Ukiwa Kwa upanga,nawe utauwawa Kwa upanga!? Maneno haya ya biblia yametimia Kwa Sandra naye aone machungu ya kufiwa na mtt,....roho mbaya!? Malipo ni duniani ahera ni kurudisha hesabu tu!

  • @banajuliana758
    @banajuliana758 29 дней назад +2

    Wakwanza leo

  • @merrykc6037
    @merrykc6037 29 дней назад

    ❤❤❤

  • @user-yk8em1bh8g
    @user-yk8em1bh8g 29 дней назад

    ❤❤❤