Congratulations 👏👏👏 👏 👏 People are people they dig holes for you when they are smiling to you Wale watu tunashida nao ,tunakula nao tunacheka nao wengi ndio Maadui wakubwa God atatupigania Lets love rule never cause tears in peoples life ,never be a backstabber ,usiwe MTU wakutakia watu mabaya or kufurahi muanguko wao .....every one listening to this song just know clean heart ainuniliwi dukani let's spread love ,don't do evil to other people ,let's be true friends Umuthaniye siye usiomuthani ndiye Ukuumiza big time Let's hold on God I love you bro continue preaching through music ......allow God to fight your battles ,allow God speak for you Tupendane vile mungu anatupeda zote
WAKATI MWENGINE ILI UFIKIE MAHALI AMBAPO MUNGU ANATAKA UKAE, NI LAZIMA AKUONDOLEE WATU AMBAO ANAONA HAWAFAI KUWA NAWE KATIKA IYO LEVEL MPYA, JAPO INAUMIZA SANA UNAPO ACHANA NAO MAANA WANAKUWA NI WATU WA KARBU NA MUHIMU SANA KWAKO, LAKINI FAIDA YAKUWA MBALI NAO NI KUBWA KULIKO MAUMIVU YA KUACHANA NAO, YESU NI KILA KITU SHIKILIA HAPO UTAONA MAMBO 💪
Ogopeni is another hit, after another. You were born to do this Kasolo!! Keep on doing Gods work! You bless my soul with each song! Great worship song! 🙌🏾🙏🏾👏🏾✌🏾
Mukozi wimana kasolo nakusalimia katikajyina lá yesu Cristo Niko Apa Moçambique nayitwa pérolabnaomba number yasimo t Yako tuhonguei vizuri nataka fique hapa Moçambique nitasubiriya gibu tafazari ni gibu haraka amen
Honestly Steve ua a living testimony each time I listen to ua songs hakika zanipa tumaini la kuendelea kumtegemea Mungu🙏🙏🙏🙏barikiwa sana solo ua a blessing to many souls🙏🙏❤❤
😭😭this reminded me the way i was mistreated back😭😭very close people made my life to mess for almost one good year 😭😭God is only mine forever 🙏🙏 people will pretend to be so close to you but they are just in need to tarnish you in all ways 😭😭they treated me in that way made me to miss school for almost one year but God did it for me today am USA 🇺🇲 one of the best university in the world and doctor too 😭😭🙏🙏that's why I will forever praise God 🙏 He understand me better more than anyone on this world. Thanks bro for this message 🙏🙏fear people 🙏🙏thank you God for been my fighter 🙏
Exactly watu niwakuongopewa mwenye umamuonanga ndio rafiki Wa kweli kumbe ndiye adui mkubwa ,heri tu kuukaa ngani ya yesu juu ndiye mwaminifu,God bless yu so much kasolo,,mpaka maadui washangae
Amen mbingu zinene Kwa ajili yangu pia, umdhaminiye siye. Mbona uu wimbo unaniongelesha. Stephen Kasolo this is very true. You have really blessed my heart God bless you
Kusema ukweli Mtumishi wa MUNGU kasolo👏kongole sana kwa mwenyezi MUNGU kukupa Neema ya kutoa huu wimbo,, kusema ukweli huu wimbo unatufunza mengi jinsi ya kuishi na watu🙏may God bless you abundantly na Neema ikubebe Mtumishi 🙏
I'M SO HONORED TO HAVE MET THIS HUMBLE YOUNG MAN ON SUNDAY AT JESUS CULTURE💯💯 NIKAMUOMBA PICHA WAKIWA NA SEED AND THEY JOYFULLY DID THAT🔥🔥 BUT RINGTONE AKI💔💔💔 I ALWAYS THOUGHT WATU HUMUEKELEA BUT HE'S SO RUDE😣💔 HE REFUSED. I'LL FOREVER RESPECT YOU KASOLO,, LET THE MINISTRY CONTINUE 🙏🙏🙏
I find Ringtone very pompous, I have not met him personally but through his interviews, sometimes how a person handles self in public says a lot,,.. my opinion though!!!
safi sana mtoto wangu mie nimewaogopa muda sanawatu
Dada rose
Asante mamangu. Nakupenda
Ooh yes
Amina
Sister Rose ❤️
Ogopeni watu mpendeni Mungu!! Barikiweni!! Thank you for the support family. You mean alot in this Ministry. I love you all. ♥️
Wow amazing and inspirational piece. God bless you Mtumishi
Wow,,such a blessing song 🔥🔥
True ....God bless you mtumishi
Tutazama kwa Yesu mileelee🙏..A great song Mtumishi..God bless you with more Hits👊🙏🔥🔥🔥
Am amazing song of the year👏👏👏keep up steve
Jitie moyo brother Mungu yupo upande wako
God never disappoints his people. He uplifts his people from zero to hero 🙏🙏🙏
Amina 🙏🏿.Akiwa upande wake nani aliye juu yake
Asante dadangu
Congratulations 👏👏👏 👏 👏
People are people they dig holes for you when they are smiling to you
Wale watu tunashida nao ,tunakula nao tunacheka nao wengi ndio Maadui wakubwa
God atatupigania
Lets love rule never cause tears in peoples life ,never be a backstabber ,usiwe MTU wakutakia watu mabaya or kufurahi muanguko wao .....every one listening to this song just know clean heart ainuniliwi dukani let's spread love ,don't do evil to other people ,let's be true friends
Umuthaniye siye usiomuthani ndiye
Ukuumiza big time
Let's hold on God
I love you bro continue preaching through music ......allow God to fight your battles ,allow God speak for you
Tupendane vile mungu anatupeda zote
True justina.
Very true our sister
Wow ❤️ my sister.
@@StephenKasolo congratulations kasolo aky mungu akupe nguvu kila wakati ninapo sikia nyimbo zako hua zinanipea nguvu sana🙏🙏🙏🙏🙏
I like vile mnarelate ak mungua awape neema akie bro steve
Nguvu za Mungu zina tawala
Uuuuuuuwiii kweli kumbe siye umthaniaye 😭 zile vidonda nikonazo za tumbo zimesababiswa na watu . For sure ogopa watu !!!! Big up kindus feel loved
Mimi nimekwama hapo kwa fake kisses
Niko hapa ukweli kabisaaa ila mungu Yuko hata upitie mangapi mungu ndiye mponyaji
@@stargirl5880 Kweli kabisa
@@ekaituneene ahahhhahha uma kisini piuuu
Nimeipenda sana hii, sijui imekuwaje ni ya 2 years ago na sijaiskia
Humdhaniye ndiye siye kweli...chunguza sana watu....
Woow cogrant solo you never disappoint 🔥🔥🔥
ruclips.net/video/RHE-vvKYEgA/видео.html
Wow ! Nice song
Lovely to our brother kasolo a Kenya 001 male artist👌👌👌👌🔥🔥🔥🔥🔥🔥wapi likes kama unagree kasolo Ndo number 1 Kenyan gospel
Nce song kasolo
Kabisaa kasolo number one kenya
Kabisa kweli Yesu pekee ndiye mpenzi wa kweli
Wow hii imenitoa machozi..umdhaniae ndiye siye ongopa watu...songa mbele solo
WAKATI MWENGINE ILI UFIKIE MAHALI AMBAPO MUNGU ANATAKA UKAE,
NI LAZIMA AKUONDOLEE WATU AMBAO ANAONA HAWAFAI KUWA NAWE KATIKA IYO LEVEL MPYA,
JAPO INAUMIZA SANA UNAPO ACHANA NAO MAANA WANAKUWA NI WATU WA KARBU NA MUHIMU SANA KWAKO,
LAKINI FAIDA YAKUWA MBALI NAO NI KUBWA KULIKO MAUMIVU YA KUACHANA NAO,
YESU NI KILA KITU SHIKILIA HAPO UTAONA MAMBO 💪
Kabisaa mia mia
Kabixaaah
Kweli kabisa
Annoint napenda nyimbo zako#Usikimbilie ndoa..be blessed
True kabisa
You are amazing the king of Gospel ogopa ujumbe kali 🙌🙌🙌
Keep it up kasolo napenda ngoma zako ata kama sielewi kikamba thumbs up from eld
Surely my brother mwanadamu hana wema tumutumikie Mungu peke
amen amen ..umdhaniaye ndiye siye...on another level...keep it bro
Awesome, Kaliiiii. Keep going bro, Baraka zikufuate.!!!!!!!!!!!!!!!!
Ghai jamani nimelia kweli.. Niliodhania ni marafiki zangu wamekuwa miiba
Very true...kasolo you have been my mentor for long ,,,,siku inakuja nitakuwa kama ww
King of kamba nation Gospel artist,,,#Stephenekasolokitole
Ogopeni is another hit, after another. You were born to do this Kasolo!! Keep on doing Gods work! You bless my soul with each song! Great worship song! 🙌🏾🙏🏾👏🏾✌🏾
Ukweli kabsa, God bless you solo🔥🔥🔥
Nice work solo....may the Almighty God bless you
Yes I support you 💯%fake friends and pretence love hatutaki...maagizo ya mukweze tosha...yesu niwe minyanyae wawo
YESU kila kitu kimbilio kila wakati.YESU rafiki mwema
Ngoma safisana...True💯💯💯💯💯 Ogopa watu
ogopa watu, what a nice song!!!!
Kasolo you're doing hits ,,and one million subscribers lazima tufike ,,kaa ni kavyu ,,mara ya tatu kurudia hii ngoma ,,,moto sana brother
tuko nawe mpaka MWISHO mheshimiwa kasolo one Day people will know you serve the living God
Amen
Aki ,na vile mm nilishaolewa na nyimbo zake tayari
Nice song Solo, Ogopa watu, the reason why I have very few friends, nimekua betrayed vya kutosha,
Amen amen amen haki nimrmbarikiwa🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Wonderful..ngoma safi..yenye mafunzo tele....barikiwa sana
Congratulations Bro,message is clear,ogopa watu.... jitie moyo my brother mung yup mwenye hawezi tuangusha
Waliniumiza...badala waombe msahamaha walieda wakisema ni Mimi mbaya oh my God!!watu kweli ni wale Tu
Mukozi wimana kasolo nakusalimia katikajyina lá yesu Cristo Niko Apa Moçambique nayitwa pérolabnaomba number yasimo t
Yako tuhonguei vizuri nataka fique hapa Moçambique nitasubiriya gibu tafazari ni gibu haraka amen
Mwanadamu Hana wema
Very very true
God bless you solo❣️
Big one big daddy 🔥🔥 ogopa watu!!
Huu wimbo unadai mtu akona hekima ya mungu do auwelewe.....asant kasolo I still love your God.
Nimependezwa na nyimbo zako Mungu akubariki sana
Good work daddy shine my God uplift up your ministry
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🔥🔥🔥umudhaniae ndie siye ogopa watu,Yesu ndie kimbilio kwa wakati wote🙏🙏🙏❤❤
Usituambie mliachana na venye tulikua tunagoja harusi. Social media in laws we are heartbroken too. Take heart
Amen Amen Bro,Mungu azidi kukupa nguvu na uendelee kumsifu mungu
Honestly Steve ua a living testimony each time I listen to ua songs hakika zanipa tumaini la kuendelea kumtegemea Mungu🙏🙏🙏🙏barikiwa sana solo ua a blessing to many souls🙏🙏❤❤
Ooh yes nitaishi na Yesu,nduniani akuna wema
Hooooo my God....kasolo thankc you for your information....wewe mungu amekupa hekima Sana.
What am going through now, but God is always on my side people just change anytime heri ukae na Mungu uurithi ufalme wa mbinguni.
Beware of Man...that's a great inspiration.God Bless You Mtumishi
Atleast the anxiety I had is now relieved...you never disappoint solo....you need a lunch date for this💕💕
mapenzi kizungumkuti, umdhaniae ndiye siye ogopa watu
Ukweki watu si wazuri ogopa sana God is there for everyone
Touching song😥🙏
Ogopa watu!
Wooow...it's a true song Solo na iko 🔥🔥🔥🔥sana...may GOD keep on blessing you bro
💃nani kweli ak mwanadamu ana wema ata kidogo umdhaminiae ndie Siye🔥🔥🔥
wow ...another hit kasolo ,,,keep going dont backward and be blessed forever
Kweli kabisa ogopa watu.Keep yo faith in God brethrens 🙏.
touching piece of music, I also gave someone all my heart but ended in regrets, sorrows and tears. Enyewe ogopa watu.
Wow congrats ogopa watu tumpende mungu.......umenikumbusha Mukwenze may is soul continue R.I.P...
Blessed song
wow..kasolo again..thank you very much for good ministry
Nice song
Glory,,,Imekubalika.God bless your ministry
Keep up the good work locked in saud arabia
Mungu abari ministry yako❤❤
Congratulations my Son, you never disappoint. God bless you, I love you❤️❤️❤️
One thing makes me to love God is that he searches our hrts, keep trusting God brother
Kasolo Kwan hukuwa umekua kwamba kuna kiss za judas. Yesu alisalitiwa sebuse wewe.ur going another level.watching from saudi.
Sweet Music .. Great Job ..... Ongopa Wanadamu
Finally Ogopa watu is out,,keep the fire 🔥🔥🔥 burning,, 🎸🎵🎶,,God bless you 🙏🙏🙏 brother
We were created the same bt born differently,Ogopeni watu🔥🔥🔥
Waoh wonderful Steve keep fire 🔥🔥🔥 burning tandithia talanta vyuuu injiri isonge ,,rafiki yako ndie adui mkubwa
Hallelujah,, more Grace
Great work Stephen Kasolo,, you deserve a long life,💪💪
So touching songs keep it up bro💪🙏🙏may Almighty' father full fill you heart desires 🙏🙏🙏
Kilichonipata wacha nibaki na Mungu wangu
Mungu ndiye AJUE moyo wa mwanadamu ....Yesu kristo ndiye rafiki wa kweli wengine ni mapito tu
It's on another level go bro 🔥🔥
Gospel music on other level my brother
Kwakwel ubalikwe sana wimbo mzuri sana lazima watu tuwaogope sana hongera sana kwa wimbo huu wimbo kwangu ni muhimu ndungu yango nakupenda pia
😭😭this reminded me the way i was mistreated back😭😭very close people made my life to mess for almost one good year 😭😭God is only mine forever 🙏🙏 people will pretend to be so close to you but they are just in need to tarnish you in all ways 😭😭they treated me in that way made me to miss school for almost one year but God did it for me today am USA 🇺🇲 one of the best university in the world and doctor too 😭😭🙏🙏that's why I will forever praise God 🙏 He understand me better more than anyone on this world. Thanks bro for this message 🙏🙏fear people 🙏🙏thank you God for been my fighter 🙏
Glory to God
Amen
God is there for you forgive and forget God will fight
Kevi musau we share same story.but God will remain to be God.yalishaapita.
Be encouraged dadi
Touching song 😭😭😭😭😭
Wimbo mzuri,,ahsante kwa kunibariki.
Very true, akika kuna Mungu milele🙏
Hongera sana kaka..wimbo mzuri sana..message delivered..Mungu azidi kukutumia
More grace Sir,you are the David of this generation.
Ata mm naogopa sana
Exactly watu niwakuongopewa mwenye umamuonanga ndio rafiki Wa kweli kumbe ndiye adui mkubwa ,heri tu kuukaa ngani ya yesu juu ndiye mwaminifu,God bless yu so much kasolo,,mpaka maadui washangae
THANK U SOLO ,UR SONGS HAVE TRANSFORMED THIS SON OF MWIKALI,,I CANT STOP LISTENING TO UR SONGS
Amen mbingu zinene Kwa ajili yangu pia, umdhaminiye siye. Mbona uu wimbo unaniongelesha. Stephen Kasolo this is very true. You have really blessed my heart God bless you
Ukweli bro ungopa watu Mie niliwaongopa kitambo
This my song of moment... binadamu hawana wema
Hakuna awezaye kuelewa moyo wangu ila wewe mungu
Sikudhani mtu wa karibu nami anaweza kuwa hivi
Kasolo barikiwa sana hadi maandui wakuogope nakupenda sana 🙏 nakuombea mema na miaka mingi
Wapi Likes za my mentor Kitole. Ogopa watu 🔥
Kasolo to the world 🌎..sifu Bwana kabisa kaka.
👌👌👌👌Iko top sana
Kusema ukweli Mtumishi wa MUNGU kasolo👏kongole sana kwa mwenyezi MUNGU kukupa Neema ya kutoa huu wimbo,, kusema ukweli huu wimbo unatufunza mengi jinsi ya kuishi na watu🙏may God bless you abundantly na Neema ikubebe Mtumishi 🙏
Asante sana Kwa ujumbe mzur sana na tujfunze bibilia Kwa umakn na sio kushugulika na watu tuache🙏🙏🙏🙏🙏🙏!
The king of gospel 🔥🔥🔥🔥🔥
I'M SO HONORED TO HAVE MET THIS HUMBLE YOUNG MAN ON SUNDAY AT JESUS CULTURE💯💯
NIKAMUOMBA PICHA WAKIWA NA SEED AND THEY JOYFULLY DID THAT🔥🔥
BUT RINGTONE AKI💔💔💔 I ALWAYS THOUGHT WATU HUMUEKELEA BUT HE'S SO RUDE😣💔 HE REFUSED.
I'LL FOREVER RESPECT YOU KASOLO,, LET THE MINISTRY CONTINUE 🙏🙏🙏
ruclips.net/video/RHE-vvKYEgA/видео.html
I find Ringtone very pompous, I have not met him personally but through his interviews, sometimes how a person handles self in public says a lot,,.. my opinion though!!!
This one banger ooh may God give me a good circle this year hallejuh 🔥🙌🙌💯💗💗💗💗✅✅💗✅💯✅💯💯✅💯✅💯
That's my bro....U never disappont...Hot🔥🔥🔥
Umdhaniye ndiye siye🙌what a nice message...you really bless me so much