MT. ALOYCE GONZAGA YOMBO KIWALANI - UKRISTO NI ZAWADI na Mtunzi Boniface Mlula (Official Video)
HTML-код
- Опубликовано: 4 окт 2024
- Huu Ni Wimbo Maalumu Kwa Wakristo Wote, Wimbo Ambao Unatukumbusha Sisi Wakristo Wote Kwanza Kujivunia Ukristo Wetu Kwani Ni Zawadi Ambayo Mungu Mwenyewe Ametupa, Lakini Pia Tuache Kutangatanga Kutafuta Miujiza.
KWAYA: MT. ALOYCE GONZAGA YOMBO KIWALANI
WIMBO: UKRISTO NI ZAWADI
MTUNZI: BONIFACE MLULA
MWAKA: 2024
AUDIO AND VIDEO: NEW HOPE PRODUCTION
Kazi Nzuri Wana Gonzaga, Hakika Ukristu Ni Zawadi..
Congratulations on your beautiful singing from kenya🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪
Thank you so much!!
Mbarikiwe sana kwa zawadi ya wimbo mzuri namna hii. Hongereni pia kwa majitoleo yenu ya utume huu wa uimbaji. Nimebarikiwa sana, ama hakika Ukristo ni Zawadi 🔥🔥
Asante Sana, Endelea Kubarikiwa..
Tudumu kusali na kuomba❤❤❤
🔥🔥🔥🔥
Hapo kwenye kuwatunza watawa na mapadri wetu nakazia.
Hongereni sana wapendwa
Hongereni sana kwa nyimbo nzuri
Asante Sana
HONGERENI SANA WIMBO NI MZURI SAN🎉🎉🎉
Hakika ukristo nizawadi kuujua huo ni mpaka uwe na utulivu
Hongereni sanaa wapendwa katika kristo,mmeimbaaaa 🎉
Hongera mwalimu kazi nzur
Asante
Hongereni wana Gonzaga hakika wimbo umefana,
Asante
Hongereni aisee mnajua
Hongereni kazi nzur sana
Asante Sana
Waooo, wimbo mtamu umeimbwa kwa vituo. Asante kwa kutukumbusha thamani ya tulichonacho na wajibu wetu katika imani hususani kuwatunza watawa ambao mara nyingi tunawasahau.
Hongereni. Wangu utume wenu uendelee hata Kwa mataofa yote
Ahsante sana
Kazi nzur
Nimeipenda hiyo
Nimeipenda hiyoo
Ongereni sana ndugu zangu kazi umesimama, utume mwema
Shukran sana
Mmejua kuzituliza sauti zenu .salute kwenu
❤❤❤ kazi njema
Yaani wimbo mzuri na ujumbe mzuri pia nimeburudika mno
Amina, Tubarikiwe Sote.
Mzigo umeendaaaaaa sana yan hongereni sana uncle zangu na Aunt zangu......
Asante Sana
HONGERENI SANA
hongereni kwa kazi nzuri wapendwa
Asante
Amina
Ukristo ni Zawadi nasi tulio ndani tuutunze na tuudumishe
milele Amina.
Hakika ukristo ni zawadi bila Roho Mtakatifu huwezi
Kaz nzur sanaa
MUNGU mwema
Jamani ninapowaona nafarijika sana wapendwa❤
Tunashukuru Sanaaa
Hongereni sana
Asante Sana
❤❤❤ Mungu awe nanyi katika utume mko vzri sana
Hivi ukitaka maombii si saw
Maombi Yapi...
Wimbo unainjilisha tuitunze miito mitakatifu na kuishi sakramenti takatifu
Amina..
Hakika kuimba ni kusali mara mbili
Hakika
Kama wakatolikii wanawezaa kwenda kwenye maombi
Hongeren
hongereni sana❤
Hongera
Asante
Naitwa aika
Asante Aika
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Kazi nzuri mno.
Ongeren sana
Asante Sana