Sasa hayo nimahubiri gani sasa unashidwa kuhubiri neno la mungu unaponda watumishi wezake sijaona hata ukisoma bibiria unahubiri mambo ya misukure hao wenyewe waumini wako wote ni misukule ndo maaana hawasemi ameni paka uwambiye sema ameni inamaana hawakuele kabisa wakirisito kweli tumefika huku kwenye mahubiri haya ya kishetani mwenyezi mungu tuhurumiye
Mnao koment ujinga ndio maana hamumwelewi huyu mtumishi anaubiri ualisia wamwafrika ama ubinadamu.. nyinyi mnataka kusikia bibilia ikisomwa ndio muamini ati ndio mtu wa Mungu..nataka niwambie ata io bibilia inaabudiwa mababu ama walio acha mili ndio wako kwa bibilia...msikilizeni huyu muimin na mumwamini 💯💯
IPM mbona umetoka kwenye IMANI wewe,,, unachinja,,, unawambia watu wakafanye ibada za wafu,,,,yaani umekuwa mwiba kwenye IMANI hii ya Kikiristo,,,,ni Heri mpagani kuliko mafundisho yako,,,,unapoteza Taifa letu,,,wewe Zumaridi hamna tofauti Kabisa.
Unafumguka talatibu sasa tunatambua mungu unaemtumikia ni mungu wa mizimu sasa ndugu yangu ilikuwaje ukamsingizia eti yesu kakutuma jamani au ndio kiki maana ulijifanya ooo yesu kanitokea kanitokea sasa kama alikutokea hayo ya mizimu umeyatoa wapi yaani unachekesha sana yaani wewe unadhani kutumwa na yesu ni mchezo mchezo sasa kazi kwako na hiyo mizimu
wewe unae toa matusi kama comment..... uyu mchugaji umesikia kuna sehemu anatukana ? Mtumishi upo vizur sanaa nataman siku moja nikutane na ww unikomazee kirohoo.
@@SamweliJacob-bm2ij Wewe tukana, ila mimi nakuambia ukweli, huyu jamaa anawapeleka watu shimoni kwa mafundisho yale, Anataka watu waheshimu makaburi ili iweje? Wafu wanasehemu gani kwenye safari yetu ya kwenda mbinguni? Tia akili.
Yesu kafa kwa madhambi yenu, nadhani haina maana kuenda tena kanisani kutubia, sie waislamu tuko na kazi ya kustaghfiru ama kutubia madhambi yetu, nyie wenzetu muko na bahati mno JOB DONE
Yani wew na limwili kama la goriathi wa ghati utakufa kwa kombeo la daudi usipotubu nalikifua la gym wengi washakujua ulivo tapeliiii na nyoka wa kuzimu wapoteze watu utawatolea hesabu,tamba sasa ila YESU KRISTO atakunyoosha mchawi weweee
Mungu atusaidie injili imevamiwa inatakiwa urejesho wako wapi watu wa Mungu akina Mwakasege katunzi na wengineo mliosoma theolojia wapeni elimu hawa wavamizi hawana elimu ya Biblia hawana roho mtakatifu tunaharibu Dini haya ni mahubiri gani?
Ee mungu tusaidie kuna sababu ya kuanza kufundisha neno la Mungu kweli nimeamini kizazi hiki kina njaa ya neno ,Kupaa sio shida ni kwamba ili upae una hitaji Roho wema au wabaya yaan malaika au majini ,wachawi wanatumia malaika walio hasi watumishi walio twaliwa ni malaika wa Nuru ndio walio fanya hiyo kazi , Mtumishi acha story fundisha neno
Ipm unapngea mambo ya giza na upo freemason kwa kimvuri cha kanisani sasa magari na utajili wa giza utajusaidia nini lpm huna yesu kristo itakufaa nin?
Hongera sana prophet IPM, Tunao kuelewa tunakuelewa.
Facts 🎉Bro
Mungu akubariki sanaaaaa kwa message zote utowazo kweli kabisa
Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu ndio yote yametukuta Mtumishi kusema sema Mtumishi ovyo,
Ipm nikati kawachungaj wenye jicho lakiroho safi sana❤❤
Mungu akupe nguvu zaidi kututwambiya ukweli Mzee wetu
Ubarikiwe mchungaji mzuri
Mtumishi nakuelewa sana Mungu akupe maisha marefu
mtumishi mim nakuelewa vzr, mafundisho yako ni mazuri ndani yake yanaukweli
Akili kubwa sana hii mchungaji wenye uelewa mdogo watakuona kama mpotoshaji ila kwa wenye tafakar pana tunakuelewa sana
I'm from Congo DC god blessé you
❤mungu akupe nguvu
Leo ndio nimejua kwanini mungu alikutuma upande wa pili ❤
Mungu with capital M
Type era p plzp
Nlikuwa na protocol wangu alikuwa anakunywa pombe, sikumfuku,za kanisanii😂😂😂😂😂
Bwana na akukemee shetani
Subutuu shetani yupo nyumbani pake
Asante kwa ushauri wake Mzuri.
Amina mtumishi wa mungu❤❤❤
DUH SIKUWAHI KUSIKIA FULL ILA LEO NIMESIKIA KUNA MADINI MENGI SANA 💪🏻🫡
yani nimekuelewa vizuri
Asante sana unasema ukweli nipo marekani
Kazi nzuri
Bwana Yesu asifiwe Sana. Ninapenda falsafa yako. 😊
Wasio kuelewa awata kuelewa baba
'Sema amina'😂
NITAKUPENDA MI LELE BABA❤🤝🇨🇩💰🙏
Kweli mtumishi watu wana watu nyuma yao🎉🎉tusiinge😢😢
Asante Kwa kutufungulia njia
Amina Baba❤❤❤❤❤❤❤❤ Malaika wa Mungu wa Ulinzi(makerubi na upanga wa moto (wakulinde Nabii.Kwa kweli wewe ni hazina kwa wakristo wenye akili timamu
Hawa waumini kama hawasikii ,ushetani huuu
Nyani achekewi😅😅
😂😂😂😂waumini misukule 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 MUNGU MWENYEZI nipe nguvu Na ujasiri siku zote
Wewe kaka sasaivi nimekuelewa unambinu za sili sana
Sasa hayo nimahubiri gani sasa unashidwa kuhubiri neno la mungu unaponda watumishi wezake sijaona hata ukisoma bibiria unahubiri mambo ya misukure hao wenyewe waumini wako wote ni misukule ndo maaana hawasemi ameni paka uwambiye sema ameni inamaana hawakuele kabisa wakirisito kweli tumefika huku kwenye mahubiri haya ya kishetani mwenyezi mungu tuhurumiye
😂pamoja na wewe ni msukule pia kwan umeitwa
Nakweli hata me nashangaa biblia ndo story ,duh wakati mwingine ,tujiulize,kwa Hali hii watu wanaulizwa kwani nyie ni misukule 😢😢😢😢 hii huzuni
Uislam umevamia kanisa😮😮😮😮😮😮😮
😂😂😂huyu jamaa anajuwa ukweli kma uislamu ndio dini ila kaona waklisto mabwege awajielewi kaona apa ndipo pakupiga pesa😂😂😂😂
@@KarolinaOman😂😂😂😂
Akuna billionaire aliekunywa maji ya upako apo nimekuelewa
Kwa elimi hivi hakika hawa watoto wa 2000 hawawezi kuku helewa kwa elimu hio kwa sababu umenyohoka kama roula hogera kana mtumishi
Mnao koment ujinga ndio maana hamumwelewi huyu mtumishi anaubiri ualisia wamwafrika ama ubinadamu.. nyinyi mnataka kusikia bibilia ikisomwa ndio muamini ati ndio mtu wa Mungu..nataka niwambie ata io bibilia inaabudiwa mababu ama walio acha mili ndio wako kwa bibilia...msikilizeni huyu muimin na mumwamini 💯💯
IPM mbona umetoka kwenye IMANI wewe,,, unachinja,,, unawambia watu wakafanye ibada za wafu,,,,yaani umekuwa mwiba kwenye IMANI hii ya Kikiristo,,,,ni Heri mpagani kuliko mafundisho yako,,,,unapoteza Taifa letu,,,wewe Zumaridi hamna tofauti Kabisa.
Asante ingawamimi nimusiraa
Mu
Unafumguka talatibu sasa tunatambua mungu unaemtumikia ni mungu wa mizimu sasa ndugu yangu ilikuwaje ukamsingizia eti yesu kakutuma jamani au ndio kiki maana ulijifanya ooo yesu kanitokea kanitokea sasa kama alikutokea hayo ya mizimu umeyatoa wapi yaani unachekesha sana yaani wewe unadhani kutumwa na yesu ni mchezo mchezo sasa kazi kwako na hiyo mizimu
Amina sanaaa baba sabb uo niukweli
Sasa hivi kanisa limevamiwa kila mtu msemaji sawa tutafanyaje sasa
Nakukukubali sana lpm umenifanya kuwa jasili pia naomba namba yako
Na kupenda sana baba wa ki roho nibaraka kwa dunia❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Amen
wewe unae toa matusi kama comment..... uyu mchugaji umesikia kuna sehemu anatukana ? Mtumishi upo vizur sanaa nataman siku moja nikutane na ww unikomazee kirohoo.
Wewe unafundisha uchawi Kanisani kwako, na washirika wako wanajiandaa kuwa wachawi.
Poleni sana.
😅😅
kama unatumia makalio kuerewa huwez kumuerewa huyu jamaa
@@SamweliJacob-bm2ij
Wewe tukana, ila mimi nakuambia ukweli, huyu jamaa anawapeleka watu shimoni kwa mafundisho yale,
Anataka watu waheshimu makaburi ili iweje?
Wafu wanasehemu gani kwenye safari yetu ya kwenda mbinguni?
Tia akili.
Wew unakua uchawi ninin
@@gmal-e7ztatizo hujui usichokijua
Pangepatikana wacungaji kama huyu kwa kila inci ya Africa u moja ao wawili basi Africa ingepona.....
Asante saana mtumishi wa Mungu ila nataka kujuwa maana ya IPM NI NINI TAFUSILI YAKE?
Yesu kafa kwa madhambi yenu, nadhani haina maana kuenda tena kanisani kutubia, sie waislamu tuko na kazi ya kustaghfiru ama kutubia madhambi yetu, nyie wenzetu muko na bahati mno JOB DONE
Wewe ni miongoni mwa watu waliopo kupotosha ukweli wa neno la MUNGU
amin, kutoka USA, naita number zako mtumishi wa mungu
Yani wew na limwili kama la goriathi wa ghati utakufa kwa kombeo la daudi usipotubu nalikifua la gym wengi washakujua ulivo tapeliiii na nyoka wa kuzimu wapoteze watu utawatolea hesabu,tamba sasa ila YESU KRISTO atakunyoosha mchawi weweee
JAMBO BABA PROPHÈTE IPM TUNAOMBA YAKO TUNAITAJII SANAA MUSAADA WA MAOMBI NA MAFUNDISHO ZAIDI
Hakika mwenyezi Mungu atu tangulie
Baba una hekima sana nabarikiwa
Mungu atusaidie injili imevamiwa inatakiwa urejesho wako wapi watu wa Mungu akina Mwakasege katunzi na wengineo mliosoma theolojia wapeni elimu hawa wavamizi hawana elimu ya Biblia hawana roho mtakatifu tunaharibu Dini haya ni mahubiri gani?
😂😂😂huyo anajuwa ukweli kma uislamu ndio dini sema kaona waklisto mabwege awajielewi kaona apa ndipo kwa kupiga pesa
pasteur maraba unaenda wapi kimafundisho?
ao unawapeleka wapi wa umini wako na watu tunao kufata kwenye mutandao?
Yani unaitaji akilikubwasanaaa kumuerewa uyu nabii
Mmh mchungaji umepigaje !!?
Ee mungu tusaidie kuna sababu ya kuanza kufundisha neno la Mungu kweli nimeamini kizazi hiki kina njaa ya neno ,Kupaa sio shida ni kwamba ili upae una hitaji Roho wema au wabaya yaan malaika au majini ,wachawi wanatumia malaika walio hasi watumishi walio twaliwa ni malaika wa Nuru ndio walio fanya hiyo kazi , Mtumishi acha story fundisha neno
Soma vitabu uwelewe malaika awezi kuasi ili ujuwe tafuta sifa za malaika
Ukristo umeingiliwa sana hata hawa watoto wa mamdogo watupotosha sana 😂😂😂
Hatari sana.Ila Mungu ni fundi sana.
Unapotea na unapoteza watu 2:45 2:45 2:45
Jambo nabii wa mungu naomba namba Yako ya watsapp mimi Niko Congo RDC naomba Baba nizungumuze na wewe
Mungu with capital M
Acha ujinga ndugu inaonekana hata shule hujaenda unatoa hoja za kitoto sana.
😂😂😂😂😂😂
Jee wewe unapaa
😂😂
Lkn Eliyah hakufariki alitwaliwa Na upepo wa kisulisuli, akawachia Elisha vazi lake😂😂😂😂😂
Siri nzito kweli
Mazìto haya
Mbona ni wachache wafuasi haziwatoshi
😅😅😅😅
Ipm unapngea mambo ya giza na upo freemason kwa kimvuri cha kanisani sasa magari na utajili wa giza utajusaidia nini lpm huna yesu kristo itakufaa nin?
Mtumishi unasomaga biblia gani maana hiyo ni nyingine
KILA NIKIJARIBU KUKOMAA NIMSIKILIZE HATA SIPATI CHOCHOTE CHA NURU ILA GIZA TUPU. MUNGU ATUSAIDIE
Nakukubali sana ipm
Kuweni makini sana na hawa manabii wa siku hizi na mafundisho yao
Nakweli ,watu wanasikiliza tu jaman tumuogope Mungu ,humu hakuna ukweli 😢😢😢
Wewe ni mavi yanayo nuka
Na wanaokusikiliza apo mimavi
😂😂😂😂😂😂.waklisto mibwege sana.inaongopewa tu😂😂😂😂😂😂