SIO UCHAWI KUPAA NANGANI. HESHIMU MAKABULI.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 фев 2025
  • UKIPA KIBALI NI BARAKA ILA HUJA NA MADHARA

Комментарии •

  • @LaurentMagesa-iv5yt
    @LaurentMagesa-iv5yt 4 дня назад +1

    Hongera sana prophet IPM, Tunao kuelewa tunakuelewa.

  • @silassaitoti7689
    @silassaitoti7689 18 дней назад +1

    Facts 🎉Bro

  • @Sibazurin
    @Sibazurin Месяц назад +1

    Mungu akubariki sanaaaaa kwa message zote utowazo kweli kabisa

  • @EstajanethmsafiriJaneth
    @EstajanethmsafiriJaneth Месяц назад +1

    Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu ndio yote yametukuta Mtumishi kusema sema Mtumishi ovyo,

  • @April_24tv
    @April_24tv Месяц назад +4

    Ipm nikati kawachungaj wenye jicho lakiroho safi sana❤❤

  • @PacifiqueLeontina
    @PacifiqueLeontina Месяц назад +4

    Mungu akupe nguvu zaidi kututwambiya ukweli Mzee wetu

  • @EliasiKumpuni
    @EliasiKumpuni 3 дня назад

    Ubarikiwe mchungaji mzuri

  • @nichorasjeremiah8821
    @nichorasjeremiah8821 Месяц назад +1

    Mtumishi nakuelewa sana Mungu akupe maisha marefu

  • @ThomasErro
    @ThomasErro Месяц назад +2

    mtumishi mim nakuelewa vzr, mafundisho yako ni mazuri ndani yake yanaukweli

  • @maulidrehani
    @maulidrehani Месяц назад +3

    Akili kubwa sana hii mchungaji wenye uelewa mdogo watakuona kama mpotoshaji ila kwa wenye tafakar pana tunakuelewa sana

  • @JusteKambale-tu9jz
    @JusteKambale-tu9jz Месяц назад +2

    I'm from Congo DC god blessé you

  • @TeresiaKajira-y3h
    @TeresiaKajira-y3h Месяц назад +2

    ❤mungu akupe nguvu

  • @mishimohamed5997
    @mishimohamed5997 Месяц назад +1

    Leo ndio nimejua kwanini mungu alikutuma upande wa pili ❤

  • @MEMEMEMEMEMEMEMEMEEEW
    @MEMEMEMEMEMEMEMEMEEEW Месяц назад +2

    Nlikuwa na protocol wangu alikuwa anakunywa pombe, sikumfuku,za kanisanii😂😂😂😂😂

  • @AyoubPaul-o1u
    @AyoubPaul-o1u Месяц назад +6

    Bwana na akukemee shetani

  • @CityGang-q1r
    @CityGang-q1r 2 месяца назад +4

    Asante kwa ushauri wake Mzuri.

  • @RafaelMolel-e9i
    @RafaelMolel-e9i Месяц назад +1

    Amina mtumishi wa mungu❤❤❤

  • @mclone8234
    @mclone8234 Месяц назад +1

    DUH SIKUWAHI KUSIKIA FULL ILA LEO NIMESIKIA KUNA MADINI MENGI SANA 💪🏻🫡

  • @ErickGadson-yg2xj
    @ErickGadson-yg2xj Месяц назад +1

    yani nimekuelewa vizuri

  • @AnjelaniMkandama
    @AnjelaniMkandama Месяц назад +1

    Asante sana unasema ukweli nipo marekani

  • @yohanamtunduruyohanamtundu6585
    @yohanamtunduruyohanamtundu6585 Месяц назад +1

    Kazi nzuri

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 Месяц назад +2

    Bwana Yesu asifiwe Sana. Ninapenda falsafa yako. 😊

  • @AnjelaniMkandama
    @AnjelaniMkandama Месяц назад +3

    Wasio kuelewa awata kuelewa baba

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 Месяц назад +3

    'Sema amina'😂

  • @cornelionfikiri2052
    @cornelionfikiri2052 2 месяца назад +4

    NITAKUPENDA MI LELE BABA❤🤝🇨🇩💰🙏

  • @AllyBabu-kr6lg
    @AllyBabu-kr6lg Месяц назад +1

    Kweli mtumishi watu wana watu nyuma yao🎉🎉tusiinge😢😢

  • @valentinamjindo5374
    @valentinamjindo5374 Месяц назад +2

    Asante Kwa kutufungulia njia

  • @chosenfrank4286
    @chosenfrank4286 Месяц назад

    Amina Baba❤❤❤❤❤❤❤❤ Malaika wa Mungu wa Ulinzi(makerubi na upanga wa moto (wakulinde Nabii.Kwa kweli wewe ni hazina kwa wakristo wenye akili timamu

  • @KennedyNgusa
    @KennedyNgusa Месяц назад +5

    Hawa waumini kama hawasikii ,ushetani huuu

  • @AllyBabu-kr6lg
    @AllyBabu-kr6lg Месяц назад +1

    Nyani achekewi😅😅

  • @Estherm309
    @Estherm309 Месяц назад +3

    😂😂😂😂waumini misukule 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 MUNGU MWENYEZI nipe nguvu Na ujasiri siku zote

    • @MishiPapalan
      @MishiPapalan Месяц назад

      Wewe kaka sasaivi nimekuelewa unambinu za sili sana

  • @CafeJohn-n9o
    @CafeJohn-n9o Месяц назад +3

    Sasa hayo nimahubiri gani sasa unashidwa kuhubiri neno la mungu unaponda watumishi wezake sijaona hata ukisoma bibiria unahubiri mambo ya misukure hao wenyewe waumini wako wote ni misukule ndo maaana hawasemi ameni paka uwambiye sema ameni inamaana hawakuele kabisa wakirisito kweli tumefika huku kwenye mahubiri haya ya kishetani mwenyezi mungu tuhurumiye

    • @RayOmar-vk2nn
      @RayOmar-vk2nn Месяц назад

      😂pamoja na wewe ni msukule pia kwan umeitwa

    • @KarolinaOman
      @KarolinaOman Месяц назад

      Nakweli hata me nashangaa biblia ndo story ,duh wakati mwingine ,tujiulize,kwa Hali hii watu wanaulizwa kwani nyie ni misukule 😢😢😢😢 hii huzuni

    • @user13375
      @user13375 Месяц назад

      Uislam umevamia kanisa😮😮😮😮😮😮😮

    • @MUKULASI-t8e
      @MUKULASI-t8e Месяц назад

      😂😂😂huyu jamaa anajuwa ukweli kma uislamu ndio dini ila kaona waklisto mabwege awajielewi kaona apa ndipo pakupiga pesa😂😂😂😂

    • @MUKULASI-t8e
      @MUKULASI-t8e Месяц назад

      ​@@KarolinaOman😂😂😂😂

  • @MUKULASI-t8e
    @MUKULASI-t8e Месяц назад +1

    Akuna billionaire aliekunywa maji ya upako apo nimekuelewa

  • @dunialehani6188
    @dunialehani6188 Месяц назад +1

    Kwa elimi hivi hakika hawa watoto wa 2000 hawawezi kuku helewa kwa elimu hio kwa sababu umenyohoka kama roula hogera kana mtumishi

  • @mwakiosalim2914
    @mwakiosalim2914 Месяц назад

    Mnao koment ujinga ndio maana hamumwelewi huyu mtumishi anaubiri ualisia wamwafrika ama ubinadamu.. nyinyi mnataka kusikia bibilia ikisomwa ndio muamini ati ndio mtu wa Mungu..nataka niwambie ata io bibilia inaabudiwa mababu ama walio acha mili ndio wako kwa bibilia...msikilizeni huyu muimin na mumwamini 💯💯

  • @UfalmewaMungu
    @UfalmewaMungu 19 дней назад

    IPM mbona umetoka kwenye IMANI wewe,,, unachinja,,, unawambia watu wakafanye ibada za wafu,,,,yaani umekuwa mwiba kwenye IMANI hii ya Kikiristo,,,,ni Heri mpagani kuliko mafundisho yako,,,,unapoteza Taifa letu,,,wewe Zumaridi hamna tofauti Kabisa.

  • @abdoultwizerimana1664
    @abdoultwizerimana1664 Месяц назад

    Asante ingawamimi nimusiraa
    Mu

  • @SmilingCityMap-xb9md
    @SmilingCityMap-xb9md Месяц назад

    Unafumguka talatibu sasa tunatambua mungu unaemtumikia ni mungu wa mizimu sasa ndugu yangu ilikuwaje ukamsingizia eti yesu kakutuma jamani au ndio kiki maana ulijifanya ooo yesu kanitokea kanitokea sasa kama alikutokea hayo ya mizimu umeyatoa wapi yaani unachekesha sana yaani wewe unadhani kutumwa na yesu ni mchezo mchezo sasa kazi kwako na hiyo mizimu

  • @Charlesmarco248
    @Charlesmarco248 2 месяца назад +1

    Amina sanaaa baba sabb uo niukweli

  • @nomamatata754
    @nomamatata754 Месяц назад +1

    Sasa hivi kanisa limevamiwa kila mtu msemaji sawa tutafanyaje sasa

  • @MajangitoSayi
    @MajangitoSayi Месяц назад

    Nakukukubali sana lpm umenifanya kuwa jasili pia naomba namba yako

  • @PEACETV-q7k
    @PEACETV-q7k 2 месяца назад

    Na kupenda sana baba wa ki roho nibaraka kwa dunia❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @DavidTarimo-g8n
    @DavidTarimo-g8n Месяц назад

    Amen

  • @MwesigwaFranco-p7f
    @MwesigwaFranco-p7f Месяц назад +1

    wewe unae toa matusi kama comment..... uyu mchugaji umesikia kuna sehemu anatukana ? Mtumishi upo vizur sanaa nataman siku moja nikutane na ww unikomazee kirohoo.

  • @gmal-e7z
    @gmal-e7z Месяц назад +5

    Wewe unafundisha uchawi Kanisani kwako, na washirika wako wanajiandaa kuwa wachawi.
    Poleni sana.

    • @AllyBabu-kr6lg
      @AllyBabu-kr6lg Месяц назад +1

      😅😅

    • @SamweliJacob-bm2ij
      @SamweliJacob-bm2ij Месяц назад

      kama unatumia makalio kuerewa huwez kumuerewa huyu jamaa

    • @gmal-e7z
      @gmal-e7z Месяц назад

      @@SamweliJacob-bm2ij
      Wewe tukana, ila mimi nakuambia ukweli, huyu jamaa anawapeleka watu shimoni kwa mafundisho yale,
      Anataka watu waheshimu makaburi ili iweje?
      Wafu wanasehemu gani kwenye safari yetu ya kwenda mbinguni?
      Tia akili.

    • @rashidmilanzi253
      @rashidmilanzi253 Месяц назад

      Wew unakua uchawi ninin

    • @nanyangahustler4305
      @nanyangahustler4305 Месяц назад

      ​@@gmal-e7ztatizo hujui usichokijua

  • @IngabireChantimesse-kw3st
    @IngabireChantimesse-kw3st Месяц назад

    Pangepatikana wacungaji kama huyu kwa kila inci ya Africa u moja ao wawili basi Africa ingepona.....

  • @IrakozeReponse-mf2nk
    @IrakozeReponse-mf2nk Месяц назад +1

    Asante saana mtumishi wa Mungu ila nataka kujuwa maana ya IPM NI NINI TAFUSILI YAKE?

  • @AliMohamed-w3b
    @AliMohamed-w3b 2 месяца назад +1

    Yesu kafa kwa madhambi yenu, nadhani haina maana kuenda tena kanisani kutubia, sie waislamu tuko na kazi ya kustaghfiru ama kutubia madhambi yetu, nyie wenzetu muko na bahati mno JOB DONE

  • @JoshuaLazaro-eh9xs
    @JoshuaLazaro-eh9xs Месяц назад

    Wewe ni miongoni mwa watu waliopo kupotosha ukweli wa neno la MUNGU

  • @selemanimwanamulenda4655
    @selemanimwanamulenda4655 Месяц назад

    amin, kutoka USA, naita number zako mtumishi wa mungu

  • @ivonaevarista4654
    @ivonaevarista4654 Месяц назад

    Yani wew na limwili kama la goriathi wa ghati utakufa kwa kombeo la daudi usipotubu nalikifua la gym wengi washakujua ulivo tapeliiii na nyoka wa kuzimu wapoteze watu utawatolea hesabu,tamba sasa ila YESU KRISTO atakunyoosha mchawi weweee

  • @MIBARAKAHUSSEIN
    @MIBARAKAHUSSEIN Месяц назад

    JAMBO BABA PROPHÈTE IPM TUNAOMBA YAKO TUNAITAJII SANAA MUSAADA WA MAOMBI NA MAFUNDISHO ZAIDI

  • @BenardJengela
    @BenardJengela 2 месяца назад

    Hakika mwenyezi Mungu atu tangulie

  • @IsraelMjita
    @IsraelMjita 2 месяца назад

    Baba una hekima sana nabarikiwa

  • @GodfreyMwamaso
    @GodfreyMwamaso Месяц назад

    Mungu atusaidie injili imevamiwa inatakiwa urejesho wako wapi watu wa Mungu akina Mwakasege katunzi na wengineo mliosoma theolojia wapeni elimu hawa wavamizi hawana elimu ya Biblia hawana roho mtakatifu tunaharibu Dini haya ni mahubiri gani?

    • @MUKULASI-t8e
      @MUKULASI-t8e Месяц назад

      😂😂😂huyo anajuwa ukweli kma uislamu ndio dini sema kaona waklisto mabwege awajielewi kaona apa ndipo kwa kupiga pesa

  • @mutulaObedi
    @mutulaObedi Месяц назад

    pasteur maraba unaenda wapi kimafundisho?
    ao unawapeleka wapi wa umini wako na watu tunao kufata kwenye mutandao?

  • @SamweliJacob-bm2ij
    @SamweliJacob-bm2ij Месяц назад

    Yani unaitaji akilikubwasanaaa kumuerewa uyu nabii

  • @DafahDavid
    @DafahDavid Месяц назад

    Mmh mchungaji umepigaje !!?

  • @ananiadamian4597
    @ananiadamian4597 Месяц назад

    Ee mungu tusaidie kuna sababu ya kuanza kufundisha neno la Mungu kweli nimeamini kizazi hiki kina njaa ya neno ,Kupaa sio shida ni kwamba ili upae una hitaji Roho wema au wabaya yaan malaika au majini ,wachawi wanatumia malaika walio hasi watumishi walio twaliwa ni malaika wa Nuru ndio walio fanya hiyo kazi , Mtumishi acha story fundisha neno

    • @MUKULASI-t8e
      @MUKULASI-t8e Месяц назад

      Soma vitabu uwelewe malaika awezi kuasi ili ujuwe tafuta sifa za malaika

  • @yohanamtunduruyohanamtundu6585
    @yohanamtunduruyohanamtundu6585 Месяц назад +3

    Ukristo umeingiliwa sana hata hawa watoto wa mamdogo watupotosha sana 😂😂😂

  • @renatusmtakyawa594
    @renatusmtakyawa594 Месяц назад

    Unapotea na unapoteza watu 2:45 2:45 2:45

  • @EugideKasereka
    @EugideKasereka 2 месяца назад +7

    Jambo nabii wa mungu naomba namba Yako ya watsapp mimi Niko Congo RDC naomba Baba nizungumuze na wewe

  • @titokwareh1852
    @titokwareh1852 Месяц назад

    Acha ujinga ndugu inaonekana hata shule hujaenda unatoa hoja za kitoto sana.

  • @Markoisaackiunsi
    @Markoisaackiunsi Месяц назад +1

    Jee wewe unapaa

  • @everlyneiminza5722
    @everlyneiminza5722 2 месяца назад

    Lkn Eliyah hakufariki alitwaliwa Na upepo wa kisulisuli, akawachia Elisha vazi lake😂😂😂😂😂

  • @annemutonyi9453
    @annemutonyi9453 2 месяца назад

    Siri nzito kweli

  • @annemutonyi9453
    @annemutonyi9453 2 месяца назад

    Mazìto haya

  • @RoseKimishabhalemi
    @RoseKimishabhalemi Месяц назад

    Mbona ni wachache wafuasi haziwatoshi

  • @MgeniRamadhani
    @MgeniRamadhani 2 месяца назад +2

    😅😅😅😅

  • @JoshuaLazaro-eh9xs
    @JoshuaLazaro-eh9xs Месяц назад

    Ipm unapngea mambo ya giza na upo freemason kwa kimvuri cha kanisani sasa magari na utajili wa giza utajusaidia nini lpm huna yesu kristo itakufaa nin?

  • @ElinazaMlimbila-s5j
    @ElinazaMlimbila-s5j Месяц назад +4

    Mtumishi unasomaga biblia gani maana hiyo ni nyingine

  • @dicksonkilupa2258
    @dicksonkilupa2258 Месяц назад +1

    KILA NIKIJARIBU KUKOMAA NIMSIKILIZE HATA SIPATI CHOCHOTE CHA NURU ILA GIZA TUPU. MUNGU ATUSAIDIE

  • @LatifaMushi-i3m
    @LatifaMushi-i3m Месяц назад

    Nakukubali sana ipm

  • @suziemichael4338
    @suziemichael4338 Месяц назад

    Kuweni makini sana na hawa manabii wa siku hizi na mafundisho yao

    • @KarolinaOman
      @KarolinaOman Месяц назад

      Nakweli ,watu wanasikiliza tu jaman tumuogope Mungu ,humu hakuna ukweli 😢😢😢

  • @Muro-p9i
    @Muro-p9i Месяц назад

    Wewe ni mavi yanayo nuka

  • @Muro-p9i
    @Muro-p9i Месяц назад

    Na wanaokusikiliza apo mimavi

    • @MUKULASI-t8e
      @MUKULASI-t8e Месяц назад

      😂😂😂😂😂😂.waklisto mibwege sana.inaongopewa tu😂😂😂😂😂😂