NAMTAKA BABA YANGU | 2 |
HTML-код
- Опубликовано: 5 июн 2024
- #Bhailam#Naomy#Khairat
⭐ Disclaimer
This Content is Totally made by us, Don't use sound or Reupload otherwise we are not Responsible for your Channel!
Subscribe hapa : / @bhailamkhan
Subscribe to Comedy Plus: / @comedyplustz
Like Ukurasa wetu wa Facebook : profile.php?... Кино
Hongela sana team Bailam ila tafadhalini mtupe vitu kwa wakati Yani Moja Bada ya nyingine , afu nimpongeze hailati kwl nimjasiri anaigiza vizuli sana. from Burundi wapi like zangu
Hiyo nyingine ije upesi iwezekanavyo..msitukalisheni sana
Ndio uzulii😂😂😂
Bhailam my gee shikeni shadow mkono tunamkosa sana
😂nmekua wa kwanza lkn nmekua biz 😂like please team bhailam 🇸🇦🇰🇪🥰🥰🥰🥰
Chukua maua yko pendo
Nimekuwa. Wanane ❤❤❤ Team. Bahilamu
Kazi nzuri Allah awaongoze kwa funzo zenu❤❤❤
Oh hogera bhailam shida ume chelewesha kazi
Tamthilia ndzuri sana hii big up🎉🎉
Unakawiza sana mzee bailam ila tu hongera sana iko nzuri sana
Mzee ndio uzuri jaman! 🤣🤣🤣 ati wenye pua ndefu watamu,aaaaweeeeh 🙌
Ndio uzuri Baba😂😂🙌
Kazi nzuri sana Naomi bhailam kheirat
Khayrat nakupendaga nataka umuumbue shangazi mchana kweupe
Wow, I'm the first
Amin RabbiAllamin watarudiii kwaiman Naomi kuwa naimani
Safi, ila mnachelewesha
Waoooooo kumbe janeth nyakyusa
🔥🔥🔥🔥
Yani 'namupenda sana. M jomba bhailam
🔥🔥🔥🔥🔥
Bg up sana wadau nakubali kazi❤❤❤
Good job
Kaz nzr san team bhailam❤❤
Team bahraim nyote munaweza sana ❤❤❤❤
Leo nko mbelembele
Imenoga bhailam
Wakwanza naombeni likes zangu
❤❤❤❤❤❤
Mbona hii NAMTAKA BABA YANGU kama imerudiwa
Bhailam kipara hicho jameni,,,,kinapendeza
Much love from saudi
💥💥💥💥 ya moto hii 😢😢❤❤❤🎉🎉🎉
Mungu niepushe mashangazi kama huu wa hailati
Kazi nzuri snaa
😂😂😂😂 . style très magnifique.Mr baillam
Kazi nzuri 🔥🔥
Mzeee wa ndouzur nakupenda bure😂😂😂😂😂
🎉🎉🎉🎉❤
Motoooo. Ila na Mimi namtaka baba yanguu
🇧🇮🇧🇮💥💥💥💥💯💯🥰🥰 turabakunda cane 💥
Hongera hairat❤❤❤ usikubali aunt yako akukumbatie tena muoneshe moto sas😂😂😂
😂😂😂 sasa mmacheka nini shangazi na mwanae 😂😂
Team bhailam❤❤❤🎉🎉🎉
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
❤❤❤❤❤
😊😊😊
Mnachelewesh san bhn😢 ila time bailam mnawez🎉
Mbona Kali sana ❤❤
❤❤❤❤❤❤❤
Mm ndowakwanza kuhona
Mwendo wa kuwakimbiza tu
gonga like kama unamkubali
bhailam
Hairati is beautiful❤❤❤
❤
❤❤❤
kwan hiz movie zpo ngap🤔
#achila#bhailam
Shangazi mbaya sana
Hatimae Janeth kasuka jaman😂😂😂😂😂
Wapi mzeee simba
Apaaaana mshangazi ni Sarah😀😀
Wanaomkubali bhailam pita na like tukisonga 🎉🎉
Unyama ni mwingi
Mnachelewesha sana lakini mnafanya vizuri❤❤❤
khairat mchawi kweli
Kumbe msangazi ndomwangaaa etiiii nitakusadia kumbee unataka kumumalizaa jamani kakamtuu anateseka kisa dada mtuuu loooo hairat ushajua mubayaaa wakooo ni mshangaxi 😮😮😮😮
❤❤❤❤😂
Nice
Vyazamani mnarudia
Nawewe vimekuchanganya kama Mimi??
Bhilam im from kenya but now im in Zanzibar
I want to meet khairat if possible i have something for her she is my favourite actress ❤❤
Kali sanaa
nampenda huyu hailath ,she is beatfully na anajua kazi ,nipeni namba yake chapchap basi
Mnachelewesha sana muendelezo
ume tisha sana bwana bahilam
Hatar
Shangazi mmbaya sana 😢😢😢
😂😂😂😂❤❤❤❤❤
Bailam umekohoa kama konde boy mjeshiiiiiiiiiìiiiii 😂😂😂😂😂😂😂
bhailam kwan mbn kam umetoa mar mbil hii movie
Jaman mi mwenyew sielew ni ileile inaendelea au hii ni nyingine
Ni episode ya pili Jamani nini amuelewi nikama ya wake wenza
Good job Bhailam Kipara😂
next ep pleaz
Kaz konkii🔥🔥
Ushauri tuu ungemaliza shetani ndoulete hii.Ili uwe unatupa kuangalia kwawakati
❤❤❤🎉🎉🎉
❤🎉
😂😂😂😂apo mwisho imenonga 😂😂😂😂😂
Khaa mbona sielew kwani hii sitishaiona SI alishamtowa
Eti chuma icho nimejua kucheka jamani 😂😂
🎉🎉🎉❤❤❤
Na kinyakyusa nimefurahi kusikia
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Wachawii kweli etii goviii mwisho mtaliwa nyinyi hiyoo govi
❤❤❤❤
🇧🇮🇧🇮
Wa mwisho jamani 🎉🎉 naomba likes ❤❤❤
Part 3 ije haraka
🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
Nzuri Sana
Kumbe Janeth mnyakyusa?? 😀😀😀
Fire.
Na mm nacheka 😂😂😂😂😂
Nlisikia lailath ni mtoto wa bilham kweli