NAMTAKA BABA YANGU | FINAL|
HTML-код
- Опубликовано: 4 окт 2024
- #Bhailam#Naomy
⭐ Disclaimer
This Content is Totally made by us, Don't use sound or Reupload otherwise we are not Responsible for your Channel!
Subscribe hapa : / @bhailamkhan
Subscribe to Comedy Plus: / @comedyplustz
Like Ukurasa wetu wa Facebook : www.facebook.c...
Kazi nzur bhaila tupo pamoja tunapenda kaz zako ila tunaomba uwe unatuwaishia
Much love from Kenya I need some likes
Unataka uzipeleke bungoma ama 😂😆😆 Sina ubaya
Hhh
Mchezo mzuri, lakini khairati mzuri Zaidi mashallah. Vipi bhailam tuje kaleta posa mtaturuhusu kutoka omn .
Muachne mtoto asome,jmn
@@hassankalu540 basi wamsitiri Zaidi maana mh. Kwani anamiaka mingapi ?. Nitamtunza🫣. Hilo Ni totoz sio mtoto😁.
@@hilalkhalfan1452 miaka 30 inakuhusu bro ohooooo
Waislam bhna kupenda vitotooo😅
@@samwelimoshi5614 waislamu tunaoa, nyie mnawabaka kesi zenu kibao polisi. Sasa Nani Bora?. Pili. Mtoto hazai, weye unamuona mtoto huyo umemuona kuwa hajavunja ungo?. Weye unakaririshwa na wazungu TU.
Akika hiyo cinema kuazia up to end mzee bhailam umefikiria sana God be with you every minute with your family member of that video keep it up brother your talent
Hii Bado haijaisha Mana hatajajua hatima ya bhailam na shangaz
kabisa,wamefeli kuimalizia
Napenda sana kufwatilia❤❤ much love from kenya❤❤
KAMA UNAMWAMINI BHAILAM TWENDE KAZI❤
Na bubu
Hii ni nzuri sana aaishe🎉🎉❤
Ailat itakuwa psi badae mashallah mzur kafungaaha kama Naomi nyuma😂😂❤❤❤
Kazi nzuli ❤Alhmdoulillah tumemaliza salaam🤲🤲
Kazi nzuri sana bro na waigizaji wote mmeweza tuko pamoja
Mi nilizani Île Namtaka Baba yangu yazamani, kumbe Mme irudiya tena 💥💥
hongereni sana kazi zuri mno
Wabongo mnazingua sana hamjui kumaliza muv
Yani mimwenyewe nashangaa kweli mbon movies iishe hivo kweli 😢😢😢 duuh au tusubili season 2
@@JojoJose-tp7pj MIE KAMA HAYUPO KHAIRATI WALA SITIZAMI HIO MOVIE. Hawajui kumalizia wakati mwisho ndio kwenye uhondo. Bahati Mie sitizami mchezo, khairati TU😁😁😁
Tulio kuwa mwanza mpka mwisho wa flam yetu .hongeren team bhaila
Nakukubali sana hairati na shepu yako mjini 😅😅😅
Khairati wangu usitake kuniibia bosi wangu, nishamuwahi😁
Umeish vbay yan , htujaon htma y mzee bhailam n wenzake
Brilliant kazi nzuri bro bhailam Naomi kheirat big up sana guys
Nguvu za mwenyezi Mungu zipo juu ya nguvu za giza Amina
Ila khairat anakaa kama binti yake bhailam wametaka kufanana
Oya team kilifi kikambala ngoloko msumarini mferejini kibaoni mnarani pitieni❤❤❤
Tuko fully
Team mavueni
Asante sana bhailam kazi mzuri Big up aya tusalimiane team WiFi team kupambana nawapenda mno 🥰 kazi kazi 🇴🇲🇴🇲🇴🇲
Nampenda Sana yule binti mdogo
😂 😂 Nimefurahi kuona mzee uzuri anaimba nyimbo za kwetu
aisee kama huo ndo mwisho kabisa kabisa, basi umefeli sana
Jamani watu tunalala usiku na watu wanaroga ❤❤❤❤❤
Mmezingua sana move imeisha kishamba sana
Hapa Umezinguwa xana Mzee Bhailam.
Naommy🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️mm pia
Hongereni sana🎉🎉🎉🎉❤❤😂
Sinema nzuri kweli
Poa lakini mwiso wenu sio poa mujalibu kumalisia juu tulikua tunagoja kubuka kwa wasawi sasa vipi hapo mimi sio musani lakini mwiso ue tamu kuliko mwaso from kenya❤
Nasir bailam hujawahi tuangusha brother but haijaisha vizuri.
Umaliziaji kama wa jobe
Umamaliza muvi vibaya kaka hatujapenda
Umezingua ndio imesha vip
Good morning beautiful 😍❤️
Move mzur sana lkn imeishia vibaya jee shangazi na bhailam wameishia vipi na khayrat wangu kamuumbuaje shangazi imeishia vibaya move khayrat nakupenda mama ❤❤❤
Nzuri sana ❤🇹🇿
Huu mwisho sio mzuri hta hamjawapa adhabu hao wachawi
Bailam ww ni noma
Mmemaliza vyenye haifai
Mmeimaliza kiboya sana
Hivi ni macho yangu au bas🙆
Naipenda sana
Safiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii Ila sija penda kabisa neno FAINAL
We bhailam mseng xn xa nd imeishaj hvo at ieleweki
Congratulation kwa movie zenu nzuri
Sijapenda jinsi mlivyo imalizia ata kidogo
Haikuisha vizuri lazima wachawi waumbuke😂
Ndo uzur umeyatimba😂
Good work❤
imeisha vibaya bhna
Jamani nampenda khairati
Much love from 🇰🇪... I love your work
Imeisha vibaya
Sasa ndio Imeishaje hivyo bwana bhailam
Hailath is the man of the match , nampenda huyu binti
Nampenda sana huyu motto mm
Bailamu katika kitu ulichotuangusha ni kumaliza
Sijaelewa imeishaje ishaje 😢😢😢😢😢😢
Kazi nzuri bailam ❤❤nawapenda bure 🎉🎉from kenya 🇰🇪
Imeishaje ishaje sasa😢😢
Ila jamani haikupaswa iishe hivi ao labda mutwambie kama kuna season nyingine
Hailat anajicho nzuri jmn ningekuw mwanamme daah😂😂❤😊
Umeona EEEH, sio jicho TU mtoto Kama kajiumba😍. Akikuelekea asikuelekee Ni mzuri tu. Hata kama mchawi simuogopi hivyo hivyo ntadima nae😁. Kakuzidi kidogo nifanyie mipango
Mbn imeisha ivo 😮😮😮
Mwamanye vandu😂😂' ndo uzuli'
🎉🎉🎉🎉🎉🎉l
mov nzur sana ila umalizaji ndio binafsi sijaelewa
Wasenge nyie hatujaona mwisho WA bailam na vibaraka wake mmemaliza hovyo😭😭😭😭😭
Imeisha vibya mnooo😢😢😢😢😢
Mwicho wake mubaya sana kwani hatukuona hatia ya bhailam
Mmemaliza kiuni kazi yenu
Khairat nampenda ndugu
ndo uzuri 😁😁😁😁😁😁😁😁
Ivi bhailam na upro wako wote
Unamalizaje muvi namna hii
Aaah umecheza kama Yikpe
Airati uko mtupu ndo uzuri 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Aaah.mbona.tena
Kuna kuendelea kweli mbona imenonga jamani na mnasema mwisho😢
Namba Mojave mimi like zangu
Ila fikra za mzee hamza kwa janet😂😂😂 # pamoja teqm bhailam 🎉🎉🎉
WA kwanza mimi nipeni like zangu
Mmemaliz vibay wachawi atujaona kuumbuk
Wapi kabisa muna zinguwa sana, amujuwi kumalizia movie, na mukumbuka stven kanumba kabisa.
Bailam mwisho umetuzengua bana sasa inafaa ilikua tuone baba kurudi pia wachawi wote wapate mwisho wenye uchungu sasa hapo nalipo yadua nikuregesha alomchukua alafu wachawi waendeke na uchawi wao hiyo dua ilikua itoe wachawi wote nakilio kma vile wajihisi wanachwapwa bana yani wawe namwisho wauchungu
NILITAKA KHAIRATI AMPIGE MZINGA WA KICHAWI BHAILAM ASITEMBEE 😂, APATE ADABU YAKE. KISHA UYO BABA HAJAOKOLEWA SIJUI KISHAMLA BHAILAM 😂😂😂
Haijaisha utamu wachawi hawajaumbuka sijapenda😢
Msizani imeisha hii itakuja sehemu yapili
Bhailam kazi zuri kapiza❤❤❤
Bhailam bhana umekuwa mzee Simba tena!!!
Umemaliza Vibaya
Wakwanza Leo nipeni like zangu
37 pole NAOMI wangu🎉🎉🎉🎉🎉nakukubali sana
Golf vipingo apa
Imeisha vibaya 😂😂😂😂 mbona atujaona wabaya kukumbuka ?
Kaka mchezo mzuri ila kwa staili ulio marizia sio mzuri yahn ata shangazi yake ajapokea kibano wala ww amuja pambana mpka moja wenu akashindwa uwo kama ushauli t kaka kazi mzuri ila umeimariza mapema
Sa ndo imeisha je ivyo imeboa sana aseee ata uelewi adui zake walipatwa na nn
Mhhhh kumbe hailat ndo alivyo na tako hivyo
Ndo uzuri Sasa izo nyama zenye chumvi zingine ziko na kasukari waziria Nini ?? Ndo uzuri nikuchane 😂😂😂😂😂❤❤🇧🇮🇧🇮
Mbona sasa bailam watufanyia nn sasa
Much love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪hongera sana bailam na team yko 🎉🎉
Nice
Eti mwisho tena jamani sasa Bhailam na shangazi vp mbona mnatueka kwenye njia panda ama itaendelea season 2
Bailaham king