NAMTAKA BABA YANGU | FINAL|

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 окт 2024
  • #Bhailam#Naomy
    ⭐ Disclaimer
    This Content is Totally made by us, Don't use sound or Reupload otherwise we are not Responsible for your Channel!
    Subscribe hapa : / @bhailamkhan
    Subscribe to Comedy Plus: / @comedyplustz
    Like Ukurasa wetu wa Facebook : www.facebook.c...

Комментарии • 195

  • @josephdaud-rh8xq
    @josephdaud-rh8xq 3 месяца назад +11

    Kazi nzur bhaila tupo pamoja tunapenda kaz zako ila tunaomba uwe unatuwaishia

  • @stellahwafula-tn3gd
    @stellahwafula-tn3gd 3 месяца назад +29

    Much love from Kenya I need some likes

    • @WILLY_SKY1
      @WILLY_SKY1 3 месяца назад +1

      Unataka uzipeleke bungoma ama 😂😆😆 Sina ubaya

    • @Fabromi4be
      @Fabromi4be 3 месяца назад

      Hhh

  • @hilalkhalfan1452
    @hilalkhalfan1452 3 месяца назад +8

    Mchezo mzuri, lakini khairati mzuri Zaidi mashallah. Vipi bhailam tuje kaleta posa mtaturuhusu kutoka omn .

    • @hassankalu540
      @hassankalu540 3 месяца назад +2

      Muachne mtoto asome,jmn

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 3 месяца назад +1

      @@hassankalu540 basi wamsitiri Zaidi maana mh. Kwani anamiaka mingapi ?. Nitamtunza🫣. Hilo Ni totoz sio mtoto😁.

    • @hassankalu540
      @hassankalu540 3 месяца назад

      @@hilalkhalfan1452 miaka 30 inakuhusu bro ohooooo

    • @samwelimoshi5614
      @samwelimoshi5614 3 месяца назад

      Waislam bhna kupenda vitotooo😅

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 3 месяца назад

      @@samwelimoshi5614 waislamu tunaoa, nyie mnawabaka kesi zenu kibao polisi. Sasa Nani Bora?. Pili. Mtoto hazai, weye unamuona mtoto huyo umemuona kuwa hajavunja ungo?. Weye unakaririshwa na wazungu TU.

  • @MichaelMiker1
    @MichaelMiker1 3 месяца назад +3

    Akika hiyo cinema kuazia up to end mzee bhailam umefikiria sana God be with you every minute with your family member of that video keep it up brother your talent

  • @maryammsang202
    @maryammsang202 3 месяца назад +9

    Hii Bado haijaisha Mana hatajajua hatima ya bhailam na shangaz

  • @kelvinachoki289
    @kelvinachoki289 3 месяца назад

    Napenda sana kufwatilia❤❤ much love from kenya❤❤

  • @MICKEYBOYHB
    @MICKEYBOYHB 3 месяца назад +8

    KAMA UNAMWAMINI BHAILAM TWENDE KAZI❤

  • @BothainaBothaina-k6c
    @BothainaBothaina-k6c 3 месяца назад

    Hii ni nzuri sana aaishe🎉🎉❤

  • @OmanOman-y7z
    @OmanOman-y7z 3 месяца назад

    Ailat itakuwa psi badae mashallah mzur kafungaaha kama Naomi nyuma😂😂❤❤❤

  • @23Maryamu
    @23Maryamu 3 месяца назад

    Kazi nzuli ❤Alhmdoulillah tumemaliza salaam🤲🤲

  • @nasraemmanuel
    @nasraemmanuel 3 месяца назад +1

    Kazi nzuri sana bro na waigizaji wote mmeweza tuko pamoja

  • @Djroydaniel
    @Djroydaniel 3 месяца назад

    Mi nilizani Île Namtaka Baba yangu yazamani, kumbe Mme irudiya tena 💥💥

  • @TANZANIA01TANZANIA01
    @TANZANIA01TANZANIA01 3 месяца назад +2

    hongereni sana kazi zuri mno

  • @nzegeatv6355
    @nzegeatv6355 3 месяца назад +5

    Wabongo mnazingua sana hamjui kumaliza muv

    • @JojoJose-tp7pj
      @JojoJose-tp7pj 3 месяца назад

      Yani mimwenyewe nashangaa kweli mbon movies iishe hivo kweli 😢😢😢 duuh au tusubili season 2

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 3 месяца назад

      @@JojoJose-tp7pj MIE KAMA HAYUPO KHAIRATI WALA SITIZAMI HIO MOVIE. Hawajui kumalizia wakati mwisho ndio kwenye uhondo. Bahati Mie sitizami mchezo, khairati TU😁😁😁

  • @josephdaud-rh8xq
    @josephdaud-rh8xq 3 месяца назад +5

    Tulio kuwa mwanza mpka mwisho wa flam yetu .hongeren team bhaila

  • @ggfwtgg1652
    @ggfwtgg1652 3 месяца назад +2

    Nakukubali sana hairati na shepu yako mjini 😅😅😅

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 3 месяца назад

      Khairati wangu usitake kuniibia bosi wangu, nishamuwahi😁

  • @mohammedhassan-o9s
    @mohammedhassan-o9s 3 месяца назад +1

    Umeish vbay yan , htujaon htma y mzee bhailam n wenzake

  • @AliMunga-c8n
    @AliMunga-c8n 3 месяца назад

    Brilliant kazi nzuri bro bhailam Naomi kheirat big up sana guys

  • @tuombemamila1364
    @tuombemamila1364 3 месяца назад +1

    Nguvu za mwenyezi Mungu zipo juu ya nguvu za giza Amina

  • @HAWAMAULIDI-zl5xd
    @HAWAMAULIDI-zl5xd 3 месяца назад +1

    Ila khairat anakaa kama binti yake bhailam wametaka kufanana

  • @Kamoste
    @Kamoste 3 месяца назад +5

    Oya team kilifi kikambala ngoloko msumarini mferejini kibaoni mnarani pitieni❤❤❤

  • @zainaabdallah809
    @zainaabdallah809 3 месяца назад

    Asante sana bhailam kazi mzuri Big up aya tusalimiane team WiFi team kupambana nawapenda mno 🥰 kazi kazi 🇴🇲🇴🇲🇴🇲

  • @ransbeatz2626
    @ransbeatz2626 3 месяца назад

    Nampenda Sana yule binti mdogo

  • @QueenJane-x3m
    @QueenJane-x3m 3 месяца назад

    😂 😂 Nimefurahi kuona mzee uzuri anaimba nyimbo za kwetu

  • @nancyg8664
    @nancyg8664 3 месяца назад +2

    aisee kama huo ndo mwisho kabisa kabisa, basi umefeli sana

  • @evarlneambiyo881
    @evarlneambiyo881 3 месяца назад

    Jamani watu tunalala usiku na watu wanaroga ❤❤❤❤❤

  • @seifhamood8993
    @seifhamood8993 3 месяца назад +1

    Mmezingua sana move imeisha kishamba sana

  • @condeboy257tv9
    @condeboy257tv9 3 месяца назад +1

    Hapa Umezinguwa xana Mzee Bhailam.

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 3 месяца назад

    Naommy🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️mm pia

  • @sofiakinyia2734
    @sofiakinyia2734 3 месяца назад

    Hongereni sana🎉🎉🎉🎉❤❤😂

  • @SadaNusra-dt5tx
    @SadaNusra-dt5tx 3 месяца назад

    Sinema nzuri kweli

  • @helinasubila987
    @helinasubila987 3 месяца назад +2

    Poa lakini mwiso wenu sio poa mujalibu kumalisia juu tulikua tunagoja kubuka kwa wasawi sasa vipi hapo mimi sio musani lakini mwiso ue tamu kuliko mwaso from kenya❤

    • @WinifridaKisinga
      @WinifridaKisinga 3 месяца назад

      Nasir bailam hujawahi tuangusha brother but haijaisha vizuri.

  • @yasrynyawita5540
    @yasrynyawita5540 3 месяца назад

    Umaliziaji kama wa jobe
    Umamaliza muvi vibaya kaka hatujapenda

  • @arifyussuf7900
    @arifyussuf7900 3 месяца назад +3

    Umezingua ndio imesha vip

  • @FrancoisRamazani-nx2se
    @FrancoisRamazani-nx2se 3 месяца назад +1

    Good morning beautiful 😍❤️

  • @hawamohammed9740
    @hawamohammed9740 3 месяца назад

    Move mzur sana lkn imeishia vibaya jee shangazi na bhailam wameishia vipi na khayrat wangu kamuumbuaje shangazi imeishia vibaya move khayrat nakupenda mama ❤❤❤

  • @evelnjuma1834
    @evelnjuma1834 3 месяца назад

    Nzuri sana ❤🇹🇿

  • @sifamalingi3014
    @sifamalingi3014 3 месяца назад

    Huu mwisho sio mzuri hta hamjawapa adhabu hao wachawi

  • @bakarimakame4694
    @bakarimakame4694 3 месяца назад +1

    Bailam ww ni noma

  • @shadyarif653
    @shadyarif653 3 месяца назад +1

    Mmemaliza vyenye haifai

  • @MushuRwega-qp4zm
    @MushuRwega-qp4zm 3 месяца назад

    Mmeimaliza kiboya sana

  • @teddysananga
    @teddysananga 3 месяца назад

    Hivi ni macho yangu au bas🙆

  • @zeinabuAchiengOkara
    @zeinabuAchiengOkara 3 месяца назад

    Naipenda sana

  • @isayabryson8857
    @isayabryson8857 3 месяца назад +1

    Safiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii Ila sija penda kabisa neno FAINAL

  • @jastinedaudi-qi9vr
    @jastinedaudi-qi9vr 3 месяца назад +1

    We bhailam mseng xn xa nd imeishaj hvo at ieleweki

  • @Tototulivu
    @Tototulivu 3 месяца назад

    Congratulation kwa movie zenu nzuri

  • @simonmachuka
    @simonmachuka 3 месяца назад

    Sijapenda jinsi mlivyo imalizia ata kidogo

  • @irenecherotich4975
    @irenecherotich4975 3 месяца назад

    Haikuisha vizuri lazima wachawi waumbuke😂

  • @FurahaKulapha
    @FurahaKulapha 3 месяца назад +1

    Ndo uzur umeyatimba😂

  • @janethfelix9411
    @janethfelix9411 3 месяца назад

    Good work❤

  • @bethermassawe929
    @bethermassawe929 3 месяца назад

    imeisha vibaya bhna

  • @mchambikisupi9204
    @mchambikisupi9204 3 месяца назад

    Jamani nampenda khairati

  • @SamsonCharo-pn3dy
    @SamsonCharo-pn3dy 3 месяца назад

    Much love from 🇰🇪... I love your work

  • @JohaMunezero-b2b
    @JohaMunezero-b2b 3 месяца назад +1

    Imeisha vibaya

  • @mhinajerome5964
    @mhinajerome5964 3 месяца назад +1

    Sasa ndio Imeishaje hivyo bwana bhailam

  • @allymwashambwa5920
    @allymwashambwa5920 3 месяца назад

    Hailath is the man of the match , nampenda huyu binti

  • @stellamwakyusa7929
    @stellamwakyusa7929 3 месяца назад

    Nampenda sana huyu motto mm

  • @Yangadamu
    @Yangadamu 3 месяца назад

    Bailamu katika kitu ulichotuangusha ni kumaliza

  • @HasnaHasna-q5x
    @HasnaHasna-q5x 3 месяца назад +1

    Sijaelewa imeishaje ishaje 😢😢😢😢😢😢

  • @VirginiaGoro-p6m
    @VirginiaGoro-p6m 3 месяца назад +1

    Kazi nzuri bailam ❤❤nawapenda bure 🎉🎉from kenya 🇰🇪

  • @EmanuelDavid-v5h
    @EmanuelDavid-v5h 3 месяца назад

    Imeishaje ishaje sasa😢😢

  • @HAWAMAULIDI-zl5xd
    @HAWAMAULIDI-zl5xd 3 месяца назад +1

    Ila jamani haikupaswa iishe hivi ao labda mutwambie kama kuna season nyingine

  • @LovenessJames-r9l
    @LovenessJames-r9l 3 месяца назад

    Hailat anajicho nzuri jmn ningekuw mwanamme daah😂😂❤😊

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 3 месяца назад

      Umeona EEEH, sio jicho TU mtoto Kama kajiumba😍. Akikuelekea asikuelekee Ni mzuri tu. Hata kama mchawi simuogopi hivyo hivyo ntadima nae😁. Kakuzidi kidogo nifanyie mipango

  • @fatuma6011
    @fatuma6011 3 месяца назад

    Mbn imeisha ivo 😮😮😮

  • @barnabasmarsel3876
    @barnabasmarsel3876 3 месяца назад

    Mwamanye vandu😂😂' ndo uzuli'

  • @innocenaAline
    @innocenaAline 3 месяца назад +1

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉l

  • @ChudComputerservices
    @ChudComputerservices 3 месяца назад

    mov nzur sana ila umalizaji ndio binafsi sijaelewa

  • @FerdinandElibariki
    @FerdinandElibariki 3 месяца назад

    Wasenge nyie hatujaona mwisho WA bailam na vibaraka wake mmemaliza hovyo😭😭😭😭😭

  • @nurujainamwile1618
    @nurujainamwile1618 3 месяца назад

    Imeisha vibya mnooo😢😢😢😢😢

  • @salumuernest6042
    @salumuernest6042 3 месяца назад

    Mwicho wake mubaya sana kwani hatukuona hatia ya bhailam

  • @StevenPaulo-n9c
    @StevenPaulo-n9c 3 месяца назад

    Mmemaliza kiuni kazi yenu

  • @mchambikisupi9204
    @mchambikisupi9204 3 месяца назад

    Khairat nampenda ndugu

  • @JumaaKombo-fm1fz
    @JumaaKombo-fm1fz 3 месяца назад

    ndo uzuri 😁😁😁😁😁😁😁😁

  • @yasrynyawita5540
    @yasrynyawita5540 3 месяца назад

    Ivi bhailam na upro wako wote
    Unamalizaje muvi namna hii
    Aaah umecheza kama Yikpe

  • @UZURIPLUS
    @UZURIPLUS 3 месяца назад

    Airati uko mtupu ndo uzuri 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @aishajuma6706
    @aishajuma6706 3 месяца назад

    Aaah.mbona.tena

  • @finegatwiri2597
    @finegatwiri2597 3 месяца назад

    Kuna kuendelea kweli mbona imenonga jamani na mnasema mwisho😢

  • @sadamkirindo
    @sadamkirindo 3 месяца назад +2

    Namba Mojave mimi like zangu

  • @aishaomar2287
    @aishaomar2287 3 месяца назад +1

    Ila fikra za mzee hamza kwa janet😂😂😂 # pamoja teqm bhailam 🎉🎉🎉

  • @Morganpromoter
    @Morganpromoter 3 месяца назад +3

    WA kwanza mimi nipeni like zangu

  • @zulfamangapi1219
    @zulfamangapi1219 3 месяца назад

    Mmemaliz vibay wachawi atujaona kuumbuk

  • @mik-film
    @mik-film 3 месяца назад

    Wapi kabisa muna zinguwa sana, amujuwi kumalizia movie, na mukumbuka stven kanumba kabisa.

  • @Sadiq-lu8xs
    @Sadiq-lu8xs 3 месяца назад

    Bailam mwisho umetuzengua bana sasa inafaa ilikua tuone baba kurudi pia wachawi wote wapate mwisho wenye uchungu sasa hapo nalipo yadua nikuregesha alomchukua alafu wachawi waendeke na uchawi wao hiyo dua ilikua itoe wachawi wote nakilio kma vile wajihisi wanachwapwa bana yani wawe namwisho wauchungu

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 3 месяца назад

      NILITAKA KHAIRATI AMPIGE MZINGA WA KICHAWI BHAILAM ASITEMBEE 😂, APATE ADABU YAKE. KISHA UYO BABA HAJAOKOLEWA SIJUI KISHAMLA BHAILAM 😂😂😂

  • @KhidayaNampundu-tx1ie
    @KhidayaNampundu-tx1ie 3 месяца назад

    Haijaisha utamu wachawi hawajaumbuka sijapenda😢

  • @PoliceNdizeye-rt2ml
    @PoliceNdizeye-rt2ml 3 месяца назад

    Msizani imeisha hii itakuja sehemu yapili

  • @philohmutua2968
    @philohmutua2968 3 месяца назад

    Bhailam kazi zuri kapiza❤❤❤

  • @EvodiaDominic
    @EvodiaDominic 3 месяца назад +1

    Bhailam bhana umekuwa mzee Simba tena!!!

  • @Hadijaissa-j9c
    @Hadijaissa-j9c 3 месяца назад

    Umemaliza Vibaya

  • @Fabromi4be
    @Fabromi4be 3 месяца назад +2

    Wakwanza Leo nipeni like zangu

  • @DianaMkembelwa
    @DianaMkembelwa 3 месяца назад +1

    37 pole NAOMI wangu🎉🎉🎉🎉🎉nakukubali sana

  • @SakinaHassani-xm7ti
    @SakinaHassani-xm7ti 3 месяца назад +2

    Imeisha vibaya 😂😂😂😂 mbona atujaona wabaya kukumbuka ?

  • @sideboy-ey6iv
    @sideboy-ey6iv 3 месяца назад

    Kaka mchezo mzuri ila kwa staili ulio marizia sio mzuri yahn ata shangazi yake ajapokea kibano wala ww amuja pambana mpka moja wenu akashindwa uwo kama ushauli t kaka kazi mzuri ila umeimariza mapema

  • @meshack3266
    @meshack3266 3 месяца назад

    Sa ndo imeisha je ivyo imeboa sana aseee ata uelewi adui zake walipatwa na nn

  • @DaudAshery-ie2pf
    @DaudAshery-ie2pf 3 месяца назад

    Mhhhh kumbe hailat ndo alivyo na tako hivyo

  • @EzraBoboloy
    @EzraBoboloy 3 месяца назад

    Ndo uzuri Sasa izo nyama zenye chumvi zingine ziko na kasukari waziria Nini ?? Ndo uzuri nikuchane 😂😂😂😂😂❤❤🇧🇮🇧🇮

  • @saumodzumbo9671
    @saumodzumbo9671 3 месяца назад

    Mbona sasa bailam watufanyia nn sasa

  • @moronayou5148
    @moronayou5148 3 месяца назад

    Much love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪hongera sana bailam na team yko 🎉🎉

  • @Msomal47
    @Msomal47 3 месяца назад

    Nice

  • @khadijahali6856
    @khadijahali6856 3 месяца назад

    Eti mwisho tena jamani sasa Bhailam na shangazi vp mbona mnatueka kwenye njia panda ama itaendelea season 2

  • @hythamshadrack2323
    @hythamshadrack2323 3 месяца назад +2

    Bailaham king