AMBANGILE AMLIPUA ALLY KAMWE/"MPIRA SIO MGUMU IVYO/WATAKULA GOLI 1 NA MPIRA MWINGI".

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 авг 2024
  • Leo tarehe 22/06/2023 imetolewa tarehe rasmi ya Mchezo wa Wape Tabasamu 2023 ambao utapigwa Mkoani Morogoro ukikutanisha Timu Kibwana Dhidi ya Timu Dickson Job kwenye Uwanja wa Jamhuri.
    Dhumuni kubwa la Mchezo huo ni Uzazi Salama kwa Kizazi Bora.
    Kocha wa Timu Kibwana ni George Ambangile huko Kocha wa Timu Job akiwa ni Ally Kamwe

Комментарии • 8