AMBANGILE AMLIPUA ALLY KAMWE/"MPIRA SIO MGUMU IVYO/WATAKULA GOLI 1 NA MPIRA MWINGI".
HTML-код
- Опубликовано: 27 авг 2024
- Leo tarehe 22/06/2023 imetolewa tarehe rasmi ya Mchezo wa Wape Tabasamu 2023 ambao utapigwa Mkoani Morogoro ukikutanisha Timu Kibwana Dhidi ya Timu Dickson Job kwenye Uwanja wa Jamhuri.
Dhumuni kubwa la Mchezo huo ni Uzazi Salama kwa Kizazi Bora.
Kocha wa Timu Kibwana ni George Ambangile huko Kocha wa Timu Job akiwa ni Ally Kamwe
Nakubali San ambangire
Mungu awaongoze wadogo zangu
AMBANGILEE 🙌🙌🙌🙌
George Ambangile umejaliwa unakipaji kisicho shaka unajua kubalansi uchambuzi wako wachambuzi wengine wanatakiwa waige
KYELA FINEST 🫶🫶👏👏👏
Da!! Kweli kaka
Kweli kabisa alafu bado ni vijana wadogo sana
Mimi namkubali sn kamwee