EXCLUSIVE: GEORGE AMBANGILE Afunguka USIYOYAJUA, ELIMU Yake, ALIVYOANZA kama MASIHARA Kuchambua SOKA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 авг 2024
  • EXCLUSIVE: GEORGE AMBANGILE Afunguka USIYOYAJUA, ELIMU Yake, ALIVYOANZA kama MASIHARA Kuchambua SOKA
    GLOBAL TV tumefanya mahojiano na mchambuzi wa soka, George Ambangile, kuhusiana na upande wa pili wa maisha yake, kuanzia alivyoanza kusoma, akagundua kipaji chake, changamoto alizokutana nazo na mengine mengi ambayo watu wengi hawayajui kumuhusu.
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 784 888982)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Комментарии • 29

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  2 года назад +1

    SUBSCRIBE NOW UWE WA KWANZA KUONA:👉🏾 bit.ly/3MraYdQ

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo6263 2 года назад +5

    Mr. George! A gentleman with talented tongue! So calm, so humble, so kind, a man I wish I'd have an opportunity to meet. George u're my role model! Fortunately enough to learn your historical background from my horse's mouth!

  • @nuruabdallahmed9495
    @nuruabdallahmed9495 2 года назад +5

    Wanaokutukana hawajielewi. Wewe ni mtu na unajua unachofanya. Ila wengi wa wachambuzi ni wa ovyo.

  • @abeldugange823
    @abeldugange823 Год назад

    Huyu Kijana yuko vizuri sana. Congraturations. Mtu anayefikia hatua ya kutukana kakosa point, that is all kaka. Keep it up👍👍👍👍👍🫢

  • @linusifajensi5677
    @linusifajensi5677 2 года назад +2

    Kiukwel kakaangu AMBANGILE nakuelewaga sana natamanigi kukutana na wewe tupia nambaako ya simu kaka

  • @mirajihaji9634
    @mirajihaji9634 Год назад

    Ni wachambuzi wa 2 tu ambao mnajua Sana namini hakuna mwingine abisai was istafrica na wewe ambangile mnajua Sana🙏🙏🙏🙏

  • @abduljuma4330
    @abduljuma4330 2 года назад +1

    Namkubali sana ambangile yuko vizuli sana

  • @andrewmziray2233
    @andrewmziray2233 2 года назад +3

    Musa kipanya Moses mutente na George Ambangile aisssMagic fm nliwakubali mpk leo

  • @linusifajensi5677
    @linusifajensi5677 2 года назад +2

    Kaka usiogope upo vizuri mno

  • @yahayamgomi5755
    @yahayamgomi5755 Год назад +1

    Katika wa chambuzi wote namuelewa sana ambangile hanajuwa

  • @clevisaboytz544
    @clevisaboytz544 2 года назад +1

    Nakukubali sana kaka

  • @nahyialetomia9284
    @nahyialetomia9284 2 года назад +1

    Kijana safi

  • @rashidkhamisjuma3714
    @rashidkhamisjuma3714 2 года назад +3

    tanzanzania kuna wachambuz wengi wazr ila huyu na ali kamwe wameuteka moyo wangu

    • @deus8629
      @deus8629 2 года назад

      Hv unajua moyo ww?

  • @jumamnyamani6700
    @jumamnyamani6700 2 года назад +1

    Ambangile kaza mdogo wangu mm shabiki wako naapa umewaacha mbali sanaaa ndo Mana wanaweka ushabiki awajui kazi

  • @jumamnyamani6700
    @jumamnyamani6700 2 года назад

    Mdogo wangu we unachambua mifumo uwanjani wengine wanasema ambayo cc tunajua c tunaona

  • @stellah3844
    @stellah3844 2 года назад

    Namkubali tangu yupo Magic

  • @sebastianmwanda293
    @sebastianmwanda293 2 года назад +5

    Mimi ni shabiki wa yanga, ukweli bro matusi yanakera sana tumeshindwa kuwa mashabiki wa kujenga hoja tunaropoka tu tukidhani ni ujanja kumbe ni ujinga, tubadilike aisee.

    • @davidbahati3748
      @davidbahati3748 2 года назад

      Wewe sio shabiki wa Yanga koz Yanga sio wastaarabu Ivo, mashabiki wa Yanga ndo wanaongoza kwa matusi mitandaoni hasa unapoigusa timu yenu.

  • @JOSEPHMWAJA
    @JOSEPHMWAJA 3 месяца назад

    Joseph Guede ni mshambuliaji mzuri lakini siyo machachali

  • @ivankmugi2226
    @ivankmugi2226 8 месяцев назад

    Daah sundowner kilikua kipindi changu kiufupi magic Ndo ilikua redio yangu pendwa kaka orest halima mzilay baraka ngemba 😂😂daah

  • @kunojengo
    @kunojengo 7 месяцев назад

    Matusi mengi yanapatikana kwa Binti Kazumari 😂😂😂 mchambuzi wa mchongo na njaa zake

  • @MichaelPasipanofu-oc4uv
    @MichaelPasipanofu-oc4uv Год назад

    Ndiyo maana George Ambangile uchambuzi wake ni wakisomi siyo Uchambuzi wa akina Gemedari wanaochambua michezo bila mizania huchambua kishabiki na uchambuzi wake umejaa chuki tupu

  • @ebenezerkaaya7345
    @ebenezerkaaya7345 2 года назад

    George ✊✊

  • @kapelotz9967
    @kapelotz9967 2 года назад

    Hao wanao kutukana hawajui wa litendalo lakn wewe utabaki kuwa bora hadi nakufa yan I think me nixipo kuxikia kwenye kipindi cha sport arena au sport cott aixe najikia vibaya xana tena xana

  • @shilagijisandu3101
    @shilagijisandu3101 2 года назад

    Muongo huyo ,kwa kumsikiliza tu huyo united na Simba , maana akiichambua Simba utafikili hakuna timu ya kuifunga Ila yanga kila mechi huweka mwanya wa kufungwa

  • @lore4837
    @lore4837 2 года назад

    huyu shoga pia mwambie aache hiyo tabia sio nzuri.