MPYA: NATAKA KUFA JAJI- 1 (Season I) SIMULIZI ZA UJAJUSI NA UPELELEZI.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • Picha linaanza mzee mmoja wa miaka kama 50 hivi ila anaonekana bado sana kwa sababu alikua ni bilionea huyu mzee akiwa anarejea nyumbani kwake... Alipofika nyumbani anakuta wakola wanamsubiri na kuna kitu walikua wanakihitaji kutoka kwake... Hakutaka kuwapa hivyo wanamuua kikatili sana yeye na familia yake.. Ila mtoto mmoja wa kiume wa hiyo familia anaokolewa na mlinzi wa nyumba hiyo na kutokomea zake.. Huyo dogo anapotea anakuja kurudi akiwa ni kiumbe wa kutisha sana ...anakabidhiwa mali za baba yake na anapewa historia ya familia yake na hapo anaanza kuwasaka wabaya wake na hao wabaya wake wanapata habari kua kuna masalia ya ile familia.. Wanaanza kutafutana.. Moto uliowashwa hapo waliisoma nambaaaa... Usikose hii kitu ni Fabian Babuya Ft Felix Mwenda...
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 75

  • @peninamwailunda8813
    @peninamwailunda8813 Год назад +11

    I hope msimuliaji watakuwa ni watu wangu wa nguvu my son OEN n Felix vijana wangu wanaonipa faraja kila niwasikiapo, bigup sn viongozi wangu

  • @SIMULIZIFUPI
    @SIMULIZIFUPI Год назад +3

    Gonga malike mengiii hapo juu

    • @aminah9557
      @aminah9557 Год назад +1

      Kweli huyu mwamba Fabiani Babuya habanga show mbovu kabisa

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 Год назад +1

    Kalii kweli kweli sijui huyo mzee alieuliwa na family yake alikuwa na hazina gani mpka family ikauliwa.nahisi huyu baba jamal mlezi alikuwa mfanyikazi wandani ndoakamuokoa huyoo mtoto

  • @aishasuleiman2216
    @aishasuleiman2216 Год назад +2

    Hongera sana Febiani babuya kwa kutuletea vitu vitam sana tena sana nikiona jinalako najua hichi kitu cha ukweee. na filix nawe hongera kwa sauti yko ya mbwembe. ❤❤❤

  • @clemencemsigwa4521
    @clemencemsigwa4521 Год назад +3

    🎉❤❤ simulizi mix

  • @niyibitangabede
    @niyibitangabede Год назад +1

    Waoo kitu ki mpya shukran sn

  • @catherinemuhagama7338
    @catherinemuhagama7338 Год назад +1

    Kitu kipyaaaa💃💃💃💃🔥

  • @saraasatenisanasimlizimixc9232
    @saraasatenisanasimlizimixc9232 Год назад +1

    Heee nimechelewa kweli jamani ila lazima niijoii asate sana simlizi mix fellix mweda f Mbalikiwe sana jamani kwakutuletea kitu kumoyo

  • @hopefulsabby4169
    @hopefulsabby4169 Год назад +2

    Jamani jamani 🎉🎉🎉🎉💃🏿💃🏿💃🏿💃🏿💃🏿💃🏿💃🏿tuko huku sasa.Mambo safi sana🎉🎉🎉🎉

  • @mariamMilha-st3qu
    @mariamMilha-st3qu Год назад

    Nirikuwa nagukumbuka Felx twende kazi🤛🏽🤛🏽🤛🏽🤛🏽🤛🏽🤛🏽🤛🏽🤛🏽🤛🏽🤛🏽🖐🖐🖐🖐🖐🖐💪🏽💪🏽💪🏽💪🏽💪🏽💪🏽💪🏽💪🏽

  • @ummusulaish5586
    @ummusulaish5586 Год назад +2

    Shukran sana kaka Felix kwa kutuletea Simulizi mpya
    Haya tumsindikizeni huyo anaetaka Kufa

    • @Pretty22750
      @Pretty22750 Год назад

      😂😂😂hatuna uchoyo maua yangu hiyo 🌹🌹💐💐

  • @peninamwailunda8813
    @peninamwailunda8813 Год назад +1

    Bigup son my lovely bro,
    Ntasikiliza baadae, sjapata nafasi, sshv nipo sehemu siwezi sikiliza but nimeona imeryka hewani nikalike

  • @bbrsssaad1282
    @bbrsssaad1282 Год назад +1

    Safy sana my bro Mwenda love u

  • @mwanyemimohamed2191
    @mwanyemimohamed2191 Год назад +2

    Oyooooo

  • @FahimaahMklh
    @FahimaahMklh Год назад +1

    Wow Felix uyoooo❤❤❤😅😅😅

  • @theopisterjovent3483
    @theopisterjovent3483 Год назад +2

    Nimekuwa wa sita❤❤❤ asante Simulizi Mix Family kwa kutujari na mtunzi wetu Fabian Babuya💪💪💪 bila kumsahau mwenye sauti yake Felix Mwenda💞💞💞

  • @Winniequinepretty-wm7rr
    @Winniequinepretty-wm7rr Год назад +1

    shukran sana kk felix kwa kutuletea simulizi mpya ❤❤❤

  • @lightnessmsangi3148
    @lightnessmsangi3148 Год назад +2

    Jamaniiii Jamaniiii Jamaniiii
    Nawapenda sana Simulizi Mix Family

  • @MwanaMpole-mo5di
    @MwanaMpole-mo5di Год назад +1

    Kufa lazima boss

  • @lonakirao5275
    @lonakirao5275 Год назад +1

    Safi sana Babuye na kaka mwenda kitu safi kabisa 🥰🥰🥰

  • @Pretty22750
    @Pretty22750 Год назад

    😊😊😊😊wow tukifikaga hapo kwa mkono napenda hadi Raha Jamal katambe🤼😅😅😅

  • @eddydady7331
    @eddydady7331 Год назад +1

    Twend sawaaa nayoo

  • @MwajumaFrederic-xx9rq
    @MwajumaFrederic-xx9rq Год назад

    Asante sana Félix mwenda kwakitu kipya mbarikiwe sana nilikuwa nimewamiss sana

  • @emmanuelmwatujobe8450
    @emmanuelmwatujobe8450 Год назад +1

    Wow mzigo mpya 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @hasamsaid4578
    @hasamsaid4578 Год назад +1

    Tupo pamoja bro 😊😊

  • @peninamwailunda8813
    @peninamwailunda8813 Год назад +1

    Eeh Fabiani mwaka huu utatukomesha na uroho wa simulizi
    Maanake ni bampa to bampa

  • @fatumamatano8216
    @fatumamatano8216 Год назад +1

    Kumekuchaaa....kitu kipyaaaaa...ndani ya mdaaa...

  • @temeliy4673
    @temeliy4673 Год назад +1

    Asantee Kaka felex

  • @sabrakhamis4585
    @sabrakhamis4585 Год назад +1

    Shujran saaanaa❤❤❤🎉🎉🎉

  • @momylaviel
    @momylaviel Месяц назад +2

    Mimi napenda usimuliaji wa Felix mwenda na Anko j

  • @janethmagema8062
    @janethmagema8062 Год назад +1

    😀😀😀😀 hatimae tuko kyera

  • @shidashida6060
    @shidashida6060 Год назад

    Hii smulizi ni nzuri sana

  • @fatematrtr4995
    @fatematrtr4995 Год назад +1

    Weeeee

  • @emilyadhiambo4540
    @emilyadhiambo4540 Год назад

    Mwenda huyooo Asante sana

  • @mwajumamunezero4055
    @mwajumamunezero4055 Год назад +1

    Shukran

  • @ahmedhamisimwarindano4223
    @ahmedhamisimwarindano4223 Год назад

    Yap yap Safi sana simulizi

  • @halimamazrui8138
    @halimamazrui8138 Год назад +1

    Waoo nice

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 Год назад +1

    Tupo hatupoi🔥🔥🔥🔥🔥

  • @fatumajumanne5961
    @fatumajumanne5961 Год назад +1

    Mmh mie hapana ctak kufa Ugal na ndimu pia mtamu 😂😂😂😂ngoja 2one 2naishia wap na hil pcha la kutisha ❤❤

  • @chantalmavandu4950
    @chantalmavandu4950 Год назад +1

    FLX huyo sauti nzuri na musiki munzuri

  • @BukuruLeoncy
    @BukuruLeoncy Год назад +1

    Hatuwez yikosa ngom hiyi😅

  • @fatumajumanne5961
    @fatumajumanne5961 Год назад +1

    ❤❤❤

  • @maseleenaesleen8149
    @maseleenaesleen8149 Год назад

    Simulizi Tamu sana❤❤❤🎉

  • @ahmedhamisimwarindano4223
    @ahmedhamisimwarindano4223 Год назад

    Kwa kweli kabisa mwandishi wa simulizi anafaa kupewa shukurani za dhati

  • @timesaleh6756
    @timesaleh6756 Месяц назад +1

    Yaani km simulizi hajasimulia kaka felix huwa siinjoy 😢

  • @junioraimabinhoirankunda9614
    @junioraimabinhoirankunda9614 Год назад +1

    ❤❤ 0:35

  • @laveenamuscat4959
    @laveenamuscat4959 Год назад

    Nimelipenda sana hii Kaz kaka

  • @simeonbizzy3885
    @simeonbizzy3885 Год назад +2

    Like zangu❤😊

  • @aminamhina9129
    @aminamhina9129 Год назад

    Nice

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 Год назад

    Jamal anapelekwaa Quba ilikujakupatamafunzo ajekulipa sisasi kwa family yake

  • @msimhassan
    @msimhassan Год назад +2

    🔥🔥🔥🔥🙏

  • @khadijasayeed3381
    @khadijasayeed3381 Год назад

    Jamal upo jela ndugu yangu😩🤣🤣🤣🤣

  • @stacyjames6676
    @stacyjames6676 Год назад

    🎉🎉🎉❤❤❤

  • @pilishazycounterog8200
    @pilishazycounterog8200 Год назад

    😂mm nikiona Felix BC napenda usimuliaj wake

  • @mariamndugu1519
    @mariamndugu1519 Год назад

    Mambo ni 🔥🔥🔥🔥

  • @maryamanalisi197
    @maryamanalisi197 8 дней назад

    ❤❤❤❤🎉🎉

  • @godtemba1770
    @godtemba1770 Месяц назад

    Ata sijaielewa😢😢😢

  • @lonakirao5275
    @lonakirao5275 Год назад +1

    Wapendwa muwe mnaita wenzenu kitu kkitua nanga bandarini😅

    • @timesaleh6756
      @timesaleh6756 Месяц назад

      Upunguze kulala mchana 😅😅😅😅

    • @lonakirao5275
      @lonakirao5275 Месяц назад

      @@timesaleh6756 mimi ntashapunguza ila ww mbona umerauka hivyo 🤣🤣🤣🤣

  • @mwatatually4540
    @mwatatually4540 Год назад +1

    Nimechelew wapi mie jamn

  • @juliethleonard7969
    @juliethleonard7969 Год назад

    ❤❤

  • @AnnaChitanda-gl6rn
    @AnnaChitanda-gl6rn Год назад

    Wa kyela tujuane

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 Год назад

    Jamal anapelekwaa Quba ilikujakupatamafunzo ajekulipa sisasi kwa family yake

  • @mwatatually4540
    @mwatatually4540 Год назад +1

    Nimechelew wapi mie jamn

  • @salmaedwin5641
    @salmaedwin5641 Год назад

    ❤❤❤❤❤

  • @ROSEROBERTROBART
    @ROSEROBERTROBART Год назад

    ❤❤❤❤❤