MPYA: NATAKA KUFA JAJI- 1 (Season I) SIMULIZI ZA UJAJUSI NA UPELELEZI.
HTML-код
- Опубликовано: 5 окт 2024
- Picha linaanza mzee mmoja wa miaka kama 50 hivi ila anaonekana bado sana kwa sababu alikua ni bilionea huyu mzee akiwa anarejea nyumbani kwake... Alipofika nyumbani anakuta wakola wanamsubiri na kuna kitu walikua wanakihitaji kutoka kwake... Hakutaka kuwapa hivyo wanamuua kikatili sana yeye na familia yake.. Ila mtoto mmoja wa kiume wa hiyo familia anaokolewa na mlinzi wa nyumba hiyo na kutokomea zake.. Huyo dogo anapotea anakuja kurudi akiwa ni kiumbe wa kutisha sana ...anakabidhiwa mali za baba yake na anapewa historia ya familia yake na hapo anaanza kuwasaka wabaya wake na hao wabaya wake wanapata habari kua kuna masalia ya ile familia.. Wanaanza kutafutana.. Moto uliowashwa hapo waliisoma nambaaaa... Usikose hii kitu ni Fabian Babuya Ft Felix Mwenda...
- Развлечения
I hope msimuliaji watakuwa ni watu wangu wa nguvu my son OEN n Felix vijana wangu wanaonipa faraja kila niwasikiapo, bigup sn viongozi wangu
Aky nami nawakubar saaaaana
Gonga malike mengiii hapo juu
Kweli huyu mwamba Fabiani Babuya habanga show mbovu kabisa
Kalii kweli kweli sijui huyo mzee alieuliwa na family yake alikuwa na hazina gani mpka family ikauliwa.nahisi huyu baba jamal mlezi alikuwa mfanyikazi wandani ndoakamuokoa huyoo mtoto
Hongera sana Febiani babuya kwa kutuletea vitu vitam sana tena sana nikiona jinalako najua hichi kitu cha ukweee. na filix nawe hongera kwa sauti yko ya mbwembe. ❤❤❤
Wow!🤸🤸🤸🤸🤸🤸
🎉❤❤ simulizi mix
Waoo kitu ki mpya shukran sn
Kitu kipyaaaa💃💃💃💃🔥
Heee nimechelewa kweli jamani ila lazima niijoii asate sana simlizi mix fellix mweda f Mbalikiwe sana jamani kwakutuletea kitu kumoyo
Jamani jamani 🎉🎉🎉🎉💃🏿💃🏿💃🏿💃🏿💃🏿💃🏿💃🏿tuko huku sasa.Mambo safi sana🎉🎉🎉🎉
Nirikuwa nagukumbuka Felx twende kazi🤛🏽🤛🏽🤛🏽🤛🏽🤛🏽🤛🏽🤛🏽🤛🏽🤛🏽🤛🏽🖐🖐🖐🖐🖐🖐💪🏽💪🏽💪🏽💪🏽💪🏽💪🏽💪🏽💪🏽
Shukran sana kaka Felix kwa kutuletea Simulizi mpya
Haya tumsindikizeni huyo anaetaka Kufa
😂😂😂hatuna uchoyo maua yangu hiyo 🌹🌹💐💐
Bigup son my lovely bro,
Ntasikiliza baadae, sjapata nafasi, sshv nipo sehemu siwezi sikiliza but nimeona imeryka hewani nikalike
Safy sana my bro Mwenda love u
Oyooooo
Wow Felix uyoooo❤❤❤😅😅😅
Nimekuwa wa sita❤❤❤ asante Simulizi Mix Family kwa kutujari na mtunzi wetu Fabian Babuya💪💪💪 bila kumsahau mwenye sauti yake Felix Mwenda💞💞💞
shukran sana kk felix kwa kutuletea simulizi mpya ❤❤❤
Jamaniiii Jamaniiii Jamaniiii
Nawapenda sana Simulizi Mix Family
Kufa lazima boss
Safi sana Babuye na kaka mwenda kitu safi kabisa 🥰🥰🥰
😊😊😊😊wow tukifikaga hapo kwa mkono napenda hadi Raha Jamal katambe🤼😅😅😅
Twend sawaaa nayoo
Asante sana Félix mwenda kwakitu kipya mbarikiwe sana nilikuwa nimewamiss sana
Wow mzigo mpya 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Tupo pamoja bro 😊😊
Eeh Fabiani mwaka huu utatukomesha na uroho wa simulizi
Maanake ni bampa to bampa
Kumekuchaaa....kitu kipyaaaaa...ndani ya mdaaa...
Asantee Kaka felex
Shujran saaanaa❤❤❤🎉🎉🎉
Mimi napenda usimuliaji wa Felix mwenda na Anko j
Me too udugu wangu
😀😀😀😀 hatimae tuko kyera
Hii smulizi ni nzuri sana
Weeeee
Mwenda huyooo Asante sana
Shukran
Yap yap Safi sana simulizi
Waoo nice
Tupo hatupoi🔥🔥🔥🔥🔥
Mmh mie hapana ctak kufa Ugal na ndimu pia mtamu 😂😂😂😂ngoja 2one 2naishia wap na hil pcha la kutisha ❤❤
Usiwaze utapata na chachandu❤❤
@@emmanuelmwatujobe8450 🤣🤣🤣🤣🤣
@emmanuelmwatujobe8450 😋😋😋😋
FLX huyo sauti nzuri na musiki munzuri
Hatuwez yikosa ngom hiyi😅
❤❤❤
Simulizi Tamu sana❤❤❤🎉
Kwa kweli kabisa mwandishi wa simulizi anafaa kupewa shukurani za dhati
Yaani km simulizi hajasimulia kaka felix huwa siinjoy 😢
❤❤ 0:35
Nimelipenda sana hii Kaz kaka
Like zangu❤😊
Nice
Jamal anapelekwaa Quba ilikujakupatamafunzo ajekulipa sisasi kwa family yake
🔥🔥🔥🔥🙏
Jamal upo jela ndugu yangu😩🤣🤣🤣🤣
🎉🎉🎉❤❤❤
😂mm nikiona Felix BC napenda usimuliaj wake
Mambo ni 🔥🔥🔥🔥
❤❤❤❤🎉🎉
Ata sijaielewa😢😢😢
Wapendwa muwe mnaita wenzenu kitu kkitua nanga bandarini😅
Upunguze kulala mchana 😅😅😅😅
@@timesaleh6756 mimi ntashapunguza ila ww mbona umerauka hivyo 🤣🤣🤣🤣
Nimechelew wapi mie jamn
❤❤
Wa kyela tujuane
Jamal anapelekwaa Quba ilikujakupatamafunzo ajekulipa sisasi kwa family yake
Nimechelew wapi mie jamn
❤❤❤❤❤
❤❤❤❤❤