Hii Simulizi Imeisha jamani haiana PART 02, HAPO MWISHONI simulizi ilibaki kama dakika 2 tu ili iishe ila kwa bahati mbaya imejikata, unaweza kumalizia kwa kusoma hapa kidogo 👇 . Yametimia John Boy; Yametimia Mazengo. Najua imekuuma lakini amini kuwa nimepumzika. Piga namba hizi (zikaandikwa namba za simu). Ikipokelewa sema maneno haya, SUBIRA MAZENGO, naye atakujibu. Nilifanya ulivyoandikwa ujumbe ule. Ilikuwa ni sauti ya mwanamke na alijitambulisha kuwa ni mwanasheria wa Subira mwenye mamlaka yote ya kusimamia mali zake endapo nisingepiga simu. Nilionana naye baada ya siku mbili. Nikamchukua na kwenda hadi alipokuwa anaishi Subira mara ya mwisho. Huko tuliikuta familia ya Subira ikimtoa Mama Bakari ndani. Ndipo mwanasheria alichukua jukumu la kutuliza zile ghasia na baadaye alijitambulisha na kuwaomba wamsikilize kwa makini. Aliwaambia mali zote za Subira zipo chini ya Mama Bakari. Hakuna yeyote ambaye atakuwa juu ya mama huyo. Mwanasheria alizidi kuweka bayana kila kitu kilichokuwa kimeandaliwa na Subira. Kwa upande wangu aliniachia kiasi cha pesa ambacho kitanisaidia kuchapa kitabu chenye historia ya maisha yake. Kiasi kingine cha pesa ambacho kilikuwa chini yangu, aliniomba sana nianzishe kituo cha kulelea watoto wasiojiweza. Alitaka hivyo kwa sababu yeye hakubahatika kuwa na mtoto, lakini zawadi pekee kwa watoto wengine ni mimi kusimamia kituo hicho. Subira kaenda. Lakini matendo yake bado yataendelea kuwepo. **** Miezi sita mbele, kitabu cha Msalaba Wangu kilitoka. Kilisubiriwa kwa hamu na wasomaji wengi sana nchini. Kila mmoja alikuwa na hamu ya kutaka kuijua hadithi ya Subira. Matangazo ya redioni na kwenye mitandao ya kijamii, yalizidi kukipa chachu kitabu hicho na kutamaniwa sana. Kilipotoka, nakala zipatazo elfu kumi ziliuzwa kwa siku ya kwanza pekee. Ndio, nakala elfu kumi zilikwisha kwa mkupuo na bado watu walikuwa wanalalamika kuwa wamekosa. Siku ya pili zilishuka nakala elfu hamsini, nazo zilikwisha ndani ya siku nne tu! Zikaandaliwa zingine na zingine tena. Ni kitabu kilichouzwa nakala laki na ishirini ndani ya mwezi mmoja tu! Ndicho kitabu chenye mafanikio makubwa kuliko kitabu kingine chochote kile kwani hadi sasa usomapo maandishi haya, tayari kimeuza nakala lakini tano nchi nzima. Na tayari wataalamu wa filamu wanakipitia waone kama kuna uwezekano wa kukifanyia filamu. Subira. Japo hukupenda kuitwa Dada, lakini kwangu ni Dada. Umekwenda lakini bado tunakukumbuka. Na hautofutika katika vichwa vyetu.
Anko jay kaz nzr na hongra kwa juma hiza kutuletea kitu cha moto 🔥🔥 tunasbria vyngne mungu akupe kiafya na uzima uzdi kutusimulia simuliz nzr tunamalizye na binti mina ❤️❤️❤️❤️❤️😜😜
Mijitu mingine humu mnakela mnoo loo yaani badala useme nin umejifunza au nin umefurahia lkn ndio kwaaanza oooh me wa kwanza like zang kwani zinawasaidia nini akili finyu tu Asante sana kaka jay hii simulizi daah inaumiza mno apumzike kwa amani subra dah kweli alipitia mateso mnoo na hicho kimke cha khac kitazidi kuhukumiwa huko kilipo😢😢😢😢
@@PatricalBeti tependa like wakwanza mimi like zangu leo nimewahi like zangu looo cjui zinafaida gani sas bdala tutoe maoni kuhusu simulizi eti wataka like 🙄🙄🙄
Asante anko nimejifunza na kuelimika pia japo ina sikitisha sana😢Mungu atuepushie nakila balaa nimejifunza tusiwe watu wavisasi mana hakuna ajuae kesho😢😢
Ahsante Mungu asimame nanyi mnaotoa Fundisho kwetu na jumbe muhim za kuzingatia wakati wa Mapito Yetu ya maisha, Namaliza kwa kusema Siwezi kumlaumu subira kwa kutosikia kanyo,na wala Siwezi kumlaimu Hans kwa kumdanganya Subira ila tu Nisema Moyo wa Mtu kichaka umebeba Siri nyingi za mwanadamu Pumzika kwa AMANI Subira
Daaah pole sana subira nimelia subira kufaaa jaman😭 nanimejifunza pia asante juma hiza na ankoj jay wetu mungu azidi kuwabariki na kuwapa afya njema mzidi kuteletea simulizi mbali mbali tujifunze mengi zaidi😥🙏🏻
ankojay kwa kweli sina lakukulipa ila mungu akusaidiye ufike bali.mimi kwenye maicha yangu ni mtu wama wazo tu ila niki fata simulizi zako na enjoy asante sana🙏
Ahsante sana Ankojay kwa simulizi hii nzuri imenigusa sana tena na mafundisho juu ❤❤ Ubarikiwe sana Ankojay Nakuomba hii simulizi usihifute RUclips please maana nahisikiliza kila siku nahipenda sana pia nimejifunza mambo mengi sana , Sauti yako ni Tamu sana 😂😂😂🎉🎉🎉🙏❤️❤️❤️
Mashambiki wa anko tukisikiza isiwe inapita hivyo tuwe tunajifuza n kutekeleza.Subira leo ametia mkazo kabla penzi alija kolea tufuate taratibu za doa njana tulijifunza kuhusu binti mina aliyo yapitia juu y mme wa mtu kaa agefuta taratibu agejua huyo jamaa n mme wa mtu.. shukurani anko wetu Mungu azidi kukutumia saidi kutuhekimisha aliye n sikio hatangoja yamkute dio ajifuze..much ❤❤ anko wetu
Mm mtu ambaye Naweza amini ni mamangu tuuu .nasio mpenzi tuliokutana watu wazima halafu unamjengea unamfungulia biasharaa loo huyoo mwanaume hakukupenda alipenda Mali nayy asichojua mke alikuwa ninyoka mwisho alimuua ili ajitanue Hassan Naye nafasi haikulala kabisaa mpka mkeo aka cormfaceee mwisho yy ndomchawii looo pole subira na RIP
hey na Rodney Hawa watu ni Wanda wazimu kwakweli ww subira unatisha pia kama Sara au mashati Gani hayo wakati Raha munasikisiya wote yy Sasa pole Sana subira
Hii Simulizi Imeisha jamani haiana PART 02, HAPO MWISHONI simulizi ilibaki kama dakika 2 tu ili iishe ila kwa bahati mbaya imejikata, unaweza kumalizia kwa kusoma hapa kidogo 👇
.
Yametimia John Boy; Yametimia Mazengo. Najua imekuuma lakini amini kuwa nimepumzika. Piga namba hizi (zikaandikwa namba za simu). Ikipokelewa sema maneno haya, SUBIRA MAZENGO, naye atakujibu.
Nilifanya ulivyoandikwa ujumbe ule. Ilikuwa ni sauti ya mwanamke na alijitambulisha kuwa ni mwanasheria wa Subira mwenye mamlaka yote ya kusimamia mali zake endapo nisingepiga simu.
Nilionana naye baada ya siku mbili. Nikamchukua na kwenda hadi alipokuwa anaishi Subira mara ya mwisho. Huko tuliikuta familia ya Subira ikimtoa Mama Bakari ndani. Ndipo mwanasheria alichukua jukumu la kutuliza zile ghasia na baadaye alijitambulisha na kuwaomba wamsikilize kwa makini.
Aliwaambia mali zote za Subira zipo chini ya Mama Bakari.
Hakuna yeyote ambaye atakuwa juu ya mama huyo. Mwanasheria alizidi kuweka bayana kila kitu kilichokuwa kimeandaliwa na Subira.
Kwa upande wangu aliniachia kiasi cha pesa ambacho kitanisaidia kuchapa kitabu chenye historia ya maisha yake. Kiasi kingine cha pesa ambacho kilikuwa chini yangu, aliniomba sana nianzishe kituo cha kulelea watoto wasiojiweza. Alitaka hivyo kwa sababu yeye hakubahatika kuwa na mtoto, lakini zawadi pekee kwa watoto wengine ni mimi kusimamia kituo hicho.
Subira kaenda. Lakini matendo yake bado yataendelea kuwepo.
****
Miezi sita mbele, kitabu cha Msalaba Wangu kilitoka. Kilisubiriwa kwa hamu na wasomaji wengi sana nchini. Kila mmoja alikuwa na hamu ya kutaka kuijua hadithi ya Subira. Matangazo ya redioni na kwenye mitandao ya kijamii, yalizidi kukipa chachu kitabu hicho na kutamaniwa sana.
Kilipotoka, nakala zipatazo elfu kumi ziliuzwa kwa siku ya kwanza pekee. Ndio, nakala elfu kumi zilikwisha kwa mkupuo na bado watu walikuwa wanalalamika kuwa wamekosa. Siku ya pili zilishuka nakala elfu hamsini, nazo zilikwisha ndani ya siku nne tu! Zikaandaliwa zingine na zingine tena. Ni kitabu kilichouzwa nakala laki na ishirini ndani ya mwezi mmoja tu! Ndicho kitabu chenye mafanikio makubwa kuliko kitabu kingine chochote kile kwani hadi sasa usomapo maandishi haya, tayari kimeuza nakala lakini tano nchi nzima. Na tayari wataalamu wa filamu wanakipitia waone kama kuna uwezekano wa kukifanyia filamu.
Subira. Japo hukupenda kuitwa Dada, lakini kwangu ni Dada. Umekwenda lakini bado tunakukumbuka. Na hautofutika katika vichwa vyetu.
Anko jay kaz nzr na hongra kwa juma hiza kutuletea kitu cha moto 🔥🔥 tunasbria vyngne mungu akupe kiafya na uzima uzdi kutusimulia simuliz nzr tunamalizye na binti mina ❤️❤️❤️❤️❤️😜😜
ANKO JAY SHUKRANI Mwenyezi Mungu akulinde na akupe maisha mema❤❤❤
Daaah 😭 nizuri na inamafuzo sana ❤❤❤❤❤❤
Najisomea ila ata sipati utamu 😅😅nmezoea kuskia sauti mtoto wa kiume bana
😭😭😭😭 daaah subira maskin
Mijitu mingine humu mnakela mnoo loo yaani badala useme nin umejifunza au nin umefurahia lkn ndio kwaaanza oooh me wa kwanza like zang kwani zinawasaidia nini akili finyu tu
Asante sana kaka jay hii simulizi daah inaumiza mno apumzike kwa amani subra dah kweli alipitia mateso mnoo na hicho kimke cha khac kitazidi kuhukumiwa huko kilipo😢😢😢😢
Angalau umeona hili😊
Hii nipeni like zangu haitakuja kuisha wala kuwahi no km tumerudi drsn 🤣🤣🤣Mie nampenda tushee tulichojifunza jmn sijui wenzangu mwapenda Nini?
@@PatricalBeti tependa like wakwanza mimi like zangu leo nimewahi like zangu looo cjui zinafaida gani sas bdala tutoe maoni kuhusu simulizi eti wataka like 🙄🙄🙄
Asante anko jay kwa simulizi nzuri unatutoa upweke mashabiki naomba like zenu tujifunze mengi kwa simulizi za anko jay wetu mpokee maua🎉🎉🎉
Asante anko nimejifunza na kuelimika pia japo ina sikitisha sana😢Mungu atuepushie nakila balaa nimejifunza tusiwe watu wavisasi mana hakuna ajuae kesho😢😢
Yaan ankojay simuliz channel ni mwendo wa ku enjoy tu na vitu vipya kila siku big up kwa msimuliz wetu na waandishi pia 💖❤❤❤❤
The first one, mnipe mauwa yangu jmn🎉🎉
Wakwanza Leo nipeni like zenu wadau 🎉🎉🎉🎉anko j like bsi hii comment yangu
Ktu kpyaaaaa msalaba wangu. ubalikiwe anko jy mapesa watujali sana🎉🎉🎉
Ahsante Mungu asimame nanyi mnaotoa Fundisho kwetu na jumbe muhim za kuzingatia wakati wa Mapito Yetu ya maisha, Namaliza kwa kusema Siwezi kumlaumu subira kwa kutosikia kanyo,na wala Siwezi kumlaimu Hans kwa kumdanganya Subira ila tu Nisema Moyo wa Mtu kichaka umebeba Siri nyingi za mwanadamu Pumzika kwa AMANI Subira
Daaah
Daaah pole sana subira nimelia subira kufaaa jaman😭 nanimejifunza pia asante juma hiza na ankoj jay wetu mungu azidi kuwabariki na kuwapa afya njema mzidi kuteletea simulizi mbali mbali tujifunze mengi zaidi😥🙏🏻
(Mashabiki!!!! 🎉🎉🎉🎉🎉🎉hoya)
Wee!! Sijachelewaa nimefikaa
Ankojay hongera sana
Masikio sasa kwako na umakini kwa simulzi
Walio niwahi kabla yangu kwann niwanyime like wote nimewapa like zenu sijafanya upendeleo❤❤❤
ankojay kwa kweli sina lakukulipa ila mungu akusaidiye ufike bali.mimi kwenye maicha yangu ni mtu wama wazo tu ila niki fata simulizi zako na enjoy asante sana🙏
Nimekuwa watano kazi nzuri abkojay nakupenda kutoka kenya
Ubarikiwe sana kaka yetu ankooooo Jay kwa story tamu yenye mafunzi ❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Jaman ank Jai nakuku balisanamwamba wangu ❤❤❤❤😜
Mashaal asant sana kwasimurinzi
Na mm leo natak like kila niliye mpa like na mm anipe 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Karibu nishutke kuona picha ya Alvin nikadhani ni yeye wa ukweli 😂😂
@@IreneAnyonje ndo alvin mwenyew na yy anacoment🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@@IreneAnyonje😂😂😂😂😂😂😂😂😂 hakiii nimechekaaa looh et Alvin
@@Babyfaty-m3yna anasikiliza na kucoment pia😂😂😂😂😂
@@Babyfaty-m3y 😄😄😄😄imagine hayaa bana Acha nieendelee kusikiliza
Thanks sana ankol jay kwa simulizi nzuri ❤❤❤ barikiwa sana
Wacha kwanza tusikize msalaba wangu wangapi Dado hatuja maliziya kimbembe Cha binti lisa tujuwane kwa like 😂😂😂😂😂❤❤
Pole sana subira ila usiache kumwomba mungu
Mh! Mbn msalaba wangu ngoja nisikiliza halafu nitarudi kuwapa like 😂😂
As unacheka nn
@@EpimackChami-g2fngoja nikusitiri nisikupe jibu nitakupa wakati mwigine
Waaaoh ❤❤❤wacha tusikilize
Asante anko jay tunakuomba utuendelezee mina nimemic kinoma love u
Me too❤
Ahsante and love you ❤❤❤
Asante sana Anko Jay na juma hiza simulizi nzuri sana
❤..hii haitaki giza..wacha ningengane nayo mchana
Wakwanza Leo thanks ankojay mapesa 🥰🥰
Kazi nzuri kaka,listening from Kenya(Eldoret),much love
Hapa ndani Kila mtu wa kwanza ataka like , je Anko mapesa tumpe Kwa anavyo tuburudisha
Anko J nakupongeza saaana kwa kuhadithia kwa kuvaa uhalisia wa wahusika ,pongez sana jombaaaa
Shukran brother anko jay
Ahsante sana Anko kwa simulizi yetu hii nzuri, usisahau bado tuko pamoya, Ankoo much love ❤.
🌹🌹🌹🌹🥀🥀🥀 pokea maua yako anko jay kipenzi chetu
Tupo pamoja anko J
Kila mtu wa kwanza huku ndani ❤❤❤ asante sana ankojay Allah akulipe kheri
Niseme miee wa kwanza au wa mwisho haya MSALABA WANGU kuna nini tena tunasikiliza hili tujuwe ✌️✌️✌️
❤❤❤❤❤❤❤anko jey
Ahsante sana Ankojay kwa simulizi hii nzuri imenigusa sana tena na mafundisho juu ❤❤ Ubarikiwe sana Ankojay
Nakuomba hii simulizi usihifute RUclips please maana nahisikiliza kila siku nahipenda sana pia nimejifunza mambo mengi sana , Sauti yako ni Tamu sana 😂😂😂🎉🎉🎉🙏❤️❤️❤️
kwakeli hutki tukiboeka. Thanks jay
Haya sasa twende nao huo msalaba tuone tutafika wapi❤❤❤ twakupenda anko J
Jamani niwai yaliyomo yamo?? Tuko tayari kuzikiza🎉🎉🎉🎉❤❤ likes jamani
Ngoja tusikilize ❤
Pokea ❤😂❤❤❤😂🎉🎉 maua yako yote
Akojay unatuburudisha sana
Sijachelewa sanaaa ukoaje anko wetu
Mhuu jmn wat wanalala RUclips 😂😂😂❤❤🎉🎉
Tupo pamoja Ankojay ❤❤❤🎉🎉
Nimelia sana jamno
Shukurn 🙏 Ankojay wetu
Sijachelewa jamani msinisahau namimi jamani tupo pamoja ❤❤❤
Nipeni ma like zenu
😭😭😭😭 pole sana subira
Sijacherewa na mimi please naomba like zenu kama unamkubari anko jy 🎉🎉🎉🎉🎉
🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Aweeee hatuboi hatupoi team anko jay forever ❤❤❤😊
Bint mina part 4 vip tumegojea ako
Mashambiki wa anko tukisikiza isiwe inapita hivyo tuwe tunajifuza n kutekeleza.Subira leo ametia mkazo kabla penzi alija kolea tufuate taratibu za doa njana tulijifunza kuhusu binti mina aliyo yapitia juu y mme wa mtu kaa agefuta taratibu agejua huyo jamaa n mme wa mtu.. shukurani anko wetu Mungu azidi kukutumia saidi kutuhekimisha aliye n sikio hatangoja yamkute dio ajifuze..much ❤❤ anko wetu
❤❤❤❤amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏❤❤❤❤❤
Daaah. Imenitia. Machoz. Jamn. Inasikitish 😭😭😭😭😭😭
Pole dada uliyapitia kw kweli hii stori imeweza nani fudisho tosha sisi tulio hai. hogera anko wetu
Nitaubeba mwenyewe😂😂😂
Waooooooooo❤🎉
❤❤ Anko
Mm mtu ambaye Naweza amini ni mamangu tuuu .nasio mpenzi tuliokutana watu wazima halafu unamjengea unamfungulia biasharaa loo huyoo mwanaume hakukupenda alipenda Mali nayy asichojua mke alikuwa ninyoka mwisho alimuua ili ajitanue Hassan Naye nafasi haikulala kabisaa mpka mkeo aka cormfaceee mwisho yy ndomchawii looo pole subira na RIP
Kujeni Kujeni Kujeni kitu kipya kwa Hewa😂😂😂😂😂
Anko jay unatuonjesha tu hizi simulizi ama umesha choka,,tunakupenda huku🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤️❤️
Kwan watu mnalala humus jameni 😢,,,enways nimefika pia😅nipeni likes
❤
Jamani ungeleta kwanza binti mina
Mm nimeigomea hii nasubir Mina
Yeah ni kweli amalize binti Lisa
Na
Binti MINA
Haya tupe tupe Anko mapesa ❤❤❤❤
wakwanza lak zenu
huyu dada awe na iman tu mungu yupo , mfano waayubu alipata jalibu kubwa lkn alipona dada mungu yupo atakuponya
Eeh mungu tuepushe na wachawi
acha nisikize msalaba wangu 🪑🎧
❤❤❤
Jamani hi Dunia Kuna mambo mengi Sana wanadumu hawana huruma na mtu yeyote asente anko jay
Tumalizie au tuendelee na binti Mina
Samahani 😂Ankojay baadae bint lisa na bint mina
Imeniuma jaman na simulizi ya subira 😭😭😭
Safi anko turushie Binti mina pia
Binti mina lini kaka😢😢
hey na Rodney Hawa watu ni Wanda wazimu kwakweli ww subira unatisha pia kama Sara au mashati Gani hayo wakati Raha munasikisiya wote yy Sasa pole Sana subira
To be continued
Duuh kwakwel kuna chakujifunza hapa like pia sipati loo😮
Wa 400 kamili
Part 2 plzzzzzz ❤❤ JAMA hii ni uzuni Aki😭😭😭
Haina Part 02, angalia kwenye ya kwanza kabisa nimeelezea
Wa kwanza jamani ❤
Ila subra Islam wake zaidi ya mmoja ruhusa
❤❤❤❤🎉🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪👈🏿👈🏿
🎉🎉🎉🎉
Hey
Na mm Leo sikubali japo wakwanza Kwa wamwishoo
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 pole subra
Tuendelee nabinti min
🎉🎉🎉
❤❤❤🎉🎉
wa 1 leo
Jamn nimewahwah
❤❤❤❤🎉🎉🎉
Wa pili n'a mimi