INASIKITISHA, MKASA WA BIDADA SUBIRA - MSALABA WANGU SIMULIZI YA KUSISIMUA SANA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 16 сен 2024
  • Subira. Japo hukupenda kuitwa Dada, lakini kwangu ni Dada. Umekwenda lakini bado tunakukumbuka. Na hautofutika katika vichwa vyetu.

Комментарии • 208

  • @ankojay_
    @ankojay_  5 месяцев назад +63

    Hii Simulizi Imeisha jamani haiana PART 02, HAPO MWISHONI simulizi ilibaki kama dakika 2 tu ili iishe ila kwa bahati mbaya imejikata, unaweza kumalizia kwa kusoma hapa kidogo 👇
    .
    Yametimia John Boy; Yametimia Mazengo. Najua imekuuma lakini amini kuwa nimepumzika. Piga namba hizi (zikaandikwa namba za simu). Ikipokelewa sema maneno haya, SUBIRA MAZENGO, naye atakujibu.
    Nilifanya ulivyoandikwa ujumbe ule. Ilikuwa ni sauti ya mwanamke na alijitambulisha kuwa ni mwanasheria wa Subira mwenye mamlaka yote ya kusimamia mali zake endapo nisingepiga simu.
    Nilionana naye baada ya siku mbili. Nikamchukua na kwenda hadi alipokuwa anaishi Subira mara ya mwisho. Huko tuliikuta familia ya Subira ikimtoa Mama Bakari ndani. Ndipo mwanasheria alichukua jukumu la kutuliza zile ghasia na baadaye alijitambulisha na kuwaomba wamsikilize kwa makini.
    Aliwaambia mali zote za Subira zipo chini ya Mama Bakari.
    Hakuna yeyote ambaye atakuwa juu ya mama huyo. Mwanasheria alizidi kuweka bayana kila kitu kilichokuwa kimeandaliwa na Subira.
    Kwa upande wangu aliniachia kiasi cha pesa ambacho kitanisaidia kuchapa kitabu chenye historia ya maisha yake. Kiasi kingine cha pesa ambacho kilikuwa chini yangu, aliniomba sana nianzishe kituo cha kulelea watoto wasiojiweza. Alitaka hivyo kwa sababu yeye hakubahatika kuwa na mtoto, lakini zawadi pekee kwa watoto wengine ni mimi kusimamia kituo hicho.
    Subira kaenda. Lakini matendo yake bado yataendelea kuwepo.
    ****
    Miezi sita mbele, kitabu cha Msalaba Wangu kilitoka. Kilisubiriwa kwa hamu na wasomaji wengi sana nchini. Kila mmoja alikuwa na hamu ya kutaka kuijua hadithi ya Subira. Matangazo ya redioni na kwenye mitandao ya kijamii, yalizidi kukipa chachu kitabu hicho na kutamaniwa sana.
    Kilipotoka, nakala zipatazo elfu kumi ziliuzwa kwa siku ya kwanza pekee. Ndio, nakala elfu kumi zilikwisha kwa mkupuo na bado watu walikuwa wanalalamika kuwa wamekosa. Siku ya pili zilishuka nakala elfu hamsini, nazo zilikwisha ndani ya siku nne tu! Zikaandaliwa zingine na zingine tena. Ni kitabu kilichouzwa nakala laki na ishirini ndani ya mwezi mmoja tu! Ndicho kitabu chenye mafanikio makubwa kuliko kitabu kingine chochote kile kwani hadi sasa usomapo maandishi haya, tayari kimeuza nakala lakini tano nchi nzima. Na tayari wataalamu wa filamu wanakipitia waone kama kuna uwezekano wa kukifanyia filamu.
    Subira. Japo hukupenda kuitwa Dada, lakini kwangu ni Dada. Umekwenda lakini bado tunakukumbuka. Na hautofutika katika vichwa vyetu.

    • @Babyfaty-m3y
      @Babyfaty-m3y 5 месяцев назад +1

      Anko jay kaz nzr na hongra kwa juma hiza kutuletea kitu cha moto 🔥🔥 tunasbria vyngne mungu akupe kiafya na uzima uzdi kutusimulia simuliz nzr tunamalizye na binti mina ❤️❤️❤️❤️❤️😜😜

    • @DorcasMuomba-gd3sw
      @DorcasMuomba-gd3sw 5 месяцев назад +1

      ANKO JAY SHUKRANI Mwenyezi Mungu akulinde na akupe maisha mema❤❤❤

    • @hdhjdh775
      @hdhjdh775 5 месяцев назад +1

      Daaah 😭 nizuri na inamafuzo sana ❤❤❤❤❤❤

    • @LispaKadzoKalu
      @LispaKadzoKalu 5 месяцев назад +2

      Najisomea ila ata sipati utamu 😅😅nmezoea kuskia sauti mtoto wa kiume bana

    • @jokhajj
      @jokhajj 5 месяцев назад

      😭😭😭😭 daaah subira maskin

  • @user-jc2es5xt5v
    @user-jc2es5xt5v 5 месяцев назад +9

    Mijitu mingine humu mnakela mnoo loo yaani badala useme nin umejifunza au nin umefurahia lkn ndio kwaaanza oooh me wa kwanza like zang kwani zinawasaidia nini akili finyu tu
    Asante sana kaka jay hii simulizi daah inaumiza mno apumzike kwa amani subra dah kweli alipitia mateso mnoo na hicho kimke cha khac kitazidi kuhukumiwa huko kilipo😢😢😢😢

    • @LispaKadzoKalu
      @LispaKadzoKalu 5 месяцев назад +1

      Angalau umeona hili😊

    • @PatricalBeti
      @PatricalBeti 5 месяцев назад

      Hii nipeni like zangu haitakuja kuisha wala kuwahi no km tumerudi drsn 🤣🤣🤣Mie nampenda tushee tulichojifunza jmn sijui wenzangu mwapenda Nini?

    • @user-jc2es5xt5v
      @user-jc2es5xt5v 5 месяцев назад

      @@PatricalBeti tependa like wakwanza mimi like zangu leo nimewahi like zangu looo cjui zinafaida gani sas bdala tutoe maoni kuhusu simulizi eti wataka like 🙄🙄🙄

  • @RoseMbuya-cn5dg
    @RoseMbuya-cn5dg 5 месяцев назад +6

    Asante anko jay kwa simulizi nzuri unatutoa upweke mashabiki naomba like zenu tujifunze mengi kwa simulizi za anko jay wetu mpokee maua🎉🎉🎉

  • @priscillahsirya6544
    @priscillahsirya6544 5 месяцев назад +4

    Asante anko nimejifunza na kuelimika pia japo ina sikitisha sana😢Mungu atuepushie nakila balaa nimejifunza tusiwe watu wavisasi mana hakuna ajuae kesho😢😢

  • @MoshiMoshi-qy8dq
    @MoshiMoshi-qy8dq 5 месяцев назад +3

    Yaan ankojay simuliz channel ni mwendo wa ku enjoy tu na vitu vipya kila siku big up kwa msimuliz wetu na waandishi pia 💖❤❤❤❤

  • @user-dp8gz4rf7x
    @user-dp8gz4rf7x 5 месяцев назад +5

    The first one, mnipe mauwa yangu jmn🎉🎉

  • @Lela-l7g
    @Lela-l7g 5 месяцев назад +18

    Wakwanza Leo nipeni like zenu wadau 🎉🎉🎉🎉anko j like bsi hii comment yangu

  • @TeklaNdekeja
    @TeklaNdekeja 5 месяцев назад +3

    Ktu kpyaaaaa msalaba wangu. ubalikiwe anko jy mapesa watujali sana🎉🎉🎉

  • @PatricalBeti
    @PatricalBeti 5 месяцев назад +1

    Ahsante Mungu asimame nanyi mnaotoa Fundisho kwetu na jumbe muhim za kuzingatia wakati wa Mapito Yetu ya maisha, Namaliza kwa kusema Siwezi kumlaumu subira kwa kutosikia kanyo,na wala Siwezi kumlaimu Hans kwa kumdanganya Subira ila tu Nisema Moyo wa Mtu kichaka umebeba Siri nyingi za mwanadamu Pumzika kwa AMANI Subira

  • @jokhajj
    @jokhajj 5 месяцев назад +1

    Daaah pole sana subira nimelia subira kufaaa jaman😭 nanimejifunza pia asante juma hiza na ankoj jay wetu mungu azidi kuwabariki na kuwapa afya njema mzidi kuteletea simulizi mbali mbali tujifunze mengi zaidi😥🙏🏻

  • @ThadieIsisa
    @ThadieIsisa 5 месяцев назад +3

    (Mashabiki!!!! 🎉🎉🎉🎉🎉🎉hoya)
    Wee!! Sijachelewaa nimefikaa
    Ankojay hongera sana
    Masikio sasa kwako na umakini kwa simulzi

  • @nadrasalum6039
    @nadrasalum6039 5 месяцев назад +10

    Walio niwahi kabla yangu kwann niwanyime like wote nimewapa like zenu sijafanya upendeleo❤❤❤

  • @user-pj1vo8eq7g
    @user-pj1vo8eq7g 5 месяцев назад +3

    ankojay kwa kweli sina lakukulipa ila mungu akusaidiye ufike bali.mimi kwenye maicha yangu ni mtu wama wazo tu ila niki fata simulizi zako na enjoy asante sana🙏

  • @usterbae
    @usterbae 5 месяцев назад +3

    Nimekuwa watano kazi nzuri abkojay nakupenda kutoka kenya

  • @fatimafoaani2263
    @fatimafoaani2263 4 месяца назад

    Ubarikiwe sana kaka yetu ankooooo Jay kwa story tamu yenye mafunzi ❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @RoseChipasula
    @RoseChipasula 3 месяца назад +1

    Jaman ank Jai nakuku balisanamwamba wangu ❤❤❤❤😜

  • @user-im3xr5ru7c
    @user-im3xr5ru7c 4 месяца назад

    Mashaal asant sana kwasimurinzi

  • @Babyfaty-m3y
    @Babyfaty-m3y 5 месяцев назад +42

    Na mm leo natak like kila niliye mpa like na mm anipe 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @IreneAnyonje
      @IreneAnyonje 5 месяцев назад +1

      Karibu nishutke kuona picha ya Alvin nikadhani ni yeye wa ukweli 😂😂

    • @Babyfaty-m3y
      @Babyfaty-m3y 5 месяцев назад +3

      @@IreneAnyonje ndo alvin mwenyew na yy anacoment🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @salmazwallo8720
      @salmazwallo8720 5 месяцев назад +1

      ​@@IreneAnyonje😂😂😂😂😂😂😂😂😂 hakiii nimechekaaa looh et Alvin

    • @salmazwallo8720
      @salmazwallo8720 5 месяцев назад +2

      ​@@Babyfaty-m3yna anasikiliza na kucoment pia😂😂😂😂😂

    • @IreneAnyonje
      @IreneAnyonje 5 месяцев назад +1

      @@Babyfaty-m3y 😄😄😄😄imagine hayaa bana Acha nieendelee kusikiliza

  • @gladyssamba8370
    @gladyssamba8370 5 месяцев назад +2

    Thanks sana ankol jay kwa simulizi nzuri ❤❤❤ barikiwa sana

  • @SalamaBwanamoya
    @SalamaBwanamoya 5 месяцев назад +8

    Wacha kwanza tusikize msalaba wangu wangapi Dado hatuja maliziya kimbembe Cha binti lisa tujuwane kwa like 😂😂😂😂😂❤❤

  • @SheilaApondi-dn5lh
    @SheilaApondi-dn5lh 3 месяца назад

    Pole sana subira ila usiache kumwomba mungu

  • @Jasmeni-ns9dg
    @Jasmeni-ns9dg 5 месяцев назад +11

    Mh! Mbn msalaba wangu ngoja nisikiliza halafu nitarudi kuwapa like 😂😂

    • @EpimackChami-g2f
      @EpimackChami-g2f 5 месяцев назад

      As unacheka nn

    • @Jasmeni-ns9dg
      @Jasmeni-ns9dg 4 месяца назад

      ​@@EpimackChami-g2fngoja nikusitiri nisikupe jibu nitakupa wakati mwigine

  • @hdhjdh775
    @hdhjdh775 5 месяцев назад +1

    Waaaoh ❤❤❤wacha tusikilize

  • @DalinaSamweli-ji3fc
    @DalinaSamweli-ji3fc 5 месяцев назад +3

    Asante anko jay tunakuomba utuendelezee mina nimemic kinoma love u

  • @aumuelly2909
    @aumuelly2909 5 месяцев назад +1

    Ahsante and love you ❤❤❤

  • @FurahaFrancine-e2x
    @FurahaFrancine-e2x 4 месяца назад

    Asante sana Anko Jay na juma hiza simulizi nzuri sana

  • @ruthwaithera2650
    @ruthwaithera2650 5 месяцев назад +7

    ❤..hii haitaki giza..wacha ningengane nayo mchana

  • @judikadzo8712
    @judikadzo8712 5 месяцев назад +2

    Wakwanza Leo thanks ankojay mapesa 🥰🥰

  • @sephrinewarenga2745
    @sephrinewarenga2745 5 месяцев назад +4

    Kazi nzuri kaka,listening from Kenya(Eldoret),much love

  • @nemamwachepha1545
    @nemamwachepha1545 5 месяцев назад +7

    Hapa ndani Kila mtu wa kwanza ataka like , je Anko mapesa tumpe Kwa anavyo tuburudisha

  • @RahelIbrahim-id2li
    @RahelIbrahim-id2li 4 месяца назад

    Anko J nakupongeza saaana kwa kuhadithia kwa kuvaa uhalisia wa wahusika ,pongez sana jombaaaa

  • @mkasijuma8970
    @mkasijuma8970 5 месяцев назад

    Shukran brother anko jay

  • @MishyYusuph
    @MishyYusuph 5 месяцев назад

    Ahsante sana Anko kwa simulizi yetu hii nzuri, usisahau bado tuko pamoya, Ankoo much love ❤.

  • @deborahgodda7052
    @deborahgodda7052 4 месяца назад

    🌹🌹🌹🌹🥀🥀🥀 pokea maua yako anko jay kipenzi chetu

  • @asumthamanyahi5255
    @asumthamanyahi5255 5 месяцев назад +2

    Tupo pamoja anko J

  • @KhadijaKassim-k8d
    @KhadijaKassim-k8d 5 месяцев назад +1

    Kila mtu wa kwanza huku ndani ❤❤❤ asante sana ankojay Allah akulipe kheri

  • @Shadia544
    @Shadia544 5 месяцев назад +7

    Niseme miee wa kwanza au wa mwisho haya MSALABA WANGU kuna nini tena tunasikiliza hili tujuwe ✌️✌️✌️

  • @MarimGodifrey
    @MarimGodifrey 4 месяца назад

    ❤❤❤❤❤❤❤anko jey

  • @yalalakashindi4594
    @yalalakashindi4594 4 месяца назад

    Ahsante sana Ankojay kwa simulizi hii nzuri imenigusa sana tena na mafundisho juu ❤❤ Ubarikiwe sana Ankojay
    Nakuomba hii simulizi usihifute RUclips please maana nahisikiliza kila siku nahipenda sana pia nimejifunza mambo mengi sana , Sauti yako ni Tamu sana 😂😂😂🎉🎉🎉🙏❤️❤️❤️

  • @elizabethkatoko8867
    @elizabethkatoko8867 5 месяцев назад +1

    kwakeli hutki tukiboeka. Thanks jay

  • @DamariJohn
    @DamariJohn 5 месяцев назад +1

    Haya sasa twende nao huo msalaba tuone tutafika wapi❤❤❤ twakupenda anko J

  • @brigdk
    @brigdk 5 месяцев назад +5

    Jamani niwai yaliyomo yamo?? Tuko tayari kuzikiza🎉🎉🎉🎉❤❤ likes jamani

  • @roselambert6700
    @roselambert6700 5 месяцев назад +1

    Ngoja tusikilize ❤

  • @mariam-yw3nn
    @mariam-yw3nn 5 месяцев назад +1

    Pokea ❤😂❤❤❤😂🎉🎉 maua yako yote

  • @DicksonRevelian
    @DicksonRevelian 5 месяцев назад +2

    Akojay unatuburudisha sana

  • @priscillahsirya6544
    @priscillahsirya6544 5 месяцев назад +2

    Sijachelewa sanaaa ukoaje anko wetu

  • @victoriangasa
    @victoriangasa 5 месяцев назад +2

    Mhuu jmn wat wanalala RUclips 😂😂😂❤❤🎉🎉

  • @racheluwda6552
    @racheluwda6552 5 месяцев назад

    Tupo pamoja Ankojay ❤❤❤🎉🎉

  • @نظيفهخالد
    @نظيفهخالد 4 месяца назад

    Nimelia sana jamno

  • @rizikibakari3598
    @rizikibakari3598 5 месяцев назад +1

    Shukurn 🙏 Ankojay wetu

  • @GiftFilipo-vx8lg
    @GiftFilipo-vx8lg 5 месяцев назад +1

    Sijachelewa jamani msinisahau namimi jamani tupo pamoja ❤❤❤

  • @LillianIdi-fh6vb
    @LillianIdi-fh6vb 5 месяцев назад +6

    Nipeni ma like zenu

  • @samsungoman5626
    @samsungoman5626 4 месяца назад

    😭😭😭😭 pole sana subira

  • @lisazainabu3626
    @lisazainabu3626 5 месяцев назад +8

    Sijacherewa na mimi please naomba like zenu kama unamkubari anko jy 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @jokhajj
    @jokhajj 5 месяцев назад

    Aweeee hatuboi hatupoi team anko jay forever ❤❤❤😊

  • @MitreMenea
    @MitreMenea 5 месяцев назад +2

    Bint mina part 4 vip tumegojea ako

  • @lucykarii6860
    @lucykarii6860 5 месяцев назад +2

    Mashambiki wa anko tukisikiza isiwe inapita hivyo tuwe tunajifuza n kutekeleza.Subira leo ametia mkazo kabla penzi alija kolea tufuate taratibu za doa njana tulijifunza kuhusu binti mina aliyo yapitia juu y mme wa mtu kaa agefuta taratibu agejua huyo jamaa n mme wa mtu.. shukurani anko wetu Mungu azidi kukutumia saidi kutuhekimisha aliye n sikio hatangoja yamkute dio ajifuze..much ❤❤ anko wetu

  • @user-so4gw1wz9b
    @user-so4gw1wz9b 7 дней назад

    ❤❤❤❤amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏❤❤❤❤❤

  • @Salhah-v9h
    @Salhah-v9h 4 месяца назад

    Daaah. Imenitia. Machoz. Jamn. Inasikitish 😭😭😭😭😭😭

  • @lucykarii6860
    @lucykarii6860 5 месяцев назад +1

    Pole dada uliyapitia kw kweli hii stori imeweza nani fudisho tosha sisi tulio hai. hogera anko wetu

  • @Kellyperry947
    @Kellyperry947 5 месяцев назад +1

    Nitaubeba mwenyewe😂😂😂

  • @Pendokayuni
    @Pendokayuni 4 месяца назад

    Waooooooooo❤🎉

  • @christinemwendejuma4401
    @christinemwendejuma4401 5 месяцев назад +1

    ❤❤ Anko

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 4 месяца назад

    Mm mtu ambaye Naweza amini ni mamangu tuuu .nasio mpenzi tuliokutana watu wazima halafu unamjengea unamfungulia biasharaa loo huyoo mwanaume hakukupenda alipenda Mali nayy asichojua mke alikuwa ninyoka mwisho alimuua ili ajitanue Hassan Naye nafasi haikulala kabisaa mpka mkeo aka cormfaceee mwisho yy ndomchawii looo pole subira na RIP

  • @ZuwenaIsmail-vb4md
    @ZuwenaIsmail-vb4md 5 месяцев назад +2

    Kujeni Kujeni Kujeni kitu kipya kwa Hewa😂😂😂😂😂

  • @NancyMmbone-gh9kg
    @NancyMmbone-gh9kg 5 месяцев назад

    Anko jay unatuonjesha tu hizi simulizi ama umesha choka,,tunakupenda huku🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤️❤️

  • @lilianmwanthi9648
    @lilianmwanthi9648 5 месяцев назад +5

    Kwan watu mnalala humus jameni 😢,,,enways nimefika pia😅nipeni likes

  • @suzanajonas3548
    @suzanajonas3548 5 месяцев назад +2

  • @FadhilunMohamed-je8en
    @FadhilunMohamed-je8en 5 месяцев назад +2

    Jamani ungeleta kwanza binti mina

  • @nemamwachepha1545
    @nemamwachepha1545 5 месяцев назад +1

    Haya tupe tupe Anko mapesa ❤❤❤❤

  • @shazimna
    @shazimna 5 месяцев назад +1

    wakwanza lak zenu

  • @DAUDFARES
    @DAUDFARES 3 месяца назад

    huyu dada awe na iman tu mungu yupo , mfano waayubu alipata jalibu kubwa lkn alipona dada mungu yupo atakuponya

  • @hijamwinyi3233
    @hijamwinyi3233 5 месяцев назад

    Eeh mungu tuepushe na wachawi

  • @FatumaHamisi-sr6yj
    @FatumaHamisi-sr6yj 5 месяцев назад +1

    acha nisikize msalaba wangu 🪑🎧

  • @hidayamanda-gk7nf
    @hidayamanda-gk7nf 5 месяцев назад +1

    ❤❤❤

  • @reachelchemtai2604
    @reachelchemtai2604 4 месяца назад

    Jamani hi Dunia Kuna mambo mengi Sana wanadumu hawana huruma na mtu yeyote asente anko jay

  • @HAKHISALUMU
    @HAKHISALUMU 5 месяцев назад +1

    Tumalizie au tuendelee na binti Mina

  • @Rahema123
    @Rahema123 5 месяцев назад +1

    Samahani 😂Ankojay baadae bint lisa na bint mina

  • @SophiaOmari-cn6tw
    @SophiaOmari-cn6tw Месяц назад

    Imeniuma jaman na simulizi ya subira 😭😭😭

  • @godsfavour5665
    @godsfavour5665 5 месяцев назад

    Safi anko turushie Binti mina pia

  • @user-tx7yd4jo2m
    @user-tx7yd4jo2m 5 месяцев назад

    Binti mina lini kaka😢😢

  • @salmaebrahim2058
    @salmaebrahim2058 4 месяца назад

    hey na Rodney Hawa watu ni Wanda wazimu kwakweli ww subira unatisha pia kama Sara au mashati Gani hayo wakati Raha munasikisiya wote yy Sasa pole Sana subira

  • @espererancesudi7600
    @espererancesudi7600 5 месяцев назад

    To be continued

  • @BethMdoe
    @BethMdoe 5 месяцев назад +1

    Duuh kwakwel kuna chakujifunza hapa like pia sipati loo😮

  • @MeshackMbilinyi-pm5pb
    @MeshackMbilinyi-pm5pb 5 месяцев назад +2

    Wa 400 kamili

  • @PhoebeWafula-d6c
    @PhoebeWafula-d6c 4 месяца назад

    Part 2 plzzzzzz ❤❤ JAMA hii ni uzuni Aki😭😭😭

    • @ankojay_
      @ankojay_  4 месяца назад

      Haina Part 02, angalia kwenye ya kwanza kabisa nimeelezea

  • @BridgitNekesa-ec6rb
    @BridgitNekesa-ec6rb 5 месяцев назад

    Wa kwanza jamani ❤

  • @HAKHISALUMU
    @HAKHISALUMU 5 месяцев назад

    Ila subra Islam wake zaidi ya mmoja ruhusa

  • @popod177
    @popod177 5 месяцев назад +2

    ❤❤❤❤🎉🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪👈🏿👈🏿

  • @agathakyando9460
    @agathakyando9460 5 месяцев назад +1

    🎉🎉🎉🎉

  • @joyellie5089
    @joyellie5089 5 месяцев назад +1

    Hey

  • @JoycePeter-jz9ju
    @JoycePeter-jz9ju 5 месяцев назад

    Na mm Leo sikubali japo wakwanza Kwa wamwishoo

  • @DAUDFARES
    @DAUDFARES 3 месяца назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 pole subra

  • @HAKHISALUMU
    @HAKHISALUMU 5 месяцев назад

    Tuendelee nabinti min

  • @VivianNzingo
    @VivianNzingo 5 месяцев назад +1

    🎉🎉🎉

  • @user-sb4fj9iq6f
    @user-sb4fj9iq6f 5 месяцев назад

    ❤❤❤🎉🎉

  • @HerenRichard-cq7rc
    @HerenRichard-cq7rc 5 месяцев назад

    wa 1 leo

  • @JaneSanga-b5n
    @JaneSanga-b5n 5 месяцев назад

    Jamn nimewahwah

  • @user-sb4fj9iq6f
    @user-sb4fj9iq6f 4 месяца назад

    ❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @FurahaFrancine-e2x
    @FurahaFrancine-e2x 5 месяцев назад +1

    Wa pili n'a mimi