Kimenuka! Wabunge wa Zanzibar Wasusia Bunge, Watishia Kuuvunja Muungano

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 апр 2018
  • Kimenuka! Wabunge wa Zanzibar Wasusia Bunge, Watishia Kuuvunja Muungano
    Wabunge Wa (Cuf) Wametoka Bungeni Baada Ya Mwenyekiti Anaengoza Kikao Jioni Ya Leo Kuzuia Mijadala Kuhusu Muungano Uamuzi huo Ulitolewa na Mwenyekiti, Musa Hassani zungu, Baada Ya, Waziri wa Sera Na Bunge, Jenista Muhagama, Kuomba Muongozo
    Instal GlobalPublishersApp Android: bit.ly/2AAQe1d iOS: apple.co/2Assf4M Subscribe / uwazi FACEBOOK: / globalpublis...naibu SPIKA WA BUNGE
    TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1
    kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli .

Комментарии • 238

  • @seifhabib5987
    @seifhabib5987 4 года назад +1

    Uwiiii kazi kweli kweli,hivi si vita vya Panzi hivi ila kuna CORONA jamani,osheni mikono na Mask muhimu Wazanzibar wezangu,mm sina la kusema Naogopa Ammiyy

  • @mussachuo250
    @mussachuo250 5 лет назад

    Dahhh poleni sana

  • @mwinyiathuman5786
    @mwinyiathuman5786 6 лет назад +47

    Mimi natokea Kenya Mombasa lkn naipenda Sana zanzibar.ipo siku Zanzibar itakuwa inchi yakujitegemea kwa uwezo wa ALLAH INSHALLAH

  • @hidayamussa4273
    @hidayamussa4273 6 лет назад

    Safi sana

  • @hamadali6379
    @hamadali6379 5 лет назад +1

    Allah amin

  • @leilainnocent6532
    @leilainnocent6532 6 лет назад

    Poleni sana wabunge wa Zanzibar, baadhi ya wabunge hawana uelewa na ndiyo hao wanaoboronga mambo, tutawawajibisha wasituvuruge sisi ni wamoja.

  • @dubais9018
    @dubais9018 5 лет назад +6

    Hata mimi moyo wangu umeumia sana juu ya nchi yetu kunyimwa usawa wa Muungano.
    Tupo pamoja na nyie wabunge wote mnaoitetea zaznibar

  • @bakarihamisi5638
    @bakarihamisi5638 4 года назад +1

    Jamani tujitahidini kuitafuta nchi yetu iwe na amani marahiii nilazima tupate Uhuru Zanzibar unguja na Pemba

  • @iliyasamanzi5667
    @iliyasamanzi5667 5 лет назад +2

    Mungu yupo mungu mmoja dunia mapito akhera ndio makazi

  • @kumulwa
    @kumulwa 5 лет назад +1

    Hata mm nakubaliana nawo wauvije

  • @bakarihamisi5638
    @bakarihamisi5638 4 года назад +1

    Jamani wa Zanzibar tunateseka sana tumekosa Uhuru Zanzibar tunanyanyaswa tunabubuziwa sasa tumechokana na serekali ya uzayuni tunataka serekali mpya ya Zanzibar unguja na Pemba ndio mafanikio yakuikombowa nch yetu mahii inshaallah Zanzibar itapata Uhuru juu yahaq yake Allah atujalie tupate maendeleo tumechoshwa na ccm ya uporaji wahaki za wana nchi Zanzibar unguja na Pemba Pemba wametufungia kazi zetu hawataki tuziendeleze wanatukata ushuru hali yakuwa tumejiajiri wenyewe halafu wsnakuja wanatukata ushuru subhanallah Allah tuokowe na janga hili nchini mwetu Pemba Pemba na unguja

  • @salmaismail9425
    @salmaismail9425 6 лет назад

    😭😭😭muungano walio unga hao wzee wt hawakuunga kwa ajil ya mfarakano bali waliung kwa ajil ya umoj km wamefikia hali hio ya kutudhalilish br na unavunjwe t maan cc wananzibar tunao uwez wa kujtegemea bdo
    na watuwache tuwe na maish ytu waone km hatutosonga mble kimaendeleo na wal htutokufa njaaa sana dah inaumma san kwa walivyofany watanganyika mungu ibariki zanzbar

  • @musamkala4642
    @musamkala4642 6 лет назад

    bora

  • @saidsaid9463
    @saidsaid9463 6 лет назад +1

    Ni vizuri mjadiliane tz bara.tz.visiwani ni sawa hakuna pingamizi

  • @abdalahmohamedi1806
    @abdalahmohamedi1806 6 лет назад +5

    Upo sahihi kbs mzee nakuunga mkono

  • @abuudharishahidy3074
    @abuudharishahidy3074 5 лет назад +2

    Mwili wangu mpana tafadhali nipatiwe koti jengine hili linabana.
    Poleni mmeyataka wenyewe

  • @messithedon9502
    @messithedon9502 6 лет назад +1

    Mpo xawa Wabunge Wa Zanzibar Mm m2 Wa bara Lkn Mnachofanyia co Kitendo cha Ubinaadamu Ila Ipo Cku Mungu Atakulipeni Ndgu Zanguni Nawapenda Xana Wananchi Wa Zanzibar....!!!

  • @nassirmohd6850
    @nassirmohd6850 5 лет назад +1

    Hakuna kitu ninachokichukia duniani kama huu muungano wa kishenzi ila iko siku in shaa Allah.

  • @hassankihonde1275
    @hassankihonde1275 6 лет назад

    Vumilieni yakheeeeeeee, Mungu yuko pamoja na wenye kusubiriiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii√

  • @hajiameir8688
    @hajiameir8688 3 месяца назад

    Wewe Ali salehe unatwanga maji kinuni Ameanza Baba yao Nyerere Kuichukia Zanzibar na Wazanzibari sababu tu ni uisilamu na waisilamu amesema mwenyewe Nyerere laanatullahi

  • @abdulrazakyussef3177
    @abdulrazakyussef3177 4 года назад

    Inallah masbriin. Muungano huu uliweza kulindwa na hekma kubwa ya Nyerere, na Karume. Nyerere alisema aliogopa sana kubezwa kuwa ''ameimeza ZNZ'', na pia alishasema ZNZ wanaweza na wako huru wakiamuwa kuvunja mungano, ila akatahadharisha, wakiondoka tu basi yataanza Upemba na UUNguja...Serikali ya mungano iwe na hekma na subra na haki kwa ZNZ. Nilimskia kiongozi mmoja wa juu wa serikali ya mungano akidai atamshughulikia mtu atakaye jaribu kuvunja mungano...ni makossa makubwa...mungano inalindwa na hoja na siyo nguvu...haitawezekana...basi serikali ya mungano ishughulikiye kero za ZNZ na baadhi ya wanasiasa wa upinzani ZNZ waache jazba…. na madai mengi, zingine hazina msingi. Bungeni kuna malumbano mengi...nasikia wabunge wa ZNZ walikuja juu sana waziri mmoja alipodai kuwa ZNZ siyo Nchi...alikosea kidogo...waziri mkuu angesahihisha kwa kusema….ZNZ na Tanganyika ni nchi sawa ndani ya muungano….lakini serikali ya mungano ni nchi ''pekee'' inayowakilisha ZNZ na Tanganyika ktk jumuia za kimataifa….ni jibu tosha kabisa.

  • @rahimaaaaa8699
    @rahimaaaaa8699 5 лет назад +2

    Kwanini mnalazimisha kutuletea SUKARI? Au mnataka.kutuwekea sumu.

  • @khadijahassan3504
    @khadijahassan3504 6 лет назад

    sawasaw

  • @manyotaskipper5765
    @manyotaskipper5765 6 лет назад

    Hahaaaaaa njaa mbaya sanaa

  • @tezuratezura8452
    @tezuratezura8452 5 лет назад +1

    muungano ufe mana haunatija

  • @ddennisskkattulla5942
    @ddennisskkattulla5942 5 лет назад

    Mpigeni kimya maisha yaendelee

  • @josephlukuba5831
    @josephlukuba5831 5 лет назад

    Jamna jipya nana

  • @onlinetv9189
    @onlinetv9189 6 лет назад

    Bora wajitenge

  • @aronbanda4484
    @aronbanda4484 6 лет назад +3

    Hamjitambui wazanzibar muungano huu munaonewa

  • @nuranzubail1240
    @nuranzubail1240 5 лет назад +1

    Mimi ni mtanganyika lakin nikiangalia kwa upana wake Zanzibar tunaiangamiza hasa kiuchumi . Sema wabunge wa CCM ndo hawajielewi kabisa

  • @gangmore9091
    @gangmore9091 4 года назад

    Hatuutaki mungano me family yangu ccm lakini hakuna faida y mungano watoeni mashekhe wetuu

  • @iddibama6819
    @iddibama6819 5 лет назад

    speak up

  • @praisesamson8298
    @praisesamson8298 6 лет назад

    Yote haya yanatokea kwenye utawala huu au kuwapo?

  • @rashidibrahimshemlugu7845
    @rashidibrahimshemlugu7845 6 лет назад

    funguka babaaaaa wataelewatu

  • @mahfoudhcalender2747
    @mahfoudhcalender2747 6 лет назад +1

    techokaaaaaa jamani, tanganyika yatudhalilisha sanaaa. yatudhulumuuu.

  • @leverimlaki5667
    @leverimlaki5667 6 лет назад

    Jamani tudumishe umoja.

  • @hamilsaleh-zo3hp
    @hamilsaleh-zo3hp 2 месяца назад

    Muungano na uvunjwe wasitukhanithi ssi tunaweza hata kuwaoa na kuwalisha

  • @masoudrashid8381
    @masoudrashid8381 5 лет назад +1

    Kila kitu kina mwisho wallahi

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 4 года назад

    Bado mnaathari za kisultani!!!

  • @omarhassan8451
    @omarhassan8451 6 лет назад +8

    Unguja,Pemba,Mombasa mpaka Malawi yote ilikua zanzibar

  • @albertanania3379
    @albertanania3379 5 лет назад

    Lakini sawa Mimi nimbara lakini muungano auna maana kwasababu zanzabar na tanzania bara ni nchioja lakini ukichukuwa kama been dhaa kama sukari au tivii au friji ama garii ukipeleka tanganyila kama umezipeka Kenya au Uganda wakati ss ninchi moja kwaili wazazibaa twaeaonea

  • @hamilsaleh-zo3hp
    @hamilsaleh-zo3hp 2 месяца назад

    Ss tunaweza kuwaoa na kuwalisha kma wake zetu t ,wasituletee ujinga hapa

  • @hamedhamiar3201
    @hamedhamiar3201 5 лет назад

    kila mwenye akili timam analitambua hili kama Zanzibar inabamwa na muungano huu, wew umeona wap upande mmoja ukawa na maamuz kwamwenzake , wananzibar tumetaawaliw coz ya muungano inauma sana kuiyona Tanganyika inasonga mbele wakat Zanzibar inazidi kuteketea sabab ya muungano😴😥

  • @yasseralhazim2447
    @yasseralhazim2447 4 года назад

    Leo wafugaji na wakulima wamekua hawana chakufanya kila kitu kinatoka bara Zanzibar hawana ruhsa ya atakupeleka maji ya drop muungano uwo una faida gani kwa raia viongozi mtakuja kujuta wakati wa kurudi kwa juu ya vyeo mlivyokua navyo

  • @saidikikoko
    @saidikikoko 6 лет назад +3

    Fanyeni cc tupo nyuma yenu kuwasupport. Yan unajua ninyi wazanzibar kiukwel mko conscious sana ukilinganisha na wabunge watanzania bara, ninyi mnasubutu hata kutetea watu wenu lakini wabunge wa bara wao ni matumbo yao wale wa CCM
    Vunjeni tu muungano na cc wabara tunasupport uvunje maana mnaendelea kuumia kipuuzi kwa ajili ya upuuzi wa wabara

    • @moziidavchonchi3338
      @moziidavchonchi3338 6 лет назад

      WEE NAE FANYA UTAFITI HAO WAZANZIBARI WANAUMIA KIVIPI SASA, MBONA WAPEMBA KIBAO TUNAPISHANA NAO MBAGALA HAHAHA WANAFATA NN SASAAA WAENDE KWAO MAV YA BAKAYOKO HAO

    • @fatmahamad2156
      @fatmahamad2156 5 лет назад

      @@moziidavchonchi3338 ivi unaona wapemba wanahamu sana na kukaa huko,wanakaa huko kwa sababu tu yakutafuta rizki zao,kwani Zanzibar yetu imedumazwa kiuchumi na Tanganyika ,iyo ndo sababu ya kuwaona huko ,is ingekuwa ivyo usingemuona mpemba hata mmoja ww,sasa tuachieni kisiwa chetu,muone km wapemba hawatarudi kwao,ila mnang'ang'ania nini lkn,km mnawapenda wapemba ss hatuna ubakuzi na ss pia tutawapenda lkn kinyume na hapo tutachukia,ni vyema tu mkakiachie kisiwa hiki kidogo

    • @aridiyahya8049
      @aridiyahya8049 5 лет назад

      Wewe kweli nyumbu. Mbw* koko

  • @moodyman7588
    @moodyman7588 4 года назад

    Nyinyi tukitaka kuwapiga changa la macho wafanyeni hivi wakiweka ccm Tanganyika Zanzibar tuweke Cuf o Act apo ndo itapatikanwa haki bila ya hivyo bc watatutukana, kwa wazanzibar tunataka independent no blablabla bom bom Think before you done

  • @omarhassan8451
    @omarhassan8451 6 лет назад +2

    Mkiona joto livueni Koti👋

  • @shaabanramadhan6770
    @shaabanramadhan6770 6 лет назад +5

    km vipi muungano uvunje wao wabaki na kisiwa chao na sisi tubaki na tanganyika yetu maan haya malalamiko haya ishi

    • @mohamedsalum3112
      @mohamedsalum3112 5 лет назад

      Shaaban Ramadhan sawaaa lkn naona hamtuwachii mmetugandaa

    • @aridiyahya8049
      @aridiyahya8049 5 лет назад

      Tumewaganda!!??🤣🤣🤣

  • @hemedjackson2261
    @hemedjackson2261 5 лет назад

    Yot sababu ya uislamu

  • @seifhabib5987
    @seifhabib5987 4 года назад

    Yahya sinongo karibu Zanzibar tuje kukunywisha Kakhwa na khaluwa.

  • @godfreybigeyo9105
    @godfreybigeyo9105 6 лет назад

    kiongozi wao ni nani hawa,

  • @brisketkidari1623
    @brisketkidari1623 6 лет назад +5

    wachane tu unawazonga nini waambieni hatuutaki sisi nyinyi tu uko ndo mnauweka hebu lianzisheni muone kama watapata mfuasi huku znz hatuutaki

  • @sgfdhaikuhusu6086
    @sgfdhaikuhusu6086 3 года назад

    Nataka tutukanwe mpaka tumwskwe maji ya chini si munahamu ya muungano hata bado maana mwaona vizuri nyinyi kutukanwa km vele ati km tunataka msaada tuseme tupewe yaan ndo hatujiwezi

  • @ashminaabdullah5626
    @ashminaabdullah5626 6 лет назад

    Mmmh mm naona huyu jini hajafa ila wafufuliwe walotuachia jini huyu

  • @hemedjackson2261
    @hemedjackson2261 5 лет назад

    Jamanii eeh hemu Tuende katika uhalisia wa kimaisha hii nchi hat akae cuf,chadema,act wazalendo bc mayahudi hawaiwachi huru wametumia kivuli cha Tanzania bara mayahudi ndo wanaosokot Zanzibar sio Tanzania bara

  • @user-pf9cd6zj1g
    @user-pf9cd6zj1g 4 года назад

    Hamna lolote hamna mumuzi yoyote ccm oyee

  • @allymsuya6655
    @allymsuya6655 6 лет назад

    Tatizo ni unafiki was wabunge was CCM upande was Znzb

  • @bonyenyekahawamoshi9775
    @bonyenyekahawamoshi9775 6 лет назад

    Nyie no cuf

  • @bugdadiajm8270
    @bugdadiajm8270 6 лет назад

    Waacheni waende

  • @teamallyracing1780
    @teamallyracing1780 6 лет назад

    mnaliona leo hilo

  • @salummohdnyiga9760
    @salummohdnyiga9760 6 лет назад +1

    Mimi mwenyewe japo ni mtanganyika siutaki muungano ila nalazimishwa tu natamani sana niishi hapa kwa visa, na ukitaka kujua ubaya wa muungano safiri na TV yako na mengine mengi siwezi kuyaandika yote. Ni bora muungano tuupigie nao kura na si kuburuzana tuuu.

    • @suluman1808
      @suluman1808 6 лет назад

      kwani vp nyie kama limebana livueni halinama.

  • @umadiali5793
    @umadiali5793 5 лет назад

    Kweli kabisa huu ni muungano sio kutuonea wazanzibar tukawa hatuna haki!!

  • @minaziparasu8748
    @minaziparasu8748 6 лет назад

    Ikopoa znz kwanza .fanyenikweli musisumbuliwe navilaza vya Ali kesi namsukumaa

  • @mwanalelee6
    @mwanalelee6 6 лет назад

    hahahaaaaaa Na bado maalim seif aliposema mulimuona mjinga sasa endeleeni mbele kwa mbele iyooooo

  • @godfreybigeyo9105
    @godfreybigeyo9105 6 лет назад

    nyie ni wa serikali gani? kwanza

  • @sautisamsu2981
    @sautisamsu2981 5 лет назад

    tupo pamoja kweli ss wazanbar hatuna maana wanatuonea kwann

  • @salummuhija4435
    @salummuhija4435 6 лет назад +5

    Tatizo wabunge wa Zanzibar siku zote mnahisi mnaonewa tu kwanini nyie lakini!!

    • @michakazojet1146
      @michakazojet1146 5 лет назад

      kwani wwe huoni mifano ya kile kinachoendelea?

  • @amanisuleiman5628
    @amanisuleiman5628 6 лет назад +7

    Hakki hiiiiiooooo naiona inarudi kisiwa kime wakwama kooni hakimezeki na mtakitema vijana tupoooo tayari Kwa lolote na tanganyika mna tusoma mzikiwetu salama yenu maalim seif shariff katutuliza lakini akiachia kamba hapatatoshaa

    • @winniefrida1483
      @winniefrida1483 6 лет назад

      mna mziki gani nyie wakati 1/4 tatu yenu ni mashoga

    • @samiryusuf9492
      @samiryusuf9492 6 лет назад +2

      we fala kumbe baba ako na babu yako itakuwa nao mashoga ndio maana wabongo mumeumbwa na roho mbaya na sura zenu mbaya

    • @leonelleo4425
      @leonelleo4425 6 лет назад

      Winnie Frida HAHA asilimia kubwa yao vidole juu..

    • @moziidavchonchi3338
      @moziidavchonchi3338 6 лет назад

      MNASHINDIA UROJO UTAMSUMBUA NANI WW PUNGA??? ME NATUSUA FURUSHI LA DONA NIGUSE NIKUTIE KISU CHA MACHO MIXER MADOCHI YA MBAVU MAV WEE AFU MISHOGA MING INATOKA ZENJI NA MZIKI WENU WA TAARABU NA MIDUARA SIJUI VIDAKUDAKU ANI UPUUZI MTUPU

    • @aridiyahya8049
      @aridiyahya8049 5 лет назад

      Wazanzibar wanapenda kudharau bara lakini wakidharauliwa basi waja juu. Nami ningependa tuvunje muungano ndo mtajuwa umuhimu wa bara kwenu. Hiyo mnayodanganywa eti itakuwa Singapore ya Africa.🤣🤣 . Mara nyingi mnapewa kipaumbele lakini haitoshi nadhani mnataka kuitawala bara.

  • @mundhirhamad6595
    @mundhirhamad6595 6 лет назад

    wamezoe hao chukueni hatua

  • @suleimanjngondo6760
    @suleimanjngondo6760 5 лет назад

    wazanzibar iyo ni laana ya masheikh wenu mulio waweka ndani bila kuwasomea mashitaka

  • @shifaa3327
    @shifaa3327 6 лет назад

    Muungano wa kisiwa cha zanzibar ni mswala kw wanawake kw wanaume ni mskiti na kukifata kitabu cha Allhah Quran hayo yt yanakaa sw wenyewe ela mungu hamumtaki wazanzibar kweli kutaachwa kulalamika kl sk twaonewaaa jmn dunia hii musijetutia mazilanii

  • @charlesanselimo6658
    @charlesanselimo6658 5 лет назад

    Kiti Cha spika Ni dhaifu

  • @bonyenyekahawamoshi9775
    @bonyenyekahawamoshi9775 6 лет назад

    Hiyo anaonekana anagubu anaona anaenda kufa anataka kufa nawengi mjinga sana

  • @salehlofy4251
    @salehlofy4251 6 лет назад

    Tatizo wazanzbar n watu wa Amani SAANA halafu hawana JESHI lakn kiukweli ZANZIBAR HASA HAWAUTAKI MUUNGANO, TANGANYIKA WANATEGEMEA JESHI KUWANYONYA NA KUWAZULUMU NA KUWATISHA ZANZIBAR

  • @yasseralhazim2447
    @yasseralhazim2447 4 года назад

    Mtoto akililia wembe mpe huooo!
    Cmnaupenda mnapokua uwanja wa amani mnasema tuuduumishe muungano sasa iyo ndio faida yake.

  • @elenestjackson129
    @elenestjackson129 6 лет назад

    Hii michogo mbona inatun,gan,ganiya kuwe na mungano sisi wazanzibari hatutaki muungano machogo

    • @moziidavchonchi3338
      @moziidavchonchi3338 6 лет назад

      CHOGO NANI ME DUNYA MBONA MIMI MTANZANIA KABILA MTUSI ASILI YANGU RWANDA NI RAIYA WA TANZANIA HUSUSANI BARA AFU NASKIA HUKO KUNA MASHOGA WENGI BILA SHAKA HATA WEWE PIA

  • @musamuyuga8702
    @musamuyuga8702 6 лет назад

    nani anashida na nyinyi

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim9773 4 года назад

    Waambie wanatulea dharau na jeuri hatutaki muungano wizi na hatuna lolote tunalolipata wanafiki .

  • @pantaleokulaya5308
    @pantaleokulaya5308 6 лет назад +1

    wabunge wa ccm bila kuamua nyie wengine hamna ubavu

  • @khamisdaima1455
    @khamisdaima1455 6 лет назад

    Kwanini watanganyika wang'ng'ania huumunganooo

  • @joetchatv1453
    @joetchatv1453 6 лет назад

    Muungano hauvunjiki

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 6 лет назад

    Vunjaa sisi sio watanzania bara .

  • @MohdRashid-cu9qb
    @MohdRashid-cu9qb 5 лет назад

    Hivi hawa wabunge wa ccm kutoka Zanzibar hawalioni hili au ndio wameridhika

  • @ipmalu9947
    @ipmalu9947 6 лет назад

    ndo Kwanza mjue leo
    kama Zanzibar inanewa na watanganyika

  • @omarjumanne4471
    @omarjumanne4471 6 лет назад

    Bi Rukia umecheza ngoma huijui ujue kuwa Zanzibar zama hizo liikuwa na kiongozi mwinyi mkuu muungano hautovunjwa na wabunge ambao wanajaziba zao binafisi au za vyama vyao

  • @hajikhatib8840
    @hajikhatib8840 6 лет назад +5

    vichogo mbona mnaingangania Zanzibar!!!! wachiwe wapumue mmeshawazulum Sana Sana Hadi kuwauwa Kwa kudai haki Yao ..!!! wabunge komaeni hivyo hivyo ...Hata msirubuniwe wacha tuu Zanzibar iwe zanzibar.ya nini mateso ya wasiokupendeleeni mena......((fact))

  • @Ba63828
    @Ba63828 6 лет назад

    WATOTO WA MAMA MMOJA MWAGOMBANA BURE HAKUNA TIJA

  • @bakarimngazija6672
    @bakarimngazija6672 6 лет назад +1

    HATUTAKI ZANZIBAR NI NCHI SISI TUNAMAAMUZI YETU. HATUTAWABEMBELEZA TENA SISI TUMESIKIA NA TUKOPAMOJA WAKITAKA WASITAKE SISI NI NCHI . MUNGU KAZIGAWANYA KWA MATAKWA YAKE . WANACCM MLIJUWE HILO ZANZIBAR KWANZA.

    • @saverynada180
      @saverynada180 6 лет назад

      kama ni nchi si mjiuzie sukari yenu???

    • @moziidavchonchi3338
      @moziidavchonchi3338 6 лет назад

      HAFU WEE NAE UNAONGEA UTUMBO KUBWA JINGA WEKA HOJA YA KUSEMA MUUNGANO UVUNJIKE NA HOJA KUBWA KUWEPO KWA VITA AMA UCHUMI KUYUMBA SASA ULIONA WAPI KUTOUZIKA KWA SUKARI MUUNGANO UKAFA HAHAHA TATIZO LA BAADHI YA WAZANZIBAR WENGI HAWAKUJIKOMBOA KIHELIMU MPO KIDINI DINI TUU

  • @suleymanalawi9613
    @suleymanalawi9613 5 лет назад

    mbunge wa zanzibar kupitia ccm hawez kuitetea zanzibar hata siku 1

  • @hamadshein935
    @hamadshein935 6 лет назад

    ZANZIBAR IKIJITENGA.ITAKUWA KAMA DUBAI YA AFRIKA.UAE ITAJENGA MAGHOROFA UKIWA JUU UNAONA TAA ZA MBEZI.ZENJI WERAWERA

  • @shaabanhaji2014
    @shaabanhaji2014 5 лет назад +5

    Tushawazoea awoo wakipewa shilingi tu wanakaa kimnyaaaa.... Haawana loloteee

  • @wambaamwambaje1272
    @wambaamwambaje1272 6 лет назад

    Kwann manasema to hamfanyi leo

    • @alihamad6046
      @alihamad6046 6 лет назад

      Tupeni kura ya maoni tuuulizwe tunautaka aman hatuuutak

    • @henryndosi8569
      @henryndosi8569 6 лет назад

      Wewe mwarabu koko

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 6 лет назад

    Ile hiyo mibunge ya CCM wote ni wabara .nadhani watakubali .

  • @mariobalotel1329
    @mariobalotel1329 5 лет назад

    Hawo wanyamwezi si watu wazuri hawoo

    • @mhogomchungu7168
      @mhogomchungu7168 5 лет назад

      usitukane makabila ya watu, wazanzibari zaidi ya nusu kama si wote wana damu za kinyamwezi labda wawe wameshuka leo kwenye ndege kutoka ulaya kwa utalii

  • @arkammohamed711
    @arkammohamed711 6 лет назад

    KUNA WATU WAMETIWA MFUKONI

  • @omarkhatib4968
    @omarkhatib4968 6 лет назад

    Haya yooote yanatokana na yule bwege sheni na mabunju ya ccm

  • @shifaa3327
    @shifaa3327 6 лет назад

    Jamanii musijetutia mazilaniii tukakosa jitafutiaa mia kw watt wt mn nyie mpigao kelele hp majukumu yn hamuvijii ahh

  • @tonedeusmuganyizi5265
    @tonedeusmuganyizi5265 6 лет назад

    Huyu hana hoja.
    Zanzibar inayo sera ya kuingiza sukari bila kodi. Tanzania bara hatuwezi kuruhusu sukari hiyo kuingizwa hapa bila kodi na kuharibu ushindani. Kaeni na sukari yenu - na wala siyo sukari tu na bidhaa nyingine.

    • @omarjumanne4471
      @omarjumanne4471 6 лет назад

      Tonedeus Muganyizi huo ndo ukweri wataalamu was uchumi hawsikilizwi Zanzibar ushauri wa kitaalamu hawataki sasa mnayaona Mimi kiwanda cha viatu nimewashauri hawataki sasa mambo hayo tumieni makuluge kujenga viwanda Zanzibar bars watakwama kuzuia bizaa zetu

  • @maryammajid3213
    @maryammajid3213 6 лет назад

    Imeona sahiv mshauzwa nyiee komaen

  • @youngbreezy6615
    @youngbreezy6615 6 лет назад

    Awo majamaa sijui wabunge muungano wameukuta apa hamna kuvunjika hawana lolote mxiee zanzibar bora ifanywe mkoa tu kam mikoa mengne maan rais wa uku zanzibar hmna kitu