LINAH YANGA: NAWASOMEA UJUMBE ALIOANDIKA CHAMA/SISI HATUHITAJI CHAMA AKIMBIE KIMBIE SANA.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024
  • Shabiki wa Yanga Linah Yanga Leo July 3,2024 amezunguma na Mpenja Tv huku huku akigusia usajili wa Clatous Chota Chama na klabu yake ya Yanga SC

Комментарии • 19

  • @AloyceMdollo
    @AloyceMdollo 3 месяца назад

    Linah uko vizuri hongera sana

  • @narcissusmakenge4710
    @narcissusmakenge4710 3 месяца назад +1

    Lina rudi darasani ''stranger'' ni mhalifu?😂😂😂

  • @BrunoNamanga
    @BrunoNamanga 3 месяца назад

    ❤❤❤❤❤linaaaaaaaaa

  • @jamesshitindi
    @jamesshitindi 3 месяца назад

    Upo Sawa lina

  • @bmkaskazinib4363
    @bmkaskazinib4363 2 месяца назад

    Bora angalimuita mhaiaji huyo Chama kuliko kumuita mhalifu

  • @ZaituniNyenzi
    @ZaituniNyenzi 3 месяца назад

    Linah mdogo wangu nimependa staili ya msuko wako

  • @BrunoNamanga
    @BrunoNamanga 3 месяца назад

    Lina ni hatarii mnoo anazungumzia soka na hali halisi

  • @fazo-kl9fu
    @fazo-kl9fu 3 месяца назад

    Hahahah

  • @AmiriMalenge-kc5jk
    @AmiriMalenge-kc5jk 3 месяца назад

    Yani Fei aache kucheza Club bingwa akacheze ndondo

  • @FrankKwanama-lo6fj
    @FrankKwanama-lo6fj 3 месяца назад

    Feisal ataendelea kutanga tanga na akitoka simba ni Namungo!

  • @bmkaskazinib4363
    @bmkaskazinib4363 2 месяца назад

    Acha ushamba Lina unadhani watu was vijijini hawajui Kiingereza waombe radhi sababu wewe hujui hats kulitamka hili neno conquor

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles9920 3 месяца назад

    Kwani huyu Lina cyo mtanzania?

  • @JosephTibu
    @JosephTibu 3 месяца назад

    unaongea kigreza ili tukuone msomi au ndotukuone mjanja ,kumbe ushamba wako upo pale pale

  • @mountkibo3379
    @mountkibo3379 3 месяца назад

    Stranger ni MGENI siyo mhalifu

    • @Zaburi-
      @Zaburi- 3 месяца назад

      😂😂😂

    • @hajisangu2489
      @hajisangu2489 3 месяца назад

      Na ww hujui. Stranger ni mtu wa ajabu, yaani hakuwa anajulikana

    • @Osamabilladeni
      @Osamabilladeni 3 месяца назад

      Kasome ww

    • @OmayOmmy
      @OmayOmmy 2 месяца назад +1

      Kiingereza kipana sio kama kiswahili

    • @jaffjeff6912
      @jaffjeff6912 2 месяца назад

      Kabisa ​@@OmayOmmy