DICKSON JOB AMJENGEA MAMA YAKE JUMBA LA KIFAHARI/NA YEYE KAMA ACHRAF HAKIMI ?/UFUPI WAKE TATIZO ?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 авг 2024

Комментарии • 22

  • @gracegofrey4677
    @gracegofrey4677 Год назад +8

    Nimempenda huyu mama sana jinsi anavomshauri mwanae heshima ni kila kitu katika jamii hata sehemu ya KAZI heshima inakupa mafanikio na watu wengi watakusaport pia na kukuombea mafanikio safi sana MUNGU ampe mwanao hitaji lake aende mbele Zaidi🙏🙏🙏

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo6263 Год назад +10

    Mahojiano yenye mvuto, mafunzo na mazingatio. Mama Dick anaongea kwa utulivu, hekima na busara. Mama wa aina hii lazima hekima yake iakisi tabia na makuzi ya mwanae na hii ndilo tunaliona kwa Dickson Job. Hongera sana mama Dick!

  • @jackmabirangacharles9398
    @jackmabirangacharles9398 Год назад +7

    Mungu ni Mwema

  • @rukiakyaka1827
    @rukiakyaka1827 Год назад +3

    Amin asant Mwanamke mwenzangu

  • @kapelotz9967
    @kapelotz9967 Год назад +3

    Very very good information

  • @jecomaige2748
    @jecomaige2748 Год назад +3

    Haya tegemea mwakabeta itope moja Hiyo hongera sanaaaa

  • @dullahdullah2344
    @dullahdullah2344 Год назад +7

    Pitia na kwa kina kibwana shomari pia nae tujue stories zake

    • @dar24media
      @dar24media  Год назад +4

      Tayari Dar24media tumeshafanya mahojiano na baba mzazi wa Kibwana Shomari na mahojiano yapo humu kwenye channel yetu

    • @fatma4628
      @fatma4628 Год назад +4

      Kwakina kibwana kuzuri tu baba tuliona

  • @zainabuhamisi576
    @zainabuhamisi576 Год назад +3

    Mwananchi

  • @mahmoudaziz4717
    @mahmoudaziz4717 Год назад +4

    Ongera mama.

  • @husseinyusuph5458
    @husseinyusuph5458 Год назад +3

    Kumbe Joj job sio kakaake mzazii !

  • @alexkalonga5323
    @alexkalonga5323 Год назад +3

    Mama

  • @francepaul7711
    @francepaul7711 Год назад +3

    Mama job

  • @rukaya-jg7hj
    @rukaya-jg7hj Год назад +8

    Nendeni kwa akina bakar mwamnyeto tujue history yake tuige mwenendo za watt zetu

  • @ibrahimngokoe2102
    @ibrahimngokoe2102 Год назад +2

    🙏🙏

    • @rajabuhamadi
      @rajabuhamadi Год назад

      Kujenga kajenga Fei ispokuwa yeye aliitaji maslai sasa tusimchukie akidai maslai yake kwa akili ya ushabiki maana Hawa wachezaji ni wapi kazini kama wafanyakazi wengine tuuu

    • @salvatorymtunga5906
      @salvatorymtunga5906 Год назад

      Ugali na sukari inamfaa fesal na mamaye.

    • @salvatorymtunga5906
      @salvatorymtunga5906 Год назад

      Mama na Baba Job waelewa, siyo wale familia zisizo na shukrani kama akina wale wala ugali na sukari.