RAADI KWA DR ISLAM NIKWELI SHEKH IBNU UTHAYMEEN AMEJUZISHA KUCHUKUWA ELIMU KWA SHETWANIKASIM MAFUTA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 сен 2024

Комментарии • 17

  • @kadrimwingamno258
    @kadrimwingamno258 29 дней назад

    Allah akuifadhi Sheikh Qassim Mafuta. Naona katika comment humu Mi-hizbi jinsi inavyo umia....jinsi unavyo rekebisha ubabaishaji wa Sheikh wao aliyepinda. Wale Ma-Hizbi Wa Milton Keynes UK walio Mraghai Mzee wetu alikuwa anawafundisha kwenye mskiti wa Alubidaah. Na mshukuru kwa kuwacha kuwafundisha. Kwa hiyo Mi-hizbi ya Milton Keynes UK. Sheikh wao Mkubwa Dr Islam.

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e 22 дня назад +1

      Itaqi llah ya jamaa utakwenda kuulizwa hayo inaonekana ninyi kundi lenu halina khofu na Allah ni watu mnaofata matamanio ipo siku mtakuja kuelewa kiukweli mmepotea xana japo mmejificha katika kivuli cha watu wema ila shk utheemeny kawabainisha bayana kabisa na usulubu wa kundi hili ni fitna kubwa duniani tofauti na mapote mengine yaliyozuka zama hizi ninyi too much mwavuli wenu nembo ya watu wema lakini ni kundi baya sana kwanza limekuja kuharibu sifa za salafi, na kuwapaka matope ahlsuna na kuwafanyia dhulma watu,kazi ya shekh rabiihy hiyo imezaa uvundo na takataka mbovu za uelewa mbovu kwa vijana na kuwafanyia uadui watu wa sunnah na kusababisha vurugu wao kwa wao, daah Allah atunusuru na hili kundi ovu na mtihani mkubwa katupa hujawahi tokea kwa makundi mengine

    • @BilaliIloko
      @BilaliIloko 16 дней назад

      Umesikiliza kilicho zungummzwa au. Unaona naona na hapo

  • @AllyKame-rx2zd
    @AllyKame-rx2zd Месяц назад +2

    Alafu shekhe usiape wallahi hana Elimu ya kujibu, nakuuliza wajua yaliyo kwenye vifua vya watu! Utajuaje kama ambavyo wadai husikii duruss za Mashekhe hao, utajuaje kama na yeye hasikii mihadhara yako ndiposa asikujibu!

  • @salimngwali1873
    @salimngwali1873 Месяц назад

    Shekh wangu mche Allah,mbona unapenda kuamsha fitna iliyolala ww unamwita mtu kwa jina haswa kma ni hizbiyu wewe humuogopi allah (sw)

  • @AllyKame-rx2zd
    @AllyKame-rx2zd Месяц назад

    Tena kwa kiapo Shekhe

  • @HemedAbdullaSuleiman
    @HemedAbdullaSuleiman Месяц назад +1

    Uzuri Doctor Islam ata hakusikilizi lakini wewe unang'ang'ania ujibiwe...Hujibiwi sasa... Kama kweli wewe una Elimu mbona humgusi Muhammad Bachu? 😂😂😂😂

    • @kadrimwingamno258
      @kadrimwingamno258 28 дней назад

      Ducturi Islam muogope mola wako kwa kuwanzushia uongo maulamaa....
      Wewe unaemtete sheikh wako Dr Islam bila kutafakari vile vile muogope mola wako. Moto wa kyima sio mchezo.

    • @kadrimwingamno258
      @kadrimwingamno258 28 дней назад

      Dr Islam kapinda Big time

  • @AllyKame-rx2zd
    @AllyKame-rx2zd Месяц назад

    عليم بذات الصدور
    Elimu hii si ya Allah peke yake? Au wahusika nayo hadi useme Walkah Doktoor hana Elimu ya kujibu!

  • @AllyKame-rx2zd
    @AllyKame-rx2zd Месяц назад

    Alimtoa peponi?

  • @ahmadmzoa74
    @ahmadmzoa74 29 дней назад

    Huyu Qasim ataacha utoto lini.?! Aina ya Daawa yake ni dawa ya kihizbi. Hajaona hadithi za Mtume swalla LLAHU alayhi wassallam zinazokataza aina hiyo ya usulubu mbovu wa jidala...??!

    • @kadrimwingamno258
      @kadrimwingamno258 29 дней назад

      Wewe unaongea tope. Sheikh Kassim Mafuta akili kubwa. Dr Islam kapinda kapinda kupita kiasi.

    • @ahmadmzoa74
      @ahmadmzoa74 29 дней назад

      Hiyo brand yenu poleni sana.

    • @ahmadmzoa74
      @ahmadmzoa74 29 дней назад

      @@kadrimwingamno258 Malezi. Kuzii'zi nafsi zenu. Katu inatambulika Mwenye kunyanyuwa na kutweza daraja Ni ALLAH A'ZZA WAJALLA Pekee Hana mshirika.

    • @ahmadmzoa74
      @ahmadmzoa74 29 дней назад

      @@kadrimwingamno258 فلا تزكوا أن فسكم هو أعلم بمن تقا .