Allah akuifadhi Sheikh Qassim Mafuta. Naona katika comment humu Mi-hizbi jinsi inavyo umia....jinsi unavyo rekebisha ubabaishaji wa Sheikh wao aliyepinda. Wale Ma-Hizbi Wa Milton Keynes UK walio Mraghai Mzee wetu alikuwa anawafundisha kwenye mskiti wa Alubidaah. Na mshukuru kwa kuwacha kuwafundisha. Kwa hiyo Mi-hizbi ya Milton Keynes UK. Sheikh wao Mkubwa Dr Islam.
Itaqi llah ya jamaa utakwenda kuulizwa hayo inaonekana ninyi kundi lenu halina khofu na Allah ni watu mnaofata matamanio ipo siku mtakuja kuelewa kiukweli mmepotea xana japo mmejificha katika kivuli cha watu wema ila shk utheemeny kawabainisha bayana kabisa na usulubu wa kundi hili ni fitna kubwa duniani tofauti na mapote mengine yaliyozuka zama hizi ninyi too much mwavuli wenu nembo ya watu wema lakini ni kundi baya sana kwanza limekuja kuharibu sifa za salafi, na kuwapaka matope ahlsuna na kuwafanyia dhulma watu,kazi ya shekh rabiihy hiyo imezaa uvundo na takataka mbovu za uelewa mbovu kwa vijana na kuwafanyia uadui watu wa sunnah na kusababisha vurugu wao kwa wao, daah Allah atunusuru na hili kundi ovu na mtihani mkubwa katupa hujawahi tokea kwa makundi mengine
Alafu shekhe usiape wallahi hana Elimu ya kujibu, nakuuliza wajua yaliyo kwenye vifua vya watu! Utajuaje kama ambavyo wadai husikii duruss za Mashekhe hao, utajuaje kama na yeye hasikii mihadhara yako ndiposa asikujibu!
Ducturi Islam muogope mola wako kwa kuwanzushia uongo maulamaa.... Wewe unaemtete sheikh wako Dr Islam bila kutafakari vile vile muogope mola wako. Moto wa kyima sio mchezo.
Huyu Qasim ataacha utoto lini.?! Aina ya Daawa yake ni dawa ya kihizbi. Hajaona hadithi za Mtume swalla LLAHU alayhi wassallam zinazokataza aina hiyo ya usulubu mbovu wa jidala...??!
Allah akuifadhi Sheikh Qassim Mafuta. Naona katika comment humu Mi-hizbi jinsi inavyo umia....jinsi unavyo rekebisha ubabaishaji wa Sheikh wao aliyepinda. Wale Ma-Hizbi Wa Milton Keynes UK walio Mraghai Mzee wetu alikuwa anawafundisha kwenye mskiti wa Alubidaah. Na mshukuru kwa kuwacha kuwafundisha. Kwa hiyo Mi-hizbi ya Milton Keynes UK. Sheikh wao Mkubwa Dr Islam.
Itaqi llah ya jamaa utakwenda kuulizwa hayo inaonekana ninyi kundi lenu halina khofu na Allah ni watu mnaofata matamanio ipo siku mtakuja kuelewa kiukweli mmepotea xana japo mmejificha katika kivuli cha watu wema ila shk utheemeny kawabainisha bayana kabisa na usulubu wa kundi hili ni fitna kubwa duniani tofauti na mapote mengine yaliyozuka zama hizi ninyi too much mwavuli wenu nembo ya watu wema lakini ni kundi baya sana kwanza limekuja kuharibu sifa za salafi, na kuwapaka matope ahlsuna na kuwafanyia dhulma watu,kazi ya shekh rabiihy hiyo imezaa uvundo na takataka mbovu za uelewa mbovu kwa vijana na kuwafanyia uadui watu wa sunnah na kusababisha vurugu wao kwa wao, daah Allah atunusuru na hili kundi ovu na mtihani mkubwa katupa hujawahi tokea kwa makundi mengine
Umesikiliza kilicho zungummzwa au. Unaona naona na hapo
Alafu shekhe usiape wallahi hana Elimu ya kujibu, nakuuliza wajua yaliyo kwenye vifua vya watu! Utajuaje kama ambavyo wadai husikii duruss za Mashekhe hao, utajuaje kama na yeye hasikii mihadhara yako ndiposa asikujibu!
Shekh wangu mche Allah,mbona unapenda kuamsha fitna iliyolala ww unamwita mtu kwa jina haswa kma ni hizbiyu wewe humuogopi allah (sw)
Tena kwa kiapo Shekhe
Uzuri Doctor Islam ata hakusikilizi lakini wewe unang'ang'ania ujibiwe...Hujibiwi sasa... Kama kweli wewe una Elimu mbona humgusi Muhammad Bachu? 😂😂😂😂
Ducturi Islam muogope mola wako kwa kuwanzushia uongo maulamaa....
Wewe unaemtete sheikh wako Dr Islam bila kutafakari vile vile muogope mola wako. Moto wa kyima sio mchezo.
Dr Islam kapinda Big time
عليم بذات الصدور
Elimu hii si ya Allah peke yake? Au wahusika nayo hadi useme Walkah Doktoor hana Elimu ya kujibu!
Alimtoa peponi?
Huyu Qasim ataacha utoto lini.?! Aina ya Daawa yake ni dawa ya kihizbi. Hajaona hadithi za Mtume swalla LLAHU alayhi wassallam zinazokataza aina hiyo ya usulubu mbovu wa jidala...??!
Wewe unaongea tope. Sheikh Kassim Mafuta akili kubwa. Dr Islam kapinda kapinda kupita kiasi.
Hiyo brand yenu poleni sana.
@@kadrimwingamno258 Malezi. Kuzii'zi nafsi zenu. Katu inatambulika Mwenye kunyanyuwa na kutweza daraja Ni ALLAH A'ZZA WAJALLA Pekee Hana mshirika.
@@kadrimwingamno258 فلا تزكوا أن فسكم هو أعلم بمن تقا .