Ukweli mchungu wa RC Mtaka kwa wastaafu, awapa ushauri mzito

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Follow us on:
    FACEBOOK;
    SpotiLeo: / spotileo-176. .
    HabariLeo: / habarileo
    DailyNews: / dailynewstz
    INSTAGRAM;
    HabariLeo: ....
    SpotiLeo: ....
    TWITTER;
    Twitter HabariLeo: Ha...

Комментарии • 9

  • @humphreymkony8915
    @humphreymkony8915 2 года назад

    An excellent piece of advice from Hon. RC Mataka.

  • @chescokikoti4683
    @chescokikoti4683 2 года назад

    Ur smart mnoo

  • @brobabuu3973
    @brobabuu3973 3 года назад +2

    Huyu RC amesema ukweli tupu. Elimu kama hizi tulistahili kuzipata shule ila hazipo. kwenye mitandao wapo wanaozifundisha ila wanapuuzwa.. ndo sababu wastaafu wengi wanakufa muda mfupi baada ya kustaafu. Unaenda kununua daladala utawezana na stress za madereva na kondakta? au ndo kujitakia shinikizo la damu. Somo la Hatifungani za serikali nitaliandalia video watu waelewe zaidi.. ni mgodi uliojificha.

    • @sizinga
      @sizinga Год назад +1

      Hiyo video ipo tayari? Nimekaa paleeeee naisubiri

  • @victustemba
    @victustemba 3 года назад +1

    Mtaka 🙌

  • @paulmeela1864
    @paulmeela1864 2 года назад

    Ukweli unaouma ila ni somo kubwa sana na lenye manufaa chanya.

  • @jolinkimaro9939
    @jolinkimaro9939 3 года назад

    dah. jamaa kweli kuna shida. anaongea kweli haswaa

  • @aaaaaah290
    @aaaaaah290 3 года назад

    HEE... KUMBE KUNA MAJAMAA SERIKALINI YANA AKILI NZURI AISEE NAMNA HII..?😁😁. KWA HILI NIMEKUELEWA KULIKO MNO 😁😁🙏🏽🙏🏽💪🏽💪🏽🙏🏽🙏🏽

  • @smartonlinetv5144
    @smartonlinetv5144 2 года назад +1

    Mh mtaka wewe ni kichwa