"NI AIBU, UJINGA MTUPU MNAJADILI" RC MTAKA AGEUKA MBOGO, AMJIA JUU DC, WAKANDARASI WAUSHINDWA MRADI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 20

  • @levissanga8867
    @levissanga8867 10 месяцев назад

    Hon. Mtaka congratulations. You are showing transformational leadership style, which is highly needed in our organisations in the country.

  • @zegelibilishanga6047
    @zegelibilishanga6047 6 месяцев назад

    ❤nahitaji bamba ya huyu mh,
    Nataka kumuombea kwa mila za kiha

  • @deonatusyokta3579
    @deonatusyokta3579 7 месяцев назад

    Mtaka mtu wa maana sana

  • @RwegoshoraPatt-os2ik
    @RwegoshoraPatt-os2ik 6 месяцев назад

    Nakukubali wa depo

  • @babaloisethan7010
    @babaloisethan7010 Год назад

    KIONGOZI,YES

  • @edmundmmuniedmund1623
    @edmundmmuniedmund1623 Год назад +1

    Huyu jamaaa nahisi ana busara za uongozi..
    Ikiwa wataendelea kumpa fursa namuona ni kiongozi mkubwa sana Tz

  • @maulidmnukwa3171
    @maulidmnukwa3171 Год назад +1

    Mtaka anatakiwa awepo miji mikubwa Kama dar, mwanza au Arusha... Full stop

  • @getajo1153
    @getajo1153 Год назад

    Antony Utaka si uende Mara wajameni tunakuhitaji....

  • @Aman-kp4wl
    @Aman-kp4wl 7 месяцев назад

    Mtaka nikiongozi unahekima njombe tumepata kiongozi .ilawnayechezea kazi jalibu kua mkali

  • @gracemunthali7945
    @gracemunthali7945 Год назад +1

    The people are not serious.

  • @augustinochimtunga2391
    @augustinochimtunga2391 Год назад +1

    Huyo ni kiongozi siyo mtawala,ana busara Sana na huwa anaelekeza nini kifanyike.vongozi tunao ila tu wanafunikwa na mafisadi ndani ya chama

  • @AloyceKalombo
    @AloyceKalombo 7 месяцев назад

    Huyu anaongea vitu vya maana

  • @gracemunthali7945
    @gracemunthali7945 Год назад +1

    This is beyond stupidity. How come the school is not able to start in time. When are we going to wake up in time. The people are not serious. Fire her, So she will be an example to others.

  • @NDEWARA
    @NDEWARA Год назад

    Ni aibu tupu😢😢

  • @BahatiTuyayineBahatituyayi-q3l

    Uyu anafa kuongoza ich mukuwamu

  • @MrA24G
    @MrA24G Год назад

    Tatzo watanzania tubadilike Kwa kweli.Hasa rushwa za ovyooo

  • @jambo3751
    @jambo3751 Год назад

    Halafu utasikia SAMIA hajafanya chochote..pumbaaaav.

  • @mohamedrashid9035
    @mohamedrashid9035 Год назад

    Huwa wanajadiriana wizi tu wakwamishe miradi vipi waibe je napesa ipo au weshakula

  • @nelliegodfrey-zq5vz
    @nelliegodfrey-zq5vz Год назад +1

    hivi ni shule za wasichana tu watoto wetu wa kiume je?