Atosha Kissava - U Mwaminifu Jehovah (Official Video)
HTML-код
- Опубликовано: 7 сен 2022
- #AtoshaKissava #UMwaminifuJehovah #SlideDigital
SMS [Skiza 8089472] to 811
(C) Slide Digital
Atosha Kissava Songs OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
Written & Performed by Atosha Kissava
Follow Atosha Kissava on:
/ atoshakissava
/ atoshakissavaofficial
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: / slidedigitaltz - Видеоклипы
Mungu wa mbinguni akubariki mnooo
Kila siku kila saa anatuonyesha uaminifu wake ,Amen.
jaribu kubadirika umetaka kutoka kwenye njia sahihi omba Mungu neema yake ikuijilie tena
Madam kuna kastaili umekacheza apo kwenye mapiano apo umetisha san lazima nikajuwe ako weèeeeee wimbo mzur san good 👯♀️👯♀️👯♀️👯♀️👯♀️👯♀️😍
Dada hakika nabarikiwa mno nanyimbo zako Mungu azid kukutia nguvu pia naomba namimi unisaidie dada angu napenda sana kuimba Larkin sujui nifanyaje🙏
Kila siku kila saaa umwaminifu Jehova,
Kila siku kila saa umwaminifu jeova 🙏
Have listen to this song severally ;kweli siku site ye ye no mwaminifu
Kila siku Kila saa uu mwanifu Jehova
Licha ya kanisa kunitenga lakini nazidi kumwona akiwa mwaminifu juu ya maisha kamwe siwezi KUMWACHA YESU
U mwaminifu Jehovah! Numbers 23:19, Deutoronmy 7:9-11, Romans 3:4.
Asieacha mguu wangu usogezweee...yeyeeee
Kila siku kila sàa Mungu ni mwaminifu amina
Ni kweli kabisa MUNGU nimwaminifu hata sasa hivi tunapo tuma maoni hata kwa kila unacho fanya bado ni hivi👏👏
Napenda nyimbo zako zinanigusa sana ubarikiwe dada
God is saying To You Today: My child you are worrying too much. Remember who I am. There is nothing too hard for me. You may not see it, but I have everything planned out for you. Trust me. Amen.!!!
😭amen
Wow! This song has blessed my heart. Let's support this fellow artist. Wapi likes zake please from Kenya 🇰🇪🇰🇪? #emmanuelbrownke
Kazi njema
Hakika kila saa u mwaminifu jehovah
Jehovah ni mwaminifu kila wakati
Ameni ubarikiwe dada angu Mungu ni mwaminifu kila saa
Hongera sana kila siku kila saa umwaminifu Jehovah
Dada nakupenda, nyimbo zako nzuri Mungu azidi kukuinua
Du!hii imepgwa ktk Roho.Mungu azidi kukuinua
Amina mtumishi wa Mungu hakika Mungu ni mwaminifu amina sana
Barikiwa mtumishi wa mungu Wimbo mzuri umenitia faraja sana
Ooh yes ni mwaminifu sana kwangu my sister ,my fast time to watch this song 🎻 very powerful message
Barikiwa sana
Amen 🙏
Amina. Mungu ni mwaminifu kweli i love is song
Ameen!!! MUNGU akuinue viwango vya huu zaidi kwa sifa nzr zenye harufu nzr mbele za MUNGU
Sijui niseme nini,MUNGU ASANTE KATIKA HILI
Amina
Hakika Ni Mwaminifu...Nmemwona
Congratulation......💥💥💥
Amen Amen Amen🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
❤❤😮😮😮nice one atosha God bless you
Sooo powerful may God shower his blessings to you
More blessings ma dia siz..Avery soul touching message 🎉
Mungu ni mshindi wa yote
Umwaminifu bwana🙏🙏🙌
Améen ubarikiwe sn kwa wimbo mzuri
Unabarikiwa na nyimbo unabarikiwa na video unajifunza pia namna mwanamke anavyotakiwa kuwa smart Mungu akubariki dada angu
Kazi yako ni njema sana mtumishi wa mungu.nimebarikiwa sana na kazi yako kila siku kila saaa .kweli ni mwamifu yehova🙏🙏🙏
Tunafarijika na neno la mungu
You never dispoint Atosha
Mungu akubariki atosha nakupenda mtumishi
Umeupiga mwingi mtumishi
Amen Amen Amen 🙏
Najua hata saa hii umwaminifu
Hajawahi kugeuka Bwana..
Amen amen this song is good.
Umeweza mama aidia kali
Eeeh God is faithful
wao you are faithful jehova
Nakupenda Sana dada barikiwa
Waauuu very powerful.
Mungu azidi kukubariki dada Atosha ni kweli mwaminifu Jehovah Kila wakati
I love you Madam Atosha
Kwa hakika Mungu Ni mwaminifu ukimwamini kamwe hupotei Wala hutajuta kwa kumwani anakufanya salama hata Mahali hustahili kuwa salama. Mimi nimemuona hakika Mungu anaishi hata leo
Hakika Bwana ni mwaminifu katika yetu.
Hongera saaana dada Atosha
Mungu azidi kukutumia kwa viwango sana Dada yangu,,,
Mungu azidi kuinua huduma yakowimbo mtumish wa Mungu.huu umekuwa dawa katika maisha yangu
Nilikuwa naumwa miguuu ndani ya miaka miwili na nusu siwez hata kusimama ila mungu nilimwita akaniponya kweli yesu ni mwaminifu 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 ubarikiwe Sana mpendwa mungu akubariki Sana 🌹🌹❤️🙏
Wimbo mzuri sana
Good work, nakutafuta tufanye kazi
Kila siku kila saa umwaminifu Jehova🙏🙏🙏🙏🙏,,,,Ubarikiwe mwanangu umeugusa moyo wangu mno
yaaa hakuna zaidi yake
Touching song barikiwa dada
Amen!¡ kila siku kila saa u mwaminifu jehova!! Asante sana mtumwa w kristo kwa wimbo mzuri!!! Mungu aendeleee kukuinua ktk viwango vingine
Obrigado Jesus.
Rapafahlil
Amina ubarikiwe mungu akuinuezaidi
@@mayakaraphael4314
.
May God bless you abundantly my sister for the song we are blessed. elvi Amani official TV DRC from Lubumbashi 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Dah natamani niwe kama wewe dada
Hongera madam kissava
Amen 🙌🙌🙌🙌🙌
Ameeeeeeeeen😭😭😭😭😭😭♥️
Mungu tu 🙏
Kazi nzuri my
These song really touches my heart
Congratulations Atosha! Very soul touching song.
Powerful song
Waooow!
Nice song, beautiful video
Congratulations maam
Pia nakutafuta sana
Dada huu wimbo mzuri sana, yani kama tupo SA hivi 😂 God bless you .
nimependa sana
Indeed GOD is faithful, this is my own song now. Glory to GOD, More Grace and Anointing my Sister.
Amen Amen
Hakika Mungu ni Mwaminifu kila wakati Mungu akulinde napenda nyimbo zako sana uinuliwe viwango vingine zaidi na zaidi
Dope
Yes is faithful Soo much
Mungu akubariki sana 🙌🙌
Hakika Mungu ni mwaminifu, atulinda mchana na Usiku. Ametamalaki duniani na Mbinguni 🙌🙌
Mungu akubalik sn
Amina sn
Inanijenga sana baada ya 😢
Very touching
Tosha Yesu
Wow nice song
A masterpiece 🎉
Ameeen 🙏 hakika MUNGU wetu ni mwaminifu sana 😇🙏🙏 Ubarikiwe sana dada Atosha huduma yako ni njema yeye aliyeruhusu akuinue zaidi ya viwango🙌🥰❤️🙏🙏🙏
Awesome 👍👍👍