BIASHARA 5 ZITAKAZO KUINGIZIA MILIONI 2 KWA MWEZI BILA KUWA NA MTAJI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • Watu wengi bado wapo kwenye umasikini wa kutisha. Ni Watanzania wachache sana wanaweza kuwa na milioni moja ya akiba benki baada ya kupambana mwaka mzima. Si kwamba watu wanapenda kuwa katika hali duni, kuishi katika umaskini na kuwarithisha watoto wao umaskini. HAPANA.
    Ukweli ni kwamba watu wengi wanakosa
    1. Elimu ya fedha, biashara, uchumi binafsi na ujasiriamali
    2. Kanuni na mbinu za kufanya biashara
    3. Mtaji wa kuanzia biashara
    Katika hii video nitakusaidia wewe kijana kutatua swali gumu zaidi katika maisha yako ya kutafuta pesa, nitakufungua macho na kukuonesha biashara tano unazoweza kuzifanya katika dunia ya leo, zinazoweza kukuingizia milioni 2 kwa mwezi na hazihitaji mtaji wowote.

Комментарии • 624

  • @sachyempire5562
    @sachyempire5562 4 года назад +624

    Kwasababu hii video ina dakika 32 inabidi nisikilize huku nasoma some positive comment's😁 nani anafanya kama mm☝☝☝ give me a thumb👍👍

    • @rosecruzy6666
      @rosecruzy6666 4 года назад +2

      Kabisa

    • @kakaprinta427
      @kakaprinta427 4 года назад +3

      *Nauza bites, kama unahitaji kuwa wakala utafute wateja ili uwe unapata pesa kutoka kwenye kila bidhaa unayouza nipigie nikupe mchongo.. Malipo Ni LAKI MOJA mpka ELFU 70 kwa WIKI. +255 718 585 511 DAR ES SALAAM TU*

    • @kakaprinta427
      @kakaprinta427 4 года назад +3

      *Nauza bites, kama unahitaji kuwa wakala utafute wateja ili uwe unapata pesa kutoka kwenye kila bidhaa unayouza nipigie nikupe mchongo.. Malipo Ni LAKI MOJA mpka ELFU 70 kwa WIKI. +255 718 585 511 DAR ES SALAAM TU*

    • @princegabytv7251
      @princegabytv7251 4 года назад +1

      Kweliii

    • @jacksonmathayo6510
      @jacksonmathayo6510 4 года назад +3

      Tupo sanaa mzee jembe 🤣🤣🤣🤔

  • @gavingosbert
    @gavingosbert 4 года назад +213

    biashara 1 5:10
    biashara 2 12:51
    biashara 3 18:39
    biashara 4 22:00
    biashara 5 27:07
    biashara bonus 30:29
    you are welcome 😏

    • @princegabytv7251
      @princegabytv7251 4 года назад +2

      😍 summary

    • @msmaryamlyimo4503
      @msmaryamlyimo4503 4 года назад +1

      Ayeeeeh Gavin kama Gavin

    • @gillsaint
      @gillsaint 4 года назад

      Thank Tmama

    • @nazilitembwe848
      @nazilitembwe848 4 года назад +8

      Nilikuwa naazima madaftari ya watu kama nyie na ilinisaidia sana hadi university. Sasa hadi humu utube mnatusaidia sana. Thanx Bro.

    • @mercydeo4040
      @mercydeo4040 4 года назад +2

      Asante bro

  • @louisngaiza
    @louisngaiza 4 года назад +86

    Who else noticed high quality video content from this guy this shows how serious he is....without a doubt I'm impressed...the contents are great too... hopefully Wana wamepata somo.

  • @gavingosbert
    @gavingosbert 4 года назад +31

    points zinaanza at 5:10 , you are welcome!

  • @salumyusufu2837
    @salumyusufu2837 4 года назад +12

    Bloo nimekuelewa vizur ila apo biashara ni 1 tu UDALALI na hz nyingine yote nimatawi yake 😀😀😀

  • @theogasttv1922
    @theogasttv1922 4 года назад +3

    Hakunaga mafanikio mepesi ,acheni ujinga kila MTU angekuwa tajiri

  • @flackomasterbaddest4155
    @flackomasterbaddest4155 4 года назад +29

    😅sio rahisi kiiivo but yeah u can make some bucks izo pia zinategemea sana network yako ..na umesahau learning time so izo mill unazosema mtu anaweza pata kuanzia 9 months kupanda baada ya experience

  • @swahilitherapytv3846
    @swahilitherapytv3846 4 года назад +16

    Mfuatilie Joel nanauka.
    Japo wewe huwezi fanya kama yeye. Lakini utajifunza kitu

  • @MILIKI_MBONDE_TV
    @MILIKI_MBONDE_TV 3 года назад +1

    Blza si wengin atususcribe had tuone kitu kizul ukiongea utopolo atusubscribe

  • @samwelikapepe7709
    @samwelikapepe7709 4 года назад +24

    Aiseee kakaa Mwenyezi Mungu akupe umri mrefu aisee!!!🤝

  • @nassirali4472
    @nassirali4472 4 года назад +11

    Nani hajaelew 😂😂😂😂. Kinachofuata tuanzeni kuingia chimbo kutfuta connection

  • @iamlisley5092
    @iamlisley5092 4 года назад +20

    Passing thru comment na cjaona summary😂😂32mins are so long ase

  • @abdul24seven5
    @abdul24seven5 4 года назад +6

    Unsmjua George Soros maarufu pale London KAM the man who broke the bank of England Kwa sababu ya Ku trade Fx sio udalali Broo tupe njia za ku break the bank of Tanzania sio kuwa madalali

  • @gavingosbert
    @gavingosbert 4 года назад +80

    Jeff nimependa sana initiative yako na intention yako ya kusaidia watu. Lakini intro ya video yako imechukua muda mrefu sana ukichanganya na wewe ulivyoongea, imemaliza dakika 5 na sekunde 10 kabdla hujaanza kutoa summary ya hizo biashara. video yako yote ni 32:41 hii n defu sana. nashauri zako ziwe fupi and on to the point .

    • @gillsaint
      @gillsaint 4 года назад +2

      Valid Point

    • @__thereal_unclechibo_7953
      @__thereal_unclechibo_7953 4 года назад +1

      Wabongo wavivu sana

    • @josephsmith412
      @josephsmith412 4 года назад

      acha uvivu

    • @hopehellen1575
      @hopehellen1575 4 года назад

      Yeah seriously..
      Make it short and straightforward

    • @gavingosbert
      @gavingosbert 4 года назад +3

      @@josephsmith412 huwezi kwenda South Africa kupitia Nigeria eti sababu hutaki kuwa mvivu. Kama unaenda Afrika kusini nenda moja kwa moja Afrika kusini. Jeff anafanya kazi nzuri sana lakini kuna vitu anatakiwa avipunguze ili kupunguza urefu wa video usiokuwa wa lazima. Ni maoni yangu tu lakini.

  • @elihurumamaiko1669
    @elihurumamaiko1669 4 года назад +3

    Mambo Vipi, Mimi nahitaji kuanza biashara ya nguo Kariakoo naomba unionyeshe pakununulia mzigo my Email is elihuruma@live.com au 0684658313.

  • @bitirismtey4495
    @bitirismtey4495 4 года назад +104

    You know wat bro..unajitoa sana kwa ajili ya vijana thou kuna wengine wanakucrash...May the Almighty bless you n keep the good motivation for us

  • @sidaitech_
    @sidaitech_ 4 года назад +39

    NIce videos Bro, ila aisee unaongeaa sanaa man kiukweli, yani kiufupi ni kwamba UDALALI ndo biashara hapo hizo nyingine ni aina za udalali. Nashangaa hauja cover biashara nyingine muhimu sana. ANGALIZO, siku hizi kuna wimbi kubwa la "FAKE GURU's" hawa ni watu wanao kuuzia ndoto, mwisho wasiku utajikuta unawasikiliza sana, una nunua vitabu au kozi zao au unalipia training zao kwa kuuziwa ndoto ambazo muhusika mwenyewe hazifanyii kupata hela 😅. Cha msingi "Akili za kuambiwa changanya na zako". Nakubali kazi zako Mr

  • @boniphacesylivester8879
    @boniphacesylivester8879 4 года назад +54

    Boss unafocus sana DSM, Tuliopo mikoani try to make it general

    • @mufasa2079
      @mufasa2079 4 года назад

      acha mambo yako, biashara zoote zafanyika mtandaoni

  • @kasingemukolera9707
    @kasingemukolera9707 4 года назад +13

    Hii video ni kali sana,ina madini ambayo hautakaa uipate bure kokote kule duniani.

  • @chillaxybeatz4273
    @chillaxybeatz4273 4 года назад +12

    sasa bro hiyo input unayoipump kwny SMM si ndo mtaji wenyewe kaka let's say umelipia,instagram promotion laki moja so hyo c tayar ishakuw mtaj wako huo. Au mi nmekuelewa vbaya?

    • @jumakasim8784
      @jumakasim8784 4 года назад +2

      👍👍👍 hata mim naungana na wew

  • @princessashura4742
    @princessashura4742 Год назад +5

    Nifundishe bishala Nayo wezakufanya hata kama sipo Tanzania mimi nimfa nya kazi wambali na tanzania

  • @hassanmassaga2476
    @hassanmassaga2476 4 года назад +17

    Nakubali sana jeff..najua hii channel yko ni sehem ya biashara yako au sio???..usiogope bhana mbn wapo wengi wanafanya 😅😅

  • @barakafanuel4612
    @barakafanuel4612 4 года назад +8

    Jeff big up sana brother,nilikutafuta sana kwa kipindi kirefu sana kuna kipindi uliongea ishu ya forex jamii foram nikaipenda sana lkn jinalako nikawa najua kwa jina la ontario sasa kila nikikusearch sikupati nilikatatamaa lkn leo hii nimekuona baada ya kusikiliza video yako ya forex ilipokutoa na ulipoanzia kiukwel sikujua kama ni ww but uliposema kuwa ulikuwa unatumia jina la ontario jamii forum aseee nimefurah saaaaaaaaaaaana hatimaye leo nimekupata hata hii youtube acc nimecreate leo sababu yako.IAM WATCHING YOU BROTHER.

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe 4 года назад +11

    Bila kua na mtaji??? Kwani Social Media Marketing ni bure??

    • @phaustinemushi6011
      @phaustinemushi6011 4 года назад +1

      ahahahhaha hakuna biashara rahisi ila kwa maneno ni rahisi sana au kwa kumuelezea mtu ni rahisi sana l ila njoo kwenye field uone moto bado njia zake ni lazima utumie pesa maana anavosema social media ni kama istagram business so lazima utumie pesa sana

    • @rikekikonyo2265
      @rikekikonyo2265 4 года назад

      Wazo ndio utajiri wa kwanza,umepata Wazo ni ww kupambana nyie ndio huwa hamkosi sababu,mtu anaweza kusomeshwa hadi chuo kikuu bado akaanza kulaumu ndugu hawamsaidii,ni ufinyu wa mawazo

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe 4 года назад

      @@rikekikonyo2265 Nani kakuambia kusoma hadi chuo ndio kupata mafanikio?

    • @rikekikonyo2265
      @rikekikonyo2265 4 года назад +1

      @@BigZhumbeWapi nimeandika ukisoma hadi Chuo ndio unapata mafanikio?

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe 4 года назад

      @@rikekikonyo2265 Jisome kwenye previous comment

  • @tricdon1862
    @tricdon1862 4 года назад +4

    Umegundua watu wanapenda kuteleza jamaa kasema bila mtaji views kama wote

  • @didisapong7204
    @didisapong7204 2 года назад +1

    Dooh anaongea uyoo

  • @abdul24seven5
    @abdul24seven5 4 года назад +9

    Oya Broo unazunguka mbuyu toa mbinu za Ku trade Forex ww unapiga hela Forex alafu unatoa lecture zisizokuwa na uhalisia toa strategy za kutrade Fx Kwa mtaji wa 10$ acha kutuongopea tupe njia Fx

    • @lilianmuhochi1152
      @lilianmuhochi1152 4 года назад

      Fact

    • @kwaya_zone
      @kwaya_zone 4 года назад

      Mwambie

    • @saumjonsonh7019
      @saumjonsonh7019 4 года назад +1

      Naomba tuonge nataka kijifuza kitu namba yangu hii plz 0753220050

    • @aningmawang5545
      @aningmawang5545 4 года назад +1

      Saum Jonsonh njoo WhatsApp +255764913791. Nafundisha forex kwa $31 au 75,000/= au nicheki Instagram @Launeyfx

    • @abdul24seven5
      @abdul24seven5 4 года назад

      @@aningmawang5545 thanks Broo mm najua ku trade I don't sii hitaj kufundishwa labda kushare I deas tu

  • @amanmgisha1000
    @amanmgisha1000 4 года назад +13

    Daaah asee nlijua ntakua wakwanza kucoment duuuuh so poa ila utakua poa zaidi

  • @rosecruzy6666
    @rosecruzy6666 4 года назад +2

    Ushauri tu kaka fanya video fupifupi duhh😔 gaii🥴🥴

  • @linnetmbotto7212
    @linnetmbotto7212 4 года назад +11

    Mbona hujaweka email address yako au number zako za simu?

  • @kwaya_zone
    @kwaya_zone 4 года назад +23

    Mm nmesoma comments tu za watu mpk nkajua alichoongelea😂😂any way nmeipenda comment ya jamaa moja aliyesema tupe ujuzi wa FX siyo mambo mengine.

  • @jeremiahmasunzu3437
    @jeremiahmasunzu3437 4 года назад +5

    Nilichokigundua leo RUclips....ni zaidi ya shule ukichagua ujinga utapata F ukichagua Maarifa utapata A.🙏

  • @piusthomas5713
    @piusthomas5713 4 года назад +5

    mpaka imebidi ni download sasa
    shukran bro

  • @musicplusafrica2582
    @musicplusafrica2582 4 года назад +2

    HABARI NAKUKARIBISHA PACIFIC MEDIA
    TUNAVIPINDI MBALIMBALI VYAKUKU ELIMISHA NA KUKUBURUDISHA
    KAMA VILE
    1.TECKNOLOJIA
    2.SIMULIZI
    3.MAKALA
    4.MAPENZI
    5.FILAMU
    KARIBU KWENYE CHANELI YETU UPATE ELIMU NA BURUDANI ASANTE

  • @directormaxtz8928
    @directormaxtz8928 4 года назад +21

    Today i needed to hear this..skills za social media marketing nnazo, nafikiri its my time to connect the dots sasa na kuanza rasmi.. Anayehitaji kujifunza japo kdg abt social media marketing..reply hapa, ITS GONNA BE FREE LESSON na tutatengeneza connection ya kuanza kufanya these businesses

    • @harunandyanabo3069
      @harunandyanabo3069 4 года назад +2

      Niko tayari: tuna wasiliana vipi?

    • @directormaxtz8928
      @directormaxtz8928 4 года назад +1

      @@harunandyanabo3069 nitext whatsapp 0713626525

    • @editatairo9667
      @editatairo9667 4 года назад

      Am in

    • @directormaxtz8928
      @directormaxtz8928 4 года назад +1

      @@editatairo9667 lets connect on whatsapp 0713626525 , wakiongezeka na wengine tunaunda group ..nichek asap

    • @editatairo9667
      @editatairo9667 4 года назад

      @@directormaxtz8928 okay

  • @aloyceenhardnombo7604
    @aloyceenhardnombo7604 4 года назад +8

    Bonge la madini bro sijutii kukufahamu Katika ujana wangu

  • @jumakazungu6100
    @jumakazungu6100 4 года назад +2

    Mbona hupigi mahesabu ya kula kununua dawa kununua vocha na kutumia hela wazazi kijjni na kulipa kodi ya pango n.k maana hayo ndiyo yanayo tufelisha kazi tunapiga lakini hela yakuweka tunakosa tunaishia matumizi na kuvaa

  • @consolatakimaryo4367
    @consolatakimaryo4367 4 года назад +5

    Kwa hiyo watu wote tuhamie dar au!!!! Umeamua kufundisha watu jinsi ya kutoka. Angalia mikoa yote. Sio unapoishi wewe hapo ndo unapaangalia bhana. Hujafanya utafiti bado kwa kweli.

  • @samsonsimon7882
    @samsonsimon7882 4 года назад +7

    Am from South Africa but I got alot to learn from this guy!!!! nimependa Sana mafunzo yake😂😂😂

  • @abdul24seven5
    @abdul24seven5 4 года назад +2

    Watu wengi pale Marekani wanasaidiana ku trade Fx ambako kuna utajiri MKUBWA lkn bongo watu wanaojua Ku trade Fx hawapo real kuwasaidia wengine waweze Ku trade Fx Broo badilisha lecture zako toa lectures za Fx sio tunaona wamarekani tu

  • @nazilitembwe848
    @nazilitembwe848 4 года назад +1

    Msisahau kukata na asilimia 18 ya JPM

  • @johnsonngallya7871
    @johnsonngallya7871 4 года назад +2

    madini

  • @kingkenny8841
    @kingkenny8841 4 года назад +6

    Ndugu darasa lako linafikia vijana wengi Sasa tazama na vijana wa mikoani sio DSM tu

  • @Taslo
    @Taslo 4 года назад +6

    Bro umetisha sana. Lakini kuna watu wanakosoa ,wakidhani kila kitu inabidi waambiwe. Cha kuambiwa changanya na zako. Mimi pia ni shahidi nawaona watu kibao wanapiga hizi mishe japo mwanzonu huwa ni tabu lakin ukikomaa na ukawa na ushawishi unatoboa.

  • @carolinekilyungi7833
    @carolinekilyungi7833 4 года назад +6

    Could do your calculations in terms of dollars coz different countries have different currency value. .coz when you talk of millions according to Kenyan currency value ...it's unrealistic.....with the dollars...it will be easy for everyone to understand better

  • @mahersaid258
    @mahersaid258 4 года назад

    Habar✋wapendwa🤝kwa wale👉👈wapenzi😋wa🥰Hubuyu😋kwa sasa🙄unapatikan😂Dar🇹🇿mbagala🧐kipati👉km ww🧐mpenzi😍wa ubuyu🤝unawez kwend🚶mbagala 🚗ukajipatie kilicho bola💯karibuni🙏sana kwa bei powa tu🙄Tsh 1000🙈je unakosaj.?mamb matamu😋kwa bei chee🥴ukikosa usij👊 niomb mm🙈kweny comments 🙈😠
    ☎️ Call me
    📞+255625867570📞

  • @gospelthusiast
    @gospelthusiast 4 года назад +4

    Jeffu ee.... Nna wateja Vibua ka 100! Nikuletee wangapi kwenye yard ya MT4? Affiliate marketing😀But yea asante sana Sir Jeff for such knowledge! This channel should be credited! We are lucky because some other place we have to pay for this!!! God bless you...

  • @eddahhawa7471
    @eddahhawa7471 4 года назад +5

    Ufafanuzi mzuri.....kutumia biashara ya mtandao Ni asilimia Mia inawezekena lakini kwa kufanya kazi kwa bidii na uaminifu mkubwa

  • @patricksamwel4042
    @patricksamwel4042 4 года назад +6

    Shark Shaka Shaka Shaka Shaka Shaka Zulu 🙌🙌🙌🙌

    • @eunicejohn5520
      @eunicejohn5520 3 года назад

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌

  • @davidmagundu2285
    @davidmagundu2285 4 года назад +14

    > The intro was too long... Neno biashara 5 lumerudiwa mpaka imekua boring 😑
    > Zinaonekana ni biashara tano lakin kimsingi mi naona biashara hapo ni moja tu ya u dalali, ni u dalali wa nini, hapo ndo inakuja magari, sijui viwanja, nguo, simu e.t.c
    > Sijui ni mm tu ndo nmeona hili, bro unazungumza as if unakimbizwa cjui ndo kwenda na muda, relax mzee baba tema madini wanao tupo kukusikiliza.
    > Lastly congrats kwa channel, video quality & graphics zmetulia 👏

  • @dmsknb1541
    @dmsknb1541 4 года назад +16

    Mawazo mazuri bro Ila unavosema unaweza kuanza bila mtaji ndio hapawezekani coz mtaji sio tu Ile hela ya kununua bidhaa vile vile marketing na mizunguko mwisho wa siku unachoongelea ni kama mtu ajipe course ya biashara mpaka azoee na kuna mambo mengi hapo hayajagusiwa ambayo ni gharama sana kama makosa ya kwanza katika kujifunza hiyo biashara kiufupi 2m unaweza kupata Ila sio faida almost yote itarudi mtaani mpaka utapozoea biashara husika

  • @swahilitherapytv3846
    @swahilitherapytv3846 4 года назад +4

    Masomo mazuri..
    Usiongee sana nenda moja kwa moja kwenye point

  • @tongamziwanda7504
    @tongamziwanda7504 3 года назад

    Jamani na sisi kiziwi tutakuelewaje jaribu kuandika ili tusome unachofundisha

  • @hassanmassaga2476
    @hassanmassaga2476 4 года назад +3

    Nadhan somo kubwa la kusubir ni social media marketing

  • @Rumayo_006
    @Rumayo_006 4 года назад +9

    Ttz unaanz na mbwembwe nying alaf unachelew kuingia kwnye point. Liangalie hili alaf watch videos za #JoelNanauka. Teach urself♥️

  • @kulwakituliko8671
    @kulwakituliko8671 4 года назад +5

    Ina sound gud😀👍

  • @athumanikisoka2759
    @athumanikisoka2759 4 года назад +4

    Make it short bro even though it very helpful....... Big up sana kwako

  • @Rachelfoya
    @Rachelfoya Год назад

    Broo naomb unifindshe jinsi ya kutafut watej wa nyumb na wanaouza nyumb. Me niwe dalali

  • @MasonEzy
    @MasonEzy Год назад

    Tumia dk 2 kujionea ni jinsi gani unaweza kupata pesa shilingi 10,000 ndani ya masaa machache
    ruclips.net/video/0Emmx9hiZjo/видео.html

  • @paulompimwa8448
    @paulompimwa8448 3 года назад

    Namba yako ituma niione namba yang nahiyo hapo 0754804151

  • @doxnoob6250
    @doxnoob6250 20 дней назад

    weka chapters kwenye video zako mzee

  • @Coachsamwel
    @Coachsamwel 3 года назад +2

    Hakuna nadharia hata 1 hapa.... Very practical.. Commonsensical.

  • @chrispinmgina8851
    @chrispinmgina8851 Год назад +1

    Yet active in 2023 here

  • @yassinzidikheri379
    @yassinzidikheri379 4 года назад +11

    The Intro is too long.. Please contact creative specialists to help you out. Nice content though...

  • @Kidunu1030
    @Kidunu1030 Год назад

    Hahahajajja bro unanifurahisha unahelekeza adi watu tunataka kupaha umenipa bonge la mzuka

  • @mjakaoswams4102
    @mjakaoswams4102 2 года назад

    Mahesabu ya google hayo kaka ebu ingia field kwanza kivitendo

  • @albanimhagama6207
    @albanimhagama6207 4 года назад +4

    leo nimekuwa wa kwanza

  • @mussajoseph6736
    @mussajoseph6736 3 года назад +1

    Awe anagusia na vijijini so,wengine wapo sehem ambapo hawawezi kupata nyumba za kufanya udalali

  • @hermanzachair7997
    @hermanzachair7997 4 года назад +1

    umetoa ushaur xo so rahisi kuanza iz biashra bilakuwa na mtu wa kuunga au kuwa na mtaj wak is impossble kuanz na sh 0 mfkoni

  • @EdgaMaiko
    @EdgaMaiko 17 дней назад

    Nenda kwenye point tatzo unaongea san kero

  • @Pablo_-ud2sr
    @Pablo_-ud2sr Год назад

    Bro punguzaaa kuongeaaa sanaaaa kwenye introduction bwanaaa ahhh

  • @andersonsamuel9214
    @andersonsamuel9214 4 года назад +3

    Mbona maneno mengi. Nenda kwenye point. Unachosha na maneno mengi

  • @harounramadhani1662
    @harounramadhani1662 4 года назад +6

    Imekaa poa sana brother Jeff ubarikiwe sana

  • @blessed1tv739
    @blessed1tv739 4 года назад

    Kiba

  • @StephaniaCornely-hh9dg
    @StephaniaCornely-hh9dg 2 месяца назад

    😂😂 kwa kweli nilijua mie ndio nimeona kua anaongea sana mpaka nairusha rusha video ili nipate point😊

  • @allenjoass7210
    @allenjoass7210 3 года назад +1

    Kwel biashara ya online nimejaribu na kufanya sana ila kubeti ndo usiseme ila sijawah kupata faida labda kuna kiap kimoja kinaitwa VIDEOPESA kipo google play store ndo kimeweza kunilipa vizr kwa kuangalia video na kujibu maswali wenda labda sababu kimeweka malipo yake kwa M pesa ,airte money na tigo pesa.l

  • @muddytz3986
    @muddytz3986 3 месяца назад

    APO NIME NOTE VITU VICHACHE KUNA UDALALI , NA UWINGA

  • @FidesKimati
    @FidesKimati Месяц назад

    Mawazo mazuri lakini kama hujuani na watu ni ngumu.. hizo simu uliuza coz kuna mtu ulikuwa unafahamiana nae

  • @EliasPaschal-p2o
    @EliasPaschal-p2o Месяц назад

    Ni vizuri lakin introduction in kuwa long xan

  • @wendycolines9657
    @wendycolines9657 4 года назад

    Boy go to the point.... Unsubscribed

  • @just_zainab5139
    @just_zainab5139 4 года назад +2

    Fx mzee vp

  • @thetopnotchtrader3517
    @thetopnotchtrader3517 4 года назад +3

    Umetisha brother

  • @abduladruss3625
    @abduladruss3625 4 года назад +4

    Daah bro wee unajua

  • @mcjitojoto1852
    @mcjitojoto1852 3 года назад

    Sasa mm nipo msumbiji nitafanyeje???

  • @musicplusafrica2582
    @musicplusafrica2582 4 года назад +2

    HABARI NAKUKARIBISHA PACIFIC MEDIA
    TUNAVIPINDI MBALIMBALI VYAKUKU ELIMISHA NA KUKUBURUDISHA
    KAMA VILE
    1.TECKNOLOJIA
    2.SIMULIZI
    3.MAKALA
    4.MAPENZI
    5.FILAMU
    KARIBU KWENYE CHANELI YETU UPATE ELIMU NA BURUDANI ASANTE

  • @nobejidamiani8204
    @nobejidamiani8204 2 года назад

    ruclips.net/video/6nceyjsmrOQ/видео.html piteni na mm kwangu

  • @lucykiwaley3271
    @lucykiwaley3271 2 года назад

    Mamboz, kaka mm ni mwanachuo nataman kufany biashaara ambay itanisaidia kupat ela ya matumiz yang madogo madog nikiwa chuon nifanye biashara gan

  • @papadimayo1chanel.747
    @papadimayo1chanel.747 Год назад

    Kama hunufaiki sasa utamufaika baadaye na kama hata baadaye hutanufaika usingefanya.

  • @christianyouthinbusiness
    @christianyouthinbusiness 4 года назад +3

    Super bro👊👊👊👊👊.... we pay you on what you know... I like it thanks bro

  • @bernarddeus3441
    @bernarddeus3441 4 года назад +3

    Shukrani sana kaka

  • @amosmahona433
    @amosmahona433 4 года назад +1

    Nasoma komented
    MAANA NATAKA niongeze maarifa zaidi.

  • @sitymohd3818
    @sitymohd3818 4 года назад +4

    SirJeff kwa somo lako la leo u’ve just got a new subscriber nimependa sana somo lako

  • @kudranjiku8505
    @kudranjiku8505 Год назад

    Unachonga sana hadi kero nenda direct kweny point

  • @regnaldaloyce6842
    @regnaldaloyce6842 3 года назад

    Make it short and clear many words its boring

  • @jabirwella893
    @jabirwella893 4 года назад +4

    The video is educative

  • @issaomari5297
    @issaomari5297 4 года назад +3

    Kiukwel hzi tunaitaga ni inspiration tu maana nimwkusikiliza kwa video nyng sana inamaana ukiwa chuo umefanya biashara zaid ya sita ila unapotuletea kwa meza inaonekana kama ndo hyo pekee inayokuletea pesa hzo ila so mbaya hzo ni hamasa kwa vijana gud but every isue not easy god bless

  • @brandingdanny
    @brandingdanny 4 года назад +5

    Mbona wewe hufanyi? Unatafuta views youtube

    • @rosecruzy6666
      @rosecruzy6666 4 года назад

      😂😂😂🙌

    • @kingkally1245
      @kingkally1245 4 года назад +1

      Kwenye introduction alikuelezea nini??? Mbona unakua huna akili

    • @Rumayo_006
      @Rumayo_006 4 года назад

      @@kingkally1245 ume2mia kauli mby xn kuw hana akili! Jiangalie mwnyew utakuw huna izo unazodai mwnzio hana! Ucje uka2kana m2 ivo kuw hana akili!

    • @charlesjohn5792
      @charlesjohn5792 3 года назад

      Wewe ni hater

  • @jamesnassary8
    @jamesnassary8 3 года назад

    Uyu jmaaa vipi anaongelea biashara za kwawana dar

  • @rukacruxer1474
    @rukacruxer1474 8 месяцев назад

    kwaio in short tuwe madalali

  • @abeldevet8469
    @abeldevet8469 4 года назад +3

    Imekaa poa sana iko poa sana#jeffondemand #kingsharkshakazuluuuuuu