MBUNGE KISHIMBA APINGANA NA WATAALAMU "SIKATAI UWEKEZAJI, UJENZI WA SHULE TANGU UHURU?" AWAACHA HOI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024
  • #UhondoTV #Uhondo

Комментарии • 59

  • @siraaronmallya425
    @siraaronmallya425 7 месяцев назад +2

    Hoja nzuri sana,wanafunzi wasome kwa shift wengine asubuhi wengine mchana kama chuoni au kama shaban robert...

  • @alexdukes5547
    @alexdukes5547 7 месяцев назад +1

    shida ipo nchi hii ,tatizo Ni mifumo mbaya usio fikiri kuenenda na mabadiriko ya Dunia,hongera sana mzee kishamba,maana yake usipojisimamia utasimamiwa...

  • @johnsonsabanya5860
    @johnsonsabanya5860 7 месяцев назад +7

    Wenye hekima viongozi waaminifu wapo Kanda ya ziwa tu nimemaliza.

    • @eidallyeidally5093
      @eidallyeidally5093 7 месяцев назад

      Mjitenge muwe na nchi yenu

    • @emanuelleopod3949
      @emanuelleopod3949 7 месяцев назад

      Watafika mbali sana hao jamaa ikitokea tu wakajitenga jamaa wana uthubutu mkubwa sana na ni wazalendob​@@eidallyeidally5093

    • @philemonmlowe7418
      @philemonmlowe7418 7 месяцев назад

      Kwa hiyo

    • @victaboy7273
      @victaboy7273 7 месяцев назад

      Ndio hivyo. Mwenye wivu ajinyonge

    • @victaboy7273
      @victaboy7273 7 месяцев назад

      ​@@eidallyeidally5093mikoa ya KAGERA, MWANZA, SHINYANGA, MARA, GEITA, TABORA. tunauwezo wa kujitegemea kwa kila kitu. Huku kuna ziwa kubwa, kuna migodi ya kutosha, kuna mbuga za wanyama, ardhi ni nzuri, mifugo asilimia 80 ya nchi hii , ipo kanda ya ziwa. Tupo vizuri

  • @marandoruzali1946
    @marandoruzali1946 7 месяцев назад +2

    Professor kishimba 💪💪👍

    • @ABM1963
      @ABM1963 7 месяцев назад

      UDSM mpeni huyu Think Tank PhD ya Heshima!

  • @kelvinwilsonsimyemba
    @kelvinwilsonsimyemba 7 месяцев назад

    Kishimbi yuko vizuri sana

  • @PastorJulianus-Supery
    @PastorJulianus-Supery 7 месяцев назад +2

    Daaah, kuna watu ukiwasikiliza ni kana kwamba unasikiliza akili. Huyu mwamba hasife kuna mahala anaweza kusaidia siku nchi hii ikipata mapinduzi ya akili

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 7 месяцев назад +2

    Shule zenyewe sehemu kubwa ni MAJENGO ila content ni Zerooo

  • @daressalaampost5785
    @daressalaampost5785 7 месяцев назад

    Uko sahihi Prof

  • @mosesmlowe7006
    @mosesmlowe7006 7 месяцев назад

    Mzee umeongea point
    Hata mimi nimesoma kleruu iringa ilikuwa tunasoma General certificate & education
    Tukitoka wanaingia wanachuo wa ualimu 2000

  • @eliasanga-cx2pr
    @eliasanga-cx2pr 7 месяцев назад

    Pole mzee kishimba wenzio wanawaza uchaguzi kila siku

  • @emmanuelmayunga1518
    @emmanuelmayunga1518 7 месяцев назад +1

    Fact

  • @SayimcheleSayimche-mq5wv
    @SayimcheleSayimche-mq5wv 7 месяцев назад +1

    Hapo mweshimiwa umeogea point kubwa sana

  • @RashidiKuji
    @RashidiKuji Месяц назад

    Yes vp hapo ❤❤😅

  • @evansokemwa6587
    @evansokemwa6587 7 месяцев назад +2

    Mzee ana akili mingi sana

  • @kondoatown8765
    @kondoatown8765 7 месяцев назад +1

    Hivi viongozi wanasomaga hizi comment kweli Hawa wachina aisee !! Wanaharibu mifumo kbsaa ya biashara sijui kma kweli ndo sahihi kufanya hivi wanajiita wawekezaji wanauza rejareja kma dukani kwa Mangi hembu serikali tazameni hili kabla halijafikia pabaya

  • @omarkapula588
    @omarkapula588 7 месяцев назад +1

    Hawa watoa taarifa inabidi bunge lifikirie kwa makini wengine hawaeleweki haya mambo ya taarifa yaangaliwe upya yanampotezea muda mtoa mada na pia kumtoa nje ya mwelekeo wake

  • @DoctorRengeda
    @DoctorRengeda 7 месяцев назад

    👏👏👏

  • @masoudymichael
    @masoudymichael 7 месяцев назад +1

    Huyu jamaa anawazidi maprofesa 😂

  • @majidukalokola7253
    @majidukalokola7253 7 месяцев назад

    Mawazo ya kishimba yatafanikiwa siku mfumo wa uongozi utabadilika tofauti na CCM.

  • @issakwisamwasanjobe541
    @issakwisamwasanjobe541 7 месяцев назад

    Nchi yetu maprof,Dr ,Degree zimeongezeka lakini tija yao kwenye uongozi katika kujitegemea taifa ni ndogo,mkazo wao nikodi ndio maana kila kitu wanauza kwa wawekezaji,vitu vinavyoingiza pesa serikali haitaki kuwekeza wanawapa wawekezaji visivyoingiza pesa ndo wanapeleka pesa huko. Wanatupelekashimoni, kuleta au kuvutia wawekezaji ni kukaribisha nchini wanyonyaji wanaotumia mitaji

  • @HarunJonass
    @HarunJonass 7 месяцев назад

    ❤❤❤❤❤❤❤

  • @fadhililihinda6491
    @fadhililihinda6491 7 месяцев назад

  • @adaNahimana-y7b
    @adaNahimana-y7b 3 месяца назад

    Hawezi Kubadilika Kwasababu Hawajuwi

  • @emanuelleopod3949
    @emanuelleopod3949 7 месяцев назад

    Akili kubwa sana imetumika hapo aisee wasomi wengi ndiyo wanaotufelisha

  • @ValerianFiita
    @ValerianFiita 7 месяцев назад

    Wazo mzuri wahusika hawatapokea kwa sababu haina maulaji

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 7 месяцев назад

    Hii nchi jamani ukisikiliza unalia ,wachina tunapaswa kuwa nao makini ni wanyonyaji hawana TIJA Kwa taifaa wanaochukua ajira mpaka za wazawa ,wachina hatuwataki Tz warudi kwao

  • @meryshekoloa961
    @meryshekoloa961 7 месяцев назад

    Baba watoto umechangamsha bunge ila shule zijengwe kwaenda juu vipindi ni vingi wasome kutwa

  • @jacksonmwakasege6210
    @jacksonmwakasege6210 7 месяцев назад

    Wagumu wa kufikiri maana yake WAPUMBAVU/WAJINGA?

  • @manish-fp1fb
    @manish-fp1fb 7 месяцев назад

    SHIDA YAKE NI WALIMU HAPO...

  • @katambimfalimbega3808
    @katambimfalimbega3808 7 месяцев назад

    Inawezekana ila Muajiri walim wenyeviwango na wale wanaoipenda hiyo kazi si wale wapo tu kwajili ya ajila

  • @deusntobi6682
    @deusntobi6682 7 месяцев назад +2

    Swala la wachina ni tatzo kubwa sana hapa nchini na wazawa tunateseka

    • @donaldbenedict5761
      @donaldbenedict5761 7 месяцев назад

      Ndipo uwezo wa viongozi wetu ulipofikia hawawazi hicho unachowaza wewe mzee Kishimba wao kazi yao ni kupongena utasikia ooh mikataba ya mama hakuna mtu wa kuipinga bila kujali hiyo mikataba ina maslahi mapana kwa taifa letu au hapana wakati Magufuli aliposema tumepigwa sana na hii mikataba mibovu mlishangilia sana leo manasema mikataba ya mama hakuna wa kuipinga Mungu ibariki Tanzania

    • @liannsambu7264
      @liannsambu7264 7 месяцев назад

      Wachina wafukuzwe , saivi kariakoo ndo wenyewe ,kila kwenye kila nyenzo wachina tupu na sidhan ata kama wanalipa Kodi sahihi mie mtu anayetoka ASIA SIjawahi kumwamini sehemu kubwa ni selfishi ,na WEZI na wanyanyasaji

  • @khalidjmaftah9449
    @khalidjmaftah9449 7 месяцев назад

    Genius 😊

  • @ramadhanmwandambotuntufye5972
    @ramadhanmwandambotuntufye5972 7 месяцев назад +1

    Kishimba ni thinker wa Karne ana mawazo chanya, wazo lake ni langu, miradi mingi ya ujenzi wa shule ni mazingira tu ya kujitengenezea upigaji w fedha na siyo tu ujenzi hata ununuzi wa vitabu holela na mabadiliko ya mitaala ya mara kwa mara, mabilioni ya fedha hutumika kununua vitabu kila mara na vile vilivyonunuliwa mwaka uliopita hubaki vinaliwa na mchwa huko kwenye mastoo ya shule.

    • @obedidamasi3537
      @obedidamasi3537 7 месяцев назад

      Kingine cha kuongezea.
      Nyerere alianzisha opresheni ya vijiji ili watu wakae sehemu moja ili iwe rahisi kupeleka huduma za jamii.
      Siku hizi kila sehemu watu wanaanzisha makazi na kuhitaji huduma za kijamii hivyo kuibebesha serikali mzigo wa kupeleka miundombinu

    • @fadhilimoshi5754
      @fadhilimoshi5754 7 месяцев назад

      Ili taifa hili liendelee ni lazima ccm iondoke madarakani kwani uongozi umeoza ni wapigaji tuu hawajali wanyonge japo wanajidai ni watetezi wa wanyonge Hovyooo

  • @AthanaseKiyoja
    @AthanaseKiyoja 7 месяцев назад

    Hapo dodoma wabunge hwafiki hata watatu.Hao wengine ni mwendo kudanga tu (posho).

  • @frankmfuse6990
    @frankmfuse6990 7 месяцев назад

    Bungeni mazuzu wanazungumza
    Watu wanaongezeka kwa Kasi sana hizo shifti zitabana pi
    Alafu kwa hoja hiyo kumbe, tunatumia miaka mingi kusoma hamnakitu

  • @manaseliberatus1347
    @manaseliberatus1347 7 месяцев назад

    HUYU ANA KARAMA YA AKILI NA KUONA MBALI, MAGUFULI TYPE

  • @mawazoaliselemani
    @mawazoaliselemani 7 месяцев назад

    Kishimba kama Kishimba!kwenye ubora wake😂

  • @thabitngangila8562
    @thabitngangila8562 7 месяцев назад

    Kishimba hanaga kusifia tu.

  • @NixonGerson
    @NixonGerson 7 месяцев назад

    Shule hizi kiukweli duuuh

  • @ABM1963
    @ABM1963 7 месяцев назад

    Huyu Muheshimiwa Ana HOJA ya kweli na ifanyiwe kazi.
    Ni sisi tu tunajenga madarasa mapya KILA siku, tatizo ni nini? Uwezo mdogo wa kufikiri!

  • @justinelazaro8147
    @justinelazaro8147 7 месяцев назад

    Huyu jamaa ana pointi sana

  • @charlesmakelele4268
    @charlesmakelele4268 7 месяцев назад

    Jamaa anaakil kubwa sn huyu.

  • @MasaluMartine-xe1kb
    @MasaluMartine-xe1kb 7 месяцев назад

    Viongozi wenye akili nchi hiiii wengi ni kanda ya ziwa

  • @emmanuelmeshack9890
    @emmanuelmeshack9890 7 месяцев назад

    Rais mpya ajae

  • @MeliMeli-h9q
    @MeliMeli-h9q 7 месяцев назад

    Kishimba wamwelewe ushauli wa akili ya juu sana

  • @PastorJulianus-Supery
    @PastorJulianus-Supery 7 месяцев назад

    🧠

  • @African511
    @African511 7 месяцев назад

    Siku zote sipendi kumwamini sana msomi,maana wasomi wengi niwaongo sana,pia wapiga dili kweli,lakini siyo wote,hiki kichwa kishimba kina akili sana.

  • @marthaswai1185
    @marthaswai1185 7 месяцев назад

    Kishimba,kuhusu shule ,suluhu ni kujenga maghorofa.Ghorofa mpaka nane.Weka lifti,kazi iendelee