shida ipo nchi hii ,tatizo Ni mifumo mbaya usio fikiri kuenenda na mabadiriko ya Dunia,hongera sana mzee kishamba,maana yake usipojisimamia utasimamiwa...
@@eidallyeidally5093mikoa ya KAGERA, MWANZA, SHINYANGA, MARA, GEITA, TABORA. tunauwezo wa kujitegemea kwa kila kitu. Huku kuna ziwa kubwa, kuna migodi ya kutosha, kuna mbuga za wanyama, ardhi ni nzuri, mifugo asilimia 80 ya nchi hii , ipo kanda ya ziwa. Tupo vizuri
Daaah, kuna watu ukiwasikiliza ni kana kwamba unasikiliza akili. Huyu mwamba hasife kuna mahala anaweza kusaidia siku nchi hii ikipata mapinduzi ya akili
Hivi viongozi wanasomaga hizi comment kweli Hawa wachina aisee !! Wanaharibu mifumo kbsaa ya biashara sijui kma kweli ndo sahihi kufanya hivi wanajiita wawekezaji wanauza rejareja kma dukani kwa Mangi hembu serikali tazameni hili kabla halijafikia pabaya
Hawa watoa taarifa inabidi bunge lifikirie kwa makini wengine hawaeleweki haya mambo ya taarifa yaangaliwe upya yanampotezea muda mtoa mada na pia kumtoa nje ya mwelekeo wake
Nchi yetu maprof,Dr ,Degree zimeongezeka lakini tija yao kwenye uongozi katika kujitegemea taifa ni ndogo,mkazo wao nikodi ndio maana kila kitu wanauza kwa wawekezaji,vitu vinavyoingiza pesa serikali haitaki kuwekeza wanawapa wawekezaji visivyoingiza pesa ndo wanapeleka pesa huko. Wanatupelekashimoni, kuleta au kuvutia wawekezaji ni kukaribisha nchini wanyonyaji wanaotumia mitaji
Hii nchi jamani ukisikiliza unalia ,wachina tunapaswa kuwa nao makini ni wanyonyaji hawana TIJA Kwa taifaa wanaochukua ajira mpaka za wazawa ,wachina hatuwataki Tz warudi kwao
Ndipo uwezo wa viongozi wetu ulipofikia hawawazi hicho unachowaza wewe mzee Kishimba wao kazi yao ni kupongena utasikia ooh mikataba ya mama hakuna mtu wa kuipinga bila kujali hiyo mikataba ina maslahi mapana kwa taifa letu au hapana wakati Magufuli aliposema tumepigwa sana na hii mikataba mibovu mlishangilia sana leo manasema mikataba ya mama hakuna wa kuipinga Mungu ibariki Tanzania
Wachina wafukuzwe , saivi kariakoo ndo wenyewe ,kila kwenye kila nyenzo wachina tupu na sidhan ata kama wanalipa Kodi sahihi mie mtu anayetoka ASIA SIjawahi kumwamini sehemu kubwa ni selfishi ,na WEZI na wanyanyasaji
Kishimba ni thinker wa Karne ana mawazo chanya, wazo lake ni langu, miradi mingi ya ujenzi wa shule ni mazingira tu ya kujitengenezea upigaji w fedha na siyo tu ujenzi hata ununuzi wa vitabu holela na mabadiliko ya mitaala ya mara kwa mara, mabilioni ya fedha hutumika kununua vitabu kila mara na vile vilivyonunuliwa mwaka uliopita hubaki vinaliwa na mchwa huko kwenye mastoo ya shule.
Kingine cha kuongezea. Nyerere alianzisha opresheni ya vijiji ili watu wakae sehemu moja ili iwe rahisi kupeleka huduma za jamii. Siku hizi kila sehemu watu wanaanzisha makazi na kuhitaji huduma za kijamii hivyo kuibebesha serikali mzigo wa kupeleka miundombinu
Ili taifa hili liendelee ni lazima ccm iondoke madarakani kwani uongozi umeoza ni wapigaji tuu hawajali wanyonge japo wanajidai ni watetezi wa wanyonge Hovyooo
Hoja nzuri sana,wanafunzi wasome kwa shift wengine asubuhi wengine mchana kama chuoni au kama shaban robert...
shida ipo nchi hii ,tatizo Ni mifumo mbaya usio fikiri kuenenda na mabadiriko ya Dunia,hongera sana mzee kishamba,maana yake usipojisimamia utasimamiwa...
Wenye hekima viongozi waaminifu wapo Kanda ya ziwa tu nimemaliza.
Mjitenge muwe na nchi yenu
Watafika mbali sana hao jamaa ikitokea tu wakajitenga jamaa wana uthubutu mkubwa sana na ni wazalendob@@eidallyeidally5093
Kwa hiyo
Ndio hivyo. Mwenye wivu ajinyonge
@@eidallyeidally5093mikoa ya KAGERA, MWANZA, SHINYANGA, MARA, GEITA, TABORA. tunauwezo wa kujitegemea kwa kila kitu. Huku kuna ziwa kubwa, kuna migodi ya kutosha, kuna mbuga za wanyama, ardhi ni nzuri, mifugo asilimia 80 ya nchi hii , ipo kanda ya ziwa. Tupo vizuri
Professor kishimba 💪💪👍
UDSM mpeni huyu Think Tank PhD ya Heshima!
Kishimbi yuko vizuri sana
Daaah, kuna watu ukiwasikiliza ni kana kwamba unasikiliza akili. Huyu mwamba hasife kuna mahala anaweza kusaidia siku nchi hii ikipata mapinduzi ya akili
Shule zenyewe sehemu kubwa ni MAJENGO ila content ni Zerooo
Uko sahihi Prof
Mzee umeongea point
Hata mimi nimesoma kleruu iringa ilikuwa tunasoma General certificate & education
Tukitoka wanaingia wanachuo wa ualimu 2000
Pole mzee kishimba wenzio wanawaza uchaguzi kila siku
Fact
Hapo mweshimiwa umeogea point kubwa sana
Yes vp hapo ❤❤😅
Mzee ana akili mingi sana
Hivi viongozi wanasomaga hizi comment kweli Hawa wachina aisee !! Wanaharibu mifumo kbsaa ya biashara sijui kma kweli ndo sahihi kufanya hivi wanajiita wawekezaji wanauza rejareja kma dukani kwa Mangi hembu serikali tazameni hili kabla halijafikia pabaya
Hawa watoa taarifa inabidi bunge lifikirie kwa makini wengine hawaeleweki haya mambo ya taarifa yaangaliwe upya yanampotezea muda mtoa mada na pia kumtoa nje ya mwelekeo wake
👏👏👏
Huyu jamaa anawazidi maprofesa 😂
Mawazo ya kishimba yatafanikiwa siku mfumo wa uongozi utabadilika tofauti na CCM.
Nchi yetu maprof,Dr ,Degree zimeongezeka lakini tija yao kwenye uongozi katika kujitegemea taifa ni ndogo,mkazo wao nikodi ndio maana kila kitu wanauza kwa wawekezaji,vitu vinavyoingiza pesa serikali haitaki kuwekeza wanawapa wawekezaji visivyoingiza pesa ndo wanapeleka pesa huko. Wanatupelekashimoni, kuleta au kuvutia wawekezaji ni kukaribisha nchini wanyonyaji wanaotumia mitaji
❤❤❤❤❤❤❤
❤
Hawezi Kubadilika Kwasababu Hawajuwi
Akili kubwa sana imetumika hapo aisee wasomi wengi ndiyo wanaotufelisha
Wazo mzuri wahusika hawatapokea kwa sababu haina maulaji
Hii nchi jamani ukisikiliza unalia ,wachina tunapaswa kuwa nao makini ni wanyonyaji hawana TIJA Kwa taifaa wanaochukua ajira mpaka za wazawa ,wachina hatuwataki Tz warudi kwao
Baba watoto umechangamsha bunge ila shule zijengwe kwaenda juu vipindi ni vingi wasome kutwa
Wagumu wa kufikiri maana yake WAPUMBAVU/WAJINGA?
SHIDA YAKE NI WALIMU HAPO...
Inawezekana ila Muajiri walim wenyeviwango na wale wanaoipenda hiyo kazi si wale wapo tu kwajili ya ajila
Swala la wachina ni tatzo kubwa sana hapa nchini na wazawa tunateseka
Ndipo uwezo wa viongozi wetu ulipofikia hawawazi hicho unachowaza wewe mzee Kishimba wao kazi yao ni kupongena utasikia ooh mikataba ya mama hakuna mtu wa kuipinga bila kujali hiyo mikataba ina maslahi mapana kwa taifa letu au hapana wakati Magufuli aliposema tumepigwa sana na hii mikataba mibovu mlishangilia sana leo manasema mikataba ya mama hakuna wa kuipinga Mungu ibariki Tanzania
Wachina wafukuzwe , saivi kariakoo ndo wenyewe ,kila kwenye kila nyenzo wachina tupu na sidhan ata kama wanalipa Kodi sahihi mie mtu anayetoka ASIA SIjawahi kumwamini sehemu kubwa ni selfishi ,na WEZI na wanyanyasaji
Genius 😊
Kishimba ni thinker wa Karne ana mawazo chanya, wazo lake ni langu, miradi mingi ya ujenzi wa shule ni mazingira tu ya kujitengenezea upigaji w fedha na siyo tu ujenzi hata ununuzi wa vitabu holela na mabadiliko ya mitaala ya mara kwa mara, mabilioni ya fedha hutumika kununua vitabu kila mara na vile vilivyonunuliwa mwaka uliopita hubaki vinaliwa na mchwa huko kwenye mastoo ya shule.
Kingine cha kuongezea.
Nyerere alianzisha opresheni ya vijiji ili watu wakae sehemu moja ili iwe rahisi kupeleka huduma za jamii.
Siku hizi kila sehemu watu wanaanzisha makazi na kuhitaji huduma za kijamii hivyo kuibebesha serikali mzigo wa kupeleka miundombinu
Ili taifa hili liendelee ni lazima ccm iondoke madarakani kwani uongozi umeoza ni wapigaji tuu hawajali wanyonge japo wanajidai ni watetezi wa wanyonge Hovyooo
Hapo dodoma wabunge hwafiki hata watatu.Hao wengine ni mwendo kudanga tu (posho).
Bungeni mazuzu wanazungumza
Watu wanaongezeka kwa Kasi sana hizo shifti zitabana pi
Alafu kwa hoja hiyo kumbe, tunatumia miaka mingi kusoma hamnakitu
HUYU ANA KARAMA YA AKILI NA KUONA MBALI, MAGUFULI TYPE
Kishimba kama Kishimba!kwenye ubora wake😂
Kishimba hanaga kusifia tu.
Shule hizi kiukweli duuuh
Huyu Muheshimiwa Ana HOJA ya kweli na ifanyiwe kazi.
Ni sisi tu tunajenga madarasa mapya KILA siku, tatizo ni nini? Uwezo mdogo wa kufikiri!
Huyu jamaa ana pointi sana
Jamaa anaakil kubwa sn huyu.
Viongozi wenye akili nchi hiiii wengi ni kanda ya ziwa
Rais mpya ajae
Kishimba wamwelewe ushauli wa akili ya juu sana
🧠
Siku zote sipendi kumwamini sana msomi,maana wasomi wengi niwaongo sana,pia wapiga dili kweli,lakini siyo wote,hiki kichwa kishimba kina akili sana.
Kishimba,kuhusu shule ,suluhu ni kujenga maghorofa.Ghorofa mpaka nane.Weka lifti,kazi iendelee