Join me at Pocket Broker: clcr.me/fSzwUW Enter promo code KAKOSO100 at registration and get a special bonus from me! Jisajili kwa kuingiza code kakoso100 na uweze kupata bonasi kutoka kwangu
Director kakoso kwanza asante kwa kazi yani hii kazi ina funzo lakutosha ambalo tunasthik kujifunza pia nimefrah una idea ya pke yko ambayo umefkiria kwa sbbu kwanz story ni fupi tu ila imeanza uzur nkumaliza vizur hmna alolalamika kua story haiyeleweki au vip tunkushkur cna vjana wako mngu azid. Kukulinda
Kipara umeongea kiingereza kijijini na unaoongea nao awajibu kiingereza umekuwa star au vp uon kuna mda uliongea kweny seemu ambayo sio sahii? Pale mwisho kakoso karudiahiwa faham zake ukasema my brother am good😃
kipara is the best ...na kingereza chake....kAMA UKO NAMI GONGA LIKE
Kipara Wana Man Aweeeeeeee 😂😂 much love bana uko sawa
Ila mwasi mzur jaman manshallah❤
Movie kali sana kakoso chukua 🌹🌹 yako ila kipara zamu hii mhhhhhhh urud kulee best friend ukasome some
kakoso mungu akubariki sana na kipaji chako na akupe afya njema zaidi
Olo in olo ila kipara nae huu umombo sjw kausomea wap wait my family sister and braza😂😂😂
Anayetaka kutafsiliwa kingereza cha kipala apite hapa😂
❤❤Mnapendeza sana...Hapo behind the Scenes...
From naija! Xafi xana !
Mwasi amenifurahisha sana ,ni wale wakishapenda hawatambui,afu amesema yuko single,,mwambie namdai tu sana Niko Nairobi kenya
from kenya big up kakoso alf kipara amenifurahisha anaongea kizungu
Sema nyie wamba mnajua mnajua tena 🎉😂 bravo and more congratulations
Kiparaaa 😂😂😂....Kizungu flani cha kinyamwez 🤣🤣
😂😂😂😂😂😂
watching from Kenya🎉🎉🎉
Director kakoso kwanza asante kwa kazi yani hii kazi ina funzo lakutosha ambalo tunasthik kujifunza pia nimefrah una idea ya pke yko ambayo umefkiria kwa sbbu kwanz story ni fupi tu ila imeanza uzur nkumaliza vizur hmna alolalamika kua story haiyeleweki au vip tunkushkur cna vjana wako mngu azid. Kukulinda
Kipara nukubali kazi yako sana ,Bik kaka Mbwela ,Dada Mwas unapendeza sana.....Bila kuwasahau ndugu zangu Zumba na Sengo
Mwasi ni aina ya wale WAREMBO ambao ni NATURALLY BEAUTIFULL
hahaaaa😂😂 zumba eti ninamyaka28😂😂😂
Olo in olo ,,hii kizungu ya kipara ndo inanibamba 😁🤣😂
Much love🎉🎉🎉 from congo
Kipara Wana man aweeee😂😂😂
Oooh 1love mwasi😅😅
i love you guys from kenya
Pra mim esse kipara está me rir so😅😅
Nawapenda sana na movie zenu nazipenda sana
kazi safi sana director, ila kipara na kingereza chako kapeleke huko mstuni
sikujua kakoso ni kaka ya mwasi ,nawapenda sana
😂😂😂😂😂it ok nice les go to your home 😂😂😂ongea kishwaili
Ila Mwasi ni bonge la toto❤❤❤
Kipara nimependa unavyo omba msamaa kwa kakayako mh.. mwasi uganga unaendakufa sasa😂😂😂
Ndugu yangu Tupo pamoja KAZI nzuri
Aliye elewa hii movie inacho maanisha haezi nyimana likes ❤❤❤❤❤ big up sana kakoso❤❤❤❤❤
Jamani mshangazi ni Crush wangu🥰
Kakoso ujawah kukualbu ww n nouma🎉
Kipara hicho kizungu jamani😂😂
Hii group inafanya makubwa movie zenu Kali 😅😅
Jamani nampenda mwasi ata mm npo single 🇰🇪 🇰🇪
Kipaŕa want man🎉😢😢😢
Mwas nipo single pia naweza kupata tafadhali from Kenya
😂😂😂
😂😂😂hicho kizungu cha kipara aah😅
Haaaah hâta mimi nakishuku
Mwass nakupenda sana
Kiparaaaaa 😃😃😃😃
kazi nzuri sanaa
Sema mwasi mzuriu
6:34 kipara ukiacha kuongea kizungu navunja ushabik kwako
Kipara all the way❤
Good job
Am not a liar from today onward 🔥🔥🔥🔥🔥
DIRECTOR KAKOSO, Subscribed because your videos are so much fun!
Bwana Kipara wachana na kizungu......
Mnao mkubali mwakatobe nibeni like zenu
Namkubali kipala wanamani
kazi saf kaka❤🎉
Nice one but that English of kipara 😅😊❤
Nikimuona mwasi na kakoso naona mwili mmoja
Road pilots 💪
Kipara is it all in all or Oro in oro
I love you mshangazi❤❤❤❤❤
Kazi safi sana lakini kipara unaharibu
Director ntafanyaje nijiunge na nyinyi hamuoni kama ni vizuri sana mkiwa kabira mingi kwa mchezo ndo ikuwe tamu mm ni mkisii kutoka kenya
Wakwaza naombeni like 3
😂🎉sawadi yake
Mwakatobe safi sana
Kiparaàaaa 😂😂😂😂
Hiyo pocket broker haikubali kuunga. Tanzania haipo kwenye hiyo app. Au nakosea kuunga?
mdomo umemponza mke wa kakoso ujuaji tu
Kipara nakupenda ila unakela ingilshi zanini
Uno la sogojo😂😂
Kipara wana man kipara jaiva aweee
😂😂😂
Kipara anaharibu na kizungu chake
Nampenda
Nice one
Iyo kali kabisa
Kipara bona kingereza kikali
Wapi like za 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Ndio hizo ❤❤❤
❤❤❤❤❤❤❤❤
Mwakatobe sifa zimemzidi mpka anakera
Wapi uno la sogojo
Kizungu is typing
Kipara acha kuharibu movie na kingereza chako
kibara hajana na kiingereza, tumia kiswahili. Ila kazi nzuri
Vizur
😂😂😂 ila mwakatobe
Mwasi Ndio kiboko yao filam Zote Za Mwasi Ziko poa kabisa..Nikiwa Toronto Canada 🇨🇦
Mwasi amenifuraisha sana katika uhigizaji wake,, kwaiyo nipeni namba zake ili nimpe mauwa yake
We kipara unaharibu movie kuongea kizungu kisichoeleweka movie nzr lakin ww sasa unaiharibu
😂😂😂😂
Kipara anaudhi na kingereza chake sana
Unyama n mwing
Wa tz kiboko yao
Tunahitaji snek boy
Kipara umeongea kiingereza kijijini na unaoongea nao awajibu kiingereza umekuwa star au vp uon kuna mda uliongea kweny seemu ambayo sio sahii? Pale mwisho kakoso karudiahiwa faham zake ukasema my brother am good😃
Mnipee namba sa mwasi nimcheck mimi
But olo in olo 😂
Jaman jaman sara😂❤
Oya mm namtaka uyo mwasi ili aje nungwi
Hawajawah kufer Hawa washkaji
Mmmmmmm Kipara am Dar your street ndo nn😂😂😂
Uno la sogozo.
Dah.... kumbe Mr nice Bado yupo hai tanzania
Sarah kubinua mdomo mmmmh
Mm nampena chifu wa snek boy