THE GAME (10)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 окт 2024
  • КиноКино

Комментарии • 104

  • @FrankKengwa
    @FrankKengwa 7 часов назад +1

    Igizeni kulingana na uhalisia wa maisha mnaonekana mnaishi kijijin lakin mavaz na muonekano wa mjini mfano mwasi hajawah kubwa hata nguo chafu jitahid kwa hilo

  • @evelynoscar5104
    @evelynoscar5104 Месяц назад +3

    Namkubal sana brother kakoso,,,, kaka angu mungu akutunze

  • @khamiskhamis1205
    @khamiskhamis1205 Месяц назад +2

    ❤❤❤ Chibu umemuua Mwasi na presha

  • @hutahuta1170
    @hutahuta1170 Месяц назад +2

    Daa chibu anajua kuwabadilisha🎉🎉 kama nguo

  • @NatureRamson
    @NatureRamson Месяц назад +5

    gonga like hapa tunao mkubari director kakosooooo

    • @Fathma-fg3vq
      @Fathma-fg3vq Месяц назад

      Yaani Acha tu..Yani paka hana baya Tena...❤❤❤ Kwako super ginger kakoso..ila Jamani naomba namba ya.. kajoro🙆..Na enjoy nikiwa 🇸🇦

  • @Blacksontigre25
    @Blacksontigre25 Месяц назад +4

    Wakwanza kutoka Congo DRC 🇨🇩 bukavu 💪💪💪💪💪

  • @KhadijaKhadija-mj5ub
    @KhadijaKhadija-mj5ub Месяц назад +1

    Hii movie nivita ya maneno tuu nawakubali sana tim kakoso ❤❤tunae mkubari huyu mwamba gonga like hapa

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 Месяц назад +1

    Habinimbi mrembo unasura ya kisomali shingo ya twiga kamwanya rangi ya chocolate 🎉🎉🎉mengine siri yangu hongera dada

  • @HoHo-l1r
    @HoHo-l1r Месяц назад +2

    Hii movie nakukubali sana ila mnaichelewesha sana Dah!😢😢😢

  • @nellymtambo8432
    @nellymtambo8432 Месяц назад +1

    Alafu kila mtu na mbabe wake 😂😂😂Hakuna ndoa kijiji hiki ni Game tuuuuu❤😂😂😂

  • @Kidahuncho
    @Kidahuncho Месяц назад +1

    Vanilla ni Binti mrembo sana upewe maua yako 🌹🌹🌹

  • @AllyJuma-d6f
    @AllyJuma-d6f Месяц назад +5

    Director unatubania Dakika 😢😢Jitahidi uwe unaweka zifike hata dakika 30 Bando tunalo😂

  • @MariamJaberi-g5y
    @MariamJaberi-g5y Месяц назад

    Kaz nzuri San kakoso una bay

  • @elizabethwasike6086
    @elizabethwasike6086 Месяц назад +7

    Wa kumi na Tano kutoka Kenya, naomba likes please

  • @alhimnamussasaid3619
    @alhimnamussasaid3619 Месяц назад +1

    WONDER NAE MTU YUKO SMART GIRL

  • @MiishHassan-qm1et
    @MiishHassan-qm1et 29 дней назад

    Ila chibu ni kifagio Kila kitu anapita nacho😂😂😂wanda nimependa macho Yako nakuja kuyachukua🥰

  • @DogoAmidu-ez1rd
    @DogoAmidu-ez1rd Месяц назад

    Kazi iko 🔥🔥🔥sana

  • @Mauwa-z5n
    @Mauwa-z5n Месяц назад

    Hunaa bayaa kakaa nakupenda sana ❤❤❤❤

  • @jeremykaranja-u8y
    @jeremykaranja-u8y 22 дня назад

    apa nae kwa kumada vanila mlichoma mbaya sana hiyo mali safi ivo ,WE ZUMBA NIKIKUSHIKA

  • @maurine3503
    @maurine3503 Месяц назад

    CHIBU NYOA HIZO MANDEVU KABLA NI FIKIKE HAPO 😂😂😂 Anyway good job❤❤❤

  • @MwagadiJamilaAbdalla
    @MwagadiJamilaAbdalla Месяц назад

    Chibu usimuuwe mwasi kakoso anamuitaji from saudia

  • @LéonardKyongozi
    @LéonardKyongozi Месяц назад

    Leo niko wa kwanza kazi nzuri kakoso

  • @NoorEesa
    @NoorEesa Месяц назад +1

    Kazi nzuri sana 🎉🎉🎉🎉

  • @alhimnamussasaid3619
    @alhimnamussasaid3619 Месяц назад

    Hii kweli the game ukipewa unapewa dadeki 😂🎉🎉🎉😂😂😂❤❤

  • @AbdulrazaqueNfaumeAli
    @AbdulrazaqueNfaumeAli Месяц назад +4

    Team kakoso kazi teali imetua like jamani 🎉🎉🎉

  • @angelraphael4500
    @angelraphael4500 Месяц назад

    Leo mwasi umependeza saaana maah 🎉🎉😂

  • @RoyWalex
    @RoyWalex Месяц назад

    Kidarii anakua mnyonge kila konaa😂😂🔥❤

  • @Shamah_yekoh
    @Shamah_yekoh Месяц назад

    kumbe mwishowe chibu atakuja kupenda kabisa kuwa na mwanamke mtarajiwa...

  • @Awoshy
    @Awoshy 21 день назад

    Namuona kocha mzhezaji anavyoupiga mwingi😂😂😂

  • @halimadonath1862
    @halimadonath1862 Месяц назад

    Wandaaa safiiiiii sana hujawahi kutuangusha

  • @Zuonist-y3q
    @Zuonist-y3q Месяц назад

    Chibu snake boy inakuzeesha 😅😅😅 c kwa hizo ndevu mzee shahidi

  • @fathmakajo2662
    @fathmakajo2662 Месяц назад +1

    Aliegundua mwasi alivyokua anaenda kwa chibu alkua amefunga nywele baada kubisha akaziwachia

  • @NasriRamadhani-po1lz
    @NasriRamadhani-po1lz 28 дней назад

    Ila chibu noma unawapelekea moto2🎉🎉🎉🎉

  • @reginaIssa-m2j
    @reginaIssa-m2j 16 дней назад

    Kazi nzuri ila Wana wake tuwe waelewa jamani mtu kashakwambia hana malengo na ww lakini Bado tu unamfuatilia khaaa😏mwasi umezidi na ww

  • @nellymtambo8432
    @nellymtambo8432 Месяц назад +2

    Nilichokuja kugundua vijijini wanafumaniana sanaaaa😂😂😂mjini cha utoto mtu apigi cm anakwenda tuuu kwa mtu😂😂😂😂😂 Kakosoo❤ alafu ngono zembe vijijini ndio kila kitu 😂😂😂ngono ngono zembe zembe

  • @JasminiSaidi-t7k
    @JasminiSaidi-t7k 18 дней назад

    Sijafikia level za kuzimia kwa ajili ya mwanaume 😂

  • @malichanda3146
    @malichanda3146 Месяц назад +2

    Chiba umekonda kanyoe hizo ndevu

  • @MwagadiJamilaAbdalla
    @MwagadiJamilaAbdalla Месяц назад

    Nawapenda sana❤

  • @MzeeRaca
    @MzeeRaca Месяц назад +1

    Kazi nzuri

  • @WASHATV984
    @WASHATV984 Месяц назад

    Naamini sana kaka uko vizuli mno

  • @halimadonath1862
    @halimadonath1862 Месяц назад

    Kakosoooo umevurugwa hatari

  • @WaziriAbdalla
    @WaziriAbdalla Месяц назад +1

    Swa swa kagoso❤

  • @Mariam-fm8vq
    @Mariam-fm8vq Месяц назад +1

    😂😂😂😂😂😂😂😂hajra unawashwa leo

  • @jeanbosconibigira4637
    @jeanbosconibigira4637 Месяц назад +1

    Kakoso mininawazo mbona yule binti wakina zumba wariuwa mbona havikujulikana tena

  • @NasriRamadhani-po1lz
    @NasriRamadhani-po1lz 28 дней назад

    Kidali Wanda anakuzidi akili😂😂

  • @JanetRiziki-ut2is
    @JanetRiziki-ut2is Месяц назад

    Maua yanu wahusika ❤❤❤❤❤

  • @agrozazubah4224
    @agrozazubah4224 Месяц назад

    Ivi Hao wanawake wote awaja hole holewa ao Wana holewa ila wako kikazi,ila samaani sana kwa shwali nataka kujua tu

  • @SaidMbuni
    @SaidMbuni Месяц назад +3

  • @angelraphael4500
    @angelraphael4500 Месяц назад

    Kumetokea nn kwa mwakatobe mbona hatumuoni jaman😢😢😢

  • @MoussaGadaujr-hh7pt
    @MoussaGadaujr-hh7pt Месяц назад

    Ila CHIBU apunguze kidogo mabega yanaanza kumkataa 😂😅

  • @meckngenzi1690
    @meckngenzi1690 Месяц назад +9

    Kazi ya kibabe sana mwaka huu wakorea tunawakalisha kakoso huna baya mzee unajua nni unafanya ongerea na pole kwa chanqamoto za kuandaa hizi video

  • @MohamediManenoAthumani
    @MohamediManenoAthumani Месяц назад

    Babaye chibu kiwembe

  • @linnusaloyce6559
    @linnusaloyce6559 Месяц назад +1

    Mapenzi nyoko😂

  • @FurahaKulapha
    @FurahaKulapha Месяц назад

    Wanda nakupnda bure❤❤

  • @johnrogeo2161
    @johnrogeo2161 Месяц назад +1

    Chibu usiue Mwasi na Kakoso anamhitaji😅

  • @RamadhaniIssa-p7t
    @RamadhaniIssa-p7t Месяц назад

    Bonge la kitu nataman indelee mpaka 100

  • @justblackcode
    @justblackcode Месяц назад

    Hili game kali kwa kweli 😂😊

  • @Fathma-fg3vq
    @Fathma-fg3vq Месяц назад

    ila hajraa wewe❤

  • @halimadonath1862
    @halimadonath1862 Месяц назад

    Kidari limekushuka shuuu

  • @PaschaziaPaul
    @PaschaziaPaul Месяц назад

    Oooh kwanini vanilla anakufa😢

  • @VictoriaNkole
    @VictoriaNkole Месяц назад

    Kheeee kuptw, hay next pleaz

  • @JenifaAlly
    @JenifaAlly Месяц назад

    Kaz n nzuri sana ila vipande ni vifupi sana angalau bas hata kipande kimoja kiwe na dk 30 bas lakin 14 sio sahihi 😂

  • @rajabumuyumbu4586
    @rajabumuyumbu4586 Месяц назад

    Chibu mzee wa minyoosho itakuwa laana hiyo

  • @aishaallyaishaally3220
    @aishaallyaishaally3220 Месяц назад

    Kazi safiii

  • @aishaomar2287
    @aishaomar2287 Месяц назад

    Ila hii game,bado sijaielewa...acha nizidi kufatilia

  • @MohamedMbaruku-yl6dg
    @MohamedMbaruku-yl6dg Месяц назад +2

    1

  • @LusianaKomba
    @LusianaKomba Месяц назад +1

    Wa 13 leo 🎉🎉🎉🎉

  • @NesthKey
    @NesthKey Месяц назад +1

    Chibu mbona kakonda sana🤔

  • @HomeTv-xr9kn
    @HomeTv-xr9kn Месяц назад +1

    *Which Realm Is This Movie From Where Men Actually Reject Women!😂🇰🇪*

  • @ElijahMwandosya
    @ElijahMwandosya 25 дней назад

    Mwasi kila siku anapigwa na kitu kizito lakini akomi

  • @gerladmwakalambile8966
    @gerladmwakalambile8966 Месяц назад +1

    Wanda🎉🎉🎉🎉🎉

  • @mtzhalisi2232
    @mtzhalisi2232 Месяц назад

    Unyama ni mwingi

  • @NasraFahmy-j9y
    @NasraFahmy-j9y Месяц назад +1

    Woyooo nimefk mzenj

  • @maalimumasoudy6746
    @maalimumasoudy6746 Месяц назад

    Kuanzia Leo namuita Wanda FBI

  • @Grafchris
    @Grafchris Месяц назад +3

    Wa kwanza toka Kigali Rwanda 🇷🇼 kazi njema kwa team KAKOSO. naomba like zenu

  • @boazsimba7227
    @boazsimba7227 Месяц назад +2

    No two

  • @HassanRamadhanPashua
    @HassanRamadhanPashua Месяц назад

    Kakoso wekeni translation ya English

  • @mohdsaad2736
    @mohdsaad2736 Месяц назад

    ❤❤❤😊😊😊😊

  • @RomanusBussa-g7q
    @RomanusBussa-g7q Месяц назад +1

    Kakoso umepigwa kibuti upe pole yake kwa like ❤

  • @AaminAmin-m1z
    @AaminAmin-m1z Месяц назад

    ❤❤❤🎉🎉🎉🇰🇪🇸🇦🔥🔥🔥💥

  • @ZedekChamagogo
    @ZedekChamagogo 28 дней назад

    Kakosa kulia hauwez

  • @everlinekenga437
    @everlinekenga437 Месяц назад

    🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤

  • @EngPeleka
    @EngPeleka 27 дней назад

    KILA ALIYESOMA HII COMMENT MUNGU AMPE NEEMA YA KUFIKA MBINGUNI KATIKA JINA LA YESU AMEN.

  • @halimadonath1862
    @halimadonath1862 Месяц назад

    Muendelezo tafadhali

  • @zeinabuAchiengOkara
    @zeinabuAchiengOkara Месяц назад

    ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @evelynoscar5104
    @evelynoscar5104 Месяц назад

    Lkn mbona chibu anazid kukonda t na kuchakaa daily

  • @hamisikamanda9933
    @hamisikamanda9933 Месяц назад

    Kumekucha🎉🎉🎉🎉

  • @RizikiZiki
    @RizikiZiki Месяц назад

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤

  • @marynyota6146
    @marynyota6146 Месяц назад

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @NtakirutimanaSaidi-t8o
    @NtakirutimanaSaidi-t8o Месяц назад

    Nipeni like zangu tafadhali naomba kwajili ya kakoso pls❤❤❤❤

  • @DamsonDon
    @DamsonDon 29 дней назад

    Chib kakondaa

  • @MangalaTv-bx9uq
    @MangalaTv-bx9uq Месяц назад +1

    ruclips.net/video/saCphPMI5fM/видео.html
    EPISODE YA (2) KISASI

  • @ghazzaalthani
    @ghazzaalthani Месяц назад

    750views, 48min ago

  • @athumannambombe4334
    @athumannambombe4334 Месяц назад +1

    Am No 1 Today

  • @MangalaTv-bx9uq
    @MangalaTv-bx9uq Месяц назад

    ruclips.net/video/saCphPMI5fM/видео.html
    EPISODE YA (2) KISASI