MY MOTHER EP 16 | Sad Story 💔💔

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 окт 2024
  • #bongomovie #mymother #housegirl

Комментарии • 243

  • @SesiliaAndrew-c6y
    @SesiliaAndrew-c6y 15 дней назад +13

    Mmh jmn mbon mama sibo mbon kafanana na jasmin au ndo mamake jmn duuuh aliyeona hilo like apa ❤

  • @marryJacob-z7i
    @marryJacob-z7i 15 дней назад +6

    Mpo vizuri kwasani wamaimadha mukazo tu nakuomba mungu mfke mbili zaidi

  • @GalaxyA-ve8tu
    @GalaxyA-ve8tu 16 дней назад +4

    Najua jamani hii nayo inazidi kua nzuri kila kipande msicheleweshe tunaipenda mno 🎉🎉🎉❤❤❤

  • @NebrahNelly-sn8qs
    @NebrahNelly-sn8qs 16 дней назад +8

    Naipenda sna ila zatity mungu atambariki

  • @JulianaMligo-b7k
    @JulianaMligo-b7k 16 дней назад +11

    Jamn nimekuw wa kwanz Leo like bas ndug zang nawapenda san💖💖 from the 🇹🇿

  • @ZakiaChangoma
    @ZakiaChangoma 16 дней назад +35

    Sebo toa hivo vilemba vinakera hata hupendezi ila ukiwa huna kilemba unakuwa mzuli sana ila wewe nimzuli kweli kweli 🤭😅 mashaallah ❣️❣️🎉🎉

    • @NyagawaEmmanuel
      @NyagawaEmmanuel 16 дней назад +1

      😊😊😊😊 vilemba ni Yolanda huyo anasema anavipenda sijui ndo mganga wake 😂

    • @sinarohasina9175
      @sinarohasina9175 16 дней назад +2

      Hii ndio comment nilipokua natafuta hapendezi kabsaa

    • @ZakiaChangoma
      @ZakiaChangoma 16 дней назад +1

      @@NyagawaEmmanuel 😅😅😅😅ama kweli haya bwana 😅 angalia tu asikutoe kafara 😅😂 nawapenda sana wete ❤️ mnanipa Raha 🎉🎉🎉🎉🌹🌹🌹🌹

    • @AlinaNizigama
      @AlinaNizigama 15 дней назад +1

      Duu akiwa.hana kilemba anapendeza maanshalla muzuri ira Yolanda unapata zambi

    • @Beatrice-kp7uw
      @Beatrice-kp7uw 15 дней назад +3

      Hawezi toa kilemba juu anatembea nmke wa mtu😅😅😅

  • @Marlenapilikitsao-gk9je
    @Marlenapilikitsao-gk9je 16 дней назад +8

    Like hapa ukiona mtu ameandika ujumbe kama Huu Jua ameboeka hajafatilia movie.mcwe wachoyo nipeni like Hata 10iliuzipeleke wapi

  • @Betty-t9q
    @Betty-t9q 15 дней назад +7

    Hapo Tasha ulikosea kaabisa tabia zako haziendani na huyo kinyangulo danga😅

    • @rahemh1234
      @rahemh1234 14 дней назад

      Kwanza hata hawafanan Tasha

  • @aishaomar9621
    @aishaomar9621 16 дней назад +12

    Yolanda amezama kwnye penzi LA chibo 😂😂❤ chiko ulifanya makosa kumkabidhi mkeo password n A.T.M yako subiri akufilisi😂ila zatiti ana moyo kaja muomba mjomba amsaidie kumuhifadhi huyo mama na wakati chiko hata hajali katekwa maxima n mkewe yolanda😂 hii filamu yafunza

  • @JanetRiziki-ut2is
    @JanetRiziki-ut2is 16 дней назад +2

    Sina lakusema bali nawapa hongera sana wahusika ❤❤❤❤and 🎉🎉🎉

  • @Nailaty564
    @Nailaty564 15 дней назад +5

    Sibo na rahma wameendana wote wazuri Masha Allah 🥰🥰🥰🥰🥰🥰

    • @NyagawaEmmanuel
      @NyagawaEmmanuel 15 дней назад

      😅😅

    • @نيجي-ن1د
      @نيجي-ن1د 14 дней назад +2

      Ila huyo Rahma na huo mdomo wake kuna mtu mwenye anamweza kweli hata huyo shetani mwenyewe anamuogopa😂😂

    • @rahemh1234
      @rahemh1234 14 дней назад

      😂😂😂😂😂😂Rahma mdomo wake niwa michambo tu

  • @salhaissa-xq9ov
    @salhaissa-xq9ov 16 дней назад +3

    Honger San zatiti kwa kumuweka mam sehem Salam 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @saadaally5705
    @saadaally5705 16 дней назад +8

    Mwanaume amejitanda kichwa wanawake kama kendi wendawazimu kichwa wazi tumuogope Allah yupo Alali wala Asizihi

  • @LovenessLucas-r2x
    @LovenessLucas-r2x 16 дней назад +8

    Sibo njo kwangu tukatafute mshangaziiii tumchune😂

  • @salhaissa-xq9ov
    @salhaissa-xq9ov 15 дней назад +2

    Tunaotaman zatiti afanikishe kumuguz mam ake apon tujuan kweny comment love yuo mam

  • @SizzoSela29-sh8nz
    @SizzoSela29-sh8nz 15 дней назад +3

    Mama sebo acha tamaa

  • @SelinahKeny
    @SelinahKeny 16 дней назад +7

    Am number one 🎉🎉🎉 i like this

  • @SdFft-j5g
    @SdFft-j5g 16 дней назад +4

    Jamani nipewe hyu Sibo, mbna mzuri snaa, alfu mama mkwe hyo ni advice gani unayompa sibo wanguu😂, mtoto wa kiume anafaa kupambana kutafuta hela zke na si kutegemea mwanamke

    • @NyagawaEmmanuel
      @NyagawaEmmanuel 16 дней назад

      Mama ameshindwa kuvumilia shida 😅😂

  • @Juliety-v3o
    @Juliety-v3o 16 дней назад +6

    Nampenda sibo bure anaongea vizur

    • @lucymoses-t1v
      @lucymoses-t1v 16 дней назад +1

      🎉pamoja napenda anavyoongea anaongea vzr na ana maneno ya busara

    • @NyagawaEmmanuel
      @NyagawaEmmanuel 15 дней назад

      😊😊😊🙏🙏🙏🙏

  • @ggfwtgg1652
    @ggfwtgg1652 16 дней назад +3

    Wanaume wanategemea pessa kutoka kwa wanawake nihatari sanaaa ❤❤❤

  • @ShaniCatus
    @ShaniCatus 15 дней назад +2

    We sibo mbona mzuri sana nimekupenda bure

  • @Kai_busati
    @Kai_busati 16 дней назад +4

    Hili ni Dude kubwa sana🔥🙌🏾

  • @aishaomar2287
    @aishaomar2287 16 дней назад +3

    Mana sibo huna msimamo maskin...hongera daa zatiti

  • @FatumaWazir
    @FatumaWazir 15 дней назад +6

    Sibo na ww pesa izo za mwanaume mwenzio zitakutoke puan

  • @Kimwana255
    @Kimwana255 16 дней назад +13

    Nimewai jamani naombeni like na musiniulize Kwani unauza izo like 😅😅

  • @AminaKavuo-gj3oc
    @AminaKavuo-gj3oc 16 дней назад +1

    Zatiti nakupenda tu San mungu hakulinde ppote hulipo

  • @Phoebenafula
    @Phoebenafula 16 дней назад +5

    Wa kwanza kutoka Kenya likes zangu hapa tukisonga mbele🎉🎉🎉❤

  • @BahatiKadenge-n5r
    @BahatiKadenge-n5r 16 дней назад +2

    Hii move mnaichezeza kama sio kama ya my mother aki juu story nyingi vitendo vingi

  • @salhaissa-xq9ov
    @salhaissa-xq9ov 16 дней назад +1

    Honger San ang kwa kumpokea mam chiko 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @aminahhuawei1133
    @aminahhuawei1133 16 дней назад +4

    Duuu huyu mama kaaza vyemaq ilaa kapatwa natamaaa mwishoni 😢😢😢

  • @TantineJuma
    @TantineJuma 15 дней назад +2

    Umaskini shida kweli ivi uyu mama sibo alaniwe nikizazichake chote una lahana we mama sibo

  • @ZeinabBakar-je4nr
    @ZeinabBakar-je4nr 16 дней назад +1

    Dhaaaa kazi nzuri jamani nawapenda 🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @BrendaMogambi
    @BrendaMogambi 16 дней назад +2

    Toka 254 pia atujaachwa nyumba gonga kidogo

  • @McT-m1m
    @McT-m1m 16 дней назад +5

    Na mimi nimememuelewa sibo anampenda mana ake afu ana msimamo tattoo tu si matafutaji

  • @LinahUmazi-x4z
    @LinahUmazi-x4z 16 дней назад +4

    Leo nmewahi jme🎉🎉🎉❤

  • @HoHo-l1r
    @HoHo-l1r 16 дней назад +1

    Mmmmh zatiti endelea kumpambania huyo mama Mungu atakulipia inshallah 🙏🙏🙏

  • @LuciaJoseph-j7q
    @LuciaJoseph-j7q 16 дней назад +3

    Naomben like ata 10 leo wa kwnza jmn

  • @FatumaWazir
    @FatumaWazir 15 дней назад +4

    Mama kashaingia na Tamaa

  • @NsabiyumvaEvelyne
    @NsabiyumvaEvelyne 16 дней назад +3

    Leo nimeramukiya nawapenda cana ❤❤

  • @rizikisalim6630
    @rizikisalim6630 16 дней назад +4

    Iiiiiiih Yani mwanamume akiwa hivi yuaboa Yani nkili zako timamu lkn wee wategemea kuhongwa na mwanamke iiih wallah huaga nasinywa sana😏😏😏😏😏

  • @AminaNgumba
    @AminaNgumba 16 дней назад +5

    Yaan candy ana mdomo lkn kwa sibo t mdomo wote unaish😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @ClaraAdam-i1o
    @ClaraAdam-i1o 16 дней назад +1

    Jaman da warda ni mzuri nakapenda sana🎉🎉❤❤

  • @ZZawadi-s5v
    @ZZawadi-s5v 16 дней назад +4

    Jamen wanaume tafuten kazi mfanye sio umutumaini mwana mke😢😢😢😢

  • @sasharora36
    @sasharora36 16 дней назад +2

    Mmmhh jaman Sibo na scarf....bado uvae dera na abaya 😂

  • @coolboymicky3651
    @coolboymicky3651 16 дней назад +2

    Warda unanikosha kiukweli Yani eti sibo SIO mwanaume kweli😂😂😂sema mko vizur team my mother 🔥🔥🔥🔥

  • @ElizabethDaudi-b6v
    @ElizabethDaudi-b6v 16 дней назад +2

    Mbona kachanganyikiwaaa😊,kwani kunamtoto asiye kosea kwa mzazi??😳😳hakuna Bora bana,chibi mwache mwenzako apewe msamaha namamaake

  • @MyimunaTz
    @MyimunaTz 15 дней назад +2

    Oyo iyo seba malioo ajekwangu nakupa mpaka m kulima hahahahaha😂

  • @faustinejoseph7702
    @faustinejoseph7702 16 дней назад +2

    😂😂😂 batul bhn anambwembwe kama unaamini kay anaumwa mafua gonga like tujuwane jmn

  • @AdassaMsafiri
    @AdassaMsafiri 16 дней назад +6

    Naombaa like hata mojaa jamanii

  • @RizikiZiki
    @RizikiZiki 16 дней назад +2

    Sasa mm Sibo wendo ulikua wakwanza kumukemea Sibo kwaajili yamawasiliyano namke wamtu Yoranda sasa leo wendo unakua unacoceya warudiyane na Yoranda amakweli umaskini nishida😢naskiya naishiwa pose

  • @salhaissa-xq9ov
    @salhaissa-xq9ov 16 дней назад +3

    Mwanaum unatakiwa kupamban na sio kulelewa na mwanamke

  • @MariaKahind
    @MariaKahind 16 дней назад +18

    Jaman samahanini kama nitakosea au kukwanza mtu.....my mother...ilianza vizuri..yenye mafunzo..ila mwatupoteza jamani mwatuekea madanga ..muda mwingi jamani😢😢😢😢

    • @HusnaX-u6q
      @HusnaX-u6q 16 дней назад +1

      Kabisa sio madanga tu na liyoranda mda wote

    • @MariaKahind
      @MariaKahind 16 дней назад

      @@HusnaX-u6q wanatubooo...aky juu my mother ilikuwa na mafunzo tena mazuri..ila kwa sasa havieleweki..muda wote ni madanga tu

    • @Fathasssane-vs2th
      @Fathasssane-vs2th 16 дней назад

      Kweli kabisa

    • @Bintnailah
      @Bintnailah 15 дней назад

      Hapo kweli🎉😊

    • @Bintnailah
      @Bintnailah 15 дней назад +2

      Mtoe basi my mother andike my danga maana mmh mwa boo

  • @AzamMgasha-t5s
    @AzamMgasha-t5s 16 дней назад +4

    Wow next time very good

  • @MariaHussein-f5w
    @MariaHussein-f5w 16 дней назад +3

    Kwan sibo anashda gan akikutana na yolanda had ajifunge kilemba

  • @DareshiSlm
    @DareshiSlm 15 дней назад +3

    Sibo nakupenda ❤❤

  • @DominPallangyo
    @DominPallangyo 16 дней назад +3

    Yan kinachonichekesha zaid Sebo hapendi kuambiwa ukwel 😂😂😂 maskini Jeuri 😂😂😂 akiambiwa ukwel analeta vitisho badala ya kujishughulisha

    • @NyagawaEmmanuel
      @NyagawaEmmanuel 16 дней назад

      😂😂 Ukwel gani bhana

    • @DominPallangyo
      @DominPallangyo 16 дней назад

      @@NyagawaEmmanuel si akiambiwa aache kuwa tegemez atafte ela anakasirika

  • @Queen-hm1bh
    @Queen-hm1bh 16 дней назад +2

    Sebo jamani mbona vitambaa kichwani jamani hata haupendezi ila kama hauna kitambaa ukaa mwaaaaaah😂😂

  • @JoselineJuma-r7o
    @JoselineJuma-r7o 16 дней назад +3

    Afadhali kuishi maskini lakin hayo mawaida ya mama Warda kwa kijana yake cjapenda

  • @DelvinChepkorir-t1d
    @DelvinChepkorir-t1d 16 дней назад +2

    Uyu chiko anajisima data eti anatamani mama yake arudi kwa Hali ya kawaida na yeye kamfanya ivo alivyo😢😢😢😢kitakukuta jambo wewe alafu mama Sibo akili hana kabisaa

  • @CarolyneNyanchama-yk1gf
    @CarolyneNyanchama-yk1gf 15 дней назад +1

    Huyu wa vilemba vya nini sasa,,halaf candy keti vizuri usionyeshe maajabu 😂😂😂 ila batuli,,,!

  • @salhaissa-xq9ov
    @salhaissa-xq9ov 16 дней назад +3

    Yan rahm yake yanamshind anaingilia ya kak ake

  • @buru1235
    @buru1235 16 дней назад +1

    Mama n mama tu wallai tunafanyia mama mambo mengine lkn n lazima wasimame n Sisi thanks Sana mama bt huyo mwanao apunguze coz afanyia Zatiti.poa at all😮

  • @NeemaEli-wl1dz
    @NeemaEli-wl1dz 15 дней назад

    Kazi nizuri sana tunawapenda wahigizaje wetu mnatupa vituvizuri sana

  • @salhaissa-xq9ov
    @salhaissa-xq9ov 16 дней назад +3

    Yan mam sibo anamshaur mwanae kurud kwa yoland jaman pes haram mam anamshaur mwanae kudang jaman pole sibo

  • @salhaissa-xq9ov
    @salhaissa-xq9ov 16 дней назад +2

    Watu weny mam kam sibo tujuan jaman pesa balaa

  • @Rizikialiamechannel763
    @Rizikialiamechannel763 16 дней назад +4

    nna bahati kua wa 6 from Oman 🇴🇲 jaman tujuane

  • @RehemaMwakisyala-k9u
    @RehemaMwakisyala-k9u 16 дней назад +3

    Mama warida huruma akili mbili jaman 😢😢😢😢

  • @ShamimAbdul-tf3fw
    @ShamimAbdul-tf3fw 16 дней назад +2

    Mama sibo. naona unatetea penz la mwanao hali yakuwa si umwambie ajitahid kutafuta sasa si tukiwatafutia wanaum wanawak tutafutiwe na nani Yolanda atakisema sibo anakuwa tengemez nikwel🎉🎉🎉 Yolanda

  • @salhaissa-xq9ov
    @salhaissa-xq9ov 16 дней назад +2

    Chiko pole San huna Mke hapo huy yupo ki maslah tu

  • @Omoisirisasi396
    @Omoisirisasi396 16 дней назад +2

    All the way from +254🇰🇪

  • @riziki8406
    @riziki8406 16 дней назад +3

    Yani candy na sania kila mahali nyinyi ni wachepuko kweli hakuna mahali mutakuwa sawa na kutulia keeh

  • @افااقع
    @افااقع 16 дней назад +1

    Zatity hongera sana 🎉🎉🎉🎉

  • @salhaissa-xq9ov
    @salhaissa-xq9ov 16 дней назад +2

    Jaman wazazi tuwapend san

  • @ellahmaketa6926
    @ellahmaketa6926 16 дней назад +4

    I'm the first one ❤

  • @salhaissa-xq9ov
    @salhaissa-xq9ov 16 дней назад +1

    Asanten san busati TV kwa kutupatia mwendelezo tunawapend san wapenda wetu

  • @tabithanzisa9755
    @tabithanzisa9755 15 дней назад +1

    Sibo ww ndo kiboko yolanda aise unampea ureally apo kwa apo😂😂😂😂ila munapendana nyie sana❤❤❤

  • @RukiaKhamis-pu9zv
    @RukiaKhamis-pu9zv 16 дней назад +3

    Sibo kavaa ushungi 😂😂😂

  • @sadahamad6158
    @sadahamad6158 16 дней назад +2

    Sibo yuwapenda mitandio jaman 😂😂😂😂😂😂

    • @NyagawaEmmanuel
      @NyagawaEmmanuel 15 дней назад +1

      😂😂 ni scarf sio mtandio jaman 😂

    • @sadahamad6158
      @sadahamad6158 15 дней назад

      @@NyagawaEmmanuel 🤣🤣🤣 kumbe

  • @RoseNamataka
    @RoseNamataka 9 дней назад

    Kend majabu ananyenyekea thezea kupenda ww 😅😅😅😅😅❤❤

  • @DareshiSlm
    @DareshiSlm 15 дней назад +1

    Hili batuli linajiona jirembo sanaa nongoo😏

  • @MwanaBaloz-ij6es
    @MwanaBaloz-ij6es 16 дней назад +2

    Sibo samahan acha kuvaa herin na chen

  • @salhaissa-xq9ov
    @salhaissa-xq9ov 16 дней назад +3

    Sibo naw so utoe hy skafu unaona aibu au

  • @Shinyg3l
    @Shinyg3l 16 дней назад +3

    Nyie mnaosema sibo na hizo tqmbala zake kichwan ,kumbe hamjawah kudate na muhuni nyie yan Kila anakoenda ni hivo au provaa zenye kofia asee wanaume nyie🤣🤣

    • @NyagawaEmmanuel
      @NyagawaEmmanuel 16 дней назад +1

      😂😂😂😂 limekukuta jambo

    • @Shinyg3l
      @Shinyg3l 16 дней назад +2

      @@NyagawaEmmanuel acha tu kipenziii Yan ukidate na hao watu ogopaa

  • @SamsonRandu-h9u
    @SamsonRandu-h9u 15 дней назад +1

    Hlfu kai Uwe bci kila movie una act Na zuu cz ndo unayeendana naye😂😂😂😂

  • @KhadijaMasoud-m6u
    @KhadijaMasoud-m6u 15 дней назад +1

    Hee 😂😂Huyo mama kaona pesa kashakubali tena mwanawe awe na candy

  • @salhaissa-xq9ov
    @salhaissa-xq9ov 15 дней назад

    Jaman batul unatamb na pesa tambua kua pesa Bila utu Waka watu huna lolote utakalobarikiwa badilisha kauz zako kwa wakubwa japo sio mam alokuzaa unapaswa kuheshm

  • @JohnThomas-mq5fw
    @JohnThomas-mq5fw 16 дней назад +1

    Zatiti hongera sana 🎉❤

  • @Aminah-r4s
    @Aminah-r4s 16 дней назад +1

    Kai utakumbuka maneno ya mama, acha tamaa hiv ni vya muda tu agalia mtu sahihi kwako cyo batul 😢😢😢😢

  • @Jenniffer-m9k
    @Jenniffer-m9k 16 дней назад +2

    leo nimewahi jaman 🎉🎉🎉munipee like

  • @HadirialssaShund
    @HadirialssaShund 16 дней назад +1

    Leo niméwaaahi namie naombeni like

  • @gracenyevu8082
    @gracenyevu8082 15 дней назад

    Much love from kenya 🇰🇪🇰🇪

  • @salhaissa-xq9ov
    @salhaissa-xq9ov 16 дней назад +1

    Yani kai anapagaw na hela t na sio mapenz ya dhati pole San Kai haujataka ushauri WA mam ipo siku utajut

  • @salhaissa-xq9ov
    @salhaissa-xq9ov 15 дней назад

    Pole chiko mam anaumwa ndo Kwanz mkeo anakula stareh

  • @promisemecpk5392
    @promisemecpk5392 4 дня назад

    Sebo hiyo swaga yk yaskafu mmmmh yabooo sana

  • @OmarJaffar-fw4lt
    @OmarJaffar-fw4lt 15 дней назад +2

    sebo umeongea vyema kabisa 😂😂😂

  • @salhaissa-xq9ov
    @salhaissa-xq9ov 16 дней назад +2

    Yani huy ward nay Han star

  • @lutfiyahsaidi6666
    @lutfiyahsaidi6666 16 дней назад +3

    Yani hicho kishingi cha sibo kinaniuzi anakua kama mwanajeshi wa alshabab

  • @salhaissa-xq9ov
    @salhaissa-xq9ov 15 дней назад

    Yan yoland kam ndo uhalisia wko huo Allah akutangulie ubadilike

  • @salhaissa-xq9ov
    @salhaissa-xq9ov 15 дней назад

    Wapendw Busat tunaisubir ep17 my mother Kila mda tuna chungulia

  • @AllyahKaseka-hq4fv
    @AllyahKaseka-hq4fv 16 дней назад +2

    Good job🎉🎉🎉