Yolanda amezama kwnye penzi LA chibo 😂😂❤ chiko ulifanya makosa kumkabidhi mkeo password n A.T.M yako subiri akufilisi😂ila zatiti ana moyo kaja muomba mjomba amsaidie kumuhifadhi huyo mama na wakati chiko hata hajali katekwa maxima n mkewe yolanda😂 hii filamu yafunza
Jamani nipewe hyu Sibo, mbna mzuri snaa, alfu mama mkwe hyo ni advice gani unayompa sibo wanguu😂, mtoto wa kiume anafaa kupambana kutafuta hela zke na si kutegemea mwanamke
Uyu chiko anajisima data eti anatamani mama yake arudi kwa Hali ya kawaida na yeye kamfanya ivo alivyo😢😢😢😢kitakukuta jambo wewe alafu mama Sibo akili hana kabisaa
Mama n mama tu wallai tunafanyia mama mambo mengine lkn n lazima wasimame n Sisi thanks Sana mama bt huyo mwanao apunguze coz afanyia Zatiti.poa at all😮
Mama sibo. naona unatetea penz la mwanao hali yakuwa si umwambie ajitahid kutafuta sasa si tukiwatafutia wanaum wanawak tutafutiwe na nani Yolanda atakisema sibo anakuwa tengemez nikwel🎉🎉🎉 Yolanda
Nyie mnaosema sibo na hizo tqmbala zake kichwan ,kumbe hamjawah kudate na muhuni nyie yan Kila anakoenda ni hivo au provaa zenye kofia asee wanaume nyie🤣🤣
Jaman batul unatamb na pesa tambua kua pesa Bila utu Waka watu huna lolote utakalobarikiwa badilisha kauz zako kwa wakubwa japo sio mam alokuzaa unapaswa kuheshm
Mmh jmn mbon mama sibo mbon kafanana na jasmin au ndo mamake jmn duuuh aliyeona hilo like apa ❤
Mpo vizuri kwasani wamaimadha mukazo tu nakuomba mungu mfke mbili zaidi
Najua jamani hii nayo inazidi kua nzuri kila kipande msicheleweshe tunaipenda mno 🎉🎉🎉❤❤❤
Naipenda sna ila zatity mungu atambariki
Jamn nimekuw wa kwanz Leo like bas ndug zang nawapenda san💖💖 from the 🇹🇿
Sebo toa hivo vilemba vinakera hata hupendezi ila ukiwa huna kilemba unakuwa mzuli sana ila wewe nimzuli kweli kweli 🤭😅 mashaallah ❣️❣️🎉🎉
😊😊😊😊 vilemba ni Yolanda huyo anasema anavipenda sijui ndo mganga wake 😂
Hii ndio comment nilipokua natafuta hapendezi kabsaa
@@NyagawaEmmanuel 😅😅😅😅ama kweli haya bwana 😅 angalia tu asikutoe kafara 😅😂 nawapenda sana wete ❤️ mnanipa Raha 🎉🎉🎉🎉🌹🌹🌹🌹
Duu akiwa.hana kilemba anapendeza maanshalla muzuri ira Yolanda unapata zambi
Hawezi toa kilemba juu anatembea nmke wa mtu😅😅😅
Like hapa ukiona mtu ameandika ujumbe kama Huu Jua ameboeka hajafatilia movie.mcwe wachoyo nipeni like Hata 10iliuzipeleke wapi
Hapo Tasha ulikosea kaabisa tabia zako haziendani na huyo kinyangulo danga😅
Kwanza hata hawafanan Tasha
Yolanda amezama kwnye penzi LA chibo 😂😂❤ chiko ulifanya makosa kumkabidhi mkeo password n A.T.M yako subiri akufilisi😂ila zatiti ana moyo kaja muomba mjomba amsaidie kumuhifadhi huyo mama na wakati chiko hata hajali katekwa maxima n mkewe yolanda😂 hii filamu yafunza
Sina lakusema bali nawapa hongera sana wahusika ❤❤❤❤and 🎉🎉🎉
Sibo na rahma wameendana wote wazuri Masha Allah 🥰🥰🥰🥰🥰🥰
😅😅
Ila huyo Rahma na huo mdomo wake kuna mtu mwenye anamweza kweli hata huyo shetani mwenyewe anamuogopa😂😂
😂😂😂😂😂😂Rahma mdomo wake niwa michambo tu
Honger San zatiti kwa kumuweka mam sehem Salam 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mwanaume amejitanda kichwa wanawake kama kendi wendawazimu kichwa wazi tumuogope Allah yupo Alali wala Asizihi
😢😢
Sibo njo kwangu tukatafute mshangaziiii tumchune😂
We uogopi
Naanzaje @@SanuraNamlola
😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
Tunaotaman zatiti afanikishe kumuguz mam ake apon tujuan kweny comment love yuo mam
Mama sebo acha tamaa
Am number one 🎉🎉🎉 i like this
Jamani nipewe hyu Sibo, mbna mzuri snaa, alfu mama mkwe hyo ni advice gani unayompa sibo wanguu😂, mtoto wa kiume anafaa kupambana kutafuta hela zke na si kutegemea mwanamke
Mama ameshindwa kuvumilia shida 😅😂
Nampenda sibo bure anaongea vizur
🎉pamoja napenda anavyoongea anaongea vzr na ana maneno ya busara
😊😊😊🙏🙏🙏🙏
Wanaume wanategemea pessa kutoka kwa wanawake nihatari sanaaa ❤❤❤
We sibo mbona mzuri sana nimekupenda bure
😊😊
Hili ni Dude kubwa sana🔥🙌🏾
Mana sibo huna msimamo maskin...hongera daa zatiti
Sibo na ww pesa izo za mwanaume mwenzio zitakutoke puan
😢😢
Nimewai jamani naombeni like na musiniulize Kwani unauza izo like 😅😅
Kumbe unajua 😂😂😂unazipeleka wapi
Zatiti nakupenda tu San mungu hakulinde ppote hulipo
Wa kwanza kutoka Kenya likes zangu hapa tukisonga mbele🎉🎉🎉❤
Hii move mnaichezeza kama sio kama ya my mother aki juu story nyingi vitendo vingi
Honger San ang kwa kumpokea mam chiko 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Duuu huyu mama kaaza vyemaq ilaa kapatwa natamaaa mwishoni 😢😢😢
Mama yupi
@@NeemaLuambanomama Sibo
Umaskini shida kweli ivi uyu mama sibo alaniwe nikizazichake chote una lahana we mama sibo
Dhaaaa kazi nzuri jamani nawapenda 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Toka 254 pia atujaachwa nyumba gonga kidogo
Na mimi nimememuelewa sibo anampenda mana ake afu ana msimamo tattoo tu si matafutaji
Asante sana 😊
Leo nmewahi jme🎉🎉🎉❤
Mmmmh zatiti endelea kumpambania huyo mama Mungu atakulipia inshallah 🙏🙏🙏
Naomben like ata 10 leo wa kwnza jmn
Mama kashaingia na Tamaa
Leo nimeramukiya nawapenda cana ❤❤
Iiiiiiih Yani mwanamume akiwa hivi yuaboa Yani nkili zako timamu lkn wee wategemea kuhongwa na mwanamke iiih wallah huaga nasinywa sana😏😏😏😏😏
😢😢
Yaan candy ana mdomo lkn kwa sibo t mdomo wote unaish😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂 kila mjanja Ana mjanja wake
Jaman da warda ni mzuri nakapenda sana🎉🎉❤❤
Jamen wanaume tafuten kazi mfanye sio umutumaini mwana mke😢😢😢😢
Nowdays wanaume wengi wako hivyo 😂😂
Mmmhh jaman Sibo na scarf....bado uvae dera na abaya 😂
😂😂😂
Warda unanikosha kiukweli Yani eti sibo SIO mwanaume kweli😂😂😂sema mko vizur team my mother 🔥🔥🔥🔥
😂😂
Mbona kachanganyikiwaaa😊,kwani kunamtoto asiye kosea kwa mzazi??😳😳hakuna Bora bana,chibi mwache mwenzako apewe msamaha namamaake
Oyo iyo seba malioo ajekwangu nakupa mpaka m kulima hahahahaha😂
😂😂
😂😂😂 batul bhn anambwembwe kama unaamini kay anaumwa mafua gonga like tujuwane jmn
Naombaa like hata mojaa jamanii
Sasa mm Sibo wendo ulikua wakwanza kumukemea Sibo kwaajili yamawasiliyano namke wamtu Yoranda sasa leo wendo unakua unacoceya warudiyane na Yoranda amakweli umaskini nishida😢naskiya naishiwa pose
Mwanaum unatakiwa kupamban na sio kulelewa na mwanamke
Jaman samahanini kama nitakosea au kukwanza mtu.....my mother...ilianza vizuri..yenye mafunzo..ila mwatupoteza jamani mwatuekea madanga ..muda mwingi jamani😢😢😢😢
Kabisa sio madanga tu na liyoranda mda wote
@@HusnaX-u6q wanatubooo...aky juu my mother ilikuwa na mafunzo tena mazuri..ila kwa sasa havieleweki..muda wote ni madanga tu
Kweli kabisa
Hapo kweli🎉😊
Mtoe basi my mother andike my danga maana mmh mwa boo
Wow next time very good
Kwan sibo anashda gan akikutana na yolanda had ajifunge kilemba
Sibo nakupenda ❤❤
😊😊😊
Yan kinachonichekesha zaid Sebo hapendi kuambiwa ukwel 😂😂😂 maskini Jeuri 😂😂😂 akiambiwa ukwel analeta vitisho badala ya kujishughulisha
😂😂 Ukwel gani bhana
@@NyagawaEmmanuel si akiambiwa aache kuwa tegemez atafte ela anakasirika
Sebo jamani mbona vitambaa kichwani jamani hata haupendezi ila kama hauna kitambaa ukaa mwaaaaaah😂😂
🙏🙏🙏🙏
Afadhali kuishi maskini lakin hayo mawaida ya mama Warda kwa kijana yake cjapenda
Uyu chiko anajisima data eti anatamani mama yake arudi kwa Hali ya kawaida na yeye kamfanya ivo alivyo😢😢😢😢kitakukuta jambo wewe alafu mama Sibo akili hana kabisaa
Huyu wa vilemba vya nini sasa,,halaf candy keti vizuri usionyeshe maajabu 😂😂😂 ila batuli,,,!
Yan rahm yake yanamshind anaingilia ya kak ake
Mama n mama tu wallai tunafanyia mama mambo mengine lkn n lazima wasimame n Sisi thanks Sana mama bt huyo mwanao apunguze coz afanyia Zatiti.poa at all😮
Kazi nizuri sana tunawapenda wahigizaje wetu mnatupa vituvizuri sana
Yan mam sibo anamshaur mwanae kurud kwa yoland jaman pes haram mam anamshaur mwanae kudang jaman pole sibo
Asante jaman Mama Sibo anakwama tu kdg
Watu weny mam kam sibo tujuan jaman pesa balaa
😂😂 mama shida ni mjukuu wake
nna bahati kua wa 6 from Oman 🇴🇲 jaman tujuane
Mama warida huruma akili mbili jaman 😢😢😢😢
Mama sibo. naona unatetea penz la mwanao hali yakuwa si umwambie ajitahid kutafuta sasa si tukiwatafutia wanaum wanawak tutafutiwe na nani Yolanda atakisema sibo anakuwa tengemez nikwel🎉🎉🎉 Yolanda
🙌🙌
Chiko pole San huna Mke hapo huy yupo ki maslah tu
All the way from +254🇰🇪
Yani candy na sania kila mahali nyinyi ni wachepuko kweli hakuna mahali mutakuwa sawa na kutulia keeh
Zatity hongera sana 🎉🎉🎉🎉
Jaman wazazi tuwapend san
I'm the first one ❤
Asanten san busati TV kwa kutupatia mwendelezo tunawapend san wapenda wetu
Sibo ww ndo kiboko yolanda aise unampea ureally apo kwa apo😂😂😂😂ila munapendana nyie sana❤❤❤
😊😊
Sibo kavaa ushungi 😂😂😂
😂😂
Sibo yuwapenda mitandio jaman 😂😂😂😂😂😂
😂😂 ni scarf sio mtandio jaman 😂
@@NyagawaEmmanuel 🤣🤣🤣 kumbe
Kend majabu ananyenyekea thezea kupenda ww 😅😅😅😅😅❤❤
Hili batuli linajiona jirembo sanaa nongoo😏
Sibo samahan acha kuvaa herin na chen
Sawa.
Sibo naw so utoe hy skafu unaona aibu au
Nyie mnaosema sibo na hizo tqmbala zake kichwan ,kumbe hamjawah kudate na muhuni nyie yan Kila anakoenda ni hivo au provaa zenye kofia asee wanaume nyie🤣🤣
😂😂😂😂 limekukuta jambo
@@NyagawaEmmanuel acha tu kipenziii Yan ukidate na hao watu ogopaa
Hlfu kai Uwe bci kila movie una act Na zuu cz ndo unayeendana naye😂😂😂😂
Hee 😂😂Huyo mama kaona pesa kashakubali tena mwanawe awe na candy
😊😊😊
Jaman batul unatamb na pesa tambua kua pesa Bila utu Waka watu huna lolote utakalobarikiwa badilisha kauz zako kwa wakubwa japo sio mam alokuzaa unapaswa kuheshm
Zatiti hongera sana 🎉❤
Kai utakumbuka maneno ya mama, acha tamaa hiv ni vya muda tu agalia mtu sahihi kwako cyo batul 😢😢😢😢
leo nimewahi jaman 🎉🎉🎉munipee like
Leo niméwaaahi namie naombeni like
Much love from kenya 🇰🇪🇰🇪
Yani kai anapagaw na hela t na sio mapenz ya dhati pole San Kai haujataka ushauri WA mam ipo siku utajut
Pole chiko mam anaumwa ndo Kwanz mkeo anakula stareh
Sebo hiyo swaga yk yaskafu mmmmh yabooo sana
sebo umeongea vyema kabisa 😂😂😂
😊😊😊🙏🙏
Yani huy ward nay Han star
Yani hicho kishingi cha sibo kinaniuzi anakua kama mwanajeshi wa alshabab
😂😂
Yan yoland kam ndo uhalisia wko huo Allah akutangulie ubadilike
Wapendw Busat tunaisubir ep17 my mother Kila mda tuna chungulia
Good job🎉🎉🎉