Girl learn through HARD way from her dad how to run business//BabaOlivia Episode 06
HTML-код
- Опубликовано: 7 сен 2024
- #ENGLISH CAPTION AVAILABLE #Gabozigamba, anayejulikana kwa upendo kama Baba Olivia, anamfundisha binti yake Olivia sanaa ya kuendesha biashara yenye mafanikio. Tazama jinsi anavyoshiriki masomo muhimu, vidokezo vya kiutendaji, na uzoefu halisi wa maisha ili kumsaidia Olivia kuendesha ulimwengu wa ujasiriamali. Kuanzia kuanzisha duka hadi kusimamia fedha, mwongozo wa Gabozigamba ni ushahidi wa nguvu ya msaada na hekima ya wazazi.
…………………………………………….
#Gabozigamba, lovingly known as Baba Olivia, mentors his daughter Olivia in the art of running a successful business. Watch as he shares invaluable lessons, practical tips, and real-world experiences to help Olivia navigate the entrepreneurial landscape. From setting up shop to managing finances, Gabozigamba's guidance is a testament to the power of parental support and wisdom.
Don't forget to like, comment, and subscribe for more! 💪👧❤️
For business:
mwakajumbafilms@gmail.com
instagram:  / henrymwakajumba
#BusinessTips #FatherDaughterDuo #Entrepreneurship #SmallBusiness #Gabozigamba #BabaOlivia #BusinessLessons #Inspiration #FamilyBusiness #motivation
Hii ndio maana alisi ya jasiri akubaliki kwao hii movie ingechezwa ulaya ingetikisa dunia🎉 congrat my brother ur made it🎉 and keep going🧠
The chemistry between father and daughter is beyond acting❤
Absolutely ❤️
yaani tanzania nzima baada ya kanumba nilikuwa sijawai kusukia ama kuona mtu anayeweza kutunga story nzuri yenye kuvutia kama huyu jama pia wasani wake wako vizuri kwa kweli nimependezwa saana love from Australia for more nitawajulisha kwa zawaidi kuu ahsante❤
Asante ubarikiwe ❤️❤️🙏🏾
Sinime sahau kama leo Ijumaa lakini wa 18 team strong nawakilisha Oman 🎉🎉🎉
Nawakilisha 974 🇶🇦
Tupo pamoja mpka hubz zituuue team hamam😂😂😂
🤣🤣🤣mafi mushkil
Mpk ni mefeel happy tuko pamoja
@@MiriamShani karibu saham nipo
Gonga like za kutosha na kama mnataka iwe inaachiwa kila siku ,gonga like za kutosha Hapa
Kwanwew ndounaiachia
@@timebakar kama hauniamini Basi wewe waalike watu wa like za kutosha hapo
We ndo director
Jamani tukiwa wawazi kabisa hii series ya BABA OLIVIA ni nzuri sana 🔥
Viazi kwenye kuuza ilibidii awe na chakufungia kama gazeti au mfuko, pia asishike kwa mkono atumie uma kumpa mtu.kuzingatia Usafi wa mikono.
Amejufunza hapo! Asante 🙏🏾🙏🏾
wacongo tunawasapoti sana tuu nivile tu amjui gabo zigamba mad respect
Asante sana ❤️🙏🏾🙏🏾
Olivia bonge la actress , 💥💥💥🥂💥 God amsimamie industry isimvuruge mbeleni🥂🥂🥂🥂💪
🧭🤳 like zangu tafadhali jamani walau kumi maana sijawahi hata pata like.
From Mozambique 🇲🇿
Mozambique mnaongea kiswahili kumbe...ma sha Allah. Vzur
🧭🤳 tunaongea baadhi Tena sana, kuliko wa kenya.
shida ipo kwenu maana mna tutupa sana, amtu jali, ni jirani tumepakana tu mto wa Rovuma.
Olivia shujaa nipeni laik zangu japo nimechelewa
Kama tunavyoeka subra hadi tumeletewa episode ya 6 ya tamthilia yetu nzuri yenye mafunzo mazuri...basi naomba sote tuwe na subra vile vile kwenye maombi yetu kutaka kujibiwa..nawatakia siku njema na ndugu waislamu ijumaa karim inshallah❤🙏
Sawa sawa
Inshaallah
Olivia honger ni mjasiriamali wa kesho inshallah 🎉🎉
Napenda baba Olivia anavyo ishi na mwanawe in shaa Allah mwenyez mungu anijali mume atakae ishi na watoto wake kama ivi
Amiin thuma Amiin
Nakubali
Kila kipande muwe mnaweka namba ili tuvielewe
❤
HI
Nampenda sana Olivia jamani asa akiongea dah nafulai sana
Very touching episode hapo kwenye mama yupo wapi na background inaumiza kifala sana🥲🥲, i feel it. Gabo Zigamba you know what you doing bruh keep it burning may our almighty guides you Kaka.
🙏🏾🙏🏾🙏🏾❤️❤️
Olivia anajua sana ana kitu atafika mbal
Tatizo sapot ndugu sawa sawa na jamila saiv tumemsahau
Naa yulee dude mchoyoo Sanaa yeye kagaiwa chakulaa tenaa wenziwe hata kuwagaiya ndizii Moja kashindwaa
😂
😂😂😂ndo kwanza ujuwe leo
Yule bahili hata wa fadhila
ndio ushangae,hata kutoa ndizi moja ampe olivia😢😢kyaa
😂😂 ndo waja walivo
Hivi Siwezi Uziwa hii move nimalize kuangalia,,,,Hii best movie mwaka huu
Aisee nimekaa nikajua km mm wa kwnza oman team tunawakilisha
Olivia mamaaa nakupenda walah❤❤❤❤❤ muheshimu sana dady❤
Namm nataman nimlee mtot wangu kama baba Olivia 🎉
Ni kuamua tu bila kujichanganya
Hiv like mnazoziomba munazifanyia nn nipen bac na mim
Kazi nzuri sanaa kutoka kwa gabo
Sauti ya olivia naipenda😊
Hi familia ya luka jamani
hiiiii 😂😂😂😂
Gonga like basi jamani, from Mozambique ❤
🧭🤳 😂😂😂🇲🇿 imefanyaj kwani??
Hii movie Kali Sana siku zote Gabo ni mwamba Sana 🔥
Familia ya Luca wananichekesha sana wanajazana kwa baba olivia😂😂😂😂
Hii movie nzuri sana aise hongereni sana❤❤❤❤
Tupo Omani 🎉🎉tunawaona Tanzania yetu❤❤❤
❤❤❤❤
Team strong apa uko p
Kazi nzuri sana gabo inanoga na huyó mwanao raha sana
Babaangu kipenzi, baba bora sanaaaa maisha yangu yana mengi kukuelezea wewe...endelea kupumzika pema peponi❤️
RIP, ❤️❤️❤️
Wow my lovely movie❤❤❤
Baba Olivia na meanao mwanikosha😂😂 ati alikua kipofu haoni,alijuaje wauza viazi,pengine alinusa😅 🙌...bwana Luca nae na jamaa zake yani wamekula hadi kuenda shamba nibasi,khaaa! 🤣🤣🤣 mwatuburudisha na mafunzo juu Gabo na team Mungu Awaongoze
😅😅👍🏽👍🏽👍🏽🙏🏾🙏🏾
Baraka zimfikie mwanamke mzaa chema alomzaa olivia she is very bright ❤
Gabo anajua anastahili maua yake🎉🎉
Nimejisau kuomba like
😂😂😂tukikupa like unauza au 😂😂😂haya ngoja nikupe like
@@katabaroonlinetv9688 🤣🤣🤣pokea mauwa yako ⚘️⚘️
Yaaan uyu mama tina uwa anasura ya comed kabisa
Ni comedian huyo Katarina karatu
😂😂😂
Wew ACHA TU Yan najikuta nacheka tu wameuwA
Napenda sana jinsi hizi family mbili znavyoishi💐💐
Napenda anavyomuita mwanae mama
Very sweet
Olivia nampenda sana❤ ila Lucas na Katarina akili hawana😂😂😂
Background ya music iko juu kiasi wakat Olivia na Gabo wakiongea. But for sure i do appreciate watching this❤much love
Thank youu!
Greatest sina cha kusema daaah
Baba Olivia na Olivia mumeni inspire
Wow napenda sana hii series kutoka kwenye nchi yangu Tanzania 🇹🇿❤ Naitizama kutoka germany ☺️🇩🇪
Please fanyeni kidogo ndefu ndefu please 😂
Asante sana 🙏🏾🙏🏾
Best ever filamu mr gabo ur the number one actor in tz for real
A big fan from Kenya. You are one of the best actors that I have known for so long.
Nawaona watu wanavyo hangaika kutaka like mmh hemu leo nipeni like angalau 100 sijawahi kupata😂
Niliishi maisha ya olivia na babaake kasoro tu jinsia yangu daah kweli movi imechezwa.
From Bangladesh 🇧🇩
This is "Rich daddy,poor daddy" ya Tanzania. It's best movie 🍿 ever❤
Asante Sana 🙏🏾
Kuna move alafu kuna vitukooo hii ni MOVE SASA
😂
Haswaaa
Asanteni kwa muvi kali
Kama tuna kubali movie hihi like🎉
🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Olivia nakupenda n babako,mnajua pk mna jua tena ❤🎉
Huu jama Tanzania yote sijaona Actor zahidi yake.anajuwa kuigiza sana.Love from Burundi 🇧🇮 😍 ❤
Gabo samahani olivia ni mwanao samahani lakin make mnapenda sana baba na mwana❤🎉
Hapana ni kazi tu! 🙏🏾👌🏾💪🏾
KAZI nzuri yenye mafunzo mazuri,,much love from kenya
Uzul wa mwafrika anga angavu blue nyeupe
Salam nyingi kutoka kahama Tanzania
Kenya watching and love it
Olivia shukuru.babako yuakupenda san
Nzuri sana hii move big up sana Gabo
Baba Olivia umetisha
Nakubali sana
Hongeren sana move tam inafundisha inasisimua🎉
Jamani tunaomba episode ziwahi story nzuri sana
Olivia na babake tunampenda 🇰🇪🇰🇪
Napenda movie zako bwana baba olivia
Tunaomba mwendelezo wa Baba Olivia part8 nakuendelea angalau mtupe part 3 Kwa wiki
❤🎉Mpo vizuri baba olivia na team yako 🎉🎉penda shana 🌹
Jamani hii stori inanifuraisha sana 😂😂🎉🎉
Asantee ❤️❤️
Sana
Mimi napenda sana kazi za jirani yangu gabozigamba
Niceee brother🎉mwenyez mungu akutangulieee kwa kila hatuaaa,,, ina mafunzoo makubwaaaa mnooo big 🆙🤝
Asante sana! ❤️
From Kenya ❤kibaba jirani aezi achia jirani ndizi
Uyu mtoto ana kipaji kama cha jenipher kanumba na patrik namuona akiwa super ⭐wa badae ongera Gabo🎉🎉🎉
❤️
Ngonga like kama unamkubal baba oliva
😂😂😂jemsi anataka kufanya vya wakubwa kwa Oliva 😂😂
Muvi nzuri Sana jmn nimeipenda sana
Hongeren sana move tamu inasisimua🎉🎉
creativity is in you brother
Mambo ni 🔥🔥🔥🔥
mnachelewesha sana jamani
Good movie 😍😍😍😍😍 back ground music zingeku za kiswahili ingekuwa viema sana , though bado Iko sawa ,
🙏🏾🙏🏾
Lkin ni tuwimbo tuzur tu aunasisimua vp unajua jina lake haka kawimbo
@@AthumaniAlly-t7x kabisa nazipendaa
@@AthumaniAlly-t7x let's grow together 🥰🔥🔥🔥🔥🔥
DJEMBE JAMMING WITH BOMBO LEGÜERO FROM ARGENTINA TEAMruclips.net/video/-0iAGBLSTZw/видео.htmlsi=4-1IuH-ErCSx15LT
Baba Olivia wakati anaongea na mama Tina alikuwa haja chonga ndevu matina alivyo muuzi tu. Baba Olivia alivyo ingia ndani tunaonyeshwa kachonga ndevu jaman daaaah 😄😄😄✍️
Huu ni mchezo wa kuigiza hauwezi kuwa real kwa Kila kitu.
Lakini pia , maandalizi kwa maana ya muda wa kukutana location,kupitiwa kwa Editor, muingiliano wa ratiba za waigizaji.
All in all Zigamba kajitahidi sana, pia enjoy mchezo ndugu yangu usiwe serious sana
Mambo mambo nikiwakilisha south africa ❤❤❤
Sema Baba Olivia Anapenda kula kwa Jirani
Nice mrembo
Waigizaji wanapaswa kumuiga huyu Mwamba hanaga movie mbovu,,,,Kama usha wahi angalia Zouzuba Like hapa
Good vibe🎉
Babu kubwa, tupo pamoja
Hatuitendei haki hii channel viwers kibeo lkn likes wanaomaba watazamaji badala kulike hii video wapate haki yao
Napenda maisha ya olivia na baba ake ❤❤
❤️❤️
mlete mwalimu.bana we mzee
wanafaa kuish pamoja
Wa baba wote wangekuwa hivi Amn mtu asingesema nani kam baba😀☺️☺️
Tupo pamoja gabo namb one
Nakupenda bure olivia🎉🎉🎉😂😂😂❤❤❤
Olive wew ndo king 👑kwenye movie hiii nakukubali Sana jamani 💯
❤️❤️🙏🏾🙏🏾
Jamani mnakaa sana kutuletea
❤Nawafata baba
Nmeipenda jmn nawakilisha kutoka oman
Asante sana,Salamu kwa watu wa Oman 🇴🇲❤️❤️
Big fan of u gabo zigamba love u olivia big up