#live

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 фев 2025

Комментарии • 39

  • @DeborahMatiko
    @DeborahMatiko 4 часа назад +2

    Eee mungu wangunaomba kupitia kongamano hili la Leo juma pili la kuchovya miguu kwenye mafuta naomba nimubebe mume wangu tufunguliwe na kuanzia Sasa tumefunguliwa na tunaenda kubariki ndoa yetu nakufa ukiwa kiuchumi kimaendeleo mumewangu huko aliko namubebea Iman apandishwe cheo na kuongezewa mshahala nami naomba nipate nauli ya kunifikisha kawe na kurudi mungu naomba unitendee baba

  • @ChristopherRobert-h4o
    @ChristopherRobert-h4o 3 часа назад +1

    Nashukuru apostle kwa kutulea vizuri kiimani mungu ampe maisha marefu

  • @MariamoAlafu
    @MariamoAlafu 4 часа назад +2

    Amina 🤲🤲🤲🎉

  • @FARIDAKOLLA
    @FARIDAKOLLA 3 часа назад +1

    Nataka niongezewe mshahara mungu nisaidie

  • @Witnessmbifile
    @Witnessmbifile 3 часа назад +1

    Eeh mungu naomba mkomboe MMewang anijali na tufunge ndoa

  • @johfbt8869
    @johfbt8869 21 минуту назад

    Yesu endelea kutufungua Mimi na mume wangu yfamilia . wakwe zetu majirani zetu mataifa yot baba tusaidie mfalme najiunganisha

  • @Witnessmbifile
    @Witnessmbifile 3 часа назад

    Eeh yesu najiunganisha na mazabau ihi ili niweze kombolewa mim na familia yang amen

  • @Witnessmbifile
    @Witnessmbifile 3 часа назад

    Eeh yessu naomba nikomboe katika maisha yang uweze kuniondolea maden

  • @EllizabethNjau
    @EllizabethNjau 4 часа назад

    Ee MUNGU nakuomba mfunguwe mume wangu akapate kazi ambayo Ni sahihi katika maisha yake 🙏🏻

  • @victorremmy1907
    @victorremmy1907 Час назад

    Mungu naomba uniponye na magonjwa yote mwili mwangu fungua biashara yangu mwezi huu uwe wa baraka sana naomba wateja wanizid ofcn

  • @ADSONSILIVESTER
    @ADSONSILIVESTER 3 часа назад

    Ee I received in name of Jesus

  • @ZuberPendo
    @ZuberPendo 16 минут назад

    Mungu naomba nifungilie kwa jina la yesu

  • @AsiaPazi-p7u
    @AsiaPazi-p7u 3 часа назад

    Amen 🙏

  • @DeborahVincent-n2g
    @DeborahVincent-n2g 3 часа назад

    Mutume Mungu akubariki sana mim nilikuwa naumwa tumbo nilikuwa natokwa damu miezi mitatu kila siku laklni baada ya maombi ya family nimepona kabisa Asante Mungu

  • @GlorySaa-h4k
    @GlorySaa-h4k 3 часа назад

    Mungu naomba nipate mume sahii na kazi sahii niwe wa kumtukuza mungu cku zote

  • @EllizabethNjau
    @EllizabethNjau 4 часа назад

    Napoke kufunguliwa Mimi na familia yangu 🙏🏻

  • @Witnessmbifile
    @Witnessmbifile 3 часа назад

    Ee mung naomba utubadilishie maisha yetu mim na mmewangu na familia yang

  • @AsiaPazi-p7u
    @AsiaPazi-p7u 3 часа назад

    Napokea amen 🙏

  • @aminachiziamina
    @aminachiziamina 3 часа назад

    Mungu naomba unisaidie npokee .uzma biashra na nipoke anyaa

  • @Witnessmbifile
    @Witnessmbifile 3 часа назад

    Ehe yesu naomba nipate ela kiulais ya mtaji na nifungue biashala nying za aina mbali mbali

  • @JustinaCosme-m9p
    @JustinaCosme-m9p 4 часа назад

    Amém

  • @PENDOABERIMBUGI
    @PENDOABERIMBUGI 4 часа назад

    Nambuo mungu atukombowe Leo family yangu na watt wang na mme wangu pia

  • @Witnessmbifile
    @Witnessmbifile 3 часа назад

    Eeh yesu naomba uniponye kuondoa uvimbe tumbon na niwe na wateja weng kwenye biashala yang na kutufungulia kiuchumi

  • @Witnessmbifile
    @Witnessmbifile 3 часа назад

    Eeh yesu naomba niinue kiuchumi na nipate usafili wa kutembelea

  • @RehemaTeofili
    @RehemaTeofili 3 часа назад

    Napokea dabodabo kwajina layesu napokea watoto mapacha napokea kuzidiwa nawateja napokea uponyaji napokea kibali kwajina layesu

  • @Witnessmbifile
    @Witnessmbifile 3 часа назад

    Naomba nisafishie nyota yangu iweze Kung,aa na kuwa na mvuto wa biashara yangu

  • @johnlesinana-z8m
    @johnlesinana-z8m 4 часа назад

    Eee mungu naomba unipe uzao

  • @Witnessmbifile
    @Witnessmbifile 3 часа назад

    Naomba nipate wateja weng kazn kwangu

  • @agnessaimon
    @agnessaimon 46 минут назад

    Deus estou a pider dinheiro fácil pagar minha dívida fácil

  • @ngandemazora
    @ngandemazora 4 часа назад

    Naomba niponye presha kwa nguvu ya mafuta

  • @Witnessmbifile
    @Witnessmbifile 3 часа назад

    Naomba mmewang apate wateja weng na tufanikiwe kwa kila jambo

  • @SolangeKavira-q8c
    @SolangeKavira-q8c 4 часа назад

    Eemungu nipe mume sahii

  • @Witnessmbifile
    @Witnessmbifile 3 часа назад

    Eeh yesu naomba mkomboe Bibi angu uwez kumkonya awez kupona

    • @Witnessmbifile
      @Witnessmbifile 3 часа назад

      Eeh mung naomba nipate mimba na watoto wawili mapacha wakike na wakiume amen

  • @ngandemazora
    @ngandemazora 4 часа назад

    Nataka nipate Uhamisho kirahisi

  • @aminachiziamina
    @aminachiziamina 3 часа назад

    Kila mjini yalio hapa kz yalio kwetu kilayalpo ynayochexea masha yngu yanguke n ykufeee niwe huruu kwayesu

  • @Witnessmbifile
    @Witnessmbifile 3 часа назад

    Naomba yessu nikomboe nipate wacha na nijenge nyumba ya kifaali

  • @MaurícioMateusFaustinoFaustino
    @MaurícioMateusFaustinoFaustino 4 часа назад

    Mugu naomba mumewangu turidiana kwa ngufu ya mafuta na maji hee mugu nisaida 😂

  • @Witnessmbifile
    @Witnessmbifile 3 часа назад

    Mkomboe mmewang aache pombe aache zalau na awe anawai kulud nyumban