UTUKUZWE MUNGU_Kwaya ya Mt.Joseph Mfanyakazi_Kijenge Arusha

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 июл 2018
  • Huu ni Utunzi wake Edius Byarugaba, wimbo wenye jina la 'UTUKUZWE MUNGU' Ambao umeimbwa na Kwaya ya Mtakatifu Joseph Mfanyakazi kutoka Parokia ya Watakatifu Petro na Paulo, Kijenge - Arusha.
    Wimbo huu unapatikana kwenye Album yao inayoitwa 'JEMEDARI WA MBINGU'
    Usikose kujipatia nakala ya DVD hii nzuri kutoka kwao uweze kushiriki nao katika kusali na kumtukuza Mwenyezi Mungu.
    Kwa mawasiliano zaidi piga simu namba
    +255 754 962 559, +255 782 886 290, +255 768 862 897
    #kwayakatoliki
  • ВидеоклипыВидеоклипы

Комментарии • 69

  • @boniphacemkuranga4952
    @boniphacemkuranga4952 3 года назад +3

    nimebarikiwa sana Mungu awajalie mema yote katika kumtumikia

  • @philbartjoseph9219
    @philbartjoseph9219 6 лет назад +7

    Najivunia kuwa mkatoliki na najisikia raha sana ksikiliza nyimbo na uinjilishaji mzuri wa nyimbo za dini za kilomani .Mbalikiwe sana na Mungu awatangulie

  • @neystakisuda9419
    @neystakisuda9419 6 лет назад +10

    I'm proud to be Roman Catholic because it's melody always bless me, mbarikiwe waimbaji

  • @victormaisiba8237
    @victormaisiba8237 4 года назад +2

    I'm happy of you st Joseph's the worker kijembe. May God continue blessing you. So amazing

  • @victorkayanda1500
    @victorkayanda1500 5 лет назад +3

    Hakika nimefarijika sana na hii kwaya na kwa bahati nzurii nimemuona hadi classment wangu na ambaye alikuwa akinifundisha kwaya katika parokia ya nangwa mkoani manyara

  • @jacklinejeremia
    @jacklinejeremia Год назад

    Nafarijika Sana nyimbo zenu mubarikiwe

  • @georgeowino5105
    @georgeowino5105 5 лет назад +2

    Hongerini mtakatifu yosefu mfanyikazi kijenge, kwa kweli kila mara mnajitahidi, mie Br. George ( Nairobi)

  • @fidelisitarimo6014
    @fidelisitarimo6014 5 лет назад +2

    e mungu KWA kila hatua yangu ya utume Wangu nibariki bariki sauti za hawa watu kila wapazapo sauti zao tuzd kuimarika kiroho hongereni sana mungu awabariki

  • @markfrank5335
    @markfrank5335 6 лет назад +1

    sina lakusema juu ya nyimbo zenu hogereni sana mungu awabariki kwa kazi nzuri kwaya ya mt Yosefu mfanyakazi waooooooooooooooooo

  • @georgeziboni
    @georgeziboni Год назад +1

    My favourite song during corona season

  • @alphangowi6339
    @alphangowi6339 6 лет назад +3

    Hongereni sana wanakwaya wa mtakitifu Joseph kwa kazi nzur iliyotukuka mjaliwe tuzo mbinguni baada ya Maisha hapa dunian

  • @jacksonwagala3098
    @jacksonwagala3098 5 лет назад +1

    Mimi nasikiliza sauti ya 2 Daa! mnanikosha Mimi hadi raha.

  • @livinpaul6099
    @livinpaul6099 6 лет назад +1

    Amina Ray jonh ufunguo!RAJO Profuction! mt joseph mfanyakaz kijenge Arusha! Asanten sana mungu awabarik! paicel ivite!

  • @georgenganga3426
    @georgenganga3426 5 лет назад

    Wimbo chachu ya furaha ni wimbo bora zaidi...naweza pata vipi mkanda huo.......nko Kenya.

  • @shijalugiko4053
    @shijalugiko4053 5 лет назад +1

    Jina lako lisiwe na kuhimidiwa ewe uliye mbinguni

  • @psychekababa5395
    @psychekababa5395 6 лет назад +2

    I have experienced Heaven already in this beautiful well thought piece of music!
    Hongereni sana Kwaya ya Mt. Josefu Mfanyakazi na Mtunzi Edius...
    Neema na Baraka ziwashukie +

    • @angelanyanchoka9116
      @angelanyanchoka9116 5 лет назад

      Mtakatifu joseph mfanyikazi,,,congrats kabisaa,,,,,,waiting for more wonderful albums

  • @devidkingu2439
    @devidkingu2439 5 лет назад

    Nice dressing, dancing style be blessed hakika mmerejesha heshima na hadhi ya ukatoriki

  • @morrychoga3580
    @morrychoga3580 5 лет назад +1

    Kazi nzuri mungu awape nguvu tuone utukufu zaidi

  • @lidyapeter8539
    @lidyapeter8539 6 лет назад +1

    kazi nzur sana... hongeren sana kwaya ya Mt. Joseph Mfanyakazi... big up sana

  • @siphaelysulley7389
    @siphaelysulley7389 5 лет назад +1

    Mungu awajalie

  • @vckybayyo6671
    @vckybayyo6671 6 лет назад +1

    ongereni sana Joseph mfanyakaz kwa kaz nzur mungu awabariki sana

  • @leticianyato9354
    @leticianyato9354 5 лет назад +1

    Alto...aisee amazing

  • @daudikasonso6386
    @daudikasonso6386 6 лет назад +1

    In love with the song. the lyrics, melody, the singing just made it so overwhelming. @#Rajo pro congrats

  • @catherinemwende9938
    @catherinemwende9938 5 лет назад +1

    Yesu kibilio

  • @edwardkweyunga8263
    @edwardkweyunga8263 6 лет назад

    Mko vizuri sana Ufunguo kweli wewe ni ufunguo maana kila siku unafungua vitu vipya, kazi nzuri sana.

  • @hellenngwilla3593
    @hellenngwilla3593 6 лет назад +1

    Mungu awabariki sana hakika mnaimba vizuri sana

  • @thomaslusibula3664
    @thomaslusibula3664 6 лет назад +1

    mmibarki sna kila kitu kimetulia, nahtaj albam

  • @vckybayyo6671
    @vckybayyo6671 6 лет назад +1

    nakuona wa home Emmanuel peter hongera sana

  • @johnlucas8264
    @johnlucas8264 6 лет назад +5

    Naandika haya kutoka Moyoni, Rajo productions mmefanya kazi nyingi nzuri na nikiangalia wengi wanaiga kutoka kwenu. Ninyi mmenifanya niwe mtazamaji mzuri wa kazi za kikatoliki.
    Pongezi kwa wanakwaya hawa...Sauti zinasikika vizuri na uchezaji uliotulia. Namwona Mungu...Baraka tele ziwe juu yenu.

  • @nestoryyohana8972
    @nestoryyohana8972 5 лет назад +1

    Safi kabisa yaani safi kabisa

  • @benleyan
    @benleyan 6 лет назад

    Ukitaka mkanda mzuri kwa RAJO umefika. Keep it up

  • @josephinegravasiano8860
    @josephinegravasiano8860 2 года назад

    Congratulations

  • @deokessy4714
    @deokessy4714 5 лет назад +2

    Kinanda kimetendewa hak

  • @allanaugustine303
    @allanaugustine303 6 лет назад +3

    Hii kwanya kupitia wimbo huu inahitimisha fumbo takatifu la "Kanisa moja, takatifu katoliki"

  • @francisabedneco5664
    @francisabedneco5664 6 лет назад +1

    wooow....such a cool song

  • @remigiuskawala193
    @remigiuskawala193 6 лет назад +2

    Nilikuwa Arusha mwezi may 2018... nikaambiwa juu ya hii rekodi... nikasubiri kwa kiu kuu na sasa kiu imekatwa... sio tu ubora... bali ushawishi wa kipekee wa kupenda upya kazi za RC... Naiona tofauti naona tunapotaka kwenda.. excellent work Ray.. excellent sound.. excellent composition... tungo nadhifu kabisa.. Mungu awabariki wote mliotia mkono kwenye kazi hii...

  • @sonykinyonga8
    @sonykinyonga8 6 лет назад +1

    Kazi nzuri sana

  • @kapugi
    @kapugi 6 лет назад +1

    Wimbo mzuri. Hongereni

  • @user-ul6mo9nm9q
    @user-ul6mo9nm9q 5 лет назад

    Super

  • @alexshauri9190
    @alexshauri9190 6 лет назад

    Mbarikiwe wapendwa

  • @raphaelmutuku1990
    @raphaelmutuku1990 6 лет назад +1

    very cool chorus

  • @leonardboniphaci9907
    @leonardboniphaci9907 5 лет назад +1

    Kaka mbolo

  • @acadeapius4846
    @acadeapius4846 6 лет назад

    hongereni sana,mmepasua sana

  • @juliusbosqual2848
    @juliusbosqual2848 6 лет назад

    kazi nzuri sana

  • @lamecktheonest225
    @lamecktheonest225 6 лет назад

    Safi sana mtunzi

  • @agreyluanda6729
    @agreyluanda6729 6 лет назад

    Mme nibariki sana

  • @estersosi6091
    @estersosi6091 6 лет назад +1

    Wimbo mtamu

  • @marthaemmanuel3323
    @marthaemmanuel3323 6 лет назад +1

    mbarikiwe sana

  • @shijalugiko4053
    @shijalugiko4053 6 лет назад

    Amina Sana wanakwaya.

  • @nuruluvingo7356
    @nuruluvingo7356 6 лет назад

    I like the song..!

  • @shijalugiko4053
    @shijalugiko4053 6 лет назад

    Nimemuona madamu salome

  • @josephwalkerz3797
    @josephwalkerz3797 6 лет назад

    Mko juu

  • @juliaslaizer341
    @juliaslaizer341 6 лет назад +1

    Mpo vizr sana

  • @shijalugiko4053
    @shijalugiko4053 6 лет назад

    Wimbo umetulia the same to style

  • @shijalugiko4053
    @shijalugiko4053 6 лет назад

    Ray bigup

  • @leticianyato9354
    @leticianyato9354 6 лет назад +1

    wow

  • @shamimkimaro4976
    @shamimkimaro4976 6 лет назад +1

    Amen

  • @tabithanyakoa4234
    @tabithanyakoa4234 6 лет назад +1

    A men

  • @brandycrescent1208
    @brandycrescent1208 6 лет назад

    Amen