UTUKUZWE MUNGU_Kwaya ya Mt.Joseph Mfanyakazi_Kijenge Arusha
HTML-код
- Опубликовано: 30 июл 2018
- Huu ni Utunzi wake Edius Byarugaba, wimbo wenye jina la 'UTUKUZWE MUNGU' Ambao umeimbwa na Kwaya ya Mtakatifu Joseph Mfanyakazi kutoka Parokia ya Watakatifu Petro na Paulo, Kijenge - Arusha.
Wimbo huu unapatikana kwenye Album yao inayoitwa 'JEMEDARI WA MBINGU'
Usikose kujipatia nakala ya DVD hii nzuri kutoka kwao uweze kushiriki nao katika kusali na kumtukuza Mwenyezi Mungu.
Kwa mawasiliano zaidi piga simu namba
+255 754 962 559, +255 782 886 290, +255 768 862 897
#kwayakatoliki Видеоклипы
nimebarikiwa sana Mungu awajalie mema yote katika kumtumikia
Najivunia kuwa mkatoliki na najisikia raha sana ksikiliza nyimbo na uinjilishaji mzuri wa nyimbo za dini za kilomani .Mbalikiwe sana na Mungu awatangulie
I'm proud to be Roman Catholic because it's melody always bless me, mbarikiwe waimbaji
I'm happy of you st Joseph's the worker kijembe. May God continue blessing you. So amazing
Hakika nimefarijika sana na hii kwaya na kwa bahati nzurii nimemuona hadi classment wangu na ambaye alikuwa akinifundisha kwaya katika parokia ya nangwa mkoani manyara
Nafarijika Sana nyimbo zenu mubarikiwe
Hongerini mtakatifu yosefu mfanyikazi kijenge, kwa kweli kila mara mnajitahidi, mie Br. George ( Nairobi)
e mungu KWA kila hatua yangu ya utume Wangu nibariki bariki sauti za hawa watu kila wapazapo sauti zao tuzd kuimarika kiroho hongereni sana mungu awabariki
sina lakusema juu ya nyimbo zenu hogereni sana mungu awabariki kwa kazi nzuri kwaya ya mt Yosefu mfanyakazi waooooooooooooooooo
My favourite song during corona season
Hongereni sana wanakwaya wa mtakitifu Joseph kwa kazi nzur iliyotukuka mjaliwe tuzo mbinguni baada ya Maisha hapa dunian
Mimi nasikiliza sauti ya 2 Daa! mnanikosha Mimi hadi raha.
Amina Ray jonh ufunguo!RAJO Profuction! mt joseph mfanyakaz kijenge Arusha! Asanten sana mungu awabarik! paicel ivite!
Wimbo chachu ya furaha ni wimbo bora zaidi...naweza pata vipi mkanda huo.......nko Kenya.
Jina lako lisiwe na kuhimidiwa ewe uliye mbinguni
I have experienced Heaven already in this beautiful well thought piece of music!
Hongereni sana Kwaya ya Mt. Josefu Mfanyakazi na Mtunzi Edius...
Neema na Baraka ziwashukie +
Mtakatifu joseph mfanyikazi,,,congrats kabisaa,,,,,,waiting for more wonderful albums
Nice dressing, dancing style be blessed hakika mmerejesha heshima na hadhi ya ukatoriki
Kazi nzuri mungu awape nguvu tuone utukufu zaidi
kazi nzur sana... hongeren sana kwaya ya Mt. Joseph Mfanyakazi... big up sana
Mungu awajalie
ongereni sana Joseph mfanyakaz kwa kaz nzur mungu awabariki sana
Alto...aisee amazing
In love with the song. the lyrics, melody, the singing just made it so overwhelming. @#Rajo pro congrats
Yesu kibilio
Mko vizuri sana Ufunguo kweli wewe ni ufunguo maana kila siku unafungua vitu vipya, kazi nzuri sana.
Mungu awabariki sana hakika mnaimba vizuri sana
mmibarki sna kila kitu kimetulia, nahtaj albam
nakuona wa home Emmanuel peter hongera sana
Naandika haya kutoka Moyoni, Rajo productions mmefanya kazi nyingi nzuri na nikiangalia wengi wanaiga kutoka kwenu. Ninyi mmenifanya niwe mtazamaji mzuri wa kazi za kikatoliki.
Pongezi kwa wanakwaya hawa...Sauti zinasikika vizuri na uchezaji uliotulia. Namwona Mungu...Baraka tele ziwe juu yenu.
Mungu awazidishie baraka tele waimbaji.
Safi kabisa yaani safi kabisa
Ukitaka mkanda mzuri kwa RAJO umefika. Keep it up
Congratulations
Kinanda kimetendewa hak
Hii kwanya kupitia wimbo huu inahitimisha fumbo takatifu la "Kanisa moja, takatifu katoliki"
wooow....such a cool song
Nilikuwa Arusha mwezi may 2018... nikaambiwa juu ya hii rekodi... nikasubiri kwa kiu kuu na sasa kiu imekatwa... sio tu ubora... bali ushawishi wa kipekee wa kupenda upya kazi za RC... Naiona tofauti naona tunapotaka kwenda.. excellent work Ray.. excellent sound.. excellent composition... tungo nadhifu kabisa.. Mungu awabariki wote mliotia mkono kwenye kazi hii...
Remigius Kawala
I'm proud to be a Roman Catholic believe very interesting song he blessed
Nice dressed
Kazi nzuri sana
Wimbo mzuri. Hongereni
I like it because the meaning of music is there
Super
Mbarikiwe wapendwa
very cool chorus
Kaka mbolo
hongereni sana,mmepasua sana
Nmebarikiwa sana Mungu azidi kuwapaisha
kazi nzuri sana
Safi sana mtunzi
Mme nibariki sana
Wimbo mtamu
mbarikiwe sana
Amina Sana wanakwaya.
I like the song..!
nyimbo nzur sanaaa Mungu awabariki
Nimemuona madamu salome
Mko juu
Mpo vizr sana
Wimbo umetulia the same to style
Ray bigup
wow
Amen
A men
Amen
Hongereni sana nimen
da stail yenu nzuri mnanikumbusha miaka ya 1980 hivi
Amen