Jacob polee ndugu yangu...kwa sababu umefanya maamuz pacpo kufanya uchunguz wa kiloho jacob maamuz nimabaya endapo utaamua bila kumshilikisha mungu mwenyewe...uliamua kimwili naco kiloho mungu akuhurumie...
sh.mazinge na wenzake wote katikaa daawah mungu awajaalie afya njema na janaatul firdauss kutoa mtu kwa giza kumleta kwa nuru yataka moyoo sanaa jazakallah kheir mashekhee
MashaAllah ndugu yetu mazinge katika imani kwakazi nzuri unayoifanya Allah Akujaliee kila lilo la Heri Akujaliee Afya njema na Akujaliee umri mrefu Aminaaa
Mashaallah, wakristo mmepotoka mnasema yesu ndo mungu wenu sasa mungu wenu kafa msalabani. Hivi sasa dunia imebaki na nani. Rudini ktk dini ya haki msijidanganye.
Neema Nitu JINA lako zuri waitwa Neema vp upo nje ya Neema ya Mungu, YESU aliye hai wamkana Leo, yeye atakaekuja kuwahukumu waliohai na wafu, tena hakuna mtu wa dini yeyote anaebisha kuhusu kurudi kwa YESU hata wahuni wanaosema atakuja kuoa hawasemi kwa sasa yupo wapi
Sheikh Suleiman Mazinge Allah akubariki sana ..uishi miaka mingi yenye Kheri na baraka tele ili uendelee kutoa dawa na kuwasilimisha makafiri... #proudbemuslim
Huyu Yohana muongo sana na mpindisha aya,Mtume alirogwa mara moja sio katika maisha yake yote tangu azaliwe. Huyu bwege sana.mazinge Mungu akulinde na akupe maisha marefu.
Mkombozi Athumani mtu hajulikani kabisa kwenye kundi la mitume na manabii ambao Mungu aliwatuma kwaajili ya wana waisrael sasa vipi atajwe ana fungu gani katika israel
asalam alaykum sheikh mungu akupe maisha marefu uendelee kuwafungua hawa wajinga ili waje kwenye njia ya haki mungu akupe maisha marefu sheikh inshaallah
Bwana yesu asifiwe amen kwanza ninaomba katika jina la yesu nakomba yesu umwage damu Yako kwa watu wote duniani iliwaweze kufunuliwa macho yao fahamu zao waweze kuona,kusikia wafunguliwe katika vifuniko vyote vya shetani na majini yote yaliyo katika vitengo mbalimbali vyakuwapotosha binadamu ili wasijue ukweli ulioyo kweli naamini haya katika jina la yesu kristo amina swali langu kwa waislam wote mtueleze wapi huyo Muhammad anaye jiita mtume WA mwisho yaani masiha swali langu Sasa kama yeye ni masiha wapi alifanya Mambo yaliyotabiliwa kufanywa na masiha yaani kuponya, wapi aliponya, wapi alifufua kama ilivyo tabiliwa masiha ? wapi nataka jibu
kweli kabisa hapa ni kazi ngumu sana sheikh mazinge mungu akubarik na akulinde na mahasid wote hao utabishananaooo mpaka nahawatokubal mung atakuwezesha kwakila jambo insgaAllah
mwisho WA manabii maanayake no masiha kwa huyo Mohammed masiha?????? masiha ktk Hadith alivyooa aliruhusiwa pekee kuoa hao wanawake peke take mungu awafungue macho shetani,jini wote mapepo ujuzi wote elimu zote majini nikweli majini yana uhamu elimu nyingi na kunavitabu vingi vya elimu hizo
ndugu zangu mungu alisema nitafute kama kweli unataka ukweli sali kutoka ktk Moto wako muulize atakujibu utajua ukweli mungu tu ndiye atakujibu mtume hawezi kukujibu ala hawezi kukujibu NG'o kwanini jubu unalo ala ni shetani ametengeza Dini aabudiwe kama mungu
Mchungaji Yahay kwanza ni Genius akienda kwenye maiki haendi na vikaratasi Korani yote imo kichwani na hoja zake ni za maandiko Big up sana mchungaji uislam haueleweki
tatizo.wakiristo. wanadanganywaa.tuuu wao.hawana kubishaa kila kitu Kwao nindiyo huyo pasta anabadilisha mamboo tu wao wanafurahiya tu nishida manzinge Allah akuongonzee Maisha marefu kwauwenzoo wake waerimishe wafahamu
itakuwaje waislaam wakifundisha kuwa mwanaume akiamini maandiko peke yake itakuwa ngazi pia yakuwapeleka wake zao peponi! wakati tunajuwa kila mtu atalipwa kutokana na matendo yake mwenyewe, hayo yakwenda peponi na wake je na kama mke hatokuwa ametii amri za Mungu? atalazimishwa kumfuata mume aliyo tii peponi. !!!!
Huwez kumjua Mungu wa kweli kwa style hiyo. Sidhan kama mnajua mnachokifanya. Huwez kumjua Mungu kusoma vitabu vya dini pekee. Ni lazima uende zaid ya hapo. Maana hata waliondika hayo maandiko nao hawajajua kila kitu kuhusu Mungu. Huwez kuujua ukweli kwa kubishana hivyo.
Mhh babu tafaaa waislam duniani hatumfati Yesu usidanganye watu.. sisi tunamfata Allah naMuhammad mjumbe wake kwa mafundisho sahihi ya Qur-An... yesu ni Nabii Issa..ambaye si Mungu wala Simwana WaMungu..
+Akasha mbona mumeikata jamani ama hapo ndio mwisho????? Mazinge na wahadhir wote wanaoipeleka mbele daawah sisi hatuna lakuwalipa ila kuwaomboa kwake Allah tabaraka wata'aala kuwapa nguvu na afya njema kila siku muendelee kuipigania dini yake kwani iyo ndio biashara bora mbele zake Allah azzah wajala..........Allah awakinge na husda,,,,maovu na yale yote ambayo makafiri wanakutendeeni........awajaalieni na aajalie waislamu wote shahada mbele ya mauti...raha ndani ya qabri atukinge na shari za dunia na za kaburi na atukinge na adhabu za moto na atujaalie pepo yake firdhaus kuwa makaazi yetu AMIYN THUMA AMIYN
Yaani nyie munasumbuliwa namapepo ya uzinzi bibilia ilasema mbinguni hakuna kuoa wala kuolewa wote tutabadilishwa na kufanana na Yesu atakapo dhihilishwa kwanza mute alikuwa mzinzi aliowa idadi yawanawake zaidi ya idadi mulio amuliwa nahayo mapepo yenu ety ni mungu wenu
Inatakiwa Shekhe atembeze na fimbo. Mana watu wanajibiwa swali ekesha wanarejea hilohilo. Ekesha kitu kingine nilichokipima mm hawa Mapastor ukosefu wa kutokujuwa kiswahili fasagha. Mana hawajui maana ya kuchaguliwa wala kutumwa. Au kama wanafahamu basi itakuwa wanataka watu wawaone kama wasomi na majibu wanayojibiwa sio sahihi. Au hawakubali kushindwa na kama hawakubali kushindwa,unaambiwa siku zote asiekubali kushindwa sio mshindani.! Au kama vp kaeni hivohivo na ukafiri wenu ipo siku ndo mtamjua M/mungu ni nani.? Mana siku zote unaambiwa kuku wako mwenyewe umshikie manati yanini. Wee muache aruke rukee jioni akiingia bandani tu unamkamata. Ndo M/mungu nyinyi anakufanyeni kama kuku tu ipo siku mkifika mbele yake ndo mtamjua kama Mungu ni nani..?
Wakristo hawana hoja wala Mungu, Mungu wao ni mzungu na wakati hata mtume mmoja hakuna aliekua mzungu vp watakua na dini jaman acheni mchezo kuna kufa na kufufuliwa na kulipwa
@@evalineakuku590 hata Mazinge alikua mkiristo tena Mwenye cheo kikubwa amemfuata Mtume Muhammad rehma na amani ziwe juu yake. Sasa rudia uliyoyandika uone kama yanaingia akilini
Nabii issa bin mariam (yesu) alitumwa kwaajili ya wana wa israel (taifa la israel) ila mtume wa umma wote ni mtume MohammaD (s. A. W) wakiristo mtambue kwamba yesu hawahusu msiwe na shobo
Huyu Yohana muongo na anabadilisha maneno. Mazinge kasema padri kathibitisha utume wa Muhammad, Yohana anasema ati padri kampa utume Muhammad. Yaani muongoooo.Hiyo aya 25:5 ni maneno ya makafiri ambayi huyu Yohana kakwepa kusema "walisema" neno la kwanza ktk aya. Yaani muongo sana na tapering wa aya
Wewe mazinge Allah akujalie
Wewe ulinifanya nikawa mwislamu hivi Sasa mimi ni mwislamu mgeni mashallah
Alhamdulilah allah kakuongoza
mash allh
Mashaallah
Jacob polee ndugu yangu...kwa sababu umefanya maamuz pacpo kufanya uchunguz wa kiloho jacob maamuz nimabaya endapo utaamua bila kumshilikisha mungu mwenyewe...uliamua kimwili naco kiloho mungu akuhurumie...
@@martinibrahim8966 mungu akuhurumie wewe usiejielewa
Masha Allah mungu akuzdishie umri mlefu sheikh mzinge inshallah
sh.mazinge na wenzake wote katikaa daawah mungu awajaalie afya njema na janaatul firdauss kutoa mtu kwa giza kumleta kwa nuru yataka moyoo sanaa jazakallah kheir mashekhee
seif ali , allahumma amiiiin
Aamiin yarrab
HKun MTU anayewapoteza watu kama mazinge badilika hakun ukweli wowote kwenye uisilamu labda majini
Shetan amewapote waislamu
Hiyo ndo nuru shauri yenu
Allah barik Mazinge mlinde na umtimie malaika 70 wamlinde kwa kila hila .amin
Bro si malaika 70 nimeongeza elfu 70,000
Hii kazi ambayo mazinge ya fanya halipwi na mtu na ni kazi gumu sana tumuombe mwenyezi mungu amtie janatul fardoss
+Kuku Bataa AMIIINA
Allahuma ameen
amin yaraab
aaamin
Aameen
Mashallaah Allaah akuzidishie sana mazinge uzid kuutetea uislam Allaah azidi kukup afya na baraq tele inshallaah
Mashallah mazinge ALLAH akupe moyo uendelee kuwapa dawa makafiri waweze ingia dini ya HAKI IN SHA ALLAH
Hamna dini ya mauzauza
mashaallah!!! sio mchezo shekh Mazinge uko juu!!! Allah akuhifadhi sana sana!. mabruk yako.
mola akulipe kheir na akujalie pepo mazinge inshallah kwa kazi njema
May Allah protect you with your work until the day of judgement sheikh mazinge
Farouq Isra mashalaah
MashaAllah ndugu yetu mazinge katika imani kwakazi nzuri unayoifanya Allah Akujaliee kila lilo la Heri Akujaliee Afya njema na Akujaliee umri mrefu Aminaaa
Mashaallah, wakristo mmepotoka mnasema yesu ndo mungu wenu sasa mungu wenu kafa msalabani. Hivi sasa dunia imebaki na nani. Rudini ktk dini ya haki msijidanganye.
Tahila wewe.. kafa kafufuka...mtume kafa mazima
Neema Nitu
Usihukumu mungu ndo Anajua ss wote niwake coz kila MTU na Imani Yake
Neema Nitu JINA lako zuri waitwa Neema vp upo nje ya Neema ya Mungu, YESU aliye hai wamkana Leo, yeye atakaekuja kuwahukumu waliohai na wafu, tena hakuna mtu wa dini yeyote anaebisha kuhusu kurudi kwa YESU hata wahuni wanaosema atakuja kuoa hawasemi kwa sasa yupo wapi
Shekh mazinge unahoja konk maashaallah.
nafuraia sana zaid ya sana kusikia ukwel wa mambo najivunia kua muislam
Arran
at fan Omar
Wslm alkum ' ndugu wslm? wkrsto wbshna bure,lkn dini n moja na ni ya khislm,Allah Akbar!!!......
Wewe Kama Mimi uko juu tu san
mashaallah shekh mazinge allah akuzidishie umri
Yesu ni njia ndugu yangu
Gideoni Mathew ni njia yakwwndea wapi?
Aameen @ siz jamila
Nas zaim
Allah akulipe sheikh wangu.
MashaAllah mazinge wape vitu
Sh. Mazinge allah akuongezee umri mrefu innshaallah uzidi kuwaelimisha hao makafili
I'm proud to be a Christian
Allah awabashirie jannatul firdaus mashehe wapenzi
Mazinge nikiboko ww ninomaa sanaaa unajua
Ameen thumma Ameen
Munira Yusra
dah shekh wetu Alla akulinde na mikafiri isio elewa
Sheikh Suleiman Mazinge Allah akubariki sana ..uishi miaka mingi yenye Kheri na baraka tele ili uendelee kutoa dawa na kuwasilimisha makafiri...
#proudbemuslim
Kwalipi?
Mbariki kwalipi
Yohana, utukufu wa Mungu uwe juu yako daima.
Yesu alisema chunganeni na mmtume wa uongo Mohammad
No s ok pg
mashallah tabaraka allah mola akupe umri mrefu ustadh mazinge kwa kutangaza dini ya haki hawakuezi
Allah akubariki Sheikh Mazinge.
Am proud to be chiristianity thanks Lord 😘😘😘
Nenda kwa Mfalme Zumaridi mungu mpya wa wakristo
Allah atakulipa InshaAllah sh. Maxinge
Yesu na Muhammad wapi na wapi!
Muhammad hana sifa za utume.
mash Allah hadi raha mazinge utabaki kuwa juu, juu mawinguniii
mazinge wape maneno yahaki
Mungu akuweke shekhe wetu
Mazinge ana confidence anaijua biblia kuliko wenyewe
Kweli wakriso hawana dini
Wawana din kwa maneno ya mazinge, nakuonea huruma
Dini pekee ni uislam
Bastard
Yesu ni Mungu cio kuabudu mitume iliyorogwa
jazaka llah khair kwa hizi video baraka Allah feek, iko part C?
hawa wamepoteya njiya allah atawaongoza inshaallah
Masha allah
Sheakh Mazinge mungu akulinde kwa Maisha yako
Mazinge umekula kibano mpaka kijasho chakutoka pole sana njoo kwa Yesu ubatizwe wachana na mtume wa uongo
Km ni muongo ,subiria hapo siku utakayotolew roho ndo utajua km ni muongo au mkweli
hata Mimi namwo mbea dua afanye kazi vizuri Achivanejaphary
Hongera ustadh Mazinnge Allah akuzidishie umri upate elimisha makafiri Aamin
Alhamdulillah nimeingia kwa dini ya haki nikatoka uko kwa wakristo
Huyu Yohana muongo sana na mpindisha aya,Mtume alirogwa mara moja sio katika maisha yake yote tangu azaliwe. Huyu bwege sana.mazinge Mungu akulinde na akupe maisha marefu.
acha matusi basi
@@gregolyhaule6928 mtu anaesimama mbele ya hadhara kwa nia ya kupotisha waumini kwa kutumia uongo anastahili zaidi ya hiyo
@@gregolyhaule6928 mtu anaesimama mbele ya watu anasema uongo au kumkadhibisha mtu mkweli, anastahili nini?
Hakuna mwenye kutoa haki bari mwenyezi mungu tu Alie mbinguni
May Allah protect you shekh Mazinge
mazinge juu
wewe bwana Yahya unalazimisha neno kuchaguliwa kiukweli hujui kiswahili
mazinge oyee
Kweli waislam Hamna hoja mpaka mwalim wenu anaulizia muda ya point zimeisha mpaka kila time anaulizia muda
Waislam wote naomba muache mbwembwe zenu za majini,HEBU soma Biblia 1Yohana 5:18-21 amen.
wakristo ni wacheza dance tu hawana dini
Wewe kumbe unajua zaidi
Uko saw bro
Kapime ufahamu wako milembe
Mkombozi Athumani mtu hajulikani kabisa kwenye kundi la mitume na manabii ambao Mungu aliwatuma kwaajili ya wana waisrael sasa vipi atajwe ana fungu gani katika israel
yn mazinge amekaa kibabe😂😂😂
Ubarikiwe Mtumishi wa Baba. Mungu akuwezeshe kuisema kweli. Kweli humweka MTU kua huruuuuu
Mtume wa mungu kalogwa na binadamu hiii kali sana ikiwa ndio hivyo basi musa angelogwa na wachawi wa misri
AllaH akupe afya Sheikh wetu wallah kuelimisha kafiri ni kazi kubwa
asalam alaykum sheikh mungu akupe maisha marefu uendelee kuwafungua hawa wajinga ili waje kwenye njia ya haki mungu akupe maisha marefu sheikh inshaallah
Bwana yesu asifiwe amen kwanza ninaomba katika jina la yesu nakomba yesu umwage damu Yako kwa watu wote duniani iliwaweze kufunuliwa macho yao fahamu zao waweze kuona,kusikia wafunguliwe katika vifuniko vyote vya shetani na majini yote yaliyo katika vitengo mbalimbali vyakuwapotosha binadamu ili wasijue ukweli ulioyo kweli
naamini haya katika jina la yesu kristo amina
swali langu kwa waislam wote mtueleze wapi huyo Muhammad anaye jiita mtume WA mwisho yaani masiha swali langu Sasa kama yeye ni masiha wapi alifanya Mambo yaliyotabiliwa kufanywa na masiha yaani kuponya, wapi aliponya, wapi alifufua kama ilivyo tabiliwa masiha ? wapi nataka jibu
pierremira seng
Wacha hizo soma maandiko mjomba
Utakuwa lini na utajitambua lin?
Masiha sio Muhammad masiha atakuja karibu ya dunia kuisha
kweli kabisa hapa ni kazi ngumu sana sheikh mazinge mungu akubarik na akulinde na mahasid wote hao utabishananaooo mpaka nahawatokubal
mung atakuwezesha kwakila jambo insgaAllah
mwisho WA manabii maanayake no masiha kwa huyo Mohammed masiha?????? masiha ktk Hadith alivyooa aliruhusiwa pekee kuoa hao wanawake peke take mungu awafungue macho shetani,jini wote mapepo ujuzi wote elimu zote majini nikweli majini yana uhamu elimu nyingi na kunavitabu vingi vya elimu hizo
ndugu zangu mungu alisema nitafute kama kweli unataka ukweli sali kutoka ktk Moto wako muulize atakujibu utajua ukweli mungu tu ndiye atakujibu mtume hawezi kukujibu ala hawezi kukujibu NG'o kwanini jubu unalo ala ni shetani ametengeza Dini aabudiwe kama mungu
ILA 😂😂😂😂 Mazinge Kwa kuzuga sasa hapo alikua anajifutafuta nini kwenye domo lake😂😂😂 zee zima akili halina
Mchungaji Yahay kwanza ni Genius akienda kwenye maiki haendi na vikaratasi Korani yote imo kichwani na hoja zake ni za maandiko Big up sana mchungaji uislam haueleweki
USIMSIFIE MTU AANZA KWANZA WEWE MWENYEWE HUJUI MOYONI MWAKE ANAMUAMINI NANI!!!
Pole Sana hujielew ww
Hakuna kafiri anaeweza kuhifadhi kitabu kitukufu coran, hamjielewi nyie 🤣🤣🤣😂😂😂😂
ww kwel ni tahira hauon huyo mchungaji ana karatasi hapo unatia huruma kweli
section c iko wapi jamani nakosa mauthamu
Najivunia kuwa muislamu pia naamini uislamu ndio dini ya khaq kwa mungu
Hivi nyinyi mmelishwa nni na majin rafiki zenu...yamewahalbu ubongo wenu hamna mnalofikilia zaid
Pole YESU KRISTO AKUSAIDIE
Uislam dn ya haki
Allah akupe nguvu sheikh mazinge na akujaalie kila la kheri ktk safari ya kuutangaza na kuunyanyua uislamu
Allah bariki KAZI zamazinge namwisho mpe popo ya firdaus
mungu akuweke mazinge inshaalwa
Mashaallah tabaraka llahu
Mchaji Mungu hawezi logwa
Good affect
Alahu akbaru ewe mungu mlinde ndugu mazinge kwakuwafahamisha hao makafir
Hasbunallah waneemalwakili
Mwalimu Yohana ukafiri umekutawala.Mungu akuongoze akupe nuru ya uislamu, hakika uko katika upotovu.
Kwenye uisilamu hakuna nuru ni upotofuu
aaamin thuma amini
Wachungaji Mungu awalinde huu mjadala mazinge kashindwa kumtetea Mohamed.
Mazinge hajui kuitetea uislam Kwa hoja yeye hua anajipiga kifua Tu,
Tumia akili
@@selemanishabani6843 Hamna cha akili hapo tunahoji mtu kulingana na uwezo wake wa kujadhili mambo.
Kataa muhammad pamoja na bibilia..usitumie akili yako ya ziada...kama muhammad wa kukataliwa toa hoja
Mashaallaaah UST mazinge
mazinge kiboko yao
si kweli
Wewe mwanaume kamili
Kwan mohamad mtu me?
tatizo.wakiristo. wanadanganywaa.tuuu wao.hawana kubishaa kila kitu Kwao nindiyo huyo pasta anabadilisha mamboo tu wao wanafurahiya tu nishida manzinge Allah akuongonzee Maisha marefu kwauwenzoo wake waerimishe wafahamu
Mazinge juu.
y
Mesaid Tsozi
Juu zaidi
itakuwaje waislaam wakifundisha kuwa mwanaume akiamini maandiko peke yake itakuwa ngazi pia yakuwapeleka wake zao peponi! wakati tunajuwa kila mtu atalipwa kutokana na matendo yake mwenyewe, hayo yakwenda peponi na wake je na kama mke hatokuwa ametii amri za Mungu? atalazimishwa kumfuata mume aliyo tii peponi. !!!!
Rosi Mbonankira
Me christ Jesus my way always
yesu ndiye mulango wa uzima si muhamed muhamed baba wa kuzimu
Huwez kumjua Mungu wa kweli kwa style hiyo. Sidhan kama mnajua mnachokifanya. Huwez kumjua Mungu kusoma vitabu vya dini pekee. Ni lazima uende zaid ya hapo. Maana hata waliondika hayo maandiko nao hawajajua kila kitu kuhusu Mungu. Huwez kuujua ukweli kwa kubishana hivyo.
Mhh babu tafaaa waislam duniani hatumfati Yesu usidanganye watu.. sisi tunamfata Allah naMuhammad mjumbe wake kwa mafundisho sahihi ya Qur-An... yesu ni Nabii Issa..ambaye si Mungu wala Simwana WaMungu..
Barikiwa Mchungaji
+Akasha mbona mumeikata jamani ama hapo ndio mwisho?????
Mazinge na wahadhir wote wanaoipeleka mbele daawah sisi hatuna lakuwalipa ila kuwaomboa kwake Allah tabaraka wata'aala kuwapa nguvu na afya njema kila siku muendelee kuipigania dini yake kwani iyo ndio biashara bora mbele zake Allah azzah wajala..........Allah awakinge na husda,,,,maovu na yale yote ambayo makafiri wanakutendeeni........awajaalieni na aajalie waislamu wote shahada mbele ya mauti...raha ndani ya qabri atukinge na shari za dunia na za kaburi na atukinge na adhabu za moto na atujaalie pepo yake firdhaus kuwa makaazi yetu AMIYN THUMA AMIYN
Hizi ndizo video ninazo zitaka mama
mashallah mazinge
Yesu. Ni Bwana
Nany mtaijua kwel nanyi itawaweka huruuuu
Mashaallah
Yaani nyie munasumbuliwa namapepo ya uzinzi bibilia ilasema mbinguni hakuna kuoa wala kuolewa wote tutabadilishwa na kufanana na Yesu atakapo dhihilishwa kwanza mute alikuwa mzinzi aliowa idadi yawanawake zaidi ya idadi mulio amuliwa nahayo mapepo yenu ety ni mungu wenu
tunachotafuta ni kwenda kwa mungu ila kwa mafundisho ya wakristo ukifatiria hakuna kitu mala yesu mungu mala sasa mungu anakufa
aaa bora ushindane na wote si mazingee mazinge anaelimu
Kweli anayo zaidi ya wakristo wote
hata Mimi namwo mbea dua afanye kazi vizuri
Inatakiwa Shekhe atembeze na fimbo.
Mana watu wanajibiwa swali ekesha wanarejea hilohilo.
Ekesha kitu kingine nilichokipima mm hawa Mapastor ukosefu wa kutokujuwa kiswahili fasagha.
Mana hawajui maana ya kuchaguliwa wala kutumwa.
Au kama wanafahamu basi itakuwa wanataka watu wawaone kama wasomi na majibu wanayojibiwa sio sahihi.
Au hawakubali kushindwa na kama hawakubali kushindwa,unaambiwa siku zote asiekubali kushindwa sio mshindani.!
Au kama vp kaeni hivohivo na ukafiri wenu ipo siku ndo mtamjua M/mungu ni nani.?
Mana siku zote unaambiwa kuku wako mwenyewe umshikie manati yanini.
Wee muache aruke rukee jioni akiingia bandani tu unamkamata.
Ndo M/mungu nyinyi anakufanyeni kama kuku tu ipo siku mkifika mbele yake ndo mtamjua kama Mungu ni nani..?
Vzztzzzu
hahahah fimboooo tena
😂😂😂😂
Wakristo hawana hoja wala Mungu, Mungu wao ni mzungu na wakati hata mtume mmoja hakuna aliekua mzungu vp watakua na dini jaman acheni mchezo kuna kufa na kufufuliwa na kulipwa
..wakristo hawawezi kitu...hawamfuati YESU watamfuata MUHAMMAD..?...wanapelekwapelekwa tu...
Suma Lago hakuna mkristo atamufuata muhamedi
Ukilisto ni upotevu
@@evalineakuku590 hata Mazinge alikua mkiristo tena Mwenye cheo kikubwa amemfuata Mtume Muhammad rehma na amani ziwe juu yake. Sasa rudia uliyoyandika uone kama yanaingia akilini
Nakubali Sana mazinge
Nabii issa bin mariam (yesu) alitumwa kwaajili ya wana wa israel (taifa la israel) ila mtume wa umma wote ni mtume MohammaD (s. A. W) wakiristo mtambue kwamba yesu hawahusu msiwe na shobo
Huyu Yohana muongo na anabadilisha maneno. Mazinge kasema padri kathibitisha utume wa Muhammad, Yohana anasema ati padri kampa utume Muhammad. Yaani muongoooo.Hiyo aya 25:5 ni maneno ya makafiri ambayi huyu Yohana kakwepa kusema "walisema" neno la kwanza ktk aya. Yaani muongo sana na tapering wa aya
mazinge kiboko yao kama kawaida.
Mazinge ww kiboko