(B) 060 HABIB MAZINGE Vs MCHUNGAJI YAHYA | NANI KAMPA NABII MUHAMMAD UTUME (SOUTH AFRIKA 2014)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 окт 2024
  • AKASHA DAAWAH CHANNEL

Комментарии • 441

  • @abdallahmseven600
    @abdallahmseven600 5 лет назад +57

    Wewe mazinge Allah akujalie
    Wewe ulinifanya nikawa mwislamu hivi Sasa mimi ni mwislamu mgeni mashallah

    • @mbalahdejr4277
      @mbalahdejr4277 5 лет назад +3

      Alhamdulilah allah kakuongoza

    • @brothertamiim1930
      @brothertamiim1930 5 лет назад +1

      mash allh

    • @malikiakimwera9524
      @malikiakimwera9524 5 лет назад +2

      Mashaallah

    • @martinibrahim8966
      @martinibrahim8966 5 лет назад

      Jacob polee ndugu yangu...kwa sababu umefanya maamuz pacpo kufanya uchunguz wa kiloho jacob maamuz nimabaya endapo utaamua bila kumshilikisha mungu mwenyewe...uliamua kimwili naco kiloho mungu akuhurumie...

    • @hajrakassim2945
      @hajrakassim2945 5 лет назад +3

      @@martinibrahim8966 mungu akuhurumie wewe usiejielewa

  • @hassanmpwepwe3826
    @hassanmpwepwe3826 5 лет назад +14

    Masha Allah mungu akuzdishie umri mlefu sheikh mzinge inshallah

  • @seifali5973
    @seifali5973 8 лет назад +44

    sh.mazinge na wenzake wote katikaa daawah mungu awajaalie afya njema na janaatul firdauss kutoa mtu kwa giza kumleta kwa nuru yataka moyoo sanaa jazakallah kheir mashekhee

  • @rukybaribari6883
    @rukybaribari6883 8 лет назад +36

    Allah barik Mazinge mlinde na umtimie malaika 70 wamlinde kwa kila hila .amin

  • @kinglionist1331
    @kinglionist1331 9 лет назад +88

    Hii kazi ambayo mazinge ya fanya halipwi na mtu na ni kazi gumu sana tumuombe mwenyezi mungu amtie janatul fardoss

  • @nadyajuma4108
    @nadyajuma4108 7 лет назад +14

    Mashallaah Allaah akuzidishie sana mazinge uzid kuutetea uislam Allaah azidi kukup afya na baraq tele inshallaah

  • @naimakhalfani8139
    @naimakhalfani8139 5 лет назад +5

    Mashallah mazinge ALLAH akupe moyo uendelee kuwapa dawa makafiri waweze ingia dini ya HAKI IN SHA ALLAH

  • @salmaathman1973
    @salmaathman1973 8 лет назад +17

    mashaallah!!! sio mchezo shekh Mazinge uko juu!!! Allah akuhifadhi sana sana!. mabruk yako.

  • @fatmabakari545
    @fatmabakari545 8 лет назад +11

    mola akulipe kheir na akujalie pepo mazinge inshallah kwa kazi njema

  • @farouqisra6502
    @farouqisra6502 6 лет назад +13

    May Allah protect you with your work until the day of judgement sheikh mazinge

  • @jumannemashaka9439
    @jumannemashaka9439 5 лет назад +3

    MashaAllah ndugu yetu mazinge katika imani kwakazi nzuri unayoifanya Allah Akujaliee kila lilo la Heri Akujaliee Afya njema na Akujaliee umri mrefu Aminaaa

  • @neemanitu7522
    @neemanitu7522 5 лет назад +12

    Mashaallah, wakristo mmepotoka mnasema yesu ndo mungu wenu sasa mungu wenu kafa msalabani. Hivi sasa dunia imebaki na nani. Rudini ktk dini ya haki msijidanganye.

    • @rassanleezedon6861
      @rassanleezedon6861 5 лет назад +1

      Tahila wewe.. kafa kafufuka...mtume kafa mazima

    • @aivanimaedard6314
      @aivanimaedard6314 5 лет назад

      Neema Nitu
      Usihukumu mungu ndo Anajua ss wote niwake coz kila MTU na Imani Yake

    • @frankjohn8570
      @frankjohn8570 5 лет назад

      Neema Nitu JINA lako zuri waitwa Neema vp upo nje ya Neema ya Mungu, YESU aliye hai wamkana Leo, yeye atakaekuja kuwahukumu waliohai na wafu, tena hakuna mtu wa dini yeyote anaebisha kuhusu kurudi kwa YESU hata wahuni wanaosema atakuja kuoa hawasemi kwa sasa yupo wapi

  • @alhajiomary2294
    @alhajiomary2294 5 лет назад +8

    Shekh mazinge unahoja konk maashaallah.

  • @alfanomar242
    @alfanomar242 7 лет назад +32

    nafuraia sana zaid ya sana kusikia ukwel wa mambo najivunia kua muislam

  • @jamilaallyally2411
    @jamilaallyally2411 8 лет назад +32

    mashaallah shekh mazinge allah akuzidishie umri

  • @jafarisintoo3743
    @jafarisintoo3743 5 лет назад +5

    Allah akulipe sheikh wangu.

  • @omargbabagbaba4231
    @omargbabagbaba4231 8 лет назад +12

    MashaAllah mazinge wape vitu

  • @zawadally9097
    @zawadally9097 5 лет назад +11

    Sh. Mazinge allah akuongezee umri mrefu innshaallah uzidi kuwaelimisha hao makafili

  • @reubenngonyo1308
    @reubenngonyo1308 2 года назад +4

    I'm proud to be a Christian

  • @fahadorkholam7376
    @fahadorkholam7376 5 лет назад +4

    Allah awabashirie jannatul firdaus mashehe wapenzi

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 5 лет назад +6

    Mazinge nikiboko ww ninomaa sanaaa unajua

  • @munirayusra91
    @munirayusra91 7 лет назад +14

    Ameen thumma Ameen

  • @jokhanassor3507
    @jokhanassor3507 5 лет назад +1

    dah shekh wetu Alla akulinde na mikafiri isio elewa

  • @ndumbajr9037
    @ndumbajr9037 5 лет назад +1

    Sheikh Suleiman Mazinge Allah akubariki sana ..uishi miaka mingi yenye Kheri na baraka tele ili uendelee kutoa dawa na kuwasilimisha makafiri...
    #proudbemuslim

  • @derickomoghela9948
    @derickomoghela9948 2 года назад

    Yohana, utukufu wa Mungu uwe juu yako daima.

  • @lokeredavid9754
    @lokeredavid9754 2 года назад +1

    Yesu alisema chunganeni na mmtume wa uongo Mohammad

  • @akareemtamimy35
    @akareemtamimy35 9 лет назад +2

    mashallah tabaraka allah mola akupe umri mrefu ustadh mazinge kwa kutangaza dini ya haki hawakuezi

  • @halimamwachilimwachili5099
    @halimamwachilimwachili5099 5 лет назад +3

    Allah akubariki Sheikh Mazinge.

  • @zawadisembeguli3435
    @zawadisembeguli3435 5 лет назад +6

    Am proud to be chiristianity thanks Lord 😘😘😘

    • @111dudi
      @111dudi 2 года назад

      Nenda kwa Mfalme Zumaridi mungu mpya wa wakristo

  • @abdiqaanurow5924
    @abdiqaanurow5924 11 месяцев назад

    Allah atakulipa InshaAllah sh. Maxinge

  • @derickomoghela9948
    @derickomoghela9948 2 года назад +1

    Yesu na Muhammad wapi na wapi!
    Muhammad hana sifa za utume.

  • @swaleheismail46
    @swaleheismail46 5 лет назад +3

    mash Allah hadi raha mazinge utabaki kuwa juu, juu mawinguniii

  • @innocentomar16
    @innocentomar16 8 лет назад +21

    mazinge wape maneno yahaki

  • @khuzeimaabdul4275
    @khuzeimaabdul4275 5 лет назад +1

    Mungu akuweke shekhe wetu

  • @teamallyracing1780
    @teamallyracing1780 5 лет назад +4

    Mazinge ana confidence anaijua biblia kuliko wenyewe

  • @ahmedbaga26
    @ahmedbaga26 5 лет назад +16

    Kweli wakriso hawana dini

  • @harbisulub
    @harbisulub 9 лет назад +10

    jazaka llah khair kwa hizi video baraka Allah feek, iko part C?

  • @fatamiqw1298
    @fatamiqw1298 8 лет назад +5

    hawa wamepoteya njiya allah atawaongoza inshaallah

  • @aishandayishimiye5127
    @aishandayishimiye5127 9 лет назад +4

    Masha allah

  • @mohammedabdinur6236
    @mohammedabdinur6236 2 года назад +1

    Sheakh Mazinge mungu akulinde kwa Maisha yako

  • @davisrotich116
    @davisrotich116 6 лет назад +3

    Mazinge umekula kibano mpaka kijasho chakutoka pole sana njoo kwa Yesu ubatizwe wachana na mtume wa uongo

    • @fatmahamad2156
      @fatmahamad2156 5 лет назад +1

      Km ni muongo ,subiria hapo siku utakayotolew roho ndo utajua km ni muongo au mkweli

  • @achivanejaphary2534
    @achivanejaphary2534 8 лет назад +4

    hata Mimi namwo mbea dua afanye kazi vizuri Achivanejaphary

  • @ukhtysakinaa7664
    @ukhtysakinaa7664 6 лет назад

    Hongera ustadh Mazinnge Allah akuzidishie umri upate elimisha makafiri Aamin

  • @rozinahamisi84
    @rozinahamisi84 5 лет назад +4

    Alhamdulillah nimeingia kwa dini ya haki nikatoka uko kwa wakristo

  • @111dudi
    @111dudi 2 года назад

    Huyu Yohana muongo sana na mpindisha aya,Mtume alirogwa mara moja sio katika maisha yake yote tangu azaliwe. Huyu bwege sana.mazinge Mungu akulinde na akupe maisha marefu.

    • @gregolyhaule6928
      @gregolyhaule6928 2 года назад

      acha matusi basi

    • @111dudi
      @111dudi 2 года назад

      @@gregolyhaule6928 mtu anaesimama mbele ya hadhara kwa nia ya kupotisha waumini kwa kutumia uongo anastahili zaidi ya hiyo

    • @111dudi
      @111dudi 2 года назад

      @@gregolyhaule6928 mtu anaesimama mbele ya watu anasema uongo au kumkadhibisha mtu mkweli, anastahili nini?

  • @aivanimaedard6314
    @aivanimaedard6314 5 лет назад +4

    Hakuna mwenye kutoa haki bari mwenyezi mungu tu Alie mbinguni

  • @dancewithlils
    @dancewithlils 2 года назад

    May Allah protect you shekh Mazinge

  • @soccertv293
    @soccertv293 8 лет назад +14

    mazinge juu

  • @francisjoseph1074
    @francisjoseph1074 2 года назад +1

    Kweli waislam Hamna hoja mpaka mwalim wenu anaulizia muda ya point zimeisha mpaka kila time anaulizia muda

  • @morrisevarist6706
    @morrisevarist6706 3 года назад +1

    Waislam wote naomba muache mbwembwe zenu za majini,HEBU soma Biblia 1Yohana 5:18-21 amen.

  • @mkomboziathumani4986
    @mkomboziathumani4986 8 лет назад +27

    wakristo ni wacheza dance tu hawana dini

    • @abdallahmseven600
      @abdallahmseven600 5 лет назад

      Wewe kumbe unajua zaidi

    • @abdallahmseven600
      @abdallahmseven600 5 лет назад

      Uko saw bro

    • @rassanleezedon6861
      @rassanleezedon6861 5 лет назад +1

      Kapime ufahamu wako milembe

    • @frankjohn8570
      @frankjohn8570 5 лет назад

      Mkombozi Athumani mtu hajulikani kabisa kwenye kundi la mitume na manabii ambao Mungu aliwatuma kwaajili ya wana waisrael sasa vipi atajwe ana fungu gani katika israel

  • @humairahtomicky2454
    @humairahtomicky2454 5 лет назад +5

    yn mazinge amekaa kibabe😂😂😂

  • @amosmalakyese1227
    @amosmalakyese1227 5 лет назад

    Ubarikiwe Mtumishi wa Baba. Mungu akuwezeshe kuisema kweli. Kweli humweka MTU kua huruuuuu

  • @korentinisilayo8125
    @korentinisilayo8125 2 года назад +1

    Mtume wa mungu kalogwa na binadamu hiii kali sana ikiwa ndio hivyo basi musa angelogwa na wachawi wa misri

  • @fbhj443
    @fbhj443 7 лет назад +1

    AllaH akupe afya Sheikh wetu wallah kuelimisha kafiri ni kazi kubwa

  • @modjayd5424
    @modjayd5424 5 лет назад +1

    asalam alaykum sheikh mungu akupe maisha marefu uendelee kuwafungua hawa wajinga ili waje kwenye njia ya haki mungu akupe maisha marefu sheikh inshaallah

  • @pierremira
    @pierremira 7 лет назад +4

    Bwana yesu asifiwe amen kwanza ninaomba katika jina la yesu nakomba yesu umwage damu Yako kwa watu wote duniani iliwaweze kufunuliwa macho yao fahamu zao waweze kuona,kusikia wafunguliwe katika vifuniko vyote vya shetani na majini yote yaliyo katika vitengo mbalimbali vyakuwapotosha binadamu ili wasijue ukweli ulioyo kweli
    naamini haya katika jina la yesu kristo amina
    swali langu kwa waislam wote mtueleze wapi huyo Muhammad anaye jiita mtume WA mwisho yaani masiha swali langu Sasa kama yeye ni masiha wapi alifanya Mambo yaliyotabiliwa kufanywa na masiha yaani kuponya, wapi aliponya, wapi alifufua kama ilivyo tabiliwa masiha ? wapi nataka jibu

  • @mrsdully1613
    @mrsdully1613 8 лет назад

    kweli kabisa hapa ni kazi ngumu sana sheikh mazinge mungu akubarik na akulinde na mahasid wote hao utabishananaooo mpaka nahawatokubal
    mung atakuwezesha kwakila jambo insgaAllah

    • @pierremira
      @pierremira 7 лет назад

      mwisho WA manabii maanayake no masiha kwa huyo Mohammed masiha?????? masiha ktk Hadith alivyooa aliruhusiwa pekee kuoa hao wanawake peke take mungu awafungue macho shetani,jini wote mapepo ujuzi wote elimu zote majini nikweli majini yana uhamu elimu nyingi na kunavitabu vingi vya elimu hizo

    • @pierremira
      @pierremira 7 лет назад

      ndugu zangu mungu alisema nitafute kama kweli unataka ukweli sali kutoka ktk Moto wako muulize atakujibu utajua ukweli mungu tu ndiye atakujibu mtume hawezi kukujibu ala hawezi kukujibu NG'o kwanini jubu unalo ala ni shetani ametengeza Dini aabudiwe kama mungu

  • @francisjoseph1074
    @francisjoseph1074 2 года назад +2

    ILA 😂😂😂😂 Mazinge Kwa kuzuga sasa hapo alikua anajifutafuta nini kwenye domo lake😂😂😂 zee zima akili halina

  • @lucasgasper5235
    @lucasgasper5235 7 лет назад +3

    Mchungaji Yahay kwanza ni Genius akienda kwenye maiki haendi na vikaratasi Korani yote imo kichwani na hoja zake ni za maandiko Big up sana mchungaji uislam haueleweki

    • @selemankibago4341
      @selemankibago4341 7 лет назад

      USIMSIFIE MTU AANZA KWANZA WEWE MWENYEWE HUJUI MOYONI MWAKE ANAMUAMINI NANI!!!

    • @moviesandinfotv9933
      @moviesandinfotv9933 5 лет назад

      Pole Sana hujielew ww

    • @aishahakizimana5868
      @aishahakizimana5868 5 лет назад

      Hakuna kafiri anaeweza kuhifadhi kitabu kitukufu coran, hamjielewi nyie 🤣🤣🤣😂😂😂😂

    • @yusuphally4204
      @yusuphally4204 5 лет назад

      ww kwel ni tahira hauon huyo mchungaji ana karatasi hapo unatia huruma kweli

  • @thuebamohammedswaleh6897
    @thuebamohammedswaleh6897 9 лет назад +8

    section c iko wapi jamani nakosa mauthamu

  • @malikiakimwera9524
    @malikiakimwera9524 5 лет назад +2

    Najivunia kuwa muislamu pia naamini uislamu ndio dini ya khaq kwa mungu

    • @martinibrahim8966
      @martinibrahim8966 5 лет назад

      Hivi nyinyi mmelishwa nni na majin rafiki zenu...yamewahalbu ubongo wenu hamna mnalofikilia zaid

    • @happykizito7226
      @happykizito7226 5 лет назад

      Pole YESU KRISTO AKUSAIDIE

    • @manchusenice1975
      @manchusenice1975 5 лет назад

      Uislam dn ya haki

  • @rukiaissa5878
    @rukiaissa5878 7 лет назад

    Allah akupe nguvu sheikh mazinge na akujaalie kila la kheri ktk safari ya kuutangaza na kuunyanyua uislamu

  • @saifalbarwani4993
    @saifalbarwani4993 6 лет назад +2

    mungu akuweke mazinge inshaalwa

  • @fatumaramadhanmashaallahal9966
    @fatumaramadhanmashaallahal9966 5 лет назад +1

    Mashaallah tabaraka llahu

  • @enockkibona7522
    @enockkibona7522 2 года назад +1

    Mchaji Mungu hawezi logwa

  • @ABDULRAZAKADAMHASSAN
    @ABDULRAZAKADAMHASSAN Год назад

    Good affect

  • @yusuphmanyata4541
    @yusuphmanyata4541 5 лет назад

    Alahu akbaru ewe mungu mlinde ndugu mazinge kwakuwafahamisha hao makafir

  • @zainabuhamisi2176
    @zainabuhamisi2176 7 лет назад +2

    Hasbunallah waneemalwakili

  • @abubakarmpole4000
    @abubakarmpole4000 5 лет назад

    Mwalimu Yohana ukafiri umekutawala.Mungu akuongoze akupe nuru ya uislamu, hakika uko katika upotovu.

  • @othmanabdallah1948
    @othmanabdallah1948 7 лет назад +3

    aaamin thuma amini

  • @bernardchesoli4322
    @bernardchesoli4322 Год назад

    Wachungaji Mungu awalinde huu mjadala mazinge kashindwa kumtetea Mohamed.

  • @ImDevin25
    @ImDevin25 5 лет назад +1

    Mazinge hajui kuitetea uislam Kwa hoja yeye hua anajipiga kifua Tu,

    • @selemanishabani6843
      @selemanishabani6843 5 лет назад

      Tumia akili

    • @ImDevin25
      @ImDevin25 5 лет назад

      @@selemanishabani6843 Hamna cha akili hapo tunahoji mtu kulingana na uwezo wake wa kujadhili mambo.

    • @malitiguyo5584
      @malitiguyo5584 3 года назад

      Kataa muhammad pamoja na bibilia..usitumie akili yako ya ziada...kama muhammad wa kukataliwa toa hoja

  • @asrymohd6690
    @asrymohd6690 5 лет назад

    Mashaallaaah UST mazinge

  • @jaffarhadji7580
    @jaffarhadji7580 9 лет назад +17

    mazinge kiboko yao

  • @salmamambo8820
    @salmamambo8820 7 лет назад +2

    tatizo.wakiristo. wanadanganywaa.tuuu wao.hawana kubishaa kila kitu Kwao nindiyo huyo pasta anabadilisha mamboo tu wao wanafurahiya tu nishida manzinge Allah akuongonzee Maisha marefu kwauwenzoo wake waerimishe wafahamu

  • @mesaidtsozi8797
    @mesaidtsozi8797 9 лет назад +12

    Mazinge juu.

  • @igiraneza4
    @igiraneza4 8 лет назад +4

    itakuwaje waislaam wakifundisha kuwa mwanaume akiamini maandiko peke yake itakuwa ngazi pia yakuwapeleka wake zao peponi! wakati tunajuwa kila mtu atalipwa kutokana na matendo yake mwenyewe, hayo yakwenda peponi na wake je na kama mke hatokuwa ametii amri za Mungu? atalazimishwa kumfuata mume aliyo tii peponi. !!!!

  • @boazonsongo8508
    @boazonsongo8508 Год назад

    Me christ Jesus my way always

  • @evalineakuku590
    @evalineakuku590 5 лет назад +1

    yesu ndiye mulango wa uzima si muhamed muhamed baba wa kuzimu

  • @prosperjuma905
    @prosperjuma905 5 лет назад

    Huwez kumjua Mungu wa kweli kwa style hiyo. Sidhan kama mnajua mnachokifanya. Huwez kumjua Mungu kusoma vitabu vya dini pekee. Ni lazima uende zaid ya hapo. Maana hata waliondika hayo maandiko nao hawajajua kila kitu kuhusu Mungu. Huwez kuujua ukweli kwa kubishana hivyo.

  • @khayriyamussa5680
    @khayriyamussa5680 5 лет назад +1

    Mhh babu tafaaa waislam duniani hatumfati Yesu usidanganye watu.. sisi tunamfata Allah naMuhammad mjumbe wake kwa mafundisho sahihi ya Qur-An... yesu ni Nabii Issa..ambaye si Mungu wala Simwana WaMungu..

  • @deone728
    @deone728 7 лет назад +1

    Barikiwa Mchungaji

  • @thuebamohammedswaleh6897
    @thuebamohammedswaleh6897 8 лет назад +2

    +Akasha mbona mumeikata jamani ama hapo ndio mwisho?????
    Mazinge na wahadhir wote wanaoipeleka mbele daawah sisi hatuna lakuwalipa ila kuwaomboa kwake Allah tabaraka wata'aala kuwapa nguvu na afya njema kila siku muendelee kuipigania dini yake kwani iyo ndio biashara bora mbele zake Allah azzah wajala..........Allah awakinge na husda,,,,maovu na yale yote ambayo makafiri wanakutendeeni........awajaalieni na aajalie waislamu wote shahada mbele ya mauti...raha ndani ya qabri atukinge na shari za dunia na za kaburi na atukinge na adhabu za moto na atujaalie pepo yake firdhaus kuwa makaazi yetu AMIYN THUMA AMIYN

  • @wilbertcharles9129
    @wilbertcharles9129 5 лет назад +2

    Hizi ndizo video ninazo zitaka mama

  • @mohamedkisoma3492
    @mohamedkisoma3492 5 лет назад +1

    mashallah mazinge

  • @festotmwacha9855
    @festotmwacha9855 5 лет назад

    Yesu. Ni Bwana

  • @magembesitta5657
    @magembesitta5657 2 года назад

    Nany mtaijua kwel nanyi itawaweka huruuuu

  • @amanhamza9401
    @amanhamza9401 5 лет назад +1

    Mashaallah

  • @gracecypiliani3520
    @gracecypiliani3520 7 лет назад +1

    Yaani nyie munasumbuliwa namapepo ya uzinzi bibilia ilasema mbinguni hakuna kuoa wala kuolewa wote tutabadilishwa na kufanana na Yesu atakapo dhihilishwa kwanza mute alikuwa mzinzi aliowa idadi yawanawake zaidi ya idadi mulio amuliwa nahayo mapepo yenu ety ni mungu wenu

  • @omarymasoudykisondo389
    @omarymasoudykisondo389 7 лет назад +1

    tunachotafuta ni kwenda kwa mungu ila kwa mafundisho ya wakristo ukifatiria hakuna kitu mala yesu mungu mala sasa mungu anakufa

  • @albassamjjamali9286
    @albassamjjamali9286 5 лет назад +1

    aaa bora ushindane na wote si mazingee mazinge anaelimu

  • @achivanejaphary2534
    @achivanejaphary2534 8 лет назад +1

    hata Mimi namwo mbea dua afanye kazi vizuri

  • @ibrahimabdul5490
    @ibrahimabdul5490 8 лет назад +2

    Inatakiwa Shekhe atembeze na fimbo.
    Mana watu wanajibiwa swali ekesha wanarejea hilohilo.
    Ekesha kitu kingine nilichokipima mm hawa Mapastor ukosefu wa kutokujuwa kiswahili fasagha.
    Mana hawajui maana ya kuchaguliwa wala kutumwa.
    Au kama wanafahamu basi itakuwa wanataka watu wawaone kama wasomi na majibu wanayojibiwa sio sahihi.
    Au hawakubali kushindwa na kama hawakubali kushindwa,unaambiwa siku zote asiekubali kushindwa sio mshindani.!
    Au kama vp kaeni hivohivo na ukafiri wenu ipo siku ndo mtamjua M/mungu ni nani.?
    Mana siku zote unaambiwa kuku wako mwenyewe umshikie manati yanini.
    Wee muache aruke rukee jioni akiingia bandani tu unamkamata.
    Ndo M/mungu nyinyi anakufanyeni kama kuku tu ipo siku mkifika mbele yake ndo mtamjua kama Mungu ni nani..?

  • @salehlofy4251
    @salehlofy4251 7 лет назад +4

    Wakristo hawana hoja wala Mungu, Mungu wao ni mzungu na wakati hata mtume mmoja hakuna aliekua mzungu vp watakua na dini jaman acheni mchezo kuna kufa na kufufuliwa na kulipwa

  • @sumalago864
    @sumalago864 8 лет назад +7

    ..wakristo hawawezi kitu...hawamfuati YESU watamfuata MUHAMMAD..?...wanapelekwapelekwa tu...

    • @evalineakuku590
      @evalineakuku590 5 лет назад

      Suma Lago hakuna mkristo atamufuata muhamedi

    • @salmaalimusa547
      @salmaalimusa547 5 лет назад

      Ukilisto ni upotevu

    • @mhogomchungu7168
      @mhogomchungu7168 5 лет назад

      @@evalineakuku590 hata Mazinge alikua mkiristo tena Mwenye cheo kikubwa amemfuata Mtume Muhammad rehma na amani ziwe juu yake. Sasa rudia uliyoyandika uone kama yanaingia akilini

  • @maulidabdallah8384
    @maulidabdallah8384 6 лет назад +1

    Nakubali Sana mazinge

  • @hamisijmussa6983
    @hamisijmussa6983 5 лет назад +1

    Nabii issa bin mariam (yesu) alitumwa kwaajili ya wana wa israel (taifa la israel) ila mtume wa umma wote ni mtume MohammaD (s. A. W) wakiristo mtambue kwamba yesu hawahusu msiwe na shobo

  • @111dudi
    @111dudi 2 года назад

    Huyu Yohana muongo na anabadilisha maneno. Mazinge kasema padri kathibitisha utume wa Muhammad, Yohana anasema ati padri kampa utume Muhammad. Yaani muongoooo.Hiyo aya 25:5 ni maneno ya makafiri ambayi huyu Yohana kakwepa kusema "walisema" neno la kwanza ktk aya. Yaani muongo sana na tapering wa aya

  • @mokhaking2734
    @mokhaking2734 7 лет назад +15

    mazinge kiboko yao kama kawaida.